*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?* Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat 1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati. Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻 chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o Lakini pia tuna WhatsApp Channel... Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote. Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻 whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Huyu bibi wangapi tulimwona kwa boss mchawi,tena kwa wrong house alionekana na sahii hapa kwa house girl bibi mzuri kazi yake nzuri I really love you guys ❤❤ keep it up
Niko dani mm watatu kwa comments plz team zuu naomba like plz apa ndo nilifika karibu nifunjike migu nikitorokea vifaranga za waiguru 😅😅😅😅😅😅team single ma am proud to be single ma mapezi shikamoooo
Zuuu lazma awe chizi ili movie inoge na ajue mume wa mtu sumu n bibi apate he kaweka kdg mwsho candy anakua chiz na taraka juu au atakua n mke mwenzake😅😂😂😂😂😂
*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
*KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Natak group la kuchts na mamb mengn
❤❤❤❤
@@FatmaRajabu-qv2yv fatumaaa vipi join kweny hiyo link afu tafta namba yang jina naziri99 unicheki sawa
movies ina nitowa machozi jamani
Nawapenda kinoumar xan axeeeeh.aaaaaiiiiih
Wakenya tuliotazama tokea episode 1 nipeeni likes😘
Tupo wakenya😂😂
Wakenya mpo kumbe nkajua mnaandamana😊
❤❤❤❤❤
❤❤❤
Maandamano hatusahau @@RehemaFabian
Anoniamini kuwa candy utamrejea uchizi na talaka juu anipe like basi
Mwanzo hayo ndio maombi yngu umpate mwenyewe ndio akachekelee chooni
😂😂😂😂😂@@نيجي-ن1د
Candy uchiz unakurejea
Sahihi
Wanaotaka candy apewe talaka ni wng tujuane 😂😂bhn candy goo
Awe kichaaa
Kendi aendee
Muongo ww
Mume kakushinda wendaroga
Nataka candy atembeee hana lolote
Naomba mungu mabaya ya mganga yasimzulu Zuu na huyo Baba wa Kai
Team kai atuna baya km unaamin bibi zuu atamsaidia zuu asipate uchzi tujuane❤❤❤❤🎉🎉
Ww asma umekopi commenti yangu ila big up sana
Wanawo kimbiliya kusoma comment kama Mimi naombeni like apa😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂
❤
😂😂😂😂
Nip apa
Zuu ako na kinga nyie bibi yake kiboko hahaa
Kama unahiman kama bib zuuh atamasaidia zuuh asipate uchizii tujuane kwa like zakutosha ...😂😂😂😂😂❤❤❤
😂😂😂😅
❤❤❤
atapitia tu lakini atapona nawaza tu lakini 😂😂😂
Ngoja tuone ila inaonyesha kama atapata uchiz
Kwa kwel 😂😂😂
Whatsapp Group 👇👇
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Well 👍
Mimi kutoka Msumbiji uku Mozambique nipo nanyi
🙏🙏🙏
Asante sana🙏🙏
Wakwanzaaaa jmn like ap kma unaikubali house girl
Wauuu wapi likes zangu ❤❤❤ leo nimekua wa pili wadau msininyime😢😢😢 nipee ata 5 tu,😊 team zuuu mko wapi
Mambo cutie
Wadau team zuuuuh Mnaonaje kwa siku wawe wanaachia vipande viwili au mnasemaje🎉❤💪
Waachiy vipande viwili maan Ina noga san
Hata vitatu ikiwezekana
Huyu bibi wangapi tulimwona kwa boss mchawi,tena kwa wrong house alionekana na sahii hapa kwa house girl bibi mzuri kazi yake nzuri I really love you guys ❤❤ keep it up
Afadhali mana leo nnaona house girl ya mchongo kama umeyiona tujuane plz kwa like 😂😂😂
😂😂😂kumbe tumepigwa wengi
Mmeona eeeee😂😂😂
@@UmmyZakiah wallah nimeudhika sana watu tena wana tuma link kwa grp
@@Saumu-vr4bc sana tu sandio nn busatitv kuacha watu watume link zao kwa grp yetu
@@Saumu-vr4bc webwana we
Mm sipo hapa Kwa sababu ya like lakini ngonga 10 pekee kama Kai anabamba😂😂
Team strong mkuje huku kumenoga tupunguze stress za waiguru na waititu
Tupo kipenzi ❤
@@Marim-sj7oitup wng❤
Hahaha kila cku waiguru wana2pa stres ila mi nikiangaliaga movi kma hzi huwa zinaniliwaz xna
@@MaryamMaryam-ru1qt uko kama mm kbs
kweli😅😅😅
Mm wa pili kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 let's take it to the 🌍🌎 nipeni likes
Nawakubali sana hamna baya like kama zote❤
mm naona huu uchizi utamrudia mwenyewe huyu candy🎉🎉🎉 munipee like bx
Niko dani mm watatu kwa comments plz team zuu naomba like plz apa ndo nilifika karibu nifunjike migu nikitorokea vifaranga za waiguru 😅😅😅😅😅😅team single ma am proud to be single ma mapezi shikamoooo
Kazi nzuri tumeipokea ❤ likes 👍 zangu kutoka Kenya 🇰🇪
Kesho asubuh tuamke na nyingine tamu sana🎉
Candy hao waache mama huwawezi 😂😂😂like kwa bibi zuuu na baba kai❤❤❤
❤❤❤
Mpumbavu mwenzang ana mke mzur❤❤❤❤❤
😂😂
Mpo chapu wapenzi wangu hatarii wapi team zuuuh
Mh mganga anaimba kihehe eti iyenA😂😂😂😂
Wahehe ndo tumeelewa😂😂
Mm wa sita naomba like pia mm😂😂😂😂😂
Iko vizuri wapenz ila Leo Niko happy kwajili ya zuu ❤❤😂😂
Wa kina burundi tunatazama hii mtupe like❤❤❤
Naipenda hii movie nimeisambasaza kwa rafiki zangu walagh wameikubali❤️❤️❤️
Kwanza nimefurahia hii kitu inapoelekea ni patamu kuliko inapotoka wew bibi nimekuoenda bure♥️♥️👍👌🙏
Waoooh leo nimekuwa wa kwanza hongereni sana busati tv movie nzur sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Enjoy❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 team zuu tupo chonjo
Wakenya wenye tunafyatilia tupeni like sisi jamani
Wa5 na like zenu sizitaki 😂
ALIHAMDULILAH Leo wa kwanz ❤❤❤❤
Nawapenda mnawahisha move mpak rahaa
Wale wenye wapenzi wenye mahaba tukutane apaaaa🎉! Ninapenda mahaba hadi nazimiaa!!! Naomba nitafte baby anicheki kweny comment please namhitaji😅😅😅 am sirious please
Subiri candy anakaribia kuachika umchukue mpeane mahaba na si alisema kazi anayoweza ya kitandani tu 😅
@@irenestephen399Aweeeee! Hy anaweza kunichapa makofi weeeee simtaki
One love from kigoma 🎉🎉🎉🎉🎉
Hahaaa nan mwingine kaskia mganga anaimba kiha❤❤❤
Napenda pace yenu jamani... mnaachilia episode on time, hamtuweki❤❤ Big up sana wakuu💪💪
Na mimi Leo wakwanza naombeni like zenu tunao mkubali kahi
Jmn kwani namimi mukinipa like mnakifaa 😢😢
Wakwanza naombeni likes zangu please
Yani huku watu hamjelewi😂😂😂eti ndio nimejaribu lkn wapi, naomba plans za candy zizame asifaulu kwa lengo lake
Leo nimekua wa kwanza kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Bila shaka huyu mganga ni muha😂😂😂😂😂😂
Tamthilia nzuri Ila mganga hapo kwa alamtara hujafanya Sawa heshimu maneno matukufu na kuyafanyia kejeli tafadhali🙏... I came in peace
🙏🙏
Candy Mapenzi hayatafutwi Kwa waganga dadangu jirekebishe uishi vizuri
❤❤❤Jamani Nimekua wa6 mie
Kendy must gooo from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
wa pili jmn nimepni ata likes 10
Huo uchawi anaorogea wenzie na umrudie yeye mwenyew
Kabisa
@@نيجي-ن1د ngoja tuone
Wa pili Leo ❤❤❤
Nimesikia mganga ameimba kiha 😁 ati ako kaandazi nako si kudyoha kadyohela abhana 😂😂😁 waha tujuane
Waaah kwenye kwaenda nikubaya😢😢😢
Lazima apate kichaa na aweze kwenda kwa bibi ake apo ndo atasaidika na mchezo ndo unaenda kunoga wap zuuu😂😂❤
Busati tv 🎉🎉🎉🎉🎉 chukueni maua yenu 1 ❤
Nimewahi daa thuuu wa kwanza jamani munipe maua yangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂
Haibu sawa mbona zuu😅😅😅
Mpumbavu mwenzang Ana mke mzur❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤🥰🥰
Laaa 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Jamani taratibu tutaganyagana😂😂👏
Tunao taka candy uchizi umludie tujuane 😅😅😅😅😂😂😂😂❤❤❤
Waaaah but zuu awez kuwa chizi in the name of jesus
Mimi natakujua wadau ivi mnalala umu RUclips au vipi mana mmejazana koooo 😂😂😂😂
Mmh wee wawap mwenzang mana hy koo imenikumbusha mbal sana
@@mwanaakidaomar4663 😂😂😂😂 Kilwa Moja iyo kusini uko Aya imekukumbusha wapi tena
Wale wabena na wahehe wenzangu gonga makopa kwa mganga❤❤❤❤❤❤😂😂 house girl pambe❤
Waaah nawapenda sana mnafanya kazi ipasavyo ❤❤❤❤❤
Movie nimeipenda lakn candy jamn natamn nikuone kwenye maisha kawaida ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimekimbia nusu nidondoke😂
Leo mmumeweza mm na familia filamu hii nikiwa kenya
Jaman kai mzuri sana ety yani mtamu haswaaa uwiiii kai utaniua mwenzako 😂🙌
Kumbe bibi mnyakyusa bhana😂😂
Zuu awezi pata uchiz washindwe na uchawi wao uwarudie wenyewe wakina candy
Hatari, mko vizuri mnooo, naendelea kufuatilia kwa ukaribu mpaka mwishooo, from Tz........
Duh
Wanawake mbingu
Mtaiona mbali 😊
Candy acha ushirikina badilika kwa mmeo
Uwe n'a tabia njema
Kazi nzuri sana 🎉🎉❤
Wow ...nice one Kenyans in the house
❤❤❤❤
Jaman leo nilitaka niulize Mbona familia ya mpumbavu mwenzangu siioni hatimae leo nimewaona❤❤❤😂😂❤❤❤
Alam tara kichwa cha upara 😂😂😂 mara iyena iyena 😂😂😂😂 jaman mganga kiboko 😂😂😂😂😂😂😂
Mungu Ni mwema kilasiku atakutetea Kwa kilakinyume chochote anacho kufanya shetani zuu Na kupenda mdogo wangu Sana😘😘😘😘😘😘💯
Maskini 😭😭 BB zuu na Mr kai 😢😢😢😢nawaombea kwa mungu awafanyie wepesi kwenye hilo in sha Allah much love 💕 busati
Team Kai na zuu jamani mambo moto😊
me wa 5
Tunaoipenda africa wadhalendo wa africa like hapa👉❤️❤️❤️
Nampenda sana kend,me nilikuwa nataka zuuu auawe
We mwanga kumbe
Movie nzuri wanastahili pongezi 🌹🌹🌹🌹
Tunaomba episode nyingne jamn..movie nzuri sanaa hii❤❤ hadi nasahau kumnyonyesha mtoto😂
From oman naombeni likr
Team zuu msiogope bibi atamsaidia zuuu wetu😂😂😂
Jamani tunasubir next season maana ni utamu mnoo tujue nini mwisho wa zuuu na candy
🙏🙏
Wakenya twawapenda Watanzania sana ama vipi Kenyans 😊😊😊😊😊
Jamani busati tv leo mumeweza yaan double double
Mungu mjariye. Zuhhh asipate uchizi wowote twaomba Jani zuhhh
❤ tafazali episode ya 23
🙏
Woow nmefurahi maana itaka kwa wakati endeleni ivo tunawapenda sanaa na wewe kai zuu ndio bibi hata wakuroge😂
Zuuu lazma awe chizi ili movie inoge na ajue mume wa mtu sumu n bibi apate he kaweka kdg mwsho candy anakua chiz na taraka juu au atakua n mke mwenzake😅😂😂😂😂😂
🤣🤣
Itawezekna kwel
House girl inakua fire 😂😂😂eeh candy wewe Naona talaka ya spid 😂😂
Tatz dakk jaman