Yanga 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 29/08/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2023
  • YANGA vs JKT: Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.......
    Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yametoka kwa Stephane Aziz Ki kwa free kick dakika ya 45+5, Kenedy Musonda dakika ya 54, Yao Kouassi dakika ya 64 na Max Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 79 na 88.
  • СпортСпорт

Комментарии • 163

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 9 месяцев назад +5

    Ramadhani ngoda na baraka mpenja MaashaAllah mnajua kuliko ujuzi wenyewe💛💚💛💚💞💞💞

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 9 месяцев назад +12

    Mwendo wa mkono tuu like hapa kama unainjoi mpira mtamuuu 🖐🖐🖐🖐

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 9 месяцев назад +6

    mmzize kwenye one two pasrs yupo vzr sana daadec kijna ameiva

  • @elizabethmwaipyana7827
    @elizabethmwaipyana7827 9 месяцев назад +4

    ❤❤ the first

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 9 месяцев назад +131

    Bora Yanga ya Nabi ukimzuia Mayele tu wamekwisha ila hii ya Gamondi hata Ali Kamwe anafunga ni mwendo wa Hamsa tuu! 😂😂

    • @mariampeter6258
      @mariampeter6258 9 месяцев назад +4

      Unapo pambana na max unakutana na yaoyao

    • @kassimchuo5290
      @kassimchuo5290 9 месяцев назад +5

      Umeonaeeh hii ndo yanga tuliokuwa tunaisubli mzee baba...

    • @dastanfussy4898
      @dastanfussy4898 9 месяцев назад +2

      We ni yang'a au?😅

    • @wardashabani
      @wardashabani 9 месяцев назад +2

      Umeona eeh wafungaj wapo weng watamkaba nan

    • @jacksonnyoni1978
      @jacksonnyoni1978 9 месяцев назад +2

      😅😅😅

  • @lucyandason9336
    @lucyandason9336 4 месяца назад +1

    Naipenda younga

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc 3 месяца назад +1

    Napitia hizi highlight nafurahii😂Nilichelewa sana kufuatilia hii team

  • @yusuphkacc6232
    @yusuphkacc6232 9 месяцев назад +5

    GAMONDI ⚽ BALL 🎉

  • @kelvinminde9652
    @kelvinminde9652 9 месяцев назад +5

    Yanga bora mnooo

  • @barnabemulumba8573
    @barnabemulumba8573 9 месяцев назад +3

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @loyotv
    @loyotv 9 месяцев назад +3

    Yanga ya 5G🔥🔥🔥🔥

  • @miltonstephano3246
    @miltonstephano3246 9 месяцев назад +4

    Wa kwanza 1

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 9 месяцев назад +4

    LIGI IMEISHA 😂😂
    1.Yanga
    2.Azam
    3. 🦁

  • @user-ck1ug6yb7s
    @user-ck1ug6yb7s 9 месяцев назад +7

    Kwa mtindo huu mechi 10 Itakuwa goli 50

  • @jacksonmpinge4928
    @jacksonmpinge4928 9 месяцев назад +6

    Wakwanza leo wananchi wekeni like hapa

  • @user-bd5zi9mv7g
    @user-bd5zi9mv7g 9 месяцев назад +2

    Fainal ichezwe mara mbili ata Ile ya ngao iludiwe ,,,, tuwakabizi makolo nao mkono ✊.

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 9 месяцев назад +6

    Mhmm hii Yanga ilinichanganya nikajikuta nashangilia magoli yanaingia kaamvu, wakati natoka ukumbini kufika nje nakuta wanaofurai wamevaa jezi za njano nyeusi na kijani ee kumbe nilikua nashangilia ushindi wa Yanga afu Mimi Simba tena nashangilia ligii, Mimi naisi nshalogwa jamani angalieni namna yakunisaidia.

  • @gchordsofficialtz614
    @gchordsofficialtz614 9 месяцев назад +4

    Hii clip ya highliths na ile ya magoli tofauti ni nn sasa???zile skills zote hazipo kwenye highliths ongezeni dk kwenye highliths hamnaga highliths ya dk 7 kwenye dk 90 zote mbona ulaya wao utakuta hata highliths ya dk 15+ huku bongo tunakwama wapi???

  • @user-uq7ik3iz9i
    @user-uq7ik3iz9i 9 месяцев назад +5

    Hatari sana hii yanga

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 9 месяцев назад +1

    Barak mpenja

  • @innocentmakala6542
    @innocentmakala6542 9 месяцев назад +6

    Sio paja n mpaja wa Aziz Kii

  • @praymoshi752
    @praymoshi752 9 месяцев назад +4

    Ongezeni dk

  • @user-jy1vp5dn6y
    @user-jy1vp5dn6y 8 месяцев назад +4

    Yanga ya sasa ni hatari sana

  • @johslim2895
    @johslim2895 9 месяцев назад +4

    Muwe mnaweka full match ili tuenjoy mpira

  • @justinecharles2704
    @justinecharles2704 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤

  • @brighton3693
    @brighton3693 9 месяцев назад +3

    Team hii ni yanani inaleta raha

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 9 месяцев назад +3

    Yaaah hii ndio highlights sio dakik mbil imeisha

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 9 месяцев назад +1

    Nyie hiyi yanga acheni tuuu😂❤❤

  • @Phillips_ki
    @Phillips_ki 9 месяцев назад +3

    Azam mnatukosea highlight gan ya dakik4 kweli

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 9 месяцев назад +8

    Jkt ni bora lkn wamekutana na wabora zaid yao

  • @user-zs3zz5iy6w
    @user-zs3zz5iy6w 2 месяца назад

    Sikujua Kama naweza ipenda yanga iv Mana sikuwa shabiki wa mpira kabisa ila Siku niliyoamua kufatilia mpira nikajikuta naipenda Sana yanga Yani Nina mapenzi na hii timu mno💚💛

  • @user-gy1rp8wo6j
    @user-gy1rp8wo6j 9 месяцев назад +2

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 9 месяцев назад +1

    Adi sisi mashabiki wa yanga tunatishwana na club yetu Sasa maana sio kwa pira nguruwe pira kitimoto😋pira kisukari🥰

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 9 месяцев назад +5

    Msimu huu mashabiki wa yanga ni zamu ya nyavu KUTETEMA na 5G 😅😅😅

  • @user-kj8bh9hx4d
    @user-kj8bh9hx4d 9 месяцев назад +2

    Ah mnatukera mnatuwekea highlights kidogo

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 9 месяцев назад +2

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 💚🌟💛💪🌟🖐️⚽🔝

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 9 месяцев назад +3

    Hakuna haja ya kuandika Highlits Andikeni tu magoli highlights gani haina matukio yote mhimu

  • @rickmediatz7842
    @rickmediatz7842 9 месяцев назад +2

    Sijui Tabora United watakula ngapi eeeeh jamani 😅

  • @tusajigwekanemela2864
    @tusajigwekanemela2864 9 месяцев назад +4

    Najivunia yangaaaaaaaaaa

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 9 месяцев назад +5

    Jaman Simba wenzangu kwel hiz raha wanazopata ndugu zetu Yanga hamzitamani maana wanacheza mpira unavutia hadi napata utamu kisimi kinasisimka,,,uwiii🙈😊😃

    • @freestyleboywaraptz7706
      @freestyleboywaraptz7706 9 месяцев назад +1

      Sasa ww dada umekuja kushangilia au una matangazo kisimi kinasisimka

    • @freestyleboywaraptz7706
      @freestyleboywaraptz7706 9 месяцев назад

      Sasa ww dada umekuja kushangilia au una matangazo kisimi kinasisimka

    • @user-pi5rz5hp2t
      @user-pi5rz5hp2t 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂jmn, binadamu kz ipooo

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 9 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 9 месяцев назад +4

    Kwa Yanga hihi kuizuwiya ina itaji team mbili ziungane afu ndo ije icheze na na yangaa sio kwa motoo Uhu wanao fata waji pange Kweli Kweli ✊✊✊🇦🇺🇨🇩🔥

    • @ainessamani8399
      @ainessamani8399 9 месяцев назад +1

      Yan bola ya nabi ila hii anae funga humjui ni nani. Wite poa

    • @LeticiaRichard-zm7co
      @LeticiaRichard-zm7co 9 месяцев назад

      Yanga inanipa Raha mie jaman

  • @paulkidula1663
    @paulkidula1663 9 месяцев назад +3

    Kuna mtu siku moja ataungwa bundle la 10GB🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dmswaggbamboostick4576
    @dmswaggbamboostick4576 9 месяцев назад +3

    😂😂😂kibwana kazi unayo mshkaji wangu

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p 9 месяцев назад +2

    5😮

  • @Aymaniddi
    @Aymaniddi 9 месяцев назад +4

    Mechi 2 gori 10

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p 9 месяцев назад

    😮😮

  • @user-wj8eg4js4g
    @user-wj8eg4js4g 9 месяцев назад +1

    Wananchiiiiiiiiiii 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛

  • @IsmailMakame-yn7ne
    @IsmailMakame-yn7ne 9 месяцев назад +1

    Mwixh watakuja kusema Tim zote kwenye lig ni mbov

  • @user-qb7ye3ke5n
    @user-qb7ye3ke5n 6 месяцев назад

    Msimamo wa ligi kuu nbs

  • @NDIMYAKEMLENDA-mk9gj
    @NDIMYAKEMLENDA-mk9gj 9 месяцев назад +3

    Hii Imeenda

  • @user-ui9sb8bl1n
    @user-ui9sb8bl1n 9 месяцев назад +3

    Huyu yao maomb acheze nafasi ya winga maan anajua mbaka ana kera

  • @user-rr4tk9ty4t
    @user-rr4tk9ty4t 9 месяцев назад +1

    Sa highlight gani hii wakuu mb zetu mnatubania

  • @berahinoalimas719
    @berahinoalimas719 9 месяцев назад +4

    Ngao irudiwe bana😅😅😅

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa487 9 месяцев назад +2

    Kwel yanga rahaaaaaaaaa wenye ligi yetu tumerudiiiiiii kwa kasi ya 5G😆😆😆😆😆

  • @user-iu3lk6qu3u
    @user-iu3lk6qu3u 9 месяцев назад +3

    Ni mwendo wa 5G au mnasemaje

  • @zabulonnsengiyumva2738
    @zabulonnsengiyumva2738 9 месяцев назад +3

    Highlights zenu jameni, tunataka at least 30min. But 10 minutes are not enough. Kuna watu wanatumia wifi hao wanataka dakika nyingi, na Kuna watu wanatumia zile bando hao wako satisfied with hizo 5-10min.

  • @user-mq1zq7kb7n
    @user-mq1zq7kb7n 9 месяцев назад +3

    Wananchii

  • @mussajackson783
    @mussajackson783 9 месяцев назад +2

    Nasemaje dhambi za wachezaji wa yanga wapewe mashabiki wa simba😂😂

  • @elineemakaaya4117
    @elineemakaaya4117 9 месяцев назад +3

    nabi na mayele waliondoka roho safi, wanafanikiwa walipo na huku yanga inafanikiwa

  • @lenatusmganga7793
    @lenatusmganga7793 9 месяцев назад +2

    mnatengeniza vifupi sana mpaka vinamaliza laza

  • @zebedayojonathan2257
    @zebedayojonathan2257 9 месяцев назад +1

    Raha sana kuwa mwanachi hata kula staki@Kwevo

  • @EvaMaiko-zp6ld
    @EvaMaiko-zp6ld 8 месяцев назад +3

    Ni mwendo wa 5G 2

  • @johnabery-vn7eb
    @johnabery-vn7eb 9 месяцев назад +5

    Man city ya bongo hii yanga

  • @user-cf6ly2fn8g
    @user-cf6ly2fn8g 4 месяца назад +1

    yanga Tam jaman😅😅😅

  • @user-go5ei8fb3m
    @user-go5ei8fb3m 9 месяцев назад +1

    Mbona cku hizi highlights mnaweka dakika chache kwanini

  • @mrbio48gamingyt
    @mrbio48gamingyt 9 месяцев назад +2

    Makolo wana vonza tu😂 Yanga ya GAMONDI 🔥💪🔰

  • @user-pb9rl2wv4n
    @user-pb9rl2wv4n 9 месяцев назад +2

    Yanga inaweza kuchez na timu yoyot Africa Kwa stage hii

  • @user-se8gz4sh7l
    @user-se8gz4sh7l 9 месяцев назад

    yanga mbele kwa mbele

  • @Emmanuellobelo
    @Emmanuellobelo 9 месяцев назад

    Halafu dakika zilikuwa zinakimbia Sana ,au aliyekuwa zamu ya kuendesha saa aliambiwa na JKT akimbize muda

  • @athumanmalongo8403
    @athumanmalongo8403 9 месяцев назад

    Mnara unaendelea kusoma 5G🔥🔥🔥

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p 9 месяцев назад +1

    Il mbn dakk ndog sn azm kwann

  • @user-ex3od8vs7q
    @user-ex3od8vs7q 9 месяцев назад +1

    Wananchiiii mambo nimoto 💛💚💛💚

  • @ip_header
    @ip_header 9 месяцев назад

    Kwa Yanga hii kila mtangazaji ataonekana Bora, maana watu muda wote wanafurahia mabao😅

  • @cletuskasonso4925
    @cletuskasonso4925 9 месяцев назад +3

    Hii yanga ni hatali nyie aaaa

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 9 месяцев назад +1

    Wewe Joseph Ungewafunga Wewe Usingefurahia Ungelia Kwa Kuwafunga Wacha Roho Mbaya Huo Wivu Basi Nyie Mkishinda Wewe Lia Sawa

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 9 месяцев назад +1

    Ila Azam 🤔🤔🤔 highlight gn ya dk 4

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g 9 месяцев назад +3

    Kumbe jkt walikua rafu hivi

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io 9 месяцев назад +2

    Raha Kama yote

  • @paulowilliam3319
    @paulowilliam3319 9 месяцев назад +1

    huyo refa hamna kitu bora agungiwe tena mbona hayupo makini

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 9 месяцев назад

    Kwa refa huyu 😮Tanga lazima hashinde

  • @ramadhanjamali
    @ramadhanjamali 9 месяцев назад +1

    Mlizowea kumkaba mayele Sasa mjiulize wenyewe maana kikosi chetu Kila mchezaji anaweza kufunga goli yanga hii ni hatali sana

  • @michaelgibril8594
    @michaelgibril8594 9 месяцев назад +8

    Mm NI simba lkn ninafurahishwa na jinsi YANGA WANAVYO CHEZA, HILI NI KABUMBU LA KITABU, @ROBERTIHNO MPAKA SASA SIJAMUELEWA KABISA FALSAFA YAKE. YUPO KAMA MANDONGO TU

    • @ephremmtuya3094
      @ephremmtuya3094 9 месяцев назад

      Hongera sana kama kitu kinakupa raha sifia tu maana makolowenzako wanateseka kwa wivu

    • @MudyAbuu-tx8lw
      @MudyAbuu-tx8lw 9 месяцев назад +1

      Wewe unajua sports shabiki wa kwanza wa simba kusema ukwel

    • @RakimJuma
      @RakimJuma 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂,

    • @HassaniMtunguj
      @HassaniMtunguj 9 месяцев назад

      😅🎉

  • @user-ho7gr4gq2o
    @user-ho7gr4gq2o 9 месяцев назад +3

    Mbn munacherewa kutuma hivyo

  • @user-ui9dd8yb9q
    @user-ui9dd8yb9q 9 месяцев назад +3

    Hii yanga inanifanya nacheka mwenyewe

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 9 месяцев назад +2

    Daah aloo hii shughuli ya utopolo n nzito sana, hata kolo sijui aliponaje kweny ngao jmn, angekula hata mbili. Mziki wa hawa vyura n nouma sana sio siri

  • @aranikiss6841
    @aranikiss6841 9 месяцев назад +1

    Nimefulahi kumuona refaa R jiga

  • @DaatuKaunde
    @DaatuKaunde 9 месяцев назад +3

    Huyo ndio yanga ya gamond bwana kama hutaki, jeuli

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 9 месяцев назад

    Hata kuwafunga vibonde mna pasuka mapovu mitandaoni Eh 😂😂😂😂😂 Tulieni hayo kwetu 🦁🦁 Ni mambo ya kawaida Sana

    • @modelka222
      @modelka222 9 месяцев назад

      lini mmecheza mechi tatu na mkafunga goli tano tano zote? nyie mtakua kichwani hamko vizuri

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 9 месяцев назад +1

      Yaan madunduka bwana mmewahi kufunga mfululizo goli kama hizo?hebu lete mkeka tuone

  • @Noel-lp6ne
    @Noel-lp6ne 9 месяцев назад +5

    2peni maua yetu mlisema hua tunabahatishaga hap niwap

  • @IsmailMakame-yn7ne
    @IsmailMakame-yn7ne 9 месяцев назад +1

    Wale madunduk walipataje droo

  • @user-vo3kr7rb5p
    @user-vo3kr7rb5p 9 месяцев назад

    Yan yang ya saiz ni buludan tu

  • @cletuskasonso4925
    @cletuskasonso4925 9 месяцев назад +3

    Wana yanga tunanenepa tu mweeeeee

  • @icramnajim626
    @icramnajim626 9 месяцев назад +4

    Leta na yako kama hizi zinaonewa😂

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 9 месяцев назад +1

    Utopolo tulieni ligi bado mbich😂😂

  • @user-zn5vu5yi1d
    @user-zn5vu5yi1d 9 месяцев назад +1

    JKT wasilaumu mtu walitaka wenyewe wametandikwa

  • @azariahmwaikenda
    @azariahmwaikenda 9 месяцев назад +3

    yao kawajibu makolo wakadai kapombe kaasist sasa yeye kafunga kabisa

    • @OurCryptoWorldwide5
      @OurCryptoWorldwide5 9 месяцев назад

      Tena kafunga na ku asist goli la mwisho la max

    • @shanmlawa
      @shanmlawa 9 месяцев назад

      Yao Moto wa makuti msimu bado Nina Iman na kapombe

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 9 месяцев назад

      ​@@shanmlawaUnaota ndoto za mchana wewe

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 9 месяцев назад

    Makolo siwaoni kabisa,,hapo profesa pacome hakucheza 😂

  • @user-yo6xd5cz2v
    @user-yo6xd5cz2v 5 месяцев назад

    shuklan

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti 9 месяцев назад +1

    Pila gamond

  • @Goodluckmalenga
    @Goodluckmalenga 9 месяцев назад +2

    Kwa akili zenu mtaongea mengi