UKWELI KUHUSU ROLLS ROYCE, FEKI ZIPO, YA DIAMOND TOFAUTI YAKE "ITAMTESA SERVICES"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Leo AyoTV inakukutanisha na Muagizaji magari kutoka UK, Dubai, na Japan BenCars ambapo anatuelezea juu ya gari aina Rolls Royce Cullinan 2021, bei yake kutoka UK na faida pamoja na changamoto zake.

Комментарии • 409

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 3 года назад +164

    Kama unaamin ndo kinara wa kuongelewa mtandaoni tujuane hapa!

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 3 года назад +8

    Wabongo wachen roho mbovu huyu dogo Nasseb hamumuwezi itachukuwa miaka mengi sana kuja msaani kufika level ya Diamond dogo amefika mbali sana tena sana 🔥

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 3 года назад +9

    Mondi anawatesa wengi sana TZ .. kweli mziki vita!!

    • @neemayusuphu1591
      @neemayusuphu1591 3 года назад

      Kasemaa yeye mwenyewe mziki ni vita ile nyumban ni yamama ivo usiwaze madale

  • @paulshija7632
    @paulshija7632 3 года назад +34

    Mie sio shabiki wa Diamond lakini jamaa ana hela, tuache masihala bana! Kingine wivu utawaua! Dogo kawanyoosha!

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 года назад +11

    Rolls Royce Haina underlincence na ingekuwepo SOUTH AFRICA WALIKUWA washaitengeneza kitambo .Kumbe Bongo ipo Moja tu Ya MONDI 🤣🤣🤣🤣 fantastic super star#diamondplatinun
    #swahilinatiin
    #wcbWASAF🇹🇿🇹🇿💎💎💎💎💎🤣🤣🔥🔥

  • @barakambangulila5360
    @barakambangulila5360 3 года назад +34

    Diamond kaleta gumzo big up Sana

  • @husnapongwa1841
    @husnapongwa1841 3 года назад +10

    Millard kua makini sana na hizi interview unajishusha snaa

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад +34

    Hahahaha gari ya monde ni gumzo tz nzima sababu ni moja tu

    • @mpajikasunzu117
      @mpajikasunzu117 3 года назад +1

      Yaani nakwambia nipo nasoma coment nacheka mwenyewe

  • @thomasmaila3834
    @thomasmaila3834 3 года назад +12

    Ww yakwako og,iko wp?acha kudic mambo ya w2,mwenzako kaonyesha uthubut,amna kazi za kufanya?

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori9697 3 года назад +10

    kwaiyo kainunua shiling ngap zabongo namie jipange nichukue ndinga iyo

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz 3 года назад +111

    Sisi maskini ndo tunabishana wengine hatuna hata baiskel hata angeita helicopter sisi ni nani tumbishie SIMBA 😂😂😂

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 года назад +3

      Kweli kabisa 🤣🤣🤣

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 3 года назад +1

      Dah 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 3 года назад +1

      Jiung freemasonry km mond. utamilk gali hilo 🤪🤪🤪

    • @pcmofficialtz
      @pcmofficialtz 3 года назад

      @@allanothuman2941 fikra ikitumika ndivyo sivyo inaua ✍️

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 3 года назад

      @@pcmofficialtz nitaftie tajir ambae atumiaa uchwi.... saw ....ww si unataka magali mkali nn jiunge freemasonry...... km ginimbii.... Utamiliki zaid ya hayooo.... mzeee bb

  • @faizislam2378
    @faizislam2378 3 года назад +13

    Watangazaji tuelewaneni banaaa sio rose royce ni rolls royce muna feli wapi kutamka

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 3 года назад +20

    Kweli kumtaja diamond ni ajila Tz 😅😅😅🤭

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад

      Kabisaa wanajtahid vyovyote ili wa title jina la Mond

    • @ashamahmoud3895
      @ashamahmoud3895 3 года назад

      Hivi nyie mnatoka vijijini Nini? Kwahiyo msanii mkubwa Kama mondi anunue gari Kama hiyo mnataka isiongelewe? Huo ndo uchawi Sasa

  • @muhammad_alhinai
    @muhammad_alhinai 3 года назад +1

    Yeye ndio wa kwanza kushusha RR hapa Tz? Bakhressa na baadhi ya wengine ameimiliki RR kitambo sana tu kabla ya diamond.. model tu zinatofautiana.

  • @johnmunyoro4428
    @johnmunyoro4428 3 года назад +4

    Kwa nini mzituletee aina za machine za kukamua mafuta ya alzeti. Au machine za kutengeneza mafuta ya maparachichi ya nywere. Au machine ya kutengeneza viatu za ngozi.kuongelea gari za watu kunafainda gani?hizo handithi ndizo watoto watu watarithi?

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 3 года назад +2

    Unajia diamond katufanya saivi bilion tunaona ni ela ya kawaida sana tofauti na zamani

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 3 года назад +5

    Huyu jamaa hana ujuzi wa kutosha cz hiyo gari campany yake ni kubwa sn dunian na huwez kuruhusiwa kuichakachua,hii ni interview ya kisenge

    • @karimmunis8302
      @karimmunis8302 3 года назад

      Do kumbe na wew umeona hee ,huwezk kubadili injeni ya hiyo gari ukabak salama lazima iwe kituko tu

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 3 года назад +1

      @@karimmunis8302 jamaa hana jipya ni mtu tu anayetaka kujulikana tu

  • @mamarachel9286
    @mamarachel9286 3 года назад +23

    Mbona mmeiandama sana gar ya mtoto wa tandale? Amafanya kosa kuileta bongo eeeh...Mwachen na gar yake, ongeleeni hata IST

    • @kinasatz7266
      @kinasatz7266 3 года назад +1

      😂😂😂wasenge sana hahahaha bado wanaongea tu.

    • @omaryally198
      @omaryally198 3 года назад

      Nyange kwao kigoma sio tandale

    • @malakiyazidu0080
      @malakiyazidu0080 3 года назад

      @@omaryally198 kwao kwao sio kigom kigom nikwakina mama ake🤣🤣🤣kwao ni nimorogoro

    • @omaryally198
      @omaryally198 3 года назад

      @@malakiyazidu0080 bas itakuwa matombo, Kwan mzee nyange Moro ndio kwao.

  • @rajablutambi4063
    @rajablutambi4063 3 года назад +1

    Hajui architecture ya magari specifically hio imemshinda hatoi mechanical specifications anaongelea bei tuu

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 3 года назад +16

    Service yake ni kama gari nyigine. Ukifwata utaratibu kutoka Rolls-Royce no worries .

  • @alihussein1027
    @alihussein1027 3 года назад +6

    Diamond is rich anaweza Afrord

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 3 года назад

    Namshauli daimondi sasa awekeze kila mkoa wa tz sio dar tuuu na mimi naona wa tz wengi wanao mchukia daimondi ni kwasababu ajawekeza kwenye sehem ya upigaji maana wa tz wanapenda sana madili

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 3 года назад +47

    JAMANI NYIE HAMNA KAZI ZAKUFANYA EH,DIAMOND PLUTNUMZ ANUNUE ORG ANUNUE FEKI INAWAHUSU????.
    NUNUENI NANYIE IYO FEKI TUONE SIO KIMNANGA MTU UTADHANI UMEMSAIDIA KUNUNUA FYUUU!!!!.
    MILLADY AYO NYIE NI MEDIA KIBWA ACHENI SASA AYA MAMBO YAKUONGELEA GARI YADIAMOND MANAKE HAIWAHUSUUUUU.

    • @emmanuelmhosole5421
      @emmanuelmhosole5421 3 года назад

      Hongera dada Wew inakuhusu😅

    • @ashamahmoud3895
      @ashamahmoud3895 3 года назад

      Hivi umesikiliza interview kweli maana comment zenu Kama Kuna ugomvi wakati interview Ni ya kawaida kabisa Wala haina baya

  • @saidalzakwani8402
    @saidalzakwani8402 3 года назад +17

    Duuuu sio mchezo mwezi sasa watu wazungumzia kuhusu gari 😂😂😂
    Kazi ipo

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 3 года назад +2

    Rolls Royce ni ya Daimond. Ikiwa feki or original unahusikaje? Ni ya kwake mwenyewe kwa nini tunapoteza muda kuzungumzia?
    Ni aina ya wivu na kejeli. Daimond ni tajiri.Anao uwezo.

  • @markethan1899
    @markethan1899 3 года назад +5

    Nimetulia zangu nawacheki tu. Njooni muone magari yangu, buggati Chiron, Lamborghini, ford mustang, Nissan Gt v12 twin turbo charged. Napatikana arusha

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 3 года назад +1

      AA kaka aunishindi Mimi Nina laum ya milioni kuminambili nanusu 😃😃😃👍👍👍

    • @markethan1899
      @markethan1899 3 года назад

      @@mosesmwailenge5192 kwel bana uko juu nimekubali

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 3 года назад +1

      @@markethan1899 haya lafiki yangu nimekupenda Buree 🤗🤗🤗

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 3 года назад +6

    Hata baskelu sina nasema mabrukin hongera nasiib

  • @mjungufackson3932
    @mjungufackson3932 3 года назад +10

    Cyo gari la kwanza tz,,,imetumiwa na mwl nyerere ndo Mara ya kwanza

    • @edsonbandiko3592
      @edsonbandiko3592 3 года назад +2

      Inawashusha wakati nawe umeongez vrwz umesha angalia tayali unafeli Sana

    • @imanijohn6069
      @imanijohn6069 3 года назад

      Kweli aisee, ukienda makumbusho ya taifa ipo aliyo tumia Nyerere kitambo hichooo

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад

      Cullinan Black badge alitumia lini wee naee

  • @joniejr750
    @joniejr750 3 года назад +1

    Ndo maan umeona kwa TANZANIA ndo kwa Mara yakwanza kainunua diamond ,,mond mtu mbad 🔥 🔥

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe2970 3 года назад +12

    Yan Bongo bwana hivi maendeleo ya jamaa bado yanatesa nafsi za watu Daa

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад +3

    Ostazi juma upo mzee wa majungu . Mavi yanagonga chupi mzee

  • @CLB717
    @CLB717 3 года назад +31

    sio feki ndugu zangu Rolls royce ina badge nyeusi !!!!

    • @amoskizigha6856
      @amoskizigha6856 3 года назад +4

      Kuna black badge, silver badge na gold badge ila watu weng wamekariri ile silver badge 😁😁😁😁

  • @jordanjeremy-l1k
    @jordanjeremy-l1k 3 года назад +13

    Sasa itamtesaje service akati yupo na mbongo yakushato?

  • @younglegit7194
    @younglegit7194 3 года назад +2

    Mnachambua gari ya rois rois 😃😄

  • @shedrackatanasio9734
    @shedrackatanasio9734 3 года назад +5

    Milard ayo umekuaje tena pga kaz mzee achan na habar hzo za magar ya watu nakuamn

    • @Werema3760
      @Werema3760 3 года назад

      Siuache kuangalia! Ana post kitu kinacho vutia kuangalika

  • @vybzfaruqh2712
    @vybzfaruqh2712 3 года назад +17

    Rolls Royce gari nzito 🔥🚘🚗

    • @mwajeymajid4988
      @mwajeymajid4988 3 года назад

      Uzit wake upi baba unabeba mgongon amaaa

  • @ammanjnj8716
    @ammanjnj8716 3 года назад +1

    Hakuna engine inayo ingiliana na rolls Royce dunian kutokana na wenyew walivyo weka security katik brand yao na wala uwez modify muongo uyooo

    • @ammanjnj8716
      @ammanjnj8716 3 года назад

      Eti mtu ununue rolls royce kwa bei kubw uka change engine alaf uuze kwa bei poa iyo ni akili kwel

  • @angelshirima2289
    @angelshirima2289 3 года назад +1

    Wanawake wenzangu acheni upuuzi huu wa kuchoma nyumba nusunusu, seti mipango hakikisha ukiwasha moto hakibaki kitu zimamoto wenyewe hawana maji ni uwakika huo..🙂😗 acheni kuchoma kiboyaboya ivo

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +3

    Diamond platinumz anawatesa Sana bado mnaichambua gali yake wakati hata mwenyew ameshasahau anawaza mengine

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 года назад +4

    Asante simba

  • @shabymaizer456
    @shabymaizer456 3 года назад +6

    Hii interview ya kisenge Kam wasenge wengin leten maada za maan achen ushangaz

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 года назад +1

      Hahahahha wanachosha yaani bila Diamond maisha hayaende kabisa

    • @shabymaizer456
      @shabymaizer456 3 года назад

      @@kassimrajabu7805 wanazngua San cjui wamemtoa wap huyo chok mak hat anachokiongea halet maan yoyot

  • @hassanmwaguzo7621
    @hassanmwaguzo7621 3 года назад +5

    So Tanzania nzima RR ni moja tu😂🤣😂

    • @stevenfrancis5191
      @stevenfrancis5191 3 года назад +1

      Kwa sure Ni ivyo mo mwenyewe alikuwa nampango wa kununua akahairisha akaenda kuwekeza simba

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 3 года назад +16

    Hhahaha Bila Mondi Hamuna CONTENT!!!Nyau nyie😀😀😀😀Mtoto wa Tandale anawatesaa sana…Yaani munatamani adondoke leo ili mupate furaha ila MUNGU Atamlindaa

  • @lloydmanongi5095
    @lloydmanongi5095 3 года назад +1

    Huyu jamaa anajitahidi lakini hii gari haijui maelezo yake kuhusu hii gari ni mepesi sana ...hakufanya research ya kutosha amekurupuka

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi1424 3 года назад +4

    Rolls Royce ziko nimeziona tatu hapa mjini moja ya phantom ya family ya bakhresa na ghost nyeusi ya mchaga

    • @nottyally9187
      @nottyally9187 3 года назад

      Acheni hiyo huku vijiji hawajua huyo Rolly Rose sijui.nn,wanasema zoto ndio gumzo.huku tunakufa

    • @jamesshao538
      @jamesshao538 3 года назад +1

      Siyo Kama ya Diamond broo yake ni 2021

    • @ndegejr4218
      @ndegejr4218 3 года назад +2

      Omar Bahkresa anazo Rolls Royce mbili ( Wraith na Ghost),Na Davis Mosha anayo 1 Rolls Royce Phantom ile aliyotumia Professor Jay kwenye wimbo wake Wa UTANIAMBIA NINI

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад

      Hizo umeziona ww ila cc tunazungmzia tunachokiona public

    • @isaackalbert6234
      @isaackalbert6234 Год назад

      ​@@ndegejr4218 ya mosha 🙌

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 3 года назад +4

    Watu wnashindwa kuelewa tu
    Wanaompinga Mondi ni wenye wivu wa maendeleo na kutafuta umaarufu kupitia yey, we tazama kila media ispondika jina la Dai habar aziendi !!

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад +4

    Huyu jamaa mzito Sana kuelewa MASWALI. Hajibu ipasavyo

  • @MrTariQ345
    @MrTariQ345 8 месяцев назад

    Ah kazi basi sasa kama anaagiza magari sasa afanyweje,wacheni utoto kama amenunua uwezo anao wa kuimiliki

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 3 года назад +3

    Huyu ni mtu wa kuagiza gari tu hajui lolote kuhusu gari

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 года назад +5

    HIYO HELA ANGEAMUA KUUNUNUA MTAA BASI BUZA YOTE INGEKUA YAKE🙈

  • @alibinali_
    @alibinali_ 3 года назад +1

    Wivu mbaya sana jamaa

  • @neemayusuphu1591
    @neemayusuphu1591 3 года назад

    Simbaaaa nawakubaki ayo TV Na platnumz

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 года назад +1

    Itamtesa wapi ..aweze nunua gari mpya akose kuweza kununua spea? Wabongo bwanaa... Hongera tena brother.

  • @genalphalyrics8729
    @genalphalyrics8729 3 года назад +19

    Iyo ngoma haitaji service ndo maana ni expensive!... It was built to last!...sio Chinese models

    • @donaldmutegeki5031
      @donaldmutegeki5031 3 года назад

      We fala kweli

    • @donaldmutegeki5031
      @donaldmutegeki5031 3 года назад +1

      Ndege yenyewe inafanyiwa Service

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 года назад +1

      Uyu limbukeni kwer kuna gar au ndege au pikipiki au baisker icyofanyiwa service uyu boya kwer

    • @genalphalyrics8729
      @genalphalyrics8729 3 года назад

      @@officialelltz8533 then why iko expensive?... Kwanini material yake ni expensive?....

    • @genalphalyrics8729
      @genalphalyrics8729 3 года назад

      @@donaldmutegeki5031 kwa nini material yake ni expensive?

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 3 года назад +22

    Bado mna discuss hiyo gari, kazi ipo

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад +1

      MOND round hii kawawezaa

    • @efronaaron6772
      @efronaaron6772 3 года назад

      😃😃😃😃😃😃😃😃😃

    • @mwajeymajid4988
      @mwajeymajid4988 3 года назад

      Nyieeee mwabwabwaja buree Ilo gar atangia nalo kweny jeneza au ktk sanda em wazeni vityu vya msing ata angekuj na mkokoten Ni wake waja mna mno hamuish maneno

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад +1

      @@mwajeymajid4988 Tatzo kwnunua wanaemchukia sasa wanateseka kila namna lkn hawapati pa kujificha😂😂

  • @feristagaspa2692
    @feristagaspa2692 3 года назад +3

    Swali kwanini matajiri wote was tz hawajanunua hiyo gari?

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 3 года назад +1

    Kazi mnayo waandishi

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 3 года назад +4

    Dubai haya ni gari ya kawaida Second hand kibao sana.. Diamond alinunua Second hand car at cheap price he can't afford Brand new

    • @twahirujuma2412
      @twahirujuma2412 3 года назад +2

      Kama huna hela ni wewe

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 3 года назад +1

      Ila jaman Mungu atupe yanayo tutosha maana gubu nimzigo

    • @daudsnopdissa5662
      @daudsnopdissa5662 3 года назад +1

      why he can't and why when you comment u look like you know him more more than himself. is the same for me to say u can't get money forlife while i don't know u deeply not good u have a problem some where you need change your attidude

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 3 года назад

      huyu hata mlango wa Dubai haujui itakua bei hata ya Probox 😂

    • @chicharitoronaldo5950
      @chicharitoronaldo5950 3 года назад

      Wewe na MAMAKO NA UKOO WAKO WOTE HATA PROBOX HAMUNAA!!!

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 3 года назад +26

    Rolls-Royce haitegenezi engine kwa hizo gari. Anaposema kwamba wanaweza wakatumia engine which is not from Rolls-Royce. Hapo kakosea. Rolls-Royce wanatumia engine za BMW V12. Hapa Zaventem Belgium wateja wangu wanazo, ingawa siyo nyingi kwani ni gari ya garama kido. Kwayiyo amekosea kidogo hapo.

    • @activestudios.
      @activestudios. 3 года назад +6

      SAFI KABISA BRO MIMI NIPO UK NAFANYA KAZI BMW lakini naona hawa watanzania wanaongea mambo ambayo wao wenyewe hawajui wanaongea nini

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 года назад +4

      Naomba nikuulze swali, Je, kama RR awatngenez engine na vipi kuhusu ndege mbona wanawauzia Boeing nk engine inamaana ni wananunua pia kwa BMW hahaaaaa?? Kama wanauza engine za ndge kweli washindw kutngneza ichi cha gariii ???

    • @activestudios.
      @activestudios. 3 года назад

      @@happyjohn5882 kwa uelewa wangu mdogo engine ya RR inatengezwa na BMW ambayo ni V12 na IKUMBUKWE RR ni SUB branch ya BMW so its all BIMA

    • @safariautoservice7032
      @safariautoservice7032 3 года назад +1

      @@happyjohn5882 siyo kwamba hawawezi kutengeneza engine. Ila tukumbuke kwamba ni wafanya biashara kama muuzaji wa nyanya au vitunguu. Wanangalia faida kwanza. Kwa sababu kutengeneza engine zagari hasa kwa kipindi hichi siyo jambo rahisi, kwa sabubu ya hizi CO2 AND NH AAND NOx regulations. mambo ya (euro 5 euro 6) . Kama unavyo juwa London, Bussels ect kama gari yako siyo ya petrol hairuhusiwi kutembea. Na kama ni Diesel hapo basi kiboka. Kama siyo euro 4 and euro 5 next year. Huruhusiwe kuingiya Brussels. Na ukibisha ni unapigwa fine ya 350 euro. Kwa hio Wawo hawoni faidha ya kutengeza engine wakati BMW tayari wamekwisha fanya kila kitu. Inakuwa ni rahisi kwawo kununuwa kwa BMW. Kama wengine wanavyo fanya. Ukiangali pangani zonda katumia engine Mercedes AMG V12 ya zamani kido, ukija kwa Aston Martin naye pia katumia AMG Engine. Kwahiyo kila kitu ni mahesabu. RR wawe wameamuwa kutengene egines za ndege. Na siyo lazima wateja wajuwe kwamba ni v12 kutoka kwa BMW muteja yeye kazi yake ni kuwekabmafuta kuendesha. Nasisi mafundi tufanye kazi zetu. Ila RR ni gari kama nyingine kwa sababu ina 4 tyres kama magari mengine. Sema yu mtu ukipata vi cents inabidi ujifurahisha baada ya kazi yako. Hivyo ndivyo binadamu tulivyo wengi wetu.

    • @safariautoservice7032
      @safariautoservice7032 3 года назад

      Upo sahihi, ila kama jama alivyo sema yeye ni anaagizia magali. Siyo fundi, yani yeye atacho angalia ni nini mteja anahitaji. Akilipa basi anamuagizia. Hata hapa wapo ukienda kwenye ma dealers kama Mercedes, BMW ect. Utakuta kuna mafundi, na watu wengine wakiwa réception. Wale wa réception maranyingi huwa wao wana kazi zawo maalumu. Siyo lazima wajuwe kila kitu. Na kama mtu kakosea siyo vibaya. Anaweza akarekebisha kama akipenda. Kwa sababu tunajifunza kila siku. Na tatizo tulilo nalo sisi huwa ni wabishi sana huwa hatupendi kukosolewa nahilo ni tatizo linalo sababisha tusijifunze. Ila tuwe wakarimu kwenye mitandao. Ili tujifunze siyo lazima matusi, kejeli na mambo mengine.

  • @OfficialmurraTv
    @OfficialmurraTv 3 года назад +8

    Wew mtangazaji itokee uagize una pesa😂😂

  • @nyash2542
    @nyash2542 3 года назад +3

    Vgard can't wait ☺☺

  • @DavidNdara
    @DavidNdara 3 года назад +7

    Bwana unazingua Rolls Royce ni brand huwa haibadilishwi engine ama chochote...hizo ni maprado zenu bana wee

    • @jamesoduororawo8379
      @jamesoduororawo8379 3 года назад

      Fala wewe ..haujui chochote

    • @JoumahB
      @JoumahB 3 года назад

      Tulia umezalia TZ ujawai fika hata Nairobi

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 3 года назад +20

    Dubai ni Dirhams, Singapore ni Singaporean Dollar..

    • @itsvipi
      @itsvipi 3 года назад +7

      No problem, but do Kenyans import/buy their cars from Dubai in Kenya Shillings, Dirhams or in USD? Thats what he meant Omera bwanaa!!

    • @mussabalola8406
      @mussabalola8406 3 года назад

      Huyo BEN anazenia anaongea na walugaluga. Utakuta hata Dubai hajawai fika.

  • @leahally4618
    @leahally4618 3 года назад +2

    Kweli kumtaja mond ni hajira woooooote tumekuja kwajil ya kuona mond tu😂😂😂😂

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 3 года назад +2

    Duh nimetulia zangu hapa hata kibanda similiki, kiukweli wenzangu tupambane, muda ukifika wakati utaongea. 🤐

  • @kennedyombewa7974
    @kennedyombewa7974 3 года назад

    Jamaa cjui mhaya cjui nn, kiingereza Cha nn mzee mbona kama kinakuchenga. Piga chini kizngu ongea cha kwetu

  • @rashidnasoro1065
    @rashidnasoro1065 3 года назад

    Duuh Mond katisha sana yaani Bongo nzima ana gari ya Pekee yake

  • @innocentmwakabanji827
    @innocentmwakabanji827 3 года назад

    Ikizingua tutatulia nayo na uchebe😎

  • @josephgitau169
    @josephgitau169 3 года назад +33

    Waah one car as given TZ bloggers job over a week now... There is nothing like Rolls Royce fake in the world 🌍 hiyo ni air force shoes.

    • @activestudios.
      @activestudios. 3 года назад +1

      BRO WAAMBIE COZ NAONA HAWAELEWI WANACHO POST KWENYE MEDIA ZAO

    • @limajblessed7132
      @limajblessed7132 3 года назад

      There is a fake rolls royce
      Am here in dubai and nimeona crestler imegeuzwa kuwa rollsroyce

    • @josephgitau169
      @josephgitau169 3 года назад +2

      @@limajblessed7132 wewe uliona body ya tractor

    • @senny6290
      @senny6290 3 года назад +2

      @@josephgitau169 😁😁😁na kweli

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 года назад +1

      @@josephgitau169 😂😂😂😂😂

  • @abuibra
    @abuibra 3 года назад

    Umasikini tabu sana oh kanunua viatu oh kanunua koti, oh kanunua gari, oh hana nyumba oh oh oh.sijui hizo tabia za hasada na tamaa za vitu vya watu mtaacha lini tafuteni vyenu pumbavu babako anapekua kamnunulie viatu.

  • @rogersfredrick9715
    @rogersfredrick9715 3 года назад +7

    Gonga like Kama zote

  • @arlecoboazsote5056
    @arlecoboazsote5056 3 года назад

    Vp naweza gari ya Bei ndogo Tena used kupitia nyie na nisikutane na matapeli?

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena9873 3 года назад +1

    Hajui magari kumbe huyu anauza ist tu😂😂😂😂

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 3 года назад

    Ninavyo jua mie kua kila gari ikiwa latest ushuru si unapungua...cz Haina uchakavu...

  • @ramadhanyange8957
    @ramadhanyange8957 3 года назад +2

    Jaribu kufatilia kwa makini ware woote wanaolumbana kwenye Jambo la mtu basi asilimia kubwa ni maskini uwezi kuona matajili wanalumbana ahaha mondi ww ni atali

  • @aymansabuni2299
    @aymansabuni2299 3 года назад +8

    I was expecting you to show us that Diamond's car instead unatuonesha Video za gari nyingine.
    Na ulitakiwa wewe umtafute Diamond umuombe ulinganishe hiyo gari yake na hizo Genuine.

    • @fettyabiola1389
      @fettyabiola1389 3 года назад

      Sasa iyo inayooneshwa na ya mondi ina tofaut gani.

    • @denisksylivester7846
      @denisksylivester7846 3 года назад +1

      Mchawi uyo,we hujasanuka bado?@@fettyabiola1389

    • @chescomnyangali8601
      @chescomnyangali8601 3 года назад

      Mbona na yeye amekaa juu yake hapo unasemaje sio hilo acha tamaa

  • @Wilsonmapinduzi
    @Wilsonmapinduzi 3 года назад +1

    Ayo kaanza ku upload usenge

  • @godfreystabie8409
    @godfreystabie8409 2 года назад

    watu 255 shida ni nini ata gari mnafanyisha kila mtu interview .....kwaza hii ayo tv..this too much

  • @castroonesmo2311
    @castroonesmo2311 3 года назад

    Jamaaa anaonekana haijui kabisa hiyo gari

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 3 года назад +3

    Ila uzuri kanunua gari ambayo Steering wheel iko upandi mzuri. Siyo wrong side of the road kama nyingine. Kwahilo na mpongeza. Ila ni gari kama nyingi.

  • @lucyrenatus3940
    @lucyrenatus3940 3 года назад

    Jamn kazi mnayo kwan mbna ss maskini ndo mnakzi yakupekenyua mambo ya watu mwachen kaka wa watu

  • @xhingboy8195
    @xhingboy8195 3 года назад +3

    Huyu jamaa ana akili za kugoogle......ety "ukigoogle utaona ni gari inayopita xehem yyte"

  • @hassanallyrajabu777
    @hassanallyrajabu777 3 года назад +7

    Watu wanakaa wanaongelea gari mmmh balaa

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 3 года назад

      kwan kuna ubaya gani😠

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад

      Alafu mwana mwenyw alishawatesa ameondoka kwenda SA lkn trending n yy chezea watu weny akili nying ww

  • @bossadam2252
    @bossadam2252 3 года назад +2

    Sasa rolls Royce inabid wampe diamond ubalozi toka agize basi gumzo kila cku

  • @umbaliche
    @umbaliche 3 года назад +3

    @Millard Ayo unafeli kwenye hii content. Umeanza kuwa kama weleeee....kichwa cha habari na content haviendani. Ukuposema ukweli kuhusu gari ya Diamond nkajua unaongea na mtu ambaye ameingiza hiyo gari hapa TZ kumbe unatangaza biashara ya huyo jamaa tena wala hana maelezo yaliyoshiba

  • @avizpaul3086
    @avizpaul3086 3 года назад

    Mbona ya kawaida sana ,jifunze kuona kila kitu ni cha kawaida wala usihamaki sana ,katafta hela kanunua ,ht mimi nkitafuta hela ntanunua hata Starlet na kuna watu mimi nitawashika pia so duniani kila mtu aishi uwezo wake 😂

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 года назад +1

    Mond kanunua gar yake kwa raha yake, maneno yatabaki kwenu na roho mbaya kwenu 🥴🥴🥴

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 3 года назад +2

    Dah watu hawataki kuaamini kama inawezekana

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 года назад

    Mond kakomesha kenge, sa hv wamehamia kwenye cheni,

  • @timothypillay5525
    @timothypillay5525 3 года назад

    Safety next level that

  • @hmhynix3218
    @hmhynix3218 3 года назад

    wa TZ upuzi hamfurahi ndugu yenu ameomoka eehhh

  • @jeremiahgeorge3552
    @jeremiahgeorge3552 3 года назад +8

    🤗🤗🤗

  • @stafordjr34
    @stafordjr34 3 года назад

    sauti iko powaa sanaaaa

  • @mbombopatrick4084
    @mbombopatrick4084 3 года назад

    Huyu Anafanya Biashara ya kuuza magari afu anadanganya bei..Hiyo gari ni bei sana ndio ila sio Dola laki tano.. Jamaa anauza magari lakini A small knowledge ya kuhusu price ya izi Gari za Kifahari anatupanga... In dollars iyo gari ikiwa mpya market Price ni $382,000 in USA. in Uk ni £276k... sasa yeye iyo laki tano kaitolea wapi...na Hizo ndio Price zilizopo sokoni kwa Izo Gari zikiwa 00......

  • @shabansamwi9891
    @shabansamwi9891 3 года назад

    hizo feki zinunueni na nyie tuzione mnataka kuaminisha watu hiyo gari ni ya kawaida2 MTU akikuzidi MPE hongera2 hatuwez fanana wote hiyo cyo cm ni brand kubwa hiyo

  • @alvinebrand_
    @alvinebrand_ 3 года назад

    Haipo moja acha uongo

  • @captaindunga.5849
    @captaindunga.5849 2 года назад

    Mafundi kibao tuu wapo wanaweza kuisevis labda utuambie upande wa spea zake ndo maduka yatakua hayana lakini spea ikiwepo hata kufungwa inafungwa.. kwani hata hizo tunaziona si zimeletwa au ziliundwa TANZANIA? hiyo ni gari kama gari zingine tofauti umaarufu wake na bei yake.

  • @AmanMediaTz
    @AmanMediaTz 3 года назад +2

    Nunua Yako acha kelele

  • @mtegaonlinetv9673
    @mtegaonlinetv9673 3 года назад +1

    Iyo gar mond ameazima cyo yake

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 3 года назад +2

    Tuzo ya bet vp..!?