Je, ushatumia tiba za asili?
HTML-код
- Опубликовано: 21 сен 2021
- Tiba ya asili imeendelea kuwasaidia walio wengi nchini Tanzania ambapo Shirika la Afya Duniani WHO linakadiria kuwa zaidi ya asilimia themanini ya watu katika mataifa yanayoendelea wanatumia tiba asilia katika kukabiliana na maradhi ili kupata ahueni ya uponyaji.
#bbcswahili #tanzania #afya
Hakika kabisa
Ukiona mtu ajatumia sawa za asili uyo ajazaliwa bara la africa, kwaiyo mimi siwezi lijibu ilo swali.
Mm nina sumbuliwa nahomoni ibaras nimetumiya daw nyingi lakin hakuna mafanikiyo
Ndugu zangu nasumbuliwa na kichomi ubavu wa kushoto, sijui n ngiri, naweza kupata dawa?
Namba
Mnappatika wapi
Bona hamjaweka namba zenu
Mhhh, na daw ya ukimwi je
Unapatikana wapi
Nawapataje niweze kuchukua dawa
Namba zenu
mm hapa naitaji dawa nitapata aje
Mheshimiwa mfuko wa taifa wa bima ya afya itumike kwenye tiba ya asli
Mbona hamjatoa mawasiliano wala hamjibu ujumbe tujue mpo wapi
Iyo yote tumshukuru mwalimu nyerere na magofuli mku wa haki za wanyonge
Mko wapi
Nawapetaje jamani nasumbuliwa na p i d na u t i sugu kwa muda sasa mko wapi
Ndugu zangu,Mimi niliugua vidonda vya tumbo miaka miaka karibia 18 lakini dawa za wazungu hazikunisadia kabisa ,Omeprazole nilikunywa nyingi Sana,lakini nilimpata mzee mmoja wa gairo huko akanipa dawa ya asili nilipona ndani ya miezi mitatu.watanzania wenzangu msidharau dawa zetu za asili.
Unaweza kuniunga na huyo mzee mr. Alphonce ?
Ata ukitaka kupona ukimwi utapona tu nimeona watu wamepona na dawa za asili
Mashallah vizuri naweza pata yake
@@zeinababdulla8137 yap
@@jumachengo2677 athma na madonda anatibj?
Minasumbuliwa napuresha yakupanda nitapataje dawa
Naitaji Dawa ya Pid maana inanisumbua Kwa muda mrefu Sana please nakuomb
Njoo Kuna sawa ilinisaidia
Na me nahitaji ya pid
Mawsiliano yenu mbona hamjaweka
Wakowapi hawa
Ukisumbuliwa Na Maradhi Ya Kiroho Na Ya Kutupiwa,Mambo Ni Matatu Maombi!Maombi! Maombi!Ama Nenda Kwa Mabingwa Wa Tiba Za Jadi.Ukisumbuliwa Na Maradhi Ya Mwili,Nenda Kwa Mabingwa Wa Tiba Asili Na Miti ShambaNimemaliza😅😅
Mna dawa ya ukimwi
Ikowapijesska
Jaman mnaoumwa upande WA kulia tumboni pemben na kushoto maumivu ya mgongo mpk miguu nenden hospital mkapige ultrosound na vipimo vngin mama angu kapima Leo kakutwa n uvimbe kweny Figo roho inanium mno sijui hta inatibikaje
Pole dear
HiZi Dawa za faa kifanyiwa uchunguzi wa kisayansi na kurodheshwa kwa vikundi tofauti na pia vitabu kuchapishwa ili kiwasaidia wateja. Hivi watu hawata tapeliwa manake wizara husika utakua imesha zikagua kwa kimakini.
Wizara hawawezi kagua dawa ambazo hawajaigundua. Hayo ni maajabu
Anaesumbuliwa na pid dawa ni ndogo sana
Mm nsaidie
Daw nn
Tuambie bs mama
Ninashida na dawa nitaipataje?
Hello
Mi nasumbuliwa na uvimbe kwenye kizazi
Mi nilikuwa nahitaji dawa yakuuwa paid mnanisaidiaje
Mko wapi
Unapatikana wapi