KASWIDA ANAYO ALAMA ILIVYOWAINUA WAFALME WA MOROKO NA MUFTI WA TANZANIA - NASAHA CREW

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024

Комментарии • 284

  • @raheemhamisi5370
    @raheemhamisi5370 2 года назад +21

    Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
    Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
    Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.

    • @riiabbas3393
      @riiabbas3393 Год назад

      Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 Год назад +1

      ​@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W

    • @mariamharoon1840
      @mariamharoon1840 Год назад

      Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 3 месяца назад

      Mziki huo😢😢

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 3 месяца назад

      KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA

  • @tazzat3383
    @tazzat3383 Месяц назад

    Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH

  • @issajafarimzi2784
    @issajafarimzi2784 Год назад +10

    Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a

  • @ibrahimjumbe6434
    @ibrahimjumbe6434 2 года назад +7

    MashaAllah
    Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭

  • @hassanhussein-ow7qh
    @hassanhussein-ow7qh 26 дней назад +2

    Ninetokwa machozi kwa furaha, Allahumma swali Alaa Muhammad S.A.W

  • @HusnaHussein-oi9jr
    @HusnaHussein-oi9jr Год назад +5

    Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 Год назад +3

    Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 10 месяцев назад +2

    Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 года назад +7

    magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza

  • @MaryamHaji-bb5gv
    @MaryamHaji-bb5gv 10 месяцев назад +2

    Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 9 месяцев назад +4

    BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 5 месяцев назад

      Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.

    • @hamisjuma4081
      @hamisjuma4081 5 месяцев назад

      BIDAA BIDAA Huku unasikiliza

    • @sharifisangyo8038
      @sharifisangyo8038 3 месяца назад

      Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu

  • @anwarosman7206
    @anwarosman7206 Год назад +5

    Maashallaaah very beautiful

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 2 года назад +10

    MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 Год назад +8

    ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 8 месяцев назад +1

    Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 5 месяцев назад

      Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 3 месяца назад

      ​Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake​@@mwantummakoa4253

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 2 года назад +12

    Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
    INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN

    • @allyabubakarisaidy5894
      @allyabubakarisaidy5894 2 года назад +3

      ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 года назад +3

      Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?

  • @leaderboy7565
    @leaderboy7565 Год назад +11

    Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu

    • @yahyayusuf1761
      @yahyayusuf1761 Год назад +3

      We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame

    • @athumanmwamgupu661
      @athumanmwamgupu661 Год назад +3

      Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?

    • @ramadhanShaban-cb9fs
      @ramadhanShaban-cb9fs 11 месяцев назад +2

      Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza

    • @hafanabdallah3112
      @hafanabdallah3112 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe

    • @mariamomary3537
      @mariamomary3537 10 месяцев назад +1

      Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +6

    Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu

  • @user-jt7dx4xu2o
    @user-jt7dx4xu2o 11 месяцев назад +2

    Maashaala kaswinda nzuri sana

  • @nassirhamad9407
    @nassirhamad9407 9 месяцев назад +1

    Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
    Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 3 месяца назад

    Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .

  • @rashid3562
    @rashid3562 3 месяца назад +2

    Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 8 месяцев назад +1

    Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 месяца назад

      Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 месяца назад

      Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 4 месяца назад +1

    Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni

    • @user-il5te5xd5y
      @user-il5te5xd5y Месяц назад

      kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 года назад +5

    MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA

  • @abdulhamidjafar3176
    @abdulhamidjafar3176 Год назад +1

    Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.

  • @lelasharifabdi1139
    @lelasharifabdi1139 Год назад +5

    Mashallah mashallah anayo alama bwana mtume like voice 🥰😘❤

  • @mahfoudhjuma4833
    @mahfoudhjuma4833 Год назад +2

    Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Год назад +3

    Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao

    • @mwantummakoa4253
      @mwantummakoa4253 5 месяцев назад

      Mbona mnawafatilia sana kwann upo humu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 года назад +4

    Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah

    • @hafidhsalum9149
      @hafidhsalum9149 2 года назад

      Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад

      Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 Год назад +1

      Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤

    • @user-xl5qj8we2x
      @user-xl5qj8we2x Год назад

      ​@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 2 года назад +5

    Mashaallah

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Год назад +2

    اللهم صلى وسلم عليه
    ما شاء الله يا اخواني

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 3 месяца назад

    Nijia ya allh pekee waisilam tumche mwenyezi kwa makin kaswid inatufahamisha tuyafanye mema

  • @MohammedAli-zx6yh
    @MohammedAli-zx6yh 2 года назад +3

    duh htr mashekh

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 Месяц назад

    MashaAllah hakika twamsifuMtume Kwa sauti nzuri kama hivi

  • @user-dj9tj6tj6y
    @user-dj9tj6tj6y 9 месяцев назад +1

    Allhahu Akbar Allah awazidishie

  • @soudkhamis7006
    @soudkhamis7006 9 месяцев назад +2

    Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 месяца назад

    🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 года назад +6

    SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA

    • @Allyahmed40
      @Allyahmed40 Год назад +1

      Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 Год назад +1

      @@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa

    • @user-il5te5xd5y
      @user-il5te5xd5y Месяц назад

      unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa

  • @user-uo7hs4is6y
    @user-uo7hs4is6y 2 месяца назад

    Masha Allah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад

    Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe

  • @IdrisaDulazi
    @IdrisaDulazi 13 часов назад

    Kuna watu wanalaana Mungu awazindue tu,anashangilia mpira kwa gharama hasemi ni bidaa lkini hii furaha anasema ni bidaa

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 2 года назад +3

    Masha allah

  • @AbdalahSichonge
    @AbdalahSichonge 10 месяцев назад +1

    Maashallah

  • @AbuuSaif
    @AbuuSaif 3 месяца назад

    Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 9 месяцев назад +1

    Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 2 года назад +3

    Hatar sana mzee koba

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 3 месяца назад +1

    Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa

  • @user-ju1dg4xt4l
    @user-ju1dg4xt4l 2 месяца назад

    Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉

  • @MozaissaNassor
    @MozaissaNassor 3 месяца назад

    Yaa Allah tuoneshe haki na utuwezeshe kuifata natuonyeshe baattil na utuwezeshe kuiwacha.

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 2 года назад +15

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Год назад +1

    Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 3 месяца назад +1

    Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58

  • @Dawlat282
    @Dawlat282 3 месяца назад

    Nzuri sana

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 года назад +7

    Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 2 года назад +6

    Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 2 года назад

      Kwani hujui kama hiyo ni taarabu

    • @bakariyusufujuma
      @bakariyusufujuma 2 года назад

      Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 месяца назад

      Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje

    • @HalfaniRashid
      @HalfaniRashid 3 месяца назад

      Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika

  • @SulemanMuhidin
    @SulemanMuhidin 3 месяца назад +1

    Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 3 месяца назад

    Is this instrumental song halal in Islam???

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 2 года назад +3

    Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 2 года назад +4

    Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .

    • @mohamedmasauni3609
      @mohamedmasauni3609 Год назад

      Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin

  • @HusnaMakame
    @HusnaMakame Год назад

    Mashaallah Allah barik

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 Месяц назад

    Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 3 месяца назад

    Masha Allah aswaliwe mutume❤❤

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Год назад +3

    Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa

  • @jumajafar8710
    @jumajafar8710 2 года назад +2

    lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto

  • @FasihiRaisi
    @FasihiRaisi 3 месяца назад

    Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 2 года назад +4

    Acheni ujinga nyinyi watu wa koment eti jitu halina la kuwandika eti Lina andindika Maashaallah pumbavuuuuu kuna jambao gani hapa la kuwandika Maashaallah .

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 3 месяца назад +1

    BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 Год назад

    Namuona shekh langu shekh Kabeke

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +1

    Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 2 года назад

      Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 2 года назад

      @@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 месяца назад

    Hii bidaa tunaiyona sisi tu tanzaniya hatari sana Indonesia hakuna bidaa kenya hakuna bidaa na nchi kadhaa zinoimba na kutumiya vyombo hivo.jqmana kuna mambo tumwachiye mola tusihukumiane

  • @omanruwi5501
    @omanruwi5501 3 месяца назад

    Masha Allah Masha Allah ❤❤🎉🎉

  • @user-kp2ok4zl1x
    @user-kp2ok4zl1x 9 месяцев назад

    Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !

  • @AzizaMombe-fy4qv
    @AzizaMombe-fy4qv 4 месяца назад

    Allahu akbaaru dini yetu taamu

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Год назад +2

    Msiba_Mzito_sana

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs 3 месяца назад

    Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 3 месяца назад

    Amina karama yamwenyez tuendeleze

  • @user-uc5py2ll5n
    @user-uc5py2ll5n 8 месяцев назад +2

    Mawahabi nao wanapenda kaswida ndo maana wanafuatilia humu tatizo lao wamefundishwa kupinga bila sababu.

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 3 месяца назад

    Afu sheikh mmoja ananyanyuka anamtusi mzee yusuph kwenye taarab😂,ni kwa sbbu aliona ya kule na haya hayana tofauti,ila angishekimana na watu wa sunnah angeambiwa tenga mda wako uje usome,raha ya ahlu sunnah ipo kwenye kukesha kwenye elimu,sio kukesha kwenye huo upuuzi

  • @NasibuOmary-ey9db
    @NasibuOmary-ey9db 3 месяца назад

    Mashallah

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 2 года назад +3

    *Tunakwenda wapi waislamu?Bado Disco tu hapo*

  • @munirafatma6090
    @munirafatma6090 2 года назад +1

    Takbrrrr

  • @abuuirfan9523
    @abuuirfan9523 2 года назад +4

    TAARAB LIVE

  • @abeidmrengaofficial1792
    @abeidmrengaofficial1792 2 года назад +1

    Subhanallah .
    Koba kiongozi wa bidaa.
    Watching from capetown Rsa

  • @NgwaliMakame-g1i
    @NgwaliMakame-g1i 4 дня назад

    Nauliza kwani mtume alitakiwa asifiwe kwa music? hii ni dhambi kubwa sana kumswifu mtume ndani ya music amakweli bilisi ananguvu

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад +1

    dini gani hii?

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 года назад +2

    pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki

  • @imranijuma6955
    @imranijuma6955 2 года назад +3

    HAWANA TOFAUTI NA MASHIA HAWA ALLAH AWAONGOZE YAANI HATUJA KAMILIKA LKN HAWA WAFUASI WABAKWATA MASHAKA MATUPU NENDA MAKKAH AU MADINA PALE UKAPIGE IVO🙄🤔🤣MASHEKH WA BAKWATA WAPOTISHAJI WAPO KIDUNIA NA STAREHE ZIMEWALEVYA MASKINI NA KUPENDA KUKAA KWENYE MA GARI YA KIFAHARI YANAMWISHO WAKE YAANI WATU WA SUNNA WAPO VIZURI KWENYE MISIMAMO YA KIDINI HAWA WANAPENDA MADUFU SIJAPATA KUONA

    • @ismailmsangule1380
      @ismailmsangule1380 2 года назад

      Wewe omba mwisho mwema usihukumu sio kazi yako

    • @abdelqadir5227
      @abdelqadir5227 Год назад

      Shiat-Ali and proud❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹

  • @Allyahmed40
    @Allyahmed40 Год назад

    Anayo wallahi Anayo. Opoooooooooh sharif Koba

  • @ShaameMBakar
    @ShaameMBakar 2 года назад +2

    uhuni huu

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 9 месяцев назад +1

    Hii ni taarabu watu wasije fikiria kuna dalili ya uislam hapo amekosekana hadija kopa tu

  • @user-wk4kr8id6u
    @user-wk4kr8id6u 3 месяца назад

    Duuuu Allah atunusuru

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri 2 года назад +8

    Innalillahi wainna ilaihi rajiuun

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 10 месяцев назад

      Inailahi rajiun mwenyewe cc nyoyo zimefurah kutajwa kipenz chetu

  • @barkebahesmy1257
    @barkebahesmy1257 3 месяца назад

    Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂

  • @asyaameir8703
    @asyaameir8703 2 года назад +5

    TAARABU ANAYO ALAMA ILIYOWAKOLEZA WASIOJUA KUTAFAUTISHA BAINA YA DINI NA DUNIA

  • @SelemaniMussa-dy7fu
    @SelemaniMussa-dy7fu 2 месяца назад

    ❤❤

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 года назад +3

    Sasa hiii na taaaarab hakuna tofauti etiiiiii

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 месяца назад

    Nice

  • @wardaam3707
    @wardaam3707 2 года назад

    Maaashallah

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 2 года назад +2

    Kazi ipo 🤔🙄😣