JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Ni mwanzo wa semina ya mtumishi wa Mungu shehe Omary,ambaye kwenye video hii yupo katika kansa la ufufuo na uzima-Tabora.Somo ni mtoto wa dawa na jinsi anavyopatikana,endelea kufatilia nina hakika utabarikiwa.
Damu ya Yesu itusaidie,Asante kwa ushuhuda huu nmebarikiwa saaana 🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi
Yesu mwana wa Mungu uturehemu wanawake na vizazi vyetu
Atukuzwe Mungu wangu kwakuwa mganga hajawahi kugusa mwili wangu
Kwa mungu kuna raha sana
Mungu akubariki sana
Mungu anilinde
Thanks for uploading
Sarawa
Ubarikiwe mtumishi kweli wengi wanawatoto walio wapata kwa njia hii kweli sio watoto harali ni vipepo vya kimajini
Nasubiri mwendelezo 🙏🙏🙏
Duuuh!!!! Ni kweli kabisa nilishachanjwa ivo ivo
kuna kitu nimejifunza, kumbe ili jini litokee linahitaji maandalizi sahihi, hio inamaanisha ili Mungu wa kweli akutembelee unahitaji kumfanyia maandalizi sahihi.
Yesu anatupenda
MUNGU atusaidie sana
Amina
Mmmh nasikiliza Lakin naogop!
Mungu tutetee na hawa watu wabaya,tulinde na utupe imani.
Huyu shehe ana madini mengi,Jacktan mshauri aandike vitabu na atoe DVD na CD
Hivyo ndivyo wale malaika waasi walivyozaa na binadamu
huyu anawafndxha ili tucpende kwnda kwa waganga maan anatuelimisha ili tujue huko hakufai
Mahali ambapo biblia haitumiki hapo ukriasto HAUPO ....na aina hii ya wafuasi hawatakuwa waislamu wala wakristo bali waganga wa JADI....sasa wanaobarikiwa ,nn kinawabariki...
Alikutana na nn mbaka anaokoka?
Haya mafundisho yanamsaada gani kwa washirika.
Ndo ushangae badala afundishe neno la Mungu anafundisha mbinu wanazotumia waganga,anapromote uchawi
@@WinWilly4162 huyu anafundisha uchawi aliokuwa anafanya halafu anafundisha jinsi ya kuepuka na kupiga kwa jina LA Yesu Kristo kama umeshadhurika
@@WinWilly4162 huyo anacho kiongea kinamaana sana kwa mtu mwenye kutafakari maana kuna watumishi wa Mungu wengi sana wanapenda kwenda huko kwa waganga wa kienyeji ukiwaambia mbona mnaenda huko watumishi wa Mungu utaambia Mungu amesema jisaidie nami nitakusaidia ko siyo dhambi kwenda kwa waganga wa kienyeji ko unafundishwa usiende huko Ahsante sana
Maneno haya haina maana. I'm extremely disappointed. I can't believe people think this is a testimony.
Should have stayed with pastor Gwajima in order to grow spiritually and give a quality testimony
Huyu mtu nimemfuatilia saana lakini hajawahi sema sababu iliyompelekea KUOKOKA
Naomba siku nijue kutoka kwake
sababu ni ya nini? kwani amekosea?
Ukiifahamu kweli itakuweka huru. Alipoifahamu kweli akaokoka.
Alisema, walienda kufanya ushindani wa uchawi, lakini jina la Yesu ikitajwa, hanapata shida sana, (angalia video ya ufufuo na uzima kwa RUclips) utapata ushuhuda wake
Tafuta ktk account ya gwajma utamuelewa kipindi iko yupo kijana mdogo
@@tumainigeofrey9702 ruclips.net/video/FCeZjpGzBsA/видео.html
Hakika shetani anajua kutuchezea kweli.
Ushuhuda NI JINSI gani aliokoka, tafuteni clip ya kwanza zimo himuhumu ndani.
Hayo mambo hata uislam hauyakubali, Sema ulikuwa mchawi tu na sio sahihi kuweka uislam kundi moja na uchawi.
Unacho kiongea umekifanyia uchunguzi usije sema kitu usichokijua mbona sisi tunajua kama usitake ushirikiane toa vitabu hivi kitabu cha majini sura ya 72 na albadili pia itoe usipovitoa hivyo lazima uislamu usalimike maana hawawezi majini wakawa waislamu na waislamu wasiwe wachawi maana wanashirikiana na majini
@@lusekelomwinsasu318 Ww ndoo hauna Elimu na hata uelewa hauna!
Binam yangu alienda kwa mganga akaambiwa aoge maji yanayotembea yaani aogee hapohapo anunue sufulia mpya na hela ya sarafu aviache kwenye maji nilimsindikiza mtoni je kunamadhara naweza kuyapata mimi niliyemsindkiza kuoga japo sikujua anatatzo gani mpaka kwenda kwa mganga
tatizo lipo maana umeshiriki kumsindikza. soma hesabu 25:1-7
Mimi nashangaa mtu eti anajivunia kuwa muislamu kwa kweli shetani kajipatia
Eee Ameshaichagua hiyo njia inamfaa
Huyu Bado hajaacha kabisa,Msibweteke Wakristo,
Kanisani siku hizi mnafundishwa uganga tena!!!
Hii miaka ndo Injili,kila anayeokoka toka uchawi anakuja kutoa sera zake
Ama kweli waisilam wanatakiwa waokoke, Duuu! Kumbe dua same time wanaitaga majin
Sasa kama mafundisho yenyewe ndio hayo ya kichawi hatagwi mungu hata kidogo kweli kuna mwislamu yoyote atatamani kuwa mkristo kweli? kwasababu ninachokiona hapo huyo jamaa anachofundisha ni uchawi tu lkn kwa upande wa wakristo wanaona huyo jamaa kazungumza mambo makubwa sana harafu nyie wakisto mnaonekana mnaabudu sana mambo ya kichawi kila unayemskia hata wale wanaejiita mitume na manabii feki ni mambo yanayohusiana na mambo ya majini mambo ya kichawi mnaonekana wakristo wengi mnamatatizo ya mashetani nahawa jamaa wamejua kusoma nyakati hizi tulionazo ndomana kila. mkristo anatoa mapepo wanamafuta ya upako maji ya baraka wanatoa utajiri tena walivyo waongo wanasema mambo hayo wanayafanya kwanguvu ya yesu kumbe wanaingia maagano na mikataba ya shetani yaani wanakwenda kununua uchawi kwagrama yoyote harafu anafungua kanisa baada muda mfupi tu utamuona kashakuwa tajiri, yaani wakristo mnatapeliwa sana bila ya kujijua kwa sababu ya tamaa.
Sio kweli huo ni uzushi musijue ukweli fanya utafiti wako binafsi utajua ukweli wacha kuskiza hawa wezi
@@allyawadh8492 Vita vyetu si vya damu wala nyama
Tumepewa jukumu la kupigana na hila za shetani kwahiyo uchawi na uganga ni moja ya hila za shetani ndo maana tunapigana nazo
Waislamu ndo wengi wamevamiwa na hizi mambo na mnaona sawa tu
Uyo hana ushekhe wowote arikuwa mchawi kachaa sasa kamuwa atafute kiki aongope yeye shekhe kaokoka hajuwi haya atamoja hapo alipo shekhe gani huyo mchawituu acha awatapeli wakirisoto wasilamu hawaburuzw wange mpiga maswali tena yatoki kwenye kitabu
@@MishiPapalan haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anajua zote hizo aya sema ujamfatilia toka mwanzo
Jitahidi uwe naweka number maana video zinachanganya
tazama kwenye playlist
Balaa duniani 😣
Kweli mola atupiganie
Tunamba ushuhuda kwaza na. Atumie bibilia kufundisha nahilokanisa likowapi
Huyu. Ni. Msanii anaongopa. Kua. Yeye shee. Ili wakristo wamuamini.
Fanya utafiti ndo uje uongee pumba zako hapa
@@devothabishagazi2311 Tafiti gani?
Jacktan tunaomba Nmber za shehe
0755 025 821
@@PromovertvTz nitumie namba za huyo mtumish kwa kwenye namba zangu hizi 0687292762
@@leonardkadete6603 0755025821
innalillahi wa innalillahi rajiun
Makubwa
Huyu in sheikh omari alietoa ushuhuda kwa Gwajima miala hy io au
ndiye
Huyu c sheikh ni mganga
@@shaloboy3861 alikuwa shekh na mganga wengi ni wale wale maana Dini inaruhusu haimtengi akiwa mganga au mchawi na hasa mchukia Mkristo
Twambiyeni alivo okoka please
Subiri ushuhuda wake
@@PromovertvTz Kaka umeshaupload ushuhuda wake?
@@hairesellasie1667 bado
@@PromovertvTz nashukuru kaka, pia ilikuwa vizuri kama ungekuwa unazipa shuhuda namba ili kuturahisishia kujua mpangilio wake, Mungu akubariki na kukufungulia milango kwa kuifanya kazi yake, Amen.
@@hairesellasie1667 Shuhuda zote zina namba,angalia kupitia playlists ndo utapata mtiririko mzuri
Mtumishi went to unnecessary details za kuchanja instead of going straight to the point. May be he needs a mentor to explain how to give testimonies. Should have just summarize of how getting a child from witch doctors is evil, a hassle and a mistake. But all the details are not a part of a spiritual. breakthrough.
Yaani Mungu afumbue macho ya Wakristo
Futa jina shekhe
😁😁😁😁😁😁
nivizur mtupe ushuhuda wake kusema aokoke
Ushuhuda utakuja
@@PromovertvTz ndio tunangoja.ungetupea hio kwanza ndio tuelewe kule ametoka
@@susynjambi Haya mafundisho yamejitegemea kabisa hayahusiani ya ushuhuda wake japo kuna kufanana.
Uyu mi ata simuamini niporojo tu ajui ata kutumia bibilia uyu
Anajua ila nafikiri anachokielezea hapo hakina au kina nukuu chache sana kwenye biblia. Mfuatilie vizuri kwenye ushuhuda wake. Ameokoka siku nyingi sana nafikiri zaidi ya miaka kumi iliyopita na anafanya huduma.
Usitake umuelewe kilazima maana kuna watu hawatamwelewa na kuna wengine watamwelewa atakaye muelewa atajifunza mengi sana na kuanzia hapo atasimama na Mungu kisawasawa Mimi nitakuibia kidogo maana yake acha kumtegemea mganga wa kienyeji maana mganga hana msaada wowote kwako mnadanganywa na waganga bali mtegemee Mungu tu huyo ndo yote Katina yote Ahsante kwa yote Mungu awe anakupa ufahamu wa kuyaelewa maneno kama anavyo kupa ufahamu WA kusoma biblia na kuielewa mistari yake
Atakama alikuwa anaabudu na gwajima gwajima mwenyewe anamapungufu yake sio malaika adi akamilike hivo hivo uwezi jua yaliyo mpaka yeye aliyeko sirini mungu mwenyezi ndiye anamajibu yote ya maswali yetu
@@Baba-JJ Kweli. Anazungumziya details hazihitajike wakati za kutowa ushuhuda. Ndiyo mana maombi ni ya lazma kabla ya ushuhuda
@@annamaryladislaus6377 Gwajima wetu ni muombaji
Shehe mnyeshani kumbe una kanisa yako
Sio shehe tena ni mchungaji
Halijuaje yote ayaaaaaaaa? Eh!
Alitoa Ushuhuda kwa Askofu Gwajima search shehe Omary kwa Gwajima " RUclips"
Nenda you Tube Andika Ostadhi Omary utajua jinsi alivyo okoka maka sasa
Kumbe wewe umeokoka? sijaelewa!!!
Nashangaa shetani ni mchafu.... Very disgusting.. Haya Maisha bila yesu unarisk tu
Without holiness no one can see God ZION DAUGHTER hivi na akili yenu mganga wa kienyeji mnamwita shehe huyu ni mshirikina tu na uislamu unafundisha kila mshirikina makazi yake motoni
Sasa ndio mnaabudu hapo mana kanisani hahahaaaaa au kilingeni hapo