USHUHUDA WA ALIYEKUWA SHEHE - OMARY MNYESHANI 2/4 - bonyeza SUBSCRIBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 ноя 2016
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of one of the Largest Churches in East Africa. He is also the ArchBishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God has been using him to raise the dead, heal the sick and performing signs and wonders in the name of Jesus.

Комментарии • 30

  • @catherinealcy9176
    @catherinealcy9176 7 лет назад +18

    Dah hii dunia hatari sana.
    Hata hamu ya kuishi amna kabisa.
    Lamuhimu tu nikua na YESU

  • @reginarhina6837
    @reginarhina6837 7 лет назад +15

    Yesu nisaide kuya shinda majaribu. Jesus help me to stand up in my life and give me faith to stand up in you Lord. my life is in you Lord. wachawi wote wapigwa.

    • @zamzamsaidi8762
      @zamzamsaidi8762 7 лет назад

      Regi
      kafiri wewe mchawi Ni wewe mwana haramu usicheze na wislam wewe ulizaliwa kafir Wala hujawa muislam hata sekunde mungu akuangamize ibilisi wee

    • @ambelemwaitebele510
      @ambelemwaitebele510 7 лет назад

      Regina Rhina munguaku baliki MTUMISHI wa mungu

  • @johnbosco2953
    @johnbosco2953 7 лет назад +35

    Inatupa ukomavu wa imani ya kikristo kwamba Yesu ni zaidi ya kila kitu.

  • @nswilayella3295
    @nswilayella3295 7 лет назад +11

    Naomba toa video nyingine bwana Omari mnyeshai unatuimalisha sana imani.Tena wengi wanapona

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822
    @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад +14

    Duuh kaka umri mdogo-lakin umetenda makubwa kuliko ukubwa wa dunia 'mungu atulinde sisi waja wake

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 7 лет назад +11

    WOKOVU NI KUPONA MENGI NIMEKUBALI

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +13

    Mambo yanayofanywa na waislamu sehemu kubwa hayampendezi Mungu,hasa kuuwa binadamu wenzao kama wafanyavyo ISLAMIC STATE,pia kuhusu majini na uchawi,ugandamizaji wa kijinsia na mengine

  • @sharondivine2797
    @sharondivine2797 7 лет назад +7

    hallelujah

  • @gitihadi1269
    @gitihadi1269 7 лет назад +10

    mumeshindwa na mihadhara sasa mumeona heri muzue yakuzua. Mungu atazidi kuwalni uislamu unang'ra dunia nzima na hio ni Shari kutoka kwa Allah mtapiga magita nakusema uongo hio ndio ibada yenu.

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 7 лет назад +3

    njoo kwenye mihadhara msijifiche njoni adharani

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад +5

      Fatuma Mwalimu Ajifiche anakuogopa wewe mchawi? sisi tumepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na inge"nguvu ya yesu iliyopo ndani yetu shetani mwenyewe anajua" watuwaogopi wachawi

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 лет назад +1

      +Binti hayati manyota,tena mimi sikua na kujibu wewe nilijibu huyo KAFIRI mwenzio mbona umeyaingilia? tena huna chakuongea ila matusi tu,kisha unajua vizuri kua hakuna mkamilifu!!!

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 7 лет назад +6

    wewe laana MUNGU anakuona na uongo huo

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 лет назад

      +Binti hayati manyota,we mkundu tena ukome shetani wewe huo ndio ushuhuda wako wakumfanya mtu kuacha uislam na kuingia kwenye ukafiri? laana tulwai wewe makafiri mtabaki kubuniwa ushuhuda wa uongo vile wenyewe ni vipofu,akili hamna yesu MUNGU,mara yesu mwana wa MUNGU,mara kafa msalaba kwa sababu ya kuokolewa dhambi,mwisho mlivyo akili nusu,mwasema kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe,niakili hizo?sasa mbona makafiri mnaongea kujificha?tokeni kwenye mihadhara,sisi atushindani na watu walio lipya ilikuchafua dini ya ALLAH,ila usitulazimishe kuingia kwenye ukafiri,tena koma na iwapo huto badilika,wallah nitakua shahidi mbele ya MUNGU

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад +7

      Fatuma Mwalimu"mama matus hayasaidii kitu!!kwa hiyo wewe unapenda wachawi???lait ungekuwa na akili mngemkamata ili ataje mtandao wa masheh wachawi'lkn ww matusi tu"mungu akulehem- na ubadilike

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 лет назад +1

      +Binti hayati manyota,kwanza wewe acha ujinga,uelewi dunia ni nini,wala huna ata elimu wakia,nilikwambia soma vitabu,kwanza hanza na hiyo bibilia yako,alafu nakushangaa sana wewe mtu!!!yani wewe hujaona waganga makafiri?wamejaa tu hebu tembea,tuache mbali yote ebu niambie,wakubwa wa freemason ni kina nani? freemason ni za wazungu,hivi kabla asilimu mzungu unamjua kama nani,kweli shetani alisema atakuja kupoteza watu na kazi anaifanya,pia unaniambia,mimi ni mchawi?Mimi nakushtakia ALLAH pekeyake ndie anajua atakacho kufanya,wewe siunasema yesu ndio kila kitu,mimi nasema (ALLAH)ndie kila kitu maana siwezi kubishana na wewe maana kumbe wewe unataka kukosana na mtu na sio kuhelimishana huja nishida ila nakuachia MUNGU nae acheze pati yake,maana kama ulivyo niambia mwanzo kua nashindana na wewe usiena akili basi huenda nikakose akili,na nimekuona unamapungufu mengi sana,kwa hiyo MUNGU anajua chenye atakufanya

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад +2

      Fatuma Mwalimu "Kwa hiyo wewe umekamilika''kweli chizi hajitambue"kwana achana na mimi nisije nikakosa mbingu kwa ajili ya wewe filauni usiye jitambua--kwana umenitukana ila mimi cpendi matus nikikutukana mimi hakika nakwambia fa2ma utalia""Basi nakuacha uendelee kubuluzwa na walimwengu"maana kichwa chako kinzito kama boga la masika"kwa her fa2ta tutaonana kuleeeee kiama ok mama

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 лет назад

      +Binti hayati manyota,mimi sija kamili na hakuna mkamilifu ila ALLAH pekeyake ndie alie kamilika,lakini hayo mapungufu yangu wewe umezidi,ehe hayo matusi ulionayo wewe ambayo yataniliza,nuyepi hayo! we kweli mwuhu hivi hiyo ndio helimu yakuwafanya watu waache uislam waingie kwenye ukafiri?hilo swali nimekuliza lakini huja jibu,unaona huyo KAFIRI mwenzio anae ubiri aliitwa kando na hao viongozi wenu wa ukafiri akafundishwa nivipi atachafua uislam,usifiki amerushiwa matusi,alafu angalia hizo comments zangu na zako nani alianza matusi,mimi sipendi mtu anitukane tena jiheshimu,mimi sina mahesabu ya kwenda mbinguni maana mbingu zitatoweka,kwahiyo mimi na yesu tutaenda peponiiiiiiii,je unalijua hilo?Mimi niliisoma bibilia vizuri sana tatizo ni wewe

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 7 лет назад +4

    AKASHA DAWA-DILL NA HUYU KAFIRI

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 лет назад

      +Binti hayati manyota,yani wewe ujielewi kabisa,hivi unajua shekh wewe,ama unaamini maneno ya kuambiwa,alafu yanakuingia lakini jeuri tu,yani ibilisi alkuvaa mpaka huna nafasi,zile video zengine zinakugusa? pia hutaki kunijibu kwenye video zile zengine,tena wale wachawi wa kanisani bado inaendelea acha kuna kipande chengine nikikipata nitakutumia ili uburudike,pia nitakupatia mtu akuchambulie hiyo bibilia yenu uone vile sio kitabu cha kuringiwa,niko mbali siko na bibilia karibu pia nataka upewe maandiko ukajisomee