🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #chadema

Комментарии • 82

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад +4

    Jamani, sisi tunamsodoa Nape, hakika huyu Nape kasema ukweli Kwa kile wanachokishi nacho CCM, tumshukuru Nape katuzindua na tuwapuuze hawa wanaokanusha. Tujipange kuwakabili kikakamavu Kwa kulinda kile tunachoshndana na CCM, tukipuuza hili tumekwisha. Asante Nape endelelea kutupa ushahidi zaidi, wewe ni mkweli.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 месяца назад +2

    Nape hajatania hasa kumhusisha mwenyezi mungu,atajibiwa.Mungu amemsikia.taifa letu limeyumba sana ccm jitafakari.

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 2 месяца назад

    Ajiuzulu uwaziri !

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 2 месяца назад +1

    Mh nape umekosea sana kwa hio kauli hatakama hua mnatumia njia ya mkato kwenye uchaguzi haitakiwi kusema na hii ni mala ya 2 kusema hivyo ya kwanza ulisemaga bao la mkono mabaya zaidi ukamuhusisha na mwenyezi Mungu kanakwamba hua anawasaidia kwenye kuiba kula hii mbaya sana mmejiamini kipita kiasi mpaka mnakufuru sasa nakumfanya Mungu kama mwanadamu na mshikaji wenu

  • @PaullyzmundaPaullyamunda
    @PaullyzmundaPaullyamunda 2 месяца назад +1

    Chadema ina vijana wazuri sana, namuomba huyu,, angalia na yule wa soko la Simu2000! Safi sana!

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz 2 месяца назад +4

    Nape huo siyo utani isipokuwa umetoa siri za chama kuhusu mambo ya uchaguzi sijui ulikuwa umelewa umeawaumbua wenzio ndiyo maana wamekukana

  • @YoelMagese
    @YoelMagese 2 месяца назад +2

    Wewe huelewi vizuri. Nape kawasadia wapinzani mjue kinachoendelea upande wa pili.
    Nape anatakiwa alaumiwe na chama cha mapinfuzi, siyo ninyi wapinzani.

    • @AugustinoPeter-rn9bn
      @AugustinoPeter-rn9bn 2 месяца назад

      Sio upinzani tu bali wapiga kura ndio wanahukumiwa haki kumchagua wampendae

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 месяца назад

    Ameomba msamaha Waziri❤❤❤

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 2 месяца назад +1

    Nape Ajasema kwa bahati mbaya ccm ndio maana Wanakata Katiba Mpya na Tume Huru Ya Uchaguzi Kwakua Wanaiba Kura Kila Uchaguzi Hila Mwaka Huu Tutajua Km Ccm Polisi Tume Ya Uchaguzi Au Usalama Wa Taifa Nani Wananguvu Tutajua

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 2 месяца назад +1

    Nape Nenyau bado damu ya Magufuli inachemka! Mtumishi wa serekali tena waziri hawezi kutamka maneno alio sema Nape.

  • @mwabulambomoses9871
    @mwabulambomoses9871 2 месяца назад

    Mnakosea sana kumtuhumu Nape kwa kauli zake tata, yeye kasema kile kilichoko moyoni mwake na kile serikali ya ccm imekuwa ikifanya

  • @gililwise
    @gililwise 2 месяца назад

    Wala msimlaumu Nape ni wakati wa Mungu umefika kumtumia ili kueleza uma madhambi yanayofanyika .Mungu hadhihakiwi.

  • @alexmaula7308
    @alexmaula7308 2 месяца назад +1

    Mama kweli unamkubali Nape..anathibitisha kuwa CC M ni wezi...nadhani ni vema kumwajibisha ili kuungana na waTz kupinga kauli hiyo

  • @RichardMsema-e1c
    @RichardMsema-e1c 2 месяца назад +1

    Tunashukuru ametoa mipango iliyopangwa na ccm tujipange

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 2 месяца назад +1

    Waziri nape ajiuzulu! Ajiuzuli

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Nape anamnya Mungu kana kwamba ni Mungu ni mwizi kama yeye. Baba yetu Mungu uwasikize hawa wezi na wafisadi wakubwa hata wewe unawafahamu walivyo wezi kwa kila kitu. Kukuhusisha Wewe Mungu wetu ni kulewa na wizi wao. Waonyeshe wazi wazi kuwa Wewe Mungu wewe hujuhushi n wizi wao na ujinga wao.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 месяца назад +1

    JPM alimjua ndio maana alimtumbua, alimjua ni kiropo

  • @LameckMbele
    @LameckMbele 2 месяца назад

    Watanzania tumezidi sn upole mwacheni Walpole kura

  • @rajeshndola
    @rajeshndola 2 месяца назад +1

    Maneno ya Peter msigwa hayawezi sikilizwa na mtu mwenye akili timamu labda viongozi wa ccm na siyo wanachama wao.

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 2 месяца назад +4

    CCM wanalazimisha kutawala,nape ajiuzuru,

  • @pwaniseries
    @pwaniseries 2 месяца назад +2

    Hata mimi nilisikiliza ule haukuwa utani jamani Npe alimaanisha

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 2 месяца назад

    Nape hanakosa kwaupande wangu
    Ana wakumbusha kilamiaka muweze kujipanga

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 2 месяца назад +1

    Kiongozi usizani mhe Nape alikua anaongea Jambo ambalo halijui anaongea kwa uzoewefu kwa wanayo fanyanga.

  • @Juma-e8l
    @Juma-e8l 2 месяца назад +1

    Hajaropoka😂 bali amefichua au amewaibia ronja ya uhalisia wa ccm, amefichua siri

  • @JumaGishanga
    @JumaGishanga 2 месяца назад +2

    Ndiyo maana msigwa aliondolewa hivyo hakuna kiongozi wa milele

  • @ElizabethLaizer-x2e
    @ElizabethLaizer-x2e 2 месяца назад

    Kwa serekali makini,Nape alitakiwa ajiuzulu.

  • @JosephMarwa-m1j
    @JosephMarwa-m1j 2 месяца назад

    Kashiba
    .Sasa..kafembewa..haki..Sasa..inaenda..kupatikana..kwenye.saduku..la.kula.mungu..mkubwa.,

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 месяца назад +1

    We mbwa wa fisiemu unafikiri hapo ni kudandia hoja siye tumeshawachoka hata mfanyeje hamkubaliki

  • @MaryLyimo-y9z
    @MaryLyimo-y9z 2 месяца назад +1

    Haki huinua taifa

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 месяца назад

    Hongera chama makini ukweli napenda jinsi viongozi wanavyopatikana Hakika wanapokwa vizuri sana ni viongozi wanatosha kwenye nah nafasi wanazopewa

  • @WilbertManjonda
    @WilbertManjonda 2 месяца назад +1

    Serikali ingekuwa ya haki na isiyo na makandokando hayo, leo ingekuwa ishamfukuza kazi

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 месяца назад

    Waliacha.chedema
    Hakuna.haja.kuwajadili.mnatakiwa.kuwaachakuliko.kupoteza.muda
    Fani
    Mambo.hajayo

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx 2 месяца назад +1

    Sisi wa tanzania tuna taka katinba viogozi wanatumia madalaka vibaya yani laisi kilakitu ni jeje atutaki

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    AF KASHA OMBA RADHI KO IMEISHA IYO MNAPOTEZA MDA

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 месяца назад

      HIYO RADHI AMWOMBE MUNGU NA AKIRI KUWA AMETUKOSEA WA TZ KWA KUCHUKUA HATUA ZAIDI HATA KUJIUZURU

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 2 месяца назад

    Jamaa ametoa ushuzi wa ngomani. Kavimbiwa, tumbo linatakiwa kuwa empted, maana ushuzi unanuka. Kajambia chama chale!

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 2 месяца назад

    Nape alichozungumza ni ukweli na uhalisia unaofanywa na ccm kwenye chaguzi! Hivyo ni kujiandaa kukabiliana na UHARAMU na UHARAMIA wa ccm kwenye uchaguzi! Vijana amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi pia uchaguzi huu ccm ifutike kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais, msiwachague hawa wauza rasilimali zetu!

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 2 месяца назад

    Nape amenena ukweli mtupu mda huu tudai katiba mpya kabisaa

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 2 месяца назад

    Nape hajielewi

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 месяца назад

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 месяца назад

    Hivi wewe Clememce unajiona umeyimilika hata kama wewe ni CCM unakubaliana na kauli za Nape,naamini hata yusiokuwa na vyama,tunajua kupembua pumba.Ujue kaili xa Nape zinaona na vitendo.kumbuka uchaguzi uliopita uliacha makovu mengi na majeraha mungu hadhijakiwi hata siku moja.alichokitamka nape na kumgusisha mwenyezi mungu kwenye dhuluma na mungu atamjibu.

  • @ThompsonHMwakyusa
    @ThompsonHMwakyusa 2 месяца назад

    😊😊😊😊

  • @DicksonRubondo
    @DicksonRubondo 2 месяца назад

    Musigwa kafilisika kisiasa kwel kiujumla apuuzwe kweli

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 2 месяца назад

    Nampenda Sana Nape Yeye ni Msema kweli Hataki kusema Uongo Ila ata adhibiwa na wenzake kwanini Ana funua pazia badala ya kufunikaa

  • @abelmghana2843
    @abelmghana2843 2 месяца назад +1

    inatakiwa tufanye kama wakenya tuchoke kufanywa wajinga tujipange kwa usahii

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 2 месяца назад

    HAPANA SHAKA YOYOTE KWA KAULU YA NAPE MOSES NAUYE NI 40 ZA MWIZI ZIMEKAMILIKA POLICE WA TAKUKURU NAPOLICE WANAO LINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO WAMKAMATE MARA MOJA KWA USALAMA WAKE NA KIPELEKWA. MAHAKAMANI ,MAANA ANAWEZA KUWA CHANZO KIKUU CHA KUVURUGA AMANI YA NCHI NA UCHAGUZI

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 2 месяца назад +2

    Chadema fighting for freedom

  • @LameckMbele
    @LameckMbele 2 месяца назад

    Msigwa ni mpumbavu tu na mbowe akiondoka chadema inakufa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 месяца назад

    Hajaanza leo mwanzo alitangaza goli la mkono, tutayaona mengi wachawi kuroga na kujitapa.

  • @FaustinaBoniface
    @FaustinaBoniface 2 месяца назад

    Nape kama mtoto, mtoto hajui kuficha siri.
    Ameongea ukweli, nampongeza kwa hilo, angeficha mpaka lini?
    Tumejua....

  • @KefaNkwelemba
    @KefaNkwelemba 2 месяца назад

    Naye huyu anaongea nn kuhusu Nape?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    AF MWAMBIEN MBOE AACHIE NGAZ AU MPAKA TUANDAMANE NDO ATOKE

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 месяца назад +1

    Viongozi wa Chadema huwa humna Sera zaidi ya kudadia matukio ya sio na maana yoyote

    • @AugustinoPeter-rn9bn
      @AugustinoPeter-rn9bn 2 месяца назад +2

      Ila wewe ndio haudandii habari ,pole kwa ujinga

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 2 месяца назад +1

      Zuzu hilo

    • @binsherbal6089
      @binsherbal6089 2 месяца назад

      We Mkondya siku zote ni mpuuzi tu, Uchawa umekufanya uwe unafikiri Kwa kutumia Tumbo badala ya KICHWA. Kila inapozungumza Chadema imekua lazima ufungue bakuli lako. Jibu Hoja ya Nape kuiba Uchaguzi usidandie watu. Nape kajisema mwenyewe mbinu za Chama chenu kuiba Kura. Siku zote sie wapenda Haki tumekua tukisema MNAIBA KURA mnakataa Sasa Nape kajisemea na kawasemea kua ni kweli MNAIBA KURA. Mungu hachezewi mjue kua hiyo ni LAANA na bado yataendelea kuwatoka mpaka Wajinga wachache kama wewe mlobaki muamke muikatae CCM.

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 2 месяца назад

      Hili huwa chawa siku zote la ccm! Afya ya akili nahisi Ina shida!

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 2 месяца назад

      ​@@omaryyusuph7877 Kumbe unalijua hilo zuzu?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Nape ni mzima kabisa nasema anachokijua kitacho fanyika na ambacho wamezoea kufanya hivyo. Kwa sababu wamwaka fulani alisema hata tutahinda hata kamakwa goli la mkono.

  • @EnockKanduli-cv8yr
    @EnockKanduli-cv8yr 2 месяца назад

    Kumbukeni chaguzi za 2020 vituo mbalimbali yaliingizwa masanduku ya kura hewa kama vile kawe na maeneo mengine.

  • @MawazoStaford
    @MawazoStaford 2 месяца назад

    Ss nyie nao ni watu wa ajabu,yaani mtu anawaibia Siri"kisanii"nyie mnadai eti karopoka😂😂

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o 2 месяца назад

    Nape Nape Stop Stop huna mamlaka umezidi kuwa na madharau Kwanza tabia yako chafu kama Peter Msigwa hana moja wala
    mbili subiri ule vya Haramu kama Zuzu Nape

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 2 месяца назад +1

    Ushahidi wa Nape unalipa doa sisiem kuwa kwa muda wote walikuwa wanatuibia kura nakulazimisha kujipa uhalali wa kutuongoza wakati sio chaguo la Wananchi

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 2 месяца назад

    Achunguzwe itasaidia nini?
    Chukueni hatua..acheni maneno

  • @godwinkasembe6812
    @godwinkasembe6812 2 месяца назад

    Ccm wanasema mbowe anaendelea kuwamwenyeti wachama mbowao wanamsema mbowe mbona wao wanaendeleya kuwa madarakani wao ccm hawaoni wanamuona mbowe tu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Maovu ya CCM ni mengi kiasi wakisema mnasema kudandia. Hamtaki tuseme mnayotufanyi? Hata wanainchi tunayaona kuyasema. Sasa chini ya utawala wa CCM kunautekaji watu wasiseme ili wasiitwe wanaodandi?

  • @LuganoMwakalinga-p3k
    @LuganoMwakalinga-p3k 2 месяца назад

    Usimwite mchungaji Msigwa kwani anachunga nini?kisha anguka dhambini huyo yeye anajua bado anakibali kwa wananchi kumbe mafuta ya kibali kwa wananchi yamejazwa kumpaka Josephy Mbilinyi na huyo msigwa ajitafakari cvd 19 wako wapi? zito na wengine wengi wako wapi?yeye Msigwa kibali kwa wananchi kwishaa habari yake.Msigwa umeuza kibali chake kwa tende na aluwa byby.

  • @saidmtetwa4363
    @saidmtetwa4363 2 месяца назад +1

    Kawasaidia Nnape Nnauye nyinyi Chadema hiyo kauli hata rais wake alishaongea nyuma wakati yupo makamu wa rais,huo ni msimamo wa CCM kwahiyo mjipange Chadema acheni kulialia hao CCM ndio wapo hivyo na nyinyi muamue mwaka iwe kufa na kupona.

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 2 месяца назад +2

    Nape ametoa mipango iliyoratipiwa ccm.

  • @PeterSaramba
    @PeterSaramba 2 месяца назад +1

    Maneno ya Nape kusema hayo ni kwamba amenukuu tu kwani hata marehemu Mkapa naye aliwahi sema kuwa nashangaa sana ety akisikia kuwa C.C.M wameshindwa uchaguzi kwa sababu ya kura ya karatasi. Kwa hivyo kwa maneno hayo ya chama cha C.C.M ni dhairi kuwa C.C.M C.C.M hawashindagi kwa kura zetu wananchi hapana bali wanatuogoza kwa ubabe na kwa dola.

  • @assasimba3228
    @assasimba3228 2 месяца назад

    Hoja imeisha hii mkipata neno limekua haliishi midomoni mwenu tafuteni kura acheni ulalamishi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    AF ACHEN KUJITOA UFAHAM KWAN ALICHO KIONGEA NAPE N KIGEN KWAN HUO S NDO UHALISIA MBONA IKO WAZ

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo 2 месяца назад

    𝑀𝑤𝑎𝑚𝑏𝑖𝑒𝑛𝑖 𝑚𝑠𝑖𝑔𝑤𝑎 𝑎𝑝𝑒𝑙𝑒𝑘𝑒 𝑑𝑒𝑚𝑜𝑘𝑟𝑎𝑠𝑖𝑎 𝑎𝑙𝑖𝑦𝑜𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑠𝑒𝑚𝑎 𝑐ℎ𝑎𝑑𝑒𝑚𝑎 𝑛𝑖 𝑐ℎ𝑎𝑚𝑎 𝑐ℎ𝑎 𝑑𝑒𝑚𝑜𝑘𝑟𝑎𝑠𝑖𝑎 𝑎𝑝𝑒𝑙𝑒𝑘𝑒 𝑐𝑐𝑚 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑎𝑡𝑎𝑑𝑢𝑚𝑢 ℎ𝑎𝑡𝑎 𝑚𝑤𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑡𝑎𝑡𝑢

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 2 месяца назад

    Ajiuzulu uwaziri !

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 2 месяца назад

    Ajiuzulu uwaziri !

  • @colombanipaulo8953
    @colombanipaulo8953 2 месяца назад

    Ajiuzulu uwazri !