UWANJA WA VITA MAISHANI MWAKO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 235

  • @mn9484
    @mn9484 3 года назад +15

    Isaya 43:25 Mungu afutaye makosa yangu kwa ajili Yake. Hakumbuki dhambi yangu.
    Mungu hana list ya dhambi zangu.

  • @yohanaanthony3422
    @yohanaanthony3422 3 года назад +7

    Kwa kweli Pastor, wewe ni mtumishi wa pekee kabisa kuhubiri kwa kuwafanya watu wawe marafiki wa Mungu.

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 3 года назад +8

    Roho ya Mungu iko juu ya Mmbanga. Unafundisha mafundisho yanaingia vizuri Sana. Mungu akumbariki na akundumishe kwenye kazi yake🙏

  • @raheljose9524
    @raheljose9524 Год назад +3

    Asante sana Pastor Mbaga kwa somo zuri. Limenipa faraja kuu. Mungu wetu aendelee kukutunza.

  • @user-hz4lw7ld3j
    @user-hz4lw7ld3j 3 месяца назад +2

    GOD blessed Pastor Mmbaga and give long life together your my family

  • @makyeintiro1023
    @makyeintiro1023 4 месяца назад +1

    Tunamshukuru Mwenyenzi Mungu kwa ajili yako mtumishi, haya mafundisho yana nguvu sana na wengi hatukujua nguvu ya haya mafundisho ndo maana shetani amekua akitutesa, sasa tuna mstari wa kusimamia, jina la Bwana lihimidiwe milele na milele.

  • @elizabethnchalla9200
    @elizabethnchalla9200 3 года назад +4

    Baaba ninakushukuru kwa kuwa umenisikia. Kupitia somo hili umeiganga mioyo yetu. Barikiwa sana Pastor Mbaga. Amen

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 года назад +5

    Nimebarikiwa sana 💘MUNGU azIdi kuwainua MTUMISHI WA MUNGU ili uzidi kutupa chakula cha uzima neno dio uzima wa milele

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 3 года назад +9

    Mungu wa mbinguni nisamehe dhambi zangu zote na ufute jina langu katika kitabu Cha hukumu ukaliweke katika kitabu Cha uzima wa milele,,,

  • @TuyishimeLahayloy
    @TuyishimeLahayloy 3 месяца назад +1

    Very intelligent man of God!!!listening from zambia❤❤❤❤❤

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Год назад +1

    Sitababaika tena... Namwamin mungu maana ako na Kila itaji LA moyo wangu.... Nimebarikiwa na injili... May GOD bless you man of God

  • @sisterolivia9874
    @sisterolivia9874 3 года назад +3

    Listening from Kenya but In qatar Doha.... Nashukuru mungu kwa ufunuo huu kupitia mtumishi wako.... Sifa zikurudie wewe mueza wa yote.

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 3 года назад +13

    Since l started to follow the program of pastor mbaga my life has changed be blessed man of God

    • @ruthaminga7160
      @ruthaminga7160 3 года назад

      Amen hats Mimi I thank God for him

    • @joliea2956
      @joliea2956 3 года назад

      Hakika hili hubiri limenitoa chozi,maana nilikumbuka maovu yangu,Mungu akubariki sana pasta mmbaga,nimeokoka kupitia mahubiri yako

    • @ruthaminga7160
      @ruthaminga7160 3 года назад

      @@joliea2956 Amen

    • @bonventureminja9697
      @bonventureminja9697 3 года назад

      Jamani huyu mtumishi wa Mumgu aninibariki Sana kwaa Mahubiri yake naomba Sana kwenye namba yake ya simu anitumie

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад

      +255 755 932 283 Whatspp

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 3 года назад +3

    Kisa cha binti kimeniliza mch. mara nyingi wengi wetu tumezoea kuhukumu wengine badala ya kuokoa roho.Mungu atusamehe sana wakristo wa leo.

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 3 года назад +5

    Pastor nimelia nilivyokuwa nikusikiliza kwenye hili somo,Mungu atusaidie sana Yesu aliwapenda wadhambi lakini leo sisi wanaadam tumekuwa wahukumu kwa kuwaona wenzetu wadhambi

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Год назад +1

    Pastor be blessed umeniondolea mzigo I can't explain but God knows yaani I'm free in the mighty name Amen 🙏

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 3 года назад +1

    Nabarikiwa sana Kwa mahubiri yako pastor David. Kwa kweli Uarabuni hatuna church so nimepiga Kambi kwa Mahubiri TV.Asanteni sana Mungu awajaze zaidi mno

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 3 года назад +3

    Amen mchungaji wangu Bwana Mungu akubariki sana na familia yako, Mungu atubariki sote,

  • @mercynyanchoka6283
    @mercynyanchoka6283 3 года назад +2

    Mungu umenisaidia, akili yangu imebona, ngome zimeshindwa ktk jina la yesu amen

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 3 года назад +5

    Asantee Mungu kwa kuwa Wewe Kwangu ni MUNGU UNAEINGILIA KATI MAISHA YNGU,JINA LAKO LITUKUZWE DAIMA.

    • @ruthkibengu7504
      @ruthkibengu7504 3 года назад

      Hakika Mungu wetu nni mkuu sanahakumbuki makosa yetu

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 3 года назад +1

    Bwana na aondoe dhana zote za kushindwa,kutofanikiwa ,kutoinuliwa,kutoendelea kiuchumi,kutookolewa kutokana na dhambi ambao tumezitenda akajenge mazingira ya ushindi ndani yetu ktk jina la Yesu naomba,Amina

  • @rechaelnjeri3299
    @rechaelnjeri3299 5 месяцев назад +1

    What a wonderful sermon may God bless you

  • @irenemsabaha1303
    @irenemsabaha1303 2 года назад +1

    Nabarikiwa sana na Mahubiri yako Yaani kwa kweli yananitia moyo vibaya mnooo!Barikiwa sana Man of God!

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 3 года назад +2

    Story imeniliza saana kwa Kweli professor alitenda jema na Mungu ambariki

  • @mamarusi2769
    @mamarusi2769 Год назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji na Mungu azidi kukutunza na kukulinda pia

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g 5 месяцев назад

    Shukrani sana,kwa kututiya moyo tena hasa sisi vijana; Mwenyezi Mungu Akuzidishie. From USA /texas.

  • @DoricaNoni
    @DoricaNoni 2 месяца назад

    Asante kwa mafundisho mazuri watu waokolewe MB zangu haziendi bure kwa Neno la Mungu

  • @Vel42
    @Vel42 3 года назад +2

    AMEN Pastor kwa maneno ya kutia moyo na kuerevusha.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 года назад +2

    Tunabarikiwa sana Mungu akubariki sana pastor

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 года назад +3

    Ahsante sanaaa leo nimepokea kitu

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 3 года назад +5

    Amen!tutaishia Ikulu ya Yesu.

  • @raghadmubarak553
    @raghadmubarak553 3 года назад +1

    Ameeen baba nimefundishika kitu katika njia hii ya kumfata Kristo Mungu akubariki sana

  • @fobydz
    @fobydz 3 года назад +2

    God bless you pastor in a big way you just don't know how you have impacted me since you came to KITI camp meeting...This message was on point to boost our lives let God continue using you

  • @user-tf2gw6yp8u
    @user-tf2gw6yp8u 5 месяцев назад

    Pastor mungu akubariki sana azidi kukupa hekima na maarifa yake,pia uniombee bwanangu nikimupingia hashiki simu yangu,nataka umuombee abadilike pastor

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 3 года назад +4

    I received it in Jesus name amen amen amen thank you for good message. Be Blessed.

  • @joycekasuva473
    @joycekasuva473 Год назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kweli nimefunguka nilikua napitia mawazo mabaya nikawa naji hukumu sana niliposikiliza tu nimefunguka na nimeelewa Mungu na Roho Mtakatifu aendelee kukupa maarifa zaidi watu waweze kufunguka

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 3 года назад +2

    Yesu naomba NIKAVE WEWE, wanadamu WAKINIKAVA wanamasimango sna.

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 3 месяца назад

    Nabarikiwa sana pasita kusikiliza mahubiri yako Mungu akubariki sana

  • @marykainyu4191
    @marykainyu4191 Год назад

    God bless you nimefaidika sana nilikua nasema sitaweza .lakini anaweza yote katika yeye anitiaye nguvu amuna.

  • @doricambughi2833
    @doricambughi2833 2 года назад +4

    Am blessed to listen to the words of God. I believe that my sins are forgiven and I will go to heaven when Jesus Christ will come for the second time 🙏

  • @jeremiahkamonga2892
    @jeremiahkamonga2892 5 месяцев назад

    Nimebarikiwa na mahubiri yako barikiwa ,naomba uniombee Pastor ninashida

  • @lacandylove
    @lacandylove 3 года назад +3

    Thank you pr. For the word. I'm blessed 🙌 🙏

  • @user-cu7hl8rp8f
    @user-cu7hl8rp8f 6 месяцев назад +2

    😢 ki ukweli nasikilizaga mahubir ya wachungaji weng ila tangu nizaliwa cjawai muona mchungaji anayenigusa moyo wangu kama ww hakuna je ulishuswa tangu mbinguni ?? Maana ww co wakawaida amen

  • @nicholasmomanyi959
    @nicholasmomanyi959 3 года назад +4

    thank you for your preaches have received blessing

  • @CatherineKwamboka-ip1gg
    @CatherineKwamboka-ip1gg 7 месяцев назад

    AMEN pastor Kwa mafunzo mema nimebadilikika Kwa jina la yesu kirsto ninaamini mm ni kiumbe kipya machoni pa yesu christo mwana wa mungu

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 3 года назад +1

    Amina MUNGU azidi kua nawewe siku zote hallelujah

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 3 года назад +1

    Amina pastor, napokea kufunguliwa akili na kuona ushindi kwa jina la Yesu, amina

  • @monicahwayua1827
    @monicahwayua1827 Год назад +2

    Pastor you bless me so much with your teachings. In future please add Mpesa for thank you support for those of us who use mobile money.

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 3 года назад +2

    Asante Mungu kwa kunisamehe dhambi zangu

  • @chrismtavangu8438
    @chrismtavangu8438 Год назад

    Ubarikiwe sana Mchungaji! Nimejifunza kitu. Kweli mahubiri yako yanabadili maisha ya Kiroho. Mungu atupe Roho wake tuyaishi hayo.

  • @laurentmsoya6733
    @laurentmsoya6733 2 года назад

    Nimebarikiwa sana. Mungu akubariki Pr. Mbaga. Akawe nasi sote.
    Ila fungu la Waraka wa Yohana hukulisoma.

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 Год назад

    Mungu azidi kukubariki, kwamafundisho Yako mazuri. Kilasiku nazidi kukua kwamafundisho Yako.

  • @bridgetmbawala1029
    @bridgetmbawala1029 3 года назад

    Namshukuru Mungu kwa kunifunulia Neno hili.
    Asante Pastor David Mmbaga.

  • @user-we9rk7dj8x
    @user-we9rk7dj8x 6 месяцев назад

    Mungu aendelee kukutumiaa kutusaidiaa kuisogelea mbingu.thanks pastor God bless you

  • @jobleteipankuri4684
    @jobleteipankuri4684 2 года назад +3

    May God bless you pastor,you have really changed my mindset

  • @joycejaphet9600
    @joycejaphet9600 3 года назад

    Mch Mbaga,namtukuza Mungu daima kwa huduma yako,Mungu akutunze.Namshukru Mungu kwa ajili ya kisa cha baba yangu mdogo,nilichokitamaani kukiona katika maisha yake anacho,namaanisha Imani katika kristo.Utukufu kwa Mungu wetu milele na milele.

  • @sergengoymuderhwa9179
    @sergengoymuderhwa9179 Год назад

    Mungu wangu Unirehemu, kupitiya somo hili kweli limenigu. lakini mchungaji naomba msaada wa Ombi kwa maisha yangu sababu kuhusu maneno haya siwewe unaye zungumuza ila kuna yule anazungumuza ndani yako . somo limenifariji lakini mara tena limenihukumu kwa matendo yangu maovi ni msikilizaji kutoka hapa Drc Congo

  • @evasisso4253
    @evasisso4253 3 года назад +4

    Asante Mungu kwa hili neno🙏

  • @user-bx5nc8ge6r
    @user-bx5nc8ge6r 9 месяцев назад +1

    🙏umetuongezea imani kabisa mutumishi wa mungu

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 3 года назад +2

    Mimi hapa hapa Yesu nirehemu

  • @yunisnyanguru3793
    @yunisnyanguru3793 Год назад

    Asante Mungu wangu Kwakunisamehe zambi zangu zote nitengeneze upendavyo na kunifungulia milango iliyofukwa maishani mwangu amina

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад +1

    What a worderful lesson......May God bless you 🙏🏻

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 3 месяца назад

    Amen mungu akubarki mtumishi wa mungu kwa mafundisho

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 года назад +1

    Namshukuru Mungu kwakunipa ufunuo huu kupitia mtumishi wake mchungaji mbaga

  • @bhokepeter1086
    @bhokepeter1086 3 года назад +1

    Somo zuri sana limenibariki na kunitia moyo sana,ubarikiwe sana mchungaji

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro9631 3 года назад +1

    Barikiwa mno Mtumishi

  • @jedielkareithi4966
    @jedielkareithi4966 Год назад

    Nimemuona paster Baraka mtumishi mungu akubariki.umepotea sn paster wangu

  • @nbkyando5175
    @nbkyando5175 Год назад

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Mchungaji, na ufurahie sama maisha yako ya hapa duniani kabla hatujafika mbinguni

  • @mariamfrenk4373
    @mariamfrenk4373 Год назад

    Amina saana mtumishi wa MUNGU, uzidi kua na afya

  • @christinalrene1132
    @christinalrene1132 3 года назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏🙏 somo lako limenifungua na nmebarikiwa sana sku ya elo

  • @Vel42
    @Vel42 3 года назад +5

    Pastor mahubiri yako yote yananiponesha roho na MUNGU azidi kuwa nawe.

  • @sarahsamatwa3211
    @sarahsamatwa3211 Год назад

    Bwana Yesu asifiwe.nimekuelewa mtumishi.

  • @erickmogere6558
    @erickmogere6558 3 года назад +2

    Pastor since i started following your preachings i have changed my mind set so far am thinking of great things

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 3 года назад +7

    May God uplift this ministry in Jesus' name

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 2 года назад +3

    Pastor God bless your work, I'm healed nikiwa nawafuatilia from Iraq, I thank God always for being on my side, be blessed once more AMEN 🙏🙏

  • @elizamfanga562
    @elizamfanga562 3 года назад +1

    Asante kwa neno lako limeniimarisha

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 3 года назад +1

    Asante kwa kunifanya rafiki wa Mungu.

  • @bettymiligwa9909
    @bettymiligwa9909 3 года назад +1

    Mungu akubariki pastor

  • @victoriabuzare5659
    @victoriabuzare5659 2 года назад

    Pastor wewe ni tunu ya Taifa hili Bwana Yesu akutunze kwa ajili ya watu wake.

  • @tmamwanza227
    @tmamwanza227 6 месяцев назад

    mchungaji mungu akubariki maana umenisaidia sana kiroho

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 3 года назад +2

    Amina mchgj wangu

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 Год назад

    nimebarikiwa, ubarikiwe zaidi🙏🏿

  • @Maria78134
    @Maria78134 3 года назад +3

    Amen Amen jina la Bwana libarikiwe maana fazhili zake ni za milele❤️asante Baba kwa kunitakasa na kunihurumiya

  • @samledbunt2774
    @samledbunt2774 3 года назад +1

    PR Dav mmbaga ubarikiwe sana kwa huduma za kiroho

  • @bharagwigililayangaza5066
    @bharagwigililayangaza5066 3 года назад

    Ubarikiwe sana mchungaji, japo mi nashindwa ni matatizo gani niyakemee na yapi nimwombe MUNGU . Matatizo ni mengi sana yanatutesa

  • @witnessmalangalila91
    @witnessmalangalila91 3 года назад +2

    Barikiwa Mtumishi kwa ushuhuda

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 3 года назад

    LIHIMIDIWE JINA LA YESU KRISTO ,PASTOR UMEYAGUSA SANA MAISHA YANGU MUNGU AENDELEE KUKUINUA UTUKUFU HATA UTUKUFU, AMINA

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g Год назад +1

    U always blessing us.God bless u 2

  • @estherwambui1072
    @estherwambui1072 3 года назад +2

    Nakwambia huyu Pastor he talks about situations that im going through. I learn day by day.

  • @TinnahWille-xk4wu
    @TinnahWille-xk4wu 7 месяцев назад

    Amen
    Barikiwa mtumishi

  • @janenyagwencha7737
    @janenyagwencha7737 3 года назад

    Iam touched pr. Mungu akubariki

  • @estergregorylugalama5731
    @estergregorylugalama5731 3 года назад

    Mchungaji barikiwa sana aya maubiri yamegusa maiaha yangu nabadilika kuanzia aasa

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 года назад

    Amin nabarikiwe san na mahubir yak Mchungaji najifunz meng san ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏🥰

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 3 года назад

    Barikiwa sana mchungaji.asante kwa kunifungua akili llio kuwa na dhana potovu

  • @gladyschebet7719
    @gladyschebet7719 6 месяцев назад

    Asante sana mchungaji kwa fundisho ili,najikuta nalia tu

  • @elizabethisaac1074
    @elizabethisaac1074 3 года назад

    Mungu akubariki mchungaji mbagga!!tunabarikiwa Sana na mafundisho yako!!

  • @gideonkuria8365
    @gideonkuria8365 Год назад

    kweli mtumishi asante sana kumtibua ibilisi na hila zake

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Год назад

    Barikiwa Sana mutumishi was mung u 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 3 года назад +1

    Ameeeeen vita vyetu si za mwili

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 2 месяца назад

    Amina nimekombolewa mtumishi.