BYD is the future of eMobility, worldwide. Hapo Tanzania kuna company moja inaitwa eMo Mobility yenyewe inauza Bodaboda na TukTuk za umeme na kutumia batteries za lithium
Kweli aisee hii inatufunza watu tusiwadharau wanaoanza kujitafuta uwenda baadae wao wakawa bora kuliko wewe uliyeanza. Big up BYD na simulizi na sauti.
kampuni iyo me mwenyewe naikubali sana sema ndio ivo muda bado lazima nije nimilikie gali zao ni jambo la muda tu alafu watu nawambiaga wa china 🇨🇳 wapo vizuli sema watu wengi walikalili
Watu wengi hapa hawafatilii Mambo ya Msingi Duniani wako Busy na Umbea sana Huyu jamaa anazungumza Ukweli Mwaka Jana BYD ndo imeongoza Mauzo Duniani Kote na Soko Kubwa ni Ulaya hasa German sasa Mm tu anasema unasema Uongo alete facts bax kama Sio kweli na hata kwenye CM Huwaei wanatoa CM kali kuliko Iphone na Samsung lkn wabongo wao wanajua hizo tu
Kaka Ali masoud anatakawi ajipange zaidi. Asiellezi kimajumuisho majumuisho. Anatakiwa azame kwenye facts na statistics. Afanye reserch pia awe anajua kuwa majibu yake yanasikilizwa na watu tofauti tofauti kiakili
Mko sana biased against Marekani kwa gari za umeme ni Tesla tu ? Vipi gari kama za RiVIAN zinazotengenezwa hapa California recently na ni very expensive kuliko tesla taxizo mnapenda cheap stuff na ushabiki
Fourth quarter 2023 BYD iliongoza lakini first quarter 2024 Tesla claimed the title for deliveries, kwahiyo tukizungumzia anayeongoza kwa sasa ni Tesla kwa mauzo ya first quarter yaani kutoka mwezi January February na March, then baada ya hapo tunasubiri nani ataongoza mauzo kwa second quarter of the year 2024 yaani kuanzia mwezi April May na June .Maelezo yanatolewa hapa sns kwa suala la mauzo ni yanahusu habari ya mwaka jana 2023 fourth quarter October November December BYD aliongoza lakini kwa sasa 2024 first quarter Tesla anaongoza.
In terms of unit production byd is still leading by far.remember byd's e vehicles is very diversified makes even buses used in amaerica the only weekness of ByD is that he doesn't have oversee markets like tesla.hope that's enough 4 today.
@thefactbook...1607 bro u r right leading by units production but the comparison here is pure electrical vehicles sedan not buses not cybertrucks,not hybrid not plug in,that's why in pure EV tesla is leading in this year first quarter comparing to building your dreams.
@@jebace another thing you should note ni kuwa china ev market iko na 55% of total global ev market share then hapo US anafuatia.sio kama in net worth BYD(81b usd) anamzidi Tesla(566b usd).lakini anaeuza unit's nyng ni BYD maana cost zake za production zipo chini byd average price ni 25K huku Tesla ni 45K.imepelekea mpaka tesla nae alitoa punguzo ili a keep up with the pace.
Me nakubalina na hilo, ila changamoto ya China huwa ni QUALITY. Sawa gari ni competitive na ni cheap ila kwa experience LONGEVITY itakua kidogo sana ndo changamoto ya China. For instance kwa watu wa logistics watakua wanafahamu HOWO company inatangeneza trailer ili ku compete na Scania. Howo ni cheap ila baada ya mwaka .....like teke teke utafanya repair mpka uchanganyikiwe. So nakubaliana na sales lakn naamini quality ya TESLA ipo juu zaidi.
Mchina anakuuzia kitu kutokana na pesa yako unahisi vbidhaa zinazokuja Africa ni sawa na znazoenda Marekani? zinaweza zikawa sawa lakini sio zote pia zinaweza zikawa sawa kimuonekano lakini sio katika quality sababu afrika hatuwez kuafford bei zao hvyo kinachotokea china anatengeneza muundo ule ule kwa quality ya chini anakuja kuuza Africa sababu ndyo bei tunayoweza kununua
@@swalehemusa4546 hapana mkuu. Lazima kwenda na analysis na METRICS, si tunaona jinsi Chinese based products (imported) zinavyokua???? Zinavutia ila quality hapana kwakweli. Wala hatu rely magharibi
Sio kwa ubaya lakini hii itasaidia watu wengi wamiliki hizi gari rejea kwenye sim za smartphone zamani ilikua wanamiliki watu wenye uwezo tu ila mchina alivyo copy sasa hivi kila .mtu anamiliki sim aitakayo
Safii Sanaa kwa kumbukmb, Kuna baadhi si tu kuiamini bali wanaiabudu Marekani kwa Kila kitu. Pongezi Sana kwa Machina. Ameturahisishia vyombo vya usafiri Kama bodaboda, mabasi,miundombinu,vifaa vya ujenzi,vifaa vya kilimo,mawasiliano n.k
Inawezekana mchina bidhaa zake zipo chini kweli,,,ila Nina uhakika asilimia 100 mchina akitoa bishaa zake zote za ki electric sokoni,,,wewe hapo utaishi maisha magumu sana,,,,mshukuru mchina acha ujuaji mzee😂
Serikali ya China imetoa ruzuku kubwa kwa viwanda vya uundaji wa magari ya nishati ya umeme...hivyo masoko ya nchi za magharibi wanailalamikia serikali ya China kuendelea kutoa ruzuku kwa hayo makapuni ya magari...ushindani usio wa haki!
Sasa kwani wao hawana serikali ? China wamefanya hvyo coz wanajua baada ya kukubalika watapata faida yao akili kwa Mchina Mchina anabalaa ktk dunia ya teknologia ya leo anawatu wakutosha wenye ujuzi
China nakupenda endelea na kazi nzuli unatulaishia sana upatikanaji wa vitu ambanyo sisi wengine tuliona kuvipata ni kama ndoto kama gar,sim nk
Sio magari tu kila kit China yuk juu saiv❤❤❤
aisee uchambuzi wa Ally inafanya sns kua bora zaidi 🔥🔥🔥
Safi sana SnS kwa kazi nzuri. Tunahitaji content nyingi za namna hii
Huyu Ally Masoud anajua kila kitu. Ameifanya SNS iwe ya kipekee sana. Hongera sana kwa maboresho ya channel yetu pendwa
Mini Sma
BYD is the future of eMobility, worldwide. Hapo Tanzania kuna company moja inaitwa eMo Mobility yenyewe inauza Bodaboda na TukTuk za umeme na kutumia batteries za lithium
Hii kitu magufuli alikua anataka ianze hapa hapa tz tuwe tunatengeneza magari ya umeme basi tu mambo yameenda kombo sana 😢
Kweli aisee hii inatufunza watu tusiwadharau wanaoanza kujitafuta uwenda baadae wao wakawa bora kuliko wewe uliyeanza. Big up BYD na simulizi na sauti.
Umesahau Tesla wananunua Mabetrii toka kwao na Kingine Watu wakaangalie Beijing Auto Show 2024 iliyofanyika Juzi
Umeongea fact
Japan kwisha kazi
Kwa japan sio leo
Nchi za kishenzi bado zipo na mjapani kama tz
kampuni iyo me mwenyewe naikubali sana sema ndio ivo muda bado lazima nije nimilikie gali zao ni jambo la muda tu alafu watu nawambiaga wa china 🇨🇳 wapo vizuli sema watu wengi walikalili
china 🙋♂
MashaAllah
Hongera yao BYD
HUYU ALLY anajua kuchambua kuliko yule shombe shombe
Watu wengi hapa hawafatilii Mambo ya Msingi Duniani wako Busy na Umbea sana Huyu jamaa anazungumza Ukweli Mwaka Jana BYD ndo imeongoza Mauzo Duniani Kote na Soko Kubwa ni Ulaya hasa German sasa Mm tu anasema unasema Uongo alete facts bax kama Sio kweli na hata kwenye CM Huwaei wanatoa CM kali kuliko Iphone na Samsung lkn wabongo wao wanajua hizo tu
Wewe ambaa aufatilie kutengeneza nini kando nakupiana Mimba, hata kijiti cha kuchokora meno
Hiv cc hapa bongo tuna hokijua n nn kama sio kuongeza viwanda vya pombe
Ni kweli kabisa watu wanapenda umbea sana 😂
China washateka soko la dunia🎉🎉🎉
@@FerdinandCharles-ko7de😂😂😂😂
isitoshe bei. Yao rahisi kuliko tesla
alafu watu kitu wasichokijua mchina anatengeneza vitu vizuli ela yako tu
Wow🎉
Nawana gali nzuri sana
Wooow niceeee
technology inakua
That is true meaning of never give up
Kaka Ali masoud anatakawi ajipange zaidi. Asiellezi kimajumuisho majumuisho. Anatakiwa azame kwenye facts na statistics. Afanye reserch pia awe anajua kuwa majibu yake yanasikilizwa na watu tofauti tofauti kiakili
China lengo Lao niku kuwa number moja duniani kwa kila kitu.
Model y tesla
Elon musk hawezi kukubali, utasikia tu kaja na njia nyingine.
Mchina sio wa ivyo
Mchina kumzuia ni shughuli ukileta nyingine wanaleta kama hiyo alafu wanaongezea kitu..
Una mjua mchina vizuri?
😮😮😮
President Ruto njooo huku 😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪
Lakin wanzilish wa magari ya umeme ni wamarekan idia ya watu imeibwa na wachina
Mko sana biased against Marekani kwa gari za umeme ni Tesla tu ? Vipi gari kama za RiVIAN zinazotengenezwa hapa California recently na ni very expensive kuliko tesla taxizo mnapenda cheap stuff na ushabiki
Chambo cha dotto magari maisha hayana mwenyewe
Fourth quarter 2023 BYD iliongoza lakini first quarter 2024 Tesla claimed the title for deliveries, kwahiyo tukizungumzia anayeongoza kwa sasa ni Tesla kwa mauzo ya first quarter yaani kutoka mwezi January February na March, then baada ya hapo tunasubiri nani ataongoza mauzo kwa second quarter of the year 2024 yaani kuanzia mwezi April May na June .Maelezo yanatolewa hapa sns kwa suala la mauzo ni yanahusu habari ya mwaka jana 2023 fourth quarter October November December BYD aliongoza lakini kwa sasa 2024 first quarter Tesla anaongoza.
In terms of unit production byd is still leading by far.remember byd's e vehicles is very diversified makes even buses used in amaerica the only weekness of ByD is that he doesn't have oversee markets like tesla.hope that's enough 4 today.
@thefactbook...1607 bro u r right leading by units production but the comparison here is pure electrical vehicles sedan not buses not cybertrucks,not hybrid not plug in,that's why in pure EV tesla is leading in this year first quarter comparing to building your dreams.
@@jebace another thing you should note ni kuwa china ev market iko na 55% of total global ev market share then hapo US anafuatia.sio kama in net worth BYD(81b usd) anamzidi Tesla(566b usd).lakini anaeuza unit's nyng ni BYD maana cost zake za production zipo chini byd average price ni 25K huku Tesla ni 45K.imepelekea mpaka tesla nae alitoa punguzo ili a keep up with the pace.
Achen wivu
Hichi kitu alikizungumzia john jackson akiwa china
Me nakubalina na hilo, ila changamoto ya China huwa ni QUALITY.
Sawa gari ni competitive na ni cheap ila kwa experience LONGEVITY itakua kidogo sana ndo changamoto ya China.
For instance kwa watu wa logistics watakua wanafahamu HOWO company inatangeneza trailer ili ku compete na Scania. Howo ni cheap ila baada ya mwaka .....like teke teke utafanya repair mpka uchanganyikiwe.
So nakubaliana na sales lakn naamini quality ya TESLA ipo juu zaidi.
Pengine ila ukiona mpaka Ulaya kateka soko ujue magari yao BYD yana ubora!
Mchina anakuuzia kitu kutokana na pesa yako unahisi vbidhaa zinazokuja Africa ni sawa na znazoenda Marekani? zinaweza zikawa sawa lakini sio zote pia zinaweza zikawa sawa kimuonekano lakini sio katika quality sababu afrika hatuwez kuafford bei zao hvyo kinachotokea china anatengeneza muundo ule ule kwa quality ya chini anakuja kuuza Africa sababu ndyo bei tunayoweza kununua
Bizaa ni nzur nyie mmeshamezeshwa uwongo wa magharibi
@@swalehemusa4546 hapana mkuu.
Lazima kwenda na analysis na METRICS, si tunaona jinsi Chinese based products (imported) zinavyokua???? Zinavutia ila quality hapana kwakweli.
Wala hatu rely magharibi
wanachi syo mchezo
Tesla inajenga viwanda 4 nje ya nchi
Uongo
Tuambie ukweli 😊
Tesla kiboko
Ayo magari feki atuyataki kama masim yao ya teckno na infinix
Huna Hela kk Kuna huwawei ni balaa au honor sema wanachofanya wanaangalia uchumi wetu Africa na nchi enyew
Wivu tabia yakike
Hujitambui wewe, mchina ni kama maji usipokunywa unaoga nina uhakika hapo ulipo una zaidi ya vifaa viwili vya mchina unatumia!😅
Sio viwili 70 ya vifaa vyake made in China
Mbona Elon ndo mwenye hela kuliko hao wachina kutokana na mauzo
Pesa sio kila kitu creactivity kwanza
Tesla iko juuu model x
Tesla inaongoza
German ndio alikuwa mfalme wa combustible engene na Ana hofu juu ya ubora na technolojia ya wachina wewe upo hapo lupalama unaleta ujuaji😂😂😂😂😂😂
Umewahi kupewa lift nini?
Wamecopy tesla
Sio kwa ubaya lakini hii itasaidia watu wengi wamiliki hizi gari rejea kwenye sim za smartphone zamani ilikua wanamiliki watu wenye uwezo tu ila mchina alivyo copy sasa hivi kila .mtu anamiliki sim aitakayo
Safii Sanaa kwa kumbukmb, Kuna baadhi si tu kuiamini bali wanaiabudu Marekani kwa Kila kitu. Pongezi Sana kwa Machina. Ameturahisishia vyombo vya usafiri Kama bodaboda, mabasi,miundombinu,vifaa vya ujenzi,vifaa vya kilimo,mawasiliano n.k
Kwa sababu ya bei nafuu lakini ukweli halisi viwango vya bidhaa CHINA bado yupo Chini
Amempiga kwenye Hera yake kuiweka isipande sana thaman Kwa Hera zingne tofaut na dola ndiomaana ametushika sana Africa sio.
Hapana huna Hela sande 😂😂😂 me natumia huwawei simu yangu ya harakat aiseeh ni balaaa
Inawezekana mchina bidhaa zake zipo chini kweli,,,ila Nina uhakika asilimia 100 mchina akitoa bishaa zake zote za ki electric sokoni,,,wewe hapo utaishi maisha magumu sana,,,,mshukuru mchina acha ujuaji mzee😂
Hi ndio vita yenyewe ya America kwa China 🇨🇳!! Na bado China ni tishio kwa America kila sector sasahivi
🎉😂😂😂na sasa wanaanza zongwe kwa TikTok
@@VivecCarol vita vya kiuchumi ni vita hatar sana, Xi Jinping last time alisema hakuna atakae weza kuzima ustawi wa China
Serikali ya China imetoa ruzuku kubwa kwa viwanda vya uundaji wa magari ya nishati ya umeme...hivyo masoko ya nchi za magharibi wanailalamikia serikali ya China kuendelea kutoa ruzuku kwa hayo makapuni ya magari...ushindani usio wa haki!
Sasa kwani wao hawana serikali ? China wamefanya hvyo coz wanajua baada ya kukubalika watapata faida yao akili kwa Mchina Mchina anabalaa ktk dunia ya teknologia ya leo anawatu wakutosha wenye ujuzi
Na wao wafanye