MIZANI YA WIKI VYETI MADEREVA
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Mizani ya Wiki ilijadili hatua ya Jeshi la Polisi Kikosi Cha Usalama Barabarani kutangaza uamuzi wa kuanza kukagua vyeti kwa wale wote wanaomiliki leseni za udereva!! Jeshi la Polisi Kikosi Cha Usalama Barabarani linasema linafanya hivi ili kubaini wenye leseni halali lakini pamoja na kudhibiti ajali zinazotokea mara kwa mara na zikisababishwa na uzembe wa madereva!!
Uko sahihi mr Shabani 👏👏
ADA KUBWA SANA,
Napongeza sana hoja ya shekh shabani allah amjalie busara itawale zaid
Tupewe muda sio ck 30,hazitoshi
Wanapenda kujikanyaga sana hao wanapenda sana kukulupuka sana
Tanzania nchi yangu .madereva tu polisi kaguweni na wanasiasa tuliowapa dhamana tuna Hari mbaya ripoti ya mkaguzi wa serikali inatisha mbona mpokimya
Safi Sana mwekiti
Sawa sawa Mimi nilikuwa pia Dereva wa Basi kutokana na ugumu wa ajira na Maisha nilishuka daraja Mimi mwenyewe kwa ridhaa yangu Mana hatuajiliwi Madereva wengi ni vibarua
Uu
U
U
U
Kwanza tulipen hela zetu mlizo tuibia
Afande akumbuke Licence wakati wa kubadisha ilikuwa ni fulsa ya Bure kutoka kwenye vitabu na kwenda kwenye electronic ilikuwa hakuna kutakiwa kusoma
Ndiyo safi sana ndugu dereva
Tatizo ela mkuu
Safi sana
Kamanda uko sawa ila wa Tanzania tunashida moja likitolewa tamko ndio tunalaumu lakini ukweli hili jambo lilitolewa maelekezo kabla leseni hazijabadilishwa.
Mimi nasema selekali nichanzo Cha ajali hapa wanavunga Kwa watu waio jua dereva anaendesha kwa stress kutokana na kuwajazia vitu viingu vya tozo lingine wameshindwa kuwawajibisha police waneleta balaa kwamadereva zamani wakati waleseni za vitabu tuliaanza na daraja (d)tulipanda hadi daraja(c) leo wanataka tuludi tena kule tulikotoka kulikua nahaja kubadilisha leseni
Lakn kwann wasijihoji wao leseni zilitokaje
Police inatengeneza pesa tuu kwa kupitia masomo ya udereva, na rushwa imezidi wajichunguze wenyewe kwanza, kiongozi huyo wa madereva yupo vizuri.
magari kila siku yanaongezeka
Nimewaelewa %vizuri sana
Kiongozi wa madereva umeongea vizuri sana,polisi ww wanafikilia kabla awajakulupuka,kuna shida kwenye jeshi la usalama barabaran
Jee madereva wanapewa na Nani lesen achana ufki
Zunqumzia qarama hali ya uchumi wetu n mbaya sana inqekua ata laki 1 tunqepambana
Samia upo kweri
Upo sawa mwekiti
Mbona hujibu vzr maswal kamanda
Kaka shabani ongera sana kwa mawazo mazuri kiufupi 80% madereva wamalori vyeti atuna
Askarii nao hawana resenii
Mnataka dereva akasome ada Tsh. Laki Tano mshahara wake laki mbili anasomaje? Msiwe mnampa mzigo dereva wakati maslahi yake hamuangalii
Ni kwer kamanda ila muongeze miez hii mi 3 mwisho mwaka huu wote wawe wamesoma
Maoni yangu suala hili liende sambamba na kipindi cha kurenue leseni ndio ifwatwe swala la cheti
Serikali ya tanzania imekuwa ikiwavuruga sana raia wake na hawa wagen wanaoingia kutoka Zambia,congo,nk wao nao wana vyeti na je kama hawana hawawez kusababisha ajal?
Afande upo sahihi lakini kusitokee wajanja wakahodhi mchakato wenu hususan mkidhibiti rushwa mchakato utaleta tija kubwa lakini wajanja watanunua vyeti nakuharibu mchakato
Kiongoz hili swala nimuhimu lakin lichukue tahadhali kwann hiliswala lisiwe muda wakulinew mtu awenacheti ndio alinew lesen
Sawa kabisa bwana
Ukaguzi wa vyeti usonge mbele .wanatusumbua sana rod
Hatuna mda mrefu tunataka tuache udereva waendeshe polis mazingira ya rushwa hao tunawajua
Achen uwongo yani ata machon ,mnaoneka mnapend rushwa
Cheri cha motor driver unachukua daraja lipi la leseni au serikali ilikua inataka kuibia watu?
Shida dau kubwa
JAISURIA , NIKIWA KAHAMA SHINYANGA, MAONI YANGU SERIKALI IJITOLEE KUTUSOMESHA BULE, MANA MAKOSA NI YA SERIKALI, LESEN WALITUPATIA WAO WENYEWE,
Tatizo sio leseni ni elimu tu na ajali inasababishwa na watu sio leseni
Hawa makamanda waache mambo ya hovyo hata askari wao wengi hawajui sheria askari anatolewa ffu anawekwa trafic bila course yeyote tena siku hizi wameona hela iko road traffic anakaa pembeni wa uniform ya kaki ndo mkaguzi isitoshe hakagui kitu anataka buku uende ushauri jeshi liweke askari kama ni traffic ndio wawe barabarani sio uwe mradi askari akijisikia yuko road
Hivi samia upon kweri
Acha siasa wachina wanapewa leseni bila kwenda chuo
Umeona sasa broo mpaka wachina wame pewa
Changamoto yetu watanzania tunaangalia tulipoangukia sio tulipojikwalia tatizo hapo liko wapi?Kwa madreva au mamlaka ya utoaji wa leseni kama hana sifa hiyo leseni kaipataje??Hili haliingii akilini hata kidogo hata kwa hakili ya kawaida utaratibu huo haujakaa sawa kuna haja yakuliangalia upya?
Kwaiyo ao wenye lecen wameiba au mmewapa
Kamanda nataka nikumbushe kitu wakati tunatoka kwenye lesninya kitabu tukabadili lesen bila kusoma naitwa magonga Niko mor
Leseni ya zamani ilionyesha uzoefu was dereva leo hii dereva madam aende NIT Atakama hana uzoefu was kuendesha bus anapewa kwakua mfumo wa leseni sio rafiki kwa mwajiri hususa kwenye kujua uzoefu was dereva
Nauliza polis walitowaje lesen kabla hawakuhakiki vyeti
Chuo cha taifa N I T. Hakipokei mwanafunz asie naleseni je anaipataje na wao hawatoi bila cheti hamuoni mnatuchanganya chuo kinataka lesen kikupe chet na polisi wanataka cheti wakupe leseni nani alaumiwe
Garama kubwa ya mafunzo ya udereva ndio tatizo
Cheti hakizuhi hajari
Vipi wale wenye vyeti mbona inasemekana wakasome tena tena latra tena mnawafelisha walipie mpaka awamu tatu ndio mnawapasisha ili mpate kiwango mlicho kusudia kwa kila dereva atakae soma upya
Sio mng'ang'anie madereva nanyie askari tunaomba mkaguliwe vyeti vyenu navyeo vyenu nanyie mmevipata pataje siomnahangaika namaskini ambao ndio tunao walipa mishahara yenu alaffu hamuathamini
Ni ngumu sana nikupeana tabu zisizo za lazima na watu watachukia nchi yao sio kawaida
Kuna madereva wametoa lessening kuanzia 1973 jee wakati huo kuna luna au
Hakuna madereva wa bovyo kamawanaoendesha mabasi ndiokisababishicha ajali
Mdemu uko sawa mana wasishitukize zoezi linaitaji muda
Vyuma vimekaza punguzeni ada angarau laki na nuxu lakini kama ada malaki familia hazina vyakula xhule watoto mmmmh
nchi hii inatakiwa kuwa na mambo endelevu sio kuamka tu mwisho tarehe 30 sio sawa
Selekali walipeni mishahala mizuli askali wetu muone kama hayo mnayo sumbuka nayo kila siku kama yataendelea
HUWA YANAKUJA NA KUPITA ,TUMESHA ZOEA HIZO HALI
MUNATUSAIDIAJE MADEREVA AMBAPO MAENEO MENGINE SHULE HIZO HAZIPO NAWANAFANYIA KAZI ENEO MOJA WALA HAFIKI MIJIN UKAGUZI MALAMOJAMOJA SANA
Sema ukweli mnatafuta pesa mmetuchosha navisingizio visivokiwa namaana
Jeshi la polis ndiyo chanzo kikubwa cha kutoa leseni bila cheti ,polisi wabadilike wao ni rushwa tuu
Funika kombe mwendawazimu apite
Polisi waongo sana hawajafanya utafiti wowote wa tatizo
Muongeze mda mstukurupushe kama yatima
Sio kwamba madereva hawataki kusoma masirai ni kidogo ada ingepunguzwe kuringana na masirai ya dereva
Tuondoleeni upuuzi wenu kama kazi zimekwisha za kufanya huko ofisini kwenu katafuteni shamba mlime. Hazo ni shida zenu mlitoa vipi leseni, mimi makaratasi hayo wala sijui yalipo,
Huna cheti wewe
Ukaguzi wa vyeti uendelee maana wasiosoma wanatusumbua sana huku rod
TRA shilikianeni na polisi munapotoa leseni imbatanishwe na cheti
SIO VYETI AVIKUWEPO SS 1987 TUMEFUNDISHWA HAPOHAPO MAKAO MAKUU YA TRAFIC DAR KULIKUWA NA SHURE NA VYETI VILIKUWA VINATOLEWA HAPOHAPO ..HAO NI WAGENI ?
kwahapo ajari zitakuwa bado kwaudereva washure
C waajiriwa tu waende shule, yeyote anaeitwa dereva aende shule, kumbukeni kuna ajali na kunakusababishiwa ajali na huyo ambae hajaenda shule.
Mulikosea wenyewe tokea mwanzo
Pia ajali sio vyeti Bali ajali ni uzembe wa deleva au chombo chenyewe ilitakiwa ajali ikitokea chunguza ajali alafu deleva ndio umchukulie hatua lekini apo mmefeli kwani ajali nyingi hutokea kwa ulev,usingixi na ova tek mbaya
sana tu
safi sana chama cha madereva
Sidhani kama hata watu wakienda kusoma ajali zitaisha kinachotakiwa tu wapambanaji wawe makini barabaran
wee unawakazia madereva ivi unajua shida wanayopata madereva?pese hawana adayenyewe kubwa waambie wenye chuo wapunguze ada harafu poric mbona mnakua wakari sana? kumbukeni wote niwapita njia
Fikilieni kabla ya kutenda chet hakizuii ajali mzee mnstaka watu wafanye kazi gani ilio hali maana leseni mnatoa wenyewe mnataka cheti kipunguze ajali au ikoje acheni drama tumieni uongozi wenu vizur
Nchi yangu Tanzania
Watupe mda reseni zikiisha tukienda kulinyuu tuwe tumekwenda shule tupate elimu nasivii
Maisha magumu unawarudisha watu shulen alafu je wanasifa ninani waliotoa leseni
Kira siku wimbo huo huo tu tumechoka
Miundo mbinu mbovu
Watoe elimu bure kwakuwa selikari ilishalipwa kwa kulipia leseni pia ulipiaji wa stika za usalama barabarani zisomeshe hao wenye vyeti
Kwa mshahara gani mbona Kira siku ni madereva tu
Haka kamwanya kafuatlie utakafumania tu
Vp Hawa watu wenye magari yao binafsi?
Freddy.
Masuala ni kuwa na leseni halali inaruhusu kuendesha gari maalumu. Umiliki wa magari haumaanishi kuwa una ruhusa kuendesha bila leseni.
Kamanda tuhakikishie kuwa madereva wakipata vyeti hakutakuwa ajali na zikitokea nani awajibike
Ujina2 yy mwenyew Hana lesen
Hata wewe ukaguriwe vyeti