JINI MAHABA LINAWAPENDA WENYE TABIA HIZI|KULALA UCHI,KUIMBA BAFUNI,KUOGELEA...-SHEHE OMARY MNYESHANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Shehe Omary ni mkristo aliyeokoka kwa sasa,ambapo kabla alikuwa mchawi na mganga wa kimataifa.Hapa anaelezea tabia ambazo zinaweza kumkaribisha jini mahaba.

Комментарии • 60

  • @myself4128
    @myself4128 4 года назад +13

    Majini hayababaishi mtu aliye katika Kristo Yesu,,,

  • @glorytoGod639
    @glorytoGod639 4 года назад +13

    Wengine mnacoment sjui MNA shida gani, kwani kuna shida gani tukiwajua adui zetu ili tuwapige vzuri, wew unayeleta ajenda binafsi,ushundwe kwa Dam ya Yesu, shehe tupatie siri hizo mtumishi wa MUNGU

    • @myself4128
      @myself4128 4 года назад +2

      Mpinga Kristo ni yeye yule asiyekiri kuwa Yesu ni mwana wa Mungu sasa uliambiwa na nani kuwa muislamu ni ndugu au rafiki yako???? Hao ndio waoinga Kristo

    • @deshawnvance3562
      @deshawnvance3562 3 года назад

      I know Im quite randomly asking but does anyone know a good place to stream newly released tv shows online ?

    • @averydonald6129
      @averydonald6129 3 года назад

      @Deshawn Vance i watch on FlixZone. You can find it by googling :)

    • @nikolaiarchie4869
      @nikolaiarchie4869 3 года назад

      @Avery Donald definitely, have been using FlixZone for since march myself =)

    • @deshawnvance3562
      @deshawnvance3562 3 года назад

      @Avery Donald Thank you, signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I really appreciate it!

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo 10 месяцев назад +2

    Asante kwa mungu,kuleta somo hili, hapo kwa kio na kuimba kwa bafu nahusika, Mungu anisaidie 😭😭🇰🇪🙏.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад +3

    Namshukuru Mungu sina muda wa kujiangalia saana Kwenye kioona siku zingine naondoka bila kujiangalia

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 года назад +3

    Mungu atusaidie peke yetu hatuwezi

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +2

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,jameni umetutoa gizani

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 2 года назад +2

    Asante mtumishi tumejifunza san

  • @saramss7262
    @saramss7262 Год назад +2

    Barikiwa SANA Mtumishi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад +3

    Haingii Nafunika na Damu ya Yesu nyumba yangu,Jini asipate nafasi kufika kwetu maana tuna vyoo humo humo ndani watoto wetu wanacheza kila siku

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 2 года назад +2

    Shetan ashindwe. Kwa jina la Yesu

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 лет назад +4

    Duh kibatali,kumbe wakati mwingine tunafanyiwa mambo mengi ya kulazimisha penzi.mhh asante kwa somo zuri tunajifunza mambo mengi ambayo hatukuyajua.

    • @marygaspary199
      @marygaspary199 4 года назад +2

      Wakristo tumeingiliwa, majini hayawaingii Wakristo sababu yanamuogopa Yesu !

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 года назад +3

    Kweli nakumbuka nikiww binti naona kuna kijana alinitengenezea kibatari ikifika jioni nalua nataka nimuone au niende kwake wakati nilikuwa sitaki ujinga kabisa

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 5 лет назад +4

    Ooh ndiyo sababu madam mwarabu alinisikiya nikiimba akakuja kunikata zi poa kuimba chooni nilithani ni believe zao. Maneno ya kutisha tena kujuwa.

    • @everlynemiriam5943
      @everlynemiriam5943 Год назад

      Same 2 me iws like that but nimejifunza Sana be blessed alot

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 4 года назад +2

    Duh Mungu nisaidiye🙏

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 года назад +3

    Namm nakufuata nikiwa Kenya 🇰🇪,sasa naomba kujua jinsi ya kumuepuka huyu adui,

  • @esthernjoroge7544
    @esthernjoroge7544 3 года назад +3

    Hi try to get live videos let us see the person and his gestures that way you see things clear .anyway good work Jacktan.

  • @gwiterrichard7352
    @gwiterrichard7352 5 лет назад +6

    yan umenitisha had nimetoka chumban maana naskikiza hii haf niko natengeneza nywele kwenye kioo chumban duh nmeogopa!

    • @geofreyalexander1382
      @geofreyalexander1382 5 лет назад

      Umenichekesha sana aiseee

    • @chumachadollar5917
      @chumachadollar5917 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣 yaani anatisha kweli kweli😁

    • @gracelichonjo5280
      @gracelichonjo5280 4 года назад

      @@chumachadollar5917 hahahahaaaaaaä

    • @myself4128
      @myself4128 4 года назад +1

      Muwe na imani

    • @myself4128
      @myself4128 4 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂 amini Mungu ananguvu kubwa zaidi ya mashetani wote

  • @gracehenga1980
    @gracehenga1980 4 года назад +5

    Kweli nimejifunza kitu.

    • @sakisfidmasho6393
      @sakisfidmasho6393 4 года назад +2

      GRACE HENGA yesu ni hatari hayo yote kwa yesu nibure

  • @gabrielrongoma4145
    @gabrielrongoma4145 Год назад +2

    samahani nomba namba ya omary mnyeshani

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto6149 4 года назад +3

    Amen pasta

  • @OLUNGAJOSHMAH
    @OLUNGAJOSHMAH 2 года назад +1

    TUPATE INJILI YA WAKATI WAPENDWA...WALIO KUTANA NA YESU WALIENEZA HABARI NJEMA..UFUNUO13,17

  • @bethuelchrist1633
    @bethuelchrist1633 4 года назад +2

    habari hizo zinapatikana katika kitabu cha henoko...mtu wa saba kutoka adam

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman7852 5 лет назад +3

    Sasa kama ninachumba kimoja?

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 3 года назад +1

    Kazi haswa ya huyu jini iipi? na mathara yake niyapi?, naomba kuelimika zaidi,

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Kuharibu maisha yako ya ndoa,Kukuzuia usioe au kuolewa,Kukuzuia usizae

  • @francisruambothetechnician
    @francisruambothetechnician 4 года назад +1

    Ndio guest wanaweka vioo

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Lakini Uislamu Marekani ni Marufuku

  • @oscanyakunga9674
    @oscanyakunga9674 4 года назад +2

    Ouk ouk ouk ouk

  • @fatuma4657
    @fatuma4657 2 года назад

    Sasa utamuepuka vp? Hiyo ndio muhimu

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Год назад

      UKIMPQOKEA YESU KRISTO ,UMESHINDA NA CHANGAMOTO ZAMAJINI UROGWI OVYOO KABISA KUOMBA BILA KIKOMO KUKWEPA ZAMBII, NA KUJITAKASA KWA WAKATI

  • @julianlukindo6148
    @julianlukindo6148 4 года назад +4

    Mie Swalilangu umeokoka sindiyo, Kwanini bado unaenderea kutufundisha making? Basiwewebadosana kuokoka Hakuna mchungaji wakikiristo wanaotufundisha majini hebubadrika tunataka bible

    • @emimamsangi3375
      @emimamsangi3375 4 года назад +1

      Mchungaji nae anaangamia kwakukosa maarifa amekaribisha mtu kusema habari za majini kanisani aliona wapi

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 4 года назад +7

      Mchungaji ndio haelezei hiyo mambo coz hajui ila mchungaj anayejua Tafundisha ili wakriso watambue Zaid Siri za maadui wa ukristo

    • @florahemmanuel8323
      @florahemmanuel8323 4 года назад +6

      Hivi vitu tunapaswa kuvijua,SB huwezi enda vitani bila kumjua adui yako. Ndio maana tunaambiwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hata itakuwa msaada kwako wakati unaomba unajua unaombea nini.sio unasema shetani toka,wakati hujui shetani ni system anayotumia Lusifa ktk utendaji wake kazi.

    • @جانيتكينيا
      @جانيتكينيا 3 года назад

      @@florahemmanuel8323 yes dada kuna majini kabisa ni vile christian hawajui bado lakini waislam wajua coz hao hata huwa marafiki

    • @magangiralucas6516
      @magangiralucas6516 2 года назад

      Ww mchawi yamekugusa badilika

  • @cindymacho5282
    @cindymacho5282 5 лет назад +1

    duuh

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 года назад

    N