ww dada ulie nunuliwa bia baa na una mpango wa kumkimbia alie kununulia weka mikono juu ww ulie kopa mkopo benk na aujui utaulipa vp weka mikono juu wale ndugu zangu wanao kaa kwenye za kupanga na mda wa kulipa umefka na auna ktu wema mikono juu🙌🙌🙌🙌🙌🙌 nay senge sana dadek mtoto mdogo ana bonge la tako😂😂😂😂😂
Katika nyimbo za ney zooote..nyimbo hii kapoteza....haina ladha wala mistari....Ney hii umepotea...Embu turushe kama ulivyo tusuuza nyoyo na makuzi...kicky na kadhakika
Maitham hassan mohamed Mohamed Walioufungia ni malaya ndo maana wanamalizia maneno yao mabaya. Yaan wanashindwa kuweka mkungu wa ndizi wanaweka mkundu wa ndizi hata maana inakosekana.... 😂 😂 😂 😂 😂 😂
mr ney the dragon❤❤🎉🎉 bonge la ngoma
Nay you killed it in this song .....mob love from Kenya #mombasa#
Siku zote hakunaga kama Ney the true boy chapaaaaa wape uponyaji FREE NATION
Nay bwana ..!! Mwenzako karibu nifunge macho nikisubiri maombi
Nakukubali sanaaa Mr ney upo vzr sanaaaaaaaa
Nyimbo za nay zinakuanga balaa...big up bro much respect from +254
big up Mr nay nakukubali
sana Mr nay bonge LA nyimbo uko vizuri
Naitwa nani baba yaga bingwa la kuvaa midabwada......tisha sana nay #free_nation
😀😀😀 Nay bhana big up Bro bonge la ngoma
Safi sana ney nakubali kaz zako
Mzee BABA Nay hapa umeua video ni kalii mno saluti kwako Mr Nay
nay we n fire yani tena juu hyo nyimbo nimeilelewa sana embe....
Et hapendi kunyonya embe anapenda kunyonyaaa,,,,, wewe #Ney #mungu anakuona ujue 😁😁😁😉😉😉😉😉
Nouma sana Idea ya video kalii pia jamaa kaShine kwenye sana one luv mzee huu muziki unaitwa muziki muzur #Good_music_for_life
mnyamaaaa nay wa mitego
Nakubali Sana
mkubwa Wao
Wape neno walipoke......All the way from Qatar state representing Bongo
Mr ney true boy komando mwenye haseh harifu goma kali mikono juu🙆
ww dada ulie nunuliwa bia baa na una mpango wa kumkimbia alie kununulia weka mikono juu
ww ulie kopa mkopo benk na aujui utaulipa vp weka mikono juu
wale ndugu zangu wanao kaa kwenye za kupanga na mda wa kulipa umefka na auna ktu wema mikono juu🙌🙌🙌🙌🙌🙌
nay senge sana dadek
mtoto mdogo ana bonge la tako😂😂😂😂😂
Nakuli. Baba yanga
Katika nyimbo za ney zooote..nyimbo hii kapoteza....haina ladha wala mistari....Ney hii umepotea...Embu turushe kama ulivyo tusuuza nyoyo na makuzi...kicky na kadhakika
Kaka kazi nzuri sana nakuelewa sana
daaaaa..... ila Bro Ney wa mitego we nomaa
Nakubali sana ney
sana true boy kama unampango wa kumpinga mr true boy bc wekamikonojuu
kisha miuno kdg
nyimbo mbovuuuuuuuuuuuuuu....video ndio kabsaaaaaaaa
Moto sana
I don't know why you're like this song but it's so cool
director nicklass gud job
Nipo uku kuzimu hii ngoma ndo wimbo wetu wa taifa
Kushoto kulia kaka duuh miuno kidogo💪❤
Half cast la kinyaki .....Tanzania is not ready for you
Yinbo za Nay wa mitego uku ulaya tunazisikia sanaa atamimi apa mshabiki mkubwa wa Nay True boy nakukubali sanaa bro djo marekani upige show brother
Ngoma kali video kali nadhan Zilla alikengeuka kidogoo...Ila saiz atakuwa anaweka MikooJuu kidogo
Good Directing umetisha nipeni lik hapa mnao saport hili
Hhahahha!!!! Did you hear that!!! "Mtoto Mdogo Bonge la Mkungu wa....NDIZI".BiG LOVE, Listening from Nairobi, Kenya.
nzur sana
Umetisha. Mshamba hawezi kuelewa
Mtoto Mdogo ana Bonge LA mku....... Wa ndizi,, hahahahahahaaaa True boy bhna
The best rapper ever in Tanzania
baba yaga hujawai tuangusha watyu wakooo fireee
Mr 966 nakukubar kinoma
Mzee Baba kutoboa Kimataifa sio leo Nyimbo zKo z kawaid alf za Matusi
Salute bro..
#Tausi kanichekesha mpaka basi... #TrueBoy
#MOFAYAAA
Ila hiii ngoma ni kali
Kweli @asha ally# nakubaliana na ww
Sikuizi sinyonyi embe napenda kunyonya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mtoto mdogo ana mku........wa ndizi hahahahahaha u me happy the true boy
Hatunaga kazi mbovuuuu#mrNay
hatariiiiiiiii
hiiii ngoma ni fireeeee the true boy
Ngoma kali! washamba wakaifungia
Mr. Nay daaah ww noma mtuwang
Sijajua kilichosababisha huu wimbo ufungiwe
Kalisana
video sio ya kitoto 🔥🔥🔥
Millard ayo dah kwel mkuu njaa aina bausa
Millard ayo kweli mzeee baba
Millard ayo
Millard ayo brow respect kwako I wish to be like u
KAZI nzuri Sana true boy
True boy forever
Ngoma Kali sana naikubali noma sana
Binge LA Ngoma kama unakubali muziki mzuri gong like yako hapa
Mzee baba naikubali hio.... game limeanZa kuuma Mr yaga anakat kiuno hyo
mbayaaaa nimemaliza mb zangu bule
kufungiafungia kila ngoma ni kuuwa muziki wa bongo flaver maana wasanii wengi hutumia tafsida
asante nay bonge la kibao ongera sana
ha ha haaaaaa saw ney nyakyusa product.........
Eti wimboo umefungiwa nashangaa mm wanasemaa hauko kwenye maadili vip jmaan naombaa mnaofahamu mtuelekezee
Maitham hassan mohamed Mohamed
Walioufungia ni malaya ndo maana wanamalizia maneno yao mabaya. Yaan wanashindwa kuweka mkungu wa ndizi wanaweka mkundu wa ndizi hata maana inakosekana.... 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nmekuja kuona hicho kiuno nmeskia mtaa wa pili umetisha trueboy
Huyu jamaa anajituma sana,kama unakubali like it
pamoja san mzee baba nakuelewa san ndugu
Kiboko ya mabishow, Kula wao
Fireeeeeee.... hahaha I still haven't got enough of this video... true definition of creativity.
Big up #TrueBoy
Aaaah weeeeh! Nay wanikosea bwana. Yani huu wimbo naugundua leo hii 30/10/2022 miaka minne ishapita? Hapana. Kazi safi. Mombasa🇰🇪
kazi ya kawaida sanaaaaaaa
nyimbo mbovu mbayaaaaaa
Kumbe haki kufungiwa ndio! Kwanza naskiza leo km sio basata ningeona unaonewa Tu.
Niko hapa napenda Sana ngoma Za ney
nimekubali ngoma Mr nau
Nakukubali Sana Kaka
mbaba umetisha kwa nyimbo hizoo......
Nakukubali sana kaka. Endelea kutukimbiza tupo nyuma yako kaka
mtoto Mdogo unabonge la.......
...
U kill it
amazing like it
classic track big up my artist nay free nation! 966
wanafungia fungia nymbo hawajui azabu wanazopata wasanii
We ndo kamaandaaa
kidogooooooo!!!!!!!!
yooooooh boy..mr.true boy
Salute mzee baba
Ney nakuelewa sanaaaa
Aya sasa wadada mlio kunywa bia za watu mskimbie
Broo unajua hamna pingamiz Gonga like kama unakubaliana nami
Alie muona diamond mikono juu
Killing huu mzigo ni nyoko
TRUE BOY NAY WA MITEGO FRE NATION kiboko Chao gonga like chini kwa sapoti ya True boy naona ka fungua koki Sasa
true boy niboya tuu amna lolote anakwambia uwezi kwenda mbinguni bila yeye kwani yy amekuwa nani
Rashidi MOSHI mwambie babaako
Elongo Lusambya shidaa ney
nawe unasifia matusi kweli waliwao hauna naziiiiiiiiiiiiiiiiii
Wimbo mpya wa richimavoco
Voice of WaMiTeGo **Fire 🔥 🔥 **
ayaa hatariiiii
nakukubari Sana ney wamitego kiukweli
Hapo kwenye miuno jmn
Nice song also we need makuzi song bac to RUclips