Ee mungu wangu medrick sanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 183

  • @DanielPeter-h8n
    @DanielPeter-h8n Месяц назад +38

    Nani yuko hapa 2025 gonga laik ili nirudi tena kuskiliza wimbo huu mzuri

  • @AngelMgonja
    @AngelMgonja 15 дней назад +13

    Anyone here 2025 lets praise GOD😊

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 2 месяца назад +27

    Nakumbuka wakati namalizia shule ya msingi mwaka 2008 huu wimbo hakika ulikuwa!!! Hadi leo hii ni mpya!!! Amen, Bwana Yesu Kristo asifiwe!! Nampenda Bwana Yesu!!!

    • @ChristopherMuganda-c9s
      @ChristopherMuganda-c9s 2 месяца назад +2

      KWELI YA KALE NI DHAABU:Sauti nzuri na tamu ya kumtukuza MUNGU. Sijui yuko wapi huyu mtumishi wa MUNGU? Kama bado yu hai ABARIKIWE SANA.

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 2 месяца назад +1

      @ChristopherMuganda-c9s yuko hai, anakula vitu vinono.

    • @neicoltd3496
      @neicoltd3496 Месяц назад

      Wakati huo wimbo ulikuwa umeshatoka kitambo. Huu wimbo ni wa kati ya 1999 au 2000

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f Месяц назад

      @neicoltd3496 hapana, si kweli, huu wimbo ulitoka mwaka 2007

    • @leoncematara284
      @leoncematara284 25 дней назад

      Qq

  • @MamaJanet-e2r
    @MamaJanet-e2r 2 месяца назад +15

    Asante Sana ndugu nikiuskia wimbo uuu nakumbka mbari nilipotokea namateso ya dunia iiiii

  • @PonsionoMamboleo
    @PonsionoMamboleo 2 месяца назад +11

    Ilinipa nguvu sana 2008..nikiwa nimekata tamaa sana....miaka mitano mbele nikakutana na Medrick Sanga live chuoni RUCO getting, nilifurah sana nikaomba kumshika mkono....baraka teele na upako, sintosahau......my best song ever...."ee Mungu wangu...mbona umeniacha.......Mungu wangu uko wapi.....

  • @realscholarships-bolde.2344
    @realscholarships-bolde.2344 7 дней назад +2

    This song reminds me in 2010 😊😊, of our tenant she liked to play this song, God bless her wherever she is🎉🎉🎉

  • @IreneMsile
    @IreneMsile Месяц назад +6

    Nasikia amani hata kama nina huzuni hii nyimbo inanibariki barikiwa sana❤❤

  • @ZainabuMagari-e1i
    @ZainabuMagari-e1i Месяц назад +7

    Huu wimbo naaza nao mwaka jaman unanifariji sana

  • @MariamKarembo
    @MariamKarembo 12 дней назад +1

    Huu wimbo naupenda sana❤❤❤❤ ninapopitia kipindi kigumu unanifariji moyo wangu😊😊🙏

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 2 месяца назад +8

    Yuko wap jaman medrick sanga, wimbo wa hisia Sana ❤❤❤❤

  • @MD4099-f2y
    @MD4099-f2y День назад

    This song reminds my Grandma liked to play dis song wen we’re little kido. You are blessed MEDRICK SANGA….RIP MY GRANDMA ❤

  • @Aminatomas-q4u
    @Aminatomas-q4u 11 дней назад +1

    T❤❤❤❤pamoja sana kaka

  • @ObadiaNiyomwungere-ee1jl
    @ObadiaNiyomwungere-ee1jl 2 месяца назад +3

    I'm from burundi asate sana hiyi wimbo ndayikunda cane

  • @AlisiaMagezi
    @AlisiaMagezi 2 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi umenikumbusha mbali sana jamani Medrick Sanga Mungu awe nawe daima

  • @Suleimanhakimu
    @Suleimanhakimu Месяц назад +1

    🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤maneno mazuri yakumtukuza mungu na kumsifu wakati wakuhitaji msaada hongera barikiwa kwa Neema uliyonayo ktk kristo yesu ,pia huu wimbo unanikumbusha jambo fulani

  • @Chrismadiba1
    @Chrismadiba1 Месяц назад +2

    Mungu akubariki medrick kwa ujumbe huu unanifaliji kwa mateso ninay pitia n meng sana naiman ipo siku yataisha

  • @UpendoDavid-c9p
    @UpendoDavid-c9p 8 дней назад +1

    Mimi niko hapa unanifariji sina nateseka

  • @JosephMayala-s6m
    @JosephMayala-s6m 2 месяца назад +4

    It reminds me of my past!... I had unknown life, I had nothing to posses nothing to give but thanks to God now atleast I have smartphone I can watch this song over and over again😢 in my own

  • @ebenezerdavid10
    @ebenezerdavid10 2 месяца назад +49

    Who is Listening Till 2024!!😊

  • @ShukranKasiano
    @ShukranKasiano Месяц назад +4

    mungu mwema abarikiw kama man duuu 2024 tunaicha siku sinyingi mungu saidy famly yangu amin

  • @elizabethrichard7694
    @elizabethrichard7694 Месяц назад +2

    Hii nyimbo inanikumbusha mwaka 2011 nimejifungua kwa op nipo hoi kitandani nipo nusu mtu nusu mfu nilikuwa naisikiliza mala kwa mala aipiti siku nasikiliza ata mala 5 Mungu nimwema leo bado siku 5 niingie 2025 namshukuru sana Mungu

  • @amandokanondo4734
    @amandokanondo4734 2 месяца назад +3

    Merrick mungu akubariki ulitilia sana huu wimbo

  • @RashidMahemba
    @RashidMahemba Месяц назад

    med daaa unanikumbusha mbal sana kwa hii nyimbo mungu akubaliki

  • @AlexNgoka-z3n
    @AlexNgoka-z3n 8 дней назад +1

    Uduma nzur sana mungu awenawe

  • @HeriDotto
    @HeriDotto Месяц назад +1

    Asante kwa shukulani maana nimeukumbuka sana bado nikiwa mdogo baba angu alikua anupenda sana❤❤❤❤❤

  • @FadhiliMdetele
    @FadhiliMdetele 8 дней назад +1

    Who is listening till 2024!!❤❤

  • @SelinaChikawe
    @SelinaChikawe 10 дней назад +1

    Nimenyang'anywa kilakitu na familia sina pakukimbilia kupitiawimbo huu naomba faraja kwako munguwangu

  • @EDITHACHINGUILE
    @EDITHACHINGUILE 3 дня назад +1

    Jamani nilikuwa naipenda hii albam nzima niliisikiliza toka 2011 kama sikosei

    • @barakacmwanza
      @barakacmwanza 2 дня назад

      Mie tangu 2008 kipindi nikiwa pale pale makongolos, lakini hadi leo ni ❤

  • @hammerymachogu3885
    @hammerymachogu3885 2 месяца назад +1

    Mtumishi Sanga uko wap hatusikii tena huduma yake ,ukitugusa sana nakumbuja chuoni Moshi Muccobs, pia sumbawanga, zaidi nashukuru nilikuona live mbeya, barikiwa sana .pls km upo nchi toa wimbo mana nilisikia kuwa umeona mzungu yawezekana uko nje ya nchi

  • @AgnessIlumba
    @AgnessIlumba 2 месяца назад +2

    Naupenda sana huo wimbo ubalikiwe sana

  • @BarakaEdna
    @BarakaEdna 2 месяца назад +4

    Huu niliutafuta sana hatimaye nimeupata ahsanteni kwa kuu post Mwenyezi Mungu amubariki huyu baba na ampe maisha marefu

  • @NdayiOnesime
    @NdayiOnesime 10 дней назад +2

    Nice 👍👍👍😢😢🎉

  • @PoulNenula
    @PoulNenula 23 дня назад

    Safi kaka Mungu akubariki

  • @IreneMsile
    @IreneMsile Месяц назад +1

    Nyimbo yangu pendwa ❤❤❤❤

  • @RAIVONMWAKALANJE
    @RAIVONMWAKALANJE Месяц назад

    Kaka angu medercki sanga mungu akubaliki sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara natamani utohe nyimbo mpya lakini nakuona ukobize mikutano mingi sana lakini mwaka 2025 lazima tutohe nyimbo ya pamoja nimmi raivon mwakalanje mdogo wako ninaimani tutafanya ivyo kaka mungu atupe uzima tuuu

  • @edithanicodemu8690
    @edithanicodemu8690 Месяц назад +3

    Maneno ya faraja sana Mungu uko wapi

  • @hamzarobert2372
    @hamzarobert2372 6 дней назад

    ❤❤Amina sanga ubarikiwe

  • @apollobupolo9884
    @apollobupolo9884 6 месяцев назад +4

    Ila ubarikiwe sana jamani wimbo naupenda sana

  • @Mary-z5i1s
    @Mary-z5i1s 2 месяца назад +2

    Mungu wangu uko wapi mi mwanao ninakutafuta🙏🙏🙏❤️❤️

  • @JamesmiliaOloulu
    @JamesmiliaOloulu 2 месяца назад +1

    Amen barikiwa sana ulie weka huu wimbo RUclips

  • @IbrahimSawaya
    @IbrahimSawaya 20 дней назад

    Reo wasanii wakuiga karama hii hawapo jamani❤❤❤❤

  • @IsayaKitaly-n9u
    @IsayaKitaly-n9u 2 месяца назад

    Barikiwa mtumishi kwa nyimboo nzurii❤❤❤

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 Месяц назад

    Mama Simo Bushebele nimewaona hongereni kwa kazi karibuni Dodoma

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 Месяц назад

    Amen 🙏 mi na kuicha choka sana na ka Tama si June pa kinda tena wala Kimbilio ❤

  • @FaridahRashid-j1t
    @FaridahRashid-j1t Месяц назад

    Mungu wewe ni mungu.Kwa ukweli huu wimbo unanikumbusha wakati kila mtu alinikataa

  • @OrestaNgingo
    @OrestaNgingo 4 месяца назад +2

    Mungu akubalik San huu wimbo

  • @alexfongnimubona1409
    @alexfongnimubona1409 4 месяца назад +3

    Nagupenda sana mungu akongezeye nguvusana

  • @BilhudaBakari-b3b
    @BilhudaBakari-b3b 2 месяца назад +1

    Naupendasanawimbohuu.bwanaapewesifa

  • @IreneKamwaya
    @IreneKamwaya Месяц назад

    Daaah hiii nyimbo inanifanyagaa nitoe chozi

  • @samsonchacha7108
    @samsonchacha7108 2 месяца назад +1

    The song made my year,when I was completing my form four 2008

  • @EMANULIPETRO
    @EMANULIPETRO 2 месяца назад +4

    Kwel nimekumbuka mbl sana yan bas2

  • @NakazibweMadinah-o8l
    @NakazibweMadinah-o8l Месяц назад

    Mungu akulinde mahana wimbo huu unanikumbusha mbali

  • @JumaMatiko-zp5nm
    @JumaMatiko-zp5nm 2 месяца назад +1

    Nilibarikiwa na hii nyimbo mwaka 2007.it was the time I can't forget this song.

  • @JohnMontana-c9p
    @JohnMontana-c9p 2 месяца назад +4

    Huu wimbo niwa imani sana

  • @DianeNdayisenga-u9t
    @DianeNdayisenga-u9t 3 месяца назад +4

    Amina baba barikiwa sana

  • @barakangobito4392
    @barakangobito4392 2 месяца назад +6

    Wacha tuendelee kusikiliza ujumbe huu mzuri 2024

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana wimbo huu unanitia nguvu naimani tele

  • @Bizzo08
    @Bizzo08 Месяц назад

    nafunga nayo mwaka🙏🙏🙏🙏

  • @VeronikaEzekieli
    @VeronikaEzekieli Месяц назад

    Huu wimbo amiimbia mm,balikiwa sana kaka

  • @atnasijacob9410
    @atnasijacob9410 27 дней назад +5

    Who is listening till 2025

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 2 месяца назад

    Mungu muweke mahali pema pepon Amina!!!!!!!!!

  • @innocentebarnabas4615
    @innocentebarnabas4615 Месяц назад

    ❤❤❤asnte sana

  • @paulliganga2051
    @paulliganga2051 2 месяца назад +1

    Mungu ni muweza wa yote.Amen.

  • @PaschalJohn-h6x
    @PaschalJohn-h6x 23 дня назад

    Nabarikiwa na wimbo huu

  • @mbaralidc1404
    @mbaralidc1404 5 месяцев назад +3

    Kila asubuhi kabla ya kazini na baada ya kazini, kabla ya kulala lazima nisikilize huu wimbo❤

  • @RashidMahemba
    @RashidMahemba Месяц назад

    Nakumbuka sana na Ile alubam ya kwanza kkt makonglos alikuwepo na dada sifa

  • @QchiefuBarnaba-u3q
    @QchiefuBarnaba-u3q 2 месяца назад +1

    Kitambo sana dh nimekumbuka mbali sana

  • @FatumaYassini-rp5zu
    @FatumaYassini-rp5zu Месяц назад +1

    Ata mm nakumbuka Mbari sana

  • @StellaMgaya-i8h
    @StellaMgaya-i8h Месяц назад +1

    Mungu amubariki sana

  • @AgnessCharlz
    @AgnessCharlz Месяц назад

    Nakumbuka mwaka 2009 niliusikuliza kwenye bas nikiwa naenda mbeya ❤

  • @Milianemy
    @Milianemy Месяц назад +1

    Hatimae huu wimbo leo nimeupata🙏🙏🙏🙏

  • @AyubuSumuni-e8n
    @AyubuSumuni-e8n 18 дней назад

    Nimekumbuka mbali sana

  • @SelinaHankungwe
    @SelinaHankungwe 2 месяца назад

    Ubarikiwe medrik sanga🎉

  • @rozaliabaraka8589
    @rozaliabaraka8589 Месяц назад

    Wimbo huu ni baraka kweli kwa Kila mtu

  • @barakamando2706
    @barakamando2706 52 минуты назад

    Mungu akupe Maisha mazuri

  • @Emmiz_boy
    @Emmiz_boy 23 дня назад

    Hii nyimbo hatimaye nimeipata jamani😭😭😭😭

  • @AggyMaghuwa
    @AggyMaghuwa Месяц назад +1

    nimekumbuka nilikua nasikiza wimbo huu ulinijega sana wakati ukuta wa nyumba ulipo poromoka lakini nikatoka salama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @JohnWilliam-f1k
    @JohnWilliam-f1k 2 месяца назад +1

    Mr Sanga unakubalika vilivyo

  • @collinskhaemba7525
    @collinskhaemba7525 4 месяца назад +3

    Ubarikiwe sana

  • @JawilaAbdul
    @JawilaAbdul 3 месяца назад +1

    Amin bba barikiw san

  • @jescaherry2389
    @jescaherry2389 16 дней назад

    Forever best song

  • @dancanbarasa5596
    @dancanbarasa5596 2 месяца назад

    Subscriber number 1000

  • @PaskaliIndae-k8p
    @PaskaliIndae-k8p 2 дня назад

    Medreck noma sana

  • @jamilamwangangi6199
    @jamilamwangangi6199 День назад

    Who else is here 2025 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @elifazmpozayo2930
    @elifazmpozayo2930 2 месяца назад

    Nmekumbuka mbali sana
    🙏🙏🙏

  • @JuniorMakala-m1u
    @JuniorMakala-m1u 28 дней назад

    ❤mungu awakumbuke

  • @YusuphZebedayo-u4j
    @YusuphZebedayo-u4j 16 дней назад

    Why im crying 🙏🙏🙏

  • @SonsShop-j8o
    @SonsShop-j8o 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe baba

  • @anastaziaAmos-e2i
    @anastaziaAmos-e2i 5 месяцев назад

    🔥🔥 audio tafadhalii 🙏🙏

  • @wafiiwaii-v1d
    @wafiiwaii-v1d Месяц назад

    Amen 🙌🙌

  • @VeronicaMachimu
    @VeronicaMachimu 5 месяцев назад +3

    Kila nikiwa na changamoto yoyte napenda sana kusikiliza huu wimbo

    • @LydiaJaphet-bl4df
      @LydiaJaphet-bl4df  5 месяцев назад

      Ukwel kabisa dada ,unakuwa na matumaini barikiwa sana

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 2 месяца назад

    Nimekumbuka mbali Sana.

  • @JuliethMabuga
    @JuliethMabuga 22 часа назад

    Am here 2025❤❤❤

  • @EDITHACHINGUILE
    @EDITHACHINGUILE 3 дня назад

    Mwenye kujua yuko wapi jmn arudi tena

  • @AnjelaMichael-cn9rg
    @AnjelaMichael-cn9rg 4 месяца назад +1

    Forever old is gold 🤲🏻🤲🏻

  • @dinessaikong4164
    @dinessaikong4164 Месяц назад

    Who is here on 31st December 2024 8:05am
    Tunamaliza mwaka kwa Ushindii

  • @EbeleEugenie
    @EbeleEugenie 2 месяца назад +2

    Maneno matamu Sana
    Mungu aku bariki

  • @IreneZablon-kq9wf
    @IreneZablon-kq9wf 10 дней назад

    2025 tupo apa kweli Mungu alikuwepo

  • @SesiliaIsaya
    @SesiliaIsaya Месяц назад

    Ok powa

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 Месяц назад

    Dunia ni Haramu kueli Dunia Ni Buchungu , Ni Machozi ya Kilasiku