Nakumbuka wakati namalizia shule ya msingi mwaka 2008 huu wimbo hakika ulikuwa!!! Hadi leo hii ni mpya!!! Amen, Bwana Yesu Kristo asifiwe!! Nampenda Bwana Yesu!!!
Ilinipa nguvu sana 2008..nikiwa nimekata tamaa sana....miaka mitano mbele nikakutana na Medrick Sanga live chuoni RUCO getting, nilifurah sana nikaomba kumshika mkono....baraka teele na upako, sintosahau......my best song ever...."ee Mungu wangu...mbona umeniacha.......Mungu wangu uko wapi.....
🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤maneno mazuri yakumtukuza mungu na kumsifu wakati wakuhitaji msaada hongera barikiwa kwa Neema uliyonayo ktk kristo yesu ,pia huu wimbo unanikumbusha jambo fulani
It reminds me of my past!... I had unknown life, I had nothing to posses nothing to give but thanks to God now atleast I have smartphone I can watch this song over and over again😢 in my own
Hii nyimbo inanikumbusha mwaka 2011 nimejifungua kwa op nipo hoi kitandani nipo nusu mtu nusu mfu nilikuwa naisikiliza mala kwa mala aipiti siku nasikiliza ata mala 5 Mungu nimwema leo bado siku 5 niingie 2025 namshukuru sana Mungu
Mtumishi Sanga uko wap hatusikii tena huduma yake ,ukitugusa sana nakumbuja chuoni Moshi Muccobs, pia sumbawanga, zaidi nashukuru nilikuona live mbeya, barikiwa sana .pls km upo nchi toa wimbo mana nilisikia kuwa umeona mzungu yawezekana uko nje ya nchi
Kaka angu medercki sanga mungu akubaliki sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara natamani utohe nyimbo mpya lakini nakuona ukobize mikutano mingi sana lakini mwaka 2025 lazima tutohe nyimbo ya pamoja nimmi raivon mwakalanje mdogo wako ninaimani tutafanya ivyo kaka mungu atupe uzima tuuu
Nani yuko hapa 2025 gonga laik ili nirudi tena kuskiliza wimbo huu mzuri
😅🎉
🙌🙌🔥
Anyone here 2025 lets praise GOD😊
Nakumbuka wakati namalizia shule ya msingi mwaka 2008 huu wimbo hakika ulikuwa!!! Hadi leo hii ni mpya!!! Amen, Bwana Yesu Kristo asifiwe!! Nampenda Bwana Yesu!!!
KWELI YA KALE NI DHAABU:Sauti nzuri na tamu ya kumtukuza MUNGU. Sijui yuko wapi huyu mtumishi wa MUNGU? Kama bado yu hai ABARIKIWE SANA.
@ChristopherMuganda-c9s yuko hai, anakula vitu vinono.
Wakati huo wimbo ulikuwa umeshatoka kitambo. Huu wimbo ni wa kati ya 1999 au 2000
@neicoltd3496 hapana, si kweli, huu wimbo ulitoka mwaka 2007
Qq
Asante Sana ndugu nikiuskia wimbo uuu nakumbka mbari nilipotokea namateso ya dunia iiiii
Ilinipa nguvu sana 2008..nikiwa nimekata tamaa sana....miaka mitano mbele nikakutana na Medrick Sanga live chuoni RUCO getting, nilifurah sana nikaomba kumshika mkono....baraka teele na upako, sintosahau......my best song ever...."ee Mungu wangu...mbona umeniacha.......Mungu wangu uko wapi.....
This song reminds me in 2010 😊😊, of our tenant she liked to play this song, God bless her wherever she is🎉🎉🎉
Nasikia amani hata kama nina huzuni hii nyimbo inanibariki barikiwa sana❤❤
Huu wimbo naaza nao mwaka jaman unanifariji sana
Huu wimbo naupenda sana❤❤❤❤ ninapopitia kipindi kigumu unanifariji moyo wangu😊😊🙏
Yuko wap jaman medrick sanga, wimbo wa hisia Sana ❤❤❤❤
This song reminds my Grandma liked to play dis song wen we’re little kido. You are blessed MEDRICK SANGA….RIP MY GRANDMA ❤
T❤❤❤❤pamoja sana kaka
I'm from burundi asate sana hiyi wimbo ndayikunda cane
Ubarikiwe sana mtumishi umenikumbusha mbali sana jamani Medrick Sanga Mungu awe nawe daima
🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤maneno mazuri yakumtukuza mungu na kumsifu wakati wakuhitaji msaada hongera barikiwa kwa Neema uliyonayo ktk kristo yesu ,pia huu wimbo unanikumbusha jambo fulani
Mungu akubariki medrick kwa ujumbe huu unanifaliji kwa mateso ninay pitia n meng sana naiman ipo siku yataisha
Mimi niko hapa unanifariji sina nateseka
It reminds me of my past!... I had unknown life, I had nothing to posses nothing to give but thanks to God now atleast I have smartphone I can watch this song over and over again😢 in my own
Who is Listening Till 2024!!😊
am here till 2050
amen
mungu mwema abarikiw kama man duuu 2024 tunaicha siku sinyingi mungu saidy famly yangu amin
Hii nyimbo inanikumbusha mwaka 2011 nimejifungua kwa op nipo hoi kitandani nipo nusu mtu nusu mfu nilikuwa naisikiliza mala kwa mala aipiti siku nasikiliza ata mala 5 Mungu nimwema leo bado siku 5 niingie 2025 namshukuru sana Mungu
Merrick mungu akubariki ulitilia sana huu wimbo
med daaa unanikumbusha mbal sana kwa hii nyimbo mungu akubaliki
Uduma nzur sana mungu awenawe
Asante kwa shukulani maana nimeukumbuka sana bado nikiwa mdogo baba angu alikua anupenda sana❤❤❤❤❤
Who is listening till 2024!!❤❤
Nimenyang'anywa kilakitu na familia sina pakukimbilia kupitiawimbo huu naomba faraja kwako munguwangu
Jamani nilikuwa naipenda hii albam nzima niliisikiliza toka 2011 kama sikosei
Mie tangu 2008 kipindi nikiwa pale pale makongolos, lakini hadi leo ni ❤
Mtumishi Sanga uko wap hatusikii tena huduma yake ,ukitugusa sana nakumbuja chuoni Moshi Muccobs, pia sumbawanga, zaidi nashukuru nilikuona live mbeya, barikiwa sana .pls km upo nchi toa wimbo mana nilisikia kuwa umeona mzungu yawezekana uko nje ya nchi
Naupenda sana huo wimbo ubalikiwe sana
Huu niliutafuta sana hatimaye nimeupata ahsanteni kwa kuu post Mwenyezi Mungu amubariki huyu baba na ampe maisha marefu
Nice 👍👍👍😢😢🎉
Safi kaka Mungu akubariki
Nyimbo yangu pendwa ❤❤❤❤
Kaka angu medercki sanga mungu akubaliki sana mtumishi uzidi kupata kibali kila mara natamani utohe nyimbo mpya lakini nakuona ukobize mikutano mingi sana lakini mwaka 2025 lazima tutohe nyimbo ya pamoja nimmi raivon mwakalanje mdogo wako ninaimani tutafanya ivyo kaka mungu atupe uzima tuuu
Maneno ya faraja sana Mungu uko wapi
❤❤Amina sanga ubarikiwe
Ila ubarikiwe sana jamani wimbo naupenda sana
Mungu wangu uko wapi mi mwanao ninakutafuta🙏🙏🙏❤️❤️
Amen barikiwa sana ulie weka huu wimbo RUclips
Reo wasanii wakuiga karama hii hawapo jamani❤❤❤❤
Barikiwa mtumishi kwa nyimboo nzurii❤❤❤
Asante sana unanikumbusha mbali
Mama Simo Bushebele nimewaona hongereni kwa kazi karibuni Dodoma
Amen 🙏 mi na kuicha choka sana na ka Tama si June pa kinda tena wala Kimbilio ❤
Mungu wewe ni mungu.Kwa ukweli huu wimbo unanikumbusha wakati kila mtu alinikataa
Mungu akubalik San huu wimbo
Nagupenda sana mungu akongezeye nguvusana
Naupendasanawimbohuu.bwanaapewesifa
Daaah hiii nyimbo inanifanyagaa nitoe chozi
The song made my year,when I was completing my form four 2008
Kwel nimekumbuka mbl sana yan bas2
Mungu akulinde mahana wimbo huu unanikumbusha mbali
Nilibarikiwa na hii nyimbo mwaka 2007.it was the time I can't forget this song.
Huu wimbo niwa imani sana
Amina baba barikiwa sana
Wacha tuendelee kusikiliza ujumbe huu mzuri 2024
Ubarikiwe Sana wimbo huu unanitia nguvu naimani tele
nafunga nayo mwaka🙏🙏🙏🙏
Huu wimbo amiimbia mm,balikiwa sana kaka
Who is listening till 2025
❤
Mungu muweke mahali pema pepon Amina!!!!!!!!!
❤❤❤asnte sana
Mungu ni muweza wa yote.Amen.
Nabarikiwa na wimbo huu
Kila asubuhi kabla ya kazini na baada ya kazini, kabla ya kulala lazima nisikilize huu wimbo❤
Ameeen
Nakumbuka sana na Ile alubam ya kwanza kkt makonglos alikuwepo na dada sifa
Kitambo sana dh nimekumbuka mbali sana
Ata mm nakumbuka Mbari sana
Mungu amubariki sana
Nakumbuka mwaka 2009 niliusikuliza kwenye bas nikiwa naenda mbeya ❤
Hatimae huu wimbo leo nimeupata🙏🙏🙏🙏
Nimekumbuka mbali sana
Ubarikiwe medrik sanga🎉
Wimbo huu ni baraka kweli kwa Kila mtu
Mungu akupe Maisha mazuri
Hii nyimbo hatimaye nimeipata jamani😭😭😭😭
nimekumbuka nilikua nasikiza wimbo huu ulinijega sana wakati ukuta wa nyumba ulipo poromoka lakini nikatoka salama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mr Sanga unakubalika vilivyo
Ubarikiwe sana
Amin bba barikiw san
Forever best song
Subscriber number 1000
Medreck noma sana
Who else is here 2025 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nmekumbuka mbali sana
🙏🙏🙏
❤mungu awakumbuke
Why im crying 🙏🙏🙏
Ubarikiwe baba
🔥🔥 audio tafadhalii 🙏🙏
❤
Amen 🙌🙌
Kila nikiwa na changamoto yoyte napenda sana kusikiliza huu wimbo
Ukwel kabisa dada ,unakuwa na matumaini barikiwa sana
Nimekumbuka mbali Sana.
Am here 2025❤❤❤
Mwenye kujua yuko wapi jmn arudi tena
Forever old is gold 🤲🏻🤲🏻
Who is here on 31st December 2024 8:05am
Tunamaliza mwaka kwa Ushindii
Maneno matamu Sana
Mungu aku bariki
2025 tupo apa kweli Mungu alikuwepo
Ok powa
Dunia ni Haramu kueli Dunia Ni Buchungu , Ni Machozi ya Kilasiku