Hii kazi alianza magufuli na CCM wengi pamoja na wapinzani wengi hawakuamini kuwa itawezekana lakini magufuli alikuwa mtu wa ndoto nyingi sana,, alikuwa na nguvu ya akili na moyo ndio maana alikuwa na ujasiri wa kuwaza na kufanya vitu vikubwa
Rais nimekupongeza umeongea kwa akili kuwa ilianza ukiwa Makamu wa Rais , Mungu akubariki, na angalia wasio endana na kasi yako, na kadogosa anakufaa katika wizara yoyote ,Mungu akuongoze Mh,
Rais wangu Samia, kwa ajili ya Taifa letu la TANZANIA, Mungu akupe umri mrefu mama. Nakupenda sana, lakini pia mama kwa sie tulio soma, tunahitaji sera na msaada wako kuhusu ajira. Viva mama, Viva Rais wangu Samia.
Tutakukumbuka daima mbeba maono, mtu wa kuthubutu, jasiri usiye na hofu ya kuanza jambo kubwa. Ulituonyesha njia na kutuaminisha kuwa yanawezekana, na ulikuwa unasema tumechelewa sana, maana yake wapo waliotuchelewesha. Ukaanza kwa kasi kubwa kila kitu ukijaribu kufidia muda tuliopoteza. Hatuwezi kumlaumu mola kwa kukuchukua mapema taifa likiwa bado linakuhitaji. Huna baya baba, lala salama Kamanda.
Hii kazi alianza magufuli na CCM wengi pamoja na wapinzani wengi hawakuamini kuwa itawezekana lakini magufuli alikuwa mtu wa ndoto nyingi sana,, alikuwa na nguvu ya akili na moyo ndio maana alikuwa na ujasiri wa kuwaza na kufanya vitu vikubwa
Rais nimekupongeza umeongea kwa akili kuwa ilianza ukiwa Makamu wa Rais , Mungu akubariki, na angalia wasio endana na kasi yako, na kadogosa anakufaa katika wizara yoyote ,Mungu akuongoze Mh,
Hayati alitengeza njia mama anamalizia mungu amuweke sana mama yetu mpendwa
Mama afadhali umeongea ukweli kwa kumtaja Magufuli 👏🏿👏🏿 na Mungu atakuongoza milele.🤲🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ahsante kwa ukweli mama Samia RIP JPM tutakukumbuka daima🙏
Rais wangu Samia, kwa ajili ya Taifa letu la TANZANIA, Mungu akupe umri mrefu mama. Nakupenda sana, lakini pia mama kwa sie tulio soma, tunahitaji sera na msaada wako kuhusu ajira. Viva mama, Viva Rais wangu Samia.
Hapo kwenye familia Mama umenigusa naishi mbali na familia yangu mimi nipo RUVUMA -TUNDURU halafu familia ipo SIMIYU-BUSEGA
Samia Raisi wangu bora❤
Hongera sana kwkutekeleza Mirada ya mtungliza wako umeonesha moyo wa usikivu sana bila kubabaika ulipo tupo.
Hongera sana mama,nakupenda Rais wangu
Hongera sana Raisi John Pombe Magufuli
Mama yupo vizuri, Kazi tunaziona
Kwanini useme mwenzako Marehamu sema hayati magufuli tutafurahi zaidi
Jpm aliona mbal sanaa
Hongera sn Rais
Mama Samia Makonda yuko wapi?
Naona unajizuia kumtaja Magufuli ngoja tukusaidie huu mradi ni WA Magufuli
Yaan acha tu,asingeweza bila magufuli
Eti anasema mwenzake marehemu aseme hayati magufuli
Umeongea point Sana mama kwakweli
Mama Samia umenena kweli
Kwani makonda Yuko wapi? Tumewe marehemu wetu tukamzike😢😢😢 huu sio uungwana😢😢
Kama naanza kukuelewaelewa hivi au ni mahojiano haya tu ndo yamenivutia😮
Kwel mama unaponza biashara usitegemee faida mwanzo wa biashara... Ila nkujeijenga kwanza faida bdae
Sawa Mama lakini wasiibe mpaka wakaanza kuchukua ruzuku mama hiyo usikubali kabisa pamoja ni huduma lakini ijitegemee
Magufuli alikua zaidi ya rais,unateleza tu usingekua na mawazo haya jamaa alikua jasiri sana na mtu wa maamuzi
KWELI MAMA SAMIA
Closed
Tutakukumbuka daima mbeba maono, mtu wa kuthubutu, jasiri usiye na hofu ya kuanza jambo kubwa. Ulituonyesha njia na kutuaminisha kuwa yanawezekana, na ulikuwa unasema tumechelewa sana, maana yake wapo waliotuchelewesha. Ukaanza kwa kasi kubwa kila kitu ukijaribu kufidia muda tuliopoteza. Hatuwezi kumlaumu mola kwa kukuchukua mapema taifa likiwa bado linakuhitaji. Huna baya baba, lala salama Kamanda.
Speed hii mheshimiwa inatosha isizidi