HISTORIA YA MAZINGE NILIKUA KWAYA MASTER KANISANI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 281

  • @najmamakame9881
    @najmamakame9881 4 года назад +30

    Hata nami nilijua amezaliwa katka uislam ma sha Allah mazinge like mazinge wa tz Allah akuifadh wewe na waislam wote dunian akhy mohammed Allah akuongoze katka noor akupe hasanat Katika dunia had akhera

  • @remysultan7443
    @remysultan7443 4 года назад +17

    Ma shaa Allah,Sheikh Mazinge nakukumbuka hapa Rwanda sehemu ya Gisenyi Aljamiat Masjid, kwa kuchambua Illuminati/freemason,kwa wakati huo ujana bado tatizo, lakini ulipandisha imani yangu paka leo sasa. Allah akuzidishie umri na elimu Sheikh wangu

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 года назад +17

    Sheikh Mazinge siwez sema mengi kuhusu kazi yako ila namuomba Allah akuongoze na akupe pepo iliyo daraja la juu,umefanya kazi kubwa na wengine wamesilimu kupitia video zako

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 4 года назад +11

    Maasha Allah, nilijua amechukua jina la muhadhiri mkubwa wa Tanzania anaitwa Habibu Othman Mazinge. Sasa sheikh Yahya itabidi utuulizie na huyu wa kwetu Tanzania, labda hawa ni ndugu wa ukoo wa Mazinge. Ikiwa nikweli, basi hawa kina mazinge wameleta athari kubwa katika kuendeleza uislam Africa Mashariki
    Allah awabariki sanaaaaaa

    • @hamzaismael4510
      @hamzaismael4510 4 года назад +1

      Yap, cause huyo Suleiman Mazinge alikuwa mwalimu wangu wa Primary (mingi) huku Kitale

    • @faisalyusuf8986
      @faisalyusuf8986 4 года назад

      Sikiliza video vizuri mwanzo mpaka mwisho utajua kwanini na yeye aliamua kuitwa mazinge, Mazinge wa Tanzania ndio alio mpatia hilo jina kama nickname yake Suleiman Mazingi

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад +2

    Tutajaa WAISILAMU Allah amesha tuaidi yesu iko katika uisilamu izo kanisa zilizokua nyingi afu hazisikilizani ataingiya wapi masha Allah wacristo wote wamepoteya

  • @chaiboabilai3145
    @chaiboabilai3145 4 года назад +14

    Mashallha nawapenda kwa ajili ya Allah kutoka Mozambique

  • @adijahmunyasia1449
    @adijahmunyasia1449 4 года назад +9

    Mashaallah tabarak Allah! Kweli Allah akikuongoza kamwe hutopotea...najivunia kuwa mwislamu wallahi...suleiman mazinge Allah akuzidishie kila la kheri in Shaa Allah

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 4 года назад +28

    Wallahi nampenda Sana suleiman mazinge, Allah akuzidishie elmu yako pamoja na mimi lnshaAllah tuendelee kupeana da'wa

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 3 года назад +3

    Hao ndio ma Superstars wa Allah. Allah awape nguvu InshaAllah

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 4 года назад +12

    Maa sha Allah uislam raha sana

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +1

    Mashallah sheikh Suleiman mazinge,Allah akulipe pepo kwa kazi hii ya da'waa kwa kweli unafanya kazi kwa juhudi zako zote

  • @duniaabdallah2852
    @duniaabdallah2852 4 года назад +11

    Ispokua mimi ujana ndo unanisumbua ila Dini yangu Naipenda sana kuliko mke wangu

    • @sismnfamily3426
      @sismnfamily3426 4 года назад +1

      Mashallah

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 4 года назад +1

      Umenena vyema inshaallah yatapita kaka!

    • @jasminhassani4809
      @jasminhassani4809 4 года назад

      Allah Atakuongoza Kaka Yangu Ktk Iman Tiania Ya Kubadilika

    • @francinensavyimana5601
      @francinensavyimana5601 4 года назад

      Bora tu ulalenayo kaka maana ukiomba dua Allah atakusikiya ni daraja kubwa iyo ila mukristo nikama akiomba anaambiya asiyosikiya vile

  • @mwanaidikuzi4865
    @mwanaidikuzi4865 4 года назад +3

    Mashallah tunajivunia wa kenya kuwa na sheikh mwenye elmu na kipaji Suleiman mazinge allah akujalie mwisho mwema in sha allah nakupenda kwa ajili ya allah

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад

    MashaAllah MashaAllah. Hawa mazinge wakiongea mm sitaki wamalize na wala sichoki kuwaskiza wanasisimua. Allah awabariki na awape furaha wote wanaofanya kazi hii ya daawa

  • @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf
    @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf 4 года назад +8

    From Somalia I love you the sake of Allah All my Muslims fellow

  • @yamaddi8151
    @yamaddi8151 4 года назад +15

    Mazinge wa Kenya na mazinge Wa Tanzania mashallah

    • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182
      @mwabwagizojaytummumwabwagi7182 4 года назад

      Yam addi Nawapenda sana hao kina mazinge kwa ajli ya ALLAH, Mashaallah

    • @mwanaimabintabdallah8589
      @mwanaimabintabdallah8589 4 года назад +2

      Ila WA tz kiboko

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 4 года назад +3

      @@mwanaimabintabdallah8589 hatushabikii wote wanafanya kazi ya Allah

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 3 года назад +1

      @@mwanaimabintabdallah8589 kwani kunamashindano we vp? Wote wapo vzur sana wanafanya kaz kubwa sana hakuna Cha zaidi

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 года назад

    Shaikh yahya na shaikh mazinge na ndugu yetu waziri sina cha kuwapa ila nawaombea ALLAH awajaalie IKHLASW na awazidishieilmu na hikm ya kuendeleza dini yetu ya haqq...ALLAH awazawadie umri twawiil na kesho awaingize peponi pamoja na munae mtetea nae ni MUHAMMAD RASULULLAHU s.a.w...amiin

  • @ambbabu4122
    @ambbabu4122 4 года назад +4

    Mashaa Allah wallah mwenyezi mungu awajalie kila la kher masheikh wetu pamoja na ndugu yetu bwana Mohammad inshaa Allah

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад +3

    MashaAlla mungu akupe umri mrefu shk mazge akupe kitabu kwa mkono wa kuliya akunusuru na balaa ya rabii

  • @bisimwashamboko5713
    @bisimwashamboko5713 4 года назад +2

    Naam. Namupendaga saaaana suleim mazinge. Yahya. Yusuf. Muhammad. Said. Nawengine. Allah awalinde nyinyi nyote. karibu sana mchungaji katika dini ya aki.

  • @salimamry9432
    @salimamry9432 4 года назад +2

    Mama Shaa Allah mara ya kwanza kujua kama sheikh Suleiman Mazinge alikuwa mkiristor. Allah amjalie baraka za maisha na amzidishie imani katika kutangaza uislaam.

  • @faridkhamid1358
    @faridkhamid1358 3 года назад

    Masha allah mungu awangezee ngufu muweze kufika kila sehem ya dunia kusimamisha laa ila haila llah muhammada rusulu llah

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 4 года назад +14

    Assalaamaleikum warahmatullah wabarakatuh, ni wazo langu tu jamani watu wakiingia ktk dini ya haki basi wasiwachiwe tu, ni jukumu letu kuwaangalia kimalazi na mavazi na kuwaelekeza kwenye madrassa, mtu alala for three good years pahali hapaeleweki Kweli inahuzunisha sana, I feel so bad wallah

    • @bakarikalama6099
      @bakarikalama6099 4 года назад

      Swadakta ukhty

    • @azminaahmad9620
      @azminaahmad9620 3 года назад +1

      Nikweli kwa hakika Allah hapokei ibada uliyokuwa huna elimu nayo juhudi zifanyike

  • @hashimmoote3587
    @hashimmoote3587 4 года назад +7

    Maashaallah mustadh wetu, mungu awataqabalie dua zenu

  • @salamamohamed6762
    @salamamohamed6762 4 года назад +33

    Nilisilimu kupitia video zenu RUclips ALLAH awabariki sana pia naomba ikiwezekana mfike na kwetu upande wa gongoni vipingo kuna wakristo wengi sana huenda wakaiona haki na wakasilimu pamoja na wazazi wangu Insha Allah

  • @abdiindireafyanjemafitness115
    @abdiindireafyanjemafitness115 4 года назад +7

    Mwenyezi Mungu awazidishie na mfahamu kama Mazinge.

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko2170 3 года назад +1

    Yesu ni Bwana na Mwokozi wa wote wenye mwili Yasua Almasihu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +2

    Maa Shaa Allah, Ma Sheikh Wetu Nawapenda Kwa Ajili Ya Allah,Allah Awape Umri Mzidi Elimisha.

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa 4 года назад +2

    Takbir. Bwana Mazinge nakupenda bule Sheikh wangu Mungu akujalie heri na umri mrefu insha'Allah. Nimeona mihadhala mingi ulioifanya kweli kazi ya Allah umeifanya na bado unaifanya kadri uwezavyo, jazaak'Allah

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +5

    Ma sha ALLAH, malipo yenu iko kwa ALLAH

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 3 года назад

    Ma sha Allah. Allah awazidishie kila la kheri, amin.

  • @Alextucker88
    @Alextucker88 3 года назад +1

    Ya Allah give mazinge the best life in this dunya mash Allah I attended his da wah dialogues as a kid i love sheikh mazinge so much he is very intellectual i wish to see u again insha Allah

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 4 года назад +9

    Sheikh Suleman Mazinge fanya ufike Zanzibar uwape Daawa hawa ndugu zetu ktk ubinaadam Wakiristo.

  • @othmanmuna3115
    @othmanmuna3115 4 года назад +1

    Allah Akbar Allah akupe mwisho mwema

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 года назад +1

    Nawapenda sanaaaaa kwa ajili ya Allah,na ninawaombea kwa Allah azidi kuwapa afya njema ili muzidi kuutangaza Uislam,na nawaombea mwisho mwema,Allah awaepushe na ufakara na awalinde na vijicho na wenye husda na fitnah.Allahuma Amina.

  • @mwawekomiuda5777
    @mwawekomiuda5777 3 года назад

    MashaAllah. Kwakweli suleiman ametutoa taka za masikio tulip wengi dhidi ya Hawa nanaojiita freemason tumeyajua mengi kutoka kwake. M'MUNGU amuhigadhi inshaAllah

  • @almashally8808
    @almashally8808 4 года назад +1

    Masha Allah Mola awape nguvu zaidi

  • @icetruth
    @icetruth 4 года назад +2

    Masha Allah, Allah awape umri na afya muitumikie hii dini na walimwengu kwa daawa, Inn Shaa Allah 🙏

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe7227 4 года назад +5

    Masha Allah ustadh wetu

  • @hassananwar7327
    @hassananwar7327 4 года назад +7

    "من يهده الله فلا مضل له..."
    Allah awahifadhi vidume wa uisilamu Ameen

  • @jamalali1306
    @jamalali1306 4 года назад

    Mashallah.Sheikh mazinge kachapa kazi ya Daawah kweli kweli.Nakumbuka kati ya mwaka 2009-2011 alikuwa akifanya mihadhara na Daawah pale Eastleigh 10th street na pale Joster carlifornia.ambapo nilikuwa mdogo sana.alikuwa akisilimisha watu kweli kweli.

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 года назад

    Pole sana Mazinge mahali ulipotoka ni mbali sana ila Allah yupo na ww In Sha Allah kwa kazi unayoifanya Allah akufanyie wepesi

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +5

    ALLAHUMA swalli wasallim wabaarik aleihi

  • @ibrahimkazigo2660
    @ibrahimkazigo2660 4 года назад +2

    Sheik yahya tunashukulu kazi zenu nao ndungu zetu muwe nao kalibu

  • @yahyajumaan3393
    @yahyajumaan3393 4 года назад

    Shekh Mohamad na shekh washy ni wajibu kutoa shukrani kwa Allah jala Jalal kwa mapenzi yake kuwaongoza ndacha Fondo onyango wacheni Kung angania kamba mbovu mlioshika

  • @manirakizaalfanabbas5242
    @manirakizaalfanabbas5242 4 года назад

    Allah akuzidishie elmu cheikh wetu mazinge mansha Allah

  • @abdulmalikngola9244
    @abdulmalikngola9244 4 года назад +3

    Mazinge chuma nice to see u brother +971🇦🇪

  • @سعيدهعلي-ف5ك
    @سعيدهعلي-ف5ك 3 года назад

    Masha llah masha llah shukran sana Allah awape afya njema ya rabbiy

  • @ummabdulrahman170
    @ummabdulrahman170 4 года назад +1

    Mashallah mungu awahifadhi nyote awalipe janatul,Firdaus kwa kazi yenu hii na in shaa Allah musichoke mpaka mwisho wa umri wenu

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 года назад

    Mungu awahifadhi na awaongoze muzidi kutuma elimu

  • @fiacredady6082
    @fiacredady6082 Год назад

    Si Kenya tu kaka Mansha Allah kazi kubwa umefanya Allah akulinde nakila baya

  • @duniaabdallah2852
    @duniaabdallah2852 4 года назад +10

    Nazidi kufatilia Allah Awalinde Insha'Allah

  • @mustafam2462
    @mustafam2462 4 года назад

    Ma sha Allah tabaraka Allah, Mwenyezi akuifathi sheikh Mazinge Akupe kheir hapa duniyani na kesho akhera, pamoja na Sheikh Yaya.

  • @rahmasleiyum2867
    @rahmasleiyum2867 4 года назад +3

    Napenda sana mihadhara

  • @saleheomari7270
    @saleheomari7270 4 года назад +2

    Allahu akbr !! Allah awangoze nyie mashekh mpo serious kweli kweli yan dah;!!

  • @fatjum5900
    @fatjum5900 4 года назад +3

    A very humble guy in real life, May Allah grant him all that is good and May Allah make him and us jannah our final destination 🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 года назад

    Ma Sha Allah, Tabarkah Allah ndio najuwa leo kwamba Suleiman Mazinge kumbe alikuwa mkiristo na kaingia katika Usilam Ma Sha Allah nafurai kukujuwa kk Suleiman na penda sana Mawaidha yako

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 2 года назад

      Hao Waongo, Hatotokea Mkristo Kusilimu Alafu Eti Waislamu Wakae Kimya, Miaka Ipite Kisha Ndiyo Ajitambulishe Kwamba Alikuwa Mkristo Never, Huyo Ni Mwislamu Wa Kuzaliwa.

  • @aminasalim8467
    @aminasalim8467 4 года назад +1

    Alhamdu Allah akuzdishie

  • @manamisi2680
    @manamisi2680 4 года назад +4

    Ma Sha Allah tabaraka Allah

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 4 года назад +6

    Allahu akbar .".heri mtu aingie Uislamu kupitia kwako kuliko ngamia jedunku" amenikumbusha hio maneno .....

  • @AbdulAbdul-vp2np
    @AbdulAbdul-vp2np 4 года назад +2

    Mashallah wish u all the best and may Allah rewards u in this world and tomorrow Jannah Inshallah

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 года назад

    In Sha Allah naomab Suleiman Mazinge na Professor Mazinge wawe kwenye muhadhara na wachunganji tuone raha ya dini In Sha Allah

  • @zaitunshaban9220
    @zaitunshaban9220 4 года назад

    MashaAllah MashaAllah Allah azidi kukuongoza na wengi waitambue njia ya halo ya Allah.
    ALLAHU AKIBAR ALLAHU AKIBAR.

  • @Alextucker88
    @Alextucker88 3 года назад +1

    Sheikh fika afrika kwote please and I’m in usa 🇺🇸 and willing to donate by anyways insha Allah

  • @oman7710
    @oman7710 3 года назад

    Allah awahifadhi masheikh wetu

  • @farhathamdansalum9725
    @farhathamdansalum9725 3 года назад

    Ma Sha Allah, kwa kweli waalimu wetu hupitia mmbo mengi ila In Sha Allah kwa uwezo wake Allah atujalie miongoni mwakuijuwa dini ya Islam

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 4 года назад +2

    Kwali kaka yahya man tashambaha kaumu fahuwa min hum

  • @ummua5006
    @ummua5006 4 года назад

    Sheikh nawapenda kwa ajili ya Allah. Jazakumu Llaahu khairan kwa kazi mnayofanya.
    Amiyn

  • @mwanamwinyibmwakinalo4094
    @mwanamwinyibmwakinalo4094 4 года назад

    Mashallah masheikh wetu, nawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @rahmakishiwa1528
    @rahmakishiwa1528 3 года назад

    maa sha Allah hongereni sana

  • @asdfnfmd5466
    @asdfnfmd5466 4 года назад +4

    Mashallah tabarak rahman

  • @iliasaliogopen6505
    @iliasaliogopen6505 4 года назад

    Mashallah mashallah mashallah, ash hadu allaa ilaaha illa llah wa ash hadu anna Muhammadan rasuulu llah.

  • @jacobngonyani4522
    @jacobngonyani4522 4 года назад +5

    Maashaa Allah.

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 года назад +2

    MashaAllah mashaAllah Allah barik.

  • @gshdhvdhf8283
    @gshdhvdhf8283 4 года назад +3

    Ukweli wa mambo sheikh suleiman mazinge mimi binafsi nashuhudia juhudi yake nikiwa nasoma form one Mombasa high secondary tukitoka school pale mwembe Tayari muhadhara alikua Hatari sana kisha nilikua natafuta elimu ya dini nilikua msikitini mmoja kongowea kadiria kila siku nilipokua nasoma pia yeye aliku na vitabu vyake akifanya uchambuzi nakumbuka wakati huo alikua anafanya mambo na hesabu ya mirathi...mimi namwamini sana namkubali..tangu Niko school hadi namaliza naingia elimu yeye alikua anafanya juhudi zote...Allah ampe mwisho mwema na swiha na afya....

  • @asiriyaaljabriy434
    @asiriyaaljabriy434 4 года назад +3

    Mola awabariki

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Mashaallah sheikh wetu Allah akubariki Sana jazaka Allahu kher

  • @egetinginyemachoka2726
    @egetinginyemachoka2726 4 года назад +5

    masha Allah

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +1

    Masha Allah sheikh mazinge mm nilijua nimuislam lkn Mazinge wa Tz kwenye muhadhara mmoja nakuumbuka alisema ww mpigaji kwaya

  • @ayubushopping9734
    @ayubushopping9734 4 года назад

    Masha Allah in shaa Allah awazidishiye sauti ipo chini ifanyiyeni juhudi

  • @kazungukakiyo8560
    @kazungukakiyo8560 4 года назад

    Masha-Allah""Allah Hafidhi Nyote neema zaidi.

  • @theoriginaldhol3032
    @theoriginaldhol3032 3 года назад

    Mansha Allah ya sheikh Sulayman May Allah make it easy for all of you who doing dawah

  • @stvesdiwe221
    @stvesdiwe221 4 года назад +4

    Masha Allah.

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 4 года назад

    Allah awape umri mrefu wenye kheir nyinyi wote wahadhiri wa kenya na Waziri

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад

    Allah anijaalie akili na uelewa km sheikh mazinge yaaaaa rabb
    Na kila anaeitikia aamiin Allah ampe kheri zote.

  • @omarabeid1363
    @omarabeid1363 3 года назад

    A meeen inn Shaa Allah

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 4 года назад +4

    MashaaAllah

  • @FatmaAli-dp9ps
    @FatmaAli-dp9ps 4 года назад +4

    Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @abedidunia6904
    @abedidunia6904 4 года назад +4

    ALLAH awazidishiye elimu inshaALLAH

  • @ahmedmusa5088
    @ahmedmusa5088 4 года назад +7

    Great content!

    • @ayanaamri3584
      @ayanaamri3584 3 года назад

      Mashaallah Allah awahifadhi waahadhir wetu inshaallah

  • @ahmednoor9546
    @ahmednoor9546 4 года назад +1

    takbri allahuakbar mola wape ilmuzaidi

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 Год назад

    Ma sha Allah, Allah ibarik

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 4 года назад +1

    Suleiman, mashallah barakaufik

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe5275 4 года назад

    Nina mkubali sana huyo pamoja na Ismail gitau wamefanya kugundua baadhi ya mambo asa kwenye uislamu na kugundua mambo ya mafreemason Allah amfungulie milango ya pepo

  • @hanifaalbalushi2483
    @hanifaalbalushi2483 4 года назад

    MashaAllah Allah ampe nguvu zaidi na zaidi mujahid wetu huyu

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 года назад

    Mashaallah, Corona ikiisha inshaallah daawa iyende giriama, rabai chonyi duruma ya kinango, kilifi giriama, bado uislam haujafika vizuri inshaallah ALLAH atawalipa mashekhe wetu,

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 3 года назад +1

    Hakuna mtu yoyote ataemuona mungu bila kumpokea yesu hata Mimi nilikuwa mwisilam nimesoma iyo kolaan yenu nimemali juzuu Amma lakini yesu ni bwana namuokozi

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 4 года назад

    Mashaallah mashaallah allah akupeni umri mrefu wenye afya uzidi kuwavuta watu kwenye dini ya haki

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po 4 года назад

    Ndugu zangu waislamu Allah wabariki fil dunia wal akhira

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад +1

    Good