UWANJA WA VITA MAISHANI MWAKO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 236

  • @TuyishimeLahayloy
    @TuyishimeLahayloy 9 месяцев назад +1

    Very intelligent man of God!!!listening from zambia❤❤❤❤❤

  • @KabulaElias-l5c
    @KabulaElias-l5c 10 месяцев назад +2

    GOD blessed Pastor Mmbaga and give long life together your my family

  • @raheljose9524
    @raheljose9524 2 года назад +3

    Asante sana Pastor Mbaga kwa somo zuri. Limenipa faraja kuu. Mungu wetu aendelee kukutunza.

  • @mn9484
    @mn9484 4 года назад +15

    Isaya 43:25 Mungu afutaye makosa yangu kwa ajili Yake. Hakumbuki dhambi yangu.
    Mungu hana list ya dhambi zangu.

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Год назад +1

    Sitababaika tena... Namwamin mungu maana ako na Kila itaji LA moyo wangu.... Nimebarikiwa na injili... May GOD bless you man of God

  • @elizabethnchalla9200
    @elizabethnchalla9200 4 года назад +4

    Baaba ninakushukuru kwa kuwa umenisikia. Kupitia somo hili umeiganga mioyo yetu. Barikiwa sana Pastor Mbaga. Amen

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 4 года назад +13

    Since l started to follow the program of pastor mbaga my life has changed be blessed man of God

    • @ruthaminga7160
      @ruthaminga7160 4 года назад

      Amen hats Mimi I thank God for him

    • @joliea2956
      @joliea2956 4 года назад

      Hakika hili hubiri limenitoa chozi,maana nilikumbuka maovu yangu,Mungu akubariki sana pasta mmbaga,nimeokoka kupitia mahubiri yako

    • @ruthaminga7160
      @ruthaminga7160 4 года назад

      @@joliea2956 Amen

    • @bonventureminja9697
      @bonventureminja9697 4 года назад

      Jamani huyu mtumishi wa Mumgu aninibariki Sana kwaa Mahubiri yake naomba Sana kwenye namba yake ya simu anitumie

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 года назад

      +255 755 932 283 Whatspp

  • @rechaelnjeri3299
    @rechaelnjeri3299 11 месяцев назад +1

    What a wonderful sermon may God bless you

  • @mamarusi2769
    @mamarusi2769 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji na Mungu azidi kukutunza na kukulinda pia

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 года назад +9

    Roho ya Mungu iko juu ya Mmbanga. Unafundisha mafundisho yanaingia vizuri Sana. Mungu akumbariki na akundumishe kwenye kazi yake🙏

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 года назад +2

    Tunabarikiwa sana Mungu akubariki sana pastor

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 2 года назад +1

    Pastor be blessed umeniondolea mzigo I can't explain but God knows yaani I'm free in the mighty name Amen 🙏

  • @BahatiKazibake
    @BahatiKazibake Год назад

    Shukrani sana,kwa kututiya moyo tena hasa sisi vijana; Mwenyezi Mungu Akuzidishie. From USA /texas.

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 3 года назад +1

    Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 4 года назад +9

    Mungu wa mbinguni nisamehe dhambi zangu zote na ufute jina langu katika kitabu Cha hukumu ukaliweke katika kitabu Cha uzima wa milele,,,

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 4 года назад +3

    Ahsante sanaaa leo nimepokea kitu

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 4 года назад +1

    Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina

  • @irenemsabaha1303
    @irenemsabaha1303 3 года назад +1

    Nabarikiwa sana na Mahubiri yako Yaani kwa kweli yananitia moyo vibaya mnooo!Barikiwa sana Man of God!

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +3

    Amen mchungaji wangu Bwana Mungu akubariki sana na familia yako, Mungu atubariki sote,

  • @makyeintiro1023
    @makyeintiro1023 11 месяцев назад +1

    Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.

  • @yohanaanthony3422
    @yohanaanthony3422 4 года назад +7

    Kwa kweli Pastor, wewe ni mtumishi wa pekee kabisa kuhubiri kwa kuwafanya watu wawe marafiki wa Mungu.

  • @BahatiElikana
    @BahatiElikana Год назад

    Mungu aendelee kukutumiaa kutusaidiaa kuisogelea mbingu.thanks pastor God bless you

  • @jedielkareithi4966
    @jedielkareithi4966 Год назад

    Nimemuona paster Baraka mtumishi mungu akubariki.umepotea sn paster wangu

  • @sisterolivia9874
    @sisterolivia9874 4 года назад +3

    Listening from Kenya but In qatar Doha.... Nashukuru mungu kwa ufunuo huu kupitia mtumishi wako.... Sifa zikurudie wewe mueza wa yote.

  • @bridgetmbawala1029
    @bridgetmbawala1029 3 года назад

    Namshukuru Mungu kwa kunifunulia Neno hili.
    Asante Pastor David Mmbaga.

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 года назад +2

    Mungu umenisaidia, akili yangu imebona, ngome zimeshindwa ktk jina la yesu amen

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад +3

    Kisa cha binti kimeniliza mch. mara nyingi wengi wetu tumezoea kuhukumu wengine badala ya kuokoa roho.Mungu atusamehe sana wakristo wa leo.

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 4 года назад +5

    Nimebarikiwa sana 💘MUNGU azIdi kuwainua MTUMISHI WA MUNGU ili uzidi kutupa chakula cha uzima neno dio uzima wa milele

  • @bettymiligwa9909
    @bettymiligwa9909 4 года назад +1

    Mungu akubariki pastor

  • @laurentmsoya6733
    @laurentmsoya6733 3 года назад

    Nimebarikiwa sana. Mungu akubariki Pr. Mbaga. Akawe nasi sote.
    Ila fungu la Waraka wa Yohana hukulisoma.

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 10 месяцев назад

    Nabarikiwa sana pasita kusikiliza mahubiri yako Mungu akubariki sana

  • @CatherineKwamboka-ip1gg
    @CatherineKwamboka-ip1gg Год назад

    AMEN pastor Kwa mafunzo mema nimebadilikika Kwa jina la yesu kirsto ninaamini mm ni kiumbe kipya machoni pa yesu christo mwana wa mungu

  • @erickmogere6558
    @erickmogere6558 4 года назад +2

    Pastor since i started following your preachings i have changed my mind set so far am thinking of great things

  • @JuliusKapange
    @JuliusKapange Год назад +2

    😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen

  • @raghadmubarak553
    @raghadmubarak553 4 года назад +1

    Ameeen baba nimefundishika kitu katika njia hii ya kumfata Kristo Mungu akubariki sana

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 года назад +2

    Mimi hapa hapa Yesu nirehemu

  • @Vel42
    @Vel42 4 года назад +2

    AMEN Pastor kwa maneno ya kutia moyo na kuerevusha.

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro9631 4 года назад +1

    Barikiwa mno Mtumishi

  • @nbkyando5175
    @nbkyando5175 2 года назад

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Mchungaji, na ufurahie sama maisha yako ya hapa duniani kabla hatujafika mbinguni

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад +1

    What a worderful lesson......May God bless you 🙏🏻

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад +1

    Amina MUNGU azidi kua nawewe siku zote hallelujah

  • @yunisnyanguru3793
    @yunisnyanguru3793 2 года назад

    Asante Mungu wangu Kwakunisamehe zambi zangu zote nitengeneze upendavyo na kunifungulia milango iliyofukwa maishani mwangu amina

  • @marykainyu4191
    @marykainyu4191 2 года назад

    God bless you nimefaidika sana nilikua nasema sitaweza .lakini anaweza yote katika yeye anitiaye nguvu amuna.

  • @BahatiKazibake
    @BahatiKazibake Год назад +1

    U always blessing us.God bless u 2

  • @jeremiahkamonga2892
    @jeremiahkamonga2892 Год назад

    Nimebarikiwa na mahubiri yako barikiwa ,naomba uniombee Pastor ninashida

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 4 года назад +2

    Asante Mungu kwa kunisamehe dhambi zangu

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 10 месяцев назад

    Amen mungu akubarki mtumishi wa mungu kwa mafundisho

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад +1

    Asante kwa kunifanya rafiki wa Mungu.

  • @ModesterShokolo-mr6km
    @ModesterShokolo-mr6km Год назад

    Asant Mungu Kwa masomo haya,pasta barikiwa

  • @sarahsamatwa3211
    @sarahsamatwa3211 2 года назад

    Bwana Yesu asifiwe.nimekuelewa mtumishi.

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 4 года назад +2

    Yesu naomba NIKAVE WEWE, wanadamu WAKINIKAVA wanamasimango sna.

  • @GuillaumeLumande-j3d
    @GuillaumeLumande-j3d Год назад +1

    🙏umetuongezea imani kabisa mutumishi wa mungu

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 года назад +4

    I received it in Jesus name amen amen amen thank you for good message. Be Blessed.

  • @PatriciaSidi-s9j
    @PatriciaSidi-s9j Год назад

    Pastor mungu akubariki sana azidi kukupa hekima na maarifa yake,pia uniombee bwanangu nikimupingia hashiki simu yangu,nataka umuombee abadilike pastor

  • @chrismtavangu8438
    @chrismtavangu8438 2 года назад

    Ubarikiwe sana Mchungaji! Nimejifunza kitu. Kweli mahubiri yako yanabadili maisha ya Kiroho. Mungu atupe Roho wake tuyaishi hayo.

  • @DoricaNoni
    @DoricaNoni 8 месяцев назад

    Asante kwa mafundisho mazuri watu waokolewe MB zangu haziendi bure kwa Neno la Mungu

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 4 года назад +2

    Amina mchgj wangu

  • @elizamfanga562
    @elizamfanga562 4 года назад +1

    Asante kwa neno lako limeniimarisha

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 4 года назад +2

    Story imeniliza saana kwa Kweli professor alitenda jema na Mungu ambariki

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 2 года назад

    nimebarikiwa, ubarikiwe zaidi🙏🏿

  • @nicholasmomanyi959
    @nicholasmomanyi959 4 года назад +4

    thank you for your preaches have received blessing

  • @TinnahWille-xk4wu
    @TinnahWille-xk4wu Год назад

    Amen
    Barikiwa mtumishi

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 4 года назад +1

    Amina pastor, napokea kufunguliwa akili na kuona ushindi kwa jina la Yesu, amina

  • @bhokepeter1086
    @bhokepeter1086 4 года назад +1

    Somo zuri sana limenibariki na kunitia moyo sana,ubarikiwe sana mchungaji

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 года назад

    Amin nabarikiwe san na mahubir yak Mchungaji najifunz meng san ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🥰

  • @janenyagwencha7737
    @janenyagwencha7737 4 года назад

    Iam touched pr. Mungu akubariki

  • @joycejaphet9600
    @joycejaphet9600 4 года назад

    Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.

  • @joycekasuva473
    @joycekasuva473 Год назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka

  • @evasisso4253
    @evasisso4253 4 года назад +4

    Asante Mungu kwa hili neno🙏

  • @monicahwayua1827
    @monicahwayua1827 2 года назад +2

    Pastor you bless me so much with your teachings. In future please add Mpesa for thank you support for those of us who use mobile money.

  • @christinalrene1132
    @christinalrene1132 4 года назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏🙏 somo lako limenifungua na nmebarikiwa sana sku ya elo

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад +5

    Amen!tutaishia Ikulu ya Yesu.

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 4 года назад +5

    Asantee Mungu kwa kuwa Wewe Kwangu ni MUNGU UNAEINGILIA KATI MAISHA YNGU,JINA LAKO LITUKUZWE DAIMA.

    • @ruthkibengu7504
      @ruthkibengu7504 4 года назад

      Hakika Mungu wetu nni mkuu sanahakumbuki makosa yetu

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 4 года назад +1

    Ameeeeen vita vyetu si za mwili

  • @sergengoymuderhwa9179
    @sergengoymuderhwa9179 2 года назад

    Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 4 года назад +1

    Namshukuru Mungu kwakunipa ufunuo huu kupitia mtumishi wake mchungaji mbaga

  • @witnessmalangalila91
    @witnessmalangalila91 4 года назад +2

    Barikiwa Mtumishi kwa ushuhuda

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 2 года назад +1

    pasita namushukulu mungu nazidi kufuguka akili mungu akubaliki sana

  • @fobydz
    @fobydz 3 года назад +2

    God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you

  • @placidakabelege1631
    @placidakabelege1631 2 года назад

    ubarikiwe pastor

  • @mariamfrenk4373
    @mariamfrenk4373 Год назад

    Amina saana mtumishi wa MUNGU, uzidi kua na afya

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 Год назад

    Mungu azidi kukubariki, kwamafundisho Yako mazuri. Kilasiku nazidi kukua kwamafundisho Yako.

  • @suzanamachango3000
    @suzanamachango3000 4 года назад

    Pr. Mungu akubariki sana.

  • @santiellusiu6720
    @santiellusiu6720 4 года назад

    Mungu akubariki saana pastor

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Год назад

    Barikiwa Sana mutumishi was mung u 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @doricambughi2833
    @doricambughi2833 2 года назад +4

    Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏

  • @samledbunt2774
    @samledbunt2774 4 года назад +1

    PR Dav mmbaga ubarikiwe sana kwa huduma za kiroho

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 9 месяцев назад

    Amina nimekombolewa mtumishi.

  • @gladyschebet7719
    @gladyschebet7719 Год назад

    Asante sana mchungaji kwa fundisho ili,najikuta nalia tu

  • @elizabethisaac1074
    @elizabethisaac1074 3 года назад

    Mungu akubariki mchungaji mbagga!!tunabarikiwa Sana na mafundisho yako!!

  • @lacandylove
    @lacandylove 4 года назад +3

    Thank you pr. For the word. I'm blessed 🙌 🙏

  • @ruthkibengu7504
    @ruthkibengu7504 4 года назад +1

    Ee Mungu tusaidie

  • @bharagwigililayangaza5066
    @bharagwigililayangaza5066 3 года назад

    Ubarikiwe sana mchungaji, japo mi nashindwa ni matatizo gani niyakemee na yapi nimwombe MUNGU . Matatizo ni mengi sana yanatutesa

  • @mn9484
    @mn9484 4 года назад +1

    Mwenzetu akijeruhiwa tumbebe.

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 4 года назад +5

    Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi

  • @HildaMarato
    @HildaMarato 10 месяцев назад

    Naendelea kubarikiwa na neno la Mungu.

  • @wistonmkane3837
    @wistonmkane3837 2 года назад +1

    Nimetiwa nguvu sana na somo lako

  • @jobleteipankuri4684
    @jobleteipankuri4684 3 года назад +3

    May God bless you pastor,you have really changed my mindset

  • @betterjoshua8988
    @betterjoshua8988 3 года назад

    Mungu akutunze tuzidi kujifunza kwa kazi yako 🙏

  • @Maria78134
    @Maria78134 4 года назад +3

    Amen Amen jina la Bwana libarikiwe maana fazhili zake ni za milele❤️asante Baba kwa kunitakasa na kunihurumiya