Quran ni story book tuu dear hamna utukufu wowote humo yaani unachomewa ubani ndio usomewe 😢😢😢 Hawa wenzetu warudi kwa YESU KRISTO wapate ufahamu wa ukweli juu wamo kwa giza nene.
Je, ndg. Mnyeshani, wewe baada ya kuokoka wachawi mliokuwa nao awali wanakufuatilia hadi sasa? Na kama wanakufuatilia, je, wamewahi kufanya jaribio gani dhidi yako?
Kwa shetani kweli ni kazi ngumu,Yesu kristo naomba usiniaje Baba yangu
MUNGU akutakase Mara dufu shekhe Omary
Sio shehe uyo hahahahahaha katengeza str kuna vitu ukisikilza naww ujiambie str inaendelea kama move ya kibongo
God is great
Hakika Mungu ni mwema.
Jesus Jesus Protect Us Guide Us ooh Lord
Ulimwengu umejaa mambo ya kutisha,wapendwa tukaeni kwa Yesu na kuwaombea watoto wetu kila wakati
Simuizi nzuri sana na inamafunzo,kumbe kuna vyama vingi vya kichawi,tulifikiri ikiwa mtu ni mchawi basi wote wanafanya kazi moja ya kichawi.
Mungu tuokoe jamani haaaa wachaweee
kiazi.ngumu ya.shetani...they dont sleep.day.and.night.....wish many.Will get.freedom.in.Jesus
funzo nzuri na shehe anajua sio kusimulia tu bali nkufundisha abarikiwe sana anatutoa porini na kutuweka mjini,part 4 ije tu
Nimependa sana huu ushuhuda na ningemuona live ningemuuliza maswali mengi sana.
Mungu kamtowa huko kwa makusudi ili aweze kutowa siri za shetani
MUNGU anavopigana vita yake huwezifananisha, hii ni sawa na musa kukulia kwa farao
Ok.kumbe
Faith in a God needs to be firm.
Shetani kweli halali Yesu tuokoe
mimi swali Langu ni hii qruan nikitabu kutoka kwa MUNGU au,juu mm usikia ati unaweza somea mtu albadir akakuwa wazimu au akapooza ni kweli au?
Kama tu venye umeskia ata jini zinasoma quran, iyo iltoka kwa shetani mwenyewe
🙉🙉🙉ni ushetani mtupu
Quran ni story book tuu dear hamna utukufu wowote humo yaani unachomewa ubani ndio usomewe 😢😢😢 Hawa wenzetu warudi kwa YESU KRISTO wapate ufahamu wa ukweli juu wamo kwa giza nene.
Mwenye namba ya huyu mtumishi naomba anisaidie nimetafuta sioni kwenye posti zake
Mlijaribu walokole...
Huyu mtumishi anahudumu wapi
Je, ndg. Mnyeshani, wewe baada ya kuokoka wachawi mliokuwa nao awali wanakufuatilia hadi sasa? Na kama wanakufuatilia, je, wamewahi kufanya jaribio gani dhidi yako?
Weeeee nmechoka kuskia hizo story ya wachawi nataka nskize shuhuda ya yesu alikutoa vipi ama alikuokoa vipi ukatoka huko? Tumpe Mungu utukufu .
Ramy uwe na adabu kwa wakubwa, km umechoka ni wewe muache Sheikh aongee hatua kwa hatua na wote wenye shuhuda ukichoka lala.
Endelea kufuatilia simulizi
Sasa yule mnyama jaa yupo wapi mpaka Sasa?Au maombi yamemgeuza kuku?
😂😂😂
Huyu hakuwa shekh nyie wakristo huyu anawapiga pesa azid kuwapoteza nyie
Mmm kumbe ni wewe niwahi kukusikia mwanzo ubarikiww