Maisha ya Ujasi, eneo maarufu linalokuwa kwa kasi kibiashara jijini Dodoma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ujasi ni eneo maarufu hapa jijini Dodoma, hasa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)pamoja na wakazi wa Kata ya Nghongh'onha lilipo eneo hili.
    Neno 'Ujasi' lni kifupisho cha Ujasiriamali, eneo ambalo linatajwa kuwa silimia 98 ya wajasiriamali hapa ni wahitimu wa Udom pamoja na wanafunzi walioamua kujiajiri kwa kkutumia muda wao wa ziada huku wakiendelea na masomo.
    Mwananchi imefika eneo hili ambalo watu wengi wamekuwa wakieleza jinsi linavyokuwa siku hadi siku, kuangazia maisha ya wajasi, changamoto na jinsi walivyotazama fursa na hapa mwenyekiti wa ujasi anatueleza zaidi.
    Tumepata fursa ya kkuzungumza na Wajasi wenyewe kkueleza maisha yao pamoja na shughuli zao huku simulizi zao zikisisimua zaidi kutokana na wengi wao kuwa ni Wanafunzi na wahitimu wa Chuo Kikuu na hapa wajasi wanatusimulia maisha yao.
    Unaweza kusoma ripoti hii kuhusu maisha ya Ujasi kwenye website ya Mwannanchi, Instagram, Facebook na Twitter, tuambie ni yapi maoni yakko kwenye bar ya coments hapo chini, usisahau ku share na ku subscribe Mwananchi Digital.

Комментарии • 2

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 8 месяцев назад

    Safi sana, Eneo zuri sana kwa uwekezaji

  • @mfaumemkoma-ey2jd
    @mfaumemkoma-ey2jd 8 месяцев назад

    Nime vutiwa sana nafulusa za apo ujasilia nita kwenda kuona jisigani na mimi naweza kuwekeza nimefulai sana kuiyona hividio kunakitu nime kipata asateni sana