Kweli Udom kiboko!Ebu ona first year wanavyoshangaa maajabu ya chuo kikuu cha Dodoma.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #Udom inaendelea kupanda hadhi kila siku kutokana na mfumo bora wa uongozi uliopo chuoni, kuanzia ngazi ya uongozi wa juu mpaka ngazi ya uongozi wa wanafunzi(Udoso)jambo linalopelekea utolewaji kwa elimu bora inayoandaa wasomi makini wenye viwango vya hali ya juu watakaokuwa wazalendo wa kweli wenye kulitumikia Taifa.

Комментарии • 22

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 4 года назад +3

    Ni mwanaUDOM 2014-2017 shahada ya Sanaa na Elimu (Kifaransa & Kiswahili), tujitahidi sana katika kujieleza, tutumie lugha moja kama ni Kiswahili basi kiwe Kiswahili na kama ni Kiingereza basi kiwe Kiingereza na sio kuchanganya, pia tujitahidi suala la matamshi.
    Kumbuka: Vipande vya video kama hivi vinatazamwa na dunia nzima hivyo tujitahidi kuhakikisha tunatoa taswira nzuri ya chuo chetu hiki na nchi yetu kwa ujumla.
    Tuko pamoja
    Dumu daima UDOM

  • @SalimHassan-w3d
    @SalimHassan-w3d Месяц назад

    Pazur kwel mung anijalie nimweny kuchaguliwa mwak2024

  • @fadhilifantastic5032
    @fadhilifantastic5032 4 года назад +1

    Udom Ambassadors we on fire 🔥

  • @ramadhanyahaya5737
    @ramadhanyahaya5737 4 года назад +1

    Msome sana hapo sio pa mchezo mchezo

  • @magrethrichard5653
    @magrethrichard5653 4 года назад

    kwelii n chuo kizurii,mchaka mchaka wa coz work ad raha😘

  • @neemachongolo6498
    @neemachongolo6498 4 года назад

    Let us proud UDOM to the world

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 4 года назад +5

    Sawa chuo ni kizuri,,,sasa tujitahidi mitaala ya masomo ipatikane ktk lugha yetu ya Kiswahili,,mambo ya you know,,you know,,of coz na ushenzi ushenzi wa kizungu tuachane nao,,,wasomi hao wanaofundisha vyuo vyetu sasa ni wakati muafaka wa kukitumia Kiswahili kwa manufaa ya taifa letu,,,napendekeza Kiswahili ndiyo iwe lugha ya Kwanza kufundishia,,nyingine ziwepo Ila mama awe kiswahili. Ili watu waelimike barabara ni lazima utumie lugha mama yao kuwaelimisha,,tuache kuchanganyana mwisho wa siku wahitimu na washahada ndiyo kama hawa tunaowaona kichwani hakuna chochote zaidi ya kuzungumza kiingereza tena kisichoeleweka. Tunahitaji kuona wahitimu wenye uweledi wa kueleweka na si wahitimu wa kujidai wanazijua lugha za watu ingali kwao hakuna akijuacho

    • @princessbetty2
      @princessbetty2 11 месяцев назад

      wazo zuri na ndivyo inavyotakiwa natamani hata mimi iwe hivo

  • @ramadhanyahaya5737
    @ramadhanyahaya5737 4 года назад +2

    Ngojen muanze kutafuta coz work 😯

    • @mfumbuzionlinetv
      @mfumbuzionlinetv 4 года назад

      😂😂😂😂 moto mwingine huo 😂😂😂 patashika shati kuchanika😂😂

  • @rehemabruno484
    @rehemabruno484 4 года назад

    Udom to the World 🔥🙏

  • @davidbombeki5797
    @davidbombeki5797 4 года назад

    We on 🔥🔥🔥

  • @dsusuma1875
    @dsusuma1875 4 года назад

    I'm udom ambassador

  • @paulchalela3925
    @paulchalela3925 4 года назад

    Fire

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 4 года назад

    Udom THE best university

  • @lazarolazaro308
    @lazarolazaro308 4 года назад

    Gud

  • @kadikmctv7578
    @kadikmctv7578 4 года назад

    ni Shkopaaaahhhhh ✌

  • @marynjiku2066
    @marynjiku2066 4 года назад

    UDOM noumaaa!!

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 года назад

    ..wanafunzi chuo kikuu mnashindwa kabisa kujieleza!you can't express yourselves correctly and precisely...a lot of misuse and mispronunciations of words..both languages Kisw&English..

  • @estherjoseph4939
    @estherjoseph4939 4 года назад

    Fire