HARMONIZE ASIMULIA DIAMOND ALIVYOMSAIDIA KIMZIKI MBELE YA RAIS SAMIA MLIMANI CITY AFUNGUKA KUTESEKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 155

  • @AlinaniSinyangwe
    @AlinaniSinyangwe 22 дня назад +6

    So much love for you harmonize all the way from Zambia 🇿🇲🇿🇲

  • @user-vm1pj2dm7q
    @user-vm1pj2dm7q 22 дня назад +15

    kazi nzuri my brother konde boy Allah akujaaliye uzidi kufanya mambo makubwa sana

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 19 дней назад

      Hao wote ni influencers wa shetani ili kizazi kipya chote kiimbe
      Allah s.w. hawezi kubariki upuuzi, nyimbo ni kinyume cha Qur'an, #Soma

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-luke 22 дня назад +34

    Ni Mimi Leo wa kwaza nipewe like zangu ata 100❤❤❤❤

    • @FanuelKipyego
      @FanuelKipyego 21 день назад

      hii apa , kimbia bank kazitoe ununue mishkaki

  • @user-wz5ne1fe9y
    @user-wz5ne1fe9y 22 дня назад +13

    DIAMOND ❤❤❤❤ MUNGU akuzidishie ❤️ ZAIDI 💙❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwanakomboBwata
    @MwanakomboBwata 22 дня назад +9

    Rais anaenda kwa muziki wa Harmonize, kweli Tz Bado sanaa,

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 22 дня назад +1

      Hajaenda km raisi bali ameenda km raia wa Tanzania ambae ana haki y kufurahi pia nje ya kazi, mkataba unampa muda wa kupumzika na kufanya mmb yke mingine, haumbani kwmb atakua kazini 24/7

    • @sophynganga6123
      @sophynganga6123 21 день назад

      Na alipoenda kwa Sugu Tz ilikua sana?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 21 день назад

      Kaenda kufanya kampeni ili awazuge mafala aneemeke na group lake

    • @SameerMijole
      @SameerMijole 15 дней назад

      Vipi ulitaka aende kwenye mziki WA mamaakoooo au

  • @NkusiFred
    @NkusiFred 12 дней назад

    Ipo siku na muda silali Bado na hustle mungu mbere kwa maombi (harmonize)

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 20 дней назад

    Big up Tanzania a good nice president come and support you guys🇿🇦🇧🇮

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 21 день назад +4

    Nchi imejaa milafi michawa ili mradi wapate pesa wakisahau baadae watazeeka lakini vizazi vyao bitaendelea kuteseka .Wanafurahi kujaza matumbo yao tu sasa wabinafsi wakubwa

  • @stalonysilvester-yv1bt
    @stalonysilvester-yv1bt 22 дня назад +6

    Karbu kweny nchi yakiwaki nayakiunafki njenje,siku platnumz anajivunia kuwatowa kimziki hao watu hususan huyu mnafiki mkubwa alimkataa katakata nakuanza kumdharau maneno yakisenge,leo hii yuleyule aliye kuwa anarushiwa maneno yakuumiza Yuko anasifiwa kwenye tamasha lakisenge,wacha shobo kijana,Kwan matukio yenu ayawez kunoga pasipo jina la diamond

  • @elvismasinde5476
    @elvismasinde5476 22 дня назад +5

    Hiyo live band iko down sana angechukua wale wa mbosso bana
    Hongera lakini

  • @EmmanueliKarisa
    @EmmanueliKarisa 21 день назад +2

    Mungu sedia Tanzania

  • @Revoclassic26
    @Revoclassic26 22 дня назад +5

    Never against you kk

  • @markhenryford6981
    @markhenryford6981 20 дней назад +2

    Tanzania🇹🇿 mnatoa wapi nguvu ya kusifu wanasiasa, hapa Kenya🇰🇪 tunawatusi sisi

  • @BrianKomba-sp3bk
    @BrianKomba-sp3bk 22 дня назад +5

    Daah uyu jamaaa aerewek yaan

  • @omarinikundana2324
    @omarinikundana2324 22 дня назад +7

    ❤❤ Kweli kbx

  • @user-qh9cy9lu4h
    @user-qh9cy9lu4h 22 дня назад +4

    Kweli pia nikodi zetu sio rais

  • @AlphonceOmondi-le5ry
    @AlphonceOmondi-le5ry 22 дня назад +5

    ❤❤

  • @malengafataki1228
    @malengafataki1228 22 дня назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @MrTyga-wu5dt
    @MrTyga-wu5dt 21 день назад

    pamoja sana teacher

  • @hamzakichuma867
    @hamzakichuma867 20 дней назад

    unajua saaana brother

  • @GagaRino-iv7pr
    @GagaRino-iv7pr 11 дней назад

    Kashaishiwa tayar,, watu tumekaa tunasubir hiyo album aliyoinadi kwa mbwembwe, lakin mpaka leo kmyaaa

  • @mahamedally5129
    @mahamedally5129 22 дня назад +1

    🔥🔥

  • @EmmanuelKipwasa
    @EmmanuelKipwasa 22 дня назад +1

    Yapendeza sana

  • @Twalbusufiani
    @Twalbusufiani 20 дней назад +1

    Kweli hii nitanzania

  • @irbanytz9559
    @irbanytz9559 22 дня назад +3

    🐘💯

  • @boottv2
    @boottv2 21 день назад

    Good🇷🇼💞💞💞💞💞💞

  • @calvincletus5233
    @calvincletus5233 22 дня назад +4

    Jmaaa mnafiki sna uyu

  • @AloycePeter-hp7by
    @AloycePeter-hp7by 22 дня назад +3

    Arar

  • @IajaSam
    @IajaSam 22 дня назад +2

    Kond boy mwambaaaa

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 22 дня назад +6

    Nchi iko likizo. Mama yao anakula mziki hali maskini hawajui wacha waisome namba

  • @FredyShija-go6ju
    @FredyShija-go6ju 17 дней назад

    Jamaa mnafik kwel

  • @reubensankok-ru3rq
    @reubensankok-ru3rq 9 дней назад

    Hapo kwa Sarah kuliingia scratch kidogo 😅😅

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx 22 дня назад +2

    Marais waliopita wanajitambua bhana

  • @DANMORATA
    @DANMORATA 21 день назад +2

    KAZI nzuri lakini harmo Kwa live performance hayumo

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 22 дня назад +2

    Mama ni raisi wa watu wote Ana haki ya kusapoti wote halafu Tanzania haina dini Ila walondani yake ndio wenye dini pia wapagani wapo raisi homgera kwa kuwajali wAtanzania wote

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 22 дня назад +6

    Ndio nimeamini kuwa Nay wa mitego huimba ukweli ,, hii ni uchawa tu wa siasa za ccm hamna kitu hapo

  • @itsjustagame4178
    @itsjustagame4178 20 дней назад

    Kuna waliosema Harmo hatakubalika,mko wapi leo?Mungu ndiye mpaji....

  • @janethmwambona4386
    @janethmwambona4386 22 дня назад +1

    Mimi nimesikilza maneno nikasikiliza bit yake namna alivyoumba nimesikiankama vimachozi kwa mbaaali

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 22 дня назад +2

    Kwahiyo hayo ndio aliyoitiwa Rais,,,,

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 22 дня назад +45

    Inchi ya hovyo hiyo dah yani mpaka muzik pia ni siasa wacha tusiendelee coz hao kenge wenye mafanikio kidogo ndio wanawapa kichwa hao viongoz wetu uchwala mpaka tunakosa maendeleo.. leo hii likijengwa daraja tu eti utackia mama anaupiga mwingi mnasahau kuwa hiyo ni haki yetu tena wanaulazima wa kufanya hivyo . Kaji tren kamoja kelele wti mpeni tena miaka mitano wakat watu wanamitren na mi highway lkn mtu kila cku anaishi kikaangoni

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 22 дня назад +4

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 22 дня назад +2

      Basi ni hivyo wewe ndiyo wa hovyo. Watu kila Jambo wakifanya wapo wa kusema chochote hivyo kama wewe. Kwako lipo jema? Nenda kwenye nchi isiyo na siasa

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 22 дня назад +1

      ❤11qqqq​@@chusseboywcb2808

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 22 дня назад

      @@mwikamwika4851 ukapimwe au njoo Dodoma kunamilembe siasa na mziki wapi nawapi

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 22 дня назад +2

      Ovyo sana,siasa tu

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 20 дней назад +1

    Huyu dogo shobo ni nyingi kwa marais

  • @user-du5wk9ns9m
    @user-du5wk9ns9m 21 день назад

    Unataka tumwogope harmonize

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 22 дня назад

    Live aachiwe Alikiba, Barnaba, One six na Damian Sol

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 21 день назад +1

    Kinchi masikin

  • @LukasMabena
    @LukasMabena 22 дня назад

    Anakula vidole😂

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 21 день назад +1

    Wew unalolote harmonize unaukubwa wowote sema

  • @AzizSultan-fc7rn
    @AzizSultan-fc7rn 22 дня назад +1

    Show ya kiloko ssna

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r 12 дней назад

    Mabangi yanakupeleka

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l 22 дня назад +7

    Huy fala t mmakonde mnafki ,hili jit silipend hat kdg halin shukrn

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 22 дня назад +1

      Hulipendi ila ndio lishatoboa ss😂

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn 22 дня назад

      ​@@abdulmohd6880Kwa Maana hiyo kufanikiwa ni kutoboa Masikio😂😂😂

    • @GwakisaMwaisanga-th7uz
      @GwakisaMwaisanga-th7uz 20 дней назад

      Mm ndo sijui hata nisemeje

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l 20 дней назад

      @@abdulmohd6880 wamkonde mmejaw roh za korosh kam mkoa wenu ulivy ,yy si aliokot wasanii kibao lkn wememshind kuwalea lkn hafikirii ilkuwj mond akwez bs ampe heshm yake ila ugum wa moy wake haun fadhir

    • @AnimajuMajune
      @AnimajuMajune 2 дня назад

      upende usipende ataishi tu

  • @GodfreyTaudos
    @GodfreyTaudos 21 день назад

    Munaokomenti ujinga mara nyingi hua hamna maisha yanayoeleweka kam mtu anajua anajua tu 😅😅

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 21 день назад

    Mama anakula bata na watoto

  • @martinkinyoro83
    @martinkinyoro83 21 день назад

    Udaku ghasiaa!!..wapi ambapo amesimulia ntk!!

  • @makamezahoro8194
    @makamezahoro8194 21 день назад

    Rais anapoteza kiti cha uraisi imekujaje au ndio unavotaka ww apoteze mana mnaongea ujinga tu

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 21 день назад

    Wachangake nini awana bia vinywaji ata

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 22 дня назад +4

    Japo ukumbi umejaa kashindwa kuuchangamsha

    • @Mayabi_Africa
      @Mayabi_Africa 22 дня назад

      Mziki wakistaarabu hautaki vurugu..

  • @DanielMagogo-wy9hj
    @DanielMagogo-wy9hj 21 день назад

    Kumjaji mama yetu kuwa atapoteza kiti nikutojitambua mama ni mtu wawatu ajichukui kuwa juu kama rais nimama waupendo

    • @user-wo5wl7jo4f
      @user-wo5wl7jo4f 20 дней назад

      Inchi autaki ivyo wew mpunvavu inchi inaitaji mtu mwenye loho ngumu upendo utafute Kwa mama Ako

  • @TracyWebster-ov2kt
    @TracyWebster-ov2kt 22 дня назад +3

    Unaimba nn

  • @BensonMuthui-zu4md
    @BensonMuthui-zu4md 22 дня назад +2

    Yeah utoto tu kweli 😂

  • @MsalabaniReko
    @MsalabaniReko 22 дня назад +3

    Kumepoa poziiiiiii amna kitu apo

  • @abbymwessamachumu8626
    @abbymwessamachumu8626 17 дней назад

    Chalamila😂😂😂nae msanii😂😂😂hii ndio Bongo😂uchawa😂

  • @FarajiSalum-lw2vi
    @FarajiSalum-lw2vi 22 дня назад +5

    Wewe mwamba auna wa kufanananae

    • @aliabdallahali6995
      @aliabdallahali6995 22 дня назад +3

      Usiwe mjinga mwambie ukweli kuwa kumtukana mwalimu ni laana

    • @elisbegaelias163
      @elisbegaelias163 22 дня назад

      Mwambie amulize alubamu Iko wapi anatafuta kiki Ili raisi awekeze kwake konde FM

    • @Zuu673
      @Zuu673 21 день назад

      Mpuuzi ww

  • @zuhurahusein7579
    @zuhurahusein7579 20 дней назад

    Kinafiki

  • @user-kg9kt2pd1k
    @user-kg9kt2pd1k 22 дня назад +3

    Do raisi kweli una kazi ya kufanya maskin wana lala njaa ww uko uku kwa ufuhuzi wallah

  • @user-xb2yk6jl6p
    @user-xb2yk6jl6p 22 дня назад +2

    Huna lolote kistuli wewe walahuna hata fadhila

  • @BOAZIKAGOZI
    @BOAZIKAGOZI 21 день назад

    Acha matusi, watu wako kwenye furaha, nchi hii ni ya Amani, that's, why RAIS anasaport wanamziki wazarendo

  • @user-wi5xl4fs2v
    @user-wi5xl4fs2v 22 дня назад +2

    Kapachangamshee

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l 22 дня назад +2

    Katik wat wanfk huy mnfk namb moj ,huwez kumfikia mond ufe uumbwe ten ,shoo hujui imebuma

  • @user-bp6ko3rw7l
    @user-bp6ko3rw7l 22 дня назад +5

    Mbona kama kumepoa hivi!

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 22 дня назад +2

    Mnatia aibu hiyo nchi bana acheni kujisifia kisenge kuma nyie

    • @henribwema2778
      @henribwema2778 22 дня назад

      Kwa hiyo kuma ambayo imekuzaa ni kitusi? Lakini mimi ni from congo.

    • @allenwales2681
      @allenwales2681 22 дня назад +1

      kuma ni mama yko

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 21 день назад

      @@henribwema2778 so what do wanna know asshole

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 22 дня назад +6

    Amini Kauli Yangu...SAMIA anaenda kupoteza kiti chake,,Hafai kuitwa Rais

    • @hubimogela9167
      @hubimogela9167 22 дня назад +3

      Mimi ni chadema blood ila ukimtoa Mwalimu Juliusi Nyerere hakuna Raisi aliepiga kazi kama Mh Samiah ila kwakuwa apigi makelele ndiyo maana bangi zako zinafanya uone anacheza cheza .

    • @mudibojaffar9269
      @mudibojaffar9269 22 дня назад +1

      @@hubimogela9167 Hilo jimama hano lolote alilo Fanya la Ajabu

    • @adamjumaah2679
      @adamjumaah2679 22 дня назад +1

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 22 дня назад

      @@hubimogela9167 ungetoa na kilichofanywa kudefend hoja yako

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 22 дня назад

      Na aki poteza tu ta mpa mama yako mzazi jiandae

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba7200 22 дня назад +3

    Ubumbavvu tuuu Hana lolote

    • @ibrahimkarisa-cp7su
      @ibrahimkarisa-cp7su 22 дня назад

      Kawaida chuki zenu ndo za mkuza ...so badala ya kuchukia tafuta kitu ya kufanya

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 22 дня назад

    Me nasubil pambano tuu nione mtu anavyopewa makofi yasiokua na idadi, mwakinyo v/s mmakonde😅

  • @GavyoleJonas
    @GavyoleJonas 22 дня назад +2

    Siasa za kijinga nchi hii,hasa uccm,uchawa unaliadhiri taifa kwa kiwango kikubwa,Kuna utabaka mkubwa na uzalishaji wa wajinga wengi kwa masirahi ya kisiasa,inaonekana bila kuutukuza uheshimiwa,uccm nchi hii hufanikiwi,

  • @NgindoNdingo-nm4in
    @NgindoNdingo-nm4in 22 дня назад +1

    Harmon ni selfish ndomaana kumepoa

    • @robertmwangi3004
      @robertmwangi3004 22 дня назад

      What do you mean by selfish?

    • @ibrahimkarisa-cp7su
      @ibrahimkarisa-cp7su 22 дня назад

      Wewe ndo selfish banaa...usmchikie MTU Kwa kitu hakuna....mlikosania nn na hamo wewe??? Waache hao bigu zao ni zao wewe sapot muzki

  • @GagaRino-iv7pr
    @GagaRino-iv7pr 11 дней назад

    Kashaishiwa tayar,, watu tumekaa tunasubir hiyo album aliyoinadi kwa mbwembwe, lakin mpaka leo kmyaaa