HARMONIZE ASIMULIA DIAMOND ALIVYOMSAIDIA KIMZIKI MBELE YA RAIS SAMIA MLIMANI CITY AFUNGUKA KUTESEKA
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 Развлечения
So much love for you harmonize all the way from Zambia 🇿🇲🇿🇲
kazi nzuri my brother konde boy Allah akujaaliye uzidi kufanya mambo makubwa sana
Hao wote ni influencers wa shetani ili kizazi kipya chote kiimbe
Allah s.w. hawezi kubariki upuuzi, nyimbo ni kinyume cha Qur'an, #Soma
Ni Mimi Leo wa kwaza nipewe like zangu ata 100❤❤❤❤
hii apa , kimbia bank kazitoe ununue mishkaki
DIAMOND ❤❤❤❤ MUNGU akuzidishie ❤️ ZAIDI 💙❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Naweweje
Ameeen
Rais anaenda kwa muziki wa Harmonize, kweli Tz Bado sanaa,
Hajaenda km raisi bali ameenda km raia wa Tanzania ambae ana haki y kufurahi pia nje ya kazi, mkataba unampa muda wa kupumzika na kufanya mmb yke mingine, haumbani kwmb atakua kazini 24/7
Na alipoenda kwa Sugu Tz ilikua sana?
Kaenda kufanya kampeni ili awazuge mafala aneemeke na group lake
Vipi ulitaka aende kwenye mziki WA mamaakoooo au
Ipo siku na muda silali Bado na hustle mungu mbere kwa maombi (harmonize)
Big up Tanzania a good nice president come and support you guys🇿🇦🇧🇮
Nchi imejaa milafi michawa ili mradi wapate pesa wakisahau baadae watazeeka lakini vizazi vyao bitaendelea kuteseka .Wanafurahi kujaza matumbo yao tu sasa wabinafsi wakubwa
Karbu kweny nchi yakiwaki nayakiunafki njenje,siku platnumz anajivunia kuwatowa kimziki hao watu hususan huyu mnafiki mkubwa alimkataa katakata nakuanza kumdharau maneno yakisenge,leo hii yuleyule aliye kuwa anarushiwa maneno yakuumiza Yuko anasifiwa kwenye tamasha lakisenge,wacha shobo kijana,Kwan matukio yenu ayawez kunoga pasipo jina la diamond
Ukweli ndo uwo mtuangu tuambilie yeye
Hiyo live band iko down sana angechukua wale wa mbosso bana
Hongera lakini
Mungu sedia Tanzania
Never against you kk
Tanzania🇹🇿 mnatoa wapi nguvu ya kusifu wanasiasa, hapa Kenya🇰🇪 tunawatusi sisi
Daah uyu jamaaa aerewek yaan
❤❤ Kweli kbx
Usije kulia apo konde
Kweli pia nikodi zetu sio rais
❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
pamoja sana teacher
unajua saaana brother
Kashaishiwa tayar,, watu tumekaa tunasubir hiyo album aliyoinadi kwa mbwembwe, lakin mpaka leo kmyaaa
🔥🔥
Yapendeza sana
Kweli hii nitanzania
🐘💯
Good🇷🇼💞💞💞💞💞💞
Jmaaa mnafiki sna uyu
Sanaaa
Arar
Kond boy mwambaaaa
Nchi iko likizo. Mama yao anakula mziki hali maskini hawajui wacha waisome namba
Jamaa mnafik kwel
Hapo kwa Sarah kuliingia scratch kidogo 😅😅
Marais waliopita wanajitambua bhana
KAZI nzuri lakini harmo Kwa live performance hayumo
Mama ni raisi wa watu wote Ana haki ya kusapoti wote halafu Tanzania haina dini Ila walondani yake ndio wenye dini pia wapagani wapo raisi homgera kwa kuwajali wAtanzania wote
mnafiki au utakua chawa
Ndio nimeamini kuwa Nay wa mitego huimba ukweli ,, hii ni uchawa tu wa siasa za ccm hamna kitu hapo
Kuna waliosema Harmo hatakubalika,mko wapi leo?Mungu ndiye mpaji....
Mimi nimesikilza maneno nikasikiliza bit yake namna alivyoumba nimesikiankama vimachozi kwa mbaaali
Kwahiyo hayo ndio aliyoitiwa Rais,,,,
Shame kwa nchi za Afrika
Inchi ya hovyo hiyo dah yani mpaka muzik pia ni siasa wacha tusiendelee coz hao kenge wenye mafanikio kidogo ndio wanawapa kichwa hao viongoz wetu uchwala mpaka tunakosa maendeleo.. leo hii likijengwa daraja tu eti utackia mama anaupiga mwingi mnasahau kuwa hiyo ni haki yetu tena wanaulazima wa kufanya hivyo . Kaji tren kamoja kelele wti mpeni tena miaka mitano wakat watu wanamitren na mi highway lkn mtu kila cku anaishi kikaangoni
😂😂😂😂😂😂😂
Basi ni hivyo wewe ndiyo wa hovyo. Watu kila Jambo wakifanya wapo wa kusema chochote hivyo kama wewe. Kwako lipo jema? Nenda kwenye nchi isiyo na siasa
❤11qqqq@@chusseboywcb2808
@@mwikamwika4851 ukapimwe au njoo Dodoma kunamilembe siasa na mziki wapi nawapi
Ovyo sana,siasa tu
Huyu dogo shobo ni nyingi kwa marais
Unataka tumwogope harmonize
Live aachiwe Alikiba, Barnaba, One six na Damian Sol
Kinchi masikin
Anakula vidole😂
Wew unalolote harmonize unaukubwa wowote sema
Show ya kiloko ssna
Mabangi yanakupeleka
Huy fala t mmakonde mnafki ,hili jit silipend hat kdg halin shukrn
Hulipendi ila ndio lishatoboa ss😂
@@abdulmohd6880Kwa Maana hiyo kufanikiwa ni kutoboa Masikio😂😂😂
Mm ndo sijui hata nisemeje
@@abdulmohd6880 wamkonde mmejaw roh za korosh kam mkoa wenu ulivy ,yy si aliokot wasanii kibao lkn wememshind kuwalea lkn hafikirii ilkuwj mond akwez bs ampe heshm yake ila ugum wa moy wake haun fadhir
upende usipende ataishi tu
Munaokomenti ujinga mara nyingi hua hamna maisha yanayoeleweka kam mtu anajua anajua tu 😅😅
Mama anakula bata na watoto
Udaku ghasiaa!!..wapi ambapo amesimulia ntk!!
Rais anapoteza kiti cha uraisi imekujaje au ndio unavotaka ww apoteze mana mnaongea ujinga tu
Wachangake nini awana bia vinywaji ata
Japo ukumbi umejaa kashindwa kuuchangamsha
Mziki wakistaarabu hautaki vurugu..
Kumjaji mama yetu kuwa atapoteza kiti nikutojitambua mama ni mtu wawatu ajichukui kuwa juu kama rais nimama waupendo
Inchi autaki ivyo wew mpunvavu inchi inaitaji mtu mwenye loho ngumu upendo utafute Kwa mama Ako
Unaimba nn
Yeah utoto tu kweli 😂
Kumepoa poziiiiiii amna kitu apo
Chalamila😂😂😂nae msanii😂😂😂hii ndio Bongo😂uchawa😂
Wewe mwamba auna wa kufanananae
Usiwe mjinga mwambie ukweli kuwa kumtukana mwalimu ni laana
Mwambie amulize alubamu Iko wapi anatafuta kiki Ili raisi awekeze kwake konde FM
Mpuuzi ww
Kinafiki
Do raisi kweli una kazi ya kufanya maskin wana lala njaa ww uko uku kwa ufuhuzi wallah
Wew ni Chizi kbsa
Hahaaa
Anafanya kampeni
Si mlisema TZ hamlali njaaaa. Basi njooni kenya
Huna lolote kistuli wewe walahuna hata fadhila
Acha matusi, watu wako kwenye furaha, nchi hii ni ya Amani, that's, why RAIS anasaport wanamziki wazarendo
Kapachangamshee
Katik wat wanfk huy mnfk namb moj ,huwez kumfikia mond ufe uumbwe ten ,shoo hujui imebuma
Mbona kama kumepoa hivi!
Huo ndio uhalisia
Mnatia aibu hiyo nchi bana acheni kujisifia kisenge kuma nyie
Kwa hiyo kuma ambayo imekuzaa ni kitusi? Lakini mimi ni from congo.
kuma ni mama yko
@@henribwema2778 so what do wanna know asshole
Amini Kauli Yangu...SAMIA anaenda kupoteza kiti chake,,Hafai kuitwa Rais
Mimi ni chadema blood ila ukimtoa Mwalimu Juliusi Nyerere hakuna Raisi aliepiga kazi kama Mh Samiah ila kwakuwa apigi makelele ndiyo maana bangi zako zinafanya uone anacheza cheza .
@@hubimogela9167 Hilo jimama hano lolote alilo Fanya la Ajabu
❤
@@hubimogela9167 ungetoa na kilichofanywa kudefend hoja yako
Na aki poteza tu ta mpa mama yako mzazi jiandae
Ubumbavvu tuuu Hana lolote
Kawaida chuki zenu ndo za mkuza ...so badala ya kuchukia tafuta kitu ya kufanya
Me nasubil pambano tuu nione mtu anavyopewa makofi yasiokua na idadi, mwakinyo v/s mmakonde😅
Siasa za kijinga nchi hii,hasa uccm,uchawa unaliadhiri taifa kwa kiwango kikubwa,Kuna utabaka mkubwa na uzalishaji wa wajinga wengi kwa masirahi ya kisiasa,inaonekana bila kuutukuza uheshimiwa,uccm nchi hii hufanikiwi,
Asante
Harmon ni selfish ndomaana kumepoa
What do you mean by selfish?
Wewe ndo selfish banaa...usmchikie MTU Kwa kitu hakuna....mlikosania nn na hamo wewe??? Waache hao bigu zao ni zao wewe sapot muzki
Kashaishiwa tayar,, watu tumekaa tunasubir hiyo album aliyoinadi kwa mbwembwe, lakin mpaka leo kmyaaa