Worry out Mr Nacha u're me I'm u ,so we've to support each other in order to show the respect of our African culture , keep doing these music kind I really like them as an African root
Hii nyimbo ina ujumbe mkubwa sana kwa nchi yetu ya tanzania tutafute skills kwa ajil ya kujituma wenyew kwa sabab serikal haina uwezo wa kuajiri watu wote na hasa sisi tunaotoka katika familia za kimaskin tunaamin sana katika elimu na tunasahau kujituma wenyew. 🙏
Kuna dear msomi mmoja kitaan kwetu alinitesa sana kisa elimu yake ila siku hizi nikipitaga mitaan kwao ananiambia niache kujidai, sijui kapitiwa na nn yan
Hallo Nacha, have looked for your m-pesa number for so long .Your lyrics are very precious to Kenyatta mother country... I wannah reward you bretheren. Playing and sharing your music isn't enough .Thank you.
Mkwawa ndio John Legend wa Bongo sasa hivi.Na sijui kwa nini mpaka sasa wanahiphop mahiri kama Nacha na Stamina wanakuwa underrated licha ya kuwa na uwezo mkubwa.Tatizo ni kuwa media nyingi na promoters wengi wako kimaslahi zaidi ya kuimarisha mziki mzuri ndio maana utaona wasanii kama Nacha na Stamina wanajaribu kusend message lakini nafasi yao ya kutoka zaidi ya uwezo wao ni finyu.Ila big up kwa ngoma kali sana.One day yes!
KAZI nzuri Sana..... Kila mmoja Katendea Haki...Ila Stamina Bhana...... Mtoto ndevu,Mkubwa ndevu Watu wamesoma Ila elimu haiwasave,,Mtu Ana degree ya Ufugaji ilà Anaishia kufuga ndevu............
Dear msomi huu wimbo aise wizara ya ELIMU Tafadhali msifanye kama hamjasikia tufudisheni stadi za kazi masomo mengi ajira chache hatuwezi kufika kwa wakati
Kama unamkubali Stamina na nacha nipe likes zanGu
Love from 🇧🇮
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Worry out Mr Nacha u're me I'm u ,so we've to support each other in order to show the respect of our African culture , keep doing these music kind I really like them as an African root
ruclips.net/video/l3-6SDdJ6Kc/видео.htmlsi=-v6wB4QVlz6nh-cv
Mafanikio sio zawad Bali ni matokeo dear msomi gonga like apa
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
DEAR MSOMI NOW AVAILABLE IN ALL DIGITAL PLATFORMS
PLEASE WATCH & SHARE LINK
#DearMsomi
#NyasubiNdaniYaMbanyu 🙏🙏🙏
❤ ema mzalendo hapa nakukubali Sana nacha.
Kama umerudia maranyingi kama mimi tujuane kwa like hapa ❤
Please Watch & share DEAR MSOMI
SMG
Hii ni elimu bila dawati
Elimu isiyo na chaki
Elimu popote huipati
Hata usome darasa la wapii
Iaoo iyaooo iyaa
Msomiii
Dear msomi nataka ufahamu
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Uwa aukosei mwanangu kutoka congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nacha ni Darassa Tosha kwa jamii, Mungu Akubariki Kwa Kazi Yako Kubwa ikupe vibunda amen
Hii nyimbo ina ujumbe mkubwa sana kwa nchi yetu ya tanzania tutafute skills kwa ajil ya kujituma wenyew kwa sabab serikal haina uwezo wa kuajiri watu wote na hasa sisi tunaotoka katika familia za kimaskin tunaamin sana katika elimu na tunasahau kujituma wenyew. 🙏
Watch n share DEAR MSOMI
WATU WAMESOMA ILA ELIMU BADO HAIWASEVU/
MTU ANA DEGREE YA UFUGAJI ILA ANAISHIA KUFUGA NDEVU
Nyasubi finest tuko pamoja sana
Nomaaa 😂😂
Nikweli thaman ya Elimu ipo chini Sana cha muhim ni kupambana
Dear msomi like zangu 100
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Sijui sisemeje🤔ila huu wimbo umenigusa sana, makali kinomaaa wote mumetisha big up👍👍👍
Dear msomi
Dear msomi... Ukimaliza shule haimaanishi utapata kazi...
Felt this one from Kenya.
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Kipaji ni kama zawadi !! Nacha nmiongon mwa wasannii wenye zawad hiyo..❤ big up sana.
Uhalisia kabisaa ya mambo ambayo nayapitia maishani sahizi...
Kama ww ni dear msomi kama mm mungu akubariki
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Hiz ndizo Miziki yenye ujumbe na mantiki na kuelimisha acha Miziki ya mapenz hongera sana kijana
Stamina ni mwanahipop halisi.. tumpe maua Yake jamn🎉🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Kuna dear msomi mmoja kitaan kwetu alinitesa sana kisa elimu yake ila siku hizi nikipitaga mitaan kwao ananiambia niache kujidai, sijui kapitiwa na nn yan
Please Watch & share DEAR MSOMI
Nacha ukizeeka ni kishimba mtupu
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Kama una mkubali stamina na nacha kwenye rap naomba likes zangu
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Hizi ndo nyimbo Zinatakiwa full ujumbe big up young bro good music🎤🎶🕺🎤🕺🕺🕺🎶💯🎤💥💥💥💥💥
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
KUNA MAISHA BAADA YA SHULE SIJUI MNAJUA?
Tunajua kaka. make watu tumesoma lakin hatuna kazi
Ni kweli.
Best song in this year 👏maan nyimbo inaelezea uhalisia wa maisha ya sasa
Please Watch & share DEAR MSOMI
Mad love outta 254.......true definition ya mwafrika
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
Hongera kwa kuwa na ngoma za kufungua upeo wa vijana wenzako...Bless you.
Kutoka Drc🇨🇩 nipo tayari kwa mzigo💥💥
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Ox BELOX naipata Dear Msomi from Australia, Haki sasa vijanaaa (Nacha, Stamina, Mkwawa) hamjawahi niangusha kwenye kazi zenyu.
Please Watch & share DEAR MSOMI
MAPAMBANO YANAANZA MORNING SISI HATUNA MORNING SPEECH
😂
Dear hip hop ya wakenya ata muungane wasanii 50 Nacha tu hamumwezi na sijamtaja Stamina bado❤❤❤❤much love from Kenya 🔥🔥🔥💯💯💯🇰🇪
Stamina ft nacha hawajawahi Ku fell🔥🔥
mungetuwekea kick na snare bana this is sooooo deeeeeeep🔥🔥🔥🔥
Mashaili ya mana Ila katika production (beat)wameiga kidogo ngoma ya lafouine inaitwa tous les même kama nawey umegundua hio lpiga like nione
Please Watch & share DEAR MSOMI
Umegundua how?
Hatutaki sisi tunataka hii Dear Msomi 😂😂😂😂
Itakuwa hatar sana hiyo ngoma bila shaka, maana nacha haujawah kukosea
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Wanangu Mmetisha sna bonge la ngoma ❤❤❤asanteni
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Kazi nzuri mabrother naamini itaenda sokoni ni kubwa sana
Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏
Asante kwa ❤️ bro
kwani hujui watanzania wanataka komasava 😂🙌 ila hizi ngoma za akina stamina ni zawachache mzee
DEAR MSOMI SIO SABABU UKO SHULE UKAVIMBA KICHWA…KUNA ALIEKUZIDI AKILI YUKO BUSH ANALIMA MCHICHA
Hallo Nacha, have looked for your m-pesa number for so long .Your lyrics are very precious to Kenyatta mother country... I wannah reward you bretheren. Playing and sharing your music isn't enough .Thank you.
Nakubali sana kaka mkuu wangu kazi yako naipenda ❤❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
ADAM MMHAMEDI Nasha ajuabana 🎙️ 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 rwanda nyimboyikomtaani
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
Hivi vichwa vilivyo husika hapa naona 🔥🔥🔥🔥🔥 utawaka❤🎉
Namba 1 munione
#SMGFamily4life #mrtrending once again 🎉🔥🔥🔥
🎉🎉
Mkwawa ndio John Legend wa Bongo sasa hivi.Na sijui kwa nini mpaka sasa wanahiphop mahiri kama Nacha na Stamina wanakuwa underrated licha ya kuwa na uwezo mkubwa.Tatizo ni kuwa media nyingi na promoters wengi wako kimaslahi zaidi ya kuimarisha mziki mzuri ndio maana utaona wasanii kama Nacha na Stamina wanajaribu kusend message lakini nafasi yao ya kutoka zaidi ya uwezo wao ni finyu.Ila big up kwa ngoma kali sana.One day yes!
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Stamina hatr, all in all ngoma kalii San Ni really life
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
KAZI nzuri Sana..... Kila mmoja Katendea Haki...Ila Stamina Bhana...... Mtoto ndevu,Mkubwa ndevu Watu wamesoma Ila elimu haiwasave,,Mtu Ana degree ya Ufugaji ilà Anaishia kufuga ndevu............
stamina you are the king of hip hop umetisha
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Wakenya mnaopenda nacha na stamina nipeni likes..mkwawa kaua sana kwenye chorus
Please Watch & share DEAR MSOMI
Nyasubi ndani ya mbanyuu 🎉 hii content sana , pia mashbik nawaomba mpita na kwangu nina ngoma na stamina ,asantenii
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Stamina kwenye kuelezea uhalisiaa huwaa ni hatarii mnooooo❤❤❤🎉
Like kwa mkwaw katisa namna alivyoanza, ila stimina we ni mtu nusu ukishilikishwa ujawai kupoa...nacha umeweka vichwa
Nyasubi ndan ya mbayu bby 🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
yaani mwisho leo nimekukumbuka broo Nacha❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯
Please Watch & share DEAR MSOMI
Nyimbo za kukomboa wasomi
Wa kinjikitile ngwale na maji maji war.
Wasomi wote tukutane uko next level 😂😂😂😂😂😂💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Watch n share DEAR MSOMI
MAFANIKIO NA ELIMU HAVIHUSIANI/
UNAJIKUTA DALALI NA ULISOMEA URUBANI
Daah, STAMINA konyo sana wewe respect 🎉🎉🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Ousam🙌🙌🙌
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Noma Sana 2024 levels 🙌🙌
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
HISABATI HAZIFANYI UMILIKI KIWANJA UMILIKI BODABODA WATOTO NA NYUMBA YA KUPANGA DEAR MSOMI
Hii ndo Hip-hop. Hawa ndowanao tukunakichwa hapa bongo, Wabunifu Sana ❤❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Penda sana huu wimbo❤️❤️
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Maimuna havui kwa kipeuo cha pili
Dada Tekla kasoma chuo cha uvuvi lakini anavuliwa yeye samaki samaki na wavuvi.
Hizi punch line ni 🔥🔥🔥
Please Watch & share DEAR MSOMI
Mwanangu sana!!; huna baya umetuona asee sema nini Mwanang Nacha unajua asee nipe Maua yangu
Please Watch & share DEAR MSOMI
Achia jiweee
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Bonge la ngoma. Ila mwana wa chorus kaua sana ❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Kama umelikubali Hili goma gonga like apa❤
NyasubiNdaniYaMbanyuu🏆
Huyu jamaa namu kubali Sana walai,I wish ninge kua na uwezo aki ninge fanya Jambo kwake but Acha tumu support kwa saana walai
Please Watch & share DEAR MSOMI
Bonge la Wimbooooooooooooo❤❤❤❤❤❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Maneno hayana nguvu hela ndo inayoshika akili.
Akili kubwa sana kaka Nyasubi ndani ya mbanyu
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Nacha ukifa utaachaa alama ndani ya nchi hiii❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Kazi nzr home boy utafka mbaaaale
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Nacha Nacha Nacha Hajawahi Nikosea
Likes zangu toka Congo✅🙏🙏
Please Watch & share DEAR MSOMI
Nacha ousam, we mtu mnoma sana, una idea nyingi sana mzee
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
kazuri nzuri.. kufaulu shule sio kufaulu maisha.... nakubali
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
makin mno
WASOMI WENGI WAKO BENCHI WANASUGUA
Dear msomi sio eti uko shule ukavimba kichwa Kuna mtu alie kuzidi akili Ako bushi analima mchicha 🥺💔#nyasubi ndani ya mbanyu#Shorobwenze on this one
Watch n share DEAR MSOMI
Nacha binafsi nafrahishwa sana na uimbaji wako hususani nyimbo kama hizi ..nataman uwe unasikika mara zote ukiimba na ukitoa nyimbo mpya
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Big up sana broz Nacha, Stamina & Mkwawa 🔥🔥🔥
Goma kali sana , nyanda wa NYASUBI
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Umesomea ufugaji Cha ajabu utaixhia kufuga ndevu. Stamina sholobwenz
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Dah chuo noma😀😀😀 Nina experience
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Daah hiii ngoma imetulenga wanachuo
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Nyasubi ndani ya nyumba
fanya iwe ndegu piga remix wa Wana wengi kama (warm up).
KAZI nzuri
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Home boy mmetishaaaa knoumaaaa✍️✍️✍️✌️✌️
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Brothers nakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Tuko pamoja mwanakwetu🔥🔥🔥
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Nakubali
Dear msomi huu wimbo aise wizara ya ELIMU Tafadhali msifanye kama hamjasikia tufudisheni stadi za kazi masomo mengi ajira chache hatuwezi kufika kwa wakati
Please Watch & share DEAR MSOMI
Ughwe umenyeee🙌🏽🙌🏽
Please Watch & share DEAR MSOMI
NA MAIMUNA HAVUI KWA KIPEUO CHA PILI
Kazi safi! 🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Dear Msomi, maalum kwa watoto wa vyuo wajue sio kusoma chuo ni kufanikiwa
Ndani ya mbanyu🔥
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
Imeisha hyooo🎉🎉
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Dear wasomi ,, tuishi na huo muwaa
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Toa umekaa sana brooo
Much respect 🔥🔥
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
Nachaa 📌maimuna havuliwi kwa kipeo Cha 2
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Wapi like za stamina...❤❤❤❤
Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms
Lazima tusogee top ten trending
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Nyasuniiii home boy
Please Watch & Share DEAR MSOMI link
#NyasubiNdaniYaMbanyu
Umezisema ndevu zangu ngoja nikazitoe