HOUSE GIRL EP 21 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024
  • #bongomovie
  • КиноКино

Комментарии • 1 тыс.

  • @busatitv
    @busatitv  2 дня назад +11

    *JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
    Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
    1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
    Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
    chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
    Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
    Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
    Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
    *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*

  • @AdijaWashuma
    @AdijaWashuma 2 дня назад +369

    Wanao mkubali Kai amuoe zuu gonga like

  • @OliverSanga-jw7cd
    @OliverSanga-jw7cd 2 дня назад +202

    Jamn leo zuu kafunguka wanao mkubali zuu gonga like hapa

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 2 дня назад +187

    Waliofurahia zuu alvyomjb candy. Nasbria likes zenu hapaa🎉❤

    • @RamadhanChaba
      @RamadhanChaba 2 дня назад +1

      Zuu kanifulaisha Sana kaupiga mwingi kwako Kai ❤❤❤❤❤ tunazipenda Kaz zenu jaman

    • @AsDg-zd4hg
      @AsDg-zd4hg 2 дня назад +1

      ❤❤❤❤❤

    • @AsDg-zd4hg
      @AsDg-zd4hg 2 дня назад +1

      ❤❤❤❤❤

    • @MwajuuIddi-we4wv
      @MwajuuIddi-we4wv 2 дня назад +1

      ❤❤❤

    • @DhenaAly
      @DhenaAly 2 дня назад +1

      ❤❤❤❤

  • @user-fh5ko7he2z
    @user-fh5ko7he2z 2 дня назад +132

    Simba Mpole ndio mla nyama hongera zuu kuwa jasiri kendi asikutambie, team zuu naomba like leo jamani na mm

  • @fettylove1561
    @fettylove1561 2 дня назад +120

    Wale wakuangalia uku tunasoma coment like apa❤😂

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika 2 дня назад +242

    Team zuu gonga like jameni❤❤

  • @WittyWitty-cc8rs
    @WittyWitty-cc8rs 2 дня назад +99

    Tujuwane tunaokubali Kai amuoe zuu like 10

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 дня назад +231

    Kama unahamin ndoa ya khai na zuuh kama itafungwa mwaga like zakutosha tusiache ata moja...😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @user-xr8qv9mw9v
    @user-xr8qv9mw9v 2 дня назад +139

    Wanao mkubali zuu weka like ndoa ipo au haipo❤❤❤

  • @FurahafutakazaGloria
    @FurahafutakazaGloria 2 дня назад +70

    Whaou ❤️ ❤️ nimewai naombeni like 👍 zenu natokea 🇨🇩

  • @omankafa1555
    @omankafa1555 2 дня назад +43

    Sijawah kutoa comment ila Leo zuuh wangu umenifurahisha sana kumjibu kendy

  • @Zenabeby
    @Zenabeby 2 дня назад +4

    Ila naomba izo dawa zisimshike Zuu juu analindwa na mizimu ya kwao au vpy jaman like bas😅

  • @VenilaSaria
    @VenilaSaria 2 дня назад +20

    Ndoa ya zuuu na Kai inafungwa haifungwi team zuuu gonga like za kutosha❤❤❤❤❤

  • @JosephineMbelwa-jy3qy
    @JosephineMbelwa-jy3qy 2 дня назад +28

    Nimependa Khai alivyomkumbatia zuu like jamani 😉😉🤗🤗🤗🎉❤❤

  • @NancyKadzo-zk3tp
    @NancyKadzo-zk3tp 2 дня назад +42

    nimekuwa wa tatu leo wap likes za zuu na kai much love froma kenya❤❤❤

  • @tausimct
    @tausimct 2 дня назад +21

    Jamani wezangu nyie muda wote mpo yutupu naombeni like zenu

  • @AdijaWashuma
    @AdijaWashuma 2 дня назад +26

    Daah zuu kajipa ujasir like kwa zuuu jaman

  • @essaqoffsett
    @essaqoffsett 2 дня назад +38

    Wakwanza mim naomba like zenu

  • @charitychadrek
    @charitychadrek 2 дня назад +29

    Nimewahi reo jamani tame zuu gongen like hapa❤

  • @ZabibusuphianialisuphianiAlly
    @ZabibusuphianialisuphianiAlly 2 дня назад +11

    Maweeeeee huko kwa mganga sasa ni fire 🔥😂😂team zuu kujeni na like Moja moja hapa😂🎉❤

  • @FattyDapetty-tj9vr
    @FattyDapetty-tj9vr 2 дня назад +27

    Sjachelewa Leo ulipo nipo nawapenda sana team zuuu tujuane sasa muv ndo inaanza mkuki kwa nguluwe 😂😂😂😂😂😂😂😂maua yenu hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 2 дня назад +20

    Mwisho wa ubaya ni aibu,utapamban na Bibi na Mungu pia maan Cheitwan hua hanalolote mbele ya Allah

  • @SuzannMukuna
    @SuzannMukuna 2 дня назад +57

    wakwanza kuona kutoka Mozambique naombeni likes zangu timu zuu❤❤❤❤❤❤

    • @nabillsuede1465
      @nabillsuede1465 2 дня назад

      Mimi piah nipo Mozambique 🇲🇿🇲🇿❤❤❤❤❤

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss 2 дня назад +20

    Wadau ndoa tunayo 🎉🎉🎉🎉 kend kwisha abali yake nipeni like zangu

  • @glorymhanga8718
    @glorymhanga8718 2 дня назад +26

    Candy ondokaaa mwache Kai ale Raha mama😅😅😅😅

  • @user-ls7ww5fg3y
    @user-ls7ww5fg3y 2 дня назад +17

    wanao mkubali zuu naombeni like zenu jmani 🇰🇪🇰🇪

  • @SalomeNkwabi-jy4nu
    @SalomeNkwabi-jy4nu 2 дня назад +12

    Candy kaa kwakutulia mmeo kashachukuliwa hvo😂😂😂😂 team zuuu wapi like ❤❤❤❤

  • @user-bm1oe9lh1m
    @user-bm1oe9lh1m 2 дня назад +26

    Nimewahi n mm leo naombn like Ata 2😢😢❤🎉

  • @AnnaBrown-on5oz
    @AnnaBrown-on5oz 2 дня назад +13

    Tunao jua ndoa ipo gonga like ❤❤❤❤

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg 2 дня назад +22

    Nimewahi jamani like zangu

    • @sommohd7903
      @sommohd7903 2 дня назад

      Jaman namie niwah Leo 😂

  • @user-qg7wx1ou5b
    @user-qg7wx1ou5b 2 дня назад +15

    Tunayo ifatilia house girl toka peased 1 adi leo 21 tujuane kwa like🎉🎉

  • @user-vf6on6xy5l
    @user-vf6on6xy5l 2 дня назад +21

    Kali sana Leo nimekuwa kwanza from Kenya kazi njema ,,, kongole🎉🎉🎉❤

  • @MauwaAsese
    @MauwaAsese 2 дня назад +35

    naombeni like zangu nipo USA hapana Leo nimekua namba moja

  • @FettyAbdallah-s1l
    @FettyAbdallah-s1l 2 дня назад +9

    Jaman tim zuuu naomben like zenu❤

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 2 дня назад +8

    Nikiwa Buja,Kai Ndoa tunayo ss tunasimama n,Allah,hico🎉 kikaragosi cako hakijiamini kilicezea shilingi kwenye tundu lacho, oyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 2 дня назад +15

    Mmmmmh!! Kila nikiona hii movie namkumbuka baby wangu jaman😢😢😢😢😢!! Zuu kabadilika amekuwa simba sasa🎉

  • @PhilosLove-cb1oj
    @PhilosLove-cb1oj 2 дня назад +17

    Mmmh uy candy anaroho mbay kwel

  • @nadyasabur8613
    @nadyasabur8613 2 дня назад +4

    Wao mashallah. Hongereni kazi mzur allah awasimamie 🤲

  • @glorymhanga8718
    @glorymhanga8718 2 дня назад +10

    Wapi team zuuuu😂😂😂😂mauwa yetu basi wakati wetu umewadia saaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 2 дня назад +6

    2naoikubal house girl na mafundsho yake nasbria likes zenu🎉🎉

  • @Jackiline-kw3zq
    @Jackiline-kw3zq 2 дня назад +11

    Wakwanza leo ❤❤ , mov tamu sana nawapenda sana

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary 2 дня назад +10

    Penzi jipya tam bhn gonga like km unakubal penzi jipya la kai

  • @Marry0-ce6vu
    @Marry0-ce6vu 2 дня назад +4

    Team Kai wanao mkubali amuoe zuu wapi likes❤❤❤

  • @RuthAkinyi-pq7ci
    @RuthAkinyi-pq7ci 2 дня назад +10

    Zuu kafanya jambo poa👍❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Marrymboya-cl9io
    @Marrymboya-cl9io 2 дня назад +25

    Dakika chache tuu commet nyingi wapendwa ni wengi

  • @glorymhanga8718
    @glorymhanga8718 2 дня назад +9

    Umejua kutufurahisha kaka Kai, asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 2 дня назад +25

    Sijachelewa na mm naomba like kidogo😂😂😂 safi sana zuuuuuu

  • @amissidelphin8616
    @amissidelphin8616 2 дня назад +23

    Mm wakwanza naomba like yangu ❤❤❤

  • @user-pn5sj7qo1l
    @user-pn5sj7qo1l 2 дня назад +4

    ❤❤❤❤❤❤bro kay unaitaji mauwa yaupendo wallahi💋😘🎉🎉

  • @AsiamandutaAsiamanduta
    @AsiamandutaAsiamanduta 2 дня назад +3

    M nawapenda sana muv zako Kai uchelewesh adi lahaaa

  • @user-rh7kx5xp4f
    @user-rh7kx5xp4f 2 дня назад +5

    Jaman kwa zuu kumeniga leo zuu kaongea ❤️❤️❤️😂😂😂😂😂

  • @SwaumMapunda
    @SwaumMapunda 2 дня назад +5

    Nikichoka kuvumilia ntakuzibua 😂😂😂 aisee zuuh chukua maua yako🎉🎉🎉🎉 nakupend mpk naumwa candy by kwa kai😂😂😂

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 дня назад +7

    Nimesau kuomba like aise naomba ata like 5 tu

  • @MarthaTabindi
    @MarthaTabindi 2 дня назад +2

    Heshima ni kitu cha muhimu Sana katika Maisha Yetu ucmdharau mtu ucye mjua,, Ona sasa Candy dharau zmekuponza😅😅

  • @emmanuelmanirambona6495
    @emmanuelmanirambona6495 2 дня назад +1

    Wanaopenda namna zuu anavyojitetea mbere ya kendi nipeni like hap

  • @user-kp4yg7sh7j
    @user-kp4yg7sh7j 2 дня назад +6

    Wapendwa munajuwa kuwah nikajuwa wa kwanza😅😅❤❤❤🎉🎉

  • @glorymhanga8718
    @glorymhanga8718 2 дня назад +8

    Mwambie huyo zuu,hakujui enheeee 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AngelMbaraka
    @AngelMbaraka 2 дня назад +9

    Ety dk 6 lakin sio wakwanza😢 Mko fasta Sana I'm waiting for like

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y 2 дня назад +7

    Congratulations 🙌 my people one ❤️ from 🇦🇺

  • @user-gc7go5we4g
    @user-gc7go5we4g 2 дня назад +5

    Kaka Kaye wowa mbiyo nikupe like1000

  • @SalhaHamad-mc6jj
    @SalhaHamad-mc6jj 2 дня назад +5

    Movie tamu sanaaa,hongera kai ❤

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 2 дня назад +9

    Jaman candy anampenda Kai gonga like

    • @RosemaryMurefu
      @RosemaryMurefu 2 дня назад +1

      Kampenda tangu lini jamani😂😂😂😂😂😂😂

    • @RosemaryMurefu
      @RosemaryMurefu 2 дня назад +1

      Kampenda tangu lini jamani😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MaryPendo-gy4yr
      @MaryPendo-gy4yr 2 дня назад

      Akakojoe alale yake yameisha😹

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 2 дня назад +16

    Jaman mambo ni moto

  • @user-zv5ny8np8d
    @user-zv5ny8np8d 2 дня назад +7

    Nimekua wapili leo jamn❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j 2 дня назад +7

    Kaz Safi jmn nawapnda kinoma ❤❤❤

  • @HamisiSuma
    @HamisiSuma 2 дня назад +7

    Mmmh watu mnajuwa kuwahi...... Ila asanteni kwa ep 21

  • @zuleykhasaid967
    @zuleykhasaid967 2 дня назад +8

    Asa huyu anafata nini kwa mke mwenzake 😂😂😂sijapenda

  • @ediselaemmanuel1930
    @ediselaemmanuel1930 2 дня назад +6

    Mimi wa kwanza naomba like zangu

  • @SmilingBackpacker-dr5hx
    @SmilingBackpacker-dr5hx 2 дня назад +3

    Next 22tunasubilia kwa hamu🎉❤❤❤ kai na.zuu waowane❤ tuu wanaenda❤

  • @NipaelyGoodluck
    @NipaelyGoodluck 2 дня назад +1

    Jaman nimekua wa mwisho lakn naomben like zenu

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 2 дня назад +9

    kumekuchaaaaa😂😂😂😂❤mambo yamecemka😅😅😅

  • @safiahilali3352
    @safiahilali3352 2 дня назад +8

    Na mie nipoo msinisahau 😂😂

  • @user-rz6nz5dg1u
    @user-rz6nz5dg1u 2 дня назад +3

    Nilitegemea bibi aonyeshwe wanavyoenda kwa mganga wakulu wanamuonyesha matukio yaliopta wakulu wamezngua 😅😅😅

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 дня назад +4

    Oyooooo
    Kumbe bibi kwa boss mchawi ana TV ukutani
    Ila bhona anaona mbali namkubali 🎉🎉🎉🎉

  • @pillymakambi9133
    @pillymakambi9133 2 дня назад +5

    Oyaa nimewah japo nimechelewa kidogo nipe maua yangu🎉 na like kam zoteee

  • @happinessjulius-up3sw
    @happinessjulius-up3sw 2 дня назад +7

    Weeeeeeee hatari Leo muv tamu sana

  • @violangaira
    @violangaira 2 дня назад +8

    Mwanamke huna heshima hata baba mkwe. mwache Kai amuoe zuu

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 2 дня назад +1

    Nmecheka apo kwa vurugu yaan 😂😂😂😂hongera zuuuu wetu 😊na mm naomba like zenu kila cku nawapa nyinyi tu😢na mm leo mnipe😊

  • @user-qm8uf9qv6l
    @user-qm8uf9qv6l 2 дня назад +3

    Mi nimeikubali ndoa yao ,❤❤❤❤

  • @LucyKapaga
    @LucyKapaga 2 дня назад +5

    Namkubali sana zuuu

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 дня назад +2

    Wanao zikubali mvi za bibi zuu waweke like hapa

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 дня назад +2

    Asante kaka kai kwa maamuzi mazuri safi, zuuu vunja ukimya mtoe kope hizo😅😂😅😅😊

  • @FurahafutakazaGloria
    @FurahafutakazaGloria 2 дня назад +9

    Whaou ❤️ ❤️ ❤️

  • @MariamRamadhan-co1ev
    @MariamRamadhan-co1ev 2 дня назад

    Waooo zuu nimependa kuonesha ujasir alikuwa anakuchukulia poa😅🤣🤣 manshaallah ❤❤❤❤

  • @FrolaNgodoro-th5mb
    @FrolaNgodoro-th5mb 2 дня назад

    Zuu nakupenda ww pamoja na baba mkwe wako bila kumsahau Kai mmeo mtarajiwa🎉🎉🎉

  • @margparet5741
    @margparet5741 2 дня назад +11

    Kazi nzuri sana

  • @user-pr3hf4lm9o
    @user-pr3hf4lm9o 2 дня назад +4

    Leo nimefurahishwa sana mapema tu nimekua wakwanza

  • @AgnessBenard
    @AgnessBenard 2 дня назад +2

    Da! Kai na zuu uyoooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OoredooOoredoo-db2ps
    @OoredooOoredoo-db2ps День назад

    Zuu hongera nakukubali umenifurahisha Kai fanya haraka umuoe zuu bwana nawapenda sana❤❤❤❤❤

  • @user-yi6xp4my6w
    @user-yi6xp4my6w 2 дня назад +4

    wuuuwi natamani niwe zuuu haki na wewe genty ungekoma matusi

  • @JastonnaruweniJaston-cu5rm
    @JastonnaruweniJaston-cu5rm 2 дня назад +10

    Saviiii

  • @user-no9qy7pb7j
    @user-no9qy7pb7j 2 дня назад +1

    😂😂😂 penzi la dada wa kzi😂😂😂

  • @mwanapilijuma7295
    @mwanapilijuma7295 21 час назад

    Zuu hongera sn unaenda kua make sasa n majibu uliyo mpa candy safi kabisa akizidi mpe mabao

  • @JoyceElias-bd3kt
    @JoyceElias-bd3kt 2 дня назад +2

    Aiiiiii jmn hahahaha adi laha nyie zuuh uyo

  • @LymoGladyx
    @LymoGladyx 2 дня назад +3

    🎉🎉🎉🎉you deserve sis kula kiburi

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 дня назад +1

    Hiki chuma ni chamoto sana 😅🎉❤ kai kaza uzi mpaka aseme 😮ila ninawasiwasi na ndoa haitofungwa ❤anaeniunga mkono please lake kwa sama😊

  • @user-gv7to8is6y
    @user-gv7to8is6y 2 дня назад

    Kwa kwel move hii iko vzuri sna asante wahusika wa move❤❤❤❤🎉

  • @ediselaemmanuel1930
    @ediselaemmanuel1930 2 дня назад +6

    😂😂😂😂ya leo moto😂😂😂

  • @momG-oi8xj
    @momG-oi8xj 2 дня назад +4

    Likes zangu jaman🎉