Msamaha kwa Allah ingetosha na kujutia. Hili kosa amekosewa Allah. Mume hawezi kuiondosha amri aloiweka Allah.Ni kosa kubwa sana kuyasema matendo machafu uliyoyatenda au ya mwenziwe ila kwa ushuhuda unapohitajika kwa njia za kisheria (kadhi). Twaweza kukosa msamaha wa Allah kwa kuyafichua maovu aloyastiri Allah. Wallah aalam
Hakuna haja ya kudhihirisha rambi ambayo allaah ameisitr Huyo mwanamke alitakiwa amuombe mola wk msamh bs haikuwa na hj ya kufichua Siri yk na kama alitubia kiukweli bs allaah anamsamehe bl ya ht kumuambia mumw wk
Msamaha kwa Allah ingetosha na kujutia. Hili kosa amekosewa Allah. Mume hawezi kuiondosha amri aloiweka Allah.Ni kosa kubwa sana kuyasema matendo machafu uliyoyatenda au ya mwenziwe ila kwa ushuhuda unapohitajika kwa njia za kisheria (kadhi).
Twaweza kukosa msamaha wa Allah kwa kuyafichua maovu aloyastiri Allah. Wallah aalam
Subhana ALLAH. Allah Atuhifadhi Ya Rabb. Allahumma Amiin
Allah amsameha na amrehemu amiin
Shukran sheikh.jazzakh Allahu
Ma Sha Allah mume mzuri. Allah ampe kila la kheri.
ALLAHU AKBAR...
Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu shukran shekhe
Hakuna haja ya kudhihirisha rambi ambayo allaah ameisitr
Huyo mwanamke alitakiwa amuombe mola wk msamh bs haikuwa na hj ya kufichua Siri yk na kama alitubia kiukweli bs allaah anamsamehe bl ya ht kumuambia mumw wk
Swali Shekhe kama ww unaweza kusema??
😔😔😔