BLACK FOREST CAKE RECIPE SIMPLE/KEKI NZURI YA KIJANJA
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- @mziwandabakers8297
Black Forest
Recipe
Flour/Unga 250g
Cocoa Powder 50g
Baking Powder 6g
Baking Soda 4g
Coffee 1TBSP
Sugar/Sukari 250g
Margarine 230g
Butter Milk 1 cup
Nimeipenda sanaa my dear
❤️❤️ u my I will try this
Asantee dada ubarikiwe
Asante,barikiwa
Nmeipenda sanaa mungu mwenyezi aendelee kukubariki
Amiin
Safi sana
Asante sana dada mziwanda darasa zuri samahani naomba ni kuulize swali hili iyo whipping cream haiyeyuki ukipeleka kwa mteja ndo mpaka aweke kwenye fridge kwanza
Ubarikiwe dada kwa somo zuri..naomba kuuliza ..umetumia moto wa ngapi kwa oven..tia
Mashallah
Asnt itakuwa vizuri tukiona iyo chokolet
Asante dada jmn ubarikiwe
❤
Simple, clear, helpful and well explained instructions. Napenda sana vidio zako na pia una sauti nyororo ya kuvutia.
❤🥰
Tnx so much mziwand Bakers
Dada Mziwanda Mungu akuinue kwa viwango vya juu kabsa,sku nikifika dar ntakuja kukupa ushuhuda
Hakai dar
Ubarikiwe dada ninakupenda sana🥰
Amiin karibu sana ❤
Hongera sana mambo ni mazuri sana .mnapatikana wapi dada
🥰
Asante dada kaz nzur sana ubarikiwe tunaomba utufungulie darasa group la WhatsApp jaman
Hi naweza tumia recipe hiyo kwa kupika na jiko la mkaa
Kama sina iyo machine nifanye je?
Hellow dear,cocoa unatumia brand gani?
I made it and my daughter loved it😊
You are welcome dear
Iyo uloweka mara ya pili ni cocoa powder or?
Iyo whiped cream unapata wapi
Shukran dear..umetumia cocoa ambayo sio dark cocoa?ni chungu?
Hiyo butter milk inapatikana wapi au inatengenezwaje Dada?
@mziwanda bakers whipping cream powder umenunua wapi na bei gani hapa dar?
Mimi kil nkimx sukar na bruband haviw na pov kama navyo ona kwenye video znahne
Mayai dada umetumia mangapi
5
Mm naomba kuuliza iyo butter milk kama Sina naweza tia maziwa ya kawaida au mtindi
Habari?je naweza fanya vipimo vidogo zaid ya hapo?
Asante sana kwa mafunzo.. je ni lazima kuweka baking paper wakati wa kubake?
Hii keki inaitwaje
Black forest cake
Nzuri sana. Nina swali umebake kwa temperature gani?!! Haujasema??
Asante sana madam naomba kuuliza hivi hiyo whipping cream huwa haikauki na nikwanini???
dada samahan nipo nje ya pishi hili naomba kujua unga nusu natoa cup cake ngapi za miatanomiatano
Flavor kiasi gani unaweka?
Ilikupa kilo ngapi ya keki?ningeomba kujua
Shukran sana,ubarikiwe sana, hiv umetumia tin ya nchi ngap ku bake?
Za 7"
Mashaallah..Ubarikiwe sana sis kwa masomo yako. Tunajifunza mengi. Naomba msaada keki kamq hii inaweza kuuzwa being ngapi? Tzs.
Kuanzia 45 mpka 60 pia inategemea ukubwa na quality ya vifaa ulivyotumia
Kwa vipimo ivyo ni bei gan iyo cake?
Ahsante kwa somo dear!
Je kinachotakiwa kuwa cha baridi ni maji pekee au hata bakuli wakati wa kutengeneza whipping cream?
Maji itatosha
ahsante, Allah akutunze, mie nikitengeneza butter cream haikauki, niweke nini ili ikauke
Jinsi yakutengeneza butter cream angalia Mziwanda Bakers inakauka vizuri tu
Butter milk ni maziwa ya mgando ama naona kama yanabongebonge
Ndio waweza tumia mgando pia
@@mziwandabakers8297 sawa nashukuru
Maziwa ya kawaida unaweka na 1tsp ya vinegar ndo inatokea mabongebonge
Kwani dada wewe unatumia oven gani na ni ya lita ngapi?
Lita 70 Germany
Lita 100 na pia za gas