MIZANI YA WIKI VYETI MADEREVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Mizani ya Wiki ilijadili hatua ya Jeshi la Polisi Kikosi Cha Usalama Barabarani kutangaza uamuzi wa kuanza kukagua vyeti kwa wale wote wanaomiliki leseni za udereva!! Jeshi la Polisi Kikosi Cha Usalama Barabarani linasema linafanya hivi ili kubaini wenye leseni halali lakini pamoja na kudhibiti ajali zinazotokea mara kwa mara na zikisababishwa na uzembe wa madereva!!

Комментарии • 106

  • @reginaldthomas3892
    @reginaldthomas3892 Год назад +1

    Uko sahihi mr Shabani 👏👏

  • @WilliamMtaita
    @WilliamMtaita Год назад +1

    ADA KUBWA SANA,

  • @abdulqareem2935
    @abdulqareem2935 Год назад

    Napongeza sana hoja ya shekh shabani allah amjalie busara itawale zaid

  • @reginaldthomas3892
    @reginaldthomas3892 Год назад +1

    Tupewe muda sio ck 30,hazitoshi

  • @nicholausnicholauscharlesmwaim
    @nicholausnicholauscharlesmwaim Год назад +4

    Wanapenda kujikanyaga sana hao wanapenda sana kukulupuka sana

  • @zuwenashabani4072
    @zuwenashabani4072 Год назад +3

    Tanzania nchi yangu .madereva tu polisi kaguweni na wanasiasa tuliowapa dhamana tuna Hari mbaya ripoti ya mkaguzi wa serikali inatisha mbona mpokimya

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Год назад +1

    Safi Sana mwekiti

  • @saidausi9917
    @saidausi9917 Год назад +2

    Sawa sawa Mimi nilikuwa pia Dereva wa Basi kutokana na ugumu wa ajira na Maisha nilishuka daraja Mimi mwenyewe kwa ridhaa yangu Mana hatuajiliwi Madereva wengi ni vibarua

  • @saidausi9917
    @saidausi9917 Год назад +3

    Afande akumbuke Licence wakati wa kubadisha ilikuwa ni fulsa ya Bure kutoka kwenye vitabu na kwenda kwenye electronic ilikuwa hakuna kutakiwa kusoma

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад

    Ndiyo safi sana ndugu dereva

  • @PantaleoMagonga-y6x
    @PantaleoMagonga-y6x Год назад

    Tatizo ela mkuu

  • @MohamediMchekwa-ou4dk
    @MohamediMchekwa-ou4dk Год назад

    Safi sana

  • @rashidimgaa2789
    @rashidimgaa2789 6 лет назад +1

    Kamanda uko sawa ila wa Tanzania tunashida moja likitolewa tamko ndio tunalaumu lakini ukweli hili jambo lilitolewa maelekezo kabla leseni hazijabadilishwa.

  • @victornyese9009
    @victornyese9009 Год назад

    Mimi nasema selekali nichanzo Cha ajali hapa wanavunga Kwa watu waio jua dereva anaendesha kwa stress kutokana na kuwajazia vitu viingu vya tozo lingine wameshindwa kuwawajibisha police waneleta balaa kwamadereva zamani wakati waleseni za vitabu tuliaanza na daraja (d)tulipanda hadi daraja(c) leo wanataka tuludi tena kule tulikotoka kulikua nahaja kubadilisha leseni

  • @SelemaniPeter-t3f
    @SelemaniPeter-t3f Год назад

    Lakn kwann wasijihoji wao leseni zilitokaje

  • @hepsonmboka6776
    @hepsonmboka6776 Год назад

    Police inatengeneza pesa tuu kwa kupitia masomo ya udereva, na rushwa imezidi wajichunguze wenyewe kwanza, kiongozi huyo wa madereva yupo vizuri.

  • @twaibumagongo5640
    @twaibumagongo5640 Год назад

    magari kila siku yanaongezeka

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 Год назад

    Nimewaelewa %vizuri sana

  • @masoudmasoud4211
    @masoudmasoud4211 Год назад +1

    Kiongozi wa madereva umeongea vizuri sana,polisi ww wanafikilia kabla awajakulupuka,kuna shida kwenye jeshi la usalama barabaran

  • @RomanAloyce
    @RomanAloyce Год назад

    Zunqumzia qarama hali ya uchumi wetu n mbaya sana inqekua ata laki 1 tunqepambana

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Год назад

    Samia upo kweri

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 Год назад

    Upo sawa mwekiti

  • @Waziri-zm2rw
    @Waziri-zm2rw Год назад +1

    Kaka shabani ongera sana kwa mawazo mazuri kiufupi 80% madereva wamalori vyeti atuna

  • @JoshuaMsamila-tk9df
    @JoshuaMsamila-tk9df Год назад

    Askarii nao hawana resenii

  • @kassimomary216
    @kassimomary216 Год назад

    Mnataka dereva akasome ada Tsh. Laki Tano mshahara wake laki mbili anasomaje? Msiwe mnampa mzigo dereva wakati maslahi yake hamuangalii

  • @abasimsonge5765
    @abasimsonge5765 Год назад

    Ni kwer kamanda ila muongeze miez hii mi 3 mwisho mwaka huu wote wawe wamesoma

  • @daudimichael949
    @daudimichael949 Год назад

    Maoni yangu suala hili liende sambamba na kipindi cha kurenue leseni ndio ifwatwe swala la cheti

  • @RemyRemyjingu-wr4uz
    @RemyRemyjingu-wr4uz Год назад

    Serikali ya tanzania imekuwa ikiwavuruga sana raia wake na hawa wagen wanaoingia kutoka Zambia,congo,nk wao nao wana vyeti na je kama hawana hawawez kusababisha ajal?

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Год назад

    Afande upo sahihi lakini kusitokee wajanja wakahodhi mchakato wenu hususan mkidhibiti rushwa mchakato utaleta tija kubwa lakini wajanja watanunua vyeti nakuharibu mchakato

  • @nassoroathuman5161
    @nassoroathuman5161 Год назад

    Kiongoz hili swala nimuhimu lakin lichukue tahadhali kwann hiliswala lisiwe muda wakulinew mtu awenacheti ndio alinew lesen

  • @FestoMajiyakunde
    @FestoMajiyakunde Год назад

    Sawa kabisa bwana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

    Ukaguzi wa vyeti usonge mbele .wanatusumbua sana rod

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 11 месяцев назад

    Hatuna mda mrefu tunataka tuache udereva waendeshe polis mazingira ya rushwa hao tunawajua

  • @SalimuShaban-t9q
    @SalimuShaban-t9q Год назад

    Achen uwongo yani ata machon ,mnaoneka mnapend rushwa

  • @MchinaKalimba
    @MchinaKalimba Год назад

    Cheri cha motor driver unachukua daraja lipi la leseni au serikali ilikua inataka kuibia watu?

  • @StewartAbdul-wx2oo
    @StewartAbdul-wx2oo Год назад

    Shida dau kubwa

  • @jaisuriaeoris5911
    @jaisuriaeoris5911 Год назад

    JAISURIA , NIKIWA KAHAMA SHINYANGA, MAONI YANGU SERIKALI IJITOLEE KUTUSOMESHA BULE, MANA MAKOSA NI YA SERIKALI, LESEN WALITUPATIA WAO WENYEWE,

  • @godylyimo7471
    @godylyimo7471 Год назад

    Tatizo sio leseni ni elimu tu na ajali inasababishwa na watu sio leseni

  • @maximillianmayani5119
    @maximillianmayani5119 Год назад

    Hawa makamanda waache mambo ya hovyo hata askari wao wengi hawajui sheria askari anatolewa ffu anawekwa trafic bila course yeyote tena siku hizi wameona hela iko road traffic anakaa pembeni wa uniform ya kaki ndo mkaguzi isitoshe hakagui kitu anataka buku uende ushauri jeshi liweke askari kama ni traffic ndio wawe barabarani sio uwe mradi askari akijisikia yuko road

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Год назад

    Hivi samia upon kweri

  • @alphoncejuma9652
    @alphoncejuma9652 Год назад

    Acha siasa wachina wanapewa leseni bila kwenda chuo

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Год назад

    Changamoto yetu watanzania tunaangalia tulipoangukia sio tulipojikwalia tatizo hapo liko wapi?Kwa madreva au mamlaka ya utoaji wa leseni kama hana sifa hiyo leseni kaipataje??Hili haliingii akilini hata kidogo hata kwa hakili ya kawaida utaratibu huo haujakaa sawa kuna haja yakuliangalia upya?

  • @PantaleoMagonga-y6x
    @PantaleoMagonga-y6x Год назад

    Kamanda nataka nikumbushe kitu wakati tunatoka kwenye lesninya kitabu tukabadili lesen bila kusoma naitwa magonga Niko mor

  • @victornyese9009
    @victornyese9009 Год назад

    Leseni ya zamani ilionyesha uzoefu was dereva leo hii dereva madam aende NIT Atakama hana uzoefu was kuendesha bus anapewa kwakua mfumo wa leseni sio rafiki kwa mwajiri hususa kwenye kujua uzoefu was dereva

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 Год назад

    Nauliza polis walitowaje lesen kabla hawakuhakiki vyeti

  • @gumbojr9172
    @gumbojr9172 Год назад

    Chuo cha taifa N I T. Hakipokei mwanafunz asie naleseni je anaipataje na wao hawatoi bila cheti hamuoni mnatuchanganya chuo kinataka lesen kikupe chet na polisi wanataka cheti wakupe leseni nani alaumiwe

  • @RomanAloyce
    @RomanAloyce Год назад

    Garama kubwa ya mafunzo ya udereva ndio tatizo

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Год назад

    Cheti hakizuhi hajari

  • @husseinkassimu2714
    @husseinkassimu2714 Год назад

    Vipi wale wenye vyeti mbona inasemekana wakasome tena tena latra tena mnawafelisha walipie mpaka awamu tatu ndio mnawapasisha ili mpate kiwango mlicho kusudia kwa kila dereva atakae soma upya

  • @StillSam-y1v
    @StillSam-y1v Год назад

    Sio mng'ang'anie madereva nanyie askari tunaomba mkaguliwe vyeti vyenu navyeo vyenu nanyie mmevipata pataje siomnahangaika namaskini ambao ndio tunao walipa mishahara yenu alaffu hamuathamini

  • @alexchalamila7036
    @alexchalamila7036 Год назад

    Ni ngumu sana nikupeana tabu zisizo za lazima na watu watachukia nchi yao sio kawaida

  • @SalimAlhajri-d8m
    @SalimAlhajri-d8m Год назад

    Kuna madereva wametoa lessening kuanzia 1973 jee wakati huo kuna luna au

  • @ImamuKipepe-ke7gv
    @ImamuKipepe-ke7gv 6 месяцев назад

    Hakuna madereva wa bovyo kamawanaoendesha mabasi ndiokisababishicha ajali

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 6 лет назад

    Mdemu uko sawa mana wasishitukize zoezi linaitaji muda

  • @mburaashura2248
    @mburaashura2248 Год назад

    Vyuma vimekaza punguzeni ada angarau laki na nuxu lakini kama ada malaki familia hazina vyakula xhule watoto mmmmh

  • @twaibumagongo5640
    @twaibumagongo5640 Год назад

    nchi hii inatakiwa kuwa na mambo endelevu sio kuamka tu mwisho tarehe 30 sio sawa

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 Год назад

    Selekali walipeni mishahala mizuli askali wetu muone kama hayo mnayo sumbuka nayo kila siku kama yataendelea

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Год назад

    HUWA YANAKUJA NA KUPITA ,TUMESHA ZOEA HIZO HALI

  • @rahabumgaya6435
    @rahabumgaya6435 Год назад

    MUNATUSAIDIAJE MADEREVA AMBAPO MAENEO MENGINE SHULE HIZO HAZIPO NAWANAFANYIA KAZI ENEO MOJA WALA HAFIKI MIJIN UKAGUZI MALAMOJAMOJA SANA

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Год назад

    Sema ukweli mnatafuta pesa mmetuchosha navisingizio visivokiwa namaana

  • @alphoncejuma9652
    @alphoncejuma9652 Год назад

    Jeshi la polis ndiyo chanzo kikubwa cha kutoa leseni bila cheti ,polisi wabadilike wao ni rushwa tuu

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 Год назад

    Funika kombe mwendawazimu apite

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 Год назад

    Polisi waongo sana hawajafanya utafiti wowote wa tatizo

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Год назад

    Muongeze mda mstukurupushe kama yatima

  • @davidsambala8081
    @davidsambala8081 6 лет назад

    Sio kwamba madereva hawataki kusoma masirai ni kidogo ada ingepunguzwe kuringana na masirai ya dereva

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Год назад

    Tuondoleeni upuuzi wenu kama kazi zimekwisha za kufanya huko ofisini kwenu katafuteni shamba mlime. Hazo ni shida zenu mlitoa vipi leseni, mimi makaratasi hayo wala sijui yalipo,

  • @davidsibale2441
    @davidsibale2441 Год назад

    TRA shilikianeni na polisi munapotoa leseni imbatanishwe na cheti

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Год назад

    SIO VYETI AVIKUWEPO SS 1987 TUMEFUNDISHWA HAPOHAPO MAKAO MAKUU YA TRAFIC DAR KULIKUWA NA SHURE NA VYETI VILIKUWA VINATOLEWA HAPOHAPO ..HAO NI WAGENI ?

  • @elifansiakwesso6104
    @elifansiakwesso6104 6 лет назад

    C waajiriwa tu waende shule, yeyote anaeitwa dereva aende shule, kumbukeni kuna ajali na kunakusababishiwa ajali na huyo ambae hajaenda shule.

  • @lunjeramadhani1295
    @lunjeramadhani1295 Год назад

    Mulikosea wenyewe tokea mwanzo

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Год назад

    Pia ajali sio vyeti Bali ajali ni uzembe wa deleva au chombo chenyewe ilitakiwa ajali ikitokea chunguza ajali alafu deleva ndio umchukulie hatua lekini apo mmefeli kwani ajali nyingi hutokea kwa ulev,usingixi na ova tek mbaya

  • @njombemji1311
    @njombemji1311 6 лет назад

    sana tu

  • @njombemji1311
    @njombemji1311 6 лет назад +1

    safi sana chama cha madereva

    • @abdallahlamuud104
      @abdallahlamuud104 6 лет назад

      Sidhani kama hata watu wakienda kusoma ajali zitaisha kinachotakiwa tu wapambanaji wawe makini barabaran

    • @kajilually1912
      @kajilually1912 6 лет назад

      wee unawakazia madereva ivi unajua shida wanayopata madereva?pese hawana adayenyewe kubwa waambie wenye chuo wapunguze ada harafu poric mbona mnakua wakari sana? kumbukeni wote niwapita njia

  • @boazpeter6524
    @boazpeter6524 Год назад

    Fikilieni kabla ya kutenda chet hakizuii ajali mzee mnstaka watu wafanye kazi gani ilio hali maana leseni mnatoa wenyewe mnataka cheti kipunguze ajali au ikoje acheni drama tumieni uongozi wenu vizur

  • @habakukiephes-ld8rd
    @habakukiephes-ld8rd Год назад

    Nchi yangu Tanzania

  • @Waziri-zm2rw
    @Waziri-zm2rw Год назад

    Watupe mda reseni zikiisha tukienda kulinyuu tuwe tumekwenda shule tupate elimu nasivii

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Год назад

    Maisha magumu unawarudisha watu shulen alafu je wanasifa ninani waliotoa leseni

  • @HassanHamad-kw9up
    @HassanHamad-kw9up Год назад

    Kira siku wimbo huo huo tu tumechoka

  • @FestoMajiyakunde
    @FestoMajiyakunde Год назад

    Miundo mbinu mbovu

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 Год назад

    Watoe elimu bure kwakuwa selikari ilishalipwa kwa kulipia leseni pia ulipiaji wa stika za usalama barabarani zisomeshe hao wenye vyeti

  • @DoglasiYohana
    @DoglasiYohana Год назад

    Haka kamwanya kafuatlie utakafumania tu

  • @fredypaul4154
    @fredypaul4154 6 лет назад

    Vp Hawa watu wenye magari yao binafsi?

    • @yousufharthy6876
      @yousufharthy6876 6 лет назад

      Freddy.
      Masuala ni kuwa na leseni halali inaruhusu kuendesha gari maalumu. Umiliki wa magari haumaanishi kuwa una ruhusa kuendesha bila leseni.

  • @masrergaudens3967
    @masrergaudens3967 6 лет назад +2

    Kamanda tuhakikishie kuwa madereva wakipata vyeti hakutakuwa ajali na zikitokea nani awajibike

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Год назад

    Hata wewe ukaguriwe vyeti