Je, ushatumia tiba za asili?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 сен 2021
  • Tiba ya asili imeendelea kuwasaidia walio wengi nchini Tanzania ambapo Shirika la Afya Duniani WHO linakadiria kuwa zaidi ya asilimia themanini ya watu katika mataifa yanayoendelea wanatumia tiba asilia katika kukabiliana na maradhi ili kupata ahueni ya uponyaji.
    #bbcswahili #tanzania #afya

Комментарии • 65

  • @HassanMatin-eq6es
    @HassanMatin-eq6es 11 месяцев назад +1

    Hakika kabisa

  • @sweetbertkilian1069
    @sweetbertkilian1069 2 года назад +1

    Ukiona mtu ajatumia sawa za asili uyo ajazaliwa bara la africa, kwaiyo mimi siwezi lijibu ilo swali.

  • @ViolaViola-go5yg
    @ViolaViola-go5yg 2 месяца назад

    Mm nina sumbuliwa nahomoni ibaras nimetumiya daw nyingi lakin hakuna mafanikiyo

  • @samsonsaniu4899
    @samsonsaniu4899 10 месяцев назад +1

    Ndugu zangu nasumbuliwa na kichomi ubavu wa kushoto, sijui n ngiri, naweza kupata dawa?

  • @gladnessterry8430
    @gladnessterry8430 2 месяца назад +1

    Namba

  • @antoniamkini6845
    @antoniamkini6845 5 месяцев назад +1

    Mnappatika wapi

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 8 месяцев назад +1

    Bona hamjaweka namba zenu

  • @user-ws9eo7rz3s
    @user-ws9eo7rz3s 2 месяца назад

    Mhhh, na daw ya ukimwi je

  • @user-wy8wt5dg1r
    @user-wy8wt5dg1r 5 месяцев назад +1

    Unapatikana wapi

  • @beatricealberth1115
    @beatricealberth1115 Год назад +3

    Nawapataje niweze kuchukua dawa

  • @abbybedebx864
    @abbybedebx864 9 месяцев назад

    mm hapa naitaji dawa nitapata aje

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 3 месяца назад

    Mheshimiwa mfuko wa taifa wa bima ya afya itumike kwenye tiba ya asli

  • @NadramboweNaah
    @NadramboweNaah Месяц назад

    Mbona hamjatoa mawasiliano wala hamjibu ujumbe tujue mpo wapi

  • @mangimtatamateru8826
    @mangimtatamateru8826 2 года назад

    Iyo yote tumshukuru mwalimu nyerere na magofuli mku wa haki za wanyonge

  • @AgnessMaiko
    @AgnessMaiko Месяц назад

    Mko wapi

  • @AgnessMaiko
    @AgnessMaiko Месяц назад

    Nawapetaje jamani nasumbuliwa na p i d na u t i sugu kwa muda sasa mko wapi

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 2 года назад +10

    Ndugu zangu,Mimi niliugua vidonda vya tumbo miaka miaka karibia 18 lakini dawa za wazungu hazikunisadia kabisa ,Omeprazole nilikunywa nyingi Sana,lakini nilimpata mzee mmoja wa gairo huko akanipa dawa ya asili nilipona ndani ya miezi mitatu.watanzania wenzangu msidharau dawa zetu za asili.

  • @user-nw9xt7qz4z
    @user-nw9xt7qz4z 5 месяцев назад

    Minasumbuliwa napuresha yakupanda nitapataje dawa

  • @user-sg4bd5fl8e
    @user-sg4bd5fl8e 9 месяцев назад

    Naitaji Dawa ya Pid maana inanisumbua Kwa muda mrefu Sana please nakuomb

  • @careen-ug4su
    @careen-ug4su 11 месяцев назад

    Mawsiliano yenu mbona hamjaweka

  • @barakafredy7726
    @barakafredy7726 Год назад

    Wakowapi hawa

  • @georgenjeri8547
    @georgenjeri8547 4 месяца назад

    Ukisumbuliwa Na Maradhi Ya Kiroho Na Ya Kutupiwa,Mambo Ni Matatu Maombi!Maombi! Maombi!Ama Nenda Kwa Mabingwa Wa Tiba Za Jadi.Ukisumbuliwa Na Maradhi Ya Mwili,Nenda Kwa Mabingwa Wa Tiba Asili Na Miti ShambaNimemaliza😅😅

  • @jessicamugure5092
    @jessicamugure5092 Год назад

    Mna dawa ya ukimwi

  • @user-yl8od9zq9q
    @user-yl8od9zq9q 4 месяца назад +1

    Jaman mnaoumwa upande WA kulia tumboni pemben na kushoto maumivu ya mgongo mpk miguu nenden hospital mkapige ultrosound na vipimo vngin mama angu kapima Leo kakutwa n uvimbe kweny Figo roho inanium mno sijui hta inatibikaje

  • @danwayne786
    @danwayne786 2 года назад

    HiZi Dawa za faa kifanyiwa uchunguzi wa kisayansi na kurodheshwa kwa vikundi tofauti na pia vitabu kuchapishwa ili kiwasaidia wateja. Hivi watu hawata tapeliwa manake wizara husika utakua imesha zikagua kwa kimakini.

    • @abelbusumba6633
      @abelbusumba6633 Год назад

      Wizara hawawezi kagua dawa ambazo hawajaigundua. Hayo ni maajabu

  • @user-cn4jc5bg4n
    @user-cn4jc5bg4n 8 месяцев назад

    Anaesumbuliwa na pid dawa ni ndogo sana

  • @azizasenga-xu2ww
    @azizasenga-xu2ww 6 месяцев назад

    Mi nasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi

  • @careen-ug4su
    @careen-ug4su 11 месяцев назад

    Mi nilikuwa nahitaji dawa yakuuwa paid mnanisaidiaje

  • @AgnessMaiko
    @AgnessMaiko Месяц назад

    Mko wapi

  • @KhumaissaPeace
    @KhumaissaPeace Месяц назад

    Unapatikana wapi