AMA KWELI SIO KILA MTU WA KUMLETEA UTANI, MOCCO AMFANYA KITU MBAYA SANYA!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 188

  • @baysadam235
    @baysadam235 Год назад +28

    Big up snaaa kwa Big Father amekufanya uwe mtu Mocco ginius🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @aliseif564
    @aliseif564 Год назад +28

    Mumtafute diamond😅alaf mumwabie aregeshe rollsrocye alikua amekodi tuone reaction au mnasemaje mashabiki wenzangu wa mo town

  • @fedhelahaji3444
    @fedhelahaji3444 Год назад +4

    Noma sana sija wahi comment ila Leo noma hasa kwa mashaa love apo dah

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Год назад +11

    Ikovizuri sana 🤣🤣Mocco alimaindi kiukweli sana 👍

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 Год назад +19

    Idea nzuri shida HUU ubunifu mlio uweka una adhari kubwa kuliko faida au tageti yenu so jaribuni kuona namna ya kukiboresha zaidi coz mnaweza😁👊👊

  • @surykizz1698
    @surykizz1698 Год назад +15

    Leo show imeua huyo dogo kaweza ♥️

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm0621 Год назад +13

    Dogo kacheza vizur Sana 👏👏

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +15

    Nimecheka kifala sana sana. Big up sanya.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Год назад +11

    Moco yuko na hasira sana ustaa utamshinda

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +6

    Vijitu vifupi vikorofi.. Umemuweza mocco leo.. Tatizo kimo jamaa lazima apanic 🤣😂

  • @fatemazanzibar877
    @fatemazanzibar877 Год назад +15

    Nakupenda sana❤ moo❤❤ mpeni mau yake moo jamni🎉🎉

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Год назад +29

    Dogo anakitu atafika mbali 😂😂anajua kuigiza wala hacheki tena

  • @pendohumphrey6501
    @pendohumphrey6501 3 месяца назад +1

    next prank iwe ya jay melody please the guy is so cool....we want to see his reaction

  • @uwezoaman493
    @uwezoaman493 Год назад +12

    Sema moco nimemsoma hana subrraa anachemka haraka🤣🤣🤣 sopoa

  • @jafarykadinda6385
    @jafarykadinda6385 Год назад +2

    Mo sanaya atakuja kuua watu kwa presha😂😂😂🤣🤣🔥🔥🔥

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 Год назад +12

    😂😂hii inaitwa big suprise °°

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA Год назад +30

    kwa style hii kuna siku mtu atakula shaba, masihara mengine hayafai 😘😘

  • @Calebtz
    @Calebtz Год назад +12

    Leo mmeyavagaaa😅😅😅 sanya kama sanya

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +15

    Hiii show saizi ni ya motoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 Год назад +10

    😂😂😂😂😂 aiseee huyo dogo ni shidaaaa yaani kakomaa sana

  • @samohmosa2254
    @samohmosa2254 Год назад +6

    Dogo ameweza kwelii

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Год назад +10

    Lakini mnashitua watu sana

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Год назад +1

    yaan nasemaje mo unatufanya tuinjoi ira maumiv ya kupigwa unayamaliza ww dar hongera san bro

  • @carlosn_tz
    @carlosn_tz Год назад +13

    Mocco hivi kweli beat yangu utafanya kama wamekuvuruga hivi!!!!!😂😂😂😂😂😂

  • @leahzuu6468
    @leahzuu6468 Год назад +10

    Dada lamata Leah muone uyo dogo anajua anajua anajua Tena

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +6

    Saiz mo anauwa hiki kipindi 😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @bennysanga2873
    @bennysanga2873 Год назад +3

    Safi Sana ubunifu mzuri sana

  • @mozstorrytv7982
    @mozstorrytv7982 Год назад +15

    Sema mocco yuko vizur kama hakimu

  • @msouthlizombe8375
    @msouthlizombe8375 Год назад +5

    Dadek dogo ameigiza powa sana

  • @imanimagenda6329
    @imanimagenda6329 Год назад +4

    Sema Mocco mstaharabu

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Год назад +19

    Big up moo town sanya

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +4

    Ipo cku mtapasuana kweli😂 ila dogo katisha Sanaaa

  • @sammixit7260
    @sammixit7260 Год назад +10

    Nasubiri wa mavokali 🔥

  • @harunahussein3505
    @harunahussein3505 Год назад +10

    Mocco ana muhaho😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +1

    Nakuona Mbali.sna motown sanya kila hatua dua

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 Год назад +7

    Big up Sanya 😂😂😅

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад +4

    Leo mocco kakamatika 😂😂😂😂

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +13

    Hiki kipindi kizuri lakini kina hatari sana mbadili hiki kipindi jamani ipo siku itawagika damu💔💔💔

  • @PUGBFORBEGGINERS
    @PUGBFORBEGGINERS Год назад +2

    Nitakupiga mpaka nikupasue vpande vipande themanini... 😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +9

    Ndo ujitambue ivyo unazingua sana usiingize masihara kwa kila mtu watu wana mambo mengi yanayowasumbua vichwani

  • @ngebafaila3581
    @ngebafaila3581 Год назад +5

    Na wewe siku moja.wakiingize 18 je wana subiri Nini wezako ?😂😂😂

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 Год назад +15

    WAPI, Kelele Kwa MOCCO Na SANYA🔥👍Ngonga Like👍

  • @mapromedia_
    @mapromedia_ Год назад +12

    Kamvaeni Alikiba ndo mutaelewa wakina soudybrown walifunguliwa mbwa ninyi mutakula chuma

  • @Iddy-lg1ly
    @Iddy-lg1ly Год назад

    Hiyo michozo ambayo mnaifanya sanya yakifara sanaa sana mtakuja kuua watu huo utoto kinoma

  • @deborahsamwel-ss2wb
    @deborahsamwel-ss2wb Год назад +4

    Kali sana😂😂😂

  • @ibrahimsadick6137
    @ibrahimsadick6137 Год назад +10

    Sanya siku mtakuja kupigwa chuma kwa utani wenu huu
    Japo pindi ni la moto

  • @barakawiseman5073
    @barakawiseman5073 Год назад +15

    siku mtu atakula MAKOFII AFU MTATAMBUANA MBELE YA SAFARI

  • @UwimanaAlia-lm2ln
    @UwimanaAlia-lm2ln Год назад +1

    unajuwa snaa 🤭🥰love from Burundi🌹

  • @trifonidesdery8707
    @trifonidesdery8707 Год назад +3

    Mi nanimaliza huyo dogo mkavu anadai kurekodi kama katoa hela kweli😅😅

  • @jojotz1210
    @jojotz1210 Год назад +4

    Angemuuliza tu jina lilikuja nan 😂😞

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline766 Год назад

    Iyi show ni nzuri Sana but u need bodyguard in case of escalation...u know people we are not the same .....but are very creative 👌 👏 bip up

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi Год назад +1

    Hiiii noma sana

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 Год назад +5

    Mocco umepatikana leo 😂😂😂😂😂

  • @saraphinaJoseph-ke9jg
    @saraphinaJoseph-ke9jg Год назад +2

    Ila mtakuja kuuuwa watu kwa plesha😂😂

  • @peterkhery326
    @peterkhery326 Год назад +2

    Dogo kkaza kama anadai kweli mpka mwamba kajaa 🤣🤣

  • @dudusenior5031
    @dudusenior5031 Год назад +1

    MNAZINGUAAAA, mnacheza na mda wa mtu jumlisha michoresho juu

  • @giverliquid
    @giverliquid Год назад +5

    😂😂😂😂😂😂😂 noma san😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Amuri_Buffle
    @Amuri_Buffle Год назад +1

    Ney adanganyi kabisa
    Mama Yako!!!

  • @emmanueljulius7171
    @emmanueljulius7171 Год назад +7

    Nani kagundua sauti ya mjomba ni ya Oscar oscer 😂😂

  • @jumamboga9652
    @jumamboga9652 Год назад

    Sanya eeee fanya hiki kipindi ukamfanyie ngoma nagwa nasubiri sana kwa hamu😂😂😂😂

  • @MohammedHassan-kr3ry
    @MohammedHassan-kr3ry Год назад +3

    Kwa tz mtkuja kufaa

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +2

    Hata hvy huyu mocco kajitahid jmn

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Год назад +6

    Jaman uyu dogo amejua amejua amejua tena

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 Год назад +3

    Mocco umeingia cha kike waah!

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +4

    Moko alikiwasha 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AishaSaed
    @AishaSaed Год назад +2

    Lamata kunakijana muone anakipaji cha kuigiza

  • @amararif7242
    @amararif7242 Год назад +2

    Boi ako fitiiii I say 😂🙌

  • @patriciomanuelmwadi525
    @patriciomanuelmwadi525 Год назад

    Nc program

  • @Gude415
    @Gude415 Год назад +6

    Sanya Unafanya kitu Kizuri Ila Iyo Miyayusho Yako Cku Utakanyaga Wayaa Cha Kukusihi kuwa Makini Ila iyo Miyayisho Isifike Kwa Cheed Benz,Alikiba

  • @ShedBeda4767
    @ShedBeda4767 Год назад +4

    😂😂😂😂uyo dogo watambonda

  • @EdithaFlorentin
    @EdithaFlorentin Год назад +1

    ya paula jamani

  • @lavatz
    @lavatz Год назад +1

    Sanya saiv mda aidia mbaya kwl mnavopanga sio hamn sirius mnaigiza

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад +2

    Hivi kweliii

  • @AliMahmoud-p7o
    @AliMahmoud-p7o 4 месяца назад +1

    Ww msanii Gani huna busara ,hasira umeweka mbele acha hizo 👺

  • @CAN.164
    @CAN.164 Месяц назад

    Eti mbona unataka kutuletea bongo forever kwani ina nini bongo forever

  • @ibrahimshaban363
    @ibrahimshaban363 Год назад +4

    Salute

  • @DjumaNasibu-wc2rm
    @DjumaNasibu-wc2rm Год назад

    Ifike kipinde muanze ku padikisha watu kwa hajili yaku trompe batu kwa ajili y'a sauti surtout île dereva tulisha mu tambuwa sauti!! Na iyi DRC Congo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 2 месяца назад

    Vijitu vifupi vinakuwa na hasira mobu😅😅😅

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Год назад +5

    Hii ni hatari kinaweza kikatokea kitu kibaya siku

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +1

    Mocco nakulia kalia😂😅

  • @magnusmichael
    @magnusmichael Год назад

    Big up moo town sanya

  • @mucci_AI
    @mucci_AI Год назад +1

    😂😂😂 daah hii balaa

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Год назад +5

    HIVI VIPINDI INAELEKEA VIMERECODIWA VINGI ALAFU NDO VINAANZA KUTOKA KIMOJA KIMOJA

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 Год назад +3

    ila dogo katisha 😂😂

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Год назад +1

    Mmeuwa

  • @HinzanoNgala-q3j
    @HinzanoNgala-q3j Год назад +2

    Njoo kenya ufanye ujinga kama huo uone,

  • @haureyfeisal7854
    @haureyfeisal7854 Год назад

    Yan hii kitu watu mtakuja kuuwana 😅😂

  • @rehmakondo
    @rehmakondo Год назад +2

    Ichi kipind ichi hpna kwakweli ipo cku mtaonana wabaya,mtu hadi anachoma mafuta yke,upuuz mtupu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад

    Moo town sanya katisha sana!

  • @princehans8346
    @princehans8346 Год назад +12

    staged xote hizi nyie hata hamuoni ww nani leo sanya akamfanyie interview aisjue michezo yake wanapangwa hawa ndo kipindi kinashutiwa

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +3

    🤣🤣😁😁😁😁mo town sanyaa a

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад

    Hata mm nmekuja kushtukia sawa na Moco

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Год назад +4

    Sema mocco hana matusi kama meja kunta

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Год назад +1

      Meja ana maneno hadi utacheka

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Год назад +1

      Sasa Meja Kunta ni msanii wa Singeli uimbaji wao wenyewe uko ivo 😂

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Год назад +1

      @@BigZhumbe naona nilichekapka na maneno yao kisengeli sengeli😂😂😂

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад

    Mocco anayo akili 😂😂

  • @clintonkhan4961
    @clintonkhan4961 Месяц назад

    Huyu Moco ana ujinga mwingi sana pesa huisha

  • @elizabethkyando5612
    @elizabethkyando5612 Год назад

    Umeweza mpk umeweza Tena mo

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Год назад +2

    Ila nyie maproducer mnajikuta wasahaulifu pesa kapewa mocco huyo

  • @ElizabethDeusi-sx8di
    @ElizabethDeusi-sx8di Год назад +1

    Sanya kama sanya

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад +1

    hii mbona ndoto kuna kama wakimisri uwa anafanya kipindi chake mwezi wa Ramadan uku uwarabuni yani noma unaweza kuuwa mtu 😅😅

  • @Calebtz
    @Calebtz Год назад +4

    Sanya kama motown