Kiapo cha Mr Nice kwenye mamlaka zenye nguvu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 107

  • @alexchamy2289
    @alexchamy2289 10 месяцев назад +6

    Watu wanajitoa sana kutafuta hela aisee😅. Sema hawa jamaa wangetumia kipaji chao cha kuigiza kufanya film wangepata pesa za halali tofauti na hizi za kitapeli

  • @owagatonny6558
    @owagatonny6558 10 месяцев назад +13

    hiyo mamlaka haina nguvu 😂😂😂😂😂 ni upuuuuuuzi tu

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 10 месяцев назад +2

    Allahu akbar m mungu shinda vya giza na vitokomeze katika hii ardh

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 10 месяцев назад +2

    Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; (2 Wakorintho 10:5)
    Ninakataa kila agano lolote, kila tambiko, kila neno lolote linenwalo katika vinywa vya wasio haki dhidi ya watoto Mungu, katika jina kuu la Yesu.
    Katika jina la Yesu ninaharibu na kupindua nguvu za giza, nguvu za kichawi na mawakala wote wa kipepo !! Kwa jina la Yesu.
    Baba Mungu ninakuomba uwakumbushe na uwaokoe watoto wako ambao nafsi zao zimetekwa na waovu kwa jina la kuu la Yesu.
    Na mimi na familia yangu na kila anayeliamini jina lako Yesu, sote tunajikabidhi mikononi mwako tukiamini utatulinda dhidi ya nguvu za adui shetani.
    Baba ninaomba nikishukuru na kuamini !! Amen !!! 🙏🙏
    Amini na hakika Bwana Yesu atakuwa pamoja nawe !!🤲

  • @HaleemSimba
    @HaleemSimba 10 месяцев назад +13

    😂😂😂😂😂 Hawa Ndio masonic maskini😂😂😂

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 10 месяцев назад +2

    Ile hela itume kweñye namba hiiii😂😂😂😂😂 washafulia hao

  • @ibrahimcharles9842
    @ibrahimcharles9842 3 месяца назад

    mbona kama hawana hela, uyo mbatizaji kashindwa ATAkununua soksi za buku😂😂😂😂🙌

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 7 месяцев назад +2

    Hawa ndo wale matapeli wa ile pesa tuma kwenye namba hii 😂😂😂😂

  • @SmilingDesert-uk5yt
    @SmilingDesert-uk5yt 11 месяцев назад +2

    Karibu sana ❤❤

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 10 месяцев назад +8

    Jichangane upigwe na kitu kizito😂 Business 😅

  • @abassabass529
    @abassabass529 6 месяцев назад

    Matapeliiii😂😂😂😂😂

  • @LupepoKasalle
    @LupepoKasalle 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 upigaji

  • @ChalitoAssumaneAssumane
    @ChalitoAssumaneAssumane 8 месяцев назад

    Good afternoon master please ayuta mimi nujue naõmbo Freemasons please ayuta.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 10 месяцев назад +4

    Mr nice rudi huko kaka umepotea njia ,mrudie mwenyezi mungu

  • @JeanDeDieu-r9p
    @JeanDeDieu-r9p 11 месяцев назад +2

    Courage vraiment karibu

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 10 месяцев назад

    Freemason wa mchongo😊😊

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio 8 месяцев назад

    Prank😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @tekashichannel
    @tekashichannel 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂Damn

  • @GodwinKinyoda
    @GodwinKinyoda 2 месяца назад

    Ni mwaka sasa bado hatujalipwa 😢

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 10 месяцев назад

    Kutoka kenya 🇰🇪 please mr nice hiyo bagi mnatumia acheni jamani 😂😂mr nice una karama ulipewa na MUNGU uibaji please bro mpokee YESU CHRISTO atakusamehe dhambi njoo kenya chapa gospel music achana na tajiri wa shetani ila hayo ni maigizo tu usijishushe bei lukas mkenda unaheshimika sana kenya na africa kwa jumla bro ukipata huu ujumbe please kubalu kubadilika pia badilisha marafiki wewe sio tapeli usikubali michezo yao please 🙏

  • @jagrosarah8070
    @jagrosarah8070 5 месяцев назад

    Kaka unapotea unapotea mungu anakuon

  • @KevinnyAlly
    @KevinnyAlly 11 месяцев назад +2

    Nice 👍

  • @MrishoFadhili
    @MrishoFadhili 10 месяцев назад +2

    Lalifu😂😂

  • @HurumaeldaudMakala
    @HurumaeldaudMakala 3 месяца назад

    Mafi yako Mr nice achaa uwongo hunajipya wewe.😂

  • @KenleeDominic
    @KenleeDominic 4 месяца назад

    😂😂

  • @BarakaMwakalambile-u6n
    @BarakaMwakalambile-u6n 6 месяцев назад

    Yesu nikiboko ya freemasoni

  • @SideMohd
    @SideMohd 10 месяцев назад +8

    Hiyo ni tangzo la biashara ndo man kun nmba za sim

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 10 месяцев назад +7

    Eti mamlaka yenye nguvu? Nguvu ipi mbulumakenge wakubwa nyie leo shetani ndio kaumba dunia 😂😂😂😂😂😂kenge kweli nyie mbwa kabisa nyie.
    Mataila wakubwa nyie. Mamlaka yenye nguvu nguvu ipi????? utaila tu umewajaa na umaskin

    • @francismbaru2231
      @francismbaru2231 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂...wapumbavu Sana hawa.

  • @prophetnabiizelia
    @prophetnabiizelia 18 дней назад

    😂 utapeli umukuwa mwingi Tanzania

    • @prophetnabiizelia
      @prophetnabiizelia 18 дней назад

      Fremacon wapi kwenye Mbao na taa ya ku maskini hivyo😂😂😂

  • @MeshackKabunda
    @MeshackKabunda 10 месяцев назад

    Usengelema

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx 6 месяцев назад +1

    Nimesikiliza kwa makin hapo wanaigiza tu hakuna ukweli

  • @abdillahsuleiman9870
    @abdillahsuleiman9870 10 месяцев назад +4

    Wacheni njaa vijana

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 10 месяцев назад +4

    Eeeeh MUNGU wangu wape watoto wako neema ya wokovu waijue kweli nayo kweli iwaweke huru wanadamu wameuza nafsi zao kwa ajiri ya tamaha jamani MUNGU atusaidie

  • @michaeljacobo2925
    @michaeljacobo2925 10 месяцев назад +8

    Yesu alitabiri yote haya....ni nyakati za mwisho mambo hadharani siku hizi....Saa ya Wokovu ni sasa....Okokeni shauri yenu....

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 10 месяцев назад +3

    Mjini bana kuna vituko vingi

  • @DjumaineHarerimana-y9t
    @DjumaineHarerimana-y9t 3 месяца назад

    Ayo nimaisha magumu sana kuliko sisi tunalala na jaa

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 10 месяцев назад +2

    Dunia imeisha

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 10 месяцев назад +1

    Mi mbona ckuapishwa nikiwa nimevaa miwani na nguo. Nilikua uchi kabisa. Hapana hii sio sawa wanaupendeleo hawa 😂😂😂😂

    • @BETConlineTVTZ
      @BETConlineTVTZ 10 месяцев назад

      mwanangu jiunge na kundi lolote la stand up comedy utatobo nimecheka sana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅😅

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 10 месяцев назад

      Pumbav🤣🤣🤣

  • @johnkomba5413
    @johnkomba5413 10 месяцев назад

    Business is Business 😂😂😂😂

  • @JosephatKimoga-z5k
    @JosephatKimoga-z5k Месяц назад

    HAWA MAATAPELI AMINI

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 10 месяцев назад

    Hawa ndiyo freemasonry maskini Dunia nzima 😂😂😂😂... kisha unadanganywa eti watakupa maisha 😂.... wao wenyewe wako hoi tn ile yaukweli yani wanapigika kinoma noma 😂

  • @ZarafiMohammed
    @ZarafiMohammed 10 месяцев назад

    😂😂dah

  • @MAULIDMAULID-m6z
    @MAULIDMAULID-m6z 10 месяцев назад +3

    Acha tamaa ww mana hata ukipata unakufa tuuu shenani nyny.

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 10 месяцев назад +2

    Mwanadamu chukua hatua, hizi ni siku za mwisho. Tupo siku za kufungwa historia ya dunia

  • @gracebura7713
    @gracebura7713 7 месяцев назад

    Kashauwa ndugu kibao hapo

  • @MNHAMAOFICIAL
    @MNHAMAOFICIAL 9 месяцев назад

    Framson iyo mbona kimekondakonda ina mzuluku kweli????

  • @HurumaeldaudMakala
    @HurumaeldaudMakala 3 месяца назад

    Mnachekesha kweli. Mmekosa kazi eti?

  • @mrok284
    @mrok284 7 месяцев назад

    Allah awape hidaya ila mumepotoka Sana.

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 5 месяцев назад

    Matapeli wakubwa

  • @OsindeMisaer
    @OsindeMisaer 10 месяцев назад

    Freemason tena . ... weeh!

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 9 месяцев назад

    Hali ni ngumu sana. ... ndo mana tunayashuhudia yote haya..

  • @francisnyaji5000
    @francisnyaji5000 10 месяцев назад

    😅😅😅😅njàa kali

  • @AnoldLyimo-h1e
    @AnoldLyimo-h1e 10 месяцев назад

    Huyo tapeli jichanganyeni tuu

  • @GrantMwakalambile
    @GrantMwakalambile 7 месяцев назад

    Kamba zote izo Amna kitu apo mnaigiza2

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 10 месяцев назад +2

    Mchaga amejiangamiza mwenyewe

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 9 месяцев назад

    Hamna kitu hapo,
    Absolutely its a lie,
    Hakuna freemasonly hapo eti,
    UTAPELI mptupu..

  • @newupdates6063
    @newupdates6063 10 месяцев назад

    Njaa mbaya, Ona sasa Mac muga😂

  • @suleimanicatter4809
    @suleimanicatter4809 11 месяцев назад

    ✅✅✅

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 10 месяцев назад +2

    Naona mafreemas mnamkaribisha Mr Nice🤔

  • @josephcharles6315
    @josephcharles6315 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂jichanganye18

  • @SadikiJuma-s6g
    @SadikiJuma-s6g 10 месяцев назад +2

    Pumbavuu zaooo, freemason kuvaa jinsi wap na wap😂😂😂😂

  • @Alexthadey-lm3ju
    @Alexthadey-lm3ju 10 месяцев назад +2

    Mashetani nyie

  • @Mokiwa
    @Mokiwa 10 месяцев назад

    Wameshajichanganya, hilo lidudu lao halikuumba ukimwengu

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 10 месяцев назад +2

    Iiiih 😂😂😂number za simu juu

  • @MchilloUlongwa
    @MchilloUlongwa 10 месяцев назад

    Dah! Huyo anaenda wrong way

  • @albertmichael4014
    @albertmichael4014 10 месяцев назад

    Jmniiii mweee mjini akili

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 10 месяцев назад

    Ahahahaha kumbe ameamua kuwa fremasonn

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 10 месяцев назад

    Wacha tuu nitumie waeabu halali yangu lkn sio huu ujinga

  • @RobertMakori-c6b
    @RobertMakori-c6b 10 месяцев назад

    Mark 8:36

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 11 месяцев назад

    Ohhh mr nice umefika hapo

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 10 месяцев назад

    Hauna hata aibu mbele yayesu na dunia pia

  • @OthamanOthaman-tj2bv
    @OthamanOthaman-tj2bv 10 месяцев назад +1

    Mwisho wa maji nitope mkereni mumgu ila sku atakushikeni tu wajinga wakubwa Allah yupo

  • @patrickSeverin-o2s
    @patrickSeverin-o2s 10 месяцев назад

    Aya mav kwel

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 10 месяцев назад

    Washirikina na waovu, bure kabisa

  • @HELLENNdungo
    @HELLENNdungo 11 месяцев назад

    Karibu Mr nice

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 10 месяцев назад

    Tumewashtukia matapeli hao na hamtupati

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 10 месяцев назад

    Akili itumikii

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 10 месяцев назад

    Ni Kwel Au Ni Kiki Tu..? Kama NI kwel Basi Eeh ALLAH tuepushe Na Aya Mambo

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 10 месяцев назад

    😭😭😭😭😭😭

  • @amissilulinda2166
    @amissilulinda2166 10 месяцев назад +11

    Nayeyote anaye inayona iyi video nanimkristo akatunza nyimbo za uyumsanii wakala washetani Gazabu ya Mungu aliyohayi iwejuuya nalaana

    • @Marjeby
      @Marjeby 10 месяцев назад

      Acha ufala wewe na ukristo wako

    • @elimuvisioncenter
      @elimuvisioncenter 10 месяцев назад

      mpuuz mmoja wewe

    • @benjaminmuriira6111
      @benjaminmuriira6111 10 месяцев назад +1

      Ameishia apo kabisa

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 10 месяцев назад +1

      Kweli kabisa nyinyi mnaotukana ni wapumbavu wa akili mmeoza kichwani ndio maana humuoni huyu mpuuzi kujitangaza

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 10 месяцев назад

      Hawa ni matapeli tu

  • @FarajaSijali
    @FarajaSijali 10 месяцев назад

    Kumbe

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 10 месяцев назад

    Hii ni dini kama dini zingine

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 10 месяцев назад

    Wajinga ndio waliwao