Asante Mwenyezi Mungu kwakuniponya kichwa kilichokuwa kikiniuma takribani miaka kumi, kupitia maombi haya nimeweka imani asilimia zote kwa yesu kristo nilipokua natazama video hii nilipokua natoka kazini, sifa kwa Mwenyezi Mungu, Mbarikiwe sana wa tumishi.nipo jimbo la Colorado .
Mimi sio msabato lakini huyu mtumishi yuko swari kabisa,haubiri dini..yaani kwake tiketi ya mbinguni ni yesu tu.....akialikwa kwa kanisa lolote linalohubiri yesu yuko tayari kuja.....ameubadilisha mtazamo wangu kabisa...popote panapohubiriwa yesu nami nipo........mbinguni hatuingii kwa ajili ya dini zetu...tunaingia kwa kumkiri yesu
Ufunuo wa Yohana 14:12 [12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu. Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus. WEWE UNAEONGEA HIVO UNAMSUBIRI YESU UKIWA WAPI? Umeona watakatifu wako sehemu gani? Na wewe uko sehemu gani?
Kweli dada. Nakubaliana nawe. Yesu tu ndie njia ya uzima na kweli. Lakini Yesu huyu tunaye mwamini, ametuagiza katika kitabu Cha Yohana 14:15:" kama tunampenda, tutie amri zake"....akasisitiza zaidi tena 15:14: sisi na marafiki zake tukifanya alivyo agiza
Mchungaji na barikiwa san na mafundisho yako na pia nataman bac ck moja nikutane na wew ili kwa ajili ya shida binafsi nilizonazo Mchungaji naamin MUNGU atajibu hili na nitafunguliwa Amina
Asante sana pr mafundisho yako yananigusa sana na tamani sana kuendelea kujifunza na kupata ujasili wa kusonga mbele hakika Mungu azidi kukubariki na kukupa Roho mtakatifu ili utimize kazi aliyokutuma ya kuwafanya mataifa yote kuwa wanafunzi wa Mungu ubarikiwe sana!!!!
Maombi kwa njia YA unyenyekevu na TOBA yatapokelewa kupitia kwa YESU KRISTO MWOKOZI WETU.NASHUKURU KWA NENO MTUMISHI WA MUNGU.NIMEKUWA NAKUFUATILIA KILA WAKATI.HAKIKA UMENIPA NGUVU.UBARIWE SANA MCH.DAVD MMBAGA.
Umenibariki sk ya leo jina la bwana litukuzwe milele daima, na mungu aendelee kukutumia katika uhai woote wa maisha yako, kwan nashindwa niandike nn barikiwa kwa somo isitoshe umenigusa
Changamoto ya masomo yako ni kwamba haujibu maswali kutokana na ubize. Naomba uone namna ya kufanya na Mungu akuongoze katika Hilo maana Mtu awez kubadilishwa na masomo yako maana bado ana maswali kichwani.
Kiukweli kabisa Pastor Kama Mungu Angekuwa Anatoa Hiyo Karama Ya Uungu Kwa Majaribio Dakika Mbili Tu Anakuta Nimeshaumba Watu Wengine 😂😂 Yani Hata Mimi Mwenyewe Tu Namwambia Nisiishi Tena
Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki
Pastor Niko kwenye ndoa takribani miaka mitatu ila mpaka sasa Mimi na mke wangu hatujapata watoto tumefunga na kuomba lakini bado najua MUNGU ndiye mwenyekujua muda muafaka .mie Deo naomba tuendelee kuliombea jambo hili ubarikiwe sana
Muombee Mungu amuongoze na ungeweza kumfuata pembeni na kumuuliza hapa ni namna ya lawama ila kikubwa anaeongoza mtu ahubiri nini ni Roho kulingana na watu waliokuwa Mbele yake
@@emmadora7848 safi sana kwa ujumbe wako....watu kama hawa wakushikilia dini sana wasiojua yesu ni wote wenye mwili wataangukia pabaya....mimi sio msabatu lakini nafuatilia mahubiri yao sana kwa kuwa yako na yesu ndani yake.
Si uhubiri wewe magumu tuyaone Mungu akubariki sana pastor Mbaga nabarikiwa sana na mafundisho yako na yamenifungua kwa mengi auna matisho baba go forward nakupenda bure mtumishi wa Mungu
Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki
Asante Mwenyezi Mungu kwakuniponya kichwa kilichokuwa kikiniuma takribani miaka kumi, kupitia maombi haya nimeweka imani asilimia zote kwa yesu kristo nilipokua natazama video hii nilipokua natoka kazini, sifa kwa Mwenyezi Mungu, Mbarikiwe sana wa tumishi.nipo jimbo la Colorado .
Mimi sio msabato lakini huyu mtumishi yuko swari kabisa,haubiri dini..yaani kwake tiketi ya mbinguni ni yesu tu.....akialikwa kwa kanisa lolote linalohubiri yesu yuko tayari kuja.....ameubadilisha mtazamo wangu kabisa...popote panapohubiriwa yesu nami nipo........mbinguni hatuingii kwa ajili ya dini zetu...tunaingia kwa kumkiri yesu
Ufunuo wa Yohana 14:12
[12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.
Here is the patience of the saints: here are they that keep the commandments of God, and the faith of Jesus.
WEWE UNAEONGEA HIVO UNAMSUBIRI YESU UKIWA WAPI?
Umeona watakatifu wako sehemu gani? Na wewe uko sehemu gani?
❤😮
Barikiwaaaa sana kiongozi 🎉
Mungu akubariki mtumishi yani toka nikukute sitaki atakukosa neno moja kutoka kwako barikiwa sana na mafundisho yako
Kweli dada. Nakubaliana nawe. Yesu tu ndie njia ya uzima na kweli. Lakini Yesu huyu tunaye mwamini, ametuagiza katika kitabu Cha Yohana 14:15:" kama tunampenda, tutie amri zake"....akasisitiza zaidi tena 15:14: sisi na marafiki zake tukifanya alivyo agiza
Mchungaji na barikiwa san na mafundisho yako na pia nataman bac ck moja nikutane na wew ili kwa ajili ya shida binafsi nilizonazo Mchungaji naamin MUNGU atajibu hili na nitafunguliwa Amina
Asante sana pr mafundisho yako yananigusa sana na tamani sana kuendelea kujifunza na kupata ujasili wa kusonga mbele hakika Mungu azidi kukubariki na kukupa Roho mtakatifu ili utimize kazi aliyokutuma ya kuwafanya mataifa yote kuwa wanafunzi wa Mungu ubarikiwe sana!!!!
Wachungaji wote wangekuwa kama wewe Imani za waumini zisinge yumba yumba Mungu akupe maisha marefu na mwisho mzuri
Nimebalikiwa na somo lako Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri Asnte Mungu
Mungu akubariki sana mchungaji mahubiri yako yamekua guzo katika maisha yangu
Amen Amen pastor kweli kabisa tuombe vitu vyamsingi kutoka kwa baba yetu
Maombi kwa njia YA unyenyekevu na TOBA yatapokelewa kupitia kwa YESU KRISTO MWOKOZI WETU.NASHUKURU KWA NENO MTUMISHI WA MUNGU.NIMEKUWA NAKUFUATILIA KILA WAKATI.HAKIKA UMENIPA NGUVU.UBARIWE SANA MCH.DAVD MMBAGA.
asante paster umebanda mbegu mioyoni mwetu tuombee endelee kukuwa
Maana ya kanisa(church)ni tahatharisa am blessed groly be to the most high.
Always a blessing to me and eye opener. Clearly the holy spirit is at work within you pastor. You are blessed 🇰🇪🇰🇪
Ameen barikiwa kwa somo lenye mafunzo sanq najifunza zaidi kila nikisikza mahubiri hya🙏🙏✍️✍️✍️
Amen 🙏🙏 hakika mahubiri yko yanaguza, ubarikiwe PST.
mungu akubarik kwa mafundisho unayo toa kwa uwezo wa roho mtakatifu
Asante kwa jumbe na kutukumbusha kuhusu ukuaji wa kiroho na mafundisho juu ya ukuu wa Mungu
Umenibariki sk ya leo jina la bwana litukuzwe milele daima, na mungu aendelee kukutumia katika uhai woote wa maisha yako, kwan nashindwa niandike nn barikiwa kwa somo isitoshe umenigusa
Mungu akulinde mchungaji umefndisha vyema
Nashukuru kabisa ju nimebarikiw1 kwa mafundidho haya,ni seraphin nikiwa congo
Kwa kweli ninamkubali mtumishi huyu mmbaga naomba nimuone live hapa Arusha kukiwa na makambi
Mungu akubariki sana pastor unafundisha vizuri sana hadi nimebatilika tena unafunza vyema sana
Ubarikiwe sana mchungaji. Masomo yako hunipa ujasiri was kuendelea mbele
Ah utukufu umrudie Mungu 🙌🙌
Pastor mmbaga mungu akubariki
Waaah pastor barikiwa sana tena sana 🙏
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa mafundisho unaefundisha kanisa
May God bless you pastor am from kenya
Welcome to join us always and GOD will be with you
Pastor Mmbaga Mungu akubariki kwa mahubiri Yako, nabarikiwa sana.
Ubarikiwe sana Pr nabarikiwa na mahubiri yako
Ubarikiwe sana mchungaji mwenyezi mungu akutie nguvu uzid kutufundisha yalio ya haki
Siko musabato Niko kongo Mungu akubariki sana n'a asifiwe
Amina. Ubarikiwe uzao wako pia wamhubiri huyu Yesu.
Amen!! Naflaii Kwa sababu mungu yupo
Amen Amen Mungu awabariki san
Amen Amen 🙏🙏 pastor hilo neno limeniimisha jambo ninashukuru
Amina mchungaji kwa somo zuri
Mimi nakuombea sana Mungu wa mbinguni akubariki ufungue chuo chakuwanoa wainjilisti wawe maarufu zaidi yako.
Pastor you always bless me a lot may God bless you
Im blessed with this preach so God bless you more our pastor
Aksante tumebarikiwa na somo la maombi
Pastor na ss ambao ijumatano unakuta tuko kwenye miangaiko yatu ya kila sku tufanyeje tusaidie kutuombea
Mungu akutendee
Mungu azidi kukupa hekima na ufafanuzi kabisa
Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa mungu
Wasabato wakimsikiliza huyu pastor, watafika mbali,,shida Kuna mahara wamekwama,kuwakwamua hapo!!!! Syo leo
Napenda sana huyu pastor Mungu amulinde sana
Nampenda sana huyu mchungaji,ahsante kwa neno hili.
Mungu akutunze Pr
Ubarikiwe sana
Nabarikiwa sana
Changamoto ya masomo yako ni kwamba haujibu maswali kutokana na ubize. Naomba uone namna ya kufanya na Mungu akuongoze katika Hilo maana Mtu awez kubadilishwa na masomo yako maana bado ana maswali kichwani.
Natamani simu Moja nikushike mkongo mtumishi
Amen Mungu awabariki sana
AMEN Utukuvu kwa YESU
God bless you
Amina pastor, nabarikiwa sana
Mxhungaji mbaga mungu akutie nguvu Kwa kweli
Mafundisho yako yananisaidia sana ....Barikiwa sana🙏🏻
Asante kwaneno lime ibariki Mungu akubariki
Mchungaji mbaga MUNGU akubariki na akutia nguvu ulinifanya kuwa muadventista kweli
Amen
Am blessed Sir, umekuwa wa baraka
Amina barikiwa sana😊
Ameen Baba ubarikiwe sana kwa somo zuri MUNGU azidi kukutunza 🙏
Nabarikiwa sana
Nakufatilia from Burundi
Love your teachings
coming to see you soon at New life Nairobi
mungu akubarki mchungaji
Bwana akuongeze siku ilikazi uimalize
baba naoba naba yako Niko kagera bukoba
Nimekupungia mkono mchungaji mabarikiwa sana kenya mombasa
Kiukweli kabisa Pastor Kama Mungu Angekuwa Anatoa Hiyo Karama Ya Uungu Kwa Majaribio Dakika Mbili Tu Anakuta Nimeshaumba Watu Wengine 😂😂 Yani Hata Mimi Mwenyewe Tu Namwambia Nisiishi Tena
Pool nakaz nawezaj kupat namb yak
Jamani nina tamani niongee na mchungaji
TAFADHALI NAOMBA NAMBA ya MTUMISHI,🙏
+255 755 932 283
Nakupenda kiroho
Nitajuaje kama hitaji langu linaitaji maombi ya kufunga au linaitaji maombi ya kawaida?
Pastor nilikuwa na swali kuwa kufanya "meditation" je ni dhambi au sio dhambi
Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki
Niombee sihisi vizuri
Amen 🙏
Pr mmbaga icho kitabu ulicho shika kinaitwaje nakiitaj
AMEN 🙏🙏
amina
Pastor Niko kwenye ndoa takribani miaka mitatu ila mpaka sasa Mimi na mke wangu hatujapata watoto tumefunga na kuomba lakini bado najua MUNGU ndiye mwenyekujua muda muafaka .mie Deo naomba tuendelee kuliombea jambo hili ubarikiwe sana
Amina
AMINA
Amen
Amina pastor 🙌 🙏🏼
Mbaga kwakweli mafundisho yako yamebadilika. Siku hizi unaubiri mafundisho laini laini sana.
Umeacha kuubiri ujumbe wa Malaika wa Tatu.
Shida ni nini ndugu yangu?😢😢
Mbona mafundisho ayo ata walokole wanaubiri tu.😢😢
Sisi Waadventista Wasabato tunaujumbe wetu.
Muombee na kujiombea pia maana hata kusimama kunena hayo ni neema na Mungu akubariki ndugu yangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Muombee Mungu amuongoze na ungeweza kumfuata pembeni na kumuuliza hapa ni namna ya lawama ila kikubwa anaeongoza mtu ahubiri nini ni Roho kulingana na watu waliokuwa Mbele yake
Mahubiri yenu how? Kwani kahubiri nini kibaya? Watu mnanongwa khaaaa
@@emmadora7848 safi sana kwa ujumbe wako....watu kama hawa wakushikilia dini sana wasiojua yesu ni wote wenye mwili wataangukia pabaya....mimi sio msabatu lakini nafuatilia mahubiri yao sana kwa kuwa yako na yesu ndani yake.
Si uhubiri wewe magumu tuyaone
Mungu akubariki sana pastor Mbaga nabarikiwa sana na mafundisho yako na yamenifungua kwa mengi auna matisho baba go forward nakupenda bure mtumishi wa Mungu
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Mimi nikisikiza mahubiri ya ndacha na onyango hakika wa SDA wameacha mafundisho yao wanafundisha mafundisho ambayo siyo kabisa huyu mmbaga ameshindwa hata na mwakema wakina ndacha wanamtaka kwa mhadhara hataki
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen