MTAZAME MENEJA KIKOSI CHA UMEME AKITOA NONDO USIMIKAJI MIFUMO YA UMEME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • TEMESA imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali ya usimikaji wa mifumo ya umeme, TEHAMA, viyoyozi, lifti na viashiria moto katika majengo mbalimbali ya Serikali yanayoendelea kujengwa katika miji mbalimbali ikiwemo mji wa Serikali Mtumba.
    Katika mwaka wa fedha 2024/2025, mojawapo ya miradi inayotekelezwa ni ujenzi wa nyumba za makazi ya viongozi zinazoendelea kujengwa hapa Mkoani Dodoma
    Mtazame hapa Meneja wa TEMESA Kikosi cha Umeme, Mhandisi Pongeza Semakuwa, akieleza hatua zilizofikiwa na Kikosi cha Umeme katika usimikaji wa mifumo hiyo katika mradi huo ambapo ameishukuru serikali kwa kuendelea kuiamini TEMESA na kuipatia miradi hiyo
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 1