USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part-3)~Shehe Omary Mnyeshani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tupo katika sehemu ya 3 ya ushuhuda wa aliyekuwa shehe,bado anaeleza mapito yake,tafadhali endelea kufatilia

Комментарии • 31

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +1

    Kwa shetani kweli ni kazi ngumu,Yesu kristo naomba usiniaje Baba yangu

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 года назад +3

    MUNGU akutakase Mara dufu shekhe Omary

    • @mussaabobakar7537
      @mussaabobakar7537 4 года назад

      Sio shehe uyo hahahahahaha katengeza str kuna vitu ukisikilza naww ujiambie str inaendelea kama move ya kibongo

  • @peninahkinya2385
    @peninahkinya2385 4 года назад +3

    God is great

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 года назад +2

    Hakika Mungu ni mwema.

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 4 года назад +2

    Jesus Jesus Protect Us Guide Us ooh Lord

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад +6

    Ulimwengu umejaa mambo ya kutisha,wapendwa tukaeni kwa Yesu na kuwaombea watoto wetu kila wakati

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +3

    Simuizi nzuri sana na inamafunzo,kumbe kuna vyama vingi vya kichawi,tulifikiri ikiwa mtu ni mchawi basi wote wanafanya kazi moja ya kichawi.

  • @eunicenjukia8829
    @eunicenjukia8829 4 года назад +7

    kiazi.ngumu ya.shetani...they dont sleep.day.and.night.....wish many.Will get.freedom.in.Jesus

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 4 года назад +1

    funzo nzuri na shehe anajua sio kusimulia tu bali nkufundisha abarikiwe sana anatutoa porini na kutuweka mjini,part 4 ije tu

    • @rehimajone7508
      @rehimajone7508 4 года назад +1

      Nimependa sana huu ushuhuda na ningemuona live ningemuuliza maswali mengi sana.
      Mungu kamtowa huko kwa makusudi ili aweze kutowa siri za shetani

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 10 месяцев назад +1

    MUNGU anavopigana vita yake huwezifananisha, hii ni sawa na musa kukulia kwa farao

  • @user-je3rf9vo9n
    @user-je3rf9vo9n 5 месяцев назад +1

    Ok.kumbe

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 года назад +1

    Faith in a God needs to be firm.

  • @navokisembo
    @navokisembo 4 года назад +3

    Shetani kweli halali Yesu tuokoe

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 4 года назад +3

    mimi swali Langu ni hii qruan nikitabu kutoka kwa MUNGU au,juu mm usikia ati unaweza somea mtu albadir akakuwa wazimu au akapooza ni kweli au?

    • @damarismbatia2029
      @damarismbatia2029 3 года назад

      Kama tu venye umeskia ata jini zinasoma quran, iyo iltoka kwa shetani mwenyewe

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      🙉🙉🙉ni ushetani mtupu

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 3 года назад

      Quran ni story book tuu dear hamna utukufu wowote humo yaani unachomewa ubani ndio usomewe 😢😢😢 Hawa wenzetu warudi kwa YESU KRISTO wapate ufahamu wa ukweli juu wamo kwa giza nene.

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 Год назад

    Mwenye namba ya huyu mtumishi naomba anisaidie nimetafuta sioni kwenye posti zake

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 года назад +1

    Mlijaribu walokole...

  • @salmamrisho3330
    @salmamrisho3330 3 месяца назад

    Huyu mtumishi anahudumu wapi

  • @tumainigeofrey9702
    @tumainigeofrey9702 4 года назад +2

    Je, ndg. Mnyeshani, wewe baada ya kuokoka wachawi mliokuwa nao awali wanakufuatilia hadi sasa? Na kama wanakufuatilia, je, wamewahi kufanya jaribio gani dhidi yako?

  • @ramyramy3455
    @ramyramy3455 4 года назад +1

    Weeeee nmechoka kuskia hizo story ya wachawi nataka nskize shuhuda ya yesu alikutoa vipi ama alikuokoa vipi ukatoka huko? Tumpe Mungu utukufu .

    • @fadhiljohn5325
      @fadhiljohn5325 4 года назад +1

      Ramy uwe na adabu kwa wakubwa, km umechoka ni wewe muache Sheikh aongee hatua kwa hatua na wote wenye shuhuda ukichoka lala.

    • @giftayubu3334
      @giftayubu3334 3 года назад +1

      Endelea kufuatilia simulizi

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 года назад +1

    Sasa yule mnyama jaa yupo wapi mpaka Sasa?Au maombi yamemgeuza kuku?

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 3 года назад

    Huyu hakuwa shekh nyie wakristo huyu anawapiga pesa azid kuwapoteza nyie

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 4 года назад +1

    Mmm kumbe ni wewe niwahi kukusikia mwanzo ubarikiww