ENEWZ - "Mr. Nice ni mgonjwa mahututi" Dudubaya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Mr Nice amelifufua upya bifu lake na Dudu Baya baada ya kumuambia Dudu kuwa amefulia na anahitaji msaada. Na kama hatojirekebisha basi atamchukua na kumsaidia, kitendo ambacho kimemkera sana Dudu Baya na kuiambia Enewz kuwa Mr Nice hana uwezo wa kumsaidia yeye mkwanja! Na pia Mr. Nice ni mgonjwa mahututi na anahitaji msaada wa maombezi kutoka kwa Gwajima au mama Rwakatale kama siyo Mzee wa upako, Dudu hakuishia hapo akaongeza kwa kusema Mr. Nice hana tofauti na Dr Shika, anajiona ana pesa kumbe hana kitu chochote.

Комментарии • 118

  • @ramadhanially8249
    @ramadhanially8249 6 лет назад +37

    team dudu baya hapaaa piga huyoooooo

  • @festontandu1747
    @festontandu1747 6 лет назад +59

    Hahahahaha, Tanzania raha sana Mimi sihami kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa

    • @luki2738
      @luki2738 6 лет назад

      😁😁😁

    • @jA-ox7vz
      @jA-ox7vz 6 лет назад

      Festo Ntandu 😂😂😂😂😂🙌
      Mahututi bin taabana😂

    • @divaifrank764
      @divaifrank764 6 лет назад

      Festo Ntandu Umeona eeh😂😁😀

    • @maryangela107
      @maryangela107 6 лет назад

      festo nimecheka sana maana komedi hiyo tuna maliza mwaka vizur

    • @kieranthomas6489
      @kieranthomas6489 3 года назад

      i guess Im pretty off topic but does anyone know of a good site to stream newly released tv shows online ?

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 2 месяца назад

    Six years ago , Alimsema Mr Nice lakini juzi walikuwa Congo ! ! What a wonderful world

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 года назад

    Mungu wangu waswahili walisema usimcheke mgonjwa huyu kijana anajionye kuwa NI men POWER

  • @lashalashira3003
    @lashalashira3003 6 лет назад +2

    Hivi wajua kua Mr nice nyimbo zake bado zavuma hata kama alifail bado twamkumbuka sana tu

  • @alimwamasumbo7535
    @alimwamasumbo7535 6 лет назад

    Konki konki konki,,,mzee wa oil chafu,,,!!!!! Hahahahahahaha,,dudu baya ww ni comedian tosha,,!!!!

  • @conciouslifestyle6227
    @conciouslifestyle6227 6 лет назад +4

    dudu hahahaaaa wewe ni comedian

  • @gracebenson5807
    @gracebenson5807 6 лет назад +11

    Hawa jamaa wanafanya hv ili majina yao yaendelee kuishi.... hapa Hakuna bifu wala nn😕 haya yote wanayapanga sisi wazima bhana si waseme tu kwamba wanatafuta kiki? kulko kutukanana ka watoto wadogo

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 6 лет назад

    Hongera kwakusem ukwel bangi zako so za tanzania 👌👌👌

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 лет назад +5

    Waooo sikujuwi ila umezungumza kashfaa sana

  • @samkissay1155
    @samkissay1155 6 лет назад +7

    oil chafu konk master tishaa 😁😁😁😁😁😁

  • @easttruckers8598
    @easttruckers8598 6 лет назад +7

    safi mamba

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 6 лет назад +8

    sasa Dr shika katoka wapi kwa maneno yenu???

  • @aishaelias986
    @aishaelias986 6 лет назад +21

    Diamond na Ali kiba baadaye watakua hivi wasipochunga

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 5 лет назад

    Nimecheka kisenge kwel dudu wewe ni noma

  • @mussadembelle2845
    @mussadembelle2845 6 лет назад +6

    Mapede jeeee

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 6 лет назад +2

    We mwenyewe maisha yameshakukataa 🏌🏽‍♂️

  • @elizabethmkapa6421
    @elizabethmkapa6421 6 лет назад

    Dudu una point sanaaaaaa nakukubali mno unapatikana wapi wewe ni muwazi👍👍👏

  • @annjulie570
    @annjulie570 5 лет назад

    Dudubaya forgive Mr nice and help him to proper again kwa muziki zake

  • @sabinamaremi1498
    @sabinamaremi1498 5 лет назад +3

    dudu njoo umarizie nyumba uriyo ianzisha huku kwawazazi wako kisesa bujora inaanguka niaibu mzee baba

  • @calvinpascalhabari3042
    @calvinpascalhabari3042 5 лет назад +1

    anampenda mpenz asopenda Chiapas coz hauna polee dudu mavii dingii umerojeka

  • @irutingabokeita9529
    @irutingabokeita9529 5 лет назад

    Acha kuhusisha Dr Shika na upumbavu wenu.Yule hauko kwenye category ya miziki.Umechanganyikiwa

  • @divaifrank764
    @divaifrank764 6 лет назад +2

    Basi msaidiane wote mmefulia

  • @anthonymichael1513
    @anthonymichael1513 6 лет назад +1

    Wasanii fanyeni mziki acheni malumbano.hakuna ajuae kesho.kila mmoja anajiona mwerevu.

  • @hamisimohamedi1779
    @hamisimohamedi1779 6 лет назад

    hahahhahhahahaha noma xna nimeipenda hiyo dudu baya

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 6 лет назад +10

    Mzee konki master oil chafu

    • @hafsashaban8335
      @hafsashaban8335 6 лет назад

      Mzeee oil chafu unifurahishaga mpaka nasahau ninapokwenda haaaaaa

  • @imamrema881
    @imamrema881 6 лет назад +2

    Umeongea true

  • @kimally3771
    @kimally3771 6 лет назад

    😂😂😂😂😂dudubaya looh umenishinda tabia

  • @josephmwaura7425
    @josephmwaura7425 5 лет назад

    Dudu baya hatukutambui Kenya👎👎👎👎Mr nice woiyee

  • @gaspergasper7906
    @gaspergasper7906 6 лет назад +5

    Mnazingua nyinyi, mumefeli kitambo.

  • @jafarijaffu7286
    @jafarijaffu7286 6 лет назад +4

    hahahaha makavu live du konk bhana tisha sana kwa madongo

  • @riziki2542
    @riziki2542 6 лет назад +1

    Eti kuku kapanda baikeli😂😂😂😂😂😂

  • @divaifrank764
    @divaifrank764 6 лет назад

    Ila mzee Dudu upo sahihi 😂😁😀

  • @wasqwe9059
    @wasqwe9059 6 лет назад +4

    hawa wote wasenge tu hawambi kuongea tu

  • @bayoclassic7572
    @bayoclassic7572 6 лет назад

    Nakubali oil chafu konk Nganga Hahaha

  • @ramadhanmohamed7668
    @ramadhanmohamed7668 6 лет назад

    Mipasho ni kwa madem kwa. Wanaume aipendez. Acheni izo mnazingua nyinyi.

  • @faridmobji
    @faridmobji 6 лет назад +3

    Point

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 6 лет назад

    Dudu baya 🙌🙌

  • @kylexy7574
    @kylexy7574 6 лет назад +1

    Mapedejee Mmmh

  • @josephmasenga7718
    @josephmasenga7718 6 лет назад +2

    Dr shika una uhakika kuwa kafilisika

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад

    Dudu baadh muda unaakili Sana

  • @josephryoba9136
    @josephryoba9136 5 лет назад +1

    Dudu baya umezeeka huna lolote mwehu tyu

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 5 лет назад

    Kumbe tuna 2pack na Notorious wa Tz

  • @ayubuayubu1165
    @ayubuayubu1165 6 лет назад

    dudu baya fanya kaz zur acha maneno

  • @ayoubbusanya8290
    @ayoubbusanya8290 6 лет назад +5

    Mapedejee😂😂😂

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 6 лет назад

      hahaha watu na viswahili sanifu buana

  • @nabetv8024
    @nabetv8024 6 лет назад +5

    😂😂😂😂ET kuku kapanda baiskel _____t___b____t

  • @sylbyonebyorg3598
    @sylbyonebyorg3598 3 года назад

    🤣🤣🤣

  • @geofreyjohn1039
    @geofreyjohn1039 6 лет назад +3

    nyote chalk mme panga kiki ya kisenge hamtoboi

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @tioisofotv4910
    @tioisofotv4910 6 лет назад

    Ni hatar kweli

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 6 лет назад

    Hii chuki mwenyezi mungu hawezi kuwambariki

  • @aminaluttu8339
    @aminaluttu8339 6 лет назад

    watu wazima mna familia lkn akili zenu matope mmoja awe mjinga hasa wewe unamichambo ya kidem acha unajishusha we mwanaume

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 лет назад

    ilaaaa dudu anaongea ukweliiii kbss ananivutia sanaaaa

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 5 лет назад

    Ww wajuwa????

  • @godfreyflorence4224
    @godfreyflorence4224 6 лет назад

    Hahaha kukukapnda baiskeli

  • @msemakweli7806
    @msemakweli7806 6 лет назад +3

    Hahahaaaa napita tyu

  • @isibanianews1329
    @isibanianews1329 6 лет назад

    Hahaahahahaha konki master

  • @frankjully5457
    @frankjully5457 6 лет назад +3

    sasa dudu baya ww una nyimbo gani au ushawai kuwa na nyimbo gani ? maana hata kwa umaarafu mpaka Leo ujamfikia Mr nice yy alikuwa anaimba pekee yake ww makolabo mengi

    • @graphixmaster6146
      @graphixmaster6146 6 лет назад +1

      frank jully Mtoto wa juzi kizazi cha Instagram huwezi jua hit's zilizotingisha kama 'Mwanangu huna nidhamu', 'Nakupenda tu', 'Nakupenda mpenzi'

    • @ellenphilip6240
      @ellenphilip6240 6 лет назад +1

      Nahisi umjui dudu vzuri

    • @shanysalim2009
      @shanysalim2009 6 лет назад +2

      Kweli kabisa hamjui dudu fala huyo

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 лет назад

      hits song mbili tu sijui tatu dudubaya kimuzik hamna kitu

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 лет назад

      fala ni wewe

  • @jamesm.darnes640
    @jamesm.darnes640 5 лет назад +1

    Konki Master

  • @emanuelwilbert4252
    @emanuelwilbert4252 5 лет назад

    konki konki master

  • @koja_26
    @koja_26 6 лет назад +1

    Wazee nao

  • @ramadhaniamir8419
    @ramadhaniamir8419 5 лет назад

    Nimekusoma mamba!..

  • @patriotkenyan157
    @patriotkenyan157 6 лет назад

    Dudu baya ako na mstari, nimecheka yangu yote

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 6 лет назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @OmarAli-wr1ti
    @OmarAli-wr1ti 6 лет назад +3

    😁😁😁

  • @queenhalimoja2599
    @queenhalimoja2599 6 лет назад

    watu wanavituko awa napenda kweri

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 6 лет назад

    Dudu baya umeongea kweli tupu

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 6 лет назад

    Annoying musiz mnataka tuskize musoc ama maongezi? Shape up

  • @onetimemidubwashaonetime8453
    @onetimemidubwashaonetime8453 6 лет назад

    nikweli konk mast

  • @abdulrahmanilikavala7317
    @abdulrahmanilikavala7317 6 лет назад +2

    Hao ni nini watani wa jaji hapa nchini Tanzania

    • @abdulrahmanilikavala7317
      @abdulrahmanilikavala7317 6 лет назад

      Wapinzani watanzania hao wanatuburudisha sana sawa na tem mbili za mpira wa miguu simba na yanga

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 6 лет назад

    mapendejee magufuri kawafinya

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma3114 6 лет назад

    😅😅😅😅😅

  • @anithpalme2528
    @anithpalme2528 6 лет назад

    hunalolote wewe kaziyako kujiropokea batawew kilemawahakili wewe dudu baya hunajipyaa

  • @jojikeneth9024
    @jojikeneth9024 5 лет назад

    Konk nawe kuandika mistar uwez

  • @yasrisuleiman6388
    @yasrisuleiman6388 6 лет назад

    Hahahahahahaha

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 6 лет назад

    😀😀😀😀😀🙌😀😀😀

  • @irutingabokeita9529
    @irutingabokeita9529 5 лет назад

    Dudu Baya amepotea kimziki inabaki tu maneno yake yakudhihaki wenzake."fake comedy "

  • @KimbaloEt-Ohms
    @KimbaloEt-Ohms 6 лет назад

    dudu baya hahahatari!!

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 6 лет назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 6 лет назад

    😁😁😁😁

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 6 лет назад

    Hahahahahah mnafurahisha kweeli ma bro zangu pambaneni na hali halisi iliyopo mziki siyo mchezo bana aiseee hahahah ila nawakubali sanaa watu wangu siyo dudu siyo mr Nice.

  • @duncangatundu1397
    @duncangatundu1397 3 года назад

    Nonsense

  • @musanyamarige2550
    @musanyamarige2550 6 лет назад

    Utaniuwa kwakucheka... Mamba

  • @dulahshabani8159
    @dulahshabani8159 6 лет назад

    magufuli kawafinya

  • @salhasutti5637
    @salhasutti5637 6 лет назад

    Vituko uswahilini

  • @Judy001
    @Judy001 6 лет назад

    Hahaha

  • @mamafadila7806
    @mamafadila7806 6 лет назад

    Wasanii mnamambo

  • @rehemagabriel5747
    @rehemagabriel5747 5 лет назад +1

    Mfanye kazi mtuletee nyimbo cyo kutafuta kiki za kuongeleana ongeleana mfyuuuuuu

  • @karolibenard5517
    @karolibenard5517 6 лет назад +2

    Kubali usaidiwe wewe

  • @jeftajosiah40
    @jeftajosiah40 6 лет назад

    Pumbavu zako

  • @yonachaula3530
    @yonachaula3530 5 лет назад

    Pedejee

  • @mirriam.mwangangi4614
    @mirriam.mwangangi4614 6 лет назад +1

    Kal lol.

  • @karimmsham9469
    @karimmsham9469 6 лет назад

    😁😁😁