Nimeelemewa,nimeelemewa,nimeelemewa !,yaaani cjui nianzie wp kuwapa neno la kuwashkr,Uongozi mzima/vjn wetu pia wanachama/mashabiki,shkrn mno kwa DUA'A mujarab,asanteni sana kila la kheri chama lng,Wananchiiiiiii ! Aluta continua
What an insightful comment!! Absolutely true! No mbambamba, no blah blah...we need no many words in football however attractive they may look...we need actions...
Hongera sana sana sana 🍓 dar yanga afrika 🌍 tunatakiwa timu za tizifunge kama hivo maana hata kulalamika tumeonewa wasiweze na bado shuhuli haijesha tunaweza timu zetu zote tz. From skandinaviska
Naibu waziri full happy Tunakupenda sana wana YANGA Upo pamoja na sisi tunakuona kila hatua unaunga mkono kwa Club ya YANGA tunakukubali sana prezidaa wetu Basi kuna hapo kuna mijitu haikawii kusema Watacoment nakusema naibu waziri ni YANGA Yaani madunduka hawana jema hao Badala ya kufocus na litimu lao na msemaji wao wanaanza kufocus na majjini eti mayele katupiwa majjini ili mradi tu kumtoa YANGA mchezoni sasa ili mjue kama YANGA ya wasomi na inaendeshwa kisomi na viongozi vijana na mashabiki wote wa YANGA wanaopendeza kila idara kuanzia rangi za jezi zote mpaka ambazo sio jezi ni nguo tu zenye nembo ya YANGA basi pia tunapendeza mpaka mademu zetu wa wana YANGA full pozi na bado tutawakera zaidi tukirudi kwenye ligi sijui mtaramba dawa gani Labda mrambe juice za mo😂😂😂😂😂 Tutawakera sanaaa na pua zenu hizo kama simba jike na dume kule serengeti mbuga yao ya makolo😂😂😂😂😂 Msinune YANGA ikishinda kueni wazalendo watani zetu tukirudi kwenye ligi yetu ndo kila mmoja na dini yake lakini sio wivu kwenye hizi za kimataifa achani roho mbaya mnaona sasa mmekimbia na muarabu wenu sasa sijui ni muarabu yule au mdosi kama yule boss wao😂😂😂😂 YANGA mbele nyuma mwiko pira machop chop na marost kama yote na blich full kumeremeta Eti walikua wanasubiri tu YANGA afungwe na bingwa wa Algeria sasa bashaa wao kafungwa na bingwa wa ligi ya Tanzania bara Kudadadeki Eti kuna mchambuzi mmoja alisema mbwembwe nyingi mpira hawana baada yakuona watu wamepaka blich sasa nsubiri kwa hamu ajichanganye kuisifia YANGA Mi namkubali sana bro Kessy, miraji, Muro, mchome, 64GB Rikado momo, kampiska, shafii dauda, na timu yote ya cloudz na timu yote ya wasafi bila ya kimsahau Sisco na Muro❤❤❤❤all of U.
@@michaelatilio2107we kolokwinyo bin dunduka nani alikutuma usome? Kama hujaipenda sisi tumeipenda si unaona mwenye likes hizo za kumwaga!!!! Na utateseka sana mwaka huu kwa sababu yajayo yanafurahisha zaidi....sasa sijui utajinyonga? Kama una mpango huo wa kujinyonga mi najitolea kamba imara ambayo haitakuchelewesha 😂😂😂
Huyu mwana fc yuko na busara sana love you waziri kijana Mungu akuongezee busara
Mwenyezi Mungu atusaidie tuchukue ubingwa wa kombe hili la CAF CHAMPION LEAGUE
Inshaalah❤
Amiiin Allauma Amiiin
Amina kubwa
Amina kwa utukufu wa Mungu
Amen 🙏🙏
Nimeelemewa,nimeelemewa,nimeelemewa !,yaaani cjui nianzie wp kuwapa neno la kuwashkr,Uongozi mzima/vjn wetu pia wanachama/mashabiki,shkrn mno kwa DUA'A mujarab,asanteni sana kila la kheri chama lng,Wananchiiiiiii ! Aluta continua
UONGOZI BORA 💚⚽💪 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Daima mbele 💚💛💚💛 kidogo wapate zile gwala.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥🇹🇿🏆asanteni sana wachezai wetu ,viongozi, mashabiki na benchi la ufundi na watu wote waliotupa support
Asanteni sana wachezaji wetu, benchi la ufundi na team nzima ya Wananchi, hakika mmetuheshimisha 🙏🏻
Success of the club is determined by good leadership and not otherwise... Mhandisi hongera kwa uongozi uliotukuka you have made it dude..congrats!
What an insightful comment!! Absolutely true! No mbambamba, no blah blah...we need no many words in football however attractive they may look...we need actions...
Nimesema lazima nichukue kadi ya uanachama wiki hii. Kwa heshima ya uongozi, na historia iliyowekwa hapo jana. Bravooooo my team. Rais wa yanga uishi
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥 hongera kwa wachezaji wetu viongozi na benchi la ufundi
0:41
Ahsanten wachezaji pamoja uongozi pamoja na mashabiki
Kila La Eli mungu Atubaliki Tuchukue kombe
Forever together, Daima mbele🎉
Mungu Ni Mwema sana
Maana halisi ya Timu Ya Wananchi👏
Hongera Timu langu
Hongera sana viongozi na wachezaji
Mashallah ❤❤❤❤❤ Allah awajalie afya njema wachezaji zetu na viongozi wazidi kuongeza umaridadi kwa Hali ya juu
Tuweke brich than tufungwe aa noo❤❤❤❤❤❤
Huu ndio wakati sahihi wa Yanga kuishangaza Africa 🌍 na mpira wake na Inshaalah litatimia hilo amina
Amiin Inshallah
Congratulations my team 🤸🤸💪💪💪💪💪💃💃💃💃💃
mungu mwema sana mungu hajawahi kusahau sasa akipendacho alihamdulilah yarabi
Safii sana MUNGU kwanza "
Here is Guede, there is Mudathir and Pacome. No Mayele, no Fei, no Nabi, no problem!
Period
Anacho Fanya naibu waziri MwanaFA kina positive impact ktk mpira wetu na Taifa. Your real a stateperson. Keep it up!
Yanga wamenipa raha sanaaaa
😂😂😂😂hunifikii mim yanga Kuna rahaaa🎉
Shooooooooooooooooooo kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.Ya kibabeeeeeeeeeeeeeeeee
You make us proud. Asanteni sana🙏🙏
Mwana fa simba damu lakini ana bahati sana na Yanga hongera kwako muheshimiwa binamu
Leadership nzuri huleta matokeo mazuri, hongereni sana wananchi
Tunamshukuru Mungu KWAKUIPA YANGA USHINDI SIFA NI ZAKE
Upendo mwingi sana pale yanga,,🎉🎉
kitu kilichofanyika leo kikubwa sana😊❤
Katibu ndani ya bleach...safi sana
😂😂😂 u Paccome kitaalam zaidiii
Kabisa
Hongera sana sana sana 🍓 dar yanga afrika 🌍 tunatakiwa timu za tizifunge kama hivo maana hata kulalamika tumeonewa wasiweze na bado shuhuli haijesha tunaweza timu zetu zote tz. From skandinaviska
Asanteeeeee Mungu Kwa kutuondolea Aibu💛💚🙏🏼🙏
Maana halisi ya matunda ya uongozi thabit,mipango mizuri na umoja ndani ya club ndio hii.Wote tunazungumza lugha moja.Hongera sana wananchi
All the best technal benching management
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏
Might God we trust in you
Congratulations🎉🎉🎉
Good thanks my club
Asante sana mwenyezi Mungu
Daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💛
This is our moment
Safi sana Timu yangu
Mungu mwema ila Engneer Hirs saidi wewe nizaidi yakiongozi
Hongereni wananchi
Jamani ally kamwe yupo wapi mbona sioni akiongea baada ya ushindi huu
Kila penye mafanikio lazma kuwe na watu wenye akili kama ww hers mungu akupiganie ktk safar yako
Herself you are a manager. Keep it up mtafika mbali
Hongera sana Chama langu 💚💛💛🔥
Yanga tamuuuu
Naibu waziri full happy
Tunakupenda sana wana YANGA
Upo pamoja na sisi tunakuona kila hatua unaunga mkono kwa Club ya YANGA tunakukubali sana prezidaa wetu
Basi kuna hapo kuna mijitu haikawii kusema
Watacoment nakusema naibu waziri ni YANGA
Yaani madunduka hawana jema hao
Badala ya kufocus na litimu lao na msemaji wao wanaanza kufocus na majjini eti mayele katupiwa majjini ili mradi tu kumtoa YANGA mchezoni sasa ili mjue kama YANGA ya wasomi na inaendeshwa kisomi na viongozi vijana na mashabiki wote wa YANGA wanaopendeza kila idara kuanzia rangi za jezi zote mpaka ambazo sio jezi ni nguo tu zenye nembo ya YANGA basi pia tunapendeza mpaka mademu zetu wa wana YANGA full pozi na bado tutawakera zaidi tukirudi kwenye ligi sijui mtaramba dawa gani
Labda mrambe juice za mo😂😂😂😂😂
Tutawakera sanaaa na pua zenu hizo kama simba jike na dume kule serengeti mbuga yao ya makolo😂😂😂😂😂
Msinune YANGA ikishinda kueni wazalendo watani zetu tukirudi kwenye ligi yetu ndo kila mmoja na dini yake lakini sio wivu kwenye hizi za kimataifa achani roho mbaya mnaona sasa mmekimbia na muarabu wenu sasa sijui ni muarabu yule au mdosi kama yule boss wao😂😂😂😂 YANGA mbele nyuma mwiko pira machop chop na marost kama yote na blich full kumeremeta
Eti walikua wanasubiri tu YANGA afungwe na bingwa wa Algeria sasa bashaa wao kafungwa na bingwa wa ligi ya Tanzania bara
Kudadadeki
Eti kuna mchambuzi mmoja alisema mbwembwe nyingi mpira hawana baada yakuona watu wamepaka blich sasa nsubiri kwa hamu ajichanganye kuisifia YANGA
Mi namkubali sana bro Kessy, miraji, Muro, mchome, 64GB Rikado momo, kampiska, shafii dauda, na timu yote ya cloudz na timu yote ya wasafi bila ya kimsahau Sisco na Muro❤❤❤❤all of U.
Barua ya kuomba kazi😂🤓🤓🤓
@@michaelatilio2107we kolokwinyo bin dunduka nani alikutuma usome? Kama hujaipenda sisi tumeipenda si unaona mwenye likes hizo za kumwaga!!!! Na utateseka sana mwaka huu kwa sababu yajayo yanafurahisha zaidi....sasa sijui utajinyonga? Kama una mpango huo wa kujinyonga mi najitolea kamba imara ambayo haitakuchelewesha 😂😂😂
naam umenena 5:54
Yanga wako vzr sn na viongozo wao wapo makini na wanawajibika kisawa sawa,hongereni sn.....
Masha Allah 🎉🎉🎉
Wananchi tunakipiga 💛💛💚💚💪🇹🇿
Mungu atujaalie Hadi tufike fainali 5
Daaahh Furaha imenizidi Mpaka nalia kiukweli heshima Sana
Young Africans 🔥🔥
Congratulations engines Hesi Said💛💚💛💚
Asanteni sana wachezaji hatuna Cha kuwalipa ila mungu awatienguvu tupate ubingwa
Nimengalia live
Aminaa
Yanga hoyeeeeee💚💛💚💛
Mwendo we2 mpaka fainali.wataisoma namba,mbele daima nyuma mwiko
ilove youuuuuu yangaaaaaaaaaa
MashaAllah 🎉
Daima Mbele Nyuma Mwiko 🇹🇿 💛 💚 🎉🎉🎉
daah inapendeza sana yanga team kubwa
Hiii tim nihatar xan kwa tanzania hiii...nishida wekambal nawatoto...
❤❤❤Yanga
Allah atujalie tubebe ndoo
Mm ni Simba ila Leo nimepata furaha sijwahi kuipata
Karibu sana mtani
Huo ndo mpira unakasirikaje na hatujacheza na timu yako penda weye😂😂😂😂😂😂😂
Big up jamani Mungu mkubwa tumefuzu robo finally
❤❤❤❤❤congole sana yanga
Timu hii ni Hatari. Endeleeni kushabikia hayoooooo mengine
kwa Moto huu ahly, ajiandae tunaenda kumpigia palepale Cairo fainal naiyona
Mungu ni mwema Yani me Sina ata neno mayele na madunduka wanalia kule
Nawapenda
Pongez kwa Ghalib said mhd ndo tjr kaweka hela nyingi ndo ukaona wachezaji wazur kama walivyo
Amina!! Inshaallah
❤❤❤❤😂😂🎉🎉 daima mbele nyuma mwiko
Safi sana
Yanga tunauongoziiii🎉
Big up YANGA na uongozi Bora chini ya Eng.
Yanga sihami
Yanga bigwa❤
Hongera sn Rais nimekupa nyota 3 begani
Yanga daima mbele nyuma mwiko
Allah will be with you
Sema msimu huu tukifka fainali mambo ya siasa na timu yetu yakae mbali
😂😂😂😂😂😂😂
Alhamdulillah
Iv n kwl msemaji wa Africa nzima#Alikamwe kapatwa na matatizoo au n uzushi😢
Mimi ni Simba lakin yanga Jana nimewapigia saluti iyo ndio inatakiwa atutaki porojo tunataka pira kama ilo
Tumu ya Wananchi 🔰
Asante yanga❤❤❤
Daima mbele nyuma mwiko
Vamo's
Saf sana team yangu 🔰🔰🔰💪