UJASIRI WA MAOMBI | PR DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 144

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 Год назад +15

    Asante Mwenyezi Mungu kwakuniponya kichwa kilichokuwa kikiniuma takribani miaka kumi, kupitia maombi haya nimeweka imani asilimia zote kwa yesu kristo nilipokua natazama video hii nilipokua natoka kazini, sifa kwa Mwenyezi Mungu, Mbarikiwe sana wa tumishi.nipo jimbo la Colorado .

  • @fridah6046
    @fridah6046 Год назад +73

    Mimi sio msabato lakini huyu mtumishi yuko swari kabisa,haubiri dini..yaani kwake tiketi ya mbinguni ni yesu tu.....akialikwa kwa kanisa lolote linalohubiri yesu yuko tayari kuja.....ameubadilisha mtazamo wangu kabisa...popote panapohubiriwa yesu nami nipo........mbinguni hatuingii kwa ajili ya dini zetu...tunaingia kwa kumkiri yesu

    • @DARUBINIYAUNABII538
      @DARUBINIYAUNABII538 Год назад +8

      Ufunuo wa Yohana 14:12
      [12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.
      Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus.
      WEWE UNAEONGEA HIVO UNAMSUBIRI YESU UKIWA WAPI?
      Umeona watakatifu wako sehemu gani? Na wewe uko sehemu gani?

    • @edwardjani
      @edwardjani Год назад +4

      ❤😮

    • @stephenjames6649
      @stephenjames6649 Год назад +1

      Barikiwaaaa sana kiongozi 🎉

    • @suzyrevo8619
      @suzyrevo8619 Год назад +3

      Mungu akubariki mtumishi yani toka nikukute sitaki atakukosa neno moja kutoka kwako barikiwa sana na mafundisho yako

    • @liliankowuonda152
      @liliankowuonda152 Год назад +2

      Kweli dada. Nakubaliana nawe. Yesu tu ndie njia ya uzima na kweli. Lakini Yesu huyu tunaye mwamini, ametuagiza katika kitabu Cha Yohana 14:15:" kama tunampenda, tutie amri zake"....akasisitiza zaidi tena 15:14: sisi na marafiki zake tukifanya alivyo agiza

  • @NeemaMatale
    @NeemaMatale Месяц назад

    Mchungaji na barikiwa san na mafundisho yako na pia nataman bac ck moja nikutane na wew ili kwa ajili ya shida binafsi nilizonazo Mchungaji naamin MUNGU atajibu hili na nitafunguliwa Amina

  • @CatherineNyamwika
    @CatherineNyamwika 6 месяцев назад +1

    Asante sana pr mafundisho yako yananigusa sana na tamani sana kuendelea kujifunza na kupata ujasili wa kusonga mbele hakika Mungu azidi kukubariki na kukupa Roho mtakatifu ili utimize kazi aliyokutuma ya kuwafanya mataifa yote kuwa wanafunzi wa Mungu ubarikiwe sana!!!!

  • @elialomagladia
    @elialomagladia Год назад +2

    Wachungaji wote wangekuwa kama wewe Imani za waumini zisinge yumba yumba Mungu akupe maisha marefu na mwisho mzuri

  • @AbasAzaria
    @AbasAzaria Год назад +2

    Nimebalikiwa na somo lako Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri Asnte Mungu

  • @mutuamakau9873
    @mutuamakau9873 3 месяца назад

    Mungu akubariki sana mchungaji mahubiri yako yamekua guzo katika maisha yangu

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Год назад +1

    Amen Amen pastor kweli kabisa tuombe vitu vyamsingi kutoka kwa baba yetu

  • @EmmanuelNaftali
    @EmmanuelNaftali Год назад

    Maombi kwa njia YA unyenyekevu na TOBA yatapokelewa kupitia kwa YESU KRISTO MWOKOZI WETU.NASHUKURU KWA NENO MTUMISHI WA MUNGU.NIMEKUWA NAKUFUATILIA KILA WAKATI.HAKIKA UMENIPA NGUVU.UBARIWE SANA MCH.DAVD MMBAGA.

  • @JeremiahGuragura
    @JeremiahGuragura Год назад +4

    asante paster umebanda mbegu mioyoni mwetu tuombee endelee kukuwa

  • @perismuia6952
    @perismuia6952 Год назад +1

    Maana ya kanisa(church)ni tahatharisa am blessed groly be to the most high.

  • @graceesiabia5379
    @graceesiabia5379 Год назад +6

    Always a blessing to me and eye opener. Clearly the holy spirit is at work within you pastor. You are blessed 🇰🇪🇰🇪

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 Год назад +3

    Ameen barikiwa kwa somo lenye mafunzo sanq najifunza zaidi kila nikisikza mahubiri hya🙏🙏✍️✍️✍️

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад +1

    Amen 🙏🙏 hakika mahubiri yko yanaguza, ubarikiwe PST.

  • @ALLANSIFA
    @ALLANSIFA 11 месяцев назад +1

    mungu akubarik kwa mafundisho unayo toa kwa uwezo wa roho mtakatifu

  • @CatherineNyamwika
    @CatherineNyamwika 6 месяцев назад

    Asante kwa jumbe na kutukumbusha kuhusu ukuaji wa kiroho na mafundisho juu ya ukuu wa Mungu

  • @doricapeter545
    @doricapeter545 Год назад +4

    Umenibariki sk ya leo jina la bwana litukuzwe milele daima, na mungu aendelee kukutumia katika uhai woote wa maisha yako, kwan nashindwa niandike nn barikiwa kwa somo isitoshe umenigusa

    • @ImanAdamson
      @ImanAdamson Год назад

      Mungu akulinde mchungaji umefndisha vyema

  • @MeshangolaDadho
    @MeshangolaDadho 6 месяцев назад

    Nashukuru kabisa ju nimebarikiw1 kwa mafundidho haya,ni seraphin nikiwa congo

  • @dicksonmakungu7184
    @dicksonmakungu7184 Год назад +2

    Kwa kweli ninamkubali mtumishi huyu mmbaga naomba nimuone live hapa Arusha kukiwa na makambi

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Год назад

    Mungu akubariki sana pastor unafundisha vizuri sana hadi nimebatilika tena unafunza vyema sana

  • @zilperatieno5722
    @zilperatieno5722 Год назад +3

    Ubarikiwe sana mchungaji. Masomo yako hunipa ujasiri was kuendelea mbele

  • @lidiaawino4740
    @lidiaawino4740 Год назад +1

    Ah utukufu umrudie Mungu 🙌🙌

  • @TEOPISTACAROLINE-rl9zl
    @TEOPISTACAROLINE-rl9zl 10 месяцев назад +1

    Pastor mmbaga mungu akubariki

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Год назад +1

    Waaah pastor barikiwa sana tena sana 🙏

  • @phillipkituo5511
    @phillipkituo5511 Год назад

    Mchungaji Mungu akubariki sana kwa mafundisho unaefundisha kanisa

  • @denismuchangi5561
    @denismuchangi5561 Год назад +2

    May God bless you pastor am from kenya

    • @Nyanda208
      @Nyanda208 Год назад

      Welcome to join us always and GOD will be with you

  • @jannykomu5345
    @jannykomu5345 Год назад +6

    Pastor Mmbaga Mungu akubariki kwa mahubiri Yako, nabarikiwa sana.

  • @EsterRabson-m9g
    @EsterRabson-m9g 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Pr nabarikiwa na mahubiri yako

  • @PendoOscar
    @PendoOscar Год назад

    Ubarikiwe sana mchungaji mwenyezi mungu akutie nguvu uzid kutufundisha yalio ya haki

  • @maguyngoa8271
    @maguyngoa8271 Год назад +1

    Siko musabato Niko kongo Mungu akubariki sana n'a asifiwe

  • @silvesterryaga7365
    @silvesterryaga7365 Год назад +4

    Amina. Ubarikiwe uzao wako pia wamhubiri huyu Yesu.

  • @AndrewMjahili
    @AndrewMjahili 10 месяцев назад

    Amen!! Naflaii Kwa sababu mungu yupo

  • @EllenMbota
    @EllenMbota Год назад +5

    Amen Amen Mungu awabariki san

  • @brendanawanga
    @brendanawanga Год назад +1

    Amen Amen 🙏🙏 pastor hilo neno limeniimisha jambo ninashukuru

  • @deniseliya348
    @deniseliya348 Год назад +2

    Amina mchungaji kwa somo zuri

  • @hermancharles6036
    @hermancharles6036 Год назад

    Mimi nakuombea sana Mungu wa mbinguni akubariki ufungue chuo chakuwanoa wainjilisti wawe maarufu zaidi yako.

  • @HannahHollyNhabalyaga-of6bv
    @HannahHollyNhabalyaga-of6bv Год назад +3

    Pastor you always bless me a lot may God bless you

    • @KidayiEnock
      @KidayiEnock Год назад

      Im blessed with this preach so God bless you more our pastor

  • @MuhindomwengeshaliShadrak
    @MuhindomwengeshaliShadrak Год назад +3

    Aksante tumebarikiwa na somo la maombi

  • @EliphazMittango
    @EliphazMittango 8 месяцев назад +1

    Pastor na ss ambao ijumatano unakuta tuko kwenye miangaiko yatu ya kila sku tufanyeje tusaidie kutuombea

  • @EugineNyagara
    @EugineNyagara Год назад +2

    Mungu azidi kukupa hekima na ufafanuzi kabisa

  • @juliethasimbili8749
    @juliethasimbili8749 Год назад +1

    Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa mungu

  • @KilengaMethusela
    @KilengaMethusela 7 месяцев назад +1

    Wasabato wakimsikiliza huyu pastor, watafika mbali,,shida Kuna mahara wamekwama,kuwakwamua hapo!!!! Syo leo

  • @leahmose1808
    @leahmose1808 Год назад

    Napenda sana huyu pastor Mungu amulinde sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Год назад

    Nampenda sana huyu mchungaji,ahsante kwa neno hili.

  • @yasintamagavilo1996
    @yasintamagavilo1996 Год назад

    Mungu akutunze Pr

  • @emmanuelruben-jv2yv
    @emmanuelruben-jv2yv Год назад +5

    Ubarikiwe sana

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 4 месяца назад

    Changamoto ya masomo yako ni kwamba haujibu maswali kutokana na ubize. Naomba uone namna ya kufanya na Mungu akuongoze katika Hilo maana Mtu awez kubadilishwa na masomo yako maana bado ana maswali kichwani.

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 Год назад +4

    Natamani simu Moja nikushike mkongo mtumishi

  • @papyrashidi7736
    @papyrashidi7736 Год назад

    Amen Mungu awabariki sana

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Год назад

    AMEN Utukuvu kwa YESU

  • @WitnessMambali
    @WitnessMambali Год назад

    God bless you

  • @AMOSIMASUNGA-n4v
    @AMOSIMASUNGA-n4v Год назад

    Amina pastor, nabarikiwa sana

  • @EsterSimion-n2y
    @EsterSimion-n2y Год назад

    Mxhungaji mbaga mungu akutie nguvu Kwa kweli

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад

    Mafundisho yako yananisaidia sana ....Barikiwa sana🙏🏻

  • @EdwinJosephat
    @EdwinJosephat Год назад +2

    Asante kwaneno lime ibariki Mungu akubariki

  • @Immah-ue9ix
    @Immah-ue9ix Год назад +5

    Mchungaji mbaga MUNGU akubariki na akutia nguvu ulinifanya kuwa muadventista kweli

  • @richardsafari2871
    @richardsafari2871 Год назад

    Am blessed Sir, umekuwa wa baraka

  • @GraceNgoye
    @GraceNgoye Год назад

    Amina barikiwa sana😊

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 Год назад

    Ameen Baba ubarikiwe sana kwa somo zuri MUNGU azidi kukutunza 🙏

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Год назад +2

    Nabarikiwa sana

  • @lathoucellavyizigiro-jq4wn
    @lathoucellavyizigiro-jq4wn Год назад

    Nakufatilia from Burundi

  • @heldaoigo7659
    @heldaoigo7659 Год назад +1

    Love your teachings
    coming to see you soon at New life Nairobi

  • @user-josephine.3232
    @user-josephine.3232 Год назад

    mungu akubarki mchungaji

  • @MussaKayeji
    @MussaKayeji 7 месяцев назад

    Bwana akuongeze siku ilikazi uimalize

  • @jonasjohn3176
    @jonasjohn3176 Год назад

    baba naoba naba yako Niko kagera bukoba

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад

    Nimekupungia mkono mchungaji mabarikiwa sana kenya mombasa

  • @alexjuve3837
    @alexjuve3837 Год назад +1

    Kiukweli kabisa Pastor Kama Mungu Angekuwa Anatoa Hiyo Karama Ya Uungu Kwa Majaribio Dakika Mbili Tu Anakuta Nimeshaumba Watu Wengine 😂😂 Yani Hata Mimi Mwenyewe Tu Namwambia Nisiishi Tena

  • @SamwelSamweli-p1f
    @SamwelSamweli-p1f Год назад

    Pool nakaz nawezaj kupat namb yak

  • @Mungu2741
    @Mungu2741 Год назад

    Jamani nina tamani niongee na mchungaji

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw Год назад

    TAFADHALI NAOMBA NAMBA ya MTUMISHI,🙏

  • @MeshackAngel-kc2gc
    @MeshackAngel-kc2gc Год назад

    Nakupenda kiroho

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali Год назад

    Nitajuaje kama hitaji langu linaitaji maombi ya kufunga au linaitaji maombi ya kawaida?

  • @RichardMshana-su9hs
    @RichardMshana-su9hs Год назад +1

    Pastor nilikuwa na swali kuwa kufanya "meditation" je ni dhambi au sio dhambi

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 3 месяца назад

    Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki

  • @CarolineKenyatta-mq3ro
    @CarolineKenyatta-mq3ro Год назад

    Niombee sihisi vizuri

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @agustinomwaya4038
    @agustinomwaya4038 Год назад

    Pr mmbaga icho kitabu ulicho shika kinaitwaje nakiitaj

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Год назад

    AMEN 🙏🙏

  • @lizziewangui6106
    @lizziewangui6106 Год назад +1

    amina

    • @DeoPonera-dp5du
      @DeoPonera-dp5du Год назад +1

      Pastor Niko kwenye ndoa takribani miaka mitatu ila mpaka sasa Mimi na mke wangu hatujapata watoto tumefunga na kuomba lakini bado najua MUNGU ndiye mwenyekujua muda muafaka .mie Deo naomba tuendelee kuliombea jambo hili ubarikiwe sana

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Год назад

    Amina

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Год назад

    AMINA

  • @cristinarashid1245
    @cristinarashid1245 Год назад

    Amen

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Год назад

    Amina pastor 🙌 🙏🏼

  • @DARUBINIYAUNABII538
    @DARUBINIYAUNABII538 Год назад +3

    Mbaga kwakweli mafundisho yako yamebadilika. Siku hizi unaubiri mafundisho laini laini sana.
    Umeacha kuubiri ujumbe wa Malaika wa Tatu.
    Shida ni nini ndugu yangu?😢😢
    Mbona mafundisho ayo ata walokole wanaubiri tu.😢😢
    Sisi Waadventista Wasabato tunaujumbe wetu.

    • @albertinemacimu1247
      @albertinemacimu1247 Год назад

      Muombee na kujiombea pia maana hata kusimama kunena hayo ni neema na Mungu akubariki ndugu yangu 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @manongi1774
      @manongi1774 Год назад +1

      Muombee Mungu amuongoze na ungeweza kumfuata pembeni na kumuuliza hapa ni namna ya lawama ila kikubwa anaeongoza mtu ahubiri nini ni Roho kulingana na watu waliokuwa Mbele yake

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Год назад +5

      Mahubiri yenu how? Kwani kahubiri nini kibaya? Watu mnanongwa khaaaa

    • @fridah6046
      @fridah6046 Год назад +3

      @@emmadora7848 safi sana kwa ujumbe wako....watu kama hawa wakushikilia dini sana wasiojua yesu ni wote wenye mwili wataangukia pabaya....mimi sio msabatu lakini nafuatilia mahubiri yao sana kwa kuwa yako na yesu ndani yake.

    • @marhayona2925
      @marhayona2925 Год назад +3

      Si uhubiri wewe magumu tuyaone
      Mungu akubariki sana pastor Mbaga nabarikiwa sana na mafundisho yako na yamenifungua kwa mengi auna matisho baba go forward nakupenda bure mtumishi wa Mungu

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 11 месяцев назад

    Amina

  • @Calton898
    @Calton898 Год назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 3 месяца назад

    Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Год назад

    Amen

  • @AsenathKerubo-kj3po
    @AsenathKerubo-kj3po Год назад

    Amen

  • @RebbecaAkinyi
    @RebbecaAkinyi Год назад +1

    Amen

  • @jacobongaga1448
    @jacobongaga1448 Год назад

    Amen

  • @stacymsuya3170
    @stacymsuya3170 11 месяцев назад

    Amen