@@ZUMBAVEVO shukran pia ndugu yangu Zumba. Kazia buti humu humu usitembee na aidia nyepesi nyepesi kwalengo la kuwafurahisha watoto wasiojua sanaa. Piga za international namna hii. Ukipata muda tembelea filamu za Nigeria japokuwa hauna pesa nyingi za kuandaa Tamthilia za ghalama kubwa utapanua wigo wa fikra ktk kuandaa kazi zenye ubora. 🤝💥
*NIMEENDELEA kuamini kazi ili iwe kubwa na yenye ubunifu 1: stori iwe na ubunifu 2: director awe anafahamu wajibu wake 3: waigizaji wafate maelekezo 4: bajet. 🏆 Waigizaji wote humu ndani wanaonekana wanaweza sana kwasababu hizo. Hii kazi imekaa kimataifa zaidi* 🙋♂️
Kali sana bro
Big up kwa zumba team Mombasani
Zumba movie ❤❤❤iko Good congratulations for you❤❤❤
Kazi nzuri sana nzumba
Da! Unyama 2 wanangu kwa Zumba 🎉🎉🎉❤❤❤
*Kaka ake Shey Shey nimeshawahi 😁✌ YALIYOPITA, KWENYE ZUMBA. Hii kazi naifatilia kwaumakini sana*
Unyama wenyewe ndo kama hv absalute Zumba
😂😂😂😂😂zumba anatak kuwageuk mapolice dadekiii
🙌 *HII NDIO LEVO YA TAMTHILIA ZA BONGO INATAKIWA KWENDA. Salut kubwa kwako ZUMBA, mzigo umekaa vema sana* 🙌
Shukrani sana
@@ZUMBAVEVO shukran pia ndugu yangu Zumba. Kazia buti humu humu usitembee na aidia nyepesi nyepesi kwalengo la kuwafurahisha watoto wasiojua sanaa. Piga za international namna hii. Ukipata muda tembelea filamu za Nigeria japokuwa hauna pesa nyingi za kuandaa Tamthilia za ghalama kubwa utapanua wigo wa fikra ktk kuandaa kazi zenye ubora. 🤝💥
Yaani mwasi hafai kabisa kua polisi maana swali dogo tu anababaika 😂😂
Zumba umecheza sana😂😂😂😂😂
Zumba heshima kwako
Episode tamu sanaaa🎉❤❤.
Leo nmewhy big up zumba ❤❤
*NIMEENDELEA kuamini kazi ili iwe kubwa na yenye ubunifu 1: stori iwe na ubunifu 2: director awe anafahamu wajibu wake 3: waigizaji wafate maelekezo 4: bajet. 🏆 Waigizaji wote humu ndani wanaonekana wanaweza sana kwasababu hizo. Hii kazi imekaa kimataifa zaidi* 🙋♂️
Nawakubalisana wakubwa ❤zangu mapambano yanaendelea kazi nzuli💯
Kazi nzuri sn 🎉🎉
Maji yamelowa na moto umeungua
ZUMBAAAAAA! @254 nakukubali sana bro
Zumba keep it up good work ❤️ like za team Zumba ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nimependa sana umakini wa hii filamu mkopoa timu ndzima
Kazi nzur zumba 🎉🎉🎉🎉❤
ZUMBA my favorite 🎉🎉🎉
Kwa Zumba kumecangamuka😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Afu zumba ungefungialia sehemu ya like bas fanya hivyoo
Mbona iko on
Mambo ni moto 😂😂😂😂
Kazi nzur sana kaka zumba
is the best movie ever
Unyamaaaa
Osaaaa
salute
Hii movie ni yamoto sanaa..
Wa kwanza Leo kutoka 🇨🇩🇨🇩
Zumba na Zumba❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Zumba unaingia kwenye mtego bila kujijua
Watu mko fasta sana
Kazinzuri zumba
ZUMBA HUJAWAI KUFELI
Mapema Leo wakumi na Moja like hapa
Hawa askari bado level zao za spy ni za chini kabisaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉❤❤
❤❤❤
Polisi wameingia kwenye mtego wa majambazi
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤🇰🇪
🎉
Hii kiboko
Mlipo tupo
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇸🇦
Kipara Vp hatumuoni
❤❤❤❤❤❤