Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.
Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi
Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno
Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina
God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka
Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏
😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen
Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.
Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo
Isaya 43:25 Mungu afutaye makosa yangu kwa ajili Yake. Hakumbuki dhambi yangu.
Mungu hana list ya dhambi zangu.
Amen
Kwa kweli Pastor, wewe ni mtumishi wa pekee kabisa kuhubiri kwa kuwafanya watu wawe marafiki wa Mungu.
Roho ya Mungu iko juu ya Mmbanga. Unafundisha mafundisho yanaingia vizuri Sana. Mungu akumbariki na akundumishe kwenye kazi yake🙏
Ameeen! Sisi ni warithi katika jina la Yesu
Asante sana Pastor Mbaga kwa somo zuri. Limenipa faraja kuu. Mungu wetu aendelee kukutunza.
GOD blessed Pastor Mmbaga and give long life together your my family
Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.
Baaba ninakushukuru kwa kuwa umenisikia. Kupitia somo hili umeiganga mioyo yetu. Barikiwa sana Pastor Mbaga. Amen
Nimebarikiwa sana 💘MUNGU azIdi kuwainua MTUMISHI WA MUNGU ili uzidi kutupa chakula cha uzima neno dio uzima wa milele
Mungu wa mbinguni nisamehe dhambi zangu zote na ufute jina langu katika kitabu Cha hukumu ukaliweke katika kitabu Cha uzima wa milele,,,
Amen
Amen
Amen and amen from USA California
Very intelligent man of God!!!listening from zambia❤❤❤❤❤
Sitababaika tena... Namwamin mungu maana ako na Kila itaji LA moyo wangu.... Nimebarikiwa na injili... May GOD bless you man of God
Listening from Kenya but In qatar Doha.... Nashukuru mungu kwa ufunuo huu kupitia mtumishi wako.... Sifa zikurudie wewe mueza wa yote.
Since l started to follow the program of pastor mbaga my life has changed be blessed man of God
Amen hats Mimi I thank God for him
Hakika hili hubiri limenitoa chozi,maana nilikumbuka maovu yangu,Mungu akubariki sana pasta mmbaga,nimeokoka kupitia mahubiri yako
@@joliea2956 Amen
Jamani huyu mtumishi wa Mumgu aninibariki Sana kwaa Mahubiri yake naomba Sana kwenye namba yake ya simu anitumie
+255 755 932 283 Whatspp
Kisa cha binti kimeniliza mch. mara nyingi wengi wetu tumezoea kuhukumu wengine badala ya kuokoa roho.Mungu atusamehe sana wakristo wa leo.
Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi
Pastor be blessed umeniondolea mzigo I can't explain but God knows yaani I'm free in the mighty name Amen 🙏
Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno
Amen mchungaji wangu Bwana Mungu akubariki sana na familia yako, Mungu atubariki sote,
Mungu umenisaidia, akili yangu imebona, ngome zimeshindwa ktk jina la yesu amen
Asantee Mungu kwa kuwa Wewe Kwangu ni MUNGU UNAEINGILIA KATI MAISHA YNGU,JINA LAKO LITUKUZWE DAIMA.
Hakika Mungu wetu nni mkuu sanahakumbuki makosa yetu
Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina
What a wonderful sermon may God bless you
Nabarikiwa sana na Mahubiri yako Yaani kwa kweli yananitia moyo vibaya mnooo!Barikiwa sana Man of God!
Story imeniliza saana kwa Kweli professor alitenda jema na Mungu ambariki
Ubarikiwe sana mchungaji na Mungu azidi kukutunza na kukulinda pia
Shukrani sana,kwa kututiya moyo tena hasa sisi vijana; Mwenyezi Mungu Akuzidishie. From USA /texas.
Asante kwa mafundisho mazuri watu waokolewe MB zangu haziendi bure kwa Neno la Mungu
AMEN Pastor kwa maneno ya kutia moyo na kuerevusha.
Tunabarikiwa sana Mungu akubariki sana pastor
Ahsante sanaaa leo nimepokea kitu
Amen!tutaishia Ikulu ya Yesu.
Ameeen baba nimefundishika kitu katika njia hii ya kumfata Kristo Mungu akubariki sana
God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you
Pastor mungu akubariki sana azidi kukupa hekima na maarifa yake,pia uniombee bwanangu nikimupingia hashiki simu yangu,nataka umuombee abadilike pastor
I received it in Jesus name amen amen amen thank you for good message. Be Blessed.
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka
Yesu naomba NIKAVE WEWE, wanadamu WAKINIKAVA wanamasimango sna.
Nabarikiwa sana pasita kusikiliza mahubiri yako Mungu akubariki sana
God bless you nimefaidika sana nilikua nasema sitaweza .lakini anaweza yote katika yeye anitiaye nguvu amuna.
Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏
A
Nimebarikiwa na mahubiri yako barikiwa ,naomba uniombee Pastor ninashida
Thank you pr. For the word. I'm blessed 🙌 🙏
😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen
Ubarikiwe
thank you for your preaches have received blessing
AMEN pastor Kwa mafunzo mema nimebadilikika Kwa jina la yesu kirsto ninaamini mm ni kiumbe kipya machoni pa yesu christo mwana wa mungu
Amina MUNGU azidi kua nawewe siku zote hallelujah
Amina pastor, napokea kufunguliwa akili na kuona ushindi kwa jina la Yesu, amina
Pastor you bless me so much with your teachings. In future please add Mpesa for thank you support for those of us who use mobile money.
Blessings to you
Asante Mungu kwa kunisamehe dhambi zangu
Ubarikiwe sana Mchungaji! Nimejifunza kitu. Kweli mahubiri yako yanabadili maisha ya Kiroho. Mungu atupe Roho wake tuyaishi hayo.
Nimebarikiwa sana. Mungu akubariki Pr. Mbaga. Akawe nasi sote.
Ila fungu la Waraka wa Yohana hukulisoma.
Mungu azidi kukubariki, kwamafundisho Yako mazuri. Kilasiku nazidi kukua kwamafundisho Yako.
Namshukuru Mungu kwa kunifunulia Neno hili.
Asante Pastor David Mmbaga.
Mungu aendelee kukutumiaa kutusaidiaa kuisogelea mbingu.thanks pastor God bless you
May God bless you pastor,you have really changed my mindset
Amen
Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.
Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo
Asante Mungu kwa hili neno🙏
🙏umetuongezea imani kabisa mutumishi wa mungu
Mimi hapa hapa Yesu nirehemu
Asante Mungu wangu Kwakunisamehe zambi zangu zote nitengeneze upendavyo na kunifungulia milango iliyofukwa maishani mwangu amina
What a worderful lesson......May God bless you 🙏🏻
Amen mungu akubarki mtumishi wa mungu kwa mafundisho
Namshukuru Mungu kwakunipa ufunuo huu kupitia mtumishi wake mchungaji mbaga
Somo zuri sana limenibariki na kunitia moyo sana,ubarikiwe sana mchungaji
Barikiwa mno Mtumishi
Nimemuona paster Baraka mtumishi mungu akubariki.umepotea sn paster wangu
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mchungaji, na ufurahie sama maisha yako ya hapa duniani kabla hatujafika mbinguni
Amina saana mtumishi wa MUNGU, uzidi kua na afya
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏🙏 somo lako limenifungua na nmebarikiwa sana sku ya elo
Pastor mahubiri yako yote yananiponesha roho na MUNGU azidi kuwa nawe.
Bwana Yesu asifiwe.nimekuelewa mtumishi.
Pastor since i started following your preachings i have changed my mind set so far am thinking of great things
May God uplift this ministry in Jesus' name
Amen
Pastor God bless your work, I'm healed nikiwa nawafuatilia from Iraq, I thank God always for being on my side, be blessed once more AMEN 🙏🙏
Amen
Asante kwa neno lako limeniimarisha
Asante kwa kunifanya rafiki wa Mungu.
Mungu akubariki pastor
Pastor wewe ni tunu ya Taifa hili Bwana Yesu akutunze kwa ajili ya watu wake.
mchungaji mungu akubariki maana umenisaidia sana kiroho
Amina mchgj wangu
nimebarikiwa, ubarikiwe zaidi🙏🏿
Amen Amen jina la Bwana libarikiwe maana fazhili zake ni za milele❤️asante Baba kwa kunitakasa na kunihurumiya
PR Dav mmbaga ubarikiwe sana kwa huduma za kiroho
Ubarikiwe sana mchungaji, japo mi nashindwa ni matatizo gani niyakemee na yapi nimwombe MUNGU . Matatizo ni mengi sana yanatutesa
Barikiwa Mtumishi kwa ushuhuda
Amen
Barikiwa mtumishi mimi ni mpentekoste Naishi Finland mafundisho yako yananijenga
LIHIMIDIWE JINA LA YESU KRISTO ,PASTOR UMEYAGUSA SANA MAISHA YANGU MUNGU AENDELEE KUKUINUA UTUKUFU HATA UTUKUFU, AMINA
U always blessing us.God bless u 2
Nakwambia huyu Pastor he talks about situations that im going through. I learn day by day.
Amen
Barikiwa mtumishi
Iam touched pr. Mungu akubariki
Mchungaji barikiwa sana aya maubiri yamegusa maiaha yangu nabadilika kuanzia aasa
Amin nabarikiwe san na mahubir yak Mchungaji najifunz meng san ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🥰
Barikiwa sana mchungaji.asante kwa kunifungua akili llio kuwa na dhana potovu
Asante sana mchungaji kwa fundisho ili,najikuta nalia tu
Mungu akubariki mchungaji mbagga!!tunabarikiwa Sana na mafundisho yako!!
kweli mtumishi asante sana kumtibua ibilisi na hila zake
Barikiwa Sana mutumishi was mung u 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameeeeen vita vyetu si za mwili
Amina nimekombolewa mtumishi.