Nay Wa Mitego Ft Linah Sanga - Mshua(Official Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2023
- Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Mshua #LinahSanga - Видеоклипы
Nilikua na subiria huo wimbo in my life kisa hakuna mwana mziki alikua akuhimba kumshukuru baba but kila mtu alikua mama mama ila ney nime kukubali sana ,
Zipo kibao kaanze na Hatia v ya dizasta
ruclips.net/video/5i0BV2OkJI8/видео.html
Kuna mtu anaitwa Bushoke ameimba wimbo mzuri sana unaitwa BABA
Hatia V bonge chuma Dizasta vina..💪
Nice song keep it up good work 💕💕 bro
Mshua kawa mshua ķweli Embu nipeni like kama wewe ni mshua kama mimi ♥
Msipo nipa like kwa hiii ngoma ntawaona wote hasaport madingi
Bola yako nay umetoa nyimbo ya baba kila msanii mama Respec Sana Baba akuna Kama baba❤
Baba magufuli mshua tunakuombea baba
Ahsant San broo, moja Kati ya nyimbo chache zinazotukumbuka wanaume.
da safi san kwel akina baba hatuthaminiki ktk familia
Msanii wa Kwanza kumpongeza mshua😂
Waooo !!! Wanaum zikowap lik zen sas
Atimae Wababa wamefikiwa jamani Naombeni likes zangu Kwa wingi, kwa filam nzuri zenye mafundisho usiache kutembelea Channel yetu Busatitv
Oooe imekubalika Baba 🤝 mwanaume hakimbii majukum🎶🎶
Ooeh..huyu mwamba..mwaah🤔..amenyoosha palipo pinda bana....amazing..kazi KUBWA sana raisi umetusemea...🙏🏽..💯💯💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Broo(Nay) nimelia etii, shukrani sana kwa huu wimbo.
Cheers to all Fathers in the world😍🙏. Pamoja na upcoming dad's❤️😍and those resting in heaven right now 🕊️🙏.. ANAITWA BABA👍
Keep it up
Woyoooo mshua 🙌
Baba anakutana na magumu sana wakati mwingine anashidwa hata kununua kiatu lakini watoto tunavaa na mama anapendeza yote ni sucrifice ya baba
Umegusa mioyo ya wengi ,,, Mungu azidi kukupa haya madini
Mtoto wakiume akimbiyi majukumu. Asante Nay
Here umefanya justice......Best tune
Kali Ney twashukuru si pia tulolelewa na baba twafeel good
Saf kabisa ety kila wimbo mama tu inamaana si wanaume hatuna chetu
Safiiii. Tunahitaji nyimbo nyingi zaidi za kumuongelea BABA. Hongera sana Ney. 👏👏👏
ruclips.net/video/5i0BV2OkJI8/видео.html
Baba ambaye akimbii majujumu mungu awasimamie
For the love of all responsible fathers in the world. Drop a like for your father
noma sana
Linah Ni kipaji harisi
Mtoto wa kiume hatukimbii majukumu
Umefanya powa sana wamitego
Wanaume wote tukutane hapa
Kuna jambo tuweke sawa😢
Nimekukubali Sana ney ujawaikosea
Sio baba wambinguni nisisi mababa wa duniani mana haikuwa rahisi sisi baba kuwa nawimbo wetu
Wazeee mikonoooo juuu Kwa mwamba huyu
Courage sana vx wangu teteya aki yako ile weye jo mutetezi wa tanzanie
Yes anaitwa baba ngoma nimeielew sana
Nakubali kaka we ndo rais wa kitaa nakubali
1 love mr nay umetuwakilisha wa baba maan alitamba mama sana
aisee hii ngoma nikali ney umejua kutuheshimisha washua
Ilove you lina sanga unajua mpaka unakela yan
nzuri sana brother Ney wewe ndo kioo chetu
Baba father mshua 💛💚🙏
Motoooooo
Nakubal mzee nimeilewa
Nakubaliana na wewe Mr Bababaa 🙏✍️✍️
Nime kubali Mr nay🇨🇩
Kazi kali sana kaka
❤❤❤❤❤❤❤ bonge la nyimbo
Rais Wa Kitaa🔥🔥🔥
Bongo hakuna rapa kumshinda baba yaga kila kona ya mtaa Moro ngoma mshua
Hili goma kali sana Ney Umetisha
Rais wa kitaa💪💪
Safi saana umeeonyesha uwanaume wako. Hii ndio haki sawa sio ileee.ya wasanii njaaa!!!!❤❤❤
Safi sana
Nay baba wa ma hit love kutoka izi pande za kenya
Ney True boy one in a million
Nmekuja mbio 😘😘🙌🙌
Poa sanaaa
chukua ua lako🌹🌹
Safi sana 👍🙏
Hakuna kama nay🔥🔥🔥🙏🙏
Umeua Mtu mzima Nay na dada yangu kipenzi, Linah
Umeuwa mzeee
❤ Nakupenda babangu 🎉
Ney🔥🔥🔥🔥🔥 nobody considers the father figure,thanks for releasing this song, more likes from Kenya🇰🇪
NGOMA YA MWAKA
Go Ney Go..kaz safi brother
Baba
Dah bigap San nme kubal asa mussa from zenji
Niwachache sana wana mpongeza baba, big up kwakuona ilo
Good music babaa
Nymbo hii ni funzo
⚔️⚔️⚔️🦅
Ney wa mitego izi steli wewe azi toshe kwako wewe bora michano tu za bufu
Raisi wa kitaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀
🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜
I'm so mu proud of you the freenation baba yaga
Hit songi
atleast for the 1st time nimesikia wimbo ya baba...c kila siku mama...najivunia kuitwa baba..good song from nay supporting nikiwa +254 KENYA
Huyu Mwamba angezaliwa USA angekuwa kama 2Pac.. Daah you are a great thinker.
Tulzaliwa home hakuna TV 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ney 💪💪💪
🙌🙌🙌🙌no comment
Ili song ❤❤❤
CHUMA
Ney ney ney we noumal sana 🔥🔥
Asante ney
Hakuna kama baba 👌 👏 ❤️
U did it bro
Anadha banga
Baba!❤
Good
🔥
Kuna wapiga kelele hafu Kuna huyu muimbaji raisi wa kitaa
Babaaaaa
❤❤❤❤❤
Legend🔥
Mwishowe tumefikiwa na sisi sio kila siku nani kama mama ivi bila baba kutoa matumizi ungenyonya nyonyo mpaka lini muulize mama ako vizuri kwamba malapa yalipokuwa yakiisha nani alikuwa anatoa hela ili uvae mengine
🔥🔥🔥🔥
🎉
Big up sana mzee Ney wew ni Mwamba Asee💪💪💪
Bless sana 😂❤❤
Kama unampenda nay wa mtego gonga likes hapa kwang jamani❤