JINI MAHABA LINAWAPENDA WENYE TABIA HIZI|KULALA UCHI,KUIMBA BAFUNI,KUOGELEA...-SHEHE OMARY MNYESHANI
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Shehe Omary ni mkristo aliyeokoka kwa sasa,ambapo kabla alikuwa mchawi na mganga wa kimataifa.Hapa anaelezea tabia ambazo zinaweza kumkaribisha jini mahaba.
Majini hayababaishi mtu aliye katika Kristo Yesu,,,
Kabisa
Kabisa
Lakini Kumbuka wengi huangushwa taratibu na vitu vidogo hasa hivyo vya urembo
Wengine mnacoment sjui MNA shida gani, kwani kuna shida gani tukiwajua adui zetu ili tuwapige vzuri, wew unayeleta ajenda binafsi,ushundwe kwa Dam ya Yesu, shehe tupatie siri hizo mtumishi wa MUNGU
Mpinga Kristo ni yeye yule asiyekiri kuwa Yesu ni mwana wa Mungu sasa uliambiwa na nani kuwa muislamu ni ndugu au rafiki yako???? Hao ndio waoinga Kristo
I know Im quite randomly asking but does anyone know a good place to stream newly released tv shows online ?
@Deshawn Vance i watch on FlixZone. You can find it by googling :)
@Avery Donald definitely, have been using FlixZone for since march myself =)
@Avery Donald Thank you, signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I really appreciate it!
Asante kwa mungu,kuleta somo hili, hapo kwa kio na kuimba kwa bafu nahusika, Mungu anisaidie 😭😭🇰🇪🙏.
Namshukuru Mungu sina muda wa kujiangalia saana Kwenye kioona siku zingine naondoka bila kujiangalia
Mungu atusaidie peke yetu hatuwezi
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,jameni umetutoa gizani
Asante mtumishi tumejifunza san
Barikiwa SANA Mtumishi
Haingii Nafunika na Damu ya Yesu nyumba yangu,Jini asipate nafasi kufika kwetu maana tuna vyoo humo humo ndani watoto wetu wanacheza kila siku
Shetan ashindwe. Kwa jina la Yesu
Duh kibatali,kumbe wakati mwingine tunafanyiwa mambo mengi ya kulazimisha penzi.mhh asante kwa somo zuri tunajifunza mambo mengi ambayo hatukuyajua.
Wakristo tumeingiliwa, majini hayawaingii Wakristo sababu yanamuogopa Yesu !
Kweli nakumbuka nikiww binti naona kuna kijana alinitengenezea kibatari ikifika jioni nalua nataka nimuone au niende kwake wakati nilikuwa sitaki ujinga kabisa
Ooh ndiyo sababu madam mwarabu alinisikiya nikiimba akakuja kunikata zi poa kuimba chooni nilithani ni believe zao. Maneno ya kutisha tena kujuwa.
Same 2 me iws like that but nimejifunza Sana be blessed alot
Duh Mungu nisaidiye🙏
Namm nakufuata nikiwa Kenya 🇰🇪,sasa naomba kujua jinsi ya kumuepuka huyu adui,
Hi try to get live videos let us see the person and his gestures that way you see things clear .anyway good work Jacktan.
Please support us
yan umenitisha had nimetoka chumban maana naskikiza hii haf niko natengeneza nywele kwenye kioo chumban duh nmeogopa!
Umenichekesha sana aiseee
🤣🤣🤣🤣 yaani anatisha kweli kweli😁
@@chumachadollar5917 hahahahaaaaaaä
Muwe na imani
😂😂😂😂😂😂😂 amini Mungu ananguvu kubwa zaidi ya mashetani wote
Kweli nimejifunza kitu.
GRACE HENGA yesu ni hatari hayo yote kwa yesu nibure
samahani nomba namba ya omary mnyeshani
Amen pasta
TUPATE INJILI YA WAKATI WAPENDWA...WALIO KUTANA NA YESU WALIENEZA HABARI NJEMA..UFUNUO13,17
habari hizo zinapatikana katika kitabu cha henoko...mtu wa saba kutoka adam
Kitabu cha henoko nitakipata wapi?
Sasa kama ninachumba kimoja?
Kazi haswa ya huyu jini iipi? na mathara yake niyapi?, naomba kuelimika zaidi,
Kuharibu maisha yako ya ndoa,Kukuzuia usioe au kuolewa,Kukuzuia usizae
Ndio guest wanaweka vioo
Lakini Uislamu Marekani ni Marufuku
Ouk ouk ouk ouk
Sasa utamuepuka vp? Hiyo ndio muhimu
UKIMPQOKEA YESU KRISTO ,UMESHINDA NA CHANGAMOTO ZAMAJINI UROGWI OVYOO KABISA KUOMBA BILA KIKOMO KUKWEPA ZAMBII, NA KUJITAKASA KWA WAKATI
Mie Swalilangu umeokoka sindiyo, Kwanini bado unaenderea kutufundisha making? Basiwewebadosana kuokoka Hakuna mchungaji wakikiristo wanaotufundisha majini hebubadrika tunataka bible
Mchungaji nae anaangamia kwakukosa maarifa amekaribisha mtu kusema habari za majini kanisani aliona wapi
Mchungaji ndio haelezei hiyo mambo coz hajui ila mchungaj anayejua Tafundisha ili wakriso watambue Zaid Siri za maadui wa ukristo
Hivi vitu tunapaswa kuvijua,SB huwezi enda vitani bila kumjua adui yako. Ndio maana tunaambiwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hata itakuwa msaada kwako wakati unaomba unajua unaombea nini.sio unasema shetani toka,wakati hujui shetani ni system anayotumia Lusifa ktk utendaji wake kazi.
@@florahemmanuel8323 yes dada kuna majini kabisa ni vile christian hawajui bado lakini waislam wajua coz hao hata huwa marafiki
Ww mchawi yamekugusa badilika
duuh
Allah wakubalu
N