KASWIDA ANAYO ALAMA ILIVYOWAINUA WAFALME WA MOROKO NA MUFTI WA TANZANIA - NASAHA CREW

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 309

  • @HusnaHussein-oi9jr
    @HusnaHussein-oi9jr Год назад +9

    Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote

  • @raheemhamisi5370
    @raheemhamisi5370 2 года назад +27

    Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
    Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
    Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.

    • @riiabbas3393
      @riiabbas3393 2 года назад

      Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 Год назад +1

      ​@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W

    • @mariamharoon1840
      @mariamharoon1840 Год назад

      Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 9 месяцев назад

      Mziki huo😢😢

    • @ZenaUsangi
      @ZenaUsangi 8 месяцев назад

      KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 Год назад +5

    Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤

  • @hassanhussein-ow7qh
    @hassanhussein-ow7qh 6 месяцев назад +7

    Ninetokwa machozi kwa furaha, Allahumma swali Alaa Muhammad S.A.W

  • @ibrahimjumbe6434
    @ibrahimjumbe6434 2 года назад +8

    MashaAllah
    Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭

  • @issajafarimzi2784
    @issajafarimzi2784 2 года назад +17

    Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a

  • @MaryamHaji-bb5gv
    @MaryamHaji-bb5gv Год назад +2

    Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah

  • @husseinkhamis3475
    @husseinkhamis3475 4 месяца назад +1

    Wallahi humu kasifiwa mtume Muhammad
    Nyie tuacheni na bidaa zenu
    Sisi akitajwa mtume pahala popote nafsi zetu zinatakasika midhali watu wanamsifu na kumuumbia kipenzi Cha Allah na Umma , Anayo Alama

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t Год назад +2

    Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد

  • @ZuleaOmari
    @ZuleaOmari Год назад +2

    Maashaala kaswinda nzuri sana

  • @lelasharifabdi1139
    @lelasharifabdi1139 Год назад +5

    Mashallah mashallah anayo alama bwana mtume like voice 🥰😘❤

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 2 года назад +10

    MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)

  • @leaderboy7565
    @leaderboy7565 2 года назад +16

    Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu

    • @yahyayusuf1761
      @yahyayusuf1761 Год назад +5

      We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame

    • @athumanmwamgupu661
      @athumanmwamgupu661 Год назад +4

      Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?

    • @ramadhanShaban-cb9fs
      @ramadhanShaban-cb9fs Год назад +2

      Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza

    • @hafanabdallah3112
      @hafanabdallah3112 Год назад

      😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 Год назад +2

      Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu

  • @tazzat3383
    @tazzat3383 6 месяцев назад

    Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH

  • @rashid3562
    @rashid3562 9 месяцев назад +4

    Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote

  • @salmakhatri2696
    @salmakhatri2696 3 месяца назад

    Sub'han'ALLAH!! Mtume mzuriiiii.
    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد نور الأنوار وسر الأسرار وسيد الأبرار وعلى آله وصحبه وسلم ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 7 месяцев назад

    MashaAllah hakika twamsifuMtume Kwa sauti nzuri kama hivi

  • @anwarosman7206
    @anwarosman7206 2 года назад +6

    Maashallaaah very beautiful

  • @AbdulraheemSalimu
    @AbdulraheemSalimu Год назад +1

    Allhahu Akbar Allah awazidishie

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 2 года назад +13

    Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
    INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN

    • @allyabubakarisaidy5894
      @allyabubakarisaidy5894 2 года назад +3

      ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 года назад +3

      Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 Год назад +4

    BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 11 месяцев назад

      Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 11 месяцев назад

      BIDAA BIDAA Huku unasikiliza

    • @sharifisangyo8038
      @sharifisangyo8038 9 месяцев назад

      Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma4833 Год назад +3

    Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +7

    Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu

  • @MohammedAli-zx6yh
    @MohammedAli-zx6yh 2 года назад +3

    duh htr mashekh

  • @abdulhamidjafar3176
    @abdulhamidjafar3176 Год назад +2

    Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 2 года назад +8

    ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 9 месяцев назад

    Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 года назад +5

    MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 8 месяцев назад

    Masha Allah aswaliwe mutume❤❤

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 2 года назад +6

    SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA

    • @Allyahmed40
      @Allyahmed40 2 года назад +1

      Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 2 года назад +1

      @@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa

    • @SalumSeif-w5y
      @SalumSeif-w5y 7 месяцев назад

      unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 2 года назад +8

    magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza

    • @babaawena
      @babaawena 2 года назад

      Haongera bro

    • @Zivago12
      @Zivago12 4 месяца назад

      Hiyo ni qasida sio maulidi

    • @Zivago12
      @Zivago12 4 месяца назад

      Ila hata mimi sikupenda vinanda

  • @soudkhamis7006
    @soudkhamis7006 Год назад +2

    Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani

  • @MozaissaNassor
    @MozaissaNassor 9 месяцев назад

    Yaa Allah tuoneshe haki na utuwezeshe kuifata natuonyeshe baattil na utuwezeshe kuiwacha.

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 2 года назад +3

    Hatar sana mzee koba

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 Год назад

    Namuona shekh langu shekh Kabeke

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 Год назад +1

    Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 10 месяцев назад

      Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 9 месяцев назад

      ​Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake​@@mwantummakoa4253

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 Год назад +1

    Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 9 месяцев назад

      Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 9 месяцев назад

      Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Год назад +2

    Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi

  • @SHAibuYahaya-e1e
    @SHAibuYahaya-e1e Месяц назад

    Mashaallah ❤❤

  • @abeidmrengaofficial1792
    @abeidmrengaofficial1792 2 года назад +1

    Subhanallah .
    Koba kiongozi wa bidaa.
    Watching from capetown Rsa

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 9 месяцев назад +1

    Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni

    • @SalumSeif-w5y
      @SalumSeif-w5y 7 месяцев назад

      kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni

  • @HusnaMakame
    @HusnaMakame Год назад

    Mashaallah Allah barik

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 месяцев назад

    Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 Год назад +1

    Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
    Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 года назад +7

    Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 2 года назад +3

    Masha allah

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 года назад +4

    Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah

    • @hafidhsalum9149
      @hafidhsalum9149 2 года назад

      Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад

      Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 Год назад +1

      Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤

    • @BimkumbwaAmour
      @BimkumbwaAmour Год назад

      ​@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 2 года назад +5

    Mashaallah

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Год назад +2

    اللهم صلى وسلم عليه
    ما شاء الله يا اخواني

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 9 месяцев назад

    Amina karama yamwenyez tuendeleze

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 9 месяцев назад +1

    Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa

  • @SaraBashiru
    @SaraBashiru 8 месяцев назад

    Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉

  • @HamisiramadhaniTurusia
    @HamisiramadhaniTurusia 5 месяцев назад

    Nimeipenda Ila hzo magitaa hazifai

  • @Dawlat282
    @Dawlat282 8 месяцев назад

    Nzuri sana

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Год назад +4

    Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao

  • @omanruwi5501
    @omanruwi5501 9 месяцев назад

    Masha Allah Masha Allah ❤❤🎉🎉

  • @BakariMagoti
    @BakariMagoti Год назад +2

    Mawahabi nao wanapenda kaswida ndo maana wanafuatilia humu tatizo lao wamefundishwa kupinga bila sababu.

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 9 месяцев назад

    Nijia ya allh pekee waisilam tumche mwenyezi kwa makin kaswid inatufahamisha tuyafanye mema

  • @AbuuSaif
    @AbuuSaif 9 месяцев назад

    Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki

  • @aishatidrisa
    @aishatidrisa 2 месяца назад

    Jina la kaswida

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 9 месяцев назад

    Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 7 месяцев назад

    Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 2 года назад +4

    Acheni ujinga nyinyi watu wa koment eti jitu halina la kuwandika eti Lina andindika Maashaallah pumbavuuuuu kuna jambao gani hapa la kuwandika Maashaallah .

  • @Allyahmed40
    @Allyahmed40 2 года назад

    Anayo wallahi Anayo. Opoooooooooh sharif Koba

  • @Nuruyasunnah.official_tv
    @Nuruyasunnah.official_tv 9 месяцев назад +1

    BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 2 года назад +3

    Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 9 месяцев назад +1

    Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +2

    Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 года назад

      Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 2 года назад

      @@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 2 года назад +15

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 2 года назад +6

    Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 2 года назад

      Kwani hujui kama hiyo ni taarabu

    • @bakariyusufujuma
      @bakariyusufujuma 2 года назад

      Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 9 месяцев назад

      Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 9 месяцев назад

      Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Год назад +1

    Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito

  • @jumajafar8710
    @jumajafar8710 2 года назад +2

    lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад +2

    Msiba_Mzito_sana

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 9 месяцев назад

    🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 9 месяцев назад +1

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58

  • @HusseinRwambo-mh3yj
    @HusseinRwambo-mh3yj Месяц назад

    طيب طيب هوي ممتاز

  • @ShariifDhadho
    @ShariifDhadho 10 дней назад

    Huonekana hii dini niya wahaba maana wao kila kitu wajua,lakini siri imejulikana

  • @IdrisaDulazi
    @IdrisaDulazi 5 месяцев назад

    Kuna watu wanalaana Mungu awazindue tu,anashangilia mpira kwa gharama hasemi ni bidaa lkini hii furaha anasema ni bidaa

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 2 года назад +4

    Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .

    • @mohamedmasauni3609
      @mohamedmasauni3609 Год назад

      Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin

  • @AbdallahMohammed-s5w
    @AbdallahMohammed-s5w Год назад

    Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !

  • @salimsalim6000
    @salimsalim6000 3 месяца назад

    Swallu Ala Muhammad saw

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 месяцев назад

    Nice

  • @yusufuMuhange
    @yusufuMuhange Месяц назад

    Swallu ala nnabii muhammadin

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 2 года назад +3

    Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa

    • @OmantelCm
      @OmantelCm 10 месяцев назад

      Mdomo tu muone vile

  • @Hustlersec
    @Hustlersec Год назад

    Uzushi zahir shair

  • @AzizaMombe-fy4qv
    @AzizaMombe-fy4qv 10 месяцев назад

    Allahu akbaaru dini yetu taamu

  • @omarmtulivu-fl9gt
    @omarmtulivu-fl9gt Год назад

    Maaasha Allah

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад +1

    dini gani hii?

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 года назад

    Ebwana ehhhh Nilifikili Sami Yusuf.

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 9 месяцев назад

    Is this instrumental song halal in Islam???

  • @saimmohamed9807
    @saimmohamed9807 2 года назад +2

    hayo masuti ndio yametia doa hii kaswida... bora ht wangevaa yale manguo ya ki-Nigeria.

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 9 месяцев назад

      Kwani suti si vazi tuu kama ilivyo kanzu

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 8 месяцев назад

    Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂

  • @FasihiRaisi
    @FasihiRaisi 9 месяцев назад

    Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 2 года назад +2

    pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 2 года назад +2

    Kazi ipo 🤔🙄😣

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 9 месяцев назад

    😂😂bado diamond amuimbie mtume

  • @saudhamdoon4825
    @saudhamdoon4825 2 года назад +1

    hii taarabu ya wapi?

  • @RamadhaniSalehe-o8t
    @RamadhaniSalehe-o8t 9 месяцев назад

    Duuuu Allah atunusuru

  • @madamex9662
    @madamex9662 5 месяцев назад

    Kaswida na magitaa wapi kwa wapi. Vifaa hivyo haraam

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 2 года назад +2

    Hakuna tofauti na taarab.