NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Jamanini nimelia harafu nimecheka kwa nguvu 😆 kajua kuchezesha watu kajaza ahaa masha allah🥰🥰😍🤩❤nampenda nagwa
Noma
Salha naomb no yk
@@sahiltvontheline5560 tuma yako me nichukue
Ushamtamani dhambi😂😂😂
huy kak chiz au 😂😂😂😂😂
Sijaipenda kabisa hii episode... Mmedhalilisha watu hii sio sawa kabisa...
😂😂😂😂😂
Pole jamaa....
Umeona kaka yng mie had nimeona huruma maan wanavyovurugwa had huruma kupigishwa magot dahh
Yap.
@@iddimoshi8459 qweli kabisa
Sijapendaa bhanaaa ndio nn sasa kumkolomea mwenzie kma ivyo
Haipo sawa hata kidogo
Naisi inje ya camera wanamalizana
Katika show zote ulizowahi kufanya hii ya Nagwa imetsha sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥nagwa in real life ni mkorofi walahi😂😂😂🔥
Hii namba mbaya cheko buku Hahhhhh, Hadi Mkojani alkua anaota anapigwa mitama, a. K. A Buti la jeje
😄😄sema Nangwa amenifurhisha sana mikwara yake
Munakosea sana kuweni makini mutapoteza watazamaji nawatu watakua wanakata wakiwaona kwenye kipindi chenu
SIJAPENDA HII.
Ipo siku italeta maafa huu sio ubunifu ni kuiga tu ila kumbukeni hapa ni AFRICA sio ULAYA au AMERICA kwahiyo masihara kama hayo sio mazuri kiukweli badilikeni.
Umetisha sana
This killed it 💪💪💪 maubunifu kibao
Moooo Town
My opinion mukuje na zanzibaar 😅
yule Mzee wa kuwanga kwenye road kaua😂😂😂😂
Nimependa sana pind more town sanya na Ngoma nagwa
Nagwa yupo vizur sana
Haiko sawa iih wamewadharirisha Sana watu
Mo sanya unapoelekea unaenda kuaribu kipindi....na kumbuka iki kipindi kina tazamwa na watu tofaut tofaut... kuweni makin
Na si alilikologa wakamfungia
So Sad. N udhalilishaji.huo .Mimi hata kama n utani unishike shart hivyo mbona kushoot kutaishia hapohapo aise
Hii iko lit sana 😅😂😂🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 this is the best daaaah Nagwa😂😂
Yan uyu alokimbizwa kanichekesha😂😂😂😂😂
Ila yule baba muuza mitumba kanichekesha zaidi... eti mbona unawanga wanga mchana kweupe h😂😂😂
Acheni Mambo yakisenge mtapoteza mafa nsi kwamambo ya kipumbavu
Burna boy wa bongo 😁Nagwa ma nigga sheria
Sanya ilo pind ebu lisogeze unguja Zanzibar
Sijapenda kitendo cha kumpigisha mwingine magoti tena kwenye matope eti reason ni mna shoot
Hujaelewa hi n prank
@@frankshedrack8259 hata kama
Kipindi cha udhalilishaji wanyonge pekee .hao niwanadamu wenzenu hata km nkaz bas ni hivi.unakula kupitia unyanyasaji .sio poa au muwe munaandaa hata zawad mwisho mnawapayia.coz sidhan km hao mnaowafanyia kipindi hamuwalipi.
Mnaweza
Mambo yakunyonya mtu tie niushamba hamwez kubuni vingine mtu ana familia yake mnamdhalilisha kiufupi mm ukaniletea usenge huo unapasuka kwanza then badae tutapean tano ila unitelee mambo yakishamba zachembe utakula kwnz
Nakutambua chafu Nagwa
Aah noma xn nmecheka xn duh ngoma nagwa we ufai 🤣🤣😂😂😂🤣🤣
Motown mbona una haribu kipindi kaka yng
Daaah nmesema nipitie RUclips nimchek mwanangu mo town sanya najikuta nacheka hadi nalia 😱 nagwa sikupingi siku zote blood yng yan sheria tu
Izo vurugu mnazowaletea watu mnawatoa kwenye mud zao afu hamuwapi hata mia mnakosea inatakiwa muwe mnawalipa maana watu wengine tunafrahi kweli lakini wenzetu mnawadhalilisha bila faida yeyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiseee nimecheka kwa sautiiiii
Sema aoo wengine babazetu jmn kueni na heshima 😅😅😂
😅
😀😀🤣🤣🤣🤣😀
😂😂😂
Nagwa nakupenda bure 😀😀😃😃😃 sikuoni RUclips bwana ILA KWA HIYO SHOW HATA MIMI NISIWE MUONGO NINGEOGOPA 😂😂. Hii imezidi zoote kwa Nembo za mtaa one love brother 🇺🇸.
Oy nagwa acha mambo ya kiboya unajikuta nani?? Oya Fanya yako mambo ya kusema wasambaa tumelegea utakuja amka ujikute Bahalini day moko, oya si ni wauni kitambo mdg ang😂😂
Mo town ameenda mbali kweli kipindi kama vya Ulaya watu wanalia wanateswa alafu ni mchezo na anakuwa ajui kabisa baadae akijua anajiona mjinga
Hawa watu wanaowaweka kwenye VIPINDI kwa kuwasurprise wanapaswa wawalipe
Hahahahahahaha waliitwa mpaka walipwe
Mwanzo uyo muuzaa vi2 mackini
fact
@@mariambakari7796 sa we huoni wanawaita au kuwasimamisha Kisha kuwashirikisha scenes na kuwapost Kisha kujipatia kipato pasi na malipo.
Walipwe wakati ni Prank tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha roho hiyo bana
Kuna siku mtapigwa kwa kazi yenu hii inahitaji ujasili ooooh mungu wanguuuuuuuuu🙏🙏
Sio Bongo Hii
9:59 😂😂nagwa msenge sana et Mbona unawanga road kama hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😂😂
😂😂Nagwa aminia Eti Ali Kiba we unasemaje🤣🤣
Mnadhalilisha watu mpka wanataka kulia
Kutia watu hofu af mnawaacha bila hata mia ,,nyie mnaingiza hela ,,sio fresh ,,haipendezi,,,,,😠😠
Sasa umefata Nini Kama haipendezi
@@peima3327 Unatafuta Bwana?
Ila ipo siku yatawatokea puan,Hiz Mambo za kuwakaba watu hovyo mtaan sio poa kabsaaaa daaa
Umeona eeh ukut mtu anabastola yake na stress juu anampiga anaua
Huelewi nini sasa kuhusu michezo ya Prank 😀😀😀😂😂😂
Mtakuja kuzinguliwa mnafanya ujinga Tu I don't think kama ni good acting that is stupidity
Angeendelea na ile idea yake ya mwanzo aliyokuwa na wasanii kwenye gari then anaongea na wapita njia vizuri , Lakini hii watakuja kuumia siku moja kwasababu watakutana na watu wakorofi na wapo faster wakifungua macho na akili mtu wao kaumia tayari .
@@gooddeeds162 inategemea na muhusika wa kipind
Hii n kama prank baba
@@hassanfumbwe1207 Prank kwa bongo watu hawajafunguliwa sana kuhusu.
Ukija kusema prank ushaumia utamlaumu nani hapo ?
@@salim02tv24 Sijaelewa Kivipi Yani
KIPINDI KIKALI SANAA ILA KUZALILISHA WATU HII SIO SAWA ADI WATU WANAPIGA MAGOTI MUNAKOSEA SANAAA
Ni funny ndio maana ya kipindi akuna udhalilishaji apo
@@peterjr8073 yeah
@@lareineminah1353 oky
Njoni jite comedy
jamami mburudke 2xahdien kwa kuxhare na kulike page ye2 ya jite comedy
Jamani naombeni dawa maana nimecheka mpaka naumwa🤣🤣🤣🤣🤣
BONGE1 LA FALA LIMESUKA NYWELE KISHA LINAPIGIA WATU"MIKWARA YA KUDHALILISHANA"HII NI ZAIDI YA UTANI YAANI KIPINDI CHOTE KIBOVU.HAMNA WATU WA KUWASHAURI MFANYEJE KIPiND!..
MNGEKUTANA NA"NAGWA" HIYO MIC&CAMERA YENU MNGEENDA KUIKOMBOREA MASKANI.
ACHENI UFALA NA UJINGA.
tuachane na tu nauigizaji nagwa mwizi😅😅😅😅
Dogo wa simu Katia huruma na
HUYU MTANGAZAJI ATAJIARIBIA KAZI NONSENSE NA HUYO MWENYE MATATU PUMBAVU SANA HUYU JAMAA
Wazungu hawamuwez huyu jamaa.. mgumu sana jamaa 😂😂😂😂🤷♂️
Bonge la exclusive na ngoma ngumu ngoma nagwa salute sana🔥🔥
Wasanii 2nakuwa hatufanikiwi kumbe nyie ndo mnaloga road
Jamaa anawakazia sanaaa duuuh 🥲🥲🥲🥲🥲
Sio fresh unadhalilisha watu ACHENI zarau
Hatar Sanaa, Ngoma Nagwa Kauwa Show, Wana Wanamkubali Alafu Wanamuogopa, Hatali Sana Huyu Kiumbe😂😂
Mbona kama umenisimulia mm
Daa
Aisee wengine tempa zetu ziko juu aisee. Mzaha hatuna kabisa aisee
Miye wakati wote nahisi vita kwenye mwili wangu,ujaribu huu ujinga nitakumaliza
🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda Ukraine ukamkute baba Putin
🤣🤣🤣
😅😅😅 Wew unizidii mm aisee Kila mdaa wa moto aisee
@@ramsikhamis7083 😁😁😁😁😁
Hi haipo sawa kabisa watu na familia zao wanadhalilishwa!!...No it's against humanity.
Kama Ndy akutane na wahuni wembe alafu ananitushia hivyo, namchana mbona easy tu
Kila kitu munasemaa nyie mupew nin asa
@@hamadhamis5602 hilo swali ungemuuliza makimugaa!!
Sema nagwa anazingua sana
Nyie huy nagwaaa antk kuwap presh wat 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍😍
Uyo mbabe anachoma mpaka Moto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ongeraaaa kwa kipi kinzurii
Washenzi mmesnivinjambavu sana
Kuweni na nidhamu mbwa nyie mnadhalilisha watu kifala
Dah kwl
Umekosa kazi
Ubunifu kuchu wewe
Ni maigizo ndugu yangu usitake vitu serious 😂 we kwa akili ya kawaida unadhani wanaweza weka abusive content live hvy kwa kujiamini 😂
Hawa mlio waigizisha bila wao kujua na kuwafanya washiriki wa kuu ilipaswa muwalipe ( maana wengine wamefedheheka na hawakuwa tayar kuonekana mitandaoni katika aina hizo za scene)
Kama wameridhia au mmeelewana basi ewala, hata hivyo na mm nishabiki pia wa nagwa, kwa pamoja tunaendelea kuburudika kwa kazi nzuri za mo-town (Mr Streeter)
ruclips.net/video/v-0CrEy0Lyc/видео.html
Nakukalibisha Wewe Shabiki Mpenda Mziki Mzuri Kwenda Kusikiliza Nyimbo Ya Kijana Wenu Steno De Alpha
Kazi Iendelee
@Producertevobeat
@Directorax
The Only One Steno🙏🙏🙏🙏🙏
Kipindi kizuri lkn usanii ukizidi anawadhalilisha watu waungwana!
True man cvzuri vile wanafanya wananyanyasa watu kisha yao yaendee utapata mtu mbaya pia mtakwaruzana
Mbona huku Tarime hamfiki tumemiss kukata watu matako njooni
Hahahaha
😂😂😂
Yan mwanume kupiga magoti dah upuuzi kinoma yan
Cyo fresh, kuwafanyia mashabiki hivyo, wengine unaweza kuwapotezaa
Anafanya masiala tu si kweli
Mambo t ya maisha una loga hazalan kwer mo town Sanya mtu wa watu wa mitumba jauu
Kuweni makini mtakuja kutana na mbabe wakati nyie mnatania afanye kweli awatwange bakora sana nawashauri siku mkija tarime njooni na heshima sana
Waje wakutane na mababe kweli
Mkono mkono tu haipingwi kwani shingapi hiki ni kipindi kila mtu anajua huyo wa tarime itakuwa amedhamiria
Tarime NDIO nini 🥴
@@marcsthinker3882 jina la mtu hilo
@@Kimanzi001 mapanga au
Absolutely amazing, funny and scary 😂😂😂😂😂 ngoma nagwa nakubali sana from Kenya
Mjini shobo mfukon tubak na mtafutano wa maisha
Jaribuni kuingia kwa mtu Aliepinda, mtazima camera wenyewe, Mnaangalia pia watu wa kuwadhalilisha.
Sio kuzalilishana ni kawaida mbona hata mbele vipo
Ushamba na njaa zako tu hizo
Kuna mtu kapigishwa goti huko
Nitamchonganisha na vido vato muambie aje arusha atarudi akiwa kipara
@@jovinmodelin3486 uyo akipigwa ushiro ameisha 😁
Ila sanya ww ni shida mtaani kweli hili pindi ni lakijanjaa
Montani.Sanya.mbona.vipindi.vyako.aufiki.arusha.jamani.karibu.arusha.mlingoti.chuma.Bender'a.mlingot.namkubali
Try me my lawyer will be Happy to get busy for a while lol.
Uyo alieshik cd mbon ajamletea upel Kwan yule msela kwer alafu elew kwer ndoman ajamletea usel.
Ila sijapenda anavyo wakazia hivyo hadi wanataka kulia sio poa
Hichi kipindi iko siku kitaishia kituo cha Polisi watu wengine wamechanganyikiwa na maisha hatuombi mabaya ila kwamtindo huu tusubir watu wengine washavurugwa na maisha huu ni ujinga
😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Hicho kipindi mmekiharibu walahi , Hamna ustarabu tena
Hayo mambo yafanyeni huko Dar msije mikoan, watu wanakususia simu wanaondok na unyayo ndo utajua haujui
Upumbavu kabisa unampigosha mtu magoti siumpe pesa ya sabuni ingalau
Kama n muoga Inabd mtoto wa kiume uwe ngangali kama yule jamaa wa kwanza kuojiwa mbona akuogopa
Ilaaa hyuuu nangwaa jmniiii khaaaa anawatia watu jamba jambaaa😂😂😂😂😆🙌
Mo umeanza kutukera uwaerewesha raia acha kuwafanyia hivyo sijapenda
respect to you nagwa 🔥🔥🔥 u killed it
TULIOSIKIA MUUNI A MAINDI 🤜🤜👊 like apa twende sawa 1k
Munaferi sasa inabidi muwena heshima kwa watanzania sio pow munaharibu sasa
Hujui maana ya hichi kipindi ndio maana lakini
Hata kama mliwapanga kufanya hivyo mjue kwetu haijaleta picha nzuri mnatumia nguvu kuubwa sijui mnafunza nini na hii episode kisa nangwa tu ndo utie watu hofu mtaani kwao mtakuja mfunzwe adabu haya
Nimeipenda sana
On this you kill it bro 😂
Ila kwa hasira zangu msije mkanifanyia hivyo nitapiga wote na Msanii mtakaekuwa nae nitavunja na hayo Macamera yenu
Ukileta hasira lete kwa wasanii vibonge wazembe ukileta kwa wamba zinachapwa kweli ujue😂😂😂
Ngoma nagwa hiyo milonjo umeivalia Bukta😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂
Ngoma nagwa fundi mmoja matata🔥🔥🔥🔥
Mimi nkifatwa na hawa ndege kwanza picha linaanz nafyatua mkamemee umenolewa kabsa yaaani' hahahahaha