*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?* Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat 1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati. Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻 chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o Lakini pia tuna WhatsApp Channel... Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote. Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻 whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
*KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Yes Nataka
Wanao mkubali Kai amuoe zuu gonga like
👍👍👍😂😂😂
Waoo Kazi nzuli zuu
Yan mm ndo nitatembeza juice😂😂😂
@@user-le6xc6ei5x mimi nitapokea wageni 🛍️🌹😂😂😂😂
Tupo wengi😊
Jamn leo zuu kafunguka wanao mkubali zuu gonga like hapa
Leo amenifurahisha
Nmependa alivyonyanyuka zuu ma kujiamin ❤❤❤❤❤
Kabisaa
Uwi nauku mchawi
❤
Waliofurahia zuu alvyomjb candy. Nasbria likes zenu hapaa🎉❤
Zuu kanifulaisha Sana kaupiga mwingi kwako Kai ❤❤❤❤❤ tunazipenda Kaz zenu jaman
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
Simba Mpole ndio mla nyama hongera zuu kuwa jasiri kendi asikutambie, team zuu naomba like leo jamani na mm
Team zuuu oyoooooo🎉🎉🎉🎉🎉❤
patam hapo 😊😊😊😊
Yani apo nimepapenda balaa😍
Wale wakuangalia uku tunasoma coment like apa❤😂
😂😂😂😂tupo apa
❤❤❤❤❤Zuuu
😂😂
❤❤❤❤
😂😂😂
Team zuu gonga like jameni❤❤
Tugonge kwa wapi
😂😂😂@@calvinshirima2654
❤❤❤❤❤
Waleee😅😅
Tujuwane tunaokubali Kai amuoe zuu like 10
34
Kama unahamin ndoa ya khai na zuuh kama itafungwa mwaga like zakutosha tusiache ata moja...😂😂😂😂😂❤❤❤
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
🎉🎉 🎉❤
😂😂😂😂
Wanao mkubali zuu weka like ndoa ipo au haipo❤❤❤
Ndoa ipo🎉🎉🎉🎉
@@user-zp6xx5xd7gIpo
Ipo inanukia
Ipo
❤❤❤❤
Whaou ❤️ ❤️ nimewai naombeni like 👍 zenu natokea 🇨🇩
Sijawah kutoa comment ila Leo zuuh wangu umenifurahisha sana kumjibu kendy
Nakwambia anenfurahishaje
Ila naomba izo dawa zisimshike Zuu juu analindwa na mizimu ya kwao au vpy jaman like bas😅
Ndoa ya zuuu na Kai inafungwa haifungwi team zuuu gonga like za kutosha❤❤❤❤❤
Nimependa Khai alivyomkumbatia zuu like jamani 😉😉🤗🤗🤗🎉❤❤
nimekuwa wa tatu leo wap likes za zuu na kai much love froma kenya❤❤❤
Jamani wezangu nyie muda wote mpo yutupu naombeni like zenu
Daah zuu kajipa ujasir like kwa zuuu jaman
Wakwanza mim naomba like zenu
Nimewahi reo jamani tame zuu gongen like hapa❤
Maweeeeee huko kwa mganga sasa ni fire 🔥😂😂team zuu kujeni na like Moja moja hapa😂🎉❤
Sjachelewa Leo ulipo nipo nawapenda sana team zuuu tujuane sasa muv ndo inaanza mkuki kwa nguluwe 😂😂😂😂😂😂😂😂maua yenu hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwisho wa ubaya ni aibu,utapamban na Bibi na Mungu pia maan Cheitwan hua hanalolote mbele ya Allah
wakwanza kuona kutoka Mozambique naombeni likes zangu timu zuu❤❤❤❤❤❤
Mimi piah nipo Mozambique 🇲🇿🇲🇿❤❤❤❤❤
Wadau ndoa tunayo 🎉🎉🎉🎉 kend kwisha abali yake nipeni like zangu
❤❤❤
Candy ondokaaa mwache Kai ale Raha mama😅😅😅😅
wanao mkubali zuu naombeni like zenu jmani 🇰🇪🇰🇪
Candy kaa kwakutulia mmeo kashachukuliwa hvo😂😂😂😂 team zuuu wapi like ❤❤❤❤
Nimewahi n mm leo naombn like Ata 2😢😢❤🎉
Tunao jua ndoa ipo gonga like ❤❤❤❤
Nimewahi jamani like zangu
Jaman namie niwah Leo 😂
Tunayo ifatilia house girl toka peased 1 adi leo 21 tujuane kwa like🎉🎉
Kali sana Leo nimekuwa kwanza from Kenya kazi njema ,,, kongole🎉🎉🎉❤
naombeni like zangu nipo USA hapana Leo nimekua namba moja
Jaman tim zuuu naomben like zenu❤
Nikiwa Buja,Kai Ndoa tunayo ss tunasimama n,Allah,hico🎉 kikaragosi cako hakijiamini kilicezea shilingi kwenye tundu lacho, oyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mmmmmh!! Kila nikiona hii movie namkumbuka baby wangu jaman😢😢😢😢😢!! Zuu kabadilika amekuwa simba sasa🎉
Mmmh uy candy anaroho mbay kwel
Wao mashallah. Hongereni kazi mzur allah awasimamie 🤲
Wapi team zuuuu😂😂😂😂mauwa yetu basi wakati wetu umewadia saaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
2naoikubal house girl na mafundsho yake nasbria likes zenu🎉🎉
Wakwanza leo ❤❤ , mov tamu sana nawapenda sana
Penzi jipya tam bhn gonga like km unakubal penzi jipya la kai
Team Kai wanao mkubali amuoe zuu wapi likes❤❤❤
Zuu kafanya jambo poa👍❤️❤️❤️❤️❤️
Dakika chache tuu commet nyingi wapendwa ni wengi
❤❤❤
Umejua kutufurahisha kaka Kai, asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Sijachelewa na mm naomba like kidogo😂😂😂 safi sana zuuuuuu
Mm wakwanza naomba like yangu ❤❤❤
Unafanyia nn
❤❤❤❤❤❤bro kay unaitaji mauwa yaupendo wallahi💋😘🎉🎉
M nawapenda sana muv zako Kai uchelewesh adi lahaaa
Jaman kwa zuu kumeniga leo zuu kaongea ❤️❤️❤️😂😂😂😂😂
Nikichoka kuvumilia ntakuzibua 😂😂😂 aisee zuuh chukua maua yako🎉🎉🎉🎉 nakupend mpk naumwa candy by kwa kai😂😂😂
Nimesau kuomba like aise naomba ata like 5 tu
Heshima ni kitu cha muhimu Sana katika Maisha Yetu ucmdharau mtu ucye mjua,, Ona sasa Candy dharau zmekuponza😅😅
Wanaopenda namna zuu anavyojitetea mbere ya kendi nipeni like hap
Wapendwa munajuwa kuwah nikajuwa wa kwanza😅😅❤❤❤🎉🎉
Mwambie huyo zuu,hakujui enheeee 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ety dk 6 lakin sio wakwanza😢 Mko fasta Sana I'm waiting for like
😂😂😂😂
Congratulations 🙌 my people one ❤️ from 🇦🇺
Kaka Kaye wowa mbiyo nikupe like1000
Movie tamu sanaaa,hongera kai ❤
Jaman candy anampenda Kai gonga like
Kampenda tangu lini jamani😂😂😂😂😂😂😂
Kampenda tangu lini jamani😂😂😂😂😂😂😂😂
Akakojoe alale yake yameisha😹
Jaman mambo ni moto
Nimekua wapili leo jamn❤❤❤😂😂😂😂😂
Kaz Safi jmn nawapnda kinoma ❤❤❤
Mmmh watu mnajuwa kuwahi...... Ila asanteni kwa ep 21
Asa huyu anafata nini kwa mke mwenzake 😂😂😂sijapenda
Hata mm sijapentaaa
@@YusuphSabuli 🤣🤣🤣 tufanye maandamano
Mimi wa kwanza naomba like zangu
Next 22tunasubilia kwa hamu🎉❤❤❤ kai na.zuu waowane❤ tuu wanaenda❤
Jaman nimekua wa mwisho lakn naomben like zenu
kumekuchaaaaa😂😂😂😂❤mambo yamecemka😅😅😅
Na mie nipoo msinisahau 😂😂
Nilitegemea bibi aonyeshwe wanavyoenda kwa mganga wakulu wanamuonyesha matukio yaliopta wakulu wamezngua 😅😅😅
Hahahaha et wakulu
@@ZamdaJumaRamadhan ndio ni wakulu hao
Oyooooo
Kumbe bibi kwa boss mchawi ana TV ukutani
Ila bhona anaona mbali namkubali 🎉🎉🎉🎉
Lkn ivyo n vitu za kitambo
Hapo itakuaje nikama atamrudisha zuu
Oyaa nimewah japo nimechelewa kidogo nipe maua yangu🎉 na like kam zoteee
Weeeeeeee hatari Leo muv tamu sana
Mwanamke huna heshima hata baba mkwe. mwache Kai amuoe zuu
Nmecheka apo kwa vurugu yaan 😂😂😂😂hongera zuuuu wetu 😊na mm naomba like zenu kila cku nawapa nyinyi tu😢na mm leo mnipe😊
Mi nimeikubali ndoa yao ,❤❤❤❤
Namkubali sana zuuu
Wanao zikubali mvi za bibi zuu waweke like hapa
Asante kaka kai kwa maamuzi mazuri safi, zuuu vunja ukimya mtoe kope hizo😅😂😅😅😊
Whaou ❤️ ❤️ ❤️
Waooo zuu nimependa kuonesha ujasir alikuwa anakuchukulia poa😅🤣🤣 manshaallah ❤❤❤❤
Zuu nakupenda ww pamoja na baba mkwe wako bila kumsahau Kai mmeo mtarajiwa🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana
Leo nimefurahishwa sana mapema tu nimekua wakwanza
Da! Kai na zuu uyoooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuu hongera nakukubali umenifurahisha Kai fanya haraka umuoe zuu bwana nawapenda sana❤❤❤❤❤
wuuuwi natamani niwe zuuu haki na wewe genty ungekoma matusi
Saviiii
😂😂😂 penzi la dada wa kzi😂😂😂
Zuu hongera sn unaenda kua make sasa n majibu uliyo mpa candy safi kabisa akizidi mpe mabao
Aiiiiii jmn hahahaha adi laha nyie zuuh uyo
🎉🎉🎉🎉you deserve sis kula kiburi
Hiki chuma ni chamoto sana 😅🎉❤ kai kaza uzi mpaka aseme 😮ila ninawasiwasi na ndoa haitofungwa ❤anaeniunga mkono please lake kwa sama😊
Kwa kwel move hii iko vzuri sna asante wahusika wa move❤❤❤❤🎉
😂😂😂😂ya leo moto😂😂😂
Likes zangu jaman🎉