RAIS SAMIA AMTAJA HAYATI JPM NDANI YA TRENI YA SGR 'NILIANZA NA MWENZANGU NIMEYAKAMILISHA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 31

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 2 месяца назад +12

    Hii kazi alianza magufuli na CCM wengi pamoja na wapinzani wengi hawakuamini kuwa itawezekana lakini magufuli alikuwa mtu wa ndoto nyingi sana,, alikuwa na nguvu ya akili na moyo ndio maana alikuwa na ujasiri wa kuwaza na kufanya vitu vikubwa

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад +8

    Rais nimekupongeza umeongea kwa akili kuwa ilianza ukiwa Makamu wa Rais , Mungu akubariki, na angalia wasio endana na kasi yako, na kadogosa anakufaa katika wizara yoyote ,Mungu akuongoze Mh,

  • @MakameUssi-vl9tz
    @MakameUssi-vl9tz 2 месяца назад +5

    Hayati alitengeza njia mama anamalizia mungu amuweke sana mama yetu mpendwa

  • @shillabantu3905
    @shillabantu3905 2 месяца назад +4

    Mama afadhali umeongea ukweli kwa kumtaja Magufuli 👏🏿👏🏿 na Mungu atakuongoza milele.🤲🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 месяца назад +3

    Ahsante kwa ukweli mama Samia RIP JPM tutakukumbuka daima🙏

  • @emmanuelmarwa-r5n
    @emmanuelmarwa-r5n 2 месяца назад +3

    Rais wangu Samia, kwa ajili ya Taifa letu la TANZANIA, Mungu akupe umri mrefu mama. Nakupenda sana, lakini pia mama kwa sie tulio soma, tunahitaji sera na msaada wako kuhusu ajira. Viva mama, Viva Rais wangu Samia.

  • @mabulaelias261
    @mabulaelias261 2 месяца назад +3

    Hapo kwenye familia Mama umenigusa naishi mbali na familia yangu mimi nipo RUVUMA -TUNDURU halafu familia ipo SIMIYU-BUSEGA

  • @MARIAMUBAJUTA
    @MARIAMUBAJUTA 2 месяца назад +5

    Samia Raisi wangu bora❤

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 2 месяца назад +3

    Hongera sana kwkutekeleza Mirada ya mtungliza wako umeonesha moyo wa usikivu sana bila kubabaika ulipo tupo.

  • @hamisathuman9762
    @hamisathuman9762 2 месяца назад +4

    Hongera sana mama,nakupenda Rais wangu

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 месяца назад +5

    Hongera sana Raisi John Pombe Magufuli

  • @KidosMussa
    @KidosMussa 2 месяца назад +3

    Mama yupo vizuri, Kazi tunaziona

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 2 месяца назад +4

    Kwanini useme mwenzako Marehamu sema hayati magufuli tutafurahi zaidi

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 месяца назад +8

    Jpm aliona mbal sanaa

  • @matridamwaituka4377
    @matridamwaituka4377 2 месяца назад +4

    Hongera sn Rais

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +1

    Mama Samia Makonda yuko wapi?

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 месяца назад +4

    Naona unajizuia kumtaja Magufuli ngoja tukusaidie huu mradi ni WA Magufuli

    • @AlphonceShija
      @AlphonceShija 2 месяца назад +1

      Yaan acha tu,asingeweza bila magufuli

    • @imanuelzakayo8703
      @imanuelzakayo8703 2 месяца назад

      Eti anasema mwenzake marehemu aseme hayati magufuli

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 2 месяца назад +1

    Umeongea point Sana mama kwakweli

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp 2 месяца назад +4

    Mama Samia umenena kweli

  • @simonainea5387
    @simonainea5387 2 месяца назад

    Kwani makonda Yuko wapi? Tumewe marehemu wetu tukamzike😢😢😢 huu sio uungwana😢😢

  • @agogomgagagigigogo
    @agogomgagagigigogo 2 месяца назад +2

    Kama naanza kukuelewaelewa hivi au ni mahojiano haya tu ndo yamenivutia😮

  • @kijakazimussa9236
    @kijakazimussa9236 2 месяца назад +1

    Kwel mama unaponza biashara usitegemee faida mwanzo wa biashara... Ila nkujeijenga kwanza faida bdae

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 24 дня назад

    Sawa Mama lakini wasiibe mpaka wakaanza kuchukua ruzuku mama hiyo usikubali kabisa pamoja ni huduma lakini ijitegemee

  • @AlphonceShija
    @AlphonceShija 2 месяца назад +1

    Magufuli alikua zaidi ya rais,unateleza tu usingekua na mawazo haya jamaa alikua jasiri sana na mtu wa maamuzi

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 месяца назад +3

    KWELI MAMA SAMIA

  • @NiyomwungeliTheophire
    @NiyomwungeliTheophire 2 месяца назад +1

    Closed

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад

    Tutakukumbuka daima mbeba maono, mtu wa kuthubutu, jasiri usiye na hofu ya kuanza jambo kubwa. Ulituonyesha njia na kutuaminisha kuwa yanawezekana, na ulikuwa unasema tumechelewa sana, maana yake wapo waliotuchelewesha. Ukaanza kwa kasi kubwa kila kitu ukijaribu kufidia muda tuliopoteza. Hatuwezi kumlaumu mola kwa kukuchukua mapema taifa likiwa bado linakuhitaji. Huna baya baba, lala salama Kamanda.

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 месяца назад +1

    Speed hii mheshimiwa inatosha isizidi