PRESIDENT HERSI NA NAIBU WAZIRI MWANA FA WALIVYOZUNGUMZA NA WACHEZAJI BAADA YA KUMKANDA MWARABU 4.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 263

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 7 месяцев назад +31

    Huyu mwana fc yuko na busara sana love you waziri kijana Mungu akuongezee busara

  • @ALEXISMARTINE-l8q
    @ALEXISMARTINE-l8q 7 месяцев назад +111

    Mwenyezi Mungu atusaidie tuchukue ubingwa wa kombe hili la CAF CHAMPION LEAGUE

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 7 месяцев назад +9

    Nimeelemewa,nimeelemewa,nimeelemewa !,yaaani cjui nianzie wp kuwapa neno la kuwashkr,Uongozi mzima/vjn wetu pia wanachama/mashabiki,shkrn mno kwa DUA'A mujarab,asanteni sana kila la kheri chama lng,Wananchiiiiiii ! Aluta continua

  • @didasmswete678
    @didasmswete678 7 месяцев назад +45

    UONGOZI BORA 💚⚽💪 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @mgobanyapazi7738
    @mgobanyapazi7738 7 месяцев назад +24

    Daima mbele 💚💛💚💛 kidogo wapate zile gwala.

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 7 месяцев назад +25

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥🇹🇿🏆asanteni sana wachezai wetu ,viongozi, mashabiki na benchi la ufundi na watu wote waliotupa support

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 7 месяцев назад +13

    Asanteni sana wachezaji wetu, benchi la ufundi na team nzima ya Wananchi, hakika mmetuheshimisha 🙏🏻

  • @nsubilimwampeta9920
    @nsubilimwampeta9920 7 месяцев назад +42

    Success of the club is determined by good leadership and not otherwise... Mhandisi hongera kwa uongozi uliotukuka you have made it dude..congrats!

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 7 месяцев назад +1

      What an insightful comment!! Absolutely true! No mbambamba, no blah blah...we need no many words in football however attractive they may look...we need actions...

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 7 месяцев назад +3

    Nimesema lazima nichukue kadi ya uanachama wiki hii. Kwa heshima ya uongozi, na historia iliyowekwa hapo jana. Bravooooo my team. Rais wa yanga uishi

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 7 месяцев назад +12

    Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥 hongera kwa wachezaji wetu viongozi na benchi la ufundi

  • @FredyMkemwa
    @FredyMkemwa 7 месяцев назад +10

    Ahsanten wachezaji pamoja uongozi pamoja na mashabiki

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 7 месяцев назад +12

    Kila La Eli mungu Atubaliki Tuchukue kombe

  • @issaisandeko6217
    @issaisandeko6217 7 месяцев назад +14

    Forever together, Daima mbele🎉

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 7 месяцев назад +21

    Mungu Ni Mwema sana

  • @proxdegaro6463
    @proxdegaro6463 7 месяцев назад +18

    Maana halisi ya Timu Ya Wananchi👏

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 7 месяцев назад +4

    Hongera Timu langu

  • @hdjdjdjdj8667
    @hdjdjdjdj8667 7 месяцев назад +9

    Hongera sana viongozi na wachezaji

  • @omaryamiri3175
    @omaryamiri3175 7 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤❤❤❤ Allah awajalie afya njema wachezaji zetu na viongozi wazidi kuongeza umaridadi kwa Hali ya juu

  • @AsheyAmey-hl5em
    @AsheyAmey-hl5em 7 месяцев назад +8

    Tuweke brich than tufungwe aa noo❤❤❤❤❤❤

  • @scopy0428
    @scopy0428 7 месяцев назад +12

    Huu ndio wakati sahihi wa Yanga kuishangaza Africa 🌍 na mpira wake na Inshaalah litatimia hilo amina

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi 7 месяцев назад +6

    Congratulations my team 🤸🤸💪💪💪💪💪💃💃💃💃💃

  • @IddyNchama
    @IddyNchama 7 месяцев назад +5

    mungu mwema sana mungu hajawahi kusahau sasa akipendacho alihamdulilah yarabi

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546 7 месяцев назад +10

    Safii sana MUNGU kwanza "

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 7 месяцев назад +25

    Here is Guede, there is Mudathir and Pacome. No Mayele, no Fei, no Nabi, no problem!

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli5638 7 месяцев назад +1

    Anacho Fanya naibu waziri MwanaFA kina positive impact ktk mpira wetu na Taifa. Your real a stateperson. Keep it up!

  • @MichaelAmani-sd8lu
    @MichaelAmani-sd8lu 7 месяцев назад +17

    Yanga wamenipa raha sanaaaa

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 7 месяцев назад

      😂😂😂😂hunifikii mim yanga Kuna rahaaa🎉

  • @AishaMsungi-hm8rd
    @AishaMsungi-hm8rd 7 месяцев назад +17

    Shooooooooooooooooooo kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.Ya kibabeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 7 месяцев назад +1

    You make us proud. Asanteni sana🙏🙏

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 7 месяцев назад +12

    Mwana fa simba damu lakini ana bahati sana na Yanga hongera kwako muheshimiwa binamu

  • @jumamabu3650
    @jumamabu3650 7 месяцев назад +1

    Leadership nzuri huleta matokeo mazuri, hongereni sana wananchi

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 7 месяцев назад +9

    Tunamshukuru Mungu KWAKUIPA YANGA USHINDI SIFA NI ZAKE

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 7 месяцев назад +1

    Upendo mwingi sana pale yanga,,🎉🎉

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 7 месяцев назад +14

    kitu kilichofanyika leo kikubwa sana😊❤

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 7 месяцев назад +9

    Katibu ndani ya bleach...safi sana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 месяцев назад

      😂😂😂 u Paccome kitaalam zaidiii

    • @ramladhire
      @ramladhire 7 месяцев назад

      Kabisa

  • @adamabui6121
    @adamabui6121 7 месяцев назад +1

    Hongera sana sana sana 🍓 dar yanga afrika 🌍 tunatakiwa timu za tizifunge kama hivo maana hata kulalamika tumeonewa wasiweze na bado shuhuli haijesha tunaweza timu zetu zote tz. From skandinaviska

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 7 месяцев назад +1

    Asanteeeeee Mungu Kwa kutuondolea Aibu💛💚🙏🏼🙏

  • @ariphkimani3790
    @ariphkimani3790 7 месяцев назад +1

    Maana halisi ya matunda ya uongozi thabit,mipango mizuri na umoja ndani ya club ndio hii.Wote tunazungumza lugha moja.Hongera sana wananchi

  • @bigdully
    @bigdully 7 месяцев назад +5

    All the best technal benching management

  • @claratango9262
    @claratango9262 7 месяцев назад +2

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏

  • @anetboaz8783
    @anetboaz8783 7 месяцев назад +2

    Might God we trust in you

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 7 месяцев назад +3

    Congratulations🎉🎉🎉

  • @ShebyStory
    @ShebyStory 7 месяцев назад +1

    Good thanks my club

  • @EligiusEvodius
    @EligiusEvodius 7 месяцев назад +2

    Asante sana mwenyezi Mungu

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 7 месяцев назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💛

  • @immaabukuku7180
    @immaabukuku7180 7 месяцев назад +6

    This is our moment

  • @MnyamaSeyo
    @MnyamaSeyo 7 месяцев назад +2

    Safi sana Timu yangu

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 7 месяцев назад +28

    Mungu mwema ila Engneer Hirs saidi wewe nizaidi yakiongozi

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 7 месяцев назад +2

    Hongereni wananchi

  • @faidha23
    @faidha23 7 месяцев назад +5

    Jamani ally kamwe yupo wapi mbona sioni akiongea baada ya ushindi huu

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi 7 месяцев назад +6

    Kila penye mafanikio lazma kuwe na watu wenye akili kama ww hers mungu akupiganie ktk safar yako

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli5638 7 месяцев назад +1

    Herself you are a manager. Keep it up mtafika mbali

  • @edisonkalikawe7618
    @edisonkalikawe7618 7 месяцев назад +1

    Hongera sana Chama langu 💚💛💛🔥

  • @ZaiNdogondogo-wf7mw
    @ZaiNdogondogo-wf7mw 7 месяцев назад +5

    Yanga tamuuuu

  • @MohamediHussein-o9b
    @MohamediHussein-o9b 7 месяцев назад +25

    Naibu waziri full happy
    Tunakupenda sana wana YANGA
    Upo pamoja na sisi tunakuona kila hatua unaunga mkono kwa Club ya YANGA tunakukubali sana prezidaa wetu
    Basi kuna hapo kuna mijitu haikawii kusema
    Watacoment nakusema naibu waziri ni YANGA
    Yaani madunduka hawana jema hao
    Badala ya kufocus na litimu lao na msemaji wao wanaanza kufocus na majjini eti mayele katupiwa majjini ili mradi tu kumtoa YANGA mchezoni sasa ili mjue kama YANGA ya wasomi na inaendeshwa kisomi na viongozi vijana na mashabiki wote wa YANGA wanaopendeza kila idara kuanzia rangi za jezi zote mpaka ambazo sio jezi ni nguo tu zenye nembo ya YANGA basi pia tunapendeza mpaka mademu zetu wa wana YANGA full pozi na bado tutawakera zaidi tukirudi kwenye ligi sijui mtaramba dawa gani
    Labda mrambe juice za mo😂😂😂😂😂
    Tutawakera sanaaa na pua zenu hizo kama simba jike na dume kule serengeti mbuga yao ya makolo😂😂😂😂😂
    Msinune YANGA ikishinda kueni wazalendo watani zetu tukirudi kwenye ligi yetu ndo kila mmoja na dini yake lakini sio wivu kwenye hizi za kimataifa achani roho mbaya mnaona sasa mmekimbia na muarabu wenu sasa sijui ni muarabu yule au mdosi kama yule boss wao😂😂😂😂 YANGA mbele nyuma mwiko pira machop chop na marost kama yote na blich full kumeremeta
    Eti walikua wanasubiri tu YANGA afungwe na bingwa wa Algeria sasa bashaa wao kafungwa na bingwa wa ligi ya Tanzania bara
    Kudadadeki
    Eti kuna mchambuzi mmoja alisema mbwembwe nyingi mpira hawana baada yakuona watu wamepaka blich sasa nsubiri kwa hamu ajichanganye kuisifia YANGA
    Mi namkubali sana bro Kessy, miraji, Muro, mchome, 64GB Rikado momo, kampiska, shafii dauda, na timu yote ya cloudz na timu yote ya wasafi bila ya kimsahau Sisco na Muro❤❤❤❤all of U.

    • @michaelatilio2107
      @michaelatilio2107 7 месяцев назад +3

      Barua ya kuomba kazi😂🤓🤓🤓

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 7 месяцев назад +1

      ​@@michaelatilio2107we kolokwinyo bin dunduka nani alikutuma usome? Kama hujaipenda sisi tumeipenda si unaona mwenye likes hizo za kumwaga!!!! Na utateseka sana mwaka huu kwa sababu yajayo yanafurahisha zaidi....sasa sijui utajinyonga? Kama una mpango huo wa kujinyonga mi najitolea kamba imara ambayo haitakuchelewesha 😂😂😂

    • @JaffariNiyongabo
      @JaffariNiyongabo 7 месяцев назад

      naam umenena 5:54

  • @selemansalum
    @selemansalum 7 месяцев назад +1

    Yanga wako vzr sn na viongozo wao wapo makini na wanawajibika kisawa sawa,hongereni sn.....

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 7 месяцев назад +1

    Masha Allah 🎉🎉🎉

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 7 месяцев назад +10

    Wananchi tunakipiga 💛💛💚💚💪🇹🇿

  • @HamissJuma-i6n
    @HamissJuma-i6n 7 месяцев назад +1

    Mungu atujaalie Hadi tufike fainali 5

  • @AtwifMabrouk
    @AtwifMabrouk 7 месяцев назад +1

    Daaahh Furaha imenizidi Mpaka nalia kiukweli heshima Sana

  • @brysonishikistaa8145
    @brysonishikistaa8145 7 месяцев назад +1

    Young Africans 🔥🔥

  • @fredyalex8909
    @fredyalex8909 7 месяцев назад +2

    Congratulations engines Hesi Said💛💚💛💚

  • @godfreymakau3932
    @godfreymakau3932 7 месяцев назад +1

    Asanteni sana wachezaji hatuna Cha kuwalipa ila mungu awatienguvu tupate ubingwa

  • @RajaboSaide-hi5qk
    @RajaboSaide-hi5qk 7 месяцев назад +7

    Nimengalia live

  • @HassaniYahaya-u6r
    @HassaniYahaya-u6r 7 месяцев назад +4

    Aminaa

  • @williamnassari
    @williamnassari 7 месяцев назад +3

    Yanga hoyeeeeee💚💛💚💛

  • @ajumimisanana8095
    @ajumimisanana8095 7 месяцев назад

    Mwendo we2 mpaka fainali.wataisoma namba,mbele daima nyuma mwiko

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 7 месяцев назад +3

    ilove youuuuuu yangaaaaaaaaaa

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 7 месяцев назад +1

    MashaAllah 🎉

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 7 месяцев назад +1

    Daima Mbele Nyuma Mwiko 🇹🇿 💛 💚 🎉🎉🎉

  • @musawaziri648
    @musawaziri648 7 месяцев назад +2

    daah inapendeza sana yanga team kubwa

  • @HamisRashid-hd4cl
    @HamisRashid-hd4cl 7 месяцев назад +1

    Hiii tim nihatar xan kwa tanzania hiii...nishida wekambal nawatoto...

  • @ObediyachitwiObediyachitwi
    @ObediyachitwiObediyachitwi 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤Yanga

  • @abdurabihassan1188
    @abdurabihassan1188 7 месяцев назад +1

    Allah atujalie tubebe ndoo

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 7 месяцев назад +12

    Mm ni Simba ila Leo nimepata furaha sijwahi kuipata

    • @zakiakondo2849
      @zakiakondo2849 7 месяцев назад +1

      Karibu sana mtani

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 7 месяцев назад

      Huo ndo mpira unakasirikaje na hatujacheza na timu yako penda weye😂😂😂😂😂😂😂

  • @MaulidiMkima-gx4jv
    @MaulidiMkima-gx4jv 7 месяцев назад +1

    Big up jamani Mungu mkubwa tumefuzu robo finally

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤congole sana yanga

  • @douglaschiso
    @douglaschiso 7 месяцев назад +9

    Timu hii ni Hatari. Endeleeni kushabikia hayoooooo mengine

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 7 месяцев назад +1

    kwa Moto huu ahly, ajiandae tunaenda kumpigia palepale Cairo fainal naiyona

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 7 месяцев назад +3

    Mungu ni mwema Yani me Sina ata neno mayele na madunduka wanalia kule

  • @atugeorge946
    @atugeorge946 7 месяцев назад +1

    Nawapenda

  • @MunirDaniford
    @MunirDaniford 7 месяцев назад +2

    Pongez kwa Ghalib said mhd ndo tjr kaweka hela nyingi ndo ukaona wachezaji wazur kama walivyo

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 7 месяцев назад

    Amina!! Inshaallah

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤😂😂🎉🎉 daima mbele nyuma mwiko

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 7 месяцев назад +1

    Safi sana

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 7 месяцев назад +1

    Yanga tunauongoziiii🎉

  • @Ba63828
    @Ba63828 7 месяцев назад +3

    Big up YANGA na uongozi Bora chini ya Eng.

  • @AishaMsungi-hm8rd
    @AishaMsungi-hm8rd 7 месяцев назад +11

    Yanga sihami

  • @MussaMlowe-w5g
    @MussaMlowe-w5g 7 месяцев назад +2

    Yanga bigwa❤

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 7 месяцев назад +3

    Hongera sn Rais nimekupa nyota 3 begani

  • @GodfreySteven-cv9bd
    @GodfreySteven-cv9bd 7 месяцев назад +2

    Yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @bigdully
    @bigdully 7 месяцев назад +1

    Allah will be with you

  • @wizfbeb
    @wizfbeb 7 месяцев назад +8

    Sema msimu huu tukifka fainali mambo ya siasa na timu yetu yakae mbali

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan5507 7 месяцев назад +2

    Alhamdulillah

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 7 месяцев назад +2

    Iv n kwl msemaji wa Africa nzima#Alikamwe kapatwa na matatizoo au n uzushi😢

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 7 месяцев назад +2

    Mimi ni Simba lakin yanga Jana nimewapigia saluti iyo ndio inatakiwa atutaki porojo tunataka pira kama ilo

  • @amanisalumu4682
    @amanisalumu4682 7 месяцев назад +6

    Tumu ya Wananchi 🔰

  • @JaffariNiyongabo
    @JaffariNiyongabo 7 месяцев назад

    Asante yanga❤❤❤

  • @harunamashaka6200
    @harunamashaka6200 7 месяцев назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @OfficialRuchanila
    @OfficialRuchanila 7 месяцев назад +7

    Vamo's

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 7 месяцев назад +2

    Saf sana team yangu 🔰🔰🔰💪