HOUSE GIRL EP 22 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #bongomovie

Комментарии • 846

  • @busatitv
    @busatitv  3 месяца назад +57

    *JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
    Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
    1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
    Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
    chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
    Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
    Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
    Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
    *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*

    • @mvinyo99
      @mvinyo99 3 месяца назад +1

      Natak group la kuchts na mamb mengn

    • @FatmaRajabu-qv2yv
      @FatmaRajabu-qv2yv 3 месяца назад

      ❤❤❤❤

    • @mvinyo99
      @mvinyo99 3 месяца назад

      @@FatmaRajabu-qv2yv fatumaaa vipi join kweny hiyo link afu tafta namba yang jina naziri99 unicheki sawa

    • @EricMakanisa
      @EricMakanisa 3 месяца назад

      movies ina nitowa machozi jamani

    • @SuzanDithenya
      @SuzanDithenya 2 месяца назад

      Nawapenda kinoumar xan axeeeeh.aaaaaiiiiih

  • @Vivianmusiega
    @Vivianmusiega 3 месяца назад +259

    Wakenya tuliotazama tokea episode 1 nipeeni likes😘

    • @Riziki-ek3ko
      @Riziki-ek3ko 3 месяца назад +1

      Tupo wakenya😂😂

    • @RehemaFabian
      @RehemaFabian 3 месяца назад +3

      Wakenya mpo kumbe nkajua mnaandamana😊

    • @Mwanajaa
      @Mwanajaa 3 месяца назад

      ❤❤❤❤❤

    • @JoyJoy-ie8dp
      @JoyJoy-ie8dp 3 месяца назад

      ❤❤❤

    • @scolas3134
      @scolas3134 3 месяца назад

      Maandamano hatusahau ​@@RehemaFabian

  • @kurthummapande
    @kurthummapande 3 месяца назад +218

    Anoniamini kuwa candy utamrejea uchizi na talaka juu anipe like basi

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 3 месяца назад

      Mwanzo hayo ndio maombi yngu umpate mwenyewe ndio akachekelee chooni

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂​@@نيجي-ن1د

    • @ZainabSaid-n3v
      @ZainabSaid-n3v 3 месяца назад

      Candy uchiz unakurejea

    • @DamascoPolla-i3c
      @DamascoPolla-i3c 3 месяца назад

      Sahihi

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 3 месяца назад +155

    Wanaotaka candy apewe talaka ni wng tujuane 😂😂bhn candy goo

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 3 месяца назад +22

    Naomba mungu mabaya ya mganga yasimzulu Zuu na huyo Baba wa Kai

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 3 месяца назад +40

    Team kai atuna baya km unaamin bibi zuu atamsaidia zuu asipate uchzi tujuane❤❤❤❤🎉🎉

    • @mohamedlopa8410
      @mohamedlopa8410 3 месяца назад +1

      Ww asma umekopi commenti yangu ila big up sana

  • @sadequeentyra8513
    @sadequeentyra8513 3 месяца назад +243

    Wanawo kimbiliya kusoma comment kama Mimi naombeni like apa😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 3 месяца назад +370

    Kama unahiman kama bib zuuh atamasaidia zuuh asipate uchizii tujuane kwa like zakutosha ...😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @busatitv
    @busatitv  3 месяца назад +9

    Whatsapp Group 👇👇
    chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP

  • @MagrethyAdolph
    @MagrethyAdolph 3 месяца назад +39

    Wakwanzaaaa jmn like ap kma unaikubali house girl

  • @JudyDee-dt2fe
    @JudyDee-dt2fe 3 месяца назад +36

    Wauuu wapi likes zangu ❤❤❤ leo nimekua wa pili wadau msininyime😢😢😢 nipee ata 5 tu,😊 team zuuu mko wapi

  • @Messia-ws4er
    @Messia-ws4er 3 месяца назад +15

    Wadau team zuuuuh Mnaonaje kwa siku wawe wanaachia vipande viwili au mnasemaje🎉❤💪

    • @LoyceAyoub
      @LoyceAyoub 3 месяца назад +1

      Waachiy vipande viwili maan Ina noga san

    • @irinemmasy8387
      @irinemmasy8387 3 месяца назад +1

      Hata vitatu ikiwezekana

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 3 месяца назад +16

    Huyu bibi wangapi tulimwona kwa boss mchawi,tena kwa wrong house alionekana na sahii hapa kwa house girl bibi mzuri kazi yake nzuri I really love you guys ❤❤ keep it up

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад +69

    Afadhali mana leo nnaona house girl ya mchongo kama umeyiona tujuane plz kwa like 😂😂😂

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 3 месяца назад +1

      😂😂😂kumbe tumepigwa wengi

    • @Saumu-vr4bc
      @Saumu-vr4bc 3 месяца назад +1

      Mmeona eeeee😂😂😂

    • @JumaAmani-uh4vq
      @JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад +1

      @@UmmyZakiah wallah nimeudhika sana watu tena wana tuma link kwa grp

    • @JumaAmani-uh4vq
      @JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад +1

      @@Saumu-vr4bc sana tu sandio nn busatitv kuacha watu watume link zao kwa grp yetu

    • @JumaAmani-uh4vq
      @JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад +1

      @@Saumu-vr4bc webwana we

  • @MoureenTendwa
    @MoureenTendwa 3 месяца назад +25

    Mm sipo hapa Kwa sababu ya like lakini ngonga 10 pekee kama Kai anabamba😂😂

  • @SalmaMohamedy-o2g
    @SalmaMohamedy-o2g 3 месяца назад +27

    Team strong mkuje huku kumenoga tupunguze stress za waiguru na waititu

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi 3 месяца назад

      Tupo kipenzi ❤

    • @LatiffahHassan
      @LatiffahHassan 3 месяца назад

      @@Marim-sj7oitup wng❤

    • @MaryamMaryam-ru1qt
      @MaryamMaryam-ru1qt 3 месяца назад

      Hahaha kila cku waiguru wana2pa stres ila mi nikiangaliaga movi kma hzi huwa zinaniliwaz xna

    • @LatiffahHassan
      @LatiffahHassan 3 месяца назад

      @@MaryamMaryam-ru1qt uko kama mm kbs

    • @ummyjux
      @ummyjux 3 месяца назад

      kweli😅😅😅

  • @brayoomontana5011
    @brayoomontana5011 3 месяца назад +21

    Mm wa pili kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 let's take it to the 🌍🌎 nipeni likes

  • @tausimct
    @tausimct 3 месяца назад +22

    Nawakubali sana hamna baya like kama zote❤

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 3 месяца назад +8

    mm naona huu uchizi utamrudia mwenyewe huyu candy🎉🎉🎉 munipee like bx

  • @Queengifton
    @Queengifton 3 месяца назад +16

    Niko dani mm watatu kwa comments plz team zuu naomba like plz apa ndo nilifika karibu nifunjike migu nikitorokea vifaranga za waiguru 😅😅😅😅😅😅team single ma am proud to be single ma mapezi shikamoooo

  • @JacobKonyelo-sb6ln
    @JacobKonyelo-sb6ln 3 месяца назад +13

    Kazi nzuri tumeipokea ❤ likes 👍 zangu kutoka Kenya 🇰🇪

  • @REUBENIAGUSTINO
    @REUBENIAGUSTINO 3 месяца назад +11

    Kesho asubuh tuamke na nyingine tamu sana🎉

  • @SalomeNkwabi-jy4nu
    @SalomeNkwabi-jy4nu 3 месяца назад +15

    Candy hao waache mama huwawezi 😂😂😂like kwa bibi zuuu na baba kai❤❤❤

  • @Rehemajumanne-qy5mk
    @Rehemajumanne-qy5mk 3 месяца назад +20

    Mpumbavu mwenzang ana mke mzur❤❤❤❤❤

  • @zainabumtego5873
    @zainabumtego5873 3 месяца назад +16

    Mpo chapu wapenzi wangu hatarii wapi team zuuuh

  • @kihongolebaby-ku6vl
    @kihongolebaby-ku6vl 3 месяца назад +10

    Mh mganga anaimba kihehe eti iyenA😂😂😂😂

  • @EstherSidi-n5t
    @EstherSidi-n5t 3 месяца назад +6

    Mm wa sita naomba like pia mm😂😂😂😂😂

  • @HabibaBakari-u1x
    @HabibaBakari-u1x 3 месяца назад +6

    Iko vizuri wapenz ila Leo Niko happy kwajili ya zuu ❤❤😂😂

  • @CynthiaNizigiyimana-w9h
    @CynthiaNizigiyimana-w9h 3 месяца назад +9

    Wa kina burundi tunatazama hii mtupe like❤❤❤

  • @Najatfahady
    @Najatfahady 3 месяца назад +5

    Naipenda hii movie nimeisambasaza kwa rafiki zangu walagh wameikubali❤️❤️❤️

  • @BiterAthon
    @BiterAthon 3 месяца назад +3

    Kwanza nimefurahia hii kitu inapoelekea ni patamu kuliko inapotoka wew bibi nimekuoenda bure♥️♥️👍👌🙏

  • @SalamayahayaJuma
    @SalamayahayaJuma 3 месяца назад +11

    Waoooh leo nimekuwa wa kwanza hongereni sana busati tv movie nzur sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 3 месяца назад +9

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 team zuu tupo chonjo

  • @alexjapheth2698
    @alexjapheth2698 3 месяца назад +4

    Wakenya wenye tunafyatilia tupeni like sisi jamani

  • @NiyoFrancine
    @NiyoFrancine 3 месяца назад +11

    Wa5 na like zenu sizitaki 😂

  • @hadejamohammadi9824
    @hadejamohammadi9824 3 месяца назад +6

    ALIHAMDULILAH Leo wa kwanz ❤❤❤❤

  • @RoseAmos-t1w
    @RoseAmos-t1w 3 месяца назад +6

    Nawapenda mnawahisha move mpak rahaa

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 3 месяца назад +8

    Wale wenye wapenzi wenye mahaba tukutane apaaaa🎉! Ninapenda mahaba hadi nazimiaa!!! Naomba nitafte baby anicheki kweny comment please namhitaji😅😅😅 am sirious please

    • @irenestephen399
      @irenestephen399 3 месяца назад

      Subiri candy anakaribia kuachika umchukue mpeane mahaba na si alisema kazi anayoweza ya kitandani tu 😅

    • @LassonDominick
      @LassonDominick 3 месяца назад

      ​@@irenestephen399Aweeeee! Hy anaweza kunichapa makofi weeeee simtaki

  • @FalesKilomba
    @FalesKilomba 3 месяца назад +3

    One love from kigoma 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AtuAtu-v9f
    @AtuAtu-v9f 3 месяца назад +3

    Hahaaa nan mwingine kaskia mganga anaimba kiha❤❤❤

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 3 месяца назад +3

    Napenda pace yenu jamani... mnaachilia episode on time, hamtuweki❤❤ Big up sana wakuu💪💪

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 3 месяца назад +7

    Na mimi Leo wakwanza naombeni like zenu tunao mkubali kahi

  • @LaylaSaheeb
    @LaylaSaheeb 3 месяца назад +8

    Jmn kwani namimi mukinipa like mnakifaa 😢😢

  • @eunice1808
    @eunice1808 3 месяца назад +14

    Wakwanza naombeni likes zangu please

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 3 месяца назад +4

    Yani huku watu hamjelewi😂😂😂eti ndio nimejaribu lkn wapi, naomba plans za candy zizame asifaulu kwa lengo lake

  • @OmaramimoOmar
    @OmaramimoOmar 3 месяца назад +5

    Leo nimekua wa kwanza kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @lidyakinono9917
    @lidyakinono9917 3 месяца назад +1

    Bila shaka huyu mganga ni muha😂😂😂😂😂😂

  • @rukiamohamed2884
    @rukiamohamed2884 3 месяца назад +2

    Tamthilia nzuri Ila mganga hapo kwa alamtara hujafanya Sawa heshimu maneno matukufu na kuyafanyia kejeli tafadhali🙏... I came in peace

  • @esterester3628
    @esterester3628 3 месяца назад +3

    Candy Mapenzi hayatafutwi Kwa waganga dadangu jirekebishe uishi vizuri

  • @renatharjames2186
    @renatharjames2186 3 месяца назад +3

    ❤❤❤Jamani Nimekua wa6 mie

  • @SaumuSophyline
    @SaumuSophyline 3 месяца назад +3

    Kendy must gooo from🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @PillysalimSengo
    @PillysalimSengo 3 месяца назад +4

    wa pili jmn nimepni ata likes 10

  • @AliceBensoni
    @AliceBensoni 3 месяца назад +5

    Huo uchawi anaorogea wenzie na umrudie yeye mwenyew

  • @rosesyombua4100
    @rosesyombua4100 3 месяца назад +5

    Wa pili Leo ❤❤❤

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 3 месяца назад +1

    Nimesikia mganga ameimba kiha 😁 ati ako kaandazi nako si kudyoha kadyohela abhana 😂😂😁 waha tujuane

  • @MarrySalama
    @MarrySalama 3 месяца назад +3

    Waaah kwenye kwaenda nikubaya😢😢😢

  • @AgnesAndrea-yi7ug
    @AgnesAndrea-yi7ug 3 месяца назад +1

    Lazima apate kichaa na aweze kwenda kwa bibi ake apo ndo atasaidika na mchezo ndo unaenda kunoga wap zuuu😂😂❤

  • @BINTIHAMISI-c9p
    @BINTIHAMISI-c9p 3 месяца назад +3

    Busati tv 🎉🎉🎉🎉🎉 chukueni maua yenu 1 ❤

  • @fatumabakari2640
    @fatumabakari2640 3 месяца назад +3

    Nimewahi daa thuuu wa kwanza jamani munipe maua yangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂

  • @Kibumpenda
    @Kibumpenda 3 месяца назад +3

    Haibu sawa mbona zuu😅😅😅

  • @zix847
    @zix847 3 месяца назад +1

    Mpumbavu mwenzang Ana mke mzur❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SalamaNtazigaya
    @SalamaNtazigaya 3 месяца назад +4

    Laaa 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @abelymzumbwe
    @abelymzumbwe 3 месяца назад +3

    Jamani taratibu tutaganyagana😂😂👏

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss 3 месяца назад +1

    Tunao taka candy uchizi umludie tujuane 😅😅😅😅😂😂😂😂❤❤❤

  • @Jacintah681
    @Jacintah681 3 месяца назад +2

    Waaaah but zuu awez kuwa chizi in the name of jesus

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 3 месяца назад +2

    Mimi natakujua wadau ivi mnalala umu RUclips au vipi mana mmejazana koooo 😂😂😂😂

    • @mwanaakidaomar4663
      @mwanaakidaomar4663 3 месяца назад

      Mmh wee wawap mwenzang mana hy koo imenikumbusha mbal sana

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 3 месяца назад

      @@mwanaakidaomar4663 😂😂😂😂 Kilwa Moja iyo kusini uko Aya imekukumbusha wapi tena

  • @CharityGilla
    @CharityGilla 3 месяца назад

    Wale wabena na wahehe wenzangu gonga makopa kwa mganga❤❤❤❤❤❤😂😂 house girl pambe❤

  • @MargaretWambui-c6c
    @MargaretWambui-c6c 3 месяца назад +1

    Waaah nawapenda sana mnafanya kazi ipasavyo ❤❤❤❤❤

  • @gracerichard7189
    @gracerichard7189 3 месяца назад +1

    Movie nimeipenda lakn candy jamn natamn nikuone kwenye maisha kawaida ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @GloryMbwambo-t3c
    @GloryMbwambo-t3c 3 месяца назад +3

    Nimekimbia nusu nidondoke😂

  • @SmilingBoombox-qk5uo
    @SmilingBoombox-qk5uo 3 месяца назад +3

    Leo mmumeweza mm na familia filamu hii nikiwa kenya

  • @daazuu4608
    @daazuu4608 3 месяца назад

    Jaman kai mzuri sana ety yani mtamu haswaaa uwiiii kai utaniua mwenzako 😂🙌

  • @salmamwakabutama
    @salmamwakabutama 3 месяца назад +1

    Kumbe bibi mnyakyusa bhana😂😂

  • @janethmkumba8904
    @janethmkumba8904 3 месяца назад +1

    Zuu awezi pata uchiz washindwe na uchawi wao uwarudie wenyewe wakina candy

  • @NipoNipoTV
    @NipoNipoTV 3 месяца назад +1

    Hatari, mko vizuri mnooo, naendelea kufuatilia kwa ukaribu mpaka mwishooo, from Tz........

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 3 месяца назад

    Duh
    Wanawake mbingu
    Mtaiona mbali 😊
    Candy acha ushirikina badilika kwa mmeo
    Uwe n'a tabia njema

  • @JaelMkamburi
    @JaelMkamburi 3 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana 🎉🎉❤

  • @denisgakuru7392
    @denisgakuru7392 3 месяца назад +1

    Wow ...nice one Kenyans in the house
    ❤❤❤❤

  • @RachelNgalya
    @RachelNgalya 3 месяца назад

    Jaman leo nilitaka niulize Mbona familia ya mpumbavu mwenzangu siioni hatimae leo nimewaona❤❤❤😂😂❤❤❤

  • @FaridaIbrahim-t1z
    @FaridaIbrahim-t1z 3 месяца назад +3

    Alam tara kichwa cha upara 😂😂😂 mara iyena iyena 😂😂😂😂 jaman mganga kiboko 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 3 месяца назад

    Mungu Ni mwema kilasiku atakutetea Kwa kilakinyume chochote anacho kufanya shetani zuu Na kupenda mdogo wangu Sana😘😘😘😘😘😘💯

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 3 месяца назад

    Maskini 😭😭 BB zuu na Mr kai 😢😢😢😢nawaombea kwa mungu awafanyie wepesi kwenye hilo in sha Allah much love 💕 busati

  • @FatmaMohammad-vd3jb
    @FatmaMohammad-vd3jb 3 месяца назад +2

    Team Kai na zuu jamani mambo moto😊

  • @shukransadala
    @shukransadala 3 месяца назад +4

    me wa 5

  • @NijimbereTeojene-uf8ns
    @NijimbereTeojene-uf8ns 3 месяца назад

    Tunaoipenda africa wadhalendo wa africa like hapa👉❤️❤️❤️

  • @AmosMethodAmos
    @AmosMethodAmos 3 месяца назад +1

    Nampenda sana kend,me nilikuwa nataka zuuu auawe

    • @KEENKYLE0
      @KEENKYLE0 3 месяца назад

      We mwanga kumbe

  • @ShamiAl-ww6gp
    @ShamiAl-ww6gp 3 месяца назад

    Movie nzuri wanastahili pongezi 🌹🌹🌹🌹

  • @BRANDINACHARLES-q7z
    @BRANDINACHARLES-q7z 3 месяца назад

    Tunaomba episode nyingne jamn..movie nzuri sanaa hii❤❤ hadi nasahau kumnyonyesha mtoto😂

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 3 месяца назад +1

    From oman naombeni likr

  • @REHEMANYEMBO
    @REHEMANYEMBO 3 месяца назад +1

    Team zuu msiogope bibi atamsaidia zuuu wetu😂😂😂

  • @GhaniaNassor
    @GhaniaNassor 3 месяца назад +1

    Jamani tunasubir next season maana ni utamu mnoo tujue nini mwisho wa zuuu na candy

  • @Rose-hy3kc
    @Rose-hy3kc 3 месяца назад

    Wakenya twawapenda Watanzania sana ama vipi Kenyans 😊😊😊😊😊

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 3 месяца назад +2

    Jamani busati tv leo mumeweza yaan double double

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 3 месяца назад

    Mungu mjariye. Zuhhh asipate uchizi wowote twaomba Jani zuhhh

  • @SylvieNzigire-y7x
    @SylvieNzigire-y7x 3 месяца назад +1

    ❤ tafazali episode ya 23

  • @liznaliaka5972
    @liznaliaka5972 3 месяца назад +1

    Woow nmefurahi maana itaka kwa wakati endeleni ivo tunawapenda sanaa na wewe kai zuu ndio bibi hata wakuroge😂

  • @LucyMteleka
    @LucyMteleka 3 месяца назад +1

    Zuuu lazma awe chizi ili movie inoge na ajue mume wa mtu sumu n bibi apate he kaweka kdg mwsho candy anakua chiz na taraka juu au atakua n mke mwenzake😅😂😂😂😂😂

  • @SifaelOlais
    @SifaelOlais 3 месяца назад +4

    Itawezekna kwel

  • @YafitaHasna
    @YafitaHasna 3 месяца назад

    House girl inakua fire 😂😂😂eeh candy wewe Naona talaka ya spid 😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +3

    Tatz dakk jaman