USALITI UST SULEIMAN ALIA NA KULIZA WATU HOLINI ATUNZWA MAPESA KASIDA YAWAGUSA WENGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 авг 2024
  • KATIKA HARAKAT ZA KUWAPATIA WATU VITU BORA LEO TUMEKUSOGEZEA HII USALITI NI KASIDA ILIOGUSA WATU WENGI KARIBU KATIKA CHANELI YETU MJULISHE NA MWENZIO KUWA AFNAANIA SASA WAMEAMUA KUFANYA KILE WATU WANACHOTAKA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 525

  • @Kassimhaji-pv3ys
    @Kassimhaji-pv3ys Год назад +12

    kabisa ame fikisha ujumbe pahala pake mungu akulipe kheir kijana suleiman mashaallah

  • @farijalambaga9600
    @farijalambaga9600 Год назад +14

    😭😭😭Hakika umenena jambo la kweli Allah akupe umri mrefu kwa ajili ya manufaa kwa walimwengu. Amina summa amina 🤲🤲🤲

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +9

    Aiseee sule ww ni htr sana allah akuhifadh sana uwendlee kutuelimisha aaamiiin hakika afnania tunakupenda mpka bas....

    • @suleimansuleiman990
      @suleimansuleiman990 2 года назад +1

      Ammin tunawapend pia

    • @RehemaMwakufunzwa
      @RehemaMwakufunzwa 4 месяца назад

      Kama ni ukwel bas pole lkn kama si kweli mungu akulinde yasikukute inshallah mana nafikiria vile utakavyolia yakikukuta jmn,mungu akuepushie sule❤❤❤you are wonderful 🎉

  • @sulayimanmohd7152
    @sulayimanmohd7152 24 дня назад

    Wajina wangu Yuko vizuri sana mashallah mungu ampe Kila lenye kheri

  • @allyissa2744
    @allyissa2744 2 года назад +10

    Dah 😥😥😥😥 sjuw nisemeje man uliosema ni ukweli mtupu...... Allah akuhifandh sheh Sule mashallah mashallah hongereni afnania

  • @aminashabangonzi4020
    @aminashabangonzi4020 2 года назад +4

    Qaswida nzur yenye ujumbe mzuri. Lkn tujitahid kuzingatia maadili ya uislam katika kutunza.

  • @SalmaRamadhan-yh2pw
    @SalmaRamadhan-yh2pw 6 месяцев назад +2

    Ukwel san huo hongera uxtdh Suleiman mung akupe nn akupe umr mrefu wey manuu faaa Amen Alhm Amen Maxhalaaah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-dl5ld2bp6v
    @user-dl5ld2bp6v Год назад +4

    Mashaallah allah akuzdishie kpaji na akulinde na mahasidi

  • @thammaratbeiby5428
    @thammaratbeiby5428 2 года назад +12

    MashaAllah,,, hongera sana kwa ujumbe,,,kiukweli ina mafunzo ndani yake

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f 8 дней назад

    Mashaalah kaswida yenye mvuto hisiakali na maneno Kuntu,pongez Afnania

  • @sulayimanmohd7152
    @sulayimanmohd7152 24 дня назад

    Wajina wangu Yuko vizuri sana mashallah mungu ampe Kila lenye kheri 2:33

  • @asilasaidsalim6138
    @asilasaidsalim6138 Год назад +10

    Waislam mchanyiko wa wanaume na wanawake haufai hata ktk mambo hayo watu wamejipamba halafu wanajisogeza kwa wanaume eti wanamfuata machozi mwanamme ambaye ni ajnabii jamani dunia imekwisha tumekosa haya wanawake kias chote hicho hatuna tena thaman

  • @masoudnassor3142
    @masoudnassor3142 Год назад +5

    daaaaah ndio kwanzaa Leo naisikia hii kaswida but imenigusa sana ujumbe Mzur sanna

  • @ahmadkhoyri6815
    @ahmadkhoyri6815 Год назад +13

    Saya dari indonesia sangat senang sama orang2 yang suka bersholawat pada Nabi محمد

  • @muzdalfatsuleiman
    @muzdalfatsuleiman 26 дней назад

    Hongera mungu akulipe kher na akupe kl unachokitk imegusa nyoyo zote hii kaswida ila mungu atakulipia mashaallah❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @habsahassanhaji1397
    @habsahassanhaji1397 2 года назад +17

    Mhhh lkn idad ukubwa wanaosalit wenzao ni wanaume

    • @jabirkombo5483
      @jabirkombo5483 Год назад

      Hhhhhhjj

    • @ahmedmadai
      @ahmedmadai Месяц назад

      Asat

    • @allykhamis9246
      @allykhamis9246 Месяц назад

      Wanawake naona wanaongoza. Wakiwa mbali nawe tu ndio basi khabar yako

    • @malikizedon7515
      @malikizedon7515 Месяц назад

      elewa qaswida usaliti unaozungumziwa hapo kua unalipiwa ada yamsoma alafu unazingua

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 2 года назад +5

    Maashaallah Baaraka llahu feeq imeenda sawa wallahi mko vzurii sana kwa ujumbe mzuri

    • @bossjuma3897
      @bossjuma3897 2 года назад +2

      Kwe bro yte uliocomment yamethibit ktk maish y ndoa za leo il namp pongez ustdh kw ukumbush zaid

  • @maryammaulid5240
    @maryammaulid5240 2 года назад +10

    Umewagusa kweli wanawake hakika tubadilike huu ni ujumbe mkubwa

  • @pongwebeachhotel2806
    @pongwebeachhotel2806 11 месяцев назад +6

    Excellent, it's very sensitive ❤

  • @Rocky-mn6wm
    @Rocky-mn6wm 2 года назад +5

    Suleiman umejua kubeba hisia ya maneno yako. Keep it up brother

  • @fifo262
    @fifo262 Год назад +18

    Ustaz kaswida uliisoma kwa hisia sana , vipi ulitendwa na usaliti naweee?

    • @mwanahamisisaid8663
      @mwanahamisisaid8663 8 месяцев назад +1

      👨‍❤️‍💋‍👨🚵‍♀️🏊‍♀️🧗‍♀️🧎‍♀️🧜‍♀️🧝‍♀️🦹‍♀️ 4:11

    • @ahmadponera177
      @ahmadponera177 8 месяцев назад

      😂😂😂wanatendwa hata maostadh

    • @yussufhassan6341
      @yussufhassan6341 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @valeniceweena5322
      @valeniceweena5322 8 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @MamawaridiIdi
      @MamawaridiIdi 7 месяцев назад

      😂

  • @fatmaabbas902
    @fatmaabbas902 2 года назад +8

    Hakuna anaebisha kua ahadi ni Deni 🙌. Mutaulizwa wake kwa waume. Wenye kutoa ahadi mukaenda kinyume 🙌

  • @fadhilaiddi535
    @fadhilaiddi535 2 года назад +3

    Mashallah tabarakallah asante kwa ujumbe mruwa daa qaswaida imenitoa machozi kabisa ani

  • @user-wt3zb4jx3t
    @user-wt3zb4jx3t 5 месяцев назад +2

    Mashaallah.hakika ukwell mtupu.mungu akupe umri mrefu wenye manufaa

  • @sultanabdillah1799
    @sultanabdillah1799 3 месяца назад

    Hongera sana ndg, Suleiman hakika umefikisha ujumbe husika tena kw wakt coz ndoa nying zk hvyo, km sio wazazi bc n hao wawili wanaopendana, ila maisha ya shv NDIO ilivyo usalit n mwing, yaan kumpt mke wako muliotk mbl n asilimia 50 kwa 50 yaan daah hakika nmefrah sana, mung akufanyie wepex ktk kipaji chako ameeeen ameeeen ameeeen 👏👏👏

  • @user-ln1nu1si1l
    @user-ln1nu1si1l 2 года назад +7

    Mashaalla kwa kasda yenye ujumbe mzito

  • @thureaali4744
    @thureaali4744 2 года назад +3

    Mashaallh chimbuko la qadiria kibweni ustdh sele

  • @SharifaHashim-xx4yk
    @SharifaHashim-xx4yk 5 месяцев назад +1

    Mashaaal 🎉🎉🎉🎉🎉 ALLAH akuzidishie❤❤❤ uwe na kipaji zid ya hapo

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 Год назад +3

    Ujumbeee mzuri ttz wanawake wapouchi pia nisawa namziki tuy. Nahayo ndio wanataka wanawake kujianika uchi

  • @KijoliAthman-el7pk
    @KijoliAthman-el7pk Год назад +2

    MashaAllah MashaAllah Allah atuongoze atujalie miongoni kwa wale watakao timiza ahadi in Sha Allah

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem5650 2 года назад +5

    Dah umetisha kiongoz ila wap ukweli wana tuumiza kiukweli 😭😭😭

  • @ashrajraj8182
    @ashrajraj8182 Год назад +2

    Aky hii qaswida niliipenda San mashaallah uliweza

  • @ayoubelmander9336
    @ayoubelmander9336 2 года назад +4

    Dah
    Dah
    Dah
    Cjui nicoments nn

  • @TinaNgwebe
    @TinaNgwebe 19 дней назад

    Masha Allah mungu akulinde na mahasid❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SuleimanAbdallah-cy1ty
    @SuleimanAbdallah-cy1ty 2 месяца назад

    ❤ Allah akupe umri mref Somo wng

  • @user-vy7cu6lf1t
    @user-vy7cu6lf1t 17 дней назад

    Hapo Kwa fitna umenena kaka,hongera.

  • @ShadiaZiadi-vo1lx
    @ShadiaZiadi-vo1lx 9 месяцев назад +1

    Mashaallah 🥰🤗🤗🤗💕 unaimba vizuri😍😍😍😍 😲 nimependa

  • @fadhilabakari8621
    @fadhilabakari8621 Год назад +1

    Maashaallah 💓 nimeipenda sana yn nikiwa na hamu ya qaswda najikuta naickiliza hii tu...

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd 5 месяцев назад +1

    Mashaa allah maneno kuntu yamekonga nyonyo

  • @maireisaiah1809
    @maireisaiah1809 Год назад +2

    Masha allah nimeipenda sana Afnania mungu Awahifadh na awape nguvu zaidi.insha allah

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +4

    Sulee mm umenimaliza hyo oooooooooooò.

  • @samg7604
    @samg7604 2 года назад +3

    Kaz nzur afnania mashallah na menen yameshiba

  • @user-vs6zf1ky1l
    @user-vs6zf1ky1l 9 месяцев назад +2

    Allahumma amiin❤❤

  • @sadahramathan519
    @sadahramathan519 Год назад +2

    Manshallah.uwo.wimbo.umenigusa.kwaroho.yangu.mungu.akuwongezeye.baraka.naiimani.hongera.sana

  • @user-ey7th1vy1u
    @user-ey7th1vy1u 11 месяцев назад +1

    Haswa ust Suleiman kaswida nzuri

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t 3 месяца назад

    Mashallah MashaAllah Barkifi Allah Akupe kila kheri Sauti nzuri sana Frm Kenya ❤❤❤

  • @zainabmbwana8195
    @zainabmbwana8195 2 года назад +4

    Mashallah pia pole umesoma Kwa hisia kma imekutaka vile

  • @allyjunu2290
    @allyjunu2290 2 года назад +3

    masha allah yan dah hadi nackia maumivu ujumbe mzur👏👏

  • @user-mv7qt9mx4h
    @user-mv7qt9mx4h 10 месяцев назад +1

    ما شا الله !!!
    Allah awabdilish dada zetu

  • @sitisule6812
    @sitisule6812 Год назад +3

    Ila nawasisitiza kwa jinsi WAnawake wanavyo watuza.si sawa kabisa

  • @husseinabuu8451
    @husseinabuu8451 2 года назад +3

    Chuma kizito icho bro nakubali kazi💪

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Год назад +2

    Mashallah unajikaza kijna wetu🥰

  • @mahramalik6450
    @mahramalik6450 2 года назад +3

    Mashaallah AFNAANIA HONGERENI

  • @fifo262
    @fifo262 Год назад +1

    Hii qaswida ina ujumbe mazbuti naipenda ila inanipa huzunii, kwamana anasema ukweli ila tujifuze kua kila kituhuenda kwa rizki mungu hua hakujaalia kufikia ilo lengo

  • @user-vb4xp8eg5w
    @user-vb4xp8eg5w Год назад +6

    Masha Allah big up Alfanania❤

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 Год назад +1

    Masha Allah,Shukran jazeelan

  • @user-gt6mm5fp2x
    @user-gt6mm5fp2x 9 месяцев назад +1

    Imependez. Ilatuchunge.sheria.wa.mama.wangewekewa.seemu.maalumu.yakutunz🎉

  • @twalibusijali1553
    @twalibusijali1553 Год назад

    Hongera qaswida nzuri na ina mafunzo by mrs twaribu

  • @abdillahsharief6498
    @abdillahsharief6498 2 года назад +3

    Kaz safi cn neno kwenu afnania

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f 8 дней назад

    Jaman maadili ya dini myaenzi,wekeni zawad sehemu mbili wanaume na wanawake hlf jadho sfutwr na kijana mwenziwe duo wanawake Abadan

  • @mixvideo762
    @mixvideo762 2 года назад +3

    Kasida nzur san hii afnaania nawapenda sana

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f 2 месяца назад

    Mdidahsu maafili ya dini tukufu ya Allah,zawd zuwekwe ktk vyombo viwili 'ke na 'me pekee,hlf ufutaji jasho hauihusu hadhira,awe na aidha kijana mwenziwe au ajifute yeye,Dumishen maadil

  • @captainramadhan8674
    @captainramadhan8674 2 года назад +2

    Kweli hii kaswida ni SOMO TODHA kwa wenye kuzingatia kheri ziwashukie MTU
    NGAJI MSHEREHESHAJI NA MSOMAJI NA KUIJAALIA YENYE KULETA FAIDA KWA JAMIII

  • @hamiyukiruva6243
    @hamiyukiruva6243 2 года назад +2

    Yasalaamu mashaallah machozi yanitoka

  • @salhaiddi9440
    @salhaiddi9440 2 года назад +3

    mashaallah mashaallah mashaallah

  • @djfunk255
    @djfunk255 2 года назад +37

    Maneno mazuri ila tatizo iyo ngoma ndio tatizo mungu atusamehe pengine hatujui tulifanyalo , ujumbe mzuri na wenye hisia .

  • @tumamohd9332
    @tumamohd9332 2 года назад +4

    Jamanii hiiikasidaa hee ninomaaa hakuna isomgusaa

  • @binabasssmarta8258
    @binabasssmarta8258 2 года назад +3

    Uwezo
    Ma sha Allah ma sha Allah 👏👏🙏🥰🥰

  • @user-oy4eu1qo4y
    @user-oy4eu1qo4y 5 месяцев назад

    Hongera sana ust mungu akupe umr mrefu allah akupe maisha mema yenye fanaaka na kheri njemaa

  • @AbdulLatif-bd3gd
    @AbdulLatif-bd3gd 11 месяцев назад +2

    Allahuakbar masa allah.

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 4 месяца назад

    Mungu akulipe ,umetuambia kwa hisia Sana mungu akulinde!!

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад +3

    Mashallah hatimae mzgo mpya umeshuka hhh sule .....

  • @AishaissaIssa
    @AishaissaIssa 3 месяца назад

    Maa shaa allah. Nakupenda tu my bro Namna pia unachezesha mikono yako

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Год назад +3

    Subhannallah Allah zisitili ndoa zote inshaallah

    • @monirhm3136
      @monirhm3136 Год назад +2

      Mimi nimependa sana Ni nzuri imenigusa sana asate mingu akubariki

  • @IssufoChicota
    @IssufoChicota 10 месяцев назад +3

    Hvi hao mbona kama wanajiuza wameambiwa wajipendekeze kwa kumfuta machozi hawana haya hata chembe ,,,......hii kaswida au bongo fleva mbona munatupoteza mashekhe

  • @saeedjuma4335
    @saeedjuma4335 2 года назад +1

    Mm pia imenigusa Ila nimemsamehe alieniumiza في دنيا ولاخره

  • @user-gx6cb8qh7l
    @user-gx6cb8qh7l 8 месяцев назад

    Mashaallah jazaka llah khair inshaallah ameen

  • @selemanishabani500
    @selemanishabani500 Год назад +1

    Mashaallah mufti duaa nying

  • @user-dm2mw6dh4d
    @user-dm2mw6dh4d 8 месяцев назад

    Mashaallah kazi njema kbsa

  • @tumamohd9332
    @tumamohd9332 2 года назад +8

    😭😭😭😭😭😭😭wallah hapa mumetowa kazi uhakikaa

  • @mishiabdallah9254
    @mishiabdallah9254 Год назад +1

    Pole sana kakangu

  • @rehemakarisa5809
    @rehemakarisa5809 2 года назад +3

    Maashaallah nice msg👌

  • @AfiziAhmadi
    @AfiziAhmadi 5 дней назад

    mungu akujarie she wangu kwa kaswida mzuri

  • @yusraabdallah4288
    @yusraabdallah4288 Год назад +3

    Maa sha Allah nimelia hatari sana

  • @faakhamis7898
    @faakhamis7898 2 года назад +3

    Mashallah Mashallah..afnania moja iyo

  • @aliabdalla7348
    @aliabdalla7348 Год назад +1

    Am toaching

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x Год назад +1

    No kweli lkn na nyie wanaume ndio haohao munawachezea munawahadaa mukishawafunua hamuwataki tenamunawaacha munaowa wengine

  • @binali3884
    @binali3884 2 года назад +3

    MAASHAALLAH AFNANIA

  • @hawamussa8726
    @hawamussa8726 2 года назад +1

    💯 saf cn ujumbe unaeleweka

  • @AbdallahMselem-qk4ob
    @AbdallahMselem-qk4ob 2 месяца назад

    Mungu akubaeik ustadh suleiman

  • @AbdulRazack-cv7ft
    @AbdulRazack-cv7ft 2 месяца назад

    Maasha allah ukweli mtupu mafunzo makubwa kwa wenye kuzingatia

  • @halimajuma7879
    @halimajuma7879 2 года назад +5

    Ustadh unasoma kw HISIA inapendeza sana.
    Bi up Afnaania...

  • @kalengoathumani3490
    @kalengoathumani3490 Год назад +1

    Mungu akubaliki

  • @ashrajraj8182
    @ashrajraj8182 2 года назад +2

    Mashaallah nmeipnda sna

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749 Год назад +1

    Hii kasida naipenda hatari ❤

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 года назад +1

    Hongera mashallah very nice nashidi Jazakallah khery Love frm kenya

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Год назад +1

    MM NAONA HUWA SI RISKI YA MTU RISKI HASA HAINA NENDA UJE

  • @sippyanajr9484
    @sippyanajr9484 2 года назад +4

    Hii ni Mara ya 6 naiskiliza ikimaliza naianzisha tena wallah imenigusa sana

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 2 года назад +1

      Kwasababu nawewe kafiri kama wo uislam na hayo mbalimbali mnakwenda wapi nyinyi allah awaongoze

  • @mpajiseif1489
    @mpajiseif1489 2 года назад +1

    nimeipenda nikweli kabisa asante kaka hongera sana

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss Год назад +1

    Allahuma barik