Kweli Udom kiboko!Ebu ona first year wanavyoshangaa maajabu ya chuo kikuu cha Dodoma.
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #Udom inaendelea kupanda hadhi kila siku kutokana na mfumo bora wa uongozi uliopo chuoni, kuanzia ngazi ya uongozi wa juu mpaka ngazi ya uongozi wa wanafunzi(Udoso)jambo linalopelekea utolewaji kwa elimu bora inayoandaa wasomi makini wenye viwango vya hali ya juu watakaokuwa wazalendo wa kweli wenye kulitumikia Taifa.
Ni mwanaUDOM 2014-2017 shahada ya Sanaa na Elimu (Kifaransa & Kiswahili), tujitahidi sana katika kujieleza, tutumie lugha moja kama ni Kiswahili basi kiwe Kiswahili na kama ni Kiingereza basi kiwe Kiingereza na sio kuchanganya, pia tujitahidi suala la matamshi.
Kumbuka: Vipande vya video kama hivi vinatazamwa na dunia nzima hivyo tujitahidi kuhakikisha tunatoa taswira nzuri ya chuo chetu hiki na nchi yetu kwa ujumla.
Tuko pamoja
Dumu daima UDOM
Pazur kwel mung anijalie nimweny kuchaguliwa mwak2024
Udom Ambassadors we on fire 🔥
Msome sana hapo sio pa mchezo mchezo
kwelii n chuo kizurii,mchaka mchaka wa coz work ad raha😘
Let us proud UDOM to the world
Sawa chuo ni kizuri,,,sasa tujitahidi mitaala ya masomo ipatikane ktk lugha yetu ya Kiswahili,,mambo ya you know,,you know,,of coz na ushenzi ushenzi wa kizungu tuachane nao,,,wasomi hao wanaofundisha vyuo vyetu sasa ni wakati muafaka wa kukitumia Kiswahili kwa manufaa ya taifa letu,,,napendekeza Kiswahili ndiyo iwe lugha ya Kwanza kufundishia,,nyingine ziwepo Ila mama awe kiswahili. Ili watu waelimike barabara ni lazima utumie lugha mama yao kuwaelimisha,,tuache kuchanganyana mwisho wa siku wahitimu na washahada ndiyo kama hawa tunaowaona kichwani hakuna chochote zaidi ya kuzungumza kiingereza tena kisichoeleweka. Tunahitaji kuona wahitimu wenye uweledi wa kueleweka na si wahitimu wa kujidai wanazijua lugha za watu ingali kwao hakuna akijuacho
wazo zuri na ndivyo inavyotakiwa natamani hata mimi iwe hivo
Ngojen muanze kutafuta coz work 😯
😂😂😂😂 moto mwingine huo 😂😂😂 patashika shati kuchanika😂😂
Udom to the World 🔥🙏
We on 🔥🔥🔥
I'm udom ambassador
Fire
Udom THE best university
Gud
ni Shkopaaaahhhhh ✌
UDOM noumaaa!!
..wanafunzi chuo kikuu mnashindwa kabisa kujieleza!you can't express yourselves correctly and precisely...a lot of misuse and mispronunciations of words..both languages Kisw&English..
Umepata ujumbe lkn
Binafsi nimejisikia aibu
Fire