Yanga 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 29/08/2023
HTML-код
- Опубликовано: 28 авг 2023
- YANGA vs JKT: Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.......
Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yametoka kwa Stephane Aziz Ki kwa free kick dakika ya 45+5, Kenedy Musonda dakika ya 54, Yao Kouassi dakika ya 64 na Max Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 79 na 88. - Спорт
Ramadhani ngoda na baraka mpenja MaashaAllah mnajua kuliko ujuzi wenyewe💛💚💛💚💞💞💞
Mwendo wa mkono tuu like hapa kama unainjoi mpira mtamuuu 🖐🖐🖐🖐
mmzize kwenye one two pasrs yupo vzr sana daadec kijna ameiva
❤❤ the first
Bora Yanga ya Nabi ukimzuia Mayele tu wamekwisha ila hii ya Gamondi hata Ali Kamwe anafunga ni mwendo wa Hamsa tuu! 😂😂
Unapo pambana na max unakutana na yaoyao
Umeonaeeh hii ndo yanga tuliokuwa tunaisubli mzee baba...
We ni yang'a au?😅
Umeona eeh wafungaj wapo weng watamkaba nan
😅😅😅
Naipenda younga
Napitia hizi highlight nafurahii😂Nilichelewa sana kufuatilia hii team
GAMONDI ⚽ BALL 🎉
Yanga bora mnooo
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga ya 5G🔥🔥🔥🔥
Wa kwanza 1
LIGI IMEISHA 😂😂
1.Yanga
2.Azam
3. 🦁
Kwa mtindo huu mechi 10 Itakuwa goli 50
Wakwanza leo wananchi wekeni like hapa
Fainal ichezwe mara mbili ata Ile ya ngao iludiwe ,,,, tuwakabizi makolo nao mkono ✊.
Mhmm hii Yanga ilinichanganya nikajikuta nashangilia magoli yanaingia kaamvu, wakati natoka ukumbini kufika nje nakuta wanaofurai wamevaa jezi za njano nyeusi na kijani ee kumbe nilikua nashangilia ushindi wa Yanga afu Mimi Simba tena nashangilia ligii, Mimi naisi nshalogwa jamani angalieni namna yakunisaidia.
Hii clip ya highliths na ile ya magoli tofauti ni nn sasa???zile skills zote hazipo kwenye highliths ongezeni dk kwenye highliths hamnaga highliths ya dk 7 kwenye dk 90 zote mbona ulaya wao utakuta hata highliths ya dk 15+ huku bongo tunakwama wapi???
Hatari sana hii yanga
Barak mpenja
Sio paja n mpaja wa Aziz Kii
Ongezeni dk
Yanga ya sasa ni hatari sana
Muwe mnaweka full match ili tuenjoy mpira
❤❤❤
Team hii ni yanani inaleta raha
Yaaah hii ndio highlights sio dakik mbil imeisha
Nyie hiyi yanga acheni tuuu😂❤❤
Azam mnatukosea highlight gan ya dakik4 kweli
Jkt ni bora lkn wamekutana na wabora zaid yao
Sikujua Kama naweza ipenda yanga iv Mana sikuwa shabiki wa mpira kabisa ila Siku niliyoamua kufatilia mpira nikajikuta naipenda Sana yanga Yani Nina mapenzi na hii timu mno💚💛
❤
Adi sisi mashabiki wa yanga tunatishwana na club yetu Sasa maana sio kwa pira nguruwe pira kitimoto😋pira kisukari🥰
Msimu huu mashabiki wa yanga ni zamu ya nyavu KUTETEMA na 5G 😅😅😅
Ah mnatukera mnatuwekea highlights kidogo
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 💚🌟💛💪🌟🖐️⚽🔝
Of said gor3 cku zote uyo lefa uwa bena
Hakuna haja ya kuandika Highlits Andikeni tu magoli highlights gani haina matukio yote mhimu
Sijui Tabora United watakula ngapi eeeeh jamani 😅
Najivunia yangaaaaaaaaaa
Jaman Simba wenzangu kwel hiz raha wanazopata ndugu zetu Yanga hamzitamani maana wanacheza mpira unavutia hadi napata utamu kisimi kinasisimka,,,uwiii🙈😊😃
Sasa ww dada umekuja kushangilia au una matangazo kisimi kinasisimka
Sasa ww dada umekuja kushangilia au una matangazo kisimi kinasisimka
😂😂😂😂😂jmn, binadamu kz ipooo
😅😅😅😅😅😅
Kwa Yanga hihi kuizuwiya ina itaji team mbili ziungane afu ndo ije icheze na na yangaa sio kwa motoo Uhu wanao fata waji pange Kweli Kweli ✊✊✊🇦🇺🇨🇩🔥
Yan bola ya nabi ila hii anae funga humjui ni nani. Wite poa
Yanga inanipa Raha mie jaman
Kuna mtu siku moja ataungwa bundle la 10GB🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂kibwana kazi unayo mshkaji wangu
5😮
Mechi 2 gori 10
😮😮
Wananchiiiiiiiiiii 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛
Mwixh watakuja kusema Tim zote kwenye lig ni mbov
Msimamo wa ligi kuu nbs
Hii Imeenda
Huyu yao maomb acheze nafasi ya winga maan anajua mbaka ana kera
Sa highlight gani hii wakuu mb zetu mnatubania
Ngao irudiwe bana😅😅😅
Irudiwe kwa kweli😅
Kwel yanga rahaaaaaaaaa wenye ligi yetu tumerudiiiiiii kwa kasi ya 5G😆😆😆😆😆
Ni mwendo wa 5G au mnasemaje
Highlights zenu jameni, tunataka at least 30min. But 10 minutes are not enough. Kuna watu wanatumia wifi hao wanataka dakika nyingi, na Kuna watu wanatumia zile bando hao wako satisfied with hizo 5-10min.
Wananchii
Nasemaje dhambi za wachezaji wa yanga wapewe mashabiki wa simba😂😂
nabi na mayele waliondoka roho safi, wanafanikiwa walipo na huku yanga inafanikiwa
mnatengeniza vifupi sana mpaka vinamaliza laza
Raha sana kuwa mwanachi hata kula staki@Kwevo
Ni mwendo wa 5G 2
Man city ya bongo hii yanga
yanga Tam jaman😅😅😅
Mbona cku hizi highlights mnaweka dakika chache kwanini
Makolo wana vonza tu😂 Yanga ya GAMONDI 🔥💪🔰
Yanga inaweza kuchez na timu yoyot Africa Kwa stage hii
yanga mbele kwa mbele
Halafu dakika zilikuwa zinakimbia Sana ,au aliyekuwa zamu ya kuendesha saa aliambiwa na JKT akimbize muda
Mnara unaendelea kusoma 5G🔥🔥🔥
Il mbn dakk ndog sn azm kwann
Wananchiiii mambo nimoto 💛💚💛💚
Kwa Yanga hii kila mtangazaji ataonekana Bora, maana watu muda wote wanafurahia mabao😅
Hii yanga ni hatali nyie aaaa
Wewe Joseph Ungewafunga Wewe Usingefurahia Ungelia Kwa Kuwafunga Wacha Roho Mbaya Huo Wivu Basi Nyie Mkishinda Wewe Lia Sawa
Ila Azam 🤔🤔🤔 highlight gn ya dk 4
Et 😂😂😂
Kumbe jkt walikua rafu hivi
Team ndogo sana kwa yanga
Raha Kama yote
huyo refa hamna kitu bora agungiwe tena mbona hayupo makini
Kwa refa huyu 😮Tanga lazima hashinde
Mlizowea kumkaba mayele Sasa mjiulize wenyewe maana kikosi chetu Kila mchezaji anaweza kufunga goli yanga hii ni hatali sana
Bado mapema
Mm NI simba lkn ninafurahishwa na jinsi YANGA WANAVYO CHEZA, HILI NI KABUMBU LA KITABU, @ROBERTIHNO MPAKA SASA SIJAMUELEWA KABISA FALSAFA YAKE. YUPO KAMA MANDONGO TU
Hongera sana kama kitu kinakupa raha sifia tu maana makolowenzako wanateseka kwa wivu
Wewe unajua sports shabiki wa kwanza wa simba kusema ukwel
😂😂😂😂,
😅🎉
Mbn munacherewa kutuma hivyo
Hii yanga inanifanya nacheka mwenyewe
Daah aloo hii shughuli ya utopolo n nzito sana, hata kolo sijui aliponaje kweny ngao jmn, angekula hata mbili. Mziki wa hawa vyura n nouma sana sio siri
Nimefulahi kumuona refaa R jiga
Huyo ndio yanga ya gamond bwana kama hutaki, jeuli
Ndaro famlii❤
Hata kuwafunga vibonde mna pasuka mapovu mitandaoni Eh 😂😂😂😂😂 Tulieni hayo kwetu 🦁🦁 Ni mambo ya kawaida Sana
lini mmecheza mechi tatu na mkafunga goli tano tano zote? nyie mtakua kichwani hamko vizuri
Yaan madunduka bwana mmewahi kufunga mfululizo goli kama hizo?hebu lete mkeka tuone
2peni maua yetu mlisema hua tunabahatishaga hap niwap
Wale madunduk walipataje droo
Yanga balaaa
Yan yang ya saiz ni buludan tu
Wana yanga tunanenepa tu mweeeeee
Leta na yako kama hizi zinaonewa😂
Utopolo tulieni ligi bado mbich😂😂
Sawa ila goli 10
Hata mwaka jana mlisema hivyo hivyo hope moyo
JKT wasilaumu mtu walitaka wenyewe wametandikwa
yao kawajibu makolo wakadai kapombe kaasist sasa yeye kafunga kabisa
Tena kafunga na ku asist goli la mwisho la max
Yao Moto wa makuti msimu bado Nina Iman na kapombe
@@shanmlawaUnaota ndoto za mchana wewe
Makolo siwaoni kabisa,,hapo profesa pacome hakucheza 😂
shuklan
Pila gamond
Kwa akili zenu mtaongea mengi