JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ni mwanzo wa semina ya mtumishi wa Mungu shehe Omary,ambaye kwenye video hii yupo katika kansa la ufufuo na uzima-Tabora.Somo ni mtoto wa dawa na jinsi anavyopatikana,endelea kufatilia nina hakika utabarikiwa.

Комментарии • 127

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад +2

    Damu ya Yesu itusaidie,Asante kwa ushuhuda huu nmebarikiwa saaana 🙏🙏

  • @erickykifaru1923
    @erickykifaru1923 2 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 года назад +1

    Yesu mwana wa Mungu uturehemu wanawake na vizazi vyetu

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 5 лет назад +5

    Atukuzwe Mungu wangu kwakuwa mganga hajawahi kugusa mwili wangu

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 3 года назад +1

    Kwa mungu kuna raha sana

  • @joycehojes8331
    @joycehojes8331 4 года назад

    Mungu akubariki sana

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 4 года назад +1

    Mungu anilinde

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 лет назад

    Thanks for uploading

  • @tulialembao6718
    @tulialembao6718 3 года назад +1

    Sarawa

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi kweli wengi wanawatoto walio wapata kwa njia hii kweli sio watoto harali ni vipepo vya kimajini

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 лет назад +2

    Nasubiri mwendelezo 🙏🙏🙏

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 5 лет назад +5

    Duuuh!!!! Ni kweli kabisa nilishachanjwa ivo ivo

  • @babumrisha
    @babumrisha 4 месяца назад +1

    kuna kitu nimejifunza, kumbe ili jini litokee linahitaji maandalizi sahihi, hio inamaanisha ili Mungu wa kweli akutembelee unahitaji kumfanyia maandalizi sahihi.

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Год назад

    Yesu anatupenda

  • @feristerkumbuka1837
    @feristerkumbuka1837 5 лет назад +1

    MUNGU atusaidie sana

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 4 года назад

    Amina

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 5 лет назад +2

    Mmmh nasikiliza Lakin naogop!

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 лет назад

    Mungu tutetee na hawa watu wabaya,tulinde na utupe imani.

  • @devothabishagazi2311
    @devothabishagazi2311 4 года назад +2

    Huyu shehe ana madini mengi,Jacktan mshauri aandike vitabu na atoe DVD na CD

  • @EngLex-vo7te
    @EngLex-vo7te 8 месяцев назад +1

    Hivyo ndivyo wale malaika waasi walivyozaa na binadamu

  • @chamwinoduka7446
    @chamwinoduka7446 5 лет назад +3

    huyu anawafndxha ili tucpende kwnda kwa waganga maan anatuelimisha ili tujue huko hakufai

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Год назад +1

    Mahali ambapo biblia haitumiki hapo ukriasto HAUPO ....na aina hii ya wafuasi hawatakuwa waislamu wala wakristo bali waganga wa JADI....sasa wanaobarikiwa ,nn kinawabariki...

  • @richardkaogo3433
    @richardkaogo3433 5 лет назад +1

    Alikutana na nn mbaka anaokoka?

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 5 лет назад +3

    Haya mafundisho yanamsaada gani kwa washirika.

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 5 лет назад +2

      Ndo ushangae badala afundishe neno la Mungu anafundisha mbinu wanazotumia waganga,anapromote uchawi

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 года назад

      @@WinWilly4162 huyu anafundisha uchawi aliokuwa anafanya halafu anafundisha jinsi ya kuepuka na kupiga kwa jina LA Yesu Kristo kama umeshadhurika

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 года назад

      @@WinWilly4162 huyo anacho kiongea kinamaana sana kwa mtu mwenye kutafakari maana kuna watumishi wa Mungu wengi sana wanapenda kwenda huko kwa waganga wa kienyeji ukiwaambia mbona mnaenda huko watumishi wa Mungu utaambia Mungu amesema jisaidie nami nitakusaidia ko siyo dhambi kwenda kwa waganga wa kienyeji ko unafundishwa usiende huko Ahsante sana

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      Maneno haya haina maana. I'm extremely disappointed. I can't believe people think this is a testimony.

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      Should have stayed with pastor Gwajima in order to grow spiritually and give a quality testimony

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma213 5 лет назад +5

    Huyu mtu nimemfuatilia saana lakini hajawahi sema sababu iliyompelekea KUOKOKA
    Naomba siku nijue kutoka kwake

    • @tumainigeofrey9702
      @tumainigeofrey9702 5 лет назад

      sababu ni ya nini? kwani amekosea?

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 5 лет назад +1

      Ukiifahamu kweli itakuweka huru. Alipoifahamu kweli akaokoka.

    • @mbithejustus246
      @mbithejustus246 5 лет назад +6

      Alisema, walienda kufanya ushindani wa uchawi, lakini jina la Yesu ikitajwa, hanapata shida sana, (angalia video ya ufufuo na uzima kwa RUclips) utapata ushuhuda wake

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 5 лет назад +1

      Tafuta ktk account ya gwajma utamuelewa kipindi iko yupo kijana mdogo

    • @alexdalali4599
      @alexdalali4599 5 лет назад

      @@tumainigeofrey9702 ruclips.net/video/FCeZjpGzBsA/видео.html

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 лет назад +1

    Hakika shetani anajua kutuchezea kweli.

  • @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
    @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718 5 лет назад +1

    Ushuhuda NI JINSI gani aliokoka, tafuteni clip ya kwanza zimo himuhumu ndani.

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 5 лет назад +2

    Hayo mambo hata uislam hauyakubali, Sema ulikuwa mchawi tu na sio sahihi kuweka uislam kundi moja na uchawi.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 года назад

      Unacho kiongea umekifanyia uchunguzi usije sema kitu usichokijua mbona sisi tunajua kama usitake ushirikiane toa vitabu hivi kitabu cha majini sura ya 72 na albadili pia itoe usipovitoa hivyo lazima uislamu usalimike maana hawawezi majini wakawa waislamu na waislamu wasiwe wachawi maana wanashirikiana na majini

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 года назад

      @@lusekelomwinsasu318 Ww ndoo hauna Elimu na hata uelewa hauna!

  • @yustakipenyakipenya9117
    @yustakipenyakipenya9117 5 лет назад

    Binam yangu alienda kwa mganga akaambiwa aoge maji yanayotembea yaani aogee hapohapo anunue sufulia mpya na hela ya sarafu aviache kwenye maji nilimsindikiza mtoni je kunamadhara naweza kuyapata mimi niliyemsindkiza kuoga japo sikujua anatatzo gani mpaka kwenda kwa mganga

    • @festokapela4833
      @festokapela4833 5 лет назад +1

      tatizo lipo maana umeshiriki kumsindikza. soma hesabu 25:1-7

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 4 года назад

    Mimi nashangaa mtu eti anajivunia kuwa muislamu kwa kweli shetani kajipatia

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Huyu Bado hajaacha kabisa,Msibweteke Wakristo,

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 5 лет назад +1

    Kanisani siku hizi mnafundishwa uganga tena!!!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Hii miaka ndo Injili,kila anayeokoka toka uchawi anakuja kutoa sera zake

  • @emanuelmathew3067
    @emanuelmathew3067 5 лет назад +3

    Ama kweli waisilam wanatakiwa waokoke, Duuu! Kumbe dua same time wanaitaga majin

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 4 года назад +3

      Sasa kama mafundisho yenyewe ndio hayo ya kichawi hatagwi mungu hata kidogo kweli kuna mwislamu yoyote atatamani kuwa mkristo kweli? kwasababu ninachokiona hapo huyo jamaa anachofundisha ni uchawi tu lkn kwa upande wa wakristo wanaona huyo jamaa kazungumza mambo makubwa sana harafu nyie wakisto mnaonekana mnaabudu sana mambo ya kichawi kila unayemskia hata wale wanaejiita mitume na manabii feki ni mambo yanayohusiana na mambo ya majini mambo ya kichawi mnaonekana wakristo wengi mnamatatizo ya mashetani nahawa jamaa wamejua kusoma nyakati hizi tulionazo ndomana kila. mkristo anatoa mapepo wanamafuta ya upako maji ya baraka wanatoa utajiri tena walivyo waongo wanasema mambo hayo wanayafanya kwanguvu ya yesu kumbe wanaingia maagano na mikataba ya shetani yaani wanakwenda kununua uchawi kwagrama yoyote harafu anafungua kanisa baada muda mfupi tu utamuona kashakuwa tajiri, yaani wakristo mnatapeliwa sana bila ya kujijua kwa sababu ya tamaa.

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 4 года назад

      Sio kweli huo ni uzushi musijue ukweli fanya utafiti wako binafsi utajua ukweli wacha kuskiza hawa wezi

    • @gladnesssidiu4922
      @gladnesssidiu4922 3 года назад +2

      @@allyawadh8492 Vita vyetu si vya damu wala nyama
      Tumepewa jukumu la kupigana na hila za shetani kwahiyo uchawi na uganga ni moja ya hila za shetani ndo maana tunapigana nazo
      Waislamu ndo wengi wamevamiwa na hizi mambo na mnaona sawa tu

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 3 года назад

      Uyo hana ushekhe wowote arikuwa mchawi kachaa sasa kamuwa atafute kiki aongope yeye shekhe kaokoka hajuwi haya atamoja hapo alipo shekhe gani huyo mchawituu acha awatapeli wakirisoto wasilamu hawaburuzw wange mpiga maswali tena yatoki kwenye kitabu

    • @gressjoseph5615
      @gressjoseph5615 3 года назад

      @@MishiPapalan haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anajua zote hizo aya sema ujamfatilia toka mwanzo

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 5 лет назад

    Jitahidi uwe naweka number maana video zinachanganya

  • @benwater4957
    @benwater4957 5 лет назад +1

    Balaa duniani 😣

  • @adamgobega1946
    @adamgobega1946 5 лет назад

    Kweli mola atupiganie

  • @lightm2225
    @lightm2225 5 лет назад +3

    Tunamba ushuhuda kwaza na. Atumie bibilia kufundisha nahilokanisa likowapi

  • @samhuyunimsaniiharuna7499
    @samhuyunimsaniiharuna7499 5 лет назад +2

    Huyu. Ni. Msanii anaongopa. Kua. Yeye shee. Ili wakristo wamuamini.

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 5 лет назад +2

    Jacktan tunaomba Nmber za shehe

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад

      0755 025 821

    • @leonardkadete6603
      @leonardkadete6603 5 лет назад +1

      @@PromovertvTz nitumie namba za huyo mtumish kwa kwenye namba zangu hizi 0687292762

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад

      @@leonardkadete6603 0755025821

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 5 лет назад

    innalillahi wa innalillahi rajiun

  • @irenemangoina7848
    @irenemangoina7848 5 лет назад +2

    Makubwa

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 4 года назад +1

    Huyu in sheikh omari alietoa ushuhuda kwa Gwajima miala hy io au

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 года назад

      ndiye

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 4 года назад

      Huyu c sheikh ni mganga

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      @@shaloboy3861 alikuwa shekh na mganga wengi ni wale wale maana Dini inaruhusu haimtengi akiwa mganga au mchawi na hasa mchukia Mkristo

  • @sosom14
    @sosom14 5 лет назад +2

    Twambiyeni alivo okoka please

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад +1

      Subiri ushuhuda wake

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 5 лет назад

      @@PromovertvTz Kaka umeshaupload ushuhuda wake?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад

      @@hairesellasie1667 bado

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 5 лет назад

      @@PromovertvTz nashukuru kaka, pia ilikuwa vizuri kama ungekuwa unazipa shuhuda namba ili kuturahisishia kujua mpangilio wake, Mungu akubariki na kukufungulia milango kwa kuifanya kazi yake, Amen.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад

      @@hairesellasie1667 Shuhuda zote zina namba,angalia kupitia playlists ndo utapata mtiririko mzuri

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад +1

    Mtumishi went to unnecessary details za kuchanja instead of going straight to the point. May be he needs a mentor to explain how to give testimonies. Should have just summarize of how getting a child from witch doctors is evil, a hassle and a mistake. But all the details are not a part of a spiritual. breakthrough.

  • @khamisrajab6663
    @khamisrajab6663 5 лет назад

    Futa jina shekhe

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu7333 5 лет назад +4

    nivizur mtupe ushuhuda wake kusema aokoke

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад +1

      Ushuhuda utakuja

    • @susynjambi
      @susynjambi 5 лет назад +1

      @@PromovertvTz ndio tunangoja.ungetupea hio kwanza ndio tuelewe kule ametoka

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  5 лет назад +1

      @@susynjambi Haya mafundisho yamejitegemea kabisa hayahusiani ya ushuhuda wake japo kuna kufanana.

  • @annamaryladislaus6377
    @annamaryladislaus6377 5 лет назад +1

    Uyu mi ata simuamini niporojo tu ajui ata kutumia bibilia uyu

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ 5 лет назад +1

      Anajua ila nafikiri anachokielezea hapo hakina au kina nukuu chache sana kwenye biblia. Mfuatilie vizuri kwenye ushuhuda wake. Ameokoka siku nyingi sana nafikiri zaidi ya miaka kumi iliyopita na anafanya huduma.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 4 года назад +1

      Usitake umuelewe kilazima maana kuna watu hawatamwelewa na kuna wengine watamwelewa atakaye muelewa atajifunza mengi sana na kuanzia hapo atasimama na Mungu kisawasawa Mimi nitakuibia kidogo maana yake acha kumtegemea mganga wa kienyeji maana mganga hana msaada wowote kwako mnadanganywa na waganga bali mtegemee Mungu tu huyo ndo yote Katina yote Ahsante kwa yote Mungu awe anakupa ufahamu wa kuyaelewa maneno kama anavyo kupa ufahamu WA kusoma biblia na kuielewa mistari yake

    • @annamaryladislaus6377
      @annamaryladislaus6377 4 года назад

      Atakama alikuwa anaabudu na gwajima gwajima mwenyewe anamapungufu yake sio malaika adi akamilike hivo hivo uwezi jua yaliyo mpaka yeye aliyeko sirini mungu mwenyezi ndiye anamajibu yote ya maswali yetu

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      @@Baba-JJ Kweli. Anazungumziya details hazihitajike wakati za kutowa ushuhuda. Ndiyo mana maombi ni ya lazma kabla ya ushuhuda

    • @estasage5506
      @estasage5506 4 года назад

      @@annamaryladislaus6377 Gwajima wetu ni muombaji

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад +1

    Shehe mnyeshani kumbe una kanisa yako

  • @frauleinbergerjaneaika4872
    @frauleinbergerjaneaika4872 4 года назад

    Halijuaje yote ayaaaaaaaa? Eh!

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 4 года назад +1

      Alitoa Ushuhuda kwa Askofu Gwajima search shehe Omary kwa Gwajima " RUclips"

    • @briansancedo9336
      @briansancedo9336 3 года назад

      Nenda you Tube Andika Ostadhi Omary utajua jinsi alivyo okoka maka sasa

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 5 лет назад +2

    Kumbe wewe umeokoka? sijaelewa!!!

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 5 лет назад +2

    Nashangaa shetani ni mchafu.... Very disgusting.. Haya Maisha bila yesu unarisk tu

    • @abdullatifshambe280
      @abdullatifshambe280 4 года назад

      Without holiness no one can see God ZION DAUGHTER hivi na akili yenu mganga wa kienyeji mnamwita shehe huyu ni mshirikina tu na uislamu unafundisha kila mshirikina makazi yake motoni

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 года назад

    Sasa ndio mnaabudu hapo mana kanisani hahahaaaaa au kilingeni hapo