USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 6)~Shehe Omary Mnyeshani
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Na hatimaye tumefika sehemu ya mwisho ya ushuhuda huu wa mkubwa asante kwa kufatilia,kwa maswali na majibu zaidi mtafte mtoa ushuhuda,namba yake ameitaja kwenye ushuhuda huu.
Shehe Omari, hakika wewe umeelewa maana ya imani ya Kristo.
Hukuwaangalia Waislamu, wala wanaojiita Wakristo Bali uliuangalia Wokovu na Ufalme wa Mbingu. Huu ndio tunao ita, hadhi ya Uwana wa Mungu.
Acheni Mungu aitwe Mungu. Yaani mnyama jaha hakuona jinsi jamaa atakapoenda kuokoka ili aepushe? Alitiwa upofu kama Herode alivyo fichwa kuzaliwa kwa YESU. Didn't see it coming.
Sovereign God. All time God
Nimejifunza mengi kutokakwako shekhe Omary!! Mungu azidi kukupanguvu yakusimama zaidi katika kumtumikia Mungu!!
Kuna somo kubwa la kujifunza wapendwa. Yesu aturehemu kwa upendo wake.
Nashukuru Mungu sana kwa kumuokowa mtumishi wake....mimi najuwa ukiyitwa na Yesu mwenyewe hawurudi nyuma , tena towa maco yako kwa walokole utapotea hawana upendo kabisa ,nami ni mlokole nimeitwa na Yesu mwenyewe , Yesu nimuzuri sana , ni rafiki mwema , watu niwatu awaminie alaaniwe .....barikiwa sana kaka yangu mupendwa nakupenda sana
Pole sana Shehe Omary kwa yote na pia Hongera kwa maamuzi sahihi. Jina la Bwana libarikiwe sana.
Wapendwa kusamehewa kupo.ondoleo la dhambi.kaka omary songa mbele hata yohana alipokuwa gerezan yesu hakwenda mshukuru Mungu amekuokoa shukuru Mungu hajatupa kuona mtu alivo ndani yesu anasema kwa namna hii wengine wanaweza kumkataa malaika.
Mungu Ni Mungu Tu. God Is Great. Mkristo ni mtu wa ajabu sana. POLE SANA SHEIKH OMAR.
Ô! Pole shehe Omari ... BABA MUNGU tu urumiye sisi walokole atuoneshe mapendo.. Tudjifunze ku unganishana mikono... Tutoke theory tuwe practical upendo...ndugu jacktan aksanti na kazi.... Nina shikiya raha sana yakuona mapendo ya MUNGU.. Gloire à DIEU
She OMARI, HONGERA KUACHA DHAMBI, NA MUMGU AKUPIGANIE SIKU HADI SIKU, TUKO NYUMA YAKO, HUJASEMA UKO MKOA GANI.
Wapendwa Wakristo mbona tunawadhulumu watu wanaokoka eti kwa sababu ya maisha yao ya zamani?! Hiyo ni kinyume sana na Yesu alivyotufunza kwenye Neno lake. Nimesikitika sana kusikia uliwachwa Shehe. Pole Sana lakini nashukuru Mwenyezi Mungu alikutetea. Halleluyah!! 😊
Mwili kusahau Na Akili ni Ngumu mno
Dàaaah pole Sana Shehe Omary, kumbe ulimpigia changamoto kubwa sana Sana. Lakini inawezekana kuna Jambo Mungu alitaka ujifunze jambo
Ulikuwa umelindwa na jeshi la mbinguni. Yesu ni ngome yetu
Ooh Jamani Pole sana ndugu..ila wewe ni jasiri sana na Mungu anajua wewe ni mtu wa aina gani ndio maana akakuokoa...ubarikiwe sana sana...
Pole sana, ulipitia mazito katika safari ya wokovu,Lakini Mungu kupitia Yesu Kristo azidi kukupa nguvu🙏🙏
Mtumishi anamengi ya kutufunza sisi wakristo nimengi Sana hatujui.kwa jina la YESU linanguvu..
Asante Sheikh Omary kwa ushuhuda mzuri sana,na umeweza kuelezea vizuri sana kwa ufasaha,umeeleweka vizuri sana.mungu azidi kukusimamia kwa kila jambo.
ametufikisha mahalina bahati nzuri nauwezo wa kufundisha neno abarikiwe
Pole sana Mtumishi wa Mungu nimefatilia mkasa wako kwa kweli umepitia mengi Ila Yesu wetu ni Mkuu amekushindia.
Kiukweli wanadamu tunavyomtazama mtu kwa nje si vile Mungu anavyomtazama mtu ama kweli wewe ni chombo cha Yesu nimejifunza mengi Mungu azidi kukutumia kuisema kweli yake nakumuaibisha shetani kuwa si kitu japo kuwa anateka fahamu za watulakini bado si kitu nampenda YESU maana anaweza yote nashukuru pia kwako j.m kwa kurusha hizi shuhuda na Mungu muumba mbingu na nchi aibariki kazi unayoifanya
Mungu atujalie wana wa Mungu maana hii dhambi ya kujihesabia haki imewakamata wengi, Mtu kama anasema anataka toba ni kumuongoza kama hamaanishi hiyo siyo kazi yangu, Mungu ndio atashughulika nae
Ushuhuda huu unatufanya tuzidi kumtumainiya Yesu kweli.
Mungu alitaka huyu mtumishi ajifunze kumtumainia Mungu tu,ili Mungu spare sifa.
Mungu anatenda miujiza kila siku
Hakika Yesu ni mwema, Kama Kuna mtu hajaokoka Yesu amguse ajue hii Nuru.
Asante yesu christ
Kwa kunipa uwokovu
Mwanyenzi mungu akutie nguvu
Wakristo/wapendwa jamani tuwe na umoja,ni aibu kubwa waislamu wanatuzidi sana kuhusu hilo na tunasahau kuwa Yesu aliomba juu ya umoja,ni aibu kuwa ukishaokoka wanakuacha ungali mchanga,ni aibu kuwa hata kuilinda imani pia hawailindi,wakristo ni waoga mpaka aibu...sababu sio wote wana imani sahihi wengi ni wafuasi tuu na mioyo yao ipo.mbali na Mungu
Nimesikitika sana😞
Shehe,,,hallelujah...mungu mwema.
Shehe watu wote hawakuwepo ktk kesizako lakini yesu alikuwa nawe lakini ni fundisho kwa wapendwa
Ulipitia magumu kweli lakini ashukuriwe Yesu aliyekuokoa. Kuhusu wapendwe inapaswa kubadilika sababu inaonyesha hawakuwa na imani thabiti ndo maana hawakuonyesha ushirikiano.
Wasamehe tu Yesu hajakuacha hata hivyo amekupigania,Wakristo tujifunze kitu jamani duuh!
Nimependa jinsi alivyo ifafanua Yesu !
Kwa hivyo yawezekana kula nyama ya binadamu ukifikiri ni nyama ya mbuzi. Yesu saidia eeish!!
Barikiwa kwa ushuhuda muzuri
Asante shehe Omar
Usisahau kuwa ulisoma kuzimu pia Yale madarasa 60 ya majini ulisha wahi kufika quuud au kuzimu miji ya majini nazani usisahau kuongeza ktk CV yako mkulu unatishà nakukubali sana
Asante
Asante kukamilisha ahadi
Ameen mungu akubariki sana
Amina mungu mkubwa
Mungu azid kukubaliki mtumishi wa bwana
barikiwa jackat ushuhuda unafungua sana huu
Ameen
Naomba simu ya shehe Omary.
We ni mmoja wa WATEULE walio ahidiwa kuziona MBINGU
Pia shetani alitaka kukupokonya wokovu ndio maana ulikuwa na Vita kotekote Songs mbele umjue YESU zaidi na zaidi
Ameni yaani we jembe la YESU VITU VYA DUNIANI VINAPITA TUNALINGA NAVYO KWA MDA MFUPI TUNAJIDANGANYA KWA MDA ILA TUKITUBU DHAMBI NA KUACHA KUNA FAIDA MILELE LAKINI KWA DHAMBI NI MOTONI MILELE
Pole sana kwayalio kukuta.
Mungu akubariki sana
Vita haiwezi kuwa ñdogo kutokana na ulikopitia ulikuwa unanolewa utoke Kama dhahabu wokovu kumkiri YESU KRISTO no Jambo la thamani kuliko kitu chochote maisha ya Sasa na yajayo duniani tuñapita
Amen
ushuhuda mkubwa sana.
hivi Jaha ni nani? yule mke wake aliishia wapi? hapo sikuelewa ama sijafuatilia vizuri. ahsante.
Ila wapendwaaa tunashida Sana MUNGU ATUSAMEHEE SIJUI SIKU YA MWISHO watasema nn juu ya huyu baba badala yakumfariji mnamtendea hivi jmn! Inauma Sana lkn naamini watazamaji tumejifunza vitu sanaa
Hofu
YESU NI MWAMBA,MOTO,ROHO MTAKATIFU NI SILAHA
Yesu huyu jamani
Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitiya huu ushuhuda. 🙏🙏
MUNGU Akutie nguvu uzidi kuihubiri injili
Sheih ww noma mkali kwanza uwe vizur na kwa mungu
Sema MUNGU NA si mungu
Kweli Mungu akiamua kumtumia mtu hata majaribu yaje vip lzm atakushindia hakika Mungu wetu si mwanadamu
Ndo ubaya wa wanadamu wanapenda giza kuliko nuru mtu anaacha dhambi hawataki haya wanadamu
Naomba kujua ndg. Omari alikuwa na mke na watoto? Vp kuhusu ndugu zake wengine mbona hawataji kwa lolote juu yake?
Mungu azidi kumtumia ila yule binti aliyekuwa amefuga ndani mwisho kampeleka wapi... Naomba tuulizie hilo😊
Aliliwa kama mtu alavyo kuku
Hii ya binti ameiongelea kwenye clip no ngapi?
Napenyewe kutajataja jina la yesu bila sababu ni dhambi
Mwendelezo
Ushuhuda huu umenitoa machozi
Kanisa tunahitaji neema ya MUNGU sana
Umesimlia vizuri sana
Mm nasema hakuna lisio mshida yesu kristo,awe shehee au nani.
Nimejifunza mambo makubwa juu ya huu ushuhuda
Na je mkewe shekhe yupo aliyemfahamu mwanzo.
Alishamuua Kabla ya Kumuweka Kwake
Mtu akiwa na shida ya moral support mpeni moral support kama ni financial support mpeni ninashangaa mtu alikuwa mganga mpaka anaokoka kwanini hata kanisa lisimchangie??? Tena anahubiri? Imeandikwa atakula madhabahuni
daah ushuhuda unaumiza huu
sana.
Naweza kuuliza kumuuliza swali shaihky umari ? Kama naweza naomba namba yake
Namba yake ipo mwisho kwenye ushuhuda huu
MUNGU AKULINDE SANA
Wapendwa naomba nieleweshwe......Huyo mbuzi Mtu kwa hiyo analiwa?! Yani mteja butcher ananunua tu?
Ndio, kabisa
Niliyepita comoro nimesikia ajari hizo yaani unashangaa boti imezama
Kuna namba za simu
chuo gani hiyo ya waganga falaki temeke daresalam?
no wonder tanzania iko na hizo shiriki zote. bure kabisa tanzanians.
Sasa Waumini wa Kiislamu wanajua kama Ukiwa Mganga wa Kienyeji na Wanakuruhusu uwe Shekhe??au uganga Unafanya kwa siri ili Viongozi wa Dini wasijue wewe ni mpotoshaji?
Huyo hana misingi ya ushekh..kwaza kaaza uchawi na ushilikina akiwa na miaka 6.huo ushee kausoma wap..huezi kuwa mchawi halafu at the same time unajiita shee..hiyo njaa tuu..mungu akusamehe
Be advised hujui zaidi ya shehe aliyoyapitia usiwe mpuuzaji tilia maanani usiseme ivo kwa kuitetea dini yako ukristo sio dini ni ukombozi kwa ulimwengu wote ata ww yesu anakupenda njoo uwokolewe
Pole kwa sbb hujui unalolisema
Mmmh si Pekee yake wapo Wengi sana Tumeshawasikia ,Hivyo Okoka Ujue Namna chuki itakavyokuondoka
@@chefkeyslimited6276wewe unaelewa Ukristo siyo Dini hakika
T
Sasa swali langu shehe ana miaka mingap??
Wew lazima Allah akutowe kwakuwa ulikuwa kikwazo Kwenye dini
Hakuna lolote wahadhiri ulisha pambana nao wew Ni chispi 2 na hai wenzako
Halihusiani na wokovu
Sikiliza ushuhuda usitake kuchunguza maisha ya watu miaka yake haituhusu
Barikiwa ila sasa unamiaka mingapi
@@hahahahabhggniyi9904hahahaa Yesu alishamuita ,Okoka Mpendwa