Tuombe Amani - Mch. Abiud Misholi (Official Music Video).
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Watch,hear the Message and Share "TUOMBE AMANI" (Gospel Song).
-Umhimu wa Kuitunza amani ya Taifa kwa njia ya kutenda haki.
-Kuhakikisha Amani ya Mungu inadumu nyakati zote.
-Kila mmoja anao wajibu kwa sehemu yake katika kuhakikisha anatenda haki na kudumisha Amani.
#AbiudMisholi#TuombeAmani#
SIKILIZA NYIMBO ZA MCH. ABIUD MISHOLI KUPITIA LINK HIZI.....
Boomplay - www.boomplaymu...
Spotify - open.spotify.c...
Hungama -
www.hungama.com...
KWA MSAADA WA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA KWA ....
Simu - +255754045328
Email - abiudmishori500@gmail.com
Kama umekuja kutizama wimbo uu baada ya mambo yanayotokea chini Kwa sasa like hapa, kisha tuendelee kuiombea Amani Nchi yetu 😢😢
😢😢😢😢😢😢
Yaaan
yeah
Kama ume kuja hapa tarehe 12 MWEZI 9 2024 na ume guswa na uhu wimbo na ulikwepo hujui kama Kuna nyimbo kama ihi tz gonga like 😢
Mi nimekuja tarehe 14.09.2024. Wimbo umebena jumbe mzito na haujachuja
Huu wimbo nashindwa kupata TikTok nifanyeje
Wangapi wamekuja hapa baada ya kupata chorus pale TikTok
ex wako akiwa dj au
😂😂
😂😂😂kenge wewe 😊
}⁰😊😊😊q@@danielmusyokadanielmusyoka9642
😂😂
Kama na wewe umekuja huku mwezi huu like
Aiseee huyu baba aliona ya mbeleni au aisee nimejikuta nalia
😭😭😭 wimbo super ila kwa sasa Bora hayati Magufuli
Hakika
Wamama wanamlilia Mama Samia Suluhu Hasan,Bora hayati Nyerere,,Bora mheshimiwa Mwinyi,Bora Mheshimiwa Mkapa watamlillia Mungu.😢😢😢😢Majirani wetu Kutoka Kenya Amkeni wacheni Kutishwa Kenya 🇰🇪 yawahimiza
September 2024 bora hayati magufuli ila nyimbo imeniliza😭😭😭😭😭
2024 again
Wimbo mzuri,wakati wa Magufuli ulikuwa bado kipindi hicho,Bora Magufuli alimlilia Mungu,Pumzika kwa amani John Magufuli😢😢
Ipo siku huu wimbo utaimbwa
Bora hayati magufuli
Wakenya nasi tuombe Mungu atupe kiongozi aliyebora, mwenye Hekima, Busara na atakaye linda Amani kwa nguvu zake zote. Hallelujah.. Amina.
It's true
Amina
Sisi tunapenda maandamano mpaka saa nane ya usiku
Tunaomba Mungu atujalie Jasiri kama Mzee Magu .
Wimbo wa maana kabisa!!....2025 gonna hit more!!
MUNGU alilibariki TANZANIA yetu kupitia wimbo huu. Ahsante
Huu wimbo ukiusikilza indeep afu ukamkumbuka Magufuli unaweza ukalia😢
Kweli roho mtakatifu anajuwa mambo ya unabii huu wimbo ulitabili mambo yanayoonekana sasa
Kama umekuja hapa kwa sababu uliona huu wimbo kauposto kigogo tujuane ❤❤❤
Tanzania yangu nakupenda sana
Wimbo uko Na upako Wa Mungu
Natokwa na machozi ndani yangu.
Huu wimbo JAMENI
Kweli bora pia Baba Magufuli
Papa magufuli😢😢😢
Kwa kweli, Bora hayati nyerere, na Bora hayati magufuli, MUNGU atupe replace ment
Hajamtaja dictator uchwara wako hapa😂
Daaah ulikuwa mbele ya muda
Mungu Tunaomba Utuvushe Watanganyika Sawa na Zaburi Ya 23
Mchungaji uko wapi jamani ,???? Endelea ulipoishia ongeza chorus zaidi awamu zimeongezeka watu sahizi 😢😊😅😮😮😊😊 ubashiri waanz ,ubarikiwe mtumishi wa mungu.
Dah😢😢😢 tutakukumbuka sana rais wetu hayat jpm mungu azidi kukupumzisha salama..
Umetisha Sana mcha mungu ubalikiwe
Ni Antony Mejah Kutoto kutoka Kenya, napenda wimbo huo, Nina imani Mwenyezi Mungu atanijalia kuwa Rais wa Kenya siku moja. Amina.
Wacha mchezo wewe😂
kwa Kweli wimbo huu unaujumbe sana
Huu wimbo umenigusa licha mm sio mtanzania ila nakumbuka tulipo hingia Tanzania kwakua 1966 mkapa ndo yupo ushiwani wazazi kipindi icho wanahiyombea inchi yangu ya Kongo iwe na amani kama Tanzania ili turudi nyumbani, Mungu ikumbuke RDCongo ikumbuke pua TZ pamoja na bara letu pendwa Africa leo machafuko yapo mahali pote ila tukumbuke siwezi penda nyumba ya jirani iwe na machozi na mm niwe na machozi nani atahifazi mwegine 😢😢😢😢😢😢😢
Kuna mtu kapost hii video ikanivutia sana
well done Mtumishi wa Mungu
Ameimba vzr sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Tunaomba utusaidie mungu
Bora magufuli piaa ❤ much love
Bora hayati magufu 🙏
Ubarikiwe uzidi sana sana katika huduma mwana wa misholi
Bora
Nabarikwa. Sana Mtumish wa mungu
Bora hayati jpm
huu utabiri kabisa
Shida watanzani ni waoga kila mtu anatetea uhai wetu, wakati inatakiwa tupiganie vizazi vinavyokuja tukiendelea kulea na kuogopa tunaisha haswa wanyonge
😭😭😭🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Too bad Tanzanians didn't see that God was warning them about Jakaya Kikwete's administration. The man obliterated Tanzania and Maghufuli tried to repair the broken nation and some itchy person had to get him out of the way. Suluhu today is no solution and Tanzania has to sing... Bora hayati nyerere, bora mweshimiwa mwinyi, bora mweshimiwa mkapa, bora mweshimiwa pombe,... Pole sana ndugu zangu watanzania. Twawapenda toka Kenya.
We nawe pita hivi...kwani hiyo nyimbo si alikuwa anaomba kiongozi ataelinda amani au hujasikiliza ujumbe wa nyimbo....haya kuna vita imetokea kwenye utawala wa kikwete? Pambaneni na hali zenu
We nae ni matako ya kuku nini,kama kuna Rais aliinua uchumi wa Tanzania ni Kikwete.Katika kipindi cha Kikwete hakukua na utekaji na wapinzani walipewa haki ya kukosoa huyo JpM kipindi chake watu wengi walipotea.
We nae ni matako ya kuku nini,kama kuna Rais aliinua uchumi wa Tanzania ni Kikwete.Katika kipindi cha Kikwete hakukua na utekaji na wapinzani walipewa haki ya kukosoa huyo JpM kipindi chake watu wengi walipotea.
Amani ipatikane kwa nchi zote
Wimbo mzuri sana muwufanye cover muongeze magufuli kwajuu uyu wimbo umetoka zamani mbele magufuli atawale
Uliyo yyaimba yametukata 🏴🇹🇿😭
Amani amani🇹🇿🇹🇿
Mungu ibark Tanzania ata inch zingine🙏🙏🙏😁
Niko hapa
Bora Nyerere Bora mwinyi Bora mkapa Bora ayati magufuli😢😢😢 ao wengine wapite ivii☹️
Tunahiitajiiii amaniii Tz yetuu 😢😢😢😢mungu tusaidiee
Hakika wimbo huu wani bariki,na wanihimiza kwa maombi.🇰🇪🇰🇪🙏🙏
🙏
This song reminds me of my late father!! 2006 as we were always listening to our small radio.
😭😭😭 napenda hii wimbo sana I wish Kenya kungekuwa hivi aky tungekuwa mbali ki financial
Utabiri
Bora magu
toa mwingine pastor abiud
Barikiwa mtumishi
Nawewe muislamu tu chagiaa bambu
much respect to you man of God💪🕊
nmependa huu wimbo uimbwe kila mahal ili watu wauckie..
❤ Tell your leader to stop assassination and massacre.
Na tunalia kweli maana hatuelewi nchi inaendaje kwa sasa 😢😢
It's true
God bless our country Kenya
True
Kabisa
Na MAGU JAMANI RP😥😥😥
Kenya tunasema bora hayati Kibaki, wengine ni machozi tu.
2023 ❤❤❤
ulitabili yatakayo Kuja kutokea nchini
True 🙏🙏🙏🙏
Tanzania nchi yangu 🙏tunaomba amani 🙏
Amani ni jambo bora sana
😢😢😢 magufuli
Mimi nipo apa leo 14/09/2024 ..
Bora rais magufuri
Mungu ibariki Tanzania 🎉
bora angekuwa rais lowasa naimani tungekuwa mbali wa tz
Bora mkapa
Be blessed brother you songs touch me alot
Kandayaziwa hua tunatoa viongozi makinisana
Bora yake Magufuli
bola magufuli
19 years ago
Mi ni Muislamu lakini napenda hii nyimbo ya amani
Thank you so much
Hivi wewe abiudi uliomba tulare raisi msenge kama kikwete una akili timamu kweli
Kwani ujumbe wa hiyo nyimbo umelenga nini....yeye kaomba Rais ambae ataelinda amani au kwa Kikwete tulipigana vita?
Bora hayati magufuli
tutamkumbuka sana mtumishi huyu wa mungu kwa wimbo huu ilihubiri amani kweli