USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 6)~Shehe Omary Mnyeshani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Na hatimaye tumefika sehemu ya mwisho ya ushuhuda huu wa mkubwa asante kwa kufatilia,kwa maswali na majibu zaidi mtafte mtoa ushuhuda,namba yake ameitaja kwenye ushuhuda huu.

Комментарии • 100

  • @miriamlotti7297
    @miriamlotti7297 3 года назад +5

    Shehe Omari, hakika wewe umeelewa maana ya imani ya Kristo.
    Hukuwaangalia Waislamu, wala wanaojiita Wakristo Bali uliuangalia Wokovu na Ufalme wa Mbingu. Huu ndio tunao ita, hadhi ya Uwana wa Mungu.

  • @allhailkingjesus6484
    @allhailkingjesus6484 4 года назад +10

    Acheni Mungu aitwe Mungu. Yaani mnyama jaha hakuona jinsi jamaa atakapoenda kuokoka ili aepushe? Alitiwa upofu kama Herode alivyo fichwa kuzaliwa kwa YESU. Didn't see it coming.
    Sovereign God. All time God

  • @joelfufulu
    @joelfufulu 4 года назад +6

    Nimejifunza mengi kutokakwako shekhe Omary!! Mungu azidi kukupanguvu yakusimama zaidi katika kumtumikia Mungu!!

  • @mutabirwakashasha5428
    @mutabirwakashasha5428 4 года назад +12

    Kuna somo kubwa la kujifunza wapendwa. Yesu aturehemu kwa upendo wake.

  • @beatriceingabire6169
    @beatriceingabire6169 4 года назад +5

    Nashukuru Mungu sana kwa kumuokowa mtumishi wake....mimi najuwa ukiyitwa na Yesu mwenyewe hawurudi nyuma , tena towa maco yako kwa walokole utapotea hawana upendo kabisa ,nami ni mlokole nimeitwa na Yesu mwenyewe , Yesu nimuzuri sana , ni rafiki mwema , watu niwatu awaminie alaaniwe .....barikiwa sana kaka yangu mupendwa nakupenda sana

  • @MrXavely
    @MrXavely 4 года назад +6

    Pole sana Shehe Omary kwa yote na pia Hongera kwa maamuzi sahihi. Jina la Bwana libarikiwe sana.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 года назад +2

    Wapendwa kusamehewa kupo.ondoleo la dhambi.kaka omary songa mbele hata yohana alipokuwa gerezan yesu hakwenda mshukuru Mungu amekuokoa shukuru Mungu hajatupa kuona mtu alivo ndani yesu anasema kwa namna hii wengine wanaweza kumkataa malaika.

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 4 года назад +4

    Mungu Ni Mungu Tu. God Is Great. Mkristo ni mtu wa ajabu sana. POLE SANA SHEIKH OMAR.

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 4 года назад +5

    Ô! Pole shehe Omari ... BABA MUNGU tu urumiye sisi walokole atuoneshe mapendo.. Tudjifunze ku unganishana mikono... Tutoke theory tuwe practical upendo...ndugu jacktan aksanti na kazi.... Nina shikiya raha sana yakuona mapendo ya MUNGU.. Gloire à DIEU

    • @joyceshile6322
      @joyceshile6322 4 года назад

      She OMARI, HONGERA KUACHA DHAMBI, NA MUMGU AKUPIGANIE SIKU HADI SIKU, TUKO NYUMA YAKO, HUJASEMA UKO MKOA GANI.

  • @CherieDeDieu
    @CherieDeDieu 9 месяцев назад +3

    Wapendwa Wakristo mbona tunawadhulumu watu wanaokoka eti kwa sababu ya maisha yao ya zamani?! Hiyo ni kinyume sana na Yesu alivyotufunza kwenye Neno lake. Nimesikitika sana kusikia uliwachwa Shehe. Pole Sana lakini nashukuru Mwenyezi Mungu alikutetea. Halleluyah!! 😊

  • @luseshelomwashambwa5809
    @luseshelomwashambwa5809 2 года назад +2

    Dàaaah pole Sana Shehe Omary, kumbe ulimpigia changamoto kubwa sana Sana. Lakini inawezekana kuna Jambo Mungu alitaka ujifunze jambo

  • @bernadettekosani9465
    @bernadettekosani9465 4 года назад +3

    Ulikuwa umelindwa na jeshi la mbinguni. Yesu ni ngome yetu

  • @florachuwa301
    @florachuwa301 4 года назад +2

    Ooh Jamani Pole sana ndugu..ila wewe ni jasiri sana na Mungu anajua wewe ni mtu wa aina gani ndio maana akakuokoa...ubarikiwe sana sana...

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад +2

    Pole sana, ulipitia mazito katika safari ya wokovu,Lakini Mungu kupitia Yesu Kristo azidi kukupa nguvu🙏🙏

  • @sarahsoso7202
    @sarahsoso7202 4 года назад +4

    Mtumishi anamengi ya kutufunza sisi wakristo nimengi Sana hatujui.kwa jina la YESU linanguvu..

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +3

    Asante Sheikh Omary kwa ushuhuda mzuri sana,na umeweza kuelezea vizuri sana kwa ufasaha,umeeleweka vizuri sana.mungu azidi kukusimamia kwa kila jambo.

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 4 года назад +3

    ametufikisha mahalina bahati nzuri nauwezo wa kufundisha neno abarikiwe

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 4 года назад +3

    Pole sana Mtumishi wa Mungu nimefatilia mkasa wako kwa kweli umepitia mengi Ila Yesu wetu ni Mkuu amekushindia.

  • @maivoneivone5417
    @maivoneivone5417 4 года назад +6

    Kiukweli wanadamu tunavyomtazama mtu kwa nje si vile Mungu anavyomtazama mtu ama kweli wewe ni chombo cha Yesu nimejifunza mengi Mungu azidi kukutumia kuisema kweli yake nakumuaibisha shetani kuwa si kitu japo kuwa anateka fahamu za watulakini bado si kitu nampenda YESU maana anaweza yote nashukuru pia kwako j.m kwa kurusha hizi shuhuda na Mungu muumba mbingu na nchi aibariki kazi unayoifanya

  • @rehemasimonmsemo3139
    @rehemasimonmsemo3139 4 года назад +1

    Mungu atujalie wana wa Mungu maana hii dhambi ya kujihesabia haki imewakamata wengi, Mtu kama anasema anataka toba ni kumuongoza kama hamaanishi hiyo siyo kazi yangu, Mungu ndio atashughulika nae

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 года назад +3

    Ushuhuda huu unatufanya tuzidi kumtumainiya Yesu kweli.

  • @mercyelahuya9522
    @mercyelahuya9522 2 года назад +4

    Mungu alitaka huyu mtumishi ajifunze kumtumainia Mungu tu,ili Mungu spare sifa.

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 4 года назад +4

    Mungu anatenda miujiza kila siku

  • @OnesmoShumbi
    @OnesmoShumbi 2 месяца назад +1

    Hakika Yesu ni mwema, Kama Kuna mtu hajaokoka Yesu amguse ajue hii Nuru.

  • @RacheleRamadhan
    @RacheleRamadhan 12 дней назад +1

    Asante yesu christ
    Kwa kunipa uwokovu

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 4 года назад +4

    Mwanyenzi mungu akutie nguvu

  • @myself4128
    @myself4128 4 года назад +3

    Wakristo/wapendwa jamani tuwe na umoja,ni aibu kubwa waislamu wanatuzidi sana kuhusu hilo na tunasahau kuwa Yesu aliomba juu ya umoja,ni aibu kuwa ukishaokoka wanakuacha ungali mchanga,ni aibu kuwa hata kuilinda imani pia hawailindi,wakristo ni waoga mpaka aibu...sababu sio wote wana imani sahihi wengi ni wafuasi tuu na mioyo yao ipo.mbali na Mungu

  • @lilianachiengministries3386
    @lilianachiengministries3386 3 года назад +2

    Shehe,,,hallelujah...mungu mwema.

  • @pierremira
    @pierremira 4 года назад +4

    Shehe watu wote hawakuwepo ktk kesizako lakini yesu alikuwa nawe lakini ni fundisho kwa wapendwa

  • @reubenbusanji2904
    @reubenbusanji2904 4 года назад +3

    Ulipitia magumu kweli lakini ashukuriwe Yesu aliyekuokoa. Kuhusu wapendwe inapaswa kubadilika sababu inaonyesha hawakuwa na imani thabiti ndo maana hawakuonyesha ushirikiano.

  • @devothabishagazi2311
    @devothabishagazi2311 4 года назад +4

    Wasamehe tu Yesu hajakuacha hata hivyo amekupigania,Wakristo tujifunze kitu jamani duuh!

  • @peacelissa182
    @peacelissa182 4 года назад +2

    Nimependa jinsi alivyo ifafanua Yesu !

  • @lenag9812
    @lenag9812 5 месяцев назад +1

    Kwa hivyo yawezekana kula nyama ya binadamu ukifikiri ni nyama ya mbuzi. Yesu saidia eeish!!

  • @beatricemurekatete3769
    @beatricemurekatete3769 4 года назад +3

    Barikiwa kwa ushuhuda muzuri

  • @pierremira
    @pierremira 4 года назад +1

    Asante shehe Omar
    Usisahau kuwa ulisoma kuzimu pia Yale madarasa 60 ya majini ulisha wahi kufika quuud au kuzimu miji ya majini nazani usisahau kuongeza ktk CV yako mkulu unatishà nakukubali sana
    Asante

    • @pierremira
      @pierremira 4 года назад

      Asante kukamilisha ahadi

  • @swaumabdul2968
    @swaumabdul2968 4 года назад +3

    Ameen mungu akubariki sana

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 Год назад +2

    Amina mungu mkubwa

  • @godwindeogratius484
    @godwindeogratius484 3 года назад +1

    Mungu azid kukubaliki mtumishi wa bwana

  • @fei3668
    @fei3668 4 года назад +3

    barikiwa jackat ushuhuda unafungua sana huu

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Месяц назад

    Naomba simu ya shehe Omary.

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 4 года назад +2

    We ni mmoja wa WATEULE walio ahidiwa kuziona MBINGU

  • @salomekyamba1820
    @salomekyamba1820 3 года назад +1

    Pia shetani alitaka kukupokonya wokovu ndio maana ulikuwa na Vita kotekote Songs mbele umjue YESU zaidi na zaidi

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад +1

    Ameni yaani we jembe la YESU VITU VYA DUNIANI VINAPITA TUNALINGA NAVYO KWA MDA MFUPI TUNAJIDANGANYA KWA MDA ILA TUKITUBU DHAMBI NA KUACHA KUNA FAIDA MILELE LAKINI KWA DHAMBI NI MOTONI MILELE

  • @fredianefred8740
    @fredianefred8740 4 года назад +2

    Pole sana kwayalio kukuta.

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 года назад +2

    Mungu akubariki sana

  • @salomekyamba1820
    @salomekyamba1820 3 года назад +1

    Vita haiwezi kuwa ñdogo kutokana na ulikopitia ulikuwa unanolewa utoke Kama dhahabu wokovu kumkiri YESU KRISTO no Jambo la thamani kuliko kitu chochote maisha ya Sasa na yajayo duniani tuñapita

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 4 года назад +1

    Amen
    ushuhuda mkubwa sana.
    hivi Jaha ni nani? yule mke wake aliishia wapi? hapo sikuelewa ama sijafuatilia vizuri. ahsante.

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki2780 4 года назад +2

    Ila wapendwaaa tunashida Sana MUNGU ATUSAMEHEE SIJUI SIKU YA MWISHO watasema nn juu ya huyu baba badala yakumfariji mnamtendea hivi jmn! Inauma Sana lkn naamini watazamaji tumejifunza vitu sanaa

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 Год назад +1

    YESU NI MWAMBA,MOTO,ROHO MTAKATIFU NI SILAHA

  • @suzymhando418
    @suzymhando418 4 года назад +3

    Yesu huyu jamani

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 4 года назад +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitiya huu ushuhuda. 🙏🙏

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari9457 Год назад +1

    MUNGU Akutie nguvu uzidi kuihubiri injili

  • @tameemothman8192
    @tameemothman8192 4 года назад +1

    Sheih ww noma mkali kwanza uwe vizur na kwa mungu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад

    Kweli Mungu akiamua kumtumia mtu hata majaribu yaje vip lzm atakushindia hakika Mungu wetu si mwanadamu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 года назад +1

    Ndo ubaya wa wanadamu wanapenda giza kuliko nuru mtu anaacha dhambi hawataki haya wanadamu

  • @StephenSelelya
    @StephenSelelya 5 месяцев назад +1

    Naomba kujua ndg. Omari alikuwa na mke na watoto? Vp kuhusu ndugu zake wengine mbona hawataji kwa lolote juu yake?

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 года назад +2

    Mungu azidi kumtumia ila yule binti aliyekuwa amefuga ndani mwisho kampeleka wapi... Naomba tuulizie hilo😊

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 года назад +1

    Napenyewe kutajataja jina la yesu bila sababu ni dhambi

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 4 года назад +1

    Mwendelezo

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz1076 6 месяцев назад +2

    Ushuhuda huu umenitoa machozi

  • @jessicanchimbi9419
    @jessicanchimbi9419 2 года назад +1

    Kanisa tunahitaji neema ya MUNGU sana

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 4 года назад

    Umesimlia vizuri sana

  • @damarsd4599
    @damarsd4599 4 года назад +1

    Mm nasema hakuna lisio mshida yesu kristo,awe shehee au nani.

  • @happynessmarki2780
    @happynessmarki2780 4 года назад

    Nimejifunza mambo makubwa juu ya huu ushuhuda

  • @fedytemba7541
    @fedytemba7541 2 года назад

    Na je mkewe shekhe yupo aliyemfahamu mwanzo.

  • @myself4128
    @myself4128 4 года назад +2

    Mtu akiwa na shida ya moral support mpeni moral support kama ni financial support mpeni ninashangaa mtu alikuwa mganga mpaka anaokoka kwanini hata kanisa lisimchangie??? Tena anahubiri? Imeandikwa atakula madhabahuni

  • @fei3668
    @fei3668 4 года назад +3

    daah ushuhuda unaumiza huu

  • @nswilayella3295
    @nswilayella3295 4 года назад +2

    Naweza kuuliza kumuuliza swali shaihky umari ? Kama naweza naomba namba yake

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 года назад

      Namba yake ipo mwisho kwenye ushuhuda huu

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 4 года назад

    MUNGU AKULINDE SANA

  • @dorislaseko3697
    @dorislaseko3697 3 года назад +1

    Wapendwa naomba nieleweshwe......Huyo mbuzi Mtu kwa hiyo analiwa?! Yani mteja butcher ananunua tu?

  • @gamingcasbet1
    @gamingcasbet1 4 года назад

    Niliyepita comoro nimesikia ajari hizo yaani unashangaa boti imezama

  • @hellenmuliamunga1850
    @hellenmuliamunga1850 3 года назад

    Kuna namba za simu

  • @lolguy-x9n
    @lolguy-x9n 3 года назад

    chuo gani hiyo ya waganga falaki temeke daresalam?
    no wonder tanzania iko na hizo shiriki zote. bure kabisa tanzanians.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 8 месяцев назад

    Sasa Waumini wa Kiislamu wanajua kama Ukiwa Mganga wa Kienyeji na Wanakuruhusu uwe Shekhe??au uganga Unafanya kwa siri ili Viongozi wa Dini wasijue wewe ni mpotoshaji?

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma523 4 года назад

    Huyo hana misingi ya ushekh..kwaza kaaza uchawi na ushilikina akiwa na miaka 6.huo ushee kausoma wap..huezi kuwa mchawi halafu at the same time unajiita shee..hiyo njaa tuu..mungu akusamehe

    • @chefkeyslimited6276
      @chefkeyslimited6276 2 года назад +1

      Be advised hujui zaidi ya shehe aliyoyapitia usiwe mpuuzaji tilia maanani usiseme ivo kwa kuitetea dini yako ukristo sio dini ni ukombozi kwa ulimwengu wote ata ww yesu anakupenda njoo uwokolewe

    • @joycemasanja7955
      @joycemasanja7955 2 года назад

      Pole kwa sbb hujui unalolisema

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 месяцев назад

      Mmmh si Pekee yake wapo Wengi sana Tumeshawasikia ,Hivyo Okoka Ujue Namna chuki itakavyokuondoka

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 месяцев назад

      ​@@chefkeyslimited6276wewe unaelewa Ukristo siyo Dini hakika

  • @cherry00510
    @cherry00510 4 года назад

    T

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 4 года назад

    Sasa swali langu shehe ana miaka mingap??

    • @hahahahabhggniyi9904
      @hahahahabhggniyi9904 4 года назад +1

      Wew lazima Allah akutowe kwakuwa ulikuwa kikwazo Kwenye dini

    • @hahahahabhggniyi9904
      @hahahahabhggniyi9904 4 года назад

      Hakuna lolote wahadhiri ulisha pambana nao wew Ni chispi 2 na hai wenzako

    • @myself4128
      @myself4128 4 года назад +1

      Halihusiani na wokovu
      Sikiliza ushuhuda usitake kuchunguza maisha ya watu miaka yake haituhusu

    • @asteliaemaasteliaemaasteli3988
      @asteliaemaasteliaemaasteli3988 3 года назад

      Barikiwa ila sasa unamiaka mingapi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 месяцев назад

      ​@@hahahahabhggniyi9904hahahaa Yesu alishamuita ,Okoka Mpendwa