CHID BENZ ALIVYOWASHANGAZA MASHABIKI ZAKE/ DJ CHOKA ASHIKWA NA BUTWAA -

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2020
  • #HiviNiKweli #MotownSanya #ChidBenz #NemboYaMtaa
    HIVI NI KWELI NI KILA JUMANNE SAA 03:00 USIKU
    MARUDIO JUMATANO SAA 08:00 MCHANA
    IJUMAA. SAA 04:00 JIONI
    JUMAPILI. SAA 08:00 MCHANA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @john_mlacha5390
    @john_mlacha5390 3 года назад +11

    Anae mkubali chidy gonga like kama zote❤❤❤one love brooh

  • @rogermazombo9744
    @rogermazombo9744 3 года назад +274

    Wasafi please mu saidiyeni Benzino kutoa iyo ngoma itakuwa kali sana ambao wame kubali iyo ngoma na wana penda itoke tujuwane kwa ma like apa

  • @baqaryamry3415
    @baqaryamry3415 3 года назад +7

    Naombeni like za producer wadau

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 3 года назад +5

    Kama unajua unajua tu, CHID BENZ anajua sanaaaaa MUNGU amuwezeshe atoke alipo ila anapishana na hela nyingi sana huyu jamaa

  • @harunafillipo8584
    @harunafillipo8584 3 года назад +186

    Bonge la kionjo alie lielewa kama mm like hapo

  • @fezzydawisso4235
    @fezzydawisso4235 3 года назад +417

    Anae kubaliana na Mimi chiddy benzi ni genius gonga like

    • @hamidmakamejuma3518
      @hamidmakamejuma3518 3 года назад +3

      Chizi uyu ila media tu ndo zonimfanya aonekane anaongea point , hamna kitu

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 3 года назад +1

      Genius gani Sasa....hahahaaa.....wabongo bwana...!

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 3 года назад +1

      Ismail Yusuph waBongo tunaongoza kwa story za vijiweni 😁, Genius sijajua watu wanauelewa gani kuhusu u Genius .

    • @dan-konjembe5913
      @dan-konjembe5913 3 года назад

      🎶🎶🎶🎶🎶🎶🙌🙌🙌🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾👍

    • @arinatsynkush7325
      @arinatsynkush7325 3 года назад

      Explain the meaning of the word Genius.

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 3 года назад +67

    Dah! Mazee
    Chiddi ni mnyama sana, kama unakubali Chiddi kafanya unyama studio gonga like twende sawa

  • @laulenciaevarist6249
    @laulenciaevarist6249 3 года назад +3

    Hakuna mkali wa hip hop kama MNYAMA CHID BENZ KAMA UNAMKUBALI gonga like kama zote timu #CHIDBENZ ALL THE BEST BRO

  • @slasherkwanjajr3251
    @slasherkwanjajr3251 3 года назад +166

    Kipindi Kizuri Sn Ila Muwe Na Security Nzuri Maana Ipo Siku Kuna Msanii Anaweza Akapaniki Kutokana Na Mawazo Ya Mashabiki

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 3 года назад +6

      Kabisa kama kwa yule jamaa wa rasta kidogo amuwakie

    • @kisesalusambo9452
      @kisesalusambo9452 3 года назад +2

      Mb a kipindi wameiga Cha ETV kabisa

    • @dairyhairy6269
      @dairyhairy6269 3 года назад +3

      Acha weye hichi kipindi kimeanza kitambo saana

    • @dairyhairy6269
      @dairyhairy6269 3 года назад +3

      Wasafi wabunifu saana sema etv ifanye iige

    • @okeyokarolipaul4893
      @okeyokarolipaul4893 3 года назад +3

      @@kisesalusambo9452 tunaoga na tunafanya kuwaliko, habari ya mjini 😂, penye diamond yuko hakuanguki

  • @tetetvlamu9224
    @tetetvlamu9224 3 года назад +49

    Chid bro mm ni bro wako, kutoka lamu kenya wallahi naskia Raha kukuona big love bro

  • @macksonkinenge4319
    @macksonkinenge4319 3 года назад +23

    Ili Jamaa Jitu Kweli sijui alirogwa na Nani kumamake chidi benzi chumaa 💥

  • @AmCool_
    @AmCool_ 3 года назад +100

    Chidi bana nilipomkubali zaidi kwenye hii video, pale alipotoa sigara akampa jamaa, papo hapo akapiga darasa la madhara ya sigara. NOMA SANA!!!

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 3 года назад

      Hahaaa’ wabwia unga Ndo walivyo....!...Akianza kukuelezea madhara ya unga huku anakusihi usijiingize na ww’ unaweza kujiuliza Kwa nini Sasa yy ANAUBWIA...? ....hahahahaaa...!

    • @saidabdallah3193
      @saidabdallah3193 3 года назад +3

      Ismail Yusuph sio wabwia unga, watu wote wenye akili walijikuta kwenye ubwiaji wa unga, uvutaji wa sigara ama pombe watakushauri usijaribu hizo vitu kwa sababu ukishaingia hata kama hupendi na unataka kuacha kazi yake sio ndogo. Na hiyo ni kwa sababu hivyo vitu vina addiction strong hatari once you are in you are fucked up!

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 3 года назад

      #SaidAbdallah ....Ah.!...wabwia unga wako tofauti sana juu ya kuasa ‘ hawalingani na hao wanywa pombe au wavuta sigara ‘...!

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 3 года назад

      Kweli kampokonya kabadili adi rahaaaaa

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 года назад

      Watu wa sigara tupooo

  • @michaelnassoro5669
    @michaelnassoro5669 3 года назад +36

    Ukiaachana na chid, uyo alieedit hii kitu n muuaji wa namna ya flyover.......Daah em ngoja niangalie tna

  • @omaryrashid4720
    @omaryrashid4720 3 года назад +7

    Uwa sipendagi kucoment ila kwa huyu mwamba ni nyokooooooooo
    Nakubalii Xana punch zake

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 3 года назад +3

    huyu mwambaa ni hatari kapandaa na bit hapo hapo mistar hapo hapo eeh bwaanaa respect xna chid benzz♡♡

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi 3 года назад +5

    Like Chidi ever since.....cheki chidi alivyojibu Kibusara na kistarabu... Best ever Rapper East Africa.

  • @steventhomas8046
    @steventhomas8046 2 года назад +3

    Ukweli jamani me huwa nakuja hapa kila baada ya muda kwajili ya kipande icho Cha nyimbo alieimba chidi kwa kweli ni bonge la song

  • @tidyclevertz
    @tidyclevertz 3 года назад +72

    ONCE A CHIDI BEENZ ALWAYS A CHIZI BEENZ, NAKUBALI SANA HUYU MWAMBA

    • @aliabmugh2362
      @aliabmugh2362 3 года назад +1

      Mimi ni nani nisidondoshe komenti love wkb

    • @themagadir
      @themagadir 3 года назад

      Once Chidi Benz always Chidi Benz

  • @gabrieltembo3854
    @gabrieltembo3854 3 года назад +1

    Chid kapewa pit nzuri San wanao kubalia na Mimi gonga like

  • @chrislee4292
    @chrislee4292 3 года назад +1

    Mugalee yuko vizuri 🤣🤣nimependa alicho kifanya .kumbe ukijikubali unafanikiwa .gonga like Kama nawe umekubali Kama mmi

  • @hancyboy6812
    @hancyboy6812 3 года назад +29

    Kama umeielewa hii ngoma kama mimi like hapa

  • @itumbajoh5399
    @itumbajoh5399 3 года назад +24

    This man has extraordinary skills very genius and well talented.. you can see he suddenly changed with vocal synchronised..✴

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 2 года назад +1

    Kama una kubali chid katoa azanaa nipe like kama zote

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 года назад +3

    Kuna chidy benzi m1 tu duniani

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 года назад +66

    Mimi binafsi CHID BENZ namshabikia toka longtime lakin toka aingie kwenye madawa ikasemekana ameacha simuelewi kunaonekana Kama anatakiwa afanyiwe Counselling arudi Kama zamani kwani hata akifanya interview unaona anatatizo fulan Kama usiriasi haupo.Unakua hicho kipindi nikizuri Sana kinapromo Kali Sana so ndio hivyo

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 3 года назад

      Uyu kuacha madawa ndoto

    • @mussamsella5801
      @mussamsella5801 3 года назад +8

      Ukitaka kumuelewa chidbeenz anachoongea kwanza yafute akirini mwako mapito yake aliyopitia halafu tumia akiri ya kawaida tuu utamuelewa.

    • @chundabadimtanzania9046
      @chundabadimtanzania9046 3 года назад

      @@fatemaligalawa4151 kwann asiweze

    • @isackhassan6551
      @isackhassan6551 3 года назад

      Kwani unga mnaona km nini nyie mbona watu wengi tu wanaacha kwanini Chidi

  • @sponsertv5009
    @sponsertv5009 3 года назад +35

    Daaaah yani hapa nimelia yani daah chid so chid go chid talented more than fire

  • @michaelmzinga4741
    @michaelmzinga4741 3 года назад +26

    Chid benz is my favourite rapper since day one.

  • @carolshiru4374
    @carolshiru4374 3 года назад +6

    Wakenya oyeeee 🤣🤣🤣🤣 wapi likes za chidi

  • @jsmastory5770
    @jsmastory5770 3 года назад +8

    UPANUE WIGO
    kuna baadhi ya marafiki huwa tunawachukulia kawaida kwenye maisha lakini ni watu wa muhimu sana.

  • @elizabethmangapii7477
    @elizabethmangapii7477 3 года назад +144

    Jamani hawa wasafi ni wabunifu sana binafsi kuna muda fulani nilikuwa sijawaelewa ila sasa wako juu kwa ubunifu....chidy katisha jamani huyu jamaa ana akili sema basi tu

    • @mubussnestv5057
      @mubussnestv5057 3 года назад +2

      Tatizonmchezo mwingi

    • @vennvictor5784
      @vennvictor5784 3 года назад +1

      Sanaaaa

    • @vennvictor5784
      @vennvictor5784 3 года назад +1

      Daaaaaaaa nomaa aanaaaaaaaaaaaa

    • @ibrahimtekelo304
      @ibrahimtekelo304 3 года назад +9

      Hiki kipindi sio wanebuni bali wamejiongeza mara ya kwanza naona ubunifu kama huu ilikuwa kwa 50 cent hivyo safi kiasi ila hawajabuni ila wamecopy

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 3 года назад +1

      Ibrahim Tekelo wamekopi wap

  • @chesadennis5241
    @chesadennis5241 3 года назад +11

    Oyooooooo Wasafi hatareeee. With love from Embakasi, Nairobi. Chidi Chuma....... Wacha maneno weka muziki

  • @saidhussein1120
    @saidhussein1120 3 года назад +8

    Hiyo ngoma ya chid mahabuba aliyotoa ghafla kwa Buga bora aitoe imetulia sana

  • @farajastanley3480
    @farajastanley3480 3 года назад +45

    mo town sanya ... wana tulikumis kinouma coz ua the best in street shows..

  • @slemdj
    @slemdj 3 года назад +56

    SANYA PINDI LA LEO NIMELIPENDA SANA

  • @nicky3025
    @nicky3025 3 года назад +1

    Huyo Bhughalee ni mnoma mzee🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @bekamaujuz
    @bekamaujuz 3 года назад

    Ili goma Kali uy dj fund sanaaa gonga like

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias3758 3 года назад +12

    Kumuhoji chidi kazi sanaa

    • @KMLotin
      @KMLotin 3 года назад +2

      😂😂😂coz anamuhoji muandishi kuliko anavyohojiwa yeye😂😂😂

    • @tusajigwemathias3758
      @tusajigwemathias3758 3 года назад

      Yaani kwanza hana uvumilivu wa kutulia kwenye gari anatoka.. Maswali baada ya kujibu ndio anahojii hahahaaaaa chidi hatareee

  • @flinchclassic1726
    @flinchclassic1726 3 года назад +7

    Kama umecheka hao jamaa wanaoimba nyimbo ya darasa gonga like😂😂😂😂

  • @zarohjuma2151
    @zarohjuma2151 3 года назад +6

    Chidi Benz is one of a kind. The Best Rapper of All Times REAL OG. he is hilarious and serious at the same time Big Up Mo Town Sanya. One Love from +254

  • @widah_sellahsix_gun155
    @widah_sellahsix_gun155 3 года назад +2

    Nkbl xana kaka ckupingi yani umet0a mpk kwaju hap0 hap0 kwl balaa gonga like hap0👍

  • @swaiboe6646
    @swaiboe6646 3 года назад +51

    Chid kanifurahisha sana

  • @_HelloX_
    @_HelloX_ 3 года назад +15

    Kusema ukweli chidy anafaa sana kua motivational speaker, anaongea vitu kuntu sana #1♥️

  • @mtindothedone4958
    @mtindothedone4958 3 года назад +28

    Duuuh Chidy Nomaa Huwaga sina mzuka na comment Ila kwa Chidy nimecomment

  • @brain_ujazo
    @brain_ujazo 3 года назад +10

    Hii ingekua na Session mbili safi sana. Bugalee na Chidi wangekua na Hiibsession pia ingekua Vema Zaidi

  • @mathewlive1372
    @mathewlive1372 3 года назад +44

    Kama hawajamaaa wanaifatisha ngoma ya darasa wamekuvunja mbav jua tuko pamoja apa..... 😂😂😂😂😂

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 3 года назад +8

    NAPENDA SANA NCHI YANGU

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid7798 3 года назад +1

    Jamaaaa ni noma jamaa namkubali long

  • @martinmoogi
    @martinmoogi Год назад +1

    Chidi Benz chuma d town stend up👊👊👊

  • @brightonwalter6682
    @brightonwalter6682 3 года назад +15

    Dah naenjoy mpk Bora kusikiliza wasaf kuliko kusikiliza madem viswaswad wnatia nuksi

  • @bregadiakamote3604
    @bregadiakamote3604 3 года назад +1

    Acheni masiala WASAFI fanyeni juu chini iyo Ngoma itoke ya Chidi ni kali kinomaa🔥🔥🔥 My love My Hubaa......

  • @Telezea
    @Telezea 3 года назад +2

    Nipo hapa leo naomba kwa niaba ya chid benz,naomba tumsapoti naomba sana maana chid ni mshikaji poa sana

  • @majotv3405
    @majotv3405 3 года назад +9

    Chidi benzini hatari huyu mwambaa anatisha 🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sana

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu4561 3 года назад +18

    Hii ngomaa itokee jamn nzur sn ❤️❤️

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 3 года назад +1

    Mwili wa Chid Mashaalha umeanza kurud

  • @mohamedsoud985
    @mohamedsoud985 3 года назад +2

    kipande cha studio nmekirudia zaid ya mara100 mwanangu chid..repect on u

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 3 года назад +11

    nimependaa sanaa mnavyo mpaa uhuru msanii love this

  • @donomar6876
    @donomar6876 3 года назад +62

    RESPECT THE OG CHIDI BENZ ....GREATEST OF ALL TIME ...SALUTE MWAMBA CHUMA

  • @victoruswazi3593
    @victoruswazi3593 3 года назад +10

    Sasa Uyu jamaa w T-shet nyeusi na Nyeupe yenye mistari so Funny 😬😬🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @ezronuwezo4113
    @ezronuwezo4113 3 года назад +1

    Sijawai acha kumkubali chidbenz ni nouuma

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 3 года назад +17

    Uko kwenye kuimba ngoma ya Darasa aisee Dah😂😂😂😂

  • @newstvonline1336
    @newstvonline1336 3 года назад +3

    Daaah!!! CHID BENZ ni BONGE la mtu jamani, yaani CHID ni BONGE la Rapa East & coast Africa...nimependa jinsi alivyoichafua hiyo Beat hapo Studio.... sijawahi kumchukia Wala kumchoka Chi, Chi, Chi ,Chi, CHID Beeeeenz

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 3 года назад

    CHIDI GENIUS PERIOD KUMUELEWA INABIDI UME NA NUSU HATA YA AKILI ZAKE KWA MANENO YAKE MWENYEWE " NINA ONGEA CONTENT GB 20 WEWE KICHWA CHAKO MB 1 HUWEZI NIELEWA"

  • @seifalhanmohd9100
    @seifalhanmohd9100 3 года назад

    Jid benzi kiukweli kashuka sana sabab ayo yak anayotumia yamembadilisha anatakiwa ajitambue ili awez kukaa vizur katika gem y mziki big up sana chidi ww n msanii mkubwa ila inabid ubadilike

  • @ahmedally5260
    @ahmedally5260 3 года назад +15

    Ile beat studio na vocals next level Audio itamaliziwa?

  • @okeyokarolipaul4893
    @okeyokarolipaul4893 3 года назад +6

    Darasa uko wapi, walevi wanaimba wimbo wako vibaya 😂😂😂😂😂

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 3 года назад +1

    Kumekucha na chid benz gonga like🤣🤣 twende sawa 27 August 2020

  • @kaigepoultryfarm9123
    @kaigepoultryfarm9123 3 года назад +16

    Nakubali season poa Sana 🔥🔥💥💥

  • @salehfarid1003
    @salehfarid1003 3 года назад +22

    Nakubali Kazi alll the way China .... MO TOWN SANYA🔥🔥🔥

  • @najmakikula4929
    @najmakikula4929 3 года назад

    Me binafsi na mkubali san chid japo mwanz nilionag anazingua ila tok nimeanz kumuelewa mi mtu hatar mno tunayemuelewa like hap

  • @mahmoudxmo
    @mahmoudxmo 3 года назад +1

    Chidi ameua sana aisee 😅 King Kooong...

  • @justinemomanyi9197
    @justinemomanyi9197 3 года назад +3

    benz amalizie iyo ngoma kwa uyo producer tafadhali. It could be a breakthrough kwa uyo producer

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 3 года назад +20

    Big up nice programme

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 3 года назад +1

    Mkongwe salute mwanzo misho piga kazi one day utarudi na utakaa sawa utasimama mikazo tu

  • @mohamedsoud985
    @mohamedsoud985 3 года назад +1

    born talented tayar mwanangu chidi..hata uamshwe ucngzn unao uwezo wakutoa ki2..mwngne aige kama hvo bila kutengeneza ujanja flan kama atatoboa hvo

  • @enockalphonce695
    @enockalphonce695 3 года назад +6

    Duuuuuh wasafi tv nyie ni balaaaaaaa chid wew mwisho

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 3 года назад +33

    Ndio hiyo talk of the Town

  • @emilytv9526
    @emilytv9526 3 года назад +1

    Kama unaamini chidbenz anaongea na ugolo mdomoni gonga like hapa!!

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @hoseajohn110
    @hoseajohn110 3 года назад

    Daaah huyu mwamba nomaaa anakiwasha kama zaman aachie hiyo ngoma basii

  • @hdady0037
    @hdady0037 3 года назад +7

    Mm namkubali chid benz sana 🔥🔥🙏🙏🙏🌹🌹🌹🙅‍♂️

  • @boylinu2848
    @boylinu2848 3 года назад +27

    Hawa wanaoimba hatari sana🤣🤣🤣

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 3 года назад +1

    Nakubal sana chid

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 3 года назад +1

    #aboi_4rm makambako home boi bughalizy respect blood

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 3 года назад +45

    Dah! Uyo nd Bughalee yan n producer mkali na n ktk maprodiuza ambao nawakubal sn ila ata kumjuwa cmjuw nd nmemuona leo naona yupo very simple, sema now upepo upo kw S2KIZZY na T Touch nd mana kapotea msela..

    • @jesusezray5569
      @jesusezray5569 3 года назад +1

      Motoooooo

    • @mustafamase3727
      @mustafamase3727 3 года назад +1

      Iyo nikweli bron uyu jama bugali nitishiyo kabisa a najuwa kipita kiasi

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 3 года назад +29

    Kaka hikii kipindiii nilikimisi na nilikitafuta na kukitetea sana nailinivunjaa moyoo kilipokuwa hakipoo bora kimerudi

    • @juniorcx0114
      @juniorcx0114 3 года назад +1

      Jaman 👌🔥 🔥 Chafu yaooo NEMBO 🇹🇿💪🏿 YA TAIFA DIAMOND Platinum nimesikia Jina lake mpe talfa yake

    • @elshaarawymuhabesh316
      @elshaarawymuhabesh316 3 года назад

      Nami nimefurahia kurudi

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 года назад

    Mimi nakuombea mungu ata sigara uwache na pombe love yuo chidi

  • @mwadinihaji565
    @mwadinihaji565 3 года назад +1

    Very nice wasafi wabunifu Sana kwa vipindi nakupiqien mkofi👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @francismacha2584
    @francismacha2584 3 года назад +6

    NO COMMENT.... Wasafi On Top.
    Worldwide 🔥

  • @denisksylivester7846
    @denisksylivester7846 3 года назад +18

    Bonge moja la pind.. Big up Wasafi media for the creativity 🔥#MO TWN SANYA 👊

  • @mvuyekurevincent8923
    @mvuyekurevincent8923 2 года назад +1

    Nimeipenda hii. Surprised ya dj na alivyo Chana Ebana hatali. Kinoma

  • @benedictmwambanga9544
    @benedictmwambanga9544 3 года назад +1

    Hapo kwa studio chedi bz plz fanyia huo mziki , baba mziko mzito
    Hip hop ya maana
    Bigup chedi bez 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 3 года назад +6

    Hii biti ipo kwenye mtandao kitambo mbona ipo kwenye instambul instrument nendeni kwenye RUclips mtaipata

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 3 года назад +12

    Chidy hiyo nyimbo imalizie usiiwache bonge la ngoma wewe kweli ni noma ndugu

  • @walterkyaruzi9402
    @walterkyaruzi9402 2 года назад

    Chuma kama chuma namkubali toka kitambo kile mungu azidi kumpa nguvu na ujasili ktk maisha yake

  • @kalokola
    @kalokola Год назад

    Huyu dada alohojiwa wa kwanza she's very positive.

  • @martinerichard5827
    @martinerichard5827 3 года назад +3

    Daaah so funny hiyo ngoma ya darasa, huyo mwenye black

  • @piellee1915
    @piellee1915 3 года назад +12

    Nmepnda hiki kpnd kwa muda mwngi lkn leo ni motoooooooooooooooooooooooooooooooo☆●●●●●●●●#wasafi

  • @hdboytz2124
    @hdboytz2124 3 года назад

    Buggarlee...ntakutafuta baba nichek uwezekano tufanye kitu kaka@@@💥💥💥💥💥💥

  • @maryshialiy2205
    @maryshialiy2205 3 года назад +1

    🤣sanya wallai uendi mbinguni love you sanya

  • @RTVOfficial
    @RTVOfficial 3 года назад +13

    Thanks for the good job love from 254

  • @mohammadswabir2092
    @mohammadswabir2092 3 года назад

    Cheedy Benz kuwa serious utafika mbali sana wachana na hizo vitu vya kishetani