MIMI NDIMI MZABIBU WA KWELI -St. Ignatius of Loyola Choir.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • { Mimi ndimi mzabibu wa kweli,
    Mimi ni mzabibu wa kweli
    Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2
    1).[ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,
    Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata
    Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa
    2). Kaeni nyote ndani yangu mimi,
    Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu
    Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda
    3).Mimi ni mti mti wa zabibu,
    Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu
    Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa

Комментарии • 8