NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • NAGWA AMFUMA MBAYA WAKE AKIHOJIWA NA MO TOWN SANYA, AWACHANGANYA WOTE | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 2 года назад +76

    Jamanini nimelia harafu nimecheka kwa nguvu 😆 kajua kuchezesha watu kajaza ahaa masha allah🥰🥰😍🤩❤nampenda nagwa

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 года назад +46

    Sijaipenda kabisa hii episode... Mmedhalilisha watu hii sio sawa kabisa...

    • @Kimanzi001
      @Kimanzi001 2 года назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @XanTitle10.
      @XanTitle10. 2 года назад +1

      Pole jamaa....

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 2 года назад +4

      Umeona kaka yng mie had nimeona huruma maan wanavyovurugwa had huruma kupigishwa magot dahh

    • @iddimoshi8459
      @iddimoshi8459 2 года назад +1

      Yap.

    • @dastanymlela661
      @dastanymlela661 2 года назад +1

      @@iddimoshi8459 qweli kabisa

  • @mwanahamisseif5506
    @mwanahamisseif5506 2 года назад +16

    Sijapendaa bhanaaa ndio nn sasa kumkolomea mwenzie kma ivyo

  • @temuaidan
    @temuaidan Год назад +2

    Katika show zote ulizowahi kufanya hii ya Nagwa imetsha sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥nagwa in real life ni mkorofi walahi😂😂😂🔥

  • @hasinauuwimana8405
    @hasinauuwimana8405 2 года назад +13

    Hii namba mbaya cheko buku Hahhhhh, Hadi Mkojani alkua anaota anapigwa mitama, a. K. A Buti la jeje

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 Год назад +2

    😄😄sema Nangwa amenifurhisha sana mikwara yake

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Год назад

    Munakosea sana kuweni makini mutapoteza watazamaji nawatu watakua wanakata wakiwaona kwenye kipindi chenu

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w Год назад +1

    SIJAPENDA HII.
    Ipo siku italeta maafa huu sio ubunifu ni kuiga tu ila kumbukeni hapa ni AFRICA sio ULAYA au AMERICA kwahiyo masihara kama hayo sio mazuri kiukweli badilikeni.

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 2 года назад

    Umetisha sana

  • @wilbardkunda1073
    @wilbardkunda1073 2 года назад +5

    This killed it 💪💪💪 maubunifu kibao

  • @rakibali3650
    @rakibali3650 Год назад

    Moooo Town
    My opinion mukuje na zanzibaar 😅

  • @iamprincefelix
    @iamprincefelix 2 года назад +1

    yule Mzee wa kuwanga kwenye road kaua😂😂😂😂

  • @samwelmagima6081
    @samwelmagima6081 2 года назад

    Nimependa sana pind more town sanya na Ngoma nagwa

  • @zainabomaryzainabomary6416
    @zainabomaryzainabomary6416 Год назад

    Nagwa yupo vizur sana

  • @mohamedjumbe9309
    @mohamedjumbe9309 2 года назад +1

    Haiko sawa iih wamewadharirisha Sana watu

  • @aminajabair3771
    @aminajabair3771 2 года назад +6

    Mo sanya unapoelekea unaenda kuaribu kipindi....na kumbuka iki kipindi kina tazamwa na watu tofaut tofaut... kuweni makin

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 2 года назад

      Na si alilikologa wakamfungia

  • @HEAVENLYTVCINEMA
    @HEAVENLYTVCINEMA Год назад

    So Sad. N udhalilishaji.huo .Mimi hata kama n utani unishike shart hivyo mbona kushoot kutaishia hapohapo aise

  • @Therealrashyy
    @Therealrashyy 2 года назад +1

    Hii iko lit sana 😅😂😂🔥🔥🔥

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 2 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 this is the best daaaah Nagwa😂😂

  • @waheedsaid225
    @waheedsaid225 2 года назад

    Yan uyu alokimbizwa kanichekesha😂😂😂😂😂

  • @iamsamoo_tz
    @iamsamoo_tz 2 года назад

    Ila yule baba muuza mitumba kanichekesha zaidi... eti mbona unawanga wanga mchana kweupe h😂😂😂

  • @lyricstanzania9003
    @lyricstanzania9003 2 года назад

    Acheni Mambo yakisenge mtapoteza mafa nsi kwamambo ya kipumbavu

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 2 года назад +15

    Burna boy wa bongo 😁Nagwa ma nigga sheria

  • @chidmtata
    @chidmtata 2 года назад

    Sanya ilo pind ebu lisogeze unguja Zanzibar

  • @missveetv2590
    @missveetv2590 2 года назад +3

    Sijapenda kitendo cha kumpigisha mwingine magoti tena kwenye matope eti reason ni mna shoot

  • @husnahabityhabity9517
    @husnahabityhabity9517 2 года назад

    Kipindi cha udhalilishaji wanyonge pekee .hao niwanadamu wenzenu hata km nkaz bas ni hivi.unakula kupitia unyanyasaji .sio poa au muwe munaandaa hata zawad mwisho mnawapayia.coz sidhan km hao mnaowafanyia kipindi hamuwalipi.

  • @alexngongomi6958
    @alexngongomi6958 2 года назад

    Mnaweza

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 2 года назад

    Mambo yakunyonya mtu tie niushamba hamwez kubuni vingine mtu ana familia yake mnamdhalilisha kiufupi mm ukaniletea usenge huo unapasuka kwanza then badae tutapean tano ila unitelee mambo yakishamba zachembe utakula kwnz

  • @bajunboy2935
    @bajunboy2935 2 года назад

    Nakutambua chafu Nagwa

  • @nyangusi
    @nyangusi 2 года назад

    Aah noma xn nmecheka xn duh ngoma nagwa we ufai 🤣🤣😂😂😂🤣🤣

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 года назад

    Motown mbona una haribu kipindi kaka yng

  • @husseinseki7476
    @husseinseki7476 2 года назад

    Daaah nmesema nipitie RUclips nimchek mwanangu mo town sanya najikuta nacheka hadi nalia 😱 nagwa sikupingi siku zote blood yng yan sheria tu

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 2 года назад

    Izo vurugu mnazowaletea watu mnawatoa kwenye mud zao afu hamuwapi hata mia mnakosea inatakiwa muwe mnawalipa maana watu wengine tunafrahi kweli lakini wenzetu mnawadhalilisha bila faida yeyote

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiseee nimecheka kwa sautiiiii

  • @m3elmill710
    @m3elmill710 2 года назад +29

    Sema aoo wengine babazetu jmn kueni na heshima 😅😅😂

  • @alexmlinda9399
    @alexmlinda9399 2 года назад +24

    Nagwa nakupenda bure 😀😀😃😃😃 sikuoni RUclips bwana ILA KWA HIYO SHOW HATA MIMI NISIWE MUONGO NINGEOGOPA 😂😂. Hii imezidi zoote kwa Nembo za mtaa one love brother 🇺🇸.

  • @healthcare626
    @healthcare626 2 года назад +8

    Oy nagwa acha mambo ya kiboya unajikuta nani?? Oya Fanya yako mambo ya kusema wasambaa tumelegea utakuja amka ujikute Bahalini day moko, oya si ni wauni kitambo mdg ang😂😂

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 2 года назад +18

    Mo town ameenda mbali kweli kipindi kama vya Ulaya watu wanalia wanateswa alafu ni mchezo na anakuwa ajui kabisa baadae akijua anajiona mjinga

  • @antonychristian1369
    @antonychristian1369 2 года назад +21

    Hawa watu wanaowaweka kwenye VIPINDI kwa kuwasurprise wanapaswa wawalipe

    • @mariambakari7796
      @mariambakari7796 2 года назад

      Hahahahahahaha waliitwa mpaka walipwe

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 2 года назад

      Mwanzo uyo muuzaa vi2 mackini

    • @rahimchilumba9708
      @rahimchilumba9708 2 года назад

      fact

    • @antonychristian1369
      @antonychristian1369 2 года назад

      @@mariambakari7796 sa we huoni wanawaita au kuwasimamisha Kisha kuwashirikisha scenes na kuwapost Kisha kujipatia kipato pasi na malipo.

    • @chrissjoel7752
      @chrissjoel7752 2 года назад

      Walipwe wakati ni Prank tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha roho hiyo bana

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 2 года назад +30

    Kuna siku mtapigwa kwa kazi yenu hii inahitaji ujasili ooooh mungu wanguuuuuuuuu🙏🙏

  • @iamerickemmanuel6268
    @iamerickemmanuel6268 2 года назад +28

    9:59 😂😂nagwa msenge sana et Mbona unawanga road kama hivyo

  • @hamchilla_ke1998
    @hamchilla_ke1998 2 года назад +11

    😂😂Nagwa aminia Eti Ali Kiba we unasemaje🤣🤣

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 2 года назад +1

    Mnadhalilisha watu mpka wanataka kulia

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 года назад +6

    Kutia watu hofu af mnawaacha bila hata mia ,,nyie mnaingiza hela ,,sio fresh ,,haipendezi,,,,,😠😠

    • @peima3327
      @peima3327 2 года назад

      Sasa umefata Nini Kama haipendezi

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 2 года назад

      @@peima3327 Unatafuta Bwana?

  • @hamisiisrael5650
    @hamisiisrael5650 2 года назад +17

    Ila ipo siku yatawatokea puan,Hiz Mambo za kuwakaba watu hovyo mtaan sio poa kabsaaaa daaa

    • @verosteve3612
      @verosteve3612 2 года назад

      Umeona eeh ukut mtu anabastola yake na stress juu anampiga anaua

    • @chrissjoel7752
      @chrissjoel7752 2 года назад

      Huelewi nini sasa kuhusu michezo ya Prank 😀😀😀😂😂😂

  • @godwinsamki9192
    @godwinsamki9192 2 года назад +16

    Mtakuja kuzinguliwa mnafanya ujinga Tu I don't think kama ni good acting that is stupidity

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 2 года назад +2

      Angeendelea na ile idea yake ya mwanzo aliyokuwa na wasanii kwenye gari then anaongea na wapita njia vizuri , Lakini hii watakuja kuumia siku moja kwasababu watakutana na watu wakorofi na wapo faster wakifungua macho na akili mtu wao kaumia tayari .

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 года назад

      @@gooddeeds162 inategemea na muhusika wa kipind

    • @hassanfumbwe1207
      @hassanfumbwe1207 2 года назад

      Hii n kama prank baba

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 2 года назад

      @@hassanfumbwe1207 Prank kwa bongo watu hawajafunguliwa sana kuhusu.
      Ukija kusema prank ushaumia utamlaumu nani hapo ?

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 2 года назад

      @@salim02tv24 Sijaelewa Kivipi Yani

  • @StenoDeAlphaTv
    @StenoDeAlphaTv 2 года назад +23

    KIPINDI KIKALI SANAA ILA KUZALILISHA WATU HII SIO SAWA ADI WATU WANAPIGA MAGOTI MUNAKOSEA SANAAA

    • @peterjr8073
      @peterjr8073 2 года назад +2

      Ni funny ndio maana ya kipindi akuna udhalilishaji apo

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 2 года назад +1

      @@peterjr8073 yeah

    • @peterjr8073
      @peterjr8073 2 года назад

      @@lareineminah1353 oky

  • @hiyardmerez6587
    @hiyardmerez6587 2 года назад +1

    Njoni jite comedy
    jamami mburudke 2xahdien kwa kuxhare na kulike page ye2 ya jite comedy

  • @almuftsultan8
    @almuftsultan8 2 года назад +19

    Jamani naombeni dawa maana nimecheka mpaka naumwa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 2 года назад +2

    BONGE1 LA FALA LIMESUKA NYWELE KISHA LINAPIGIA WATU"MIKWARA YA KUDHALILISHANA"HII NI ZAIDI YA UTANI YAANI KIPINDI CHOTE KIBOVU.HAMNA WATU WA KUWASHAURI MFANYEJE KIPiND!..
    MNGEKUTANA NA"NAGWA" HIYO MIC&CAMERA YENU MNGEENDA KUIKOMBOREA MASKANI.
    ACHENI UFALA NA UJINGA.

  • @immathebonga5164
    @immathebonga5164 2 года назад +1

    tuachane na tu nauigizaji nagwa mwizi😅😅😅😅

  • @tusajigwemathias9185
    @tusajigwemathias9185 2 года назад +6

    Dogo wa simu Katia huruma na

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +1

    HUYU MTANGAZAJI ATAJIARIBIA KAZI NONSENSE NA HUYO MWENYE MATATU PUMBAVU SANA HUYU JAMAA

  • @aboobakke857
    @aboobakke857 2 года назад +11

    Wazungu hawamuwez huyu jamaa.. mgumu sana jamaa 😂😂😂😂🤷‍♂️

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 2 года назад +41

    Bonge la exclusive na ngoma ngumu ngoma nagwa salute sana🔥🔥

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Год назад +1

    Wasanii 2nakuwa hatufanikiwi kumbe nyie ndo mnaloga road

  • @supervisshift1780
    @supervisshift1780 2 года назад +17

    Jamaa anawakazia sanaaa duuuh 🥲🥲🥲🥲🥲

  • @topzenjymusic384
    @topzenjymusic384 2 года назад +1

    Sio fresh unadhalilisha watu ACHENI zarau

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu3260 2 года назад +46

    Hatar Sanaa, Ngoma Nagwa Kauwa Show, Wana Wanamkubali Alafu Wanamuogopa, Hatali Sana Huyu Kiumbe😂😂

  • @ivanf.lekule5618
    @ivanf.lekule5618 2 года назад +1

    Aisee wengine tempa zetu ziko juu aisee. Mzaha hatuna kabisa aisee

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 2 года назад +16

    Miye wakati wote nahisi vita kwenye mwili wangu,ujaribu huu ujinga nitakumaliza

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 2 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад +3

      Nenda Ukraine ukamkute baba Putin

    • @dianamasatu8141
      @dianamasatu8141 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 2 года назад +1

      😅😅😅 Wew unizidii mm aisee Kila mdaa wa moto aisee

    • @keifatuke99
      @keifatuke99 2 года назад

      @@ramsikhamis7083 😁😁😁😁😁

  • @farajimbwambo5600
    @farajimbwambo5600 2 года назад +26

    Hi haipo sawa kabisa watu na familia zao wanadhalilishwa!!...No it's against humanity.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 2 года назад +1

      Kama Ndy akutane na wahuni wembe alafu ananitushia hivyo, namchana mbona easy tu

    • @hamadhamis5602
      @hamadhamis5602 2 года назад

      Kila kitu munasemaa nyie mupew nin asa

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 2 года назад

      @@hamadhamis5602 hilo swali ungemuuliza makimugaa!!

  • @agreyyohana5368
    @agreyyohana5368 2 года назад +18

    Sema nagwa anazingua sana

  • @maryammwinyi932
    @maryammwinyi932 2 года назад +6

    Nyie huy nagwaaa antk kuwap presh wat 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍😍

  • @fetykweka2284
    @fetykweka2284 2 года назад +5

    Uyo mbabe anachoma mpaka Moto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ongeraaaa kwa kipi kinzurii

  • @latiphzimbwe5029
    @latiphzimbwe5029 2 года назад +36

    Kuweni na nidhamu mbwa nyie mnadhalilisha watu kifala

    • @daynesalex911
      @daynesalex911 2 года назад +1

      Dah kwl

    • @kilangibernard8931
      @kilangibernard8931 Год назад

      Umekosa kazi

    • @Paplick9
      @Paplick9 Год назад

      Ubunifu kuchu wewe

    • @chubby3779
      @chubby3779 Год назад

      Ni maigizo ndugu yangu usitake vitu serious 😂 we kwa akili ya kawaida unadhani wanaweza weka abusive content live hvy kwa kujiamini 😂

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 2 года назад +1

    Hawa mlio waigizisha bila wao kujua na kuwafanya washiriki wa kuu ilipaswa muwalipe ( maana wengine wamefedheheka na hawakuwa tayar kuonekana mitandaoni katika aina hizo za scene)
    Kama wameridhia au mmeelewana basi ewala, hata hivyo na mm nishabiki pia wa nagwa, kwa pamoja tunaendelea kuburudika kwa kazi nzuri za mo-town (Mr Streeter)

  • @StenoDeAlphaTv
    @StenoDeAlphaTv 2 года назад +6

    ruclips.net/video/v-0CrEy0Lyc/видео.html
    Nakukalibisha Wewe Shabiki Mpenda Mziki Mzuri Kwenda Kusikiliza Nyimbo Ya Kijana Wenu Steno De Alpha
    Kazi Iendelee
    @Producertevobeat
    @Directorax
    The Only One Steno🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ip_header
    @ip_header 2 года назад +5

    Kipindi kizuri lkn usanii ukizidi anawadhalilisha watu waungwana!

    • @athmanbabayegga8278
      @athmanbabayegga8278 2 года назад

      True man cvzuri vile wanafanya wananyanyasa watu kisha yao yaendee utapata mtu mbaya pia mtakwaruzana

  • @christophergeorge5490
    @christophergeorge5490 2 года назад +5

    Mbona huku Tarime hamfiki tumemiss kukata watu matako njooni

  • @naah884
    @naah884 2 года назад +1

    Yan mwanume kupiga magoti dah upuuzi kinoma yan

  • @jacksonlolo409
    @jacksonlolo409 2 года назад +7

    Cyo fresh, kuwafanyia mashabiki hivyo, wengine unaweza kuwapotezaa

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven3183 2 года назад +11

    Mambo t ya maisha una loga hazalan kwer mo town Sanya mtu wa watu wa mitumba jauu

  • @charlesryoba192
    @charlesryoba192 2 года назад +8

    Kuweni makini mtakuja kutana na mbabe wakati nyie mnatania afanye kweli awatwange bakora sana nawashauri siku mkija tarime njooni na heshima sana

    • @Kimanzi001
      @Kimanzi001 2 года назад +1

      Waje wakutane na mababe kweli

    • @mariambakari7796
      @mariambakari7796 2 года назад

      Mkono mkono tu haipingwi kwani shingapi hiki ni kipindi kila mtu anajua huyo wa tarime itakuwa amedhamiria

    • @marcsthinker3882
      @marcsthinker3882 2 года назад

      Tarime NDIO nini 🥴

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 2 года назад

      @@marcsthinker3882 jina la mtu hilo

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 2 года назад +1

      @@Kimanzi001 mapanga au

  • @husseinallyshego4915
    @husseinallyshego4915 2 года назад +8

    Absolutely amazing, funny and scary 😂😂😂😂😂 ngoma nagwa nakubali sana from Kenya

  • @3kings63
    @3kings63 2 года назад +8

    Mjini shobo mfukon tubak na mtafutano wa maisha

  • @miketzee806
    @miketzee806 2 года назад +6

    Jaribuni kuingia kwa mtu Aliepinda, mtazima camera wenyewe, Mnaangalia pia watu wa kuwadhalilisha.

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 2 года назад

      Sio kuzalilishana ni kawaida mbona hata mbele vipo

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 года назад

      Ushamba na njaa zako tu hizo

  • @japhtv9858
    @japhtv9858 2 года назад +2

    Kuna mtu kapigishwa goti huko

  • @chavdagrande2379
    @chavdagrande2379 2 года назад +1

    Nitamchonganisha na vido vato muambie aje arusha atarudi akiwa kipara

    • @chavdagrande2379
      @chavdagrande2379 2 года назад

      @@jovinmodelin3486 uyo akipigwa ushiro ameisha 😁

  • @ambrosealfred805
    @ambrosealfred805 2 года назад +7

    Ila sanya ww ni shida mtaani kweli hili pindi ni lakijanjaa

  • @genovevaoiso2111
    @genovevaoiso2111 2 года назад

    Montani.Sanya.mbona.vipindi.vyako.aufiki.arusha.jamani.karibu.arusha.mlingoti.chuma.Bender'a.mlingot.namkubali

  • @jacksonpaul3866
    @jacksonpaul3866 2 года назад +11

    Try me my lawyer will be Happy to get busy for a while lol.

  • @BenardSadani
    @BenardSadani 2 месяца назад

    Uyo alieshik cd mbon ajamletea upel Kwan yule msela kwer alafu elew kwer ndoman ajamletea usel.

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 2 года назад +4

    Ila sijapenda anavyo wakazia hivyo hadi wanataka kulia sio poa

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 2 года назад +4

    Hichi kipindi iko siku kitaishia kituo cha Polisi watu wengine wamechanganyikiwa na maisha hatuombi mabaya ila kwamtindo huu tusubir watu wengine washavurugwa na maisha huu ni ujinga

  • @mzalendomtokambali6551
    @mzalendomtokambali6551 2 года назад +4

    Hicho kipindi mmekiharibu walahi , Hamna ustarabu tena

  • @youronlinetv1936
    @youronlinetv1936 2 года назад

    Hayo mambo yafanyeni huko Dar msije mikoan, watu wanakususia simu wanaondok na unyayo ndo utajua haujui

  • @irenejosephkurimba8613
    @irenejosephkurimba8613 2 года назад +4

    Upumbavu kabisa unampigosha mtu magoti siumpe pesa ya sabuni ingalau

    • @godfreyonyango2782
      @godfreyonyango2782 2 года назад

      Kama n muoga Inabd mtoto wa kiume uwe ngangali kama yule jamaa wa kwanza kuojiwa mbona akuogopa

  • @maryhosea3845
    @maryhosea3845 2 года назад +1

    Ilaaa hyuuu nangwaa jmniiii khaaaa anawatia watu jamba jambaaa😂😂😂😂😆🙌

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 2 года назад +4

    Mo umeanza kutukera uwaerewesha raia acha kuwafanyia hivyo sijapenda

  • @Black-fq4zx
    @Black-fq4zx 2 года назад +14

    respect to you nagwa 🔥🔥🔥 u killed it

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline8485 2 года назад +2

    TULIOSIKIA MUUNI A MAINDI 🤜🤜👊 like apa twende sawa 1k

  • @abiolasereman2575
    @abiolasereman2575 2 года назад +10

    Munaferi sasa inabidi muwena heshima kwa watanzania sio pow munaharibu sasa

    • @agreyyohana5368
      @agreyyohana5368 2 года назад +4

      Hujui maana ya hichi kipindi ndio maana lakini

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +2

    Hata kama mliwapanga kufanya hivyo mjue kwetu haijaleta picha nzuri mnatumia nguvu kuubwa sijui mnafunza nini na hii episode kisa nangwa tu ndo utie watu hofu mtaani kwao mtakuja mfunzwe adabu haya

  • @saidibrahim2375
    @saidibrahim2375 2 года назад +15

    Nimeipenda sana

  • @yusufali9119
    @yusufali9119 2 года назад +47

    On this you kill it bro 😂

  • @paschalkapande1486
    @paschalkapande1486 2 года назад +5

    Ila kwa hasira zangu msije mkanifanyia hivyo nitapiga wote na Msanii mtakaekuwa nae nitavunja na hayo Macamera yenu

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 2 года назад +1

      Ukileta hasira lete kwa wasanii vibonge wazembe ukileta kwa wamba zinachapwa kweli ujue😂😂😂

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +1

    Ngoma nagwa hiyo milonjo umeivalia Bukta😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @mossesmaingi355
    @mossesmaingi355 2 года назад +17

    Ngoma nagwa fundi mmoja matata🔥🔥🔥🔥

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 2 месяца назад

    Mimi nkifatwa na hawa ndege kwanza picha linaanz nafyatua mkamemee umenolewa kabsa yaaani' hahahahaha