Shame on you Mr Minister unaongea Siasa sehemu inayo hitaji Taaluma. Hizi mamlaka zenu za Uteuzi huwa zina fanya Vetting ya Kutosha? Nimeona aibu wew kama msimamizi wa sere umekaa na wataalam wako kujua changamoto za Taasisi zilizopo chini ya Wizara yako? Umejiridhisha kuwa wizara inawataalamu wa kutosha? Uki ondoa maagizo nini extra umefanya kuwapa support?
1+1 is zerroo
Shame on you Mr Minister unaongea Siasa sehemu inayo hitaji Taaluma. Hizi mamlaka zenu za Uteuzi huwa zina fanya Vetting ya Kutosha? Nimeona aibu wew kama msimamizi wa sere umekaa na wataalam wako kujua changamoto za Taasisi zilizopo chini ya Wizara yako? Umejiridhisha kuwa wizara inawataalamu wa kutosha? Uki ondoa maagizo nini extra umefanya kuwapa support?
Dira ya Taifa ya maendeleo 2050 jengeni vitu vya viwango.....barabara, madaraja, mitaro. Muda huu mvua ni nyingi tunaona matundu ya uhakika.