HAYA MIMI NAMSIKIA UKIIBIWA UKAMUELEZA HUYO MWIZI ANARUDISHA MWENYEWE,, NA KUKUOMBA MSAMAHA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Kwamakadilio ya haraka apo kila jengo limeghalimu Tsh.milioni 25 ila hongera sana mzee kwakujitoa maana kunamatajiri wakubwa zaidi yako lakini hawajafikilia kufanya ilo jambo big up ❤❤❤❤
acheni maneno ya kipuuzi,eti vyumba vitatu milioni 162! Labda pesa ya Zimbabwe!!!
Huyo ujinga achia wanao urithi
Kujenga nini kituo cha police 😅
Jamani mimi niliibiwa nikaenda kwa huyu mzee japo alinitoa pesa ndefu ila mwizi alirudisha bila kupenda.
Habari naomba unsaidie namba zake
Hakuna ata million 20 hapo yani nyie wa tangazaji wehu nini????
Wanamuibiaaaa
Hizo nyumba nikikadia zote hazidi m50
😂😂😂 kweli aiseee
tena hazifiki ndg
Mzee rapel huyu ni mganga kala pesa za wat na hawajafanikwa
Mbona kama hadith inajirudia rudia, mwandishi nn shida,
Kwashyaare 😁
alichokosea ni kujenga au basii acha tuu 😂😂
Kituo cha ccm😂😂😂😂
Mzee amepgwa hapo hata 30m haipo
😂😂😂😂😂
HAYA MIMI NAMSIKIA UKIIBIWA UKAMUELEZA HUYO MWIZI ANARUDISHA MWENYEWE,, NA KUKUOMBA MSAMAHA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Kibo nja ndesi
Nsitiiiiii
apaa firumu
Kwamakadilio ya haraka apo kila jengo limeghalimu Tsh.milioni 25 ila hongera sana mzee kwakujitoa maana kunamatajiri wakubwa zaidi yako lakini hawajafikilia kufanya ilo jambo big up ❤❤❤❤
Umejenga mwaka gani ?😅😅😅
Hiyo pesa haipo hapo
duuuu
162 mil kwa nyumba zipi 😅😅😅😅
Acheni uongo hio pesa yote kaitoa wapi
panga safari ukamtembelee meru!
majibu yote utayapata bila kusimuliwa na mtu.
Nsuri numba ta Milion iyana na hamsani
antukaba eyo
Sioni nyumba ya hizo pesa hapo... kwa bei ya soko leo
Ata kama ni ml 10 si kajitoa we vipi
@@colletatesha5265 mwambie mjinga huyo
Labda Pamoja na bei ya viwanja sababu huko viwanja bei ghali sana
Unadhani kuanzia aridhi mbaka finishing nielfu hamsinieeeh, njoo arusha ndoo utajua ujenzi gharama
MAANA YA KURII KWA KIMERU NI SIKIO.... JE MWAJUA ?
😂😂😂 ila sikio hili linatudanganya maana nyumba hizo hazikaribii pesa ilo tajwa.
Labda wajanja wa mjin wamempiga pesa zake
Nsitiii kwa kimeru ni Nini
Sasa kwa nini asinunue gari la kutembelea kama ana pesa kwa nini anapanda bodaboda
Kimasai ni mbwa 😂😂
Kila jengo limegharimu mil 54 .. really!?!!!!mhh😔
wanatufanya sisi mataahira.
hakuna majengo ya pesa hio apo.
Inawezekana labda kila fundi alilipwa million 10
Hamna hata m 20 haizidi
Hata ukiweka na gharama za viwanja bado ni nyingi
Mzee tapel.huyu
rais ni nyerere Hadi saiv
Wameibua hela huyo mzee. Hizo nyumba ni ndogo sana na haifiki thamani ya milioni 162😮😮. Anawaunga mkono Nyerere na Samia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuri ni mganga wa kienyeji amepata pesa kupitia michango ya watu anaoagua
Yan we acha tu watu tumeenda na hamna kitu na pesa kala watu zaid ya elfu moja kila mtu hamsin elfu
@@happymrema7487Pole sana, mtafute Yesu atakusaidia
@@happymrema7487 kumbe sio mkweli nilitamani niende kwake naskia watu wanamtaja sana
Wajukuu wamemtandika!!
Ujinga kabisa wekea wanao ulithi