ENEWZ - "Mr. Nice ni mgonjwa mahututi" Dudubaya
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mr Nice amelifufua upya bifu lake na Dudu Baya baada ya kumuambia Dudu kuwa amefulia na anahitaji msaada. Na kama hatojirekebisha basi atamchukua na kumsaidia, kitendo ambacho kimemkera sana Dudu Baya na kuiambia Enewz kuwa Mr Nice hana uwezo wa kumsaidia yeye mkwanja! Na pia Mr. Nice ni mgonjwa mahututi na anahitaji msaada wa maombezi kutoka kwa Gwajima au mama Rwakatale kama siyo Mzee wa upako, Dudu hakuishia hapo akaongeza kwa kusema Mr. Nice hana tofauti na Dr Shika, anajiona ana pesa kumbe hana kitu chochote.
team dudu baya hapaaa piga huyoooooo
Hahahahaha, Tanzania raha sana Mimi sihami kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa
😁😁😁
Festo Ntandu 😂😂😂😂😂🙌
Mahututi bin taabana😂
Festo Ntandu Umeona eeh😂😁😀
festo nimecheka sana maana komedi hiyo tuna maliza mwaka vizur
i guess Im pretty off topic but does anyone know of a good site to stream newly released tv shows online ?
Six years ago , Alimsema Mr Nice lakini juzi walikuwa Congo ! ! What a wonderful world
Mungu wangu waswahili walisema usimcheke mgonjwa huyu kijana anajionye kuwa NI men POWER
Hivi wajua kua Mr nice nyimbo zake bado zavuma hata kama alifail bado twamkumbuka sana tu
Konki konki konki,,,mzee wa oil chafu,,,!!!!! Hahahahahahaha,,dudu baya ww ni comedian tosha,,!!!!
dudu hahahaaaa wewe ni comedian
Hawa jamaa wanafanya hv ili majina yao yaendelee kuishi.... hapa Hakuna bifu wala nn😕 haya yote wanayapanga sisi wazima bhana si waseme tu kwamba wanatafuta kiki? kulko kutukanana ka watoto wadogo
Grace Benson Kweli kabisa.
Hongera kwakusem ukwel bangi zako so za tanzania 👌👌👌
Waooo sikujuwi ila umezungumza kashfaa sana
oil chafu konk master tishaa 😁😁😁😁😁😁
safi mamba
sasa Dr shika katoka wapi kwa maneno yenu???
Diamond na Ali kiba baadaye watakua hivi wasipochunga
Aisha ELIAS mrembo nimekupenda ww naneed kukuona huko munich
😂😂😂😂😂😂😂😂
Aisha ELIAS 😂😂😂 chizi wewe umenifanyia ni cheke
Aisha ELIAS Umeona eeeh
Aisha umetabiri ukweli
Nimecheka kisenge kwel dudu wewe ni noma
Mapede jeeee
We mwenyewe maisha yameshakukataa 🏌🏽♂️
Dudu una point sanaaaaaa nakukubali mno unapatikana wapi wewe ni muwazi👍👍👏
Dudubaya forgive Mr nice and help him to proper again kwa muziki zake
dudu njoo umarizie nyumba uriyo ianzisha huku kwawazazi wako kisesa bujora inaanguka niaibu mzee baba
Hahahaha kumbe Jamaaaa .........
anampenda mpenz asopenda Chiapas coz hauna polee dudu mavii dingii umerojeka
Acha kuhusisha Dr Shika na upumbavu wenu.Yule hauko kwenye category ya miziki.Umechanganyikiwa
Basi msaidiane wote mmefulia
Wasanii fanyeni mziki acheni malumbano.hakuna ajuae kesho.kila mmoja anajiona mwerevu.
hahahhahhahahaha noma xna nimeipenda hiyo dudu baya
Mzee konki master oil chafu
Mzeee oil chafu unifurahishaga mpaka nasahau ninapokwenda haaaaaa
Umeongea true
😂😂😂😂😂dudubaya looh umenishinda tabia
Dudu baya hatukutambui Kenya👎👎👎👎Mr nice woiyee
Mnazingua nyinyi, mumefeli kitambo.
hahahaha makavu live du konk bhana tisha sana kwa madongo
Eti kuku kapanda baikeli😂😂😂😂😂😂
Ila mzee Dudu upo sahihi 😂😁😀
hawa wote wasenge tu hawambi kuongea tu
Nakubali oil chafu konk Nganga Hahaha
Mipasho ni kwa madem kwa. Wanaume aipendez. Acheni izo mnazingua nyinyi.
Point
Dudu baya 🙌🙌
Mapedejee Mmmh
Dr shika una uhakika kuwa kafilisika
Dudu baadh muda unaakili Sana
Dudu baya umezeeka huna lolote mwehu tyu
Kumbe tuna 2pack na Notorious wa Tz
dudu baya fanya kaz zur acha maneno
Mapedejee😂😂😂
hahaha watu na viswahili sanifu buana
😂😂😂😂ET kuku kapanda baiskel _____t___b____t
🤣🤣🤣
nyote chalk mme panga kiki ya kisenge hamtoboi
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni hatar kweli
Hii chuki mwenyezi mungu hawezi kuwambariki
watu wazima mna familia lkn akili zenu matope mmoja awe mjinga hasa wewe unamichambo ya kidem acha unajishusha we mwanaume
ilaaaa dudu anaongea ukweliiii kbss ananivutia sanaaaa
Ww wajuwa????
Hahaha kukukapnda baiskeli
Hahahaaaa napita tyu
Hahaahahahaha konki master
sasa dudu baya ww una nyimbo gani au ushawai kuwa na nyimbo gani ? maana hata kwa umaarafu mpaka Leo ujamfikia Mr nice yy alikuwa anaimba pekee yake ww makolabo mengi
frank jully Mtoto wa juzi kizazi cha Instagram huwezi jua hit's zilizotingisha kama 'Mwanangu huna nidhamu', 'Nakupenda tu', 'Nakupenda mpenzi'
Nahisi umjui dudu vzuri
Kweli kabisa hamjui dudu fala huyo
hits song mbili tu sijui tatu dudubaya kimuzik hamna kitu
fala ni wewe
Konki Master
konki konki master
Wazee nao
Nimekusoma mamba!..
Dudu baya ako na mstari, nimecheka yangu yote
😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁
watu wanavituko awa napenda kweri
Dudu baya umeongea kweli tupu
Annoying musiz mnataka tuskize musoc ama maongezi? Shape up
nikweli konk mast
Hao ni nini watani wa jaji hapa nchini Tanzania
Wapinzani watanzania hao wanatuburudisha sana sawa na tem mbili za mpira wa miguu simba na yanga
mapendejee magufuri kawafinya
😅😅😅😅😅
hunalolote wewe kaziyako kujiropokea batawew kilemawahakili wewe dudu baya hunajipyaa
Konk nawe kuandika mistar uwez
Hahahahahahaha
😀😀😀😀😀🙌😀😀😀
Dudu Baya amepotea kimziki inabaki tu maneno yake yakudhihaki wenzake."fake comedy "
dudu baya hahahatari!!
😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁
Hahahahahah mnafurahisha kweeli ma bro zangu pambaneni na hali halisi iliyopo mziki siyo mchezo bana aiseee hahahah ila nawakubali sanaa watu wangu siyo dudu siyo mr Nice.
Nonsense
Utaniuwa kwakucheka... Mamba
magufuli kawafinya
Vituko uswahilini
Hahaha
Wasanii mnamambo
Mfanye kazi mtuletee nyimbo cyo kutafuta kiki za kuongeleana ongeleana mfyuuuuuu
Kubali usaidiwe wewe
Pumbavu zako
Pedejee
Kal lol.
😁😁😁