INJINIA HERSI AAPA - "AFE KIPA AFE BEKI NIKIWA RAIS YANGA, LAZIMA YANGA TUJENGE UWANJA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2022
- INJINIA HERSI AAPA - "NIKIWA RAIS YANGA, LAZIMA TUJENGE UWANJA WA WATU ELFU 20, AFE KIPA AFE BEKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Спорт
Mungu atufanyie wepesi. Wananchiiii💚💛💚💛💚💛
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Allah akuongoze💚💛💚💛💚💛💛💛
Wewe unatufaa kua laisiwetu kifupi tumekukubali tunakuelewa tunakuamini na hatuna mashaka nawewe ❤️❤️❤️❤️🙏❤️❤️🙏🏻
Mungu akubariki
Allah akufanyie wepes na pia akurinde na maadui🙏🏼🙏🏼🙏🏼maana sio wote wanapenda wengne wanapinga wanajaribu kila mbinu kukuchafua ili ukate tamaa Tunakuombea usikate tamaa nia yako ilikubalike
AMEN 🙏🏻
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Injinia hersi ndooo RAIS WETU sisi wanaYANGASC 🔰🥳🔥🔥
mungu akulinde
Mungu ambariki
Ukweli usemwe injinia Hersi ni noma
Kwa mipango
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Huyu jamaa ni ana uelewa mkubwa Sanaa..Wa mpira na uendeshaji naona amechelewa Sana kuwa kiongozi kwa wananchi
Namkubali sana Engener 💛💚💥👊💪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
TUNAKUOMBA PIA TENGENEZA APP NA NAMBA YA MCHANGO TUKO TAYARI KUUJENGA UWANJA
Asante sana kutuinua wana yanga
Mungu akuongeze salama sn
Tafadhari msimcoment inji herisi kuwa ataitumikia yanga tu uongozi huo ni timu. Zote za afrika wakiwemo hao makolo ambao huwa hawapendi mafanikio ya wengine mungu ibariki afrika
Nammpenda sana injinia hersi jamani mungu akupe nguvu Zaid Yani unaongea vitu vya point tupu 💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚
Ishallah ikuwe herry rais wetu mtarajiwa allah akusimamie
Gud
Tabulele laaaaaa
Rais wetu Injinia tunakupenda siku zote mashabiki tunakuelewa sana miaka mingi kwako
Mungu atuweke salama tuone
All the best mr president
We umesha pita bado tu majukumu
Mungu akutangulie una malengo mazuri
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Uyuanatufaa
💚💛💛💛💚💚💚💛💛
Kwell laisi we2 tunakuamini
Namkubali sana rais wang
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ndo Maana Halisi Ya Kuwa Kiongozi Msomi
Pamoja sana kaka
Shoshoshoooooo wataisoma makolo
Enginear nina mtoto ana miaka kumi anasoma drs la vi naamini anakipaji cha mpira, naomba nikupe huyo mtoto aendeleze kipaji chake
Aca kumcosha
#Daimambelenyumamwiko 💛💚
Wataelewa tu
Umepita Baba hakuna wa kupinga
Unafaa kua kiongozi
Kamanda nakubali sana kwenye majukumuyako unavoyasimamia we nikiongozi bola
Kabla ya kufa kipa au Beki, mkumbuke ALLAH kwanza.
Kwa kipindi cha miaka minne ya hyu jamaa kma rais wa yanga tukiikosa fainali ama nusu ya shirikisho ama ligi ya mabingwa Africa 😂😂 mninyonge hadharani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mm mwanao yanga Ila kwa hili nope namba yko ili nikupigie kwa kukupongeza
Weeee
Usifike Huko Best Ndugu Yangu Tumuombee Mh,Rais.
Usiweke ahad za akina mwijaku yanga atuko ivoo ii sio sawa kla jambo tunamtangulza MUNGU CC.
Huyundiye kiongozi kijana mwenye uweledi mkubwa Sana endapo inge mpata muda makubwa sana yange fanyika Sana ...maneno yake niyankweli si ubaba ishaji..mm IPO hapa Yani ana waumiza Sana vichwa viongozi wengi wampira ...
😁😁😁😁😁 Rais Rais
Ambae anadhan elimu ni paka kuajiliwa anachelewa sana uyu injinia ni msomi
Hersi ndio Rais sisi hatutaki mambo mengine hayo
Nitumie bas kanamba jaman we mrembo naumia
Eti mikkati😁
Hersi ni handsome jamank
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Wananchiiiiii
Kotawa hap naitakia leo yanga ushindi
Nelson hap naitakia yanga leo mchezo mwema
Viva eng helic
Mtumakini anaonekana tu..... huyu jamaa ametuonesha kitu cha kutufanya kumwamini hatawsala la uwanja naon sio big ishu kwake.
Yanga imara
Nawapata vema sana yanga ndo bingwa bwakani
WIMBO WA MORSONI KIGELE GELE
Nakuelewa rais engener eris kira lakheeli na chama langu la yanga ?
Kwa kweli.kwa hii mipango makolo watasubiri sana.....😂😂😂 helsi piga kazi...ngenga wachie waindi....😆😆
Kampeni tuu izoo umekaa kama si mbongo
Najiuliza msola kazi yake imekua nini?
Kazi busy
Kocha gamondi hawapendi wachezaji wazawa
Ela mmepata ila kadi hamjatoa kwanini na watu tumelipa ela zetu?
Asa
Engineer wetu chapa kazi kwani tumeona mipango Yako Iko vizuri kazi bila mikakati haiwezekani
Naona Yanga mbali sana chini ya engineer
YANGA HATURUDI NYUMA KUANZIA SASA 2022 NA KUENDELEA TUWAACHE WASEME , BAADAYE WATAONA WENYEWE
May GOD protect you the coming president of young Africans inshaaAllah.....
Naitwa Rashidi kutoka Tabora nahitaji yanga iwe zaidi ya msim uliopita
Wachambuzi wa sport Arena w.sana jana mmeshindwa kabisa kuuliza maswali ambayo asipo kuwepo kiongizi yeyote mnaongea sana
Rais Hersi NAOMBA SKUDO MAKUDUBELA MUMUANZISHE KUNA MAAJABU YA USHINDI YAKO KWAKE....HAMTAKI SAWA LAKINI MIMI KUNA KITU NAKIONA.
Uyu jamaa nimjanja sijapata ona
Ni tapeli wa maneno tu apate urais awafir. utopolo
Mi natamani uwanja tu kwasasa bc
Anastahili kuwa rais ila pesa anayo?
Ata pesa za GSM zinatoka kwa Kikwete
Politics
Sisi. Wana. Jangwani. Tunataka. Ubingwaa. Uwendeleee
Mwamba Hersi. Umetutowa kwenye utumwa wa kukosa makombe umetuletea bus kwenye sherehe hakuna Africa nzima isipokuwa Uganda umetuletea Aziz K.
Tumeshaingia 18 zako IkiwA tulikubeba migongoni kutoka airport mpaka mjini tushindwe nn tena? Hata ukitaka tukumilikishe jengo la jangwani tuko tayari.
Utopolo die hard fun
Unganda ni america
Kampeni hiyo
Instagram