Yanga 5-0 KMC | Highlights | NBC Premier League 23/08/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Yanga SC imeichakaza KMC kwa kichapo cha mabao 5-0 , mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierleague kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
    Magoli ya Yanga yametoka kwa Dickson Job (17), Stephane Aziz Ki (58'), Hafidh Konkoni (69'), Mudhathir Yahya (76) na Pacome Zouzoua (82).

Комментарии • 121

  • @JulietKelvin-uk2om
    @JulietKelvin-uk2om Месяц назад

    Jamani sio uwongo pacome na azizki ni mafundi❤❤❤❤

  • @nasraahmad-3703
    @nasraahmad-3703 Год назад +2

    Faida ya kuchukua mafree agents ndo hii..
    Endeleeni na nyoko nyoko zenuu
    💛💚💛💚💛💚

  • @khatibrashid6666
    @khatibrashid6666 Год назад +51

    Azam TV Azam TV Azam TV. Nmewaita mara tatu kwaheshima. Izi highlight ni fup sana tunakosa burudan

    • @shabanimamu2850
      @shabanimamu2850 Год назад

      Azamtv highlights zimekuwa fupi sana fanyeni malekebisho

    • @KaizaMsigala-kj4un
      @KaizaMsigala-kj4un Год назад +1

      Kweli kabsa mbn mwaka Jana haikua ivoo

    • @Amiltonmichael
      @Amiltonmichael Год назад +1

      Hio ni mbinu ya kiuchumi bro ili ulipie kifurushi au ikaangaliwa azamtv,Ndo biashara inavyofanyika duniani kote..so upoe tu

    • @karimmarcelo7164
      @karimmarcelo7164 Год назад +1

      @@AmiltonmichaelKwani wakiweka 15 min utakuwa umeangalia game yote ??
      Vp Hapa RUclips hawapati pesa uki view ??
      Waache uvivu bhana

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 Год назад

      Hakunaga highlight ndefu fuatilia online tv zote

  • @ibrahimhamis3680
    @ibrahimhamis3680 Год назад +5

    Kwa nn azm tv mmekuwa wachoyo kiasi hichi utazani mnatununulia MB acheni uhuni

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 Год назад +2

    ADITOR wakati unafungua video, make sure unaandaa intro oudio kwaajili ya clip za kufungua game. Yaani usiungeunge video na audio zake, chukua audio moja ya ufunguzi inayoelezea vizuri hiyo mechi then ivandike kwenye video za ufunguzi... Alafu game inapoanza endelea kama hivi unavyofanyaga. Kwenye intro maneno yanasikika nusu nusu, hayapendezi.

  • @jofreymwile1986
    @jofreymwile1986 Год назад +2

    Me kusema ukweli naona imefika muda sasa wa azam tv kuondoa ili neno la burudani kwa wote kusema ukweli watu wa youtube burudani mnatunyima mechi ina magoli matano highlights dakika 7 azam tv amtutendei haki watu wenu wa youtube kwakweli

  • @AbeidMkumba
    @AbeidMkumba Год назад +2

    Ni kweli dk ndogo sana yaan

  • @msafiblog
    @msafiblog Год назад +2

    Highlight hizi ndo nzuri maanq hata ulaya wanaweka dakika 2 zikizidi sana dakika 4

  • @juliusfesto9251
    @juliusfesto9251 Год назад +2

    Highlight zenu zimekuwa fupi Sana mnazingua kinoma yan

  • @QueenAngel-zh9st
    @QueenAngel-zh9st Год назад +2

    Azam acheni roho mbaya tunaweka mb ili tuangalie maludio ila mnachotufanyia mungu anawaona ndo nini sasa mnatuwekea mechi ya dakika90 Kwa dakika 5 😢

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 Год назад +2

    Azam mmepatwa na nini mbn mwanzoni mlikuw mnaweka highlits dk 18 sasa hv dk 7 mmmh

  • @willysilwamba7465
    @willysilwamba7465 Год назад +1

    Yaan mnazingua kweli kutoka kwenye dk 23 mpaka dk 6 kuweni siliasi bas wengine huwa ndo tunaangalia izo

  • @Alex-c1m3o
    @Alex-c1m3o 6 месяцев назад

    Safiiiii sana wananchi

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +1

    Langoni kwetu pangebaki wazi tuu ,metacha ame relax balaaa😂😂

  • @ladislaus799
    @ladislaus799 Год назад +2

    Azam sijafrahia highlight ni fupi sana yanga sisi siyo wanyonge bwana

  • @allymagesa4431
    @allymagesa4431 Год назад

    Yanga Raha sana

  • @googleus4903
    @googleus4903 Год назад +5

    ALIYEMPIGA NGUMI MUDATHIR SIO MUUNGWANA NA HAFAI KUWA MCHEZA SOKA, ACHUKULIWE HATUA ILI KUKEMEA VITENDO VYA KIHUNI KUENDELEZA SOKA LETU KIUJUMLA

  • @raisiwayanga9311
    @raisiwayanga9311 Год назад

    Azam wahuni sana mchezo mzur hule highlight dk 7 jinga kabisa

  • @novaelias5010
    @novaelias5010 Год назад +1

    Azamu kaishaanza loho mbaya sanaaaa

  • @HamisMwamba-zz3po
    @HamisMwamba-zz3po Год назад +2

    Amaz tv wanaambiwa klasku lakin hawatak kuongeza dk

  • @shaibusaidimusa240
    @shaibusaidimusa240 Год назад +3

    Jamani AZAM TV Mbona high light ni fupi sana!😢😢 wengine tunakosa muda wa kucheki mpira muda mwingi tunakuwa kazini.😮

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi Год назад +2

    Haya wakikaribia kushuka daraja wasimwite Julio hawa vijana wanaleta uhuni wa kwa manyanya kwenye ligi

  • @josephkisaka1494
    @josephkisaka1494 Год назад

    Azam TV tafadhari wekeni highlights walau dakika kumi na tano

  • @marynoel9574
    @marynoel9574 Год назад +2

    Tunataka udambwi mwng dakka 6 ni chache

  • @ElsieDixon-o2e
    @ElsieDixon-o2e 4 дня назад

    Robinson Laura Walker Larry Martinez Barbara

  • @menyekivuyo7540
    @menyekivuyo7540 Год назад +1

    Azm TV wacheni utani mnaanza ukoraaa

  • @mickdady1461
    @mickdady1461 Год назад +2

    Azam mnazingua sanaaa dakk 7😢😢😢😢

  • @Dokson5817
    @Dokson5817 Год назад +1

    Azam mnatukosea watu wenu. How can you put 90 minutes in 7 minutes?Mnashindwa kufanya hata dakika 20 au 15. Acheni roho mbaya. Kwa hali hi na unsubscribe. Sioni cha kufuatilia hapa

  • @Giant_Original
    @Giant_Original Год назад +1

    Wanaowabeza Azam kwa highlights fupi mnatakiwa mkalipie ving'amuzi vyenu huku sio official ya Azam kuwapa kila kitu.

    • @edwarddavid8076
      @edwarddavid8076 Год назад

      Hatulipi ata wasipoweka kabisa, kwanza mpira sio basic need

    • @Giant_Original
      @Giant_Original Год назад

      @@edwarddavid8076 ndio muache kulalamika kwasababu mnajisumbua kupiga kelele huku RUclips they don't cares about opinions huku.

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 11 месяцев назад +4

    , YANGA AFRICA

  • @HamisMwamba-zz3po
    @HamisMwamba-zz3po Год назад +2

    Mbona mwaka jana walkua

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Год назад

    Naona Mudathir anapigwa ngumi hahahaaaa bongo raha sana

  • @kraymeskwimba3454
    @kraymeskwimba3454 Год назад

    Highlights fupi saanaa, Hazifaaai

  • @bunyonyatv4454
    @bunyonyatv4454 Год назад +1

    camera mbovu highlights fupi au mmechoka na kazi yenu

  • @williambukoli-jr4jt
    @williambukoli-jr4jt Год назад

    Camera yenu. Azam haionyeshi vizur jaribun kuboresha

  • @allymasanilo1961
    @allymasanilo1961 Год назад

    high light ziongezwe dakik na vipande vzr viwekwe

  • @menyekivuyo7540
    @menyekivuyo7540 Год назад +2

    Magoli wa mchongo jamani kama unajua hizi ni magoli sa mchongo gonga like hapa twende pamoja

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Hii ndo yangasaa ya motooooo

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад

    Kuna jina naskia humu ndani eti sadala 😂😂,anyway me ni yanga daamu❤🎉

  • @aronjonathan3297
    @aronjonathan3297 Год назад

    Yanga Raha jaman

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 Год назад +1

    Kwan mkituekea dakik20 Kun ubay MB n zetu jamni nyie

  • @RehemaRamadhani-v9t
    @RehemaRamadhani-v9t Год назад +1

    Sema azam acheni ufa**** hii ndo highlight

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 Год назад +2

    Pacome ,aziz,konikoni wacheze mbele wanatosha kutupa magoli...musonda ,mzize bench

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Год назад +1

      Fact ila musonda ana umuhim ataa wakutokeaa pemben kwa moloko

  • @AbigaelAdam
    @AbigaelAdam Год назад

    Mnachojua n kuongeza bei ya vifurufush ovyoo highlights fup mno😏😏

  • @ManenoPapalu-ku3vl
    @ManenoPapalu-ku3vl Год назад

    Azam weka hata highlight dakika 25

  • @bunyonyatv4454
    @bunyonyatv4454 Год назад

    acheni ubabaishaji highlights zinakuwaje fupi ivo au kwakuwa timu lenu linafanya vibaya msimu huuu

  • @davieafr9107
    @davieafr9107 Год назад +1

    Highlight fupi xana jamn

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 Год назад +1

    Azam tv saiv mnazngua

  • @tatumustafa8599
    @tatumustafa8599 Год назад

    Azam mpaka taa uwanjani mmezipunguza mechi kama ilikua hafifu sana mwanga

  • @graysondavid5200
    @graysondavid5200 Год назад

    Azam 90 minutes in 7 ?? Duuh😂😂😂

  • @francisosingaosinga
    @francisosingaosinga Год назад

    Hawa azam inafaa tukipatana na wao tuwapige tano cz siku hizi wamekosa adabu Sana....mbna timu zingine mnaweka ATA mpka 17mn

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Год назад +1

    Ila huyu Aziz mafunguo mmmh! Au kisa ameona mkataba unaelekea ukingoni ... Ana moto sana msimu huu

  • @mauricebaraka9119
    @mauricebaraka9119 Год назад +1

    Hizi highlights ni fupi sana Azam TV

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 Год назад +1

    Kabisa hpo umenena

  • @lenatusmganga7793
    @lenatusmganga7793 Год назад +1

    Sasa hii doo ful tim vifupi mpaka vinaboa Sasa ukiwa hukuangalia naunataka uangalie maludio doo hivywo ovywo kabisa

  • @nestorymapunda-f6b
    @nestorymapunda-f6b Год назад

    Msimu huu akuna aja ya smat phon mn dakk chache mn weka mamaeeee

  • @LJSheffRBLX
    @LJSheffRBLX Год назад

    amazing content keep it up

  • @kwejimisobi4491
    @kwejimisobi4491 Год назад

    Kwa kweli highlights mnazifanya fupi sn, mpaka inapoteza ladha. Camera leo mmejitahid ila nazo mechi za nyuma zmezingua sn

  • @joktanhumagiharuna-pm9qu
    @joktanhumagiharuna-pm9qu Год назад +1

    Fupi sana jaman tunanunua mb Kwa ajili ya kutazama

  • @ElizabethJonas-cz1tq
    @ElizabethJonas-cz1tq Год назад

    Azam heeee😢

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Год назад

    Pira nguruwe pira kitimoto😂😂

  • @Valentine-s6f
    @Valentine-s6f Год назад

    Yanga ñi tim

  • @HamnidaMkd
    @HamnidaMkd Год назад

    Kweli ni ndogo sana mpk matobo mengin skuiz hatuyaon😂😂😂😂😂

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Год назад

    Pakome atakuja kusumbua saana

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc 7 месяцев назад

    Ikawaje😂😂

  • @johaiventimothy6583
    @johaiventimothy6583 Год назад

    Punguzen roho mbaya,kutukadlia bando co jukumu lenu

  • @januarysiamejaysiame5605
    @januarysiamejaysiame5605 Год назад

    Rusheni clip ndefu

  • @ramonajunior4209
    @ramonajunior4209 Год назад

    Akitangaza uyu mwamba lzm azizi ki atafunga tu

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi Год назад +1

    Azam wana akili waonyeshe hi ndefu yanini mpira gani huu wa michongo

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Год назад

      Hhhhhhhhhhhh unanichekesha

    • @aytv3173
      @aytv3173 Год назад

      ww ni makande 2

  • @djamanitvonline3623
    @djamanitvonline3623 Год назад

    Yani Nzige 🐸🐸 Wameanza kutema Mate fyuu giza limewasaidiaa lasivyo mgekula chuma chefu 😏🐸😩

  • @AlmasiHaji-te2fj
    @AlmasiHaji-te2fj Год назад +1

    Mimi sielewi n kwa nn highlights ni fupi sahivi zote sio ya yanga tuuu kwaniniiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @johnmathias2712
    @johnmathias2712 Год назад

    Azam bana

  • @abasichoba9023
    @abasichoba9023 Год назад

    Poor quality

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 Год назад

    Kmc hamna kitu magoli yenyewe ya kimchongo sijaona goli gumu hata moja

    • @ngulingwamussa
      @ngulingwamussa Год назад

      Sasa wewe unataka wafungwe magoli gani ambayo wewe unatayataka?

    • @amerjuma4574
      @amerjuma4574 Год назад

      Kafunge kwa mkeo ndokunako goli gumu

    • @ramadhanimwinyi-7445
      @ramadhanimwinyi-7445 Год назад

      subiri ukutane nao ili tuine kama utapata hatagoli moja

    • @paulkidula1663
      @paulkidula1663 Год назад

      Subiria ya kwenu magumu🤣

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Год назад

      Sasa gumu litakuwa vipi wkt mpira unatembea kwa wanaoujuwa?
      Hahahaa!

  • @24seventv99
    @24seventv99 Год назад

    Tepse wa KMC ana kitu, tunamtaka yanga pale dirisha dogo

  • @kingmalcom4046
    @kingmalcom4046 Год назад +1

    Turudishieni highlights za dk 20 bhaaaana azam Tv

  • @seifmiraji43
    @seifmiraji43 Год назад +2

    Dk 7 kidg sana mb hamtununulii nyinyi

  • @aishamdinku9129
    @aishamdinku9129 Год назад +1

    Azam ndo nn hii dakika saba lol

  • @karimmarcelo7164
    @karimmarcelo7164 Год назад

    Azam Azam hizi Dkk 7 sawa sawa na kuonesha hizo goals
    Tunaomba dkk ziongezwe

  • @nestorymapunda-f6b
    @nestorymapunda-f6b Год назад

    Teps evans ana maishaa malefu apo kimc mwkn yang 💚💚

  • @liliangonza2152
    @liliangonza2152 Год назад

    Azam Acheni roho mbayaa mxiuu!

  • @HusseinMustapha-n2n
    @HusseinMustapha-n2n Год назад

    😂😂😂yanga noma

  • @FurahaGidion-x6k
    @FurahaGidion-x6k Год назад

    Saf