Safi sana ila tuwaombe waonqe na uonqzi wa vyuo vya udereva wapunquze ada hali ni mbaya sana uku lak 5 kwa Dereva ni kubwa ukilinqaniaha na posho tunazopata wakuu
Mimi nimepeleka copy ya cheti na cop ya leseni mwaka Jana mwezi wa 11 temeke yule mama alinifukuza Kama mbwa anaitaji cheti original dahh niliumia afu nimetoka mbali kweli
Safi sana ila tuwaombe waonqe na uonqzi wa vyuo vya udereva wapunquze ada hali ni mbaya sana uku lak 5 kwa Dereva ni kubwa ukilinqaniaha na posho tunazopata wakuu
sawa tunashukuru kutoka congo 🇨🇩 lubumbashi
Safi sana ila tuwaombe waonqe na uonqzi wa vyuo vya udereva wapunquze ada hali ni mbaya sana uku lak 5 kwa Dereva ni kubwa ukilinqaniaha na posho tunazopata wakuu
Safii mkuu
Changamoto ya kutestiwa upya wakati wa kulenew leseni msiikalie kimya
Kiongozi Mkuu safi sana
🙏 Saf sana
Rambeni Asali kwa Kisi?? Viongozi wa hovyo haki ya madereva Tz haitopatikana mpaka kiyama??
Hii ilikuwa ni kampeni tu ya kututoa kwenye njia baada ya kuibuka sakata la sumu
👀
Mimi nimepeleka copy ya cheti na cop ya leseni mwaka Jana mwezi wa 11 temeke yule mama alinifukuza Kama mbwa anaitaji cheti original dahh niliumia afu nimetoka mbali kweli
HIZO LESENI HUWA WANATOA WAO ALAFU AWAZIAMINI WAO WENYEWE...NA KURENEW WANARENEW WENYEWE HII NI AJABU SANA SANA
Mimi nimesoma kabla y chuo cha NIT kuanza.cheti kilikuwa kina sainiwa na Rto kipindi hcho. Kwahyo vyeti hivyo vitakuwaje?
Wewe peleka nyaraka zao
Tumesoma vetta toka mwez w 5 bado hatujapewa vyeti vyetu inakuwaje mkuu
Tupeni oloza ya hivyo vyuo wengine tulisoma zamsni itakuwaje
Nahitaji kupata kopi ya kitambulisho change Cha Taifa no yangu 19770508151090000126
Safi sana ila tuwaombe waonqe na uonqzi wa vyuo vya udereva wapunquze ada hali ni mbaya sana uku lak 5 kwa Dereva ni kubwa ukilinqaniaha na posho tunazopata wakuu