Part_1 USHUHUDA WA ALIYETOLEWA KAFARA NA BOSS WAKE AKAFA NA KUZIKWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #PromoverTv #JacktanMsafiri

Комментарии • 106

  • @fredrickaman4289
    @fredrickaman4289 4 года назад +2

    Pole sana kijana endelea kumtumikia mungu ndo nguzo ktk maisha ya mwanadam

  • @mackynicky5832
    @mackynicky5832 4 года назад +14

    Chozi la mnyonge ulipwa na Mwenyezi Mungu

  • @NaomiNyakisi
    @NaomiNyakisi Год назад +1

    Mungu akumbuke ndugu zetu watanzani awaokoe kutokana uabuduo mashetani

  • @tobiasbarasa2927
    @tobiasbarasa2927 4 года назад +1

    Kaka kapitia makuu kweli.Kwa hakika asiye na ufahamu kuwa Mungu yupo basi kausikilize huu ushuhuda ya huyu kaka.Ni kipindi kizuri sana hiki.Ninawasikiliza na kuwatazama nikiwa Kenya.

  • @NeemaMrisho-y5o
    @NeemaMrisho-y5o 5 месяцев назад +1

    Mungu n mwema jamn aendelee kulinda watu wake

  • @vedastomtasha
    @vedastomtasha 3 года назад +1

    Kijana nampata sana huyo alikuja na cster angu kutoka kuzimu duu noma sanaaaa kakaa sana kwa babu yangu lwanzari

  • @faithluande1867
    @faithluande1867 2 года назад

    God is the only way from msa kenya.mtu wa mungu wa kweli hayuko kwa vitu vya dunia kama fedha na venginevyo

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Год назад +1

    Magili Ni kwetu karibu na kanisa la Roma kwenye jiwe kote uko Unapotaja napafaham Pamoja Sana ndugu yangu naendelea kufatilia

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 4 года назад +9

    Spiritual warfear between darkness and light
    I speak prophetic deliverance and healing in ur life.
    Any chain holding u spiritually be loosed and destroyed in Jesus mighty name Amen.
    Divine protection rest upon u now in Jesus mighty name Amen

    • @marchymaziku6234
      @marchymaziku6234 4 года назад +1

      Na dhani ungeongea kiswahili ungeeleweka zaid na watu wengi

    • @نايفالشمري-ط3د
      @نايفالشمري-ط3د 4 года назад

      @@marchymaziku6234 I'm not speaking but praying.
      I reach out this prayer to him through help of holy spirit
      So am not here to please human
      What gain sure

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 4 года назад

      Amen amen

  • @hopejohn6334
    @hopejohn6334 4 года назад +2

    Aisee

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 года назад +1

    Noted Hey my Bwoyfured Iam a new subscribe here from Diaspora U.S. foreigner lands

  • @Andrebits83
    @Andrebits83 3 года назад +2

    Mungu alikuonesha kilakitu kaka (Yani Mungu alikujulisha mambo ingetokeya,yani mambo ilikuwa imepangwa kwa jili yako)

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад +6

    The story begins around 27:20 👍

  • @esthetbabu7481
    @esthetbabu7481 4 года назад +4

    God is good let's pray for him protect you

  • @masogangemasogange7835
    @masogangemasogange7835 4 года назад +1

    Good job God bless you

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 года назад

    Mungu tu ndiye mtetezi,tuombe sana na kusimama imara na Mungu

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 4 года назад +1

    Pole sn Kijana , Inauma sana kwakweli

  • @blessedlovedandfavoured4129
    @blessedlovedandfavoured4129 4 года назад +8

    Shetani mkatili mwehu kweli.. Hii dunia bila yesu utaangamia

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 года назад +1

    Waaa!!! ndio maana mm hua naogopa kuajiriwa heri nipambane kivyangu tu ,,,

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 года назад +5

    Mbarikiwe sana watu wa MUNGU maana niku nimeisubir kwa ham sana

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 года назад +5

    Kipindi hicho anakuja bony mwaitege nilikua huko na mimi

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад +5

    Kumbe Kwenye Kona Za Mlango Noma Kila Mtu Alietolewa Msukule Anasema Alisimama Kwenye Kona Kila Mtu Kwenye Kona Mbona Izi Kona Zamlango Azifai Kabisa

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 3 года назад

      Nikukemea tuu hizi nguvu za giza zishindwe katika jina la yesu.

  • @mwambakakudji6288
    @mwambakakudji6288 4 года назад +2

    Victor ni jina la utumwa....ma jina ya makaburu ya wazungu ni ma jina za utumwa.

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 4 года назад +2

    Bwana yesu asifiwe A bigger Amen Amen Amen

  • @mbughilangison2223
    @mbughilangison2223 4 года назад +3

    Mwendelezo tafadhali

    • @نايفالشمري-ط3د
      @نايفالشمري-ط3د 4 года назад

      No,, i command ur spirit be awaken by holy spirit this night in Jesus mighty name Amen

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 года назад +6

    Tabora ni nyumbani huko

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +2

    Asante kwa simulizi.

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 2 года назад

    Huu ndio ule mwisho tulioambiwa wa dunia Mungu yupo duniani na shetani anaanikwa na maovu yake. Mwenye macho haambiwi tazama. iweje leo haya yawekwe wazi? MUNGU AMERUDI DUNIANI

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 4 года назад +3

    Good job Jactan 👍

  • @euniceoyula1938
    @euniceoyula1938 4 года назад +1

    Asante ndugu mafunzo hayo jameni part 2 twasubiri waah.

  • @fredymaimbo4314
    @fredymaimbo4314 4 года назад

    Gudy ctor bro

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад +1

    Life history ya nini? Straight to the point. 😒

  • @neemangrotha
    @neemangrotha 4 года назад +1

    Have a good

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад

    Jamani Yani Mimi siwezi ukinilipa siwezi kukurudishia kwani Sina mahitaji nazo

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 4 года назад

    Eeeeeee pole sana

  • @Katini_Mdari
    @Katini_Mdari 11 месяцев назад +1

    Part 2 ya huu ushuhuda Iko wapi

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  11 месяцев назад

      ALIYETOLEWA KAFARA NA BOSS: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0kACwjEpk36H7tyZmiQLV2u

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 4 года назад +1

    Mungu wangu

  • @amerphone9527
    @amerphone9527 3 года назад

    Wachawi mungu anawaona mmeraaniwa

  • @MumQueen
    @MumQueen 4 года назад +3

    Jamani hivi ndivyo watu hufanya misukule? 🤔

  • @fei3668
    @fei3668 4 года назад +1

    asante jacktan👏party two baba

  • @robsonsadiki
    @robsonsadiki 4 года назад +5

    Ushuhuda unamjenga mtu kiroho

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад

    Hilo litajiri lilionanyota nxuri lingemtoa litoto lake.

  • @sedfajonh2544
    @sedfajonh2544 4 года назад

    Mabosi wenye mashine za kusaga wachawi sanaaa mimwenyewe yalinikutaaaaa mungu ni mkuu jaman waklisto tusali

  • @christinamsigwa804
    @christinamsigwa804 2 года назад

    Ni shuhuda za jactan pekee za uhahika na kuaminika wengine copy tu barikiwa jactan.

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 4 года назад +2

    Uwiiii stori inasisimua kumbe wachawi c watu wazuri uwiii sijaimaliza ila usiii

  • @philipomedia4855
    @philipomedia4855 4 года назад +5

    Kipindi kizuri but tuboreshe kwa baazi ya vitu, kwanza camera,taa na shots ili kuongeza content zaidi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад +1

      pole sie tunaona raha tu na tuko nje ya nchi,kikubwa ujumbe utufikie

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Hii imetokea wapi mbona hatujasikia ndugu wa Familia au walimuwa wanaogopa kusema wasije wakatolewa kafara ushuhuda wa atu wa kristo kiboko sanaaa ya I hadi raha

  • @germainekahambu
    @germainekahambu 4 года назад +2

    Dunia hakika kwa leo imeharibika

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku 4 года назад +3

    Kwa Ubora wa Picha Ingependeza muwe na taa.
    Ingekuaa studio zingefungwa ofcn ila kwa sabb mnatoka huko na huko basi tafuta taa pia.

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 4 года назад +2

    Repent Jesus fight for u ok .

  • @lauriansaid5964
    @lauriansaid5964 3 года назад

    Sadaka ya nini

  • @myself4128
    @myself4128 4 года назад +3

    Lakinane kwa mwaka????
    Jamani watu wananyonya sana wenzao

  • @salmashuffa3745
    @salmashuffa3745 4 года назад +1

    Hiyo story haina ukweli itakuaje kijana wa miaka 15 aone bibi tena story ana rudia rudia tu

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 3 года назад

    Watu wengine ni raia kutoka kuzimu kweli Yani mtu achoke hivyo vyote akikufanyia kazi mwisho uchukue pesa yake Tena umchukue misukule

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 4 года назад

    Dah!!

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 года назад +2

    SUBHANALLAH michezo hiyooo.

  • @marcntwari4012
    @marcntwari4012 3 года назад +1

    Sukimucoma na moto ba chawi siowatu wa kuichi dunia

  • @salvatorykyakwe8606
    @salvatorykyakwe8606 4 года назад +2

    Duuuh twafa twilola

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    99 na leo ana miaka mingapi?mbona ni mbaba kabisa?

  • @johnbernad6806
    @johnbernad6806 4 года назад +2

    Usagar napajua mimi nimtu wa igoko ndipo nilipo zaliwa nimekulia huko huko igoko kwaiyo kahama huko napajua sana kwa kina kapiga

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 10 месяцев назад

    Mbona Promover huulizi maswali? Yeye alikuwa ndani nyuma ya mlango, alikuwa anaonaje yanayoendelea kule kaburini?

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад +4

    Tigo Engezeni MB 1000 Kwa GB1 Mana Airtel Mnara Kama Kahaba Wa Manzese Autulii Kabisa Wakati Niko Katikati Ya Jiji Kubwa Tanzania Ukicheki Kule Taifa Kule Muhimbili Uko Kigamboni Apo Posta Uko Kichogoni Manzese Minara Inawaka Dimu Kibao Nyekundu Kila Kona Ewani Jumba La Airtel Live Vodacom Live Tena Juu Mzunguko Na Mitandao Mingine Kwanini Uduma Aiwi Kama CD Ndani Ya DVD Jamani Airtel Vipi Tunataka

    • @EdwinJaphet
      @EdwinJaphet 9 месяцев назад

      Hapa tigo hawapo wafuate ofisini kwao ukawaambia

    • @EdwinJaphet
      @EdwinJaphet 9 месяцев назад

      Hapa tigo hawapo wafuate ofisini kwao ukawaambia

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 года назад +2

    Yaani kwenye kudai sadaka ndo unaharibu. Tunachangia MB haziwatoshi?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 года назад +4

      Siyo lazima mpendwa,ukiona inakukera ujue haikuhusu hiyo

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 4 года назад +1

      Kutoa ni moyo kwan unajua anatumia gharama ngap mpaka ww unapata uwezo wa kupata hizo habari za shuhuda

    • @hassankombo4475
      @hassankombo4475 4 года назад +2

      Kwani yeye anafaidika na nini kwa mb zako kutoa sadaka ni ili uendelee kupata shuudah mbalimbali

  • @jennjaja1586
    @jennjaja1586 4 года назад +5

    Ngai fafa Dunia inamambo😒

    • @joshuatalu9596
      @joshuatalu9596 4 года назад +1

      Kweli ...

    • @michaelmithamo778
      @michaelmithamo778 4 года назад +1

      Beatrice,,,, uguo niguo kuri mundu witu

    • @jennjaja1586
      @jennjaja1586 4 года назад +1

      @@michaelmithamo778 Ngai ateithie ado ake.🙏

    • @michaelmithamo778
      @michaelmithamo778 4 года назад +1

      @@jennjaja1586 ke thi irathira,,,kwina maundu maingi muno ma!!!

  • @marysteven605
    @marysteven605 4 года назад

    Unaona ni nyingi aisée:

  • @maisa47tv28
    @maisa47tv28 4 года назад +1

    Tunachangia mb kaka

  • @jimmymwashambwa3923
    @jimmymwashambwa3923 4 года назад

    napata elimu tosha

  • @maryamoman1370
    @maryamoman1370 4 года назад +2

    Muendelezo pls

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 года назад +1

      ALIYETOLEWA KAFARA NA BOSS: ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0kACwjEpk36H7tyZmiQLV2u

  • @Venasisalum
    @Venasisalum 4 года назад

    jaktani ushuhuda wa msa chesa uliishaje ishaje

  • @youngmoon33
    @youngmoon33 4 года назад

    Mchawi hana dini

  • @aliceuwera5984
    @aliceuwera5984 4 года назад +1

    Unasema ukiangaliya bose yako wakikuzika Wewe ulikuwa wapi?

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 4 года назад +2

    Yani wachawi hawa mamae wangekuwa wanatumia hizo akili kutengeneza dawa ya korona ningewaelewa ila wanachojua wao ni ushuzi ushuzi tu 💩

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад +1

    Akuna Kitu Spendi Nacheki Video Inagoma Uku Mimi Naipenda Stol Mtandao Wa Airtel Niwakichomvu Sana Na Hi RUclips Kimeo Sana

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад

    We Video Iko Na Dakika 54 Inafunguka Kidogokidogo Hi Uduma Imetokea Wapi

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 4 года назад +1

    Nawaulizeni Watu Wa Ulaya Je Uko Iko Mitandao Mibovu Yenye Kusumbua Ivi Mana Inasumbua Uku Kwetu Video Iko Na Dakika 54 Inagomagoma Awajali Muda Awajali Ubola Wa Uduma Awajali Kueshim MB Awajali Ubola Wa Nchi Nchi Hi Niyakisasa Inatupasa Dunia Iwe Kiganjani Mwetu Airtel Na Hi RUclips Vipi Jamani