Watu wanajitoa sana kutafuta hela aisee😅. Sema hawa jamaa wangetumia kipaji chao cha kuigiza kufanya film wangepata pesa za halali tofauti na hizi za kitapeli
Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; (2 Wakorintho 10:5) Ninakataa kila agano lolote, kila tambiko, kila neno lolote linenwalo katika vinywa vya wasio haki dhidi ya watoto Mungu, katika jina kuu la Yesu. Katika jina la Yesu ninaharibu na kupindua nguvu za giza, nguvu za kichawi na mawakala wote wa kipepo !! Kwa jina la Yesu. Baba Mungu ninakuomba uwakumbushe na uwaokoe watoto wako ambao nafsi zao zimetekwa na waovu kwa jina la kuu la Yesu. Na mimi na familia yangu na kila anayeliamini jina lako Yesu, sote tunajikabidhi mikononi mwako tukiamini utatulinda dhidi ya nguvu za adui shetani. Baba ninaomba nikishukuru na kuamini !! Amen !!! 🙏🙏 Amini na hakika Bwana Yesu atakuwa pamoja nawe !!🤲
Kutoka kenya 🇰🇪 please mr nice hiyo bagi mnatumia acheni jamani 😂😂mr nice una karama ulipewa na MUNGU uibaji please bro mpokee YESU CHRISTO atakusamehe dhambi njoo kenya chapa gospel music achana na tajiri wa shetani ila hayo ni maigizo tu usijishushe bei lukas mkenda unaheshimika sana kenya na africa kwa jumla bro ukipata huu ujumbe please kubalu kubadilika pia badilisha marafiki wewe sio tapeli usikubali michezo yao please 🙏
Eti mamlaka yenye nguvu? Nguvu ipi mbulumakenge wakubwa nyie leo shetani ndio kaumba dunia 😂😂😂😂😂😂kenge kweli nyie mbwa kabisa nyie. Mataila wakubwa nyie. Mamlaka yenye nguvu nguvu ipi????? utaila tu umewajaa na umaskin
Eeeeh MUNGU wangu wape watoto wako neema ya wokovu waijue kweli nayo kweli iwaweke huru wanadamu wameuza nafsi zao kwa ajiri ya tamaha jamani MUNGU atusaidie
Hawa ndiyo freemasonry maskini Dunia nzima 😂😂😂😂... kisha unadanganywa eti watakupa maisha 😂.... wao wenyewe wako hoi tn ile yaukweli yani wanapigika kinoma noma 😂
Watu wanajitoa sana kutafuta hela aisee😅. Sema hawa jamaa wangetumia kipaji chao cha kuigiza kufanya film wangepata pesa za halali tofauti na hizi za kitapeli
hiyo mamlaka haina nguvu 😂😂😂😂😂 ni upuuuuuuzi tu
Allahu akbar m mungu shinda vya giza na vitokomeze katika hii ardh
Aaamin
Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; (2 Wakorintho 10:5)
Ninakataa kila agano lolote, kila tambiko, kila neno lolote linenwalo katika vinywa vya wasio haki dhidi ya watoto Mungu, katika jina kuu la Yesu.
Katika jina la Yesu ninaharibu na kupindua nguvu za giza, nguvu za kichawi na mawakala wote wa kipepo !! Kwa jina la Yesu.
Baba Mungu ninakuomba uwakumbushe na uwaokoe watoto wako ambao nafsi zao zimetekwa na waovu kwa jina la kuu la Yesu.
Na mimi na familia yangu na kila anayeliamini jina lako Yesu, sote tunajikabidhi mikononi mwako tukiamini utatulinda dhidi ya nguvu za adui shetani.
Baba ninaomba nikishukuru na kuamini !! Amen !!! 🙏🙏
Amini na hakika Bwana Yesu atakuwa pamoja nawe !!🤲
😂😂😂😂😂 Hawa Ndio masonic maskini😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅
Ile hela itume kweñye namba hiiii😂😂😂😂😂 washafulia hao
😂
mbona kama hawana hela, uyo mbatizaji kashindwa ATAkununua soksi za buku😂😂😂😂🙌
Hawa ndo wale matapeli wa ile pesa tuma kwenye namba hii 😂😂😂😂
Karibu sana ❤❤
Jichangane upigwe na kitu kizito😂 Business 😅
😂😂😂😂
Matapeli hawo
Ukiingiza kichwa Wana kata 😂
😂😂😂😂😂
Matapeliiii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 upigaji
Please help me to join luminati
Good afternoon master please ayuta mimi nujue naõmbo Freemasons please ayuta.
Mr nice rudi huko kaka umepotea njia ,mrudie mwenyezi mungu
Courage vraiment karibu
Freemason wa mchongo😊😊
Prank😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂Damn
Ni mwaka sasa bado hatujalipwa 😢
Kutoka kenya 🇰🇪 please mr nice hiyo bagi mnatumia acheni jamani 😂😂mr nice una karama ulipewa na MUNGU uibaji please bro mpokee YESU CHRISTO atakusamehe dhambi njoo kenya chapa gospel music achana na tajiri wa shetani ila hayo ni maigizo tu usijishushe bei lukas mkenda unaheshimika sana kenya na africa kwa jumla bro ukipata huu ujumbe please kubalu kubadilika pia badilisha marafiki wewe sio tapeli usikubali michezo yao please 🙏
Kaka unapotea unapotea mungu anakuon
Nice 👍
Lalifu😂😂
Mafi yako Mr nice achaa uwongo hunajipya wewe.😂
😂😂
Yesu nikiboko ya freemasoni
Hiyo ni tangzo la biashara ndo man kun nmba za sim
Eti mamlaka yenye nguvu? Nguvu ipi mbulumakenge wakubwa nyie leo shetani ndio kaumba dunia 😂😂😂😂😂😂kenge kweli nyie mbwa kabisa nyie.
Mataila wakubwa nyie. Mamlaka yenye nguvu nguvu ipi????? utaila tu umewajaa na umaskin
😂😂😂😂😂😂...wapumbavu Sana hawa.
😂 utapeli umukuwa mwingi Tanzania
Fremacon wapi kwenye Mbao na taa ya ku maskini hivyo😂😂😂
Usengelema
Nimesikiliza kwa makin hapo wanaigiza tu hakuna ukweli
Wacheni njaa vijana
Eeeeh MUNGU wangu wape watoto wako neema ya wokovu waijue kweli nayo kweli iwaweke huru wanadamu wameuza nafsi zao kwa ajiri ya tamaha jamani MUNGU atusaidie
Yesu alitabiri yote haya....ni nyakati za mwisho mambo hadharani siku hizi....Saa ya Wokovu ni sasa....Okokeni shauri yenu....
Njaa tu hapo amna kitu
Mjini bana kuna vituko vingi
Ayo nimaisha magumu sana kuliko sisi tunalala na jaa
Dunia imeisha
Mi mbona ckuapishwa nikiwa nimevaa miwani na nguo. Nilikua uchi kabisa. Hapana hii sio sawa wanaupendeleo hawa 😂😂😂😂
mwanangu jiunge na kundi lolote la stand up comedy utatobo nimecheka sana
😅😅😅😅😅😅😅
Pumbav🤣🤣🤣
Business is Business 😂😂😂😂
HAWA MAATAPELI AMINI
Hawa ndiyo freemasonry maskini Dunia nzima 😂😂😂😂... kisha unadanganywa eti watakupa maisha 😂.... wao wenyewe wako hoi tn ile yaukweli yani wanapigika kinoma noma 😂
😂😂dah
Acha tamaa ww mana hata ukipata unakufa tuuu shenani nyny.
Mwanadamu chukua hatua, hizi ni siku za mwisho. Tupo siku za kufungwa historia ya dunia
Kashauwa ndugu kibao hapo
Framson iyo mbona kimekondakonda ina mzuluku kweli????
Mnachekesha kweli. Mmekosa kazi eti?
Allah awape hidaya ila mumepotoka Sana.
Matapeli wakubwa
Freemason tena . ... weeh!
Hali ni ngumu sana. ... ndo mana tunayashuhudia yote haya..
😅😅😅😅njàa kali
Huyo tapeli jichanganyeni tuu
Kamba zote izo Amna kitu apo mnaigiza2
Mchaga amejiangamiza mwenyewe
Hamna kitu hapo,
Absolutely its a lie,
Hakuna freemasonly hapo eti,
UTAPELI mptupu..
Njaa mbaya, Ona sasa Mac muga😂
✅✅✅
Naona mafreemas mnamkaribisha Mr Nice🤔
😂😂😂😂😂jichanganye18
Pumbavuu zaooo, freemason kuvaa jinsi wap na wap😂😂😂😂
Mashetani nyie
Wameshajichanganya, hilo lidudu lao halikuumba ukimwengu
Iiiih 😂😂😂number za simu juu
Dah! Huyo anaenda wrong way
Jmniiii mweee mjini akili
Ahahahaha kumbe ameamua kuwa fremasonn
Wacha tuu nitumie waeabu halali yangu lkn sio huu ujinga
Mark 8:36
Ohhh mr nice umefika hapo
Hauna hata aibu mbele yayesu na dunia pia
Mwisho wa maji nitope mkereni mumgu ila sku atakushikeni tu wajinga wakubwa Allah yupo
Aya mav kwel
Washirikina na waovu, bure kabisa
Karibu Mr nice
Naomba namba yako
Tumewashtukia matapeli hao na hamtupati
Akili itumikii
Ni Kwel Au Ni Kiki Tu..? Kama NI kwel Basi Eeh ALLAH tuepushe Na Aya Mambo
😭😭😭😭😭😭
Nayeyote anaye inayona iyi video nanimkristo akatunza nyimbo za uyumsanii wakala washetani Gazabu ya Mungu aliyohayi iwejuuya nalaana
Acha ufala wewe na ukristo wako
mpuuz mmoja wewe
Ameishia apo kabisa
Kweli kabisa nyinyi mnaotukana ni wapumbavu wa akili mmeoza kichwani ndio maana humuoni huyu mpuuzi kujitangaza
Hawa ni matapeli tu
Kumbe
Hii ni dini kama dini zingine
Bonjour uko ndani
Wajinga ndio waliwao