ANAYO ALAMA, MOYO, ILIVYOWANYANYUA UMATI LAYLATUL HELWA 2024, SHARIF KOBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024
  • ANAYO ALAMA, MOYO, ILIVYOWANANYUA UMATI LAYLATUL HELWA 2024, SHARIF KOBA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 118

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 3 месяца назад +10

    Mm ni twarika ila twende mbele nyuma hivi nisawa sauti za wanawake wanaume kua sambamba hivi hapa hakuna Mungu anachokifurahikia huu ni upuzi mtupu na dhambi tupu 😢😢😢😢

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg 22 дня назад

      Ila twalaal badru unakubali wanawake waliimba hapa tuuu ndiyo unaona kosa

  • @muhammadkhatwab
    @muhammadkhatwab 2 месяца назад +2

    Mimi ni twariqa, na hii shughuli haimridhishi Mungu wala Mtume
    Tuangalieni namna tunavofanya mambo ya twariqa tusije kutukanisha mashekhe wanaojiheshimu na wasokuwemo

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 3 месяца назад +7

    Mimi ni Sufi ila hii SI Hadhara ya mtume Muhammad

    • @DrBash88
      @DrBash88 3 месяца назад +1

      😂😂😂

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 месяца назад +6

    Kweli sheitwan ana nguvu sana

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 3 месяца назад +2

    BAADHI YA WAISLAM SIJUI TUKOJE KWANINI TUNAKUWA NA HUSDA SANA WATU WAKIFURAHI NI KOSA MDA WOTE MNAPENDA MAWAIDHA YA KUTISHANA NDIO MNAONA NDIO DINI BAADHI HAWAPENDI WATU WAKIFURAHI

  • @ramarmularr4677
    @ramarmularr4677 3 месяца назад +9

    Mmmmmh sawa sie watu wa Maulid twakubali lakin aya jaman Eeee Tafadhalin tuachen Wallah

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 3 месяца назад +1

      Mnona kawaida t miziki kwenye maulidi sasa ukiskia mashekh wanapiga vita uanze kupinga

  • @user-py3hg4bi7o
    @user-py3hg4bi7o 3 месяца назад +3

    Hii sio khery, hii ni shari maangamizo haya

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 3 месяца назад +3

    اللهم صل وسلم على سيدنا محمد وآله وصحبه اجمعين

  • @OmarAhmed-eg8qw
    @OmarAhmed-eg8qw 3 месяца назад +4

    Allahumma swali WA sallim alaihi

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali5989 3 месяца назад +3

    Subuhana Allah Babdeo ndo unaelekea wapi, unaudhalilisha uislamu wew unaonekana unarusha darsa, mihadhara na mawaza ya kiislamu na unautangaza vizuri masjidi mtoro, leo hii unarusha mambo haya ya ajabu, miziki,changanyiko was waanawake na wanaume, wanawake wamejipamba mbele za wanaume ambao ni haramu kuwaona wakiwa katika hali hiyo, mcheni Allah
    Hivi masheikh zetu kina Sheikh Mziwanda Sheikh Abas mnayaona haya au mnayafumbia macho tu😢

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 3 месяца назад +1

      Mambo ya kawaida haya kwa watu wa maulidi

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 24 дня назад +1

    Wamevaa nguo lkn wapo uchi

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 месяца назад +3

    Haraaaam

  • @ibrahimnoordin3420
    @ibrahimnoordin3420 2 дня назад

    Hii ni concert.. kama zingine... hakuna dini..

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 3 месяца назад +1

    Allahumma taQabbal duaa yaa rabbal alamiyn

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 3 месяца назад

    Allahumma swalliy wasallim alayh

  • @abusumayyah3112
    @abusumayyah3112 3 месяца назад +8

    Babdeo walitaka kumfuata ili wamhoj abuu khawlah akawaambia hawezi kukaa nao kwa mahojiano kwa kuwa wao ni watu wa bidaa wakakasrika hayaa ona vituko vya rekodi zao. Mwenye macho haambiwi tazama.

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 3 месяца назад +1

    Jamani hapo hakuna twariqa hapo musichanganye mambo,hao ni wanajifanyia sherehe zao tu.

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu 3 месяца назад +4

    Upuuzi mtupu Yani tumekuwa kama mayahudi na wakristo huu sio uislam ni upotevu mkubwa.

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 24 дня назад

    Ndio tukasmbiwa wanawake wengi wataenda motoni maana wanahashuo wakiona wanaume

  • @seifsuleiman4046
    @seifsuleiman4046 3 месяца назад +6

    Mimi ni msufi na ash aariyu aqiidatan na shaafiyu madh haban, ila hili lina mambo ambayo hata sheria ya wanavyuoni wetu wanayakataa na hayafai, mchanganyiko huo wa wanawake na wanaume hauna dhwawaabit za kisheria ambazo zimewekwa na wanavyuoni wetu...sifikirii kama ni sehemu sahihi kupostiwa na channel hiii....mambo mengine yasifanyike kwa ushabiki tunajibebea dhambi ndugu waislamu...

    • @Abuusaad-uy5cx
      @Abuusaad-uy5cx 3 месяца назад

      Si wametengwa ww umeona wapi wamechanganyikana

    • @seifsuleiman4046
      @seifsuleiman4046 3 месяца назад +1

      @@Abuusaad-uy5cx hemu angalia hao wanawake walivovaa nywele ziko wazi mapambo ya kwenye uso yaliyozid mipaka ya kisheria, alimradi apo hakuna mwanya wa kusema huo mchanganyiko ni mubaahah.

    • @user-tw4nf6bv8b
      @user-tw4nf6bv8b 3 месяца назад +1

      Tofauti ya Qwaya za kikiristo na hii kitu hapa ni ipi???????
      Watu wanaimba na kucheza vinanda ngoma nari zinarindima Allah awape fahamu na awangoe kutoka katika ujahili

  • @abusumayyah3112
    @abusumayyah3112 3 месяца назад +2

    Ibada ya shaytwaan

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 3 месяца назад +3

    Nyinyi wa kina sheikh Uthaman Sheikh walid Muft Abubakar elezeeni vzr Hadhara za mtume s.a.w mawahabi ndio wanapata la kusema

    • @SwabihaAhmed
      @SwabihaAhmed 3 месяца назад +1

      Sasa hapa uwahabi unaingiaje wewe angalia huu ndio uislam aliyoufundisha mtume? Subhaana llaah nilini mutazinduka nahii ndo channel inayoyumika zaid kutangaza mas ala hayo ya maulid ,jiulize je haya yanayofanywa je ni mafundisho ya uislam wake kwa waume kupaza sauti kuimba ona wakina mama wafanyavyo dah subhaanallaah

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад

      Uhabi kadhia Yao nikutukana na kujiona wao ni waislamu safi ....sieti kwa chuki ndio ilivyo

    • @SwabihaAhmed
      @SwabihaAhmed 3 месяца назад +1

      Tusi kusema kua huu ni uzushi ktk dini ndio tusi!!

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 3 месяца назад

      @@SwabihaAhmed Uzushi hata mmi na ww ni tumezuka baada ya Dini

    • @ahlulhadeeth
      @ahlulhadeeth 3 месяца назад

      @@muktarkassim6647jahil murakkab wewe hata Bidaa hujui ndo mukafanya Mambo hayo.

  • @fatmajuma-ug1pj
    @fatmajuma-ug1pj 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @mrsahmadhajraah1550
    @mrsahmadhajraah1550 3 месяца назад +3

    Wanawake wanavyojipura sas khaaa

  • @AidMohammed-wt7hk
    @AidMohammed-wt7hk 3 месяца назад

    Mashallah

  • @faudhianangonde6291
    @faudhianangonde6291 3 месяца назад

  • @user-py3hg4bi7o
    @user-py3hg4bi7o 3 месяца назад +1

    Allah awaongoze wao na sisi

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 3 месяца назад

    Swadakta 🎉🎉🎉

  • @shabanibigo7996
    @shabanibigo7996 3 месяца назад

    Mashaallah! Qalb tulizana

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤mashallah

  • @Mbambanaji
    @Mbambanaji 3 месяца назад

    Mashaallah Mashaalla🎉🎉🎉🎉

  • @NurudiniHasani
    @NurudiniHasani 3 месяца назад +3

    Mtume hasifiwi hivo jamani

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t 3 месяца назад

    MashaAllah Allah wabarikiye nyote natamani niwe hapo swale ala Habibi Mohammad Love Frm Kenya

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 3 месяца назад

    Mashaallah 🎉

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 3 месяца назад +5

    Hapa hakuna dini huu ni mziki

  • @nasilukilawaga2021
    @nasilukilawaga2021 3 месяца назад

    Duh!dini inachezewa hii.

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim 3 месяца назад

    Kama angejua English,Arabic. na Kituruki angeweza kumshinda Maher Zain.

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 3 месяца назад +1

    Mpaka nimeliaaaa😢mtume mzurrrrr

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 3 месяца назад +1

    Kijogooooo 😂😂😂

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 2 месяца назад

    Humu ndio kwny mafichio ya mabaradhuli

  • @karafuunanazi1701
    @karafuunanazi1701 3 месяца назад

    Anayo alama❤❤❤❤

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 24 дня назад

    Wanawake wakiona wanaume wanahashuo vicheko hivyo ni vya nini

  • @meowzna
    @meowzna 3 месяца назад

    Masha'Allah🙏🌹

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 месяца назад +2

    Upuuzi mtupu

  • @abdallahchilumba1774
    @abdallahchilumba1774 3 месяца назад

    Hii ni dini mpya sio uislam abadan.

    • @mahijjaeidi9144
      @mahijjaeidi9144 3 месяца назад

      Allah ndio anajuwa sio ww usipende kuhukum binadam mwenzio

  • @abdurazakihalfanost2845
    @abdurazakihalfanost2845 3 месяца назад

    tunawaombea san wenzetu mlio tabiriwa pepo mkiwa hai na makasiriko yenu

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 месяца назад +21

    Babdeo mmepotea ktk upotofu mkubwa, mnarekodi mambo ya kipuuzi na kurusha, sasa hii ni hadhara gani hujui ni taarabu au ni nini, yaani ni upuuzi mtupu mnaidhalilisha cheneli nyinyi badala ya kusaidia kusambaza mambo ya dini msambaza upuuzi, mnalo la kwenda kujibu mbele ya ALLAH

    • @Hussein-qq2uy
      @Hussein-qq2uy 3 месяца назад +5

      Mimi pia ni mtu wa mawlid kindakindaki lakini katika hili nakuunga mkono ndugu yangu siko pamoja na walioandaa hadhara hii maana imejaa shub,ha nyingi sana kama mchanganyiko wa wanawake na wanaume,,,wanawake wengi wamejipamba na wanaonekana waziwazi mbele ya wanaume wa kando,,,wanawake kupaza Sauti zao mbele ya wanaume,,,hakuna nidhamu ya utulivu,stara ya wanawake wengi si sahihi,,lakini pia baadhi ya qaswida zinazoimbwa zimetoka nje ya malengo ya hadhara za mtume maana maudhui zake hazieleweki nyingi ni kwa sababu ya kupiga hela tu ,,naomba tubadilike hasa hili la kuchanganyika wanaume na wanawake ni hatari jamani tunazidi kuwapa pwenti wapinzani wetu

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 3 месяца назад +1

      Kimfano ungetoa MAONI YAKO bila matusi huu ujumbe USINGEFIKA nauliza tu

    • @user-gc3ec9wx6z
      @user-gc3ec9wx6z 3 месяца назад

      Wapumbavu wate awo

    • @shabanibigo7996
      @shabanibigo7996 3 месяца назад

      Sidhani kama kuna dini inafundisha matusi kama yako ​@@user-gc3ec9wx6z

    • @shabanibigo7996
      @shabanibigo7996 3 месяца назад

      ​@@rahmaidd8818Tatizo elimu nayo ina saidia hasa ukiwa nayo haswa hao wanao toa maoni kwa matusi sijui ili iweje

  • @husnahassan5984
    @husnahassan5984 3 месяца назад

    Nasubiri mpost video ya Mastia

  • @Mimein-vn7or
    @Mimein-vn7or 2 месяца назад

    Kawaida furaha ni ulevi wakati mwingine

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 3 месяца назад

    Sio kila jambo baya linarushiwa kwenye usufi

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 3 месяца назад +1

    Na halafu mtu kama manara aja fanya nini hapo?? Wakati siku zote anaudhalilisha uislam

  • @hanafitotoya7762
    @hanafitotoya7762 3 месяца назад +1

    Mashalaah kwakweli najiona kama nilikuepo hapo mpaka machozi yafulaa yamenibubujika

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 3 месяца назад

    Swalluuu allannabbbyyyy

  • @ahmedsaid8715
    @ahmedsaid8715 11 дней назад

    Hii ni furaha, waislam wanahitaji kufurahi

  • @IddiHasani-vq4rd
    @IddiHasani-vq4rd 3 месяца назад

    Ukiona uzushi una huishwa ujue suna nazo zime uliwa za kutosha hao wana haribu kizazi

  • @hassanemohamed9666
    @hassanemohamed9666 3 месяца назад

    Ni Kenya awu ni tanzani

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 3 месяца назад

    Taswwuffi ni kitu chengine na kinachofanyika hapo ni kitu chengine

  • @chanoshauq7138
    @chanoshauq7138 3 месяца назад

    Raha sana

  • @hassanemohamed9666
    @hassanemohamed9666 3 месяца назад

    Wapi huku

  • @tigerroar3545
    @tigerroar3545 3 месяца назад +2

    Hii Taarabu ya wapi?

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 3 месяца назад +1

    Huku ndiko tulipofikia wajinga wanakabidhiwa jukumu la kuongoza watu akina manara na wenzie wote hakuna walijualo katika dini wanafanya mambo ya kihuni na ya kipuuzi kabisaaaa kisha wanayanasibisha ktk dini na wale waliokuwa na elimu kidogo wanaendeshwa na matamanio ya nafsi hata kama wataona ni kosa hawawezi sema ukweli kisa maslahi tuh.

    • @salmaali7080
      @salmaali7080 3 месяца назад

      We unafanyaje kwenye page, ungeenda kuswalia rakaateennn badili ya kuangaliya, swalluuu alannaaabbyyy

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx 3 месяца назад +2

    MAWAHABI HAWATAKOSA MATUSI MAANA WANAUNGUA WAKIONA MTUME YWASIFIWA

    • @tigerroar3545
      @tigerroar3545 3 месяца назад +2

      Sasa hapo mtume anasifiwa au tamasha la taarabu tu hilo

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 3 месяца назад +2

      Mtume (S.W.A) kadhalilishwa hajasifiwa.

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 3 месяца назад +2

      Atukanishwa hapo wala hasifiwi. Haidhuru na Mimi ni ahlu Maulid ila hapo sio sawa.

  • @Abuusamhasalum
    @Abuusamhasalum 3 месяца назад

    Matamanio ya nafsi zenu ndo adui mkubwa kuliko shetani

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 3 месяца назад

    Hii bendi ya mziki inaitwaje tafadhalini

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 3 месяца назад

      Hio inaitwa "wahuni washenzi"

    • @nasramzee1131
      @nasramzee1131 3 месяца назад

      Naona na nyie wahuni mpo kuwaangalia wahuni wenzenu wala hamjaacha kuangalia

    • @nabawiyaissa387
      @nabawiyaissa387 3 месяца назад

      😂😂​@@khatibabass3106

    • @tigerroar3545
      @tigerroar3545 3 месяца назад

      @@nasramzee1131 Mambo mlianza kidogo kidogo mkaona ya kawaida ,mlifungua wenyewe huu mlango sasa kuufunga hamuwezi.Na bado utakuja kuona na kucheza kabisaa

  • @saidramadhani8678
    @saidramadhani8678 3 месяца назад

    Mawahabi povu ruhsa😂

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 3 месяца назад

    M ungu iokoe dini yako kama ulivyo ahidu

  • @kinengoaliy1762
    @kinengoaliy1762 3 месяца назад +1

    Ujinga gani huu

  • @BakarOthman-fl7cq
    @BakarOthman-fl7cq 3 месяца назад +1

    Ww mpumbavu sema tu Mashallah,jahil ww

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 3 месяца назад

    Allahumma swalliy wasallim alayh