CHID BENZ ALIVYOWASHANGAZA MASHABIKI ZAKE/ DJ CHOKA ASHIKWA NA BUTWAA -
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2020
- #HiviNiKweli #MotownSanya #ChidBenz #NemboYaMtaa
HIVI NI KWELI NI KILA JUMANNE SAA 03:00 USIKU
MARUDIO JUMATANO SAA 08:00 MCHANA
IJUMAA. SAA 04:00 JIONI
JUMAPILI. SAA 08:00 MCHANA - Развлечения
Anae mkubali chidy gonga like kama zote❤❤❤one love brooh
Wasafi please mu saidiyeni Benzino kutoa iyo ngoma itakuwa kali sana ambao wame kubali iyo ngoma na wana penda itoke tujuwane kwa ma like apa
Jmaa anajua sana
Kabis bonge la ngoma il sio p
L
Toaa ilo ngom brooh
WAKUSAIDIE KWANZA WEWE UJUE KUANDIKA VIZURI, NDO WAJE KWA BENZINO
Naombeni like za producer wadau
Kama unajua unajua tu, CHID BENZ anajua sanaaaaa MUNGU amuwezeshe atoke alipo ila anapishana na hela nyingi sana huyu jamaa
Bonge la kionjo alie lielewa kama mm like hapo
Benz number moko
Lah family ilala🔥🔥🔥piga keleleeeeeee👏👏👊👊👊👍
Anae kubaliana na Mimi chiddy benzi ni genius gonga like
Chizi uyu ila media tu ndo zonimfanya aonekane anaongea point , hamna kitu
Genius gani Sasa....hahahaaa.....wabongo bwana...!
Ismail Yusuph waBongo tunaongoza kwa story za vijiweni 😁, Genius sijajua watu wanauelewa gani kuhusu u Genius .
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🙌🙌🙌🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾👍
Explain the meaning of the word Genius.
Dah! Mazee
Chiddi ni mnyama sana, kama unakubali Chiddi kafanya unyama studio gonga like twende sawa
Fundi lumola from DIT product
nakubali MZEE
Lumola wa MUST habiba nakusalimia
Fundi fundi tu
@@habibabintjuma9352 Ahsante Habiba namba yako niliyonayo haipatikani
Hakuna mkali wa hip hop kama MNYAMA CHID BENZ KAMA UNAMKUBALI gonga like kama zote timu #CHIDBENZ ALL THE BEST BRO
Kipindi Kizuri Sn Ila Muwe Na Security Nzuri Maana Ipo Siku Kuna Msanii Anaweza Akapaniki Kutokana Na Mawazo Ya Mashabiki
Kabisa kama kwa yule jamaa wa rasta kidogo amuwakie
Mb a kipindi wameiga Cha ETV kabisa
Acha weye hichi kipindi kimeanza kitambo saana
Wasafi wabunifu saana sema etv ifanye iige
@@kisesalusambo9452 tunaoga na tunafanya kuwaliko, habari ya mjini 😂, penye diamond yuko hakuanguki
Chid bro mm ni bro wako, kutoka lamu kenya wallahi naskia Raha kukuona big love bro
Ili Jamaa Jitu Kweli sijui alirogwa na Nani kumamake chidi benzi chumaa 💥
Mwana acha tu mamae
Maisha na mambo yake 😀🙂😃
Chidi bana nilipomkubali zaidi kwenye hii video, pale alipotoa sigara akampa jamaa, papo hapo akapiga darasa la madhara ya sigara. NOMA SANA!!!
Hahaaa’ wabwia unga Ndo walivyo....!...Akianza kukuelezea madhara ya unga huku anakusihi usijiingize na ww’ unaweza kujiuliza Kwa nini Sasa yy ANAUBWIA...? ....hahahahaaa...!
Ismail Yusuph sio wabwia unga, watu wote wenye akili walijikuta kwenye ubwiaji wa unga, uvutaji wa sigara ama pombe watakushauri usijaribu hizo vitu kwa sababu ukishaingia hata kama hupendi na unataka kuacha kazi yake sio ndogo. Na hiyo ni kwa sababu hivyo vitu vina addiction strong hatari once you are in you are fucked up!
#SaidAbdallah ....Ah.!...wabwia unga wako tofauti sana juu ya kuasa ‘ hawalingani na hao wanywa pombe au wavuta sigara ‘...!
Kweli kampokonya kabadili adi rahaaaaa
Watu wa sigara tupooo
Ukiaachana na chid, uyo alieedit hii kitu n muuaji wa namna ya flyover.......Daah em ngoja niangalie tna
Uwa sipendagi kucoment ila kwa huyu mwamba ni nyokooooooooo
Nakubalii Xana punch zake
huyu mwambaa ni hatari kapandaa na bit hapo hapo mistar hapo hapo eeh bwaanaa respect xna chid benzz♡♡
Like Chidi ever since.....cheki chidi alivyojibu Kibusara na kistarabu... Best ever Rapper East Africa.
Ukweli jamani me huwa nakuja hapa kila baada ya muda kwajili ya kipande icho Cha nyimbo alieimba chidi kwa kweli ni bonge la song
ONCE A CHIDI BEENZ ALWAYS A CHIZI BEENZ, NAKUBALI SANA HUYU MWAMBA
Mimi ni nani nisidondoshe komenti love wkb
Once Chidi Benz always Chidi Benz
Chid kapewa pit nzuri San wanao kubalia na Mimi gonga like
Mugalee yuko vizuri 🤣🤣nimependa alicho kifanya .kumbe ukijikubali unafanikiwa .gonga like Kama nawe umekubali Kama mmi
Kama umeielewa hii ngoma kama mimi like hapa
This man has extraordinary skills very genius and well talented.. you can see he suddenly changed with vocal synchronised..✴
Kama una kubali chid katoa azanaa nipe like kama zote
Kuna chidy benzi m1 tu duniani
Mimi binafsi CHID BENZ namshabikia toka longtime lakin toka aingie kwenye madawa ikasemekana ameacha simuelewi kunaonekana Kama anatakiwa afanyiwe Counselling arudi Kama zamani kwani hata akifanya interview unaona anatatizo fulan Kama usiriasi haupo.Unakua hicho kipindi nikizuri Sana kinapromo Kali Sana so ndio hivyo
Uyu kuacha madawa ndoto
Ukitaka kumuelewa chidbeenz anachoongea kwanza yafute akirini mwako mapito yake aliyopitia halafu tumia akiri ya kawaida tuu utamuelewa.
@@fatemaligalawa4151 kwann asiweze
Kwani unga mnaona km nini nyie mbona watu wengi tu wanaacha kwanini Chidi
Daaaah yani hapa nimelia yani daah chid so chid go chid talented more than fire
Chid benz is my favourite rapper since day one.
Wakenya oyeeee 🤣🤣🤣🤣 wapi likes za chidi
Tuupo hatupitwai
UPANUE WIGO
kuna baadhi ya marafiki huwa tunawachukulia kawaida kwenye maisha lakini ni watu wa muhimu sana.
Jamani hawa wasafi ni wabunifu sana binafsi kuna muda fulani nilikuwa sijawaelewa ila sasa wako juu kwa ubunifu....chidy katisha jamani huyu jamaa ana akili sema basi tu
Tatizonmchezo mwingi
Sanaaaa
Daaaaaaaa nomaa aanaaaaaaaaaaaa
Hiki kipindi sio wanebuni bali wamejiongeza mara ya kwanza naona ubunifu kama huu ilikuwa kwa 50 cent hivyo safi kiasi ila hawajabuni ila wamecopy
Ibrahim Tekelo wamekopi wap
Oyooooooo Wasafi hatareeee. With love from Embakasi, Nairobi. Chidi Chuma....... Wacha maneno weka muziki
Hiyo ngoma ya chid mahabuba aliyotoa ghafla kwa Buga bora aitoe imetulia sana
mo town sanya ... wana tulikumis kinouma coz ua the best in street shows..
Chiɗi ɓenziiiiiiino noma mzeeiya
SANYA PINDI LA LEO NIMELIPENDA SANA
Chid bora umerudi mzee baba
Chidi noma
Huyo Bhughalee ni mnoma mzee🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ili goma Kali uy dj fund sanaaa gonga like
Kumuhoji chidi kazi sanaa
😂😂😂coz anamuhoji muandishi kuliko anavyohojiwa yeye😂😂😂
Yaani kwanza hana uvumilivu wa kutulia kwenye gari anatoka.. Maswali baada ya kujibu ndio anahojii hahahaaaaa chidi hatareee
Kama umecheka hao jamaa wanaoimba nyimbo ya darasa gonga like😂😂😂😂
😂 😂
Chidi Benz is one of a kind. The Best Rapper of All Times REAL OG. he is hilarious and serious at the same time Big Up Mo Town Sanya. One Love from +254
Nkbl xana kaka ckupingi yani umet0a mpk kwaju hap0 hap0 kwl balaa gonga like hap0👍
Chid kanifurahisha sana
Kusema ukweli chidy anafaa sana kua motivational speaker, anaongea vitu kuntu sana #1♥️
Duuuh Chidy Nomaa Huwaga sina mzuka na comment Ila kwa Chidy nimecomment
ata mimi sipendagi ku coment
Hii ingekua na Session mbili safi sana. Bugalee na Chidi wangekua na Hiibsession pia ingekua Vema Zaidi
Kama hawajamaaa wanaifatisha ngoma ya darasa wamekuvunja mbav jua tuko pamoja apa..... 😂😂😂😂😂
Hawa jamaa balaa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
NAPENDA SANA NCHI YANGU
Jamaaaa ni noma jamaa namkubali long
Chidi Benz chuma d town stend up👊👊👊
Dah naenjoy mpk Bora kusikiliza wasaf kuliko kusikiliza madem viswaswad wnatia nuksi
Acheni masiala WASAFI fanyeni juu chini iyo Ngoma itoke ya Chidi ni kali kinomaa🔥🔥🔥 My love My Hubaa......
Nipo hapa leo naomba kwa niaba ya chid benz,naomba tumsapoti naomba sana maana chid ni mshikaji poa sana
Chidi benzini hatari huyu mwambaa anatisha 🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sana
Hii ngomaa itokee jamn nzur sn ❤️❤️
Mwili wa Chid Mashaalha umeanza kurud
kipande cha studio nmekirudia zaid ya mara100 mwanangu chid..repect on u
nimependaa sanaa mnavyo mpaa uhuru msanii love this
RESPECT THE OG CHIDI BENZ ....GREATEST OF ALL TIME ...SALUTE MWAMBA CHUMA
💪💪💪💪
One of the best but not GOAT
Sasa Uyu jamaa w T-shet nyeusi na Nyeupe yenye mistari so Funny 😬😬🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Sijawai acha kumkubali chidbenz ni nouuma
Uko kwenye kuimba ngoma ya Darasa aisee Dah😂😂😂😂
Pg
Daaah!!! CHID BENZ ni BONGE la mtu jamani, yaani CHID ni BONGE la Rapa East & coast Africa...nimependa jinsi alivyoichafua hiyo Beat hapo Studio.... sijawahi kumchukia Wala kumchoka Chi, Chi, Chi ,Chi, CHID Beeeeenz
CHIDI GENIUS PERIOD KUMUELEWA INABIDI UME NA NUSU HATA YA AKILI ZAKE KWA MANENO YAKE MWENYEWE " NINA ONGEA CONTENT GB 20 WEWE KICHWA CHAKO MB 1 HUWEZI NIELEWA"
Jid benzi kiukweli kashuka sana sabab ayo yak anayotumia yamembadilisha anatakiwa ajitambue ili awez kukaa vizur katika gem y mziki big up sana chidi ww n msanii mkubwa ila inabid ubadilike
Ile beat studio na vocals next level Audio itamaliziwa?
Darasa uko wapi, walevi wanaimba wimbo wako vibaya 😂😂😂😂😂
Kumekucha na chid benz gonga like🤣🤣 twende sawa 27 August 2020
Nakubali season poa Sana 🔥🔥💥💥
Nakubali Kazi alll the way China .... MO TOWN SANYA🔥🔥🔥
Me binafsi na mkubali san chid japo mwanz nilionag anazingua ila tok nimeanz kumuelewa mi mtu hatar mno tunayemuelewa like hap
Chidi ameua sana aisee 😅 King Kooong...
benz amalizie iyo ngoma kwa uyo producer tafadhali. It could be a breakthrough kwa uyo producer
Big up nice programme
Mkongwe salute mwanzo misho piga kazi one day utarudi na utakaa sawa utasimama mikazo tu
born talented tayar mwanangu chidi..hata uamshwe ucngzn unao uwezo wakutoa ki2..mwngne aige kama hvo bila kutengeneza ujanja flan kama atatoboa hvo
Duuuuuh wasafi tv nyie ni balaaaaaaa chid wew mwisho
Ndio hiyo talk of the Town
Kama unaamini chidbenz anaongea na ugolo mdomoni gonga like hapa!!
😂😂😂😂😂😂
Daaah huyu mwamba nomaaa anakiwasha kama zaman aachie hiyo ngoma basii
Mm namkubali chid benz sana 🔥🔥🙏🙏🙏🌹🌹🌹🙅♂️
Hawa wanaoimba hatari sana🤣🤣🤣
Hatarii 😂😂😂
Nakubal sana chid
#aboi_4rm makambako home boi bughalizy respect blood
Dah! Uyo nd Bughalee yan n producer mkali na n ktk maprodiuza ambao nawakubal sn ila ata kumjuwa cmjuw nd nmemuona leo naona yupo very simple, sema now upepo upo kw S2KIZZY na T Touch nd mana kapotea msela..
Motoooooo
Iyo nikweli bron uyu jama bugali nitishiyo kabisa a najuwa kipita kiasi
Kaka hikii kipindiii nilikimisi na nilikitafuta na kukitetea sana nailinivunjaa moyoo kilipokuwa hakipoo bora kimerudi
Jaman 👌🔥 🔥 Chafu yaooo NEMBO 🇹🇿💪🏿 YA TAIFA DIAMOND Platinum nimesikia Jina lake mpe talfa yake
Nami nimefurahia kurudi
Mimi nakuombea mungu ata sigara uwache na pombe love yuo chidi
Very nice wasafi wabunifu Sana kwa vipindi nakupiqien mkofi👏👏👏👏👏👏👏👏
NO COMMENT.... Wasafi On Top.
Worldwide 🔥
Bonge moja la pind.. Big up Wasafi media for the creativity 🔥#MO TWN SANYA 👊
Nimeipenda hii. Surprised ya dj na alivyo Chana Ebana hatali. Kinoma
Hapo kwa studio chedi bz plz fanyia huo mziki , baba mziko mzito
Hip hop ya maana
Bigup chedi bez 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏
Hii biti ipo kwenye mtandao kitambo mbona ipo kwenye instambul instrument nendeni kwenye RUclips mtaipata
Chidy hiyo nyimbo imalizie usiiwache bonge la ngoma wewe kweli ni noma ndugu
IPO pouwa inaitwa Komando
Chuma kama chuma namkubali toka kitambo kile mungu azidi kumpa nguvu na ujasili ktk maisha yake
Huyu dada alohojiwa wa kwanza she's very positive.
Daaah so funny hiyo ngoma ya darasa, huyo mwenye black
Nmepnda hiki kpnd kwa muda mwngi lkn leo ni motoooooooooooooooooooooooooooooooo☆●●●●●●●●#wasafi
Buggarlee...ntakutafuta baba nichek uwezekano tufanye kitu kaka@@@💥💥💥💥💥💥
🤣sanya wallai uendi mbinguni love you sanya
Thanks for the good job love from 254
Cheedy Benz kuwa serious utafika mbali sana wachana na hizo vitu vya kishetani