Daah watu walikuwa wanaumiza sana vichwa kuimba nyimbo,,sauti iko high quality,, maneno yanayotoka kwenye vinywa vyenu hakika mungu hataacha yapite hivihivi atawabariki ninyi na vizazi vyenu
Kulikuwabna haja gani kuondoa mahudhui ya ule upigaji wa zamani tempo siyo hii bana analogy ilikuwa imefanya vizuri sana tena msingefanya remix mngeendelea na nyimbo nyingine za uwezo wenu hii minimekuwa naisikia inatamba
We have just started 2024 with such powerful Prayer songs.
Listening today 18th January 2025. Reminds me when I was young dad and mum would play the entire album throughout in Lusaka Zambia
Daah watu walikuwa wanaumiza sana vichwa kuimba nyimbo,,sauti iko high quality,, maneno yanayotoka kwenye vinywa vyenu hakika mungu hataacha yapite hivihivi atawabariki ninyi na vizazi vyenu
Them days wen gospel was gospel ,,,yanikumbusha nikiishi Na my dad akiweka Huu wimbo kila morning kabla niende Shule,,,may he live long ❤❤
The song my father loved those days, we could listen it from Nandi to Nairobi, it nourished my spiritual life, may my father RIP, i miss you.
Who is here with me,listening to this melodious voice?
Kwaya ya KKKT Mabibo mbarikiwe kwa nyimbo nzuri. Mungu kawazidishie neno lake la ufunuo katika utunzi na uimbaji.
Nice song .god bless this choir
Ouvindo em 2024 apartir de Angola 🇦🇴🇦🇴
Gospel song's sina nikumbusha so far kule nilitoka sifa qwa mbwana yesu🙏
Very enjoyable that was 90s am in s Africa frm zambia lundazi
Listening today 10/10/2024 GOD GIVE ME STRENGTH
Kkkt mabibo choir nawapenda sana na songs zenu ndio napenda kw gospel sana. Mungu awazidishie baraka zake
Jamani wanà kwaya awa nawapenda sana wananikumbusha mbali sana na sauti zao nzuli, mimi nawaombea kwa Mungu awape maisha malefu yenye mafanikio, amina
Still jive to this great song.. Namibia 🇳🇦
Mungu 🙏🙏 bariki kwaya hii ya kkkt mabibo mungu uliye mbinguni twakuabudu ww
It's still amazing song I loved since I was a small child , beautiful message
I feel to appreciate this choir😂 may Almighty God strength you guy's
Still on my top 2023 and forever God bless
Nyimbo nzuri sana. Bado nasikiliza nasikia kama kupaa. 2019 September
2021 bado naangalia na kusikiliza
one of the songs that was like anthem in mid 1990s, this choir was the best
Albert Njau kwakwelii mmeñikumbusha mbali
2022 I'm here... Childhood favourite
Tuwe kitu kimoja 2024
Am here 2023 December Bado hii song inahit cwec choka nayo naiskizanga continues ❤❤❤❤
I don't understand the meaning but I love this worship or praise song I believe it holds a powerful worship meaning
Amen🙏
Is this choir still there? They are the best
So.powerful 😊
This is the time when gospel music was the real thing.
Sure.
Eu sou uva,e vós sois ramos,e o meu pai é o camponês,advinha quem:?🇲🇿2024
Noma sana from tiktok
Wow nice song,much love ♥️🙏from uganda
Wonderful,,,,congrant'z.
zinanikumbusha mbali Xana yan have a excellent
Napenda sana hii song thank you kkkt mabibo
Safiii kabisa Mungu awabariki sana, ninawapenda siku zote
These songs make me miss my dad 😭 💔😭😢 MHSRIP
Now listening ,best chair
Mbarikiwe na mzidishiwe ktk KAZI yenu
Napenda nyimbo zenu saana
This song is good
Mungu wabariki nawapenda sana
Amina! Kweli sisi ni matawi. Asante sana.
Nyimbo za Injili kweli. Tuzae matundo ndugu zangu na tuwe katika umoja. Nafurahi kabisa kwa wimbo huu!
Were is the original one played with Yamaha PSR 32?
Mungu awape maisha malefu hinyimbo huwa Ina nibariki
God bless you
I love this song may God bless you
Tufanyie Mungu kazi
Hii kwaya Nimependraaaa bure kabisa ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nyimbo zuri sana❤
Mungu awabariki watumishi
2022 July sweet childhood memories
Mungu awabariki sana
Wapi vol 2?
Amen ✅🙏
Huu wimbo hunigusa saaana wakati ninapousikiliza. Mungu na awabariki na kuwazidishia siku zote
A strong song of my hat
Ongela,xana
I.nyimbo.imegewuza.mayisa.yangu.asate.watsungaji
Nice song🙏🙏❤
This is the time before the devil became a tailor
enzi zire
sasa hawa walienda wapi jamani wakaacha Dunia ya nyimbo ikichafuka hivi?
Nice song
Keep up mabibo Choir God loves you
Amen
Tumegemee mungu kwa kila jambo
Saf sana
Fabulous songs
Living in Christ.
Anyone who knows the chorus to write for us please
safi sana
Nabalikiwa sana kitanbo sana
Nakumbuka kipindi baba akiringa na Redio kaseti yake
Ahhaah acha tu. Sijuwi kama nyinyi mlikuwa na dancing competition kwenyu.
❤
2023
Hakika sauti na utamu ulipangiliwa asante kwa kumbuku
Ujana ni moshi. Unanikumbusha enzi zangu za ujana. Mwanadamu mche Mungu tu na hii ndiyo Siri ya mambo yote.
2020
congrats vijana was mabibo album zingine ziko wapi ?
Geoffrey Mumbo kwan mlipotea
Anyone can explain.the meaning of song.
ABC mlolongo choir
Hizi nyimbo mlipo zifanyia remix ndo mmeziaribu kabisaaa...... mngetuachia zile original.
Cassian Altho I support you
mlachake anania me too i support him
ni kweli kabisa hakuna uzuli wwte kushinda zile za mwanzo
Kulikuwabna haja gani kuondoa mahudhui ya ule upigaji wa zamani tempo siyo hii bana analogy ilikuwa imefanya vizuri sana tena msingefanya remix mngeendelea na nyimbo nyingine za uwezo wenu hii minimekuwa naisikia inatamba
Mbn hizo mnazotaka pia zipo
Rahma Shaban ww ndio upewe pole
Kinanda inapigwa ipasavyo
mmmmh maskin poleni sana .ila sina uhakika kama yesu aliyafanya haya mambo. msiba mkubwa sana.
imani zingine hatar huko tuendako..!!
Mungu baba msamehe uyo
Barikiweni sana
Ukibaki na iman yako inatosha
Msiba wewe na yako familia.
Nice song
❤
2023