iyo njo nini tena baba Joan umeshinda kazi kwa kweli uki endelea ivyo uta poteza mashabiki wako wengi wa kwanza ni mimi na jamaa yangu umefika ata kuletea watu movie dha 6minute
Samahani, nduguzanguni lakini,Wacha tu nikuwe muwazi, na kama nimekosea pia nisameheni tu, lakini Iko hivi upande wangu, baba joahn ni heri urudishe babayangu kipofu season two au ulete movie nyingine lakini ainibambi hataaa mimi kama mmoja wa ma fans wako please Mr Jacob hii movie aieleweki tangia ep 1naifwatilia lakini sielewi kitu hadi nashindwa kuimalizia
Baba Joan...baba Joan
Naona unaleta utani
Kazi mzuri 🔥🇲🇿 Mozambique msumbiji 💪💪
Kazi nzuli baab Joan na team yako ❤❤
Kaxi nzuri Sana doctor moses
Kazi nzuri ❤❤🎉🎉
1 wakwanza
Very nice 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wow ❤❤❤❤
kazi Nzuri,nikwabafata toka butembo
❤❤
Leo umezingua bhna kaah dkk chache mno mno
Kaz nzuri ila dakk chache plz ongezeni dk🎉🎉🎉
Mbona fupi sana ivi duh niatari kweli
TATIZO LENU HUWA HAMUANZII MLIPOISHIAAAA.
Mnapea ..maongeo ..mengi ....mda mwingi aiii
Baba joan nipe nafas nikupe story ya maisha yang uitungie silizi hakika uttoboa
Kazi nzuri saaana bwana Doc
Mbon imeish 😮
daaah dakika mingi Sana hizo
Ila hili bit nizuri sana
Leo mmeeka dakika mingi sana😂
Nice work 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂😂
Dakika sta zenyewe daah😮😮
Hii itakuwa pafu moja yasigara😂😂
Waaa hii nayo kali jaman
🎉🎉🎉🎉mbona fupi sana
😂😂😂lep sijaelewa kabisa
Nzuriiii
Nice movie 🎥
Daah fajitas sita jamani kweli brother 🎉🎉🎉❤❤❤
Vp babajoan umetupigaje hapa leo
Heee dk6😮😮😮😮
❤❤❤❤❤❤❤nice baba joan🎉🎉🎉🎉
Baba Joab unazingua mbona move aileweki
Haya ni malolonso 6 minutes seriously 😂😂😂😂😢😢
Nyinyi nanyi kama hamuna haja na kuleta move heri muache 2 sasa nini hiii haaaa
Dhaaa yani mm sielewi klkl mana mulipoishia sihapo😢😢😢😢
Leo ni kitu gani hiki umetuletea baba joan fupi kama nn jamani😂ongeza iwe lisaa limoja hivi In Shaa Allah ❤
Six minutes jamani 😢😂wacheni kuzingua
Hii itakua imejipost😮
Jambo washikaji wenzangu baba Joan aaribu Mambo filam haieleweki Niko wenu kutoka RDC BENI
congrats ndugu yangu baba joan lakini hii episode imekuwa fupi sana ...
6mins!
Wa kwanza
Mumezingua leo hizo dakika daaa
Nakuru city Kenya tuned in
Leo nimewahi wakwanza mimi kutoka mozambique
Watching from + 245🎉❤
Dk sita seriuosly
Baba joan ile movie ya umaskini wangu imeishia wap
Leo haijaeleweka hata
Jamani sekunde ngapi leo mbona kadogo ivyo
Haya mambo gani tena bona fupi
iyo njo nini tena baba Joan umeshinda kazi kwa kweli uki endelea ivyo uta poteza mashabiki wako wengi wa kwanza ni mimi na jamaa yangu umefika ata kuletea watu movie dha 6minute
4 minutes seriously 😂 wacha muchezo
Sasa si bora usingepost yan dkk 6 harafu haieleweki kbc
Baba joan seriously 😳😳😳😳
Ongezeni dakika jamani mnazingua mjue.
Eeeeeh kwani unatuonjesha 2 ilikuwa 😂😂😂😂
Dakika sita duh
Mrudishe bundles zangu nini hiii sasa
Maua yangu
Dakika sita 😢au ndio bac tena
Sasa movie gan dakika sita kuwa serious
Ameanza kushindwa n kutoa movie sasa😂😂😂,,4min. Surely
Dakika SITA seriously.akafu inaanzia mahali ambapo haikuishia hapo.bora mtuletee baba kipofu season two iendelee.mana hiyo haieleweki
MIMI SASA HIVI NDIO KANITOA NJE YADIMBA,HATA SIJAELEWA BADO
Wa 12 Leo kutoka 🇲🇿 assente
Wa kwanza jamani naombeni likes zangu
aaaaiiii babake Joan six minutes jamani si ata ingefika 10mins ivi
Sasa hii ni move au utangulizi
Hii ilikuwa trailer ama movie kamili ❤❤
#mrkey038
Hii ndio nn aky 6 minutes tuh😂😂😂
Sasa hapa wamtoa movie awo tangazo dakika 6tu 😢😢😢😢😢😢😢
hii si episode mshaambiwa n trailer😂😂😂
Samahani, nduguzanguni lakini,Wacha tu nikuwe muwazi, na kama nimekosea pia nisameheni tu, lakini
Iko hivi upande wangu, baba joahn ni heri urudishe babayangu kipofu season two au ulete movie nyingine lakini ainibambi hataaa mimi kama mmoja wa ma fans wako please Mr Jacob hii movie aieleweki tangia ep 1naifwatilia lakini sielewi kitu hadi nashindwa kuimalizia
Mbona fup san leo
💯💯
6 minutes eti 😢😢😂❤
wewe ndo umezingatia sio wengine wana kaz ya kuomba likes tu bila kuangalia
@@khalifaallyibnadam9983 kwel ndio 😁
❤❤
Ndio nini hii baba Joan like seriously 🙄🙄🙄🙄🙄🙄funga hii movie plz amueleweki kbsa😅😅😅😅😅😅😅😅
6, minutes 😂
❤❤❤❤❤❤
Ila dakika 6 nayo hapo unatunyanyaza sisi mashabiki zako
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮 🇧🇮
Mimi hapa Gay❤
Shindwa unafaa upigwe kwa mawe ufe kabisa ww n laana kwa babako
Kwani mmekosea Au vp? Mbona fupi sana hii kazi
MMMMMMH DAKIKA 6 kweli mpo serious baba joan????
❤❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Sasa kazi haina mwelekeo 6mins na ata mwisho haueleweki hii nayo yaboo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇸🇦
💗💛💚💝💓💖💟🙏🙏🙏🙏🙏
Muache kucheza na sisi 6min only 😡😡😡😡😡 why baba Joan
episode ya leo mmezingua
Habali zenu mko poa wap like ❤❤❤❤😂😂😂😂
Episod ya leo ni fup Lakin sijaielewa
Bna fupi ivi lakn safi❤❤🎉
Eee mbona fupy????
Too short
Dakika sita sio kawaida yenu , what happened with this episode?
@aBaba joan ❤❤❤