Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman. Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam. Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.
Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee
Wallahi humu kasifiwa mtume Muhammad Nyie tuacheni na bidaa zenu Sisi akitajwa mtume pahala popote nafsi zetu zinatakasika midhali watu wanamsifu na kumuumbia kipenzi Cha Allah na Umma , Anayo Alama
ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram
BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa
Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.
Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .
magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza
Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo
Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo
Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake@@mwantummakoa4253
Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah
Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe
Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah
Acheni ujinga nyinyi watu wa koment eti jitu halina la kuwandika eti Lina andindika Maashaallah pumbavuuuuu kuna jambao gani hapa la kuwandika Maashaallah .
Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi
Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.
🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi
Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .
Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin
Mashallah mnanikumbuxha nilipokua nikixom buguruni neemalwaly qadiria chini ya ustadh Hassan Banda m mungu amlinde na hasadi nanyi nyote
Jaman kwani mbona wimbo mzuri wa kumsifia mtume wetu (S.A.W)hakika nimeupenda jaman kama kuna mtu anayo Audio antumie ntashukur sana jaman.
Waislaam tupunguze lawama,,,ata km ni taarabu inamsifia mtume wetu kuna ubaya gani,,,???acheni izo jaman waungwana wa kiislam.
Eti baadhi ya waislaam wamekerwa na suti walizovaa,,???kikubwa ni ujumbe uliopo kwenye qaswida jaman tupunguze kupondea waislaam.
Yani inaskitisha waislamu kuandika inna lillah wakati watu wamekusanyika Kumsifia Mtume.. Jamani hii dunia ikiwa watu hawakusanyiki kwa mwaka Ivyo ni mtihani kwa vizazi vijavyo mana Hata jina la Muhammad wa natamani lipotee
@@riiabbas3393 jina la mtume latajwa sana ila sio kwa hili huo sio utaratibu wa kumtaja mtume wetu S.A.W
Hapo kwenye muziki 😢 tu kweri ya allah nijarie nijue dini yetu
Mziki huo😢😢
KAMA UMEPATA HIYO AUDIO NAMI NAOMBA
Mashallah kazi mzuri hakuna bidaa hapo ila nitamaduni to mungu awazidishie kwenye uendelezi ya swala y mtumd s.c.w❤❤❤
Ninetokwa machozi kwa furaha, Allahumma swali Alaa Muhammad S.A.W
MashaAllah
Mungu amrahamu almarhoum sheikh Ismail Muhammad alikua na beti zake nzuri sana kuhusu kaswida hii 😭😭😭
Tumswifu mtume(s.a.w) alojaa sifa nzuri zakupende,a
Mashallah Allah akuzidishie tupate kuingia nae mtume peponi inshallah
Wallahi humu kasifiwa mtume Muhammad
Nyie tuacheni na bidaa zenu
Sisi akitajwa mtume pahala popote nafsi zetu zinatakasika midhali watu wanamsifu na kumuumbia kipenzi Cha Allah na Umma , Anayo Alama
Masha Anllah anayo alama kipenzi chetu 😢❤❤اللهم صل وسلم وبارك علي سيدنا محمد
Maashaala kaswinda nzuri sana
Mashallah mashallah anayo alama bwana mtume like voice 🥰😘❤
MAASHAALLAH TABAARAKALLAHU,ZITTAAAAAA ZIKUBWAAAAA,swalluuui a'alaa habibi Muhammad (s.a.w)
q
Allah atupe ufahamu sahihi wa dini. Tunafanya mambo mengi tunadhani tupo ktk dini kumbe tunahaaribu dini. Tusimeni uislamu wetu
We wajua maneno yako ni kiasi ya kuita mtu kafiri ati tunaharibu dini hivi ndivo tunavo mswalia mtume s.a.w kama hupendi usitizame
Silazima utazame, Kila mtu anafahamu zake!!?
Tupokatika haki achadhanapotofu kasomekwanza
😂😂😂😂😂 Anza kusoma kwanza ww alafu ndo ujibiwe
Mbea we we wajua lip tunga lako uwe nalo peke yako we mwenyew muovu
Just imagine prophet Muhammad sitting on this congregation on the high table with all those luxurious delicious food!!! And also dancing!!!SUBHANALLAH
Mnaopenda kuponda ni wachoyo tu Hamna uchamungu wowote
Sub'han'ALLAH!! Mtume mzuriiiii.
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد نور الأنوار وسر الأسرار وسيد الأبرار وعلى آله وصحبه وسلم ❤️❤️❤️❤️❤️
MashaAllah hakika twamsifuMtume Kwa sauti nzuri kama hivi
Maashallaaah very beautiful
Allhahu Akbar Allah awazidishie
Apo ndipo waislamu walipo potea, yaan UYAHUDI nyuma ya pazia.
INNA LILAH WAINA ILAYH RAJIUUN
ww bhn kam answar utajua mwenyw kwan hz s sifa za mtum au shida nn wamepotea ww ndo haujapotea wot ss hakn anay jua mung ach kusem waislam wamepotea ila inavyoonyesh ww nd wale mnao mping mtum ww wach kuwalaum ulev wa bwan mtum nimtam kulik mviny haram
Wewe unajihisi mtakatifu saana unakwenda peonies ee?km wamepotea unawafatilia yanini?unayapenda haswaa ndy maana unasikiliza na kufatilia.ulilazimishwa kutazama?
BIDAA BIDAAA BIDAAA Haina tofauti na nyimbo za akina DIAMOND na Zuchu na wengineooo....Mcheni Allah watu wa BIDAAA dini munaipeleka siko munaaavuuuka mipaka sasaaa
Kama ni Bidaa why umechukua mda wako kwakusikiliza bidaa Acha mambo yako hujalazimishwa kusikiliza Bidaa wewe unaojiona uko sahihi endelea haijatajwa nguruwe hapo katajwa MTUME MOHAMAD S,A,W.
BIDAA BIDAA Huku unasikiliza
Bidaaniwewe hunamaarifayadini acheni wahmu
Mziki ni mchanganyiko wa alarm na mashairi ss unamtaja mtume ndani ya alarm ...mungu tupe hekma ya kujua haki ilipo
Uzushi wa mzumari katika dini ni zulma mnawafurahisha viumbe mazaifu mnauza dini yenu
Anayo alamaa
Wataka kusifiwa wewe mjinga myahudi wewe
duh htr mashekh
Dah dktr abubkry azuubeiyry bin aliy muft mkuu wa Tanzania allh akuepush na bid-aa na uisimamie dini ya allh kwa haki .na allh awafhmishe nyinyi lkn pia awafhmishe na hawa wanokutukneni ,Kwan dini cio kuitana wapumbav Wala waking bl dini nikufhmishn kwa hekm na busara.
ماشاء الله ماشاء الله، اللهم صلي وسلم على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين 😍😍😍😍
Maashallah tabaaraka llah
Heri haya ya kujumuhikia kumbukumbu za kipenzi chetu MTUME WETU MUHAMMAD (saw) Kuliko kujumuikia mipira ya manaswarah ! Nampenda aliye na halama Kipenzi NABI MUHAMMAD (saw) Asiye mswaliya ni mkosefu wa fadhila .
MASHALLAH JAZAKALLAH VERY VOICES FRM KENYA
m
Masha Allah aswaliwe mutume❤❤
SUBHAANALLAH LEO DUNIA IMEISHA
Acha wivu acha Mtume Muhammad Aswaliwe Sheikh
@@Allyahmed40 kuswaliwa mwenyewe sio hivo sasa
unashangaza unaposema dunia imeisha wakati maulid imeanza kabla hujazaliwa
magita vinanda ngoma duh ! hapo sasa hata mimi niliokua nikijinadi kua maulidi sio bidaa sasaivi sipo na nyinyi ndio yale aliyo sema hiyo ni ndugu yake taarabu, mnatupoteza
Haongera bro
Hiyo ni qasida sio maulidi
Ila hata mimi sikupenda vinanda
Hii hatari zaidi sasa . Tumuogope mungu jamani
Yaa Allah tuoneshe haki na utuwezeshe kuifata natuonyeshe baattil na utuwezeshe kuiwacha.
Hatar sana mzee koba
Namuona shekh langu shekh Kabeke
Sababu za mtu kua shoga Moja wapo ni mziki mnaacha msingi mzuri wa Kur Ani na Sunnah Kwa ufaamu wa wema waliotangulia mkashika njia mbaya maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam laiti wengekua kama masufi hii dini ya Allah isingetufikia sisi huku baba unaimba na kupiga dufu je mtoto wako atakuaja kuaje namuomba Allah awaongoze ndugu zetu tambue Kila Mmoja atakua kaburini pekeyake ndo pagumu hapo
Usihukumu Bali muombe mola wako akuepushe na Shari ktk dini,,,yawezekana madhambi ulionayo nimakubwa kuliko hizo dufu,,,mda mwingine hata mzaz wako hujui amekula Nini leo
Kwako wewe mwanamke unahakki ta kutetea hayo yanayofanywa,lkn uislamu umemkataza mwanaume kufanya vitu hvi kwa sbbu ni vya wanawake@@mwantummakoa4253
Innalillahi wa inna lillahi rajiuuni ndugu zangu waislam acheni hayo mambo ya kuimba na kupiga dufu wanaume mtume swalla llahu alley wassalam akutoa mafundisha hayo muyafanyayo Wala swahaba zake mikono italegea itakua kama mikono ya Wanawake acheni matamanio ya nafsi maswahaba wa mtume Muhammad swala llahu alley wassalam walipigania dini ya Allah sio kuimba na kupiga dufu twawapenda kwaajili ya Allah hizo mzifanyazo ni njia za sheitwany Alie laaniwa na Allah
Mtume wakati anapokelewa madina ilipoimbwa Twala'al badri zilipigwa nini pale maalim, punguzeni ujuaji, shida mnakariri hamtaki kusoma
Dufu zimepigwa kipindi cha mtume sembuse leo bana, jitahidi kusoma maalim, usifate mkumbo
Watu wa bidaa ni watu wabaya sn ktk jamii na uchafu wote ktk jamii asilimia kubwa wao ndio waanzilishi
Mashaallah ❤❤
Subhanallah .
Koba kiongozi wa bidaa.
Watching from capetown Rsa
😂😂😂😂
From missina Beit bridge
We mwenyewe bidaa
Anayo alamaa
Waijua hukum yake we ndo mungu jifunz kunyamaza utaponywa na Iman yak
Unapo sema Wafalme wanenyanyuka kwani ndio kiigizo chema Subhannallah huo ni muzki namuziki niharam nasivngine ushushi na wazushi nimotoni
kwahiyo unathibitisha hao wanaingia motoni
Mashaallah Allah barik
Mimi sioni ubaya hapo mana hakujakatwa viuno wala hakujapigwa ngoma za mbwa kachoka uchezaji wake ni ustaarabu tocha mungu muweza anajuwa niya za waja wake tuwache kuhukumiana hupendi acha fanya unoona sawa usiwahukumu watu utakavo wewe
Mumebaki kwenda kurikodi na Zuchu sasa...Pumbavu zenu
Hiiii dini munafikiri ni ujinga huo munaofanya watu wa BIDAA... TUTASHUHUDIA mengiii sanaaa
Daaaaaah innalillahi wainnaaa ilaihirajiuuun rajiuuun
Masha allah
Acheni basi kwani tumeambiwa tuwe na kilio time zote sikilizeni hadithi za mtume alikuwa na furaha na huzni wakat mwengine acheni basi kosa walilolifanya hawakuvaa kanzu tuuuuuu wengeuwa kichizi mshalahah
Wangeuwa kwa hiyo taarabu na vinanda me nahic wangeta viuno ndo wangeuwa zaidi pumbavu zao
Na mtume alikua akienda kuskiliza kasida na wake zake kwenye zinapigwa kasida
Na kunesa alikuwa ananesa rasulullah.❤
@@hafidhsalum9149😂😂😂😂😂😂
Mashaallah
اللهم صلى وسلم عليه
ما شاء الله يا اخواني
Amina karama yamwenyez tuendeleze
Nyote mnaounga mkono upumbavu huo,nyinyi ni majahil murakab,munaunga mkono uyahudi olewenu,na hilo sheikhe lenu ni jahili kubwa
Mashaala allah 🎉🎉🎉🎉
Nimeipenda Ila hzo magitaa hazifai
Nzuri sana
Kawaida ya bidaa cku zote huwa inaongezewa utamu ili sheitwaan azidi kuwachezea ndani ya nafsi zao
Mbona mnawafatilia sana kwann upo humu
Kwan Nn co bids sheikh
Wee mwenyewe nibidaa
Masha Allah Masha Allah ❤❤🎉🎉
Mawahabi nao wanapenda kaswida ndo maana wanafuatilia humu tatizo lao wamefundishwa kupinga bila sababu.
Nijia ya allh pekee waisilam tumche mwenyezi kwa makin kaswid inatufahamisha tuyafanye mema
Jaman tufuateni dini tusiuate nafsi zetu NA sheitwan. Allah awaongoze katika haki
Jina la kaswida
Innalillahiy wainnailayhi rajeun. Masufi tupu
Ewe Allah atunusuru hakika sisi ni wakosefu 😢
Acheni ujinga nyinyi watu wa koment eti jitu halina la kuwandika eti Lina andindika Maashaallah pumbavuuuuu kuna jambao gani hapa la kuwandika Maashaallah .
Ss wamensifu mtumeeeee
Anayo wallahi Anayo. Opoooooooooh sharif Koba
BIDAA MBAYA 😢😢❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Duh Mambo haya ni uzushi xi mziki huu someni dini jaman
Anayo alamaa
Wewe ulisomea dunia na mbon huwez kuhukum nyamaza tungoj hukum za allah
Assalamualeykum, Mtume ,amekwisha lisema zamani katika hadithi zake kuwa zitakuja bidaa nyingi, na kuna hadithi ilisem bidaa ni upotevu tena motoni, hivyo tuelimishane muuongoaji ni Allah, kwani hata wakiristo wanaona dini yao ni sahihi na wanabishana , je kweli ni sahihi
Wallahi laiti mngekuwa mnajua msiba wa waislam leo kutoijua dini yetu ya uislam basi msingepannda majukwaani na kunengua viuno hii ndio hali walinizonazo viongozi na matajiri wa kiislam.
Waacheni na wewe fanya unaloona kwako sahihi usihukumu watu.wala usiwaangalie ukajikera buree
@@bahiyalumelezy3016 nenda mapumbavu wewe mmekalia ujinga ujinga hali ya dini mbaya mnafanya mchezo,
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Khatari wallahi mtihani
Mbona mmechanyika wanawake na wanaume hayo ndio mafundisho wanawake kuwapiga picha wanaume!?
Kwani hujui kama hiyo ni taarabu
Hahahaaa hapo sawa nilikuwa napata tabu mashindano ya kitabu kitukufu na na hilo zege inakuaje
Makka wanachanganyikana wanaume na wanawake wanasali kabisa unasemaje
Au hujui ibada za umrah zinavo fanyika
Taarab ,uislam na tarabu wapi na wapi ? Tumcheni allah jaman dunia mapito
lailahillaah,masufinamashianibabanamtoto
Msiba_Mzito_sana
Umefiwa
🎉Si thani kama kuna ikhtilafu kumpenda mohamed ni tharura kuliko nafsi yako NA watoto wako bora isiwe mchanganiko mtume hakusema kitu wakati wa idi wakati watu walikua wamefurahi
Na kwanini wasipige takbir n wanapig makofi, n hawatoridhika mayahi mpaka muwafate mila zao, mie naishaia apo ,sipend mabishano napend kuelimisha 8:58
طيب طيب هوي ممتاز
Huonekana hii dini niya wahaba maana wao kila kitu wajua,lakini siri imejulikana
Kuna watu wanalaana Mungu awazindue tu,anashangilia mpira kwa gharama hasemi ni bidaa lkini hii furaha anasema ni bidaa
Naomba kuuliza huu siyo music ? Kwa sabubu music umekatazwa kwa sababu ya gitar na kinanda .ingekuwa rika pekee sawa siyo music. Sasa naonaduniya imefikamwisho kwa sababu ya kuganga njaa eti kunamwarabu pale .ndomana wafrica mtabaki kuwa nyuma kidini na kiduniya mkimuonamzungu mnajishushamkimuona mwarabu mnajishusha mtihani .mngejuwa kwamba africa duniya nzima sisi ndo tunafata dini sana ilatumekwenda kinyume na mafundisho ya Allaah .acheni .
Ndugu yangu ktk hii dini yetu kuna vivuli kwahiyo walio wengi hutumia hivi vivuli nasio kila unaemuona kavaa kanzu na kofia ni muumini au kila anae adhini ni muumini aàh a wengine ndio hao wanao tumia hivo vivuli mwenye akili na mazingatio hampigii ngoma mtume wala hamuimbi na mola wake allah atupe khofu yakumjua na kumuogopa amiin
Si Milad Bali Arusi... Wamechangayika Waume na Wanawake. Pili, viyakula kwa Sahani ghali !!! Wapoteza wakati wao bureee !
Swallu Ala Muhammad saw
Nice
Swallu ala nnabii muhammadin
Dini imekua kanisa Sasa maana hayo nimambo yakikanisakanisa
Mdomo tu muone vile
Uzushi zahir shair
Allahu akbaaru dini yetu taamu
Maaasha Allah
dini gani hii?
Ebwana ehhhh Nilifikili Sami Yusuf.
Is this instrumental song halal in Islam???
hayo masuti ndio yametia doa hii kaswida... bora ht wangevaa yale manguo ya ki-Nigeria.
Kwani suti si vazi tuu kama ilivyo kanzu
Teta sura zao zina ghdhabu hwapendi furaha abbadan😮mpaka wanzeeka😂
Kwani hayo maulidi,tofautisheni maulid na wapiga vinanda,hem njoon zanzibar muone maulid y mfunguo 6 maisara,hakuna duf walakinanda
pia wataitolea futuwa wakitetea leo hii hivyo vyombo vya mziki
Kazi ipo 🤔🙄😣
😂😂bado diamond amuimbie mtume
hii taarabu ya wapi?
Duuuu Allah atunusuru
Kaswida na magitaa wapi kwa wapi. Vifaa hivyo haraam
Hakuna tofauti na taarab.