Tuombe Amani - Mch. Abiud Misholi (Official Music Video).

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Watch,hear the Message and Share "TUOMBE AMANI" (Gospel Song).
    -Umhimu wa Kuitunza amani ya Taifa kwa njia ya kutenda haki.
    -Kuhakikisha Amani ya Mungu inadumu nyakati zote.
    -Kila mmoja anao wajibu kwa sehemu yake katika kuhakikisha anatenda haki na kudumisha Amani.
    #AbiudMisholi#TuombeAmani#
    SIKILIZA NYIMBO ZA MCH. ABIUD MISHOLI KUPITIA LINK HIZI.....
    Boomplay - www.boomplaymu...
    Spotify - open.spotify.c...
    Hungama -
    www.hungama.com...
    KWA MSAADA WA MAOMBI NA USHAURI WASILIANA KWA ....
    Simu - +255754045328
    Email - abiudmishori500@gmail.com

Комментарии • 117

  • @KennedyLudovicky
    @KennedyLudovicky 10 дней назад +68

    Kama umekuja kutizama wimbo uu baada ya mambo yanayotokea chini Kwa sasa like hapa, kisha tuendelee kuiombea Amani Nchi yetu 😢😢

  • @obamammarekani
    @obamammarekani 5 дней назад +15

    Kama ume kuja hapa tarehe 12 MWEZI 9 2024 na ume guswa na uhu wimbo na ulikwepo hujui kama Kuna nyimbo kama ihi tz gonga like 😢

    • @ngoshakulwa8348
      @ngoshakulwa8348 4 дня назад +2

      Mi nimekuja tarehe 14.09.2024. Wimbo umebena jumbe mzito na haujachuja

  • @ElizabethDamiani-mp7qn
    @ElizabethDamiani-mp7qn 6 дней назад +10

    Huu wimbo nashindwa kupata TikTok nifanyeje

  • @rayjay7017
    @rayjay7017 11 месяцев назад +37

    Wangapi wamekuja hapa baada ya kupata chorus pale TikTok

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 10 часов назад +1

    Kama na wewe umekuja huku mwezi huu like

  • @neemasamwel9545
    @neemasamwel9545 6 дней назад +6

    Aiseee huyu baba aliona ya mbeleni au aisee nimejikuta nalia

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Год назад +20

    😭😭😭 wimbo super ila kwa sasa Bora hayati Magufuli

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 6 дней назад +5

    Wamama wanamlilia Mama Samia Suluhu Hasan,Bora hayati Nyerere,,Bora mheshimiwa Mwinyi,Bora Mheshimiwa Mkapa watamlillia Mungu.😢😢😢😢Majirani wetu Kutoka Kenya Amkeni wacheni Kutishwa Kenya 🇰🇪 yawahimiza

  • @ShukuAngel
    @ShukuAngel День назад +1

    September 2024 bora hayati magufuli ila nyimbo imeniliza😭😭😭😭😭

  • @bai-shuufaulo5625
    @bai-shuufaulo5625 21 день назад +5

    2024 again

  • @JulianaNduhiye-rm3jt
    @JulianaNduhiye-rm3jt 5 месяцев назад +5

    Wimbo mzuri,wakati wa Magufuli ulikuwa bado kipindi hicho,Bora Magufuli alimlilia Mungu,Pumzika kwa amani John Magufuli😢😢

  • @KisakaSteve
    @KisakaSteve 5 дней назад +2

    Ipo siku huu wimbo utaimbwa

  • @noelaedward3503
    @noelaedward3503 Год назад +6

    Bora hayati magufuli

  • @veronicambithe5640
    @veronicambithe5640 2 года назад +25

    Wakenya nasi tuombe Mungu atupe kiongozi aliyebora, mwenye Hekima, Busara na atakaye linda Amani kwa nguvu zake zote. Hallelujah.. Amina.

  • @LITTACUEA
    @LITTACUEA 6 дней назад +3

    Tunaomba Mungu atujalie Jasiri kama Mzee Magu .

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 5 дней назад +1

    Wimbo wa maana kabisa!!....2025 gonna hit more!!

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz 11 месяцев назад +5

    MUNGU alilibariki TANZANIA yetu kupitia wimbo huu. Ahsante

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 11 месяцев назад +8

    Huu wimbo ukiusikilza indeep afu ukamkumbuka Magufuli unaweza ukalia😢

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 дней назад +2

    Kweli roho mtakatifu anajuwa mambo ya unabii huu wimbo ulitabili mambo yanayoonekana sasa

  • @plasmascreen2459
    @plasmascreen2459 4 дня назад

    Kama umekuja hapa kwa sababu uliona huu wimbo kauposto kigogo tujuane ❤❤❤

  • @sarahsulle9722
    @sarahsulle9722 2 года назад +6

    Tanzania yangu nakupenda sana

  • @gedeonngandumusic7323
    @gedeonngandumusic7323 2 дня назад

    Wimbo uko Na upako Wa Mungu

  • @user-xo8hz4ii7g
    @user-xo8hz4ii7g 5 дней назад +1

    Natokwa na machozi ndani yangu.
    Huu wimbo JAMENI

  • @LITTACUEA
    @LITTACUEA 6 дней назад +2

    Kweli bora pia Baba Magufuli

  • @zakayolazier1193
    @zakayolazier1193 3 месяца назад +2

    Papa magufuli😢😢😢

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Год назад +8

    Kwa kweli, Bora hayati nyerere, na Bora hayati magufuli, MUNGU atupe replace ment

  • @donniealex7676
    @donniealex7676 Час назад

    Daaah ulikuwa mbele ya muda

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 9 часов назад

    Mungu Tunaomba Utuvushe Watanganyika Sawa na Zaburi Ya 23

  • @januarybura3216
    @januarybura3216 5 дней назад +1

    Mchungaji uko wapi jamani ,???? Endelea ulipoishia ongeza chorus zaidi awamu zimeongezeka watu sahizi 😢😊😅😮😮😊😊 ubashiri waanz ,ubarikiwe mtumishi wa mungu.

  • @BarugizeJustine
    @BarugizeJustine 9 месяцев назад +3

    Dah😢😢😢 tutakukumbuka sana rais wetu hayat jpm mungu azidi kukupumzisha salama..

  • @GodwinMgongo-xi2bm
    @GodwinMgongo-xi2bm Год назад +4

    Umetisha Sana mcha mungu ubalikiwe

  • @euginemudaki4805
    @euginemudaki4805 10 месяцев назад +3

    Ni Antony Mejah Kutoto kutoka Kenya, napenda wimbo huo, Nina imani Mwenyezi Mungu atanijalia kuwa Rais wa Kenya siku moja. Amina.

  • @LucasArmandoArmando-wl3bt
    @LucasArmandoArmando-wl3bt День назад

    kwa Kweli wimbo huu unaujumbe sana

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi1059 6 часов назад

    Huu wimbo umenigusa licha mm sio mtanzania ila nakumbuka tulipo hingia Tanzania kwakua 1966 mkapa ndo yupo ushiwani wazazi kipindi icho wanahiyombea inchi yangu ya Kongo iwe na amani kama Tanzania ili turudi nyumbani, Mungu ikumbuke RDCongo ikumbuke pua TZ pamoja na bara letu pendwa Africa leo machafuko yapo mahali pote ila tukumbuke siwezi penda nyumba ya jirani iwe na machozi na mm niwe na machozi nani atahifazi mwegine 😢😢😢😢😢😢😢

  • @roydakedmon5887
    @roydakedmon5887 6 дней назад +3

    Kuna mtu kapost hii video ikanivutia sana

  • @richardesnath9822
    @richardesnath9822 8 часов назад

    well done Mtumishi wa Mungu

  • @PascalKahango
    @PascalKahango 4 дня назад

    Ameimba vzr sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @UlumbiAthumani-i8l
    @UlumbiAthumani-i8l 3 дня назад

    Tunaomba utusaidie mungu

  • @stewardjohans9989
    @stewardjohans9989 11 месяцев назад +2

    Bora magufuli piaa ❤ much love

  • @rahmaally9159
    @rahmaally9159 2 месяца назад +2

    Bora hayati magufu 🙏

  • @jumasaimon8647
    @jumasaimon8647 2 года назад +4

    Ubarikiwe uzidi sana sana katika huduma mwana wa misholi

  • @BeatriceMassae
    @BeatriceMassae 7 часов назад

    Bora

  • @EliaPundugu
    @EliaPundugu День назад

    Nabarikwa. Sana Mtumish wa mungu

  • @emmanuelselikali8784
    @emmanuelselikali8784 5 дней назад

    Bora hayati jpm

  • @minaaaldo.1510
    @minaaaldo.1510 6 дней назад +1

    huu utabiri kabisa

  • @PriscaMwinjuma
    @PriscaMwinjuma 9 часов назад

    Shida watanzani ni waoga kila mtu anatetea uhai wetu, wakati inatakiwa tupiganie vizazi vinavyokuja tukiendelea kulea na kuogopa tunaisha haswa wanyonge

  • @williamraymond5006
    @williamraymond5006 Год назад +5

    😭😭😭🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @KenyanopinionTV
    @KenyanopinionTV 11 месяцев назад +4

    Too bad Tanzanians didn't see that God was warning them about Jakaya Kikwete's administration. The man obliterated Tanzania and Maghufuli tried to repair the broken nation and some itchy person had to get him out of the way. Suluhu today is no solution and Tanzania has to sing... Bora hayati nyerere, bora mweshimiwa mwinyi, bora mweshimiwa mkapa, bora mweshimiwa pombe,... Pole sana ndugu zangu watanzania. Twawapenda toka Kenya.

    • @jamcomeir8503
      @jamcomeir8503 7 месяцев назад +1

      We nawe pita hivi...kwani hiyo nyimbo si alikuwa anaomba kiongozi ataelinda amani au hujasikiliza ujumbe wa nyimbo....haya kuna vita imetokea kwenye utawala wa kikwete? Pambaneni na hali zenu

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz 6 дней назад +1

      We nae ni matako ya kuku nini,kama kuna Rais aliinua uchumi wa Tanzania ni Kikwete.Katika kipindi cha Kikwete hakukua na utekaji na wapinzani walipewa haki ya kukosoa huyo JpM kipindi chake watu wengi walipotea.

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz 6 дней назад +1

      We nae ni matako ya kuku nini,kama kuna Rais aliinua uchumi wa Tanzania ni Kikwete.Katika kipindi cha Kikwete hakukua na utekaji na wapinzani walipewa haki ya kukosoa huyo JpM kipindi chake watu wengi walipotea.

  • @jacklineurmi2564
    @jacklineurmi2564 Год назад +3

    Amani ipatikane kwa nchi zote

  • @elienteziryayo3767
    @elienteziryayo3767 11 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri sana muwufanye cover muongeze magufuli kwajuu uyu wimbo umetoka zamani mbele magufuli atawale

  • @rich_kidd36
    @rich_kidd36 4 дня назад

    Uliyo yyaimba yametukata 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🇹🇿😭

  • @41970
    @41970 5 дней назад

    Amani amani🇹🇿🇹🇿

  • @AnisiaKamala-nq1yk
    @AnisiaKamala-nq1yk 11 месяцев назад +2

    Mungu ibark Tanzania ata inch zingine🙏🙏🙏😁

  • @mteimwanafedha7470
    @mteimwanafedha7470 4 дня назад

    Niko hapa

  • @FelixKiomoka
    @FelixKiomoka 11 месяцев назад +1

    Bora Nyerere Bora mwinyi Bora mkapa Bora ayati magufuli😢😢😢 ao wengine wapite ivii☹️

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 6 дней назад +1

    Tunahiitajiiii amaniii Tz yetuu 😢😢😢😢mungu tusaidiee

  • @Emmanuel-b4g1n
    @Emmanuel-b4g1n Месяц назад +2

    Hakika wimbo huu wani bariki,na wanihimiza kwa maombi.🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @ernestnehemia3839
    @ernestnehemia3839 6 дней назад +1

    🙏

  • @morismwandogo8595
    @morismwandogo8595 9 месяцев назад +2

    This song reminds me of my late father!! 2006 as we were always listening to our small radio.

  • @RachaelNyerere-tt6qz
    @RachaelNyerere-tt6qz 7 дней назад +1

    😭😭😭 napenda hii wimbo sana I wish Kenya kungekuwa hivi aky tungekuwa mbali ki financial

  • @owdenlukuwi4696
    @owdenlukuwi4696 5 дней назад

    Utabiri

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 11 месяцев назад +3

    Bora magu

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 месяца назад +1

    toa mwingine pastor abiud

  • @AdamuMwaipopo
    @AdamuMwaipopo 5 месяцев назад +1

    Barikiwa mtumishi

  • @ByaruremaRuhanduka
    @ByaruremaRuhanduka 4 месяца назад +1

    Nawewe muislamu tu chagiaa bambu

  • @alexapinde235
    @alexapinde235 Год назад +3

    much respect to you man of God💪🕊

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 23 дня назад +1

    nmependa huu wimbo uimbwe kila mahal ili watu wauckie..

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 5 дней назад +1

    ❤ Tell your leader to stop assassination and massacre.

  • @josephtula5525
    @josephtula5525 11 месяцев назад +1

    Na tunalia kweli maana hatuelewi nchi inaendaje kwa sasa 😢😢

  • @jimohkirax919
    @jimohkirax919 2 года назад +3

    It's true

  • @apostlekwfrancis1516
    @apostlekwfrancis1516 2 года назад +3

    True

  • @creidahenry3915
    @creidahenry3915 2 года назад +2

    Kabisa

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 Год назад

      Na MAGU JAMANI RP😥😥😥

  • @sostomc
    @sostomc 9 месяцев назад

    Kenya tunasema bora hayati Kibaki, wengine ni machozi tu.

  • @uwezomlamu
    @uwezomlamu 11 месяцев назад +1

    2023 ❤❤❤

  • @abelnegolazaro2382
    @abelnegolazaro2382 6 дней назад +1

    ulitabili yatakayo Kuja kutokea nchini

  • @josephineateka343
    @josephineateka343 2 года назад +2

    True 🙏🙏🙏🙏

  • @rahmaally9159
    @rahmaally9159 2 месяца назад

    Tanzania nchi yangu 🙏tunaomba amani 🙏

  • @LITTACUEA
    @LITTACUEA 6 дней назад

    Amani ni jambo bora sana

  • @emilianamtundu3426
    @emilianamtundu3426 8 месяцев назад

    😢😢😢 magufuli

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 4 дня назад

    Mimi nipo apa leo 14/09/2024 ..

  • @CostantineMashaka
    @CostantineMashaka 6 дней назад +2

    Bora rais magufuri

  • @hildamakoi4906
    @hildamakoi4906 8 месяцев назад

    Mungu ibariki Tanzania 🎉

  • @elishambise-qz1cx
    @elishambise-qz1cx 6 месяцев назад

    bora angekuwa rais lowasa naimani tungekuwa mbali wa tz

  • @ZainathShemhina
    @ZainathShemhina 6 месяцев назад

    Bora mkapa

  • @michaelmulwa965
    @michaelmulwa965 6 месяцев назад

    Be blessed brother you songs touch me alot

  • @JeremiaMnanka
    @JeremiaMnanka Месяц назад

    Kandayaziwa hua tunatoa viongozi makinisana

  • @washingtoneonyango3457
    @washingtoneonyango3457 6 месяцев назад

    Bora yake Magufuli

  • @lucasbedson-w8h
    @lucasbedson-w8h 6 дней назад

    bola magufuli

  • @estermmafie1758
    @estermmafie1758 День назад

    19 years ago

  • @washingtoneonyango3457
    @washingtoneonyango3457 6 месяцев назад

    Mi ni Muislamu lakini napenda hii nyimbo ya amani

  • @LubaagaDatius
    @LubaagaDatius Год назад

    Thank you so much

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад

    Hivi wewe abiudi uliomba tulare raisi msenge kama kikwete una akili timamu kweli

    • @jamcomeir8503
      @jamcomeir8503 7 месяцев назад +2

      Kwani ujumbe wa hiyo nyimbo umelenga nini....yeye kaomba Rais ambae ataelinda amani au kwa Kikwete tulipigana vita?

  • @simonlomayani5743
    @simonlomayani5743 Год назад +11

    Bora hayati magufuli

    • @MeshackNgereja
      @MeshackNgereja 6 дней назад

      tutamkumbuka sana mtumishi huyu wa mungu kwa wimbo huu ilihubiri amani kweli