Yanga 5-0 KMC | Highlights | NBC Premier League 23/08/2023
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Yanga SC imeichakaza KMC kwa kichapo cha mabao 5-0 , mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierleague kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Yanga yametoka kwa Dickson Job (17), Stephane Aziz Ki (58'), Hafidh Konkoni (69'), Mudhathir Yahya (76) na Pacome Zouzoua (82).
Jamani sio uwongo pacome na azizki ni mafundi❤❤❤❤
Faida ya kuchukua mafree agents ndo hii..
Endeleeni na nyoko nyoko zenuu
💛💚💛💚💛💚
Azam TV Azam TV Azam TV. Nmewaita mara tatu kwaheshima. Izi highlight ni fup sana tunakosa burudan
Azamtv highlights zimekuwa fupi sana fanyeni malekebisho
Kweli kabsa mbn mwaka Jana haikua ivoo
Hio ni mbinu ya kiuchumi bro ili ulipie kifurushi au ikaangaliwa azamtv,Ndo biashara inavyofanyika duniani kote..so upoe tu
@@AmiltonmichaelKwani wakiweka 15 min utakuwa umeangalia game yote ??
Vp Hapa RUclips hawapati pesa uki view ??
Waache uvivu bhana
Hakunaga highlight ndefu fuatilia online tv zote
Kwa nn azm tv mmekuwa wachoyo kiasi hichi utazani mnatununulia MB acheni uhuni
Hahahaha et bwana
ADITOR wakati unafungua video, make sure unaandaa intro oudio kwaajili ya clip za kufungua game. Yaani usiungeunge video na audio zake, chukua audio moja ya ufunguzi inayoelezea vizuri hiyo mechi then ivandike kwenye video za ufunguzi... Alafu game inapoanza endelea kama hivi unavyofanyaga. Kwenye intro maneno yanasikika nusu nusu, hayapendezi.
Me kusema ukweli naona imefika muda sasa wa azam tv kuondoa ili neno la burudani kwa wote kusema ukweli watu wa youtube burudani mnatunyima mechi ina magoli matano highlights dakika 7 azam tv amtutendei haki watu wenu wa youtube kwakweli
Ni kweli dk ndogo sana yaan
Highlight hizi ndo nzuri maanq hata ulaya wanaweka dakika 2 zikizidi sana dakika 4
Highlight zenu zimekuwa fupi Sana mnazingua kinoma yan
Azam acheni roho mbaya tunaweka mb ili tuangalie maludio ila mnachotufanyia mungu anawaona ndo nini sasa mnatuwekea mechi ya dakika90 Kwa dakika 5 😢
Azam mmepatwa na nini mbn mwanzoni mlikuw mnaweka highlits dk 18 sasa hv dk 7 mmmh
Yaan mnazingua kweli kutoka kwenye dk 23 mpaka dk 6 kuweni siliasi bas wengine huwa ndo tunaangalia izo
Safiiiii sana wananchi
Langoni kwetu pangebaki wazi tuu ,metacha ame relax balaaa😂😂
Azam sijafrahia highlight ni fupi sana yanga sisi siyo wanyonge bwana
Yanga Raha sana
ALIYEMPIGA NGUMI MUDATHIR SIO MUUNGWANA NA HAFAI KUWA MCHEZA SOKA, ACHUKULIWE HATUA ILI KUKEMEA VITENDO VYA KIHUNI KUENDELEZA SOKA LETU KIUJUMLA
Azam wahuni sana mchezo mzur hule highlight dk 7 jinga kabisa
Azamu kaishaanza loho mbaya sanaaaa
Amaz tv wanaambiwa klasku lakin hawatak kuongeza dk
Jamani AZAM TV Mbona high light ni fupi sana!😢😢 wengine tunakosa muda wa kucheki mpira muda mwingi tunakuwa kazini.😮
Kweli kama mim nipo 🇰🇪✔254
Haya wakikaribia kushuka daraja wasimwite Julio hawa vijana wanaleta uhuni wa kwa manyanya kwenye ligi
Azam TV tafadhari wekeni highlights walau dakika kumi na tano
Tunataka udambwi mwng dakka 6 ni chache
Robinson Laura Walker Larry Martinez Barbara
Azm TV wacheni utani mnaanza ukoraaa
Azam mnazingua sanaaa dakk 7😢😢😢😢
co kdg mwanang wanafeli
Azam mnatukosea watu wenu. How can you put 90 minutes in 7 minutes?Mnashindwa kufanya hata dakika 20 au 15. Acheni roho mbaya. Kwa hali hi na unsubscribe. Sioni cha kufuatilia hapa
Wanaowabeza Azam kwa highlights fupi mnatakiwa mkalipie ving'amuzi vyenu huku sio official ya Azam kuwapa kila kitu.
Hatulipi ata wasipoweka kabisa, kwanza mpira sio basic need
@@edwarddavid8076 ndio muache kulalamika kwasababu mnajisumbua kupiga kelele huku RUclips they don't cares about opinions huku.
, YANGA AFRICA
Mbona mwaka jana walkua
Naona Mudathir anapigwa ngumi hahahaaaa bongo raha sana
Highlights fupi saanaa, Hazifaaai
camera mbovu highlights fupi au mmechoka na kazi yenu
Camera yenu. Azam haionyeshi vizur jaribun kuboresha
high light ziongezwe dakik na vipande vzr viwekwe
Magoli wa mchongo jamani kama unajua hizi ni magoli sa mchongo gonga like hapa twende pamoja
Ni ya yanga sio ya simba🤣
Wewe ndo wa mchongo
akilizako ziko mkunduni
Kwani umeninunu lia credit ndo ni like
Hii ndo yangasaa ya motooooo
Kuna jina naskia humu ndani eti sadala 😂😂,anyway me ni yanga daamu❤🎉
Yanga Raha jaman
Kwan mkituekea dakik20 Kun ubay MB n zetu jamni nyie
Sema azam acheni ufa**** hii ndo highlight
Pacome ,aziz,konikoni wacheze mbele wanatosha kutupa magoli...musonda ,mzize bench
Fact ila musonda ana umuhim ataa wakutokeaa pemben kwa moloko
Mnachojua n kuongeza bei ya vifurufush ovyoo highlights fup mno😏😏
Azam weka hata highlight dakika 25
acheni ubabaishaji highlights zinakuwaje fupi ivo au kwakuwa timu lenu linafanya vibaya msimu huuu
Highlight fupi xana jamn
Azam tv saiv mnazngua
Azam mpaka taa uwanjani mmezipunguza mechi kama ilikua hafifu sana mwanga
Azam 90 minutes in 7 ?? Duuh😂😂😂
Hawa azam inafaa tukipatana na wao tuwapige tano cz siku hizi wamekosa adabu Sana....mbna timu zingine mnaweka ATA mpka 17mn
Ila huyu Aziz mafunguo mmmh! Au kisa ameona mkataba unaelekea ukingoni ... Ana moto sana msimu huu
Hizi highlights ni fupi sana Azam TV
Kabisa hpo umenena
Sasa hii doo ful tim vifupi mpaka vinaboa Sasa ukiwa hukuangalia naunataka uangalie maludio doo hivywo ovywo kabisa
Msimu huu akuna aja ya smat phon mn dakk chache mn weka mamaeeee
amazing content keep it up
Kwa kweli highlights mnazifanya fupi sn, mpaka inapoteza ladha. Camera leo mmejitahid ila nazo mechi za nyuma zmezingua sn
Fupi sana jaman tunanunua mb Kwa ajili ya kutazama
Azam heeee😢
Pira nguruwe pira kitimoto😂😂
Yanga ñi tim
Kweli ni ndogo sana mpk matobo mengin skuiz hatuyaon😂😂😂😂😂
Pakome atakuja kusumbua saana
Ikawaje😂😂
Punguzen roho mbaya,kutukadlia bando co jukumu lenu
Rusheni clip ndefu
Akitangaza uyu mwamba lzm azizi ki atafunga tu
Azam wana akili waonyeshe hi ndefu yanini mpira gani huu wa michongo
Hhhhhhhhhhhh unanichekesha
ww ni makande 2
Yani Nzige 🐸🐸 Wameanza kutema Mate fyuu giza limewasaidiaa lasivyo mgekula chuma chefu 😏🐸😩
Benua pia vizury..took on 🔥
Mimi sielewi n kwa nn highlights ni fupi sahivi zote sio ya yanga tuuu kwaniniiiiiiiiiiiiiiiiii
Azam bana
Poor quality
Kmc hamna kitu magoli yenyewe ya kimchongo sijaona goli gumu hata moja
Sasa wewe unataka wafungwe magoli gani ambayo wewe unatayataka?
Kafunge kwa mkeo ndokunako goli gumu
subiri ukutane nao ili tuine kama utapata hatagoli moja
Subiria ya kwenu magumu🤣
Sasa gumu litakuwa vipi wkt mpira unatembea kwa wanaoujuwa?
Hahahaa!
Tepse wa KMC ana kitu, tunamtaka yanga pale dirisha dogo
Sema dogo hana nguvu
@@--------GEO_SPORT_EARTH_EA fitness ni lazma apate yanga pale, ata aweso ni mzuri sana. Wametusumbua leo
@@24seventv99 I agree
Turudishieni highlights za dk 20 bhaaaana azam Tv
Dk 7 kidg sana mb hamtununulii nyinyi
Azam ndo nn hii dakika saba lol
Azam Azam hizi Dkk 7 sawa sawa na kuonesha hizo goals
Tunaomba dkk ziongezwe
Teps evans ana maishaa malefu apo kimc mwkn yang 💚💚
Azam Acheni roho mbayaa mxiuu!
😂😂😂yanga noma
Saf