RIPOTI MPYA ya KIFO cha NUSURA wa UDOM, MAMBO 13 MAZITO, HAKI za BINADAMU WAMALIZA UTATA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • RIPOTI MPYA ya KIFO cha NUSURA wa UDOM, MAMBO 13 MAZITO, HAKI za BINADAMU WAMALIZA UTATA...
    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania, leo Juni 2, 2023 imetoa taarifa juu ya Matokeo ya uchunguzi wa kifo cha Nusura Hassan Abdallah aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
    Ripoti hiyo inasomeka kama ifuatavyo; Mtakumbuka kuwa tarehe 10 Mei, 2023, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) ilitoa taarifa kwa Umma kupitia vyombo vya habari ikielezea nia yake ya kufanya uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Marehemu Nusura Hassan Abdallah, ambacho chanzo chake kilizua mkanganyiko, ambapo baadhi ya watu walikihusisha na ajali ya gari iliyomhusu Mhe.
    Dkt. Festo John Dugange (Mb), Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - OR, TAMISEMI (Afya).
    Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa, THBUB imekamilisha uchunguzi...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 15

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @veronicabusinge8795
    @veronicabusinge8795 Год назад +2

    Sasa waziri ameingiaje haponi uonezi tu kufuatana na maelezo Yao duu 😮

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад +1

    Uongo tu dah 😭😭😭🙏🙏

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Wote waliosingiziwa walipwe tena sana😮

  • @fashion7442
    @fashion7442 Год назад +1

    Uongo lakini tumeupokea maana hatujaelezwa ile kanzu ilikuwa mbadala wa nini

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Год назад

    Nchi ya hovyo sana hii
    Mnauwa nguvu ya kesho

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 Год назад +1

    Mumuachie sasa hawarayake kama itakua mmemshika simmeshafahamu ukweli

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tanzania yetu tunaipenda

  • @amanisewando529
    @amanisewando529 Год назад

    Huo ndio ukweli, wabongo tuache uzushi

  • @vincentlihendeko1906
    @vincentlihendeko1906 Год назад

    WEE ACHA HIYO NAMBA ZA GARI HAZIJAKAMILIKA

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Год назад

    7

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Год назад

    wana fichiana siri asee hii nchi bwana aya amekufa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад

    Nonsense

  • @mauldabdalah2168
    @mauldabdalah2168 Год назад +1

    Mumuachie sasa hawarayake kama itakua mmemshika simmeshafahamu ukweli