Nacha Ft Stamina x Mkwawa - Dear Msomi (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 646

  • @filsboyyoungrichfbm
    @filsboyyoungrichfbm 21 день назад +81

    Kama unamkubali Stamina na nacha nipe likes zanGu
    Love from 🇧🇮

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +2

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

    • @filsboyyoungrichfbm
      @filsboyyoungrichfbm 21 день назад +3

      Worry out Mr Nacha u're me I'm u ,so we've to support each other in order to show the respect of our African culture , keep doing these music kind I really like them as an African root

    • @readymediaproduction
      @readymediaproduction 12 дней назад

      ruclips.net/video/l3-6SDdJ6Kc/видео.htmlsi=-v6wB4QVlz6nh-cv

  • @MajogoDewizy-mi2vu
    @MajogoDewizy-mi2vu 21 день назад +28

    Mafanikio sio zawad Bali ni matokeo dear msomi gonga like apa

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  21 день назад +33

    DEAR MSOMI NOW AVAILABLE IN ALL DIGITAL PLATFORMS
    PLEASE WATCH & SHARE LINK
    #DearMsomi
    #NyasubiNdaniYaMbanyu 🙏🙏🙏

    • @user-bq4nk4sg1w
      @user-bq4nk4sg1w 19 дней назад +1

      ❤ ema mzalendo hapa nakukubali Sana nacha.

  • @mohamedijuma4037
    @mohamedijuma4037 21 день назад +35

    Kama umerudia maranyingi kama mimi tujuane kwa like hapa ❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @Matimila-Boy
    @Matimila-Boy 21 день назад +20

    SMG
    Hii ni elimu bila dawati
    Elimu isiyo na chaki
    Elimu popote huipati
    Hata usome darasa la wapii
    Iaoo iyaooo iyaa
    Msomiii
    Dear msomi nataka ufahamu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

  • @Akili820
    @Akili820 19 дней назад +11

    Uwa aukosei mwanangu kutoka congo nipe like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MrLionVictor
    @MrLionVictor 18 дней назад +4

    Nacha ni Darassa Tosha kwa jamii, Mungu Akubariki Kwa Kazi Yako Kubwa ikupe vibunda amen

  • @Binfaraday
    @Binfaraday 21 день назад +7

    Hii nyimbo ina ujumbe mkubwa sana kwa nchi yetu ya tanzania tutafute skills kwa ajil ya kujituma wenyew kwa sabab serikal haina uwezo wa kuajiri watu wote na hasa sisi tunaotoka katika familia za kimaskin tunaamin sana katika elimu na tunasahau kujituma wenyew. 🙏

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  21 день назад +23

    WATU WAMESOMA ILA ELIMU BADO HAIWASEVU/
    MTU ANA DEGREE YA UFUGAJI ILA ANAISHIA KUFUGA NDEVU

  • @fmomchunya4026
    @fmomchunya4026 21 день назад +77

    Dear msomi like zangu 100

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +4

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

    • @rahatv5299
      @rahatv5299 21 день назад +2

      Sijui sisemeje🤔ila huu wimbo umenigusa sana, makali kinomaaa wote mumetisha big up👍👍👍

    • @DJLINKBOY254
      @DJLINKBOY254 20 дней назад +2

      Dear msomi

  • @mambostephen4450
    @mambostephen4450 21 день назад +21

    Dear msomi... Ukimaliza shule haimaanishi utapata kazi...
    Felt this one from Kenya.

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

  • @user-bq4nk4sg1w
    @user-bq4nk4sg1w 19 дней назад +3

    Kipaji ni kama zawadi !! Nacha nmiongon mwa wasannii wenye zawad hiyo..❤ big up sana.

  • @peterngichabe270
    @peterngichabe270 16 дней назад +2

    Uhalisia kabisaa ya mambo ambayo nayapitia maishani sahizi...

  • @FananiGrosper
    @FananiGrosper 26 дней назад +11

    Kama ww ni dear msomi kama mm mungu akubariki

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

  • @IgerekeRamson
    @IgerekeRamson 10 дней назад +1

    Hiz ndizo Miziki yenye ujumbe na mantiki na kuelimisha acha Miziki ya mapenz hongera sana kijana

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 21 день назад +5

    Stamina ni mwanahipop halisi.. tumpe maua Yake jamn🎉🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 21 день назад +2

    Kuna dear msomi mmoja kitaan kwetu alinitesa sana kisa elimu yake ila siku hizi nikipitaga mitaan kwao ananiambia niache kujidai, sijui kapitiwa na nn yan

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 21 день назад +20

    Nacha ukizeeka ni kishimba mtupu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +2

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

  • @KasikileKaluta
    @KasikileKaluta 21 день назад +7

    Kama una mkubali stamina na nacha kwenye rap naomba likes zangu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @MohammedAlly-hp8fg
    @MohammedAlly-hp8fg 20 дней назад +1

    Hizi ndo nyimbo Zinatakiwa full ujumbe big up young bro good music🎤🎶🕺🎤🕺🕺🕺🎶💯🎤💥💥💥💥💥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  20 дней назад +16

    KUNA MAISHA BAADA YA SHULE SIJUI MNAJUA?

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz 20 дней назад +2

    Best song in this year 👏maan nyimbo inaelezea uhalisia wa maisha ya sasa

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @NicholasKavini
    @NicholasKavini 18 дней назад +2

    Mad love outta 254.......true definition ya mwafrika

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz 15 дней назад +1

    Hongera kwa kuwa na ngoma za kufungua upeo wa vijana wenzako...Bless you.

  • @vikingnoname7514
    @vikingnoname7514 22 дня назад +5

    Kutoka Drc🇨🇩 nipo tayari kwa mzigo💥💥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @sinemazamusasa3428
    @sinemazamusasa3428 20 дней назад +1

    Ox BELOX naipata Dear Msomi from Australia, Haki sasa vijanaaa (Nacha, Stamina, Mkwawa) hamjawahi niangusha kwenye kazi zenyu.

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  20 дней назад +3

    MAPAMBANO YANAANZA MORNING SISI HATUNA MORNING SPEECH

  • @user-iz8mq6os3k
    @user-iz8mq6os3k 14 дней назад

    Dear hip hop ya wakenya ata muungane wasanii 50 Nacha tu hamumwezi na sijamtaja Stamina bado❤❤❤❤much love from Kenya 🔥🔥🔥💯💯💯🇰🇪

  • @Stanhatari
    @Stanhatari 16 дней назад +1

    Stamina ft nacha hawajawahi Ku fell🔥🔥

  • @brighterdays254technologie3
    @brighterdays254technologie3 4 дня назад

    mungetuwekea kick na snare bana this is sooooo deeeeeeep🔥🔥🔥🔥

  • @iradukundabodin2245
    @iradukundabodin2245 21 день назад +3

    Mashaili ya mana Ila katika production (beat)wameiga kidogo ngoma ya lafouine inaitwa tous les même kama nawey umegundua hio lpiga like nione

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 26 дней назад +4

    Itakuwa hatar sana hiyo ngoma bila shaka, maana nacha haujawah kukosea

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @user-cx7io8yf4e
    @user-cx7io8yf4e 21 день назад +3

    Wanangu Mmetisha sna bonge la ngoma ❤❤❤asanteni

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 21 день назад +15

    Kazi nzuri mabrother naamini itaenda sokoni ni kubwa sana

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link 🙏🙏

    • @Ashibutz
      @Ashibutz 21 день назад

      Asante kwa ❤️ bro

    • @marwamakima164
      @marwamakima164 20 дней назад

      kwani hujui watanzania wanataka komasava 😂🙌 ila hizi ngoma za akina stamina ni zawachache mzee

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  17 дней назад +3

    DEAR MSOMI SIO SABABU UKO SHULE UKAVIMBA KICHWA…KUNA ALIEKUZIDI AKILI YUKO BUSH ANALIMA MCHICHA

    • @b3falampendwa758
      @b3falampendwa758 9 дней назад +1

      Hallo Nacha, have looked for your m-pesa number for so long .Your lyrics are very precious to Kenyatta mother country... I wannah reward you bretheren. Playing and sharing your music isn't enough .Thank you.

  • @ElishaMolla
    @ElishaMolla 18 дней назад +1

    Nakubali sana kaka mkuu wangu kazi yako naipenda ❤❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @user-tm8eu7db5x
    @user-tm8eu7db5x 17 дней назад +2

    ADAM MMHAMEDI Nasha ajuabana 🎙️ 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 rwanda nyimboyikomtaani

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma Месяц назад +1

    Hivi vichwa vilivyo husika hapa naona 🔥🔥🔥🔥🔥 utawaka❤🎉

  • @sangagospel9284
    @sangagospel9284 21 день назад +2

    #SMGFamily4life #mrtrending once again 🎉🔥🔥🔥

  • @user-fm6rn6gs6n
    @user-fm6rn6gs6n 21 день назад +1

    Mkwawa ndio John Legend wa Bongo sasa hivi.Na sijui kwa nini mpaka sasa wanahiphop mahiri kama Nacha na Stamina wanakuwa underrated licha ya kuwa na uwezo mkubwa.Tatizo ni kuwa media nyingi na promoters wengi wako kimaslahi zaidi ya kuimarisha mziki mzuri ndio maana utaona wasanii kama Nacha na Stamina wanajaribu kusend message lakini nafasi yao ya kutoka zaidi ya uwezo wao ni finyu.Ila big up kwa ngoma kali sana.One day yes!

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @edsonmalcel4478
    @edsonmalcel4478 21 день назад +2

    Stamina hatr, all in all ngoma kalii San Ni really life

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @SteveTegemea-fj6de
    @SteveTegemea-fj6de 19 дней назад +1

    KAZI nzuri Sana..... Kila mmoja Katendea Haki...Ila Stamina Bhana...... Mtoto ndevu,Mkubwa ndevu Watu wamesoma Ila elimu haiwasave,,Mtu Ana degree ya Ufugaji ilà Anaishia kufuga ndevu............

  • @user-tg9hy6rz5b
    @user-tg9hy6rz5b 27 дней назад +2

    stamina you are the king of hip hop umetisha

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 21 день назад +3

    Wakenya mnaopenda nacha na stamina nipeni likes..mkwawa kaua sana kwenye chorus

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @adinasii
    @adinasii 21 день назад +1

    Nyasubi ndani ya mbanyuu 🎉 hii content sana , pia mashbik nawaomba mpita na kwangu nina ngoma na stamina ,asantenii

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 20 дней назад

    Stamina kwenye kuelezea uhalisiaa huwaa ni hatarii mnooooo❤❤❤🎉

  • @user-lp4nt4dx1m
    @user-lp4nt4dx1m 11 дней назад +1

    Like kwa mkwaw katisa namna alivyoanza, ila stimina we ni mtu nusu ukishilikishwa ujawai kupoa...nacha umeweka vichwa

  • @fizo_tz
    @fizo_tz 21 день назад +2

    Nyasubi ndan ya mbayu bby 🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @TRUSTNOONE75
    @TRUSTNOONE75 21 день назад

    yaani mwisho leo nimekukumbuka broo Nacha❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @vboymsafii8931
    @vboymsafii8931 2 дня назад

    Nyimbo za kukomboa wasomi
    Wa kinjikitile ngwale na maji maji war.

  • @YohanaTanika-ff2vf
    @YohanaTanika-ff2vf 21 день назад +1

    Wasomi wote tukutane uko next level 😂😂😂😂😂😂💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  21 день назад +4

    MAFANIKIO NA ELIMU HAVIHUSIANI/
    UNAJIKUTA DALALI NA ULISOMEA URUBANI

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 21 день назад +1

    Daah, STAMINA konyo sana wewe respect 🎉🎉🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @WINNER_BITE
    @WINNER_BITE 25 дней назад +2

    Ousam🙌🙌🙌

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @ebenezersumari5408
    @ebenezersumari5408 21 день назад +1

    Noma Sana 2024 levels 🙌🙌

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  19 дней назад +1

    HISABATI HAZIFANYI UMILIKI KIWANJA UMILIKI BODABODA WATOTO NA NYUMBA YA KUPANGA DEAR MSOMI

  • @KenifamilyTV
    @KenifamilyTV 21 день назад +1

    Hii ndo Hip-hop. Hawa ndowanao tukunakichwa hapa bongo, Wabunifu Sana ❤❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @GiftyGifty-ev2hd
    @GiftyGifty-ev2hd 21 день назад +1

    Penda sana huu wimbo❤️❤️

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa 20 дней назад

    Maimuna havui kwa kipeuo cha pili
    Dada Tekla kasoma chuo cha uvuvi lakini anavuliwa yeye samaki samaki na wavuvi.
    Hizi punch line ni 🔥🔥🔥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @lyricssong1563
    @lyricssong1563 21 день назад

    Mwanangu sana!!; huna baya umetuona asee sema nini Mwanang Nacha unajua asee nipe Maua yangu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @AlmasiIssa-kr2wc
    @AlmasiIssa-kr2wc Месяц назад +4

    Achia jiweee

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 21 день назад +1

    Bonge la ngoma. Ila mwana wa chorus kaua sana ❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @EmmanuelMinja-fv8ch
    @EmmanuelMinja-fv8ch 21 день назад +5

    Kama umelikubali Hili goma gonga like apa❤

  • @bigbossnkuba8632
    @bigbossnkuba8632 21 день назад +1

    NyasubiNdaniYaMbanyuu🏆

  • @user-xi2lh7by8c
    @user-xi2lh7by8c 21 день назад

    Huyu jamaa namu kubali Sana walai,I wish ninge kua na uwezo aki ninge fanya Jambo kwake but Acha tumu support kwa saana walai

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @perfectjbo913
    @perfectjbo913 21 день назад +2

    Bonge la Wimbooooooooooooo❤❤❤❤❤❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @SebastianLushas-ii4ob
    @SebastianLushas-ii4ob 21 день назад +1

    Maneno hayana nguvu hela ndo inayoshika akili.
    Akili kubwa sana kaka Nyasubi ndani ya mbanyu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @Abuu-sy3ez
    @Abuu-sy3ez 21 день назад +1

    Nacha ukifa utaachaa alama ndani ya nchi hiii❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @mussapondamalibusanda6478
    @mussapondamalibusanda6478 21 день назад +1

    Kazi nzr home boy utafka mbaaaale

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @P-blackAlbino
    @P-blackAlbino 21 день назад

    Nacha Nacha Nacha Hajawahi Nikosea
    Likes zangu toka Congo✅🙏🙏

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @mirajryder4216
    @mirajryder4216 21 день назад +1

    Nacha ousam, we mtu mnoma sana, una idea nyingi sana mzee

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @adamukitwanga3024
    @adamukitwanga3024 21 день назад +2

    kazuri nzuri.. kufaulu shule sio kufaulu maisha.... nakubali

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  20 дней назад +2

    WASOMI WENGI WAKO BENCHI WANASUGUA

  • @pingumagongo1997
    @pingumagongo1997 21 день назад

    Dear msomi sio eti uko shule ukavimba kichwa Kuna mtu alie kuzidi akili Ako bushi analima mchicha 🥺💔#nyasubi ndani ya mbanyu#Shorobwenze on this one

  • @vanewaneiband3322
    @vanewaneiband3322 21 день назад +1

    Nacha binafsi nafrahishwa sana na uimbaji wako hususani nyimbo kama hizi ..nataman uwe unasikika mara zote ukiimba na ukitoa nyimbo mpya

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @AlhajiAlfani-bj7gz
    @AlhajiAlfani-bj7gz 15 дней назад

    Big up sana broz Nacha, Stamina & Mkwawa 🔥🔥🔥

  • @tinmkatoliki2374
    @tinmkatoliki2374 21 день назад +2

    Goma kali sana , nyanda wa NYASUBI

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @user-yn3fm5ps5v
    @user-yn3fm5ps5v 21 день назад +1

    Umesomea ufugaji Cha ajabu utaixhia kufuga ndevu. Stamina sholobwenz

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @MusaLongi
    @MusaLongi 21 день назад +1

    Dah chuo noma😀😀😀 Nina experience

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 21 день назад +1

    Daah hiii ngoma imetulenga wanachuo

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9sv 15 дней назад +1

    Nyasubi ndani ya nyumba

  • @ArcSonda
    @ArcSonda 21 день назад +1

    fanya iwe ndegu piga remix wa Wana wengi kama (warm up).
    KAZI nzuri

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @adambujiku3361
    @adambujiku3361 21 день назад +1

    Home boy mmetishaaaa knoumaaaa✍️✍️✍️✌️✌️

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @emanuelfitani3042
    @emanuelfitani3042 21 день назад +1

    Brothers nakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @Man_Freja
    @Man_Freja 22 дня назад +3

    Tuko pamoja mwanakwetu🔥🔥🔥

  • @makilimsimu2451
    @makilimsimu2451 20 дней назад

    Dear msomi huu wimbo aise wizara ya ELIMU Tafadhali msifanye kama hamjasikia tufudisheni stadi za kazi masomo mengi ajira chache hatuwezi kufika kwa wakati

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @Msamiart
    @Msamiart 20 дней назад

    Ughwe umenyeee🙌🏽🙌🏽

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  20 дней назад

      Please Watch & share DEAR MSOMI

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  21 день назад +3

    NA MAIMUNA HAVUI KWA KIPEUO CHA PILI

  • @levamutia6321
    @levamutia6321 21 день назад +2

    Kazi safi! 🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад +1

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 18 дней назад +1

    Dear Msomi, maalum kwa watoto wa vyuo wajue sio kusoma chuo ni kufanikiwa

  • @spiaemason5490
    @spiaemason5490 18 дней назад +2

    Ndani ya mbanyu🔥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @bedastusmichael7811
    @bedastusmichael7811 21 день назад +1

    Imeisha hyooo🎉🎉

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @johanesgeorge1958
    @johanesgeorge1958 21 день назад +1

    Dear wasomi ,, tuishi na huo muwaa

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm 27 дней назад +1

    Toa umekaa sana brooo

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 18 дней назад +2

    Much respect 🔥🔥

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @abuusalim2898
    @abuusalim2898 21 день назад +1

    Nachaa 📌maimuna havuliwi kwa kipeo Cha 2

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @TRAPPERMUSICKE
    @TRAPPERMUSICKE 18 дней назад +4

    Wapi like za stamina...❤❤❤❤

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  17 дней назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI now available in all digital platforms

  • @Crizostom
    @Crizostom 21 день назад +1

    Lazima tusogee top ten trending

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @wengetvog
    @wengetvog 21 день назад +2

    Nyasuniiii home boy

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  21 день назад

      Please Watch & Share DEAR MSOMI link
      #NyasubiNdaniYaMbanyu

  • @PhiniasMarakanyi
    @PhiniasMarakanyi 7 дней назад +1

    Umezisema ndevu zangu ngoja nikazitoe