KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI, VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA 2024
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2024
- KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI ILIYOIMBWA NA VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA APRIL 21 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE DSM
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
RUclips: / @babdeomiladu
Watu na sitara zetu, tumetulia, na tunapendeza,tutamsimu,tutamswalia,swala milioni na matirioni🙏 mtume wetu s,a,w popote🙏
Vijana mashaallah, Allah awaongoze kwa hekma zenu pia Allah awalinde❤❤
mashaAllah kaswida nzuri sana inafurahisha na kuhuzunisha ❤ alhamdulilah maneno mazuri sana
Mashaallah Mungu awabariki❤❤❤
Mashallah🙏wtt wetu, vipenzi vya mtume s,a,w🙏 mungu awabifadhi,
Maashalla Mungu awazidishie watoto wapo vzr hata kama kuna watu hawajapendezewa kwa roho zao mbaya
mama ni mama hakun kam kam love youuuu mamaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana vijana wetu
Masha Allah fanyahima mtoto umeugusa moyo wangu Allah akuzidishie kipaji chak kizid kupanda
Mashallah kaswida nzur na wanasaut nzur
MashaAllah watoto wetu wazidi kubarikiwa
Mashaallah mama atabaki kua mama tu mama shkamooo
Masha,Allah
mashaAllah hongera sana kaswida nzuri sana
Masha Allah qasida nzuri
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ mashallah
Mashallah kaswida ya mama nzuri wamependeza vijana.
Masha-Allah wanajua hawa wapewe pongezi yao
Mama ni mama
Mama apumzike peponi amatuvusha kweli kutoka pabaya alipotuweka wtz kikwete Mungu ambariki mama Mungu atudaidie tena. 2025 Mungu mwenye tuhurumie
Mashaala Mungu awazidishiye🎉
Mashaa Allah tabarakallah
Maradhi ya kimajini huyu Dr
Mkali wao Pemba anakutibu hatajam upo mbali pesa ndogo tuu😊
MashaaAllah
Allhamdullillah mungu akutabalie yaani nimelia🤲✅
Maasha allah
Mashaa allah ❤❤
Mashaallah watt
mashallah. watoto wako vizuri
Nikikumbuka Ushoga tu'Yarabbi tunusuru watoto wetuu
Dahh Mashallaah ❤🎉
Mashallah mmung awalinde na hasad
Masha'Allah🙏🌹
Maashallah, vijana wako viziri
Kuna watu wajinga, hapa nini kinachowaonesha upotoshaji Wadini, ama mmesikia matusi humu,, acheni ujinga huo, tuachieni qaswida yetu. Maashallwa mmeweza
Hata waimba tarab hawana matuc mbna unawatia kundi la moton acha kuzarau wtu au unawez nipa tofaut ya hiii nyimbo na tarab?
Ma shaa llah
Mihdhari nakubali wakinasaadi wako maashaallh jitahidi
Kwahio sheikh yahya anatoka kariako!!! Hajii acha zako..
Kaka tupandishie qaswida ya yule mwamba mweupe hivi ana kiduku kwa mbaali ivi. Anaimba huku ananesa nesa.
mashaallah ilikua burudani❤
MashaAllah. Vijana wametulia
MashaAllah
Mashaallah ❤❤
Allah Awakuze ktk maadili Bora ya Dini
I like kwa kweli hivi tunafarajika kuona vijana wanafanya kitu kikubwa watunzeni hao maana mna sauti zote hapo waoooo
Mashallah
Vittaah 🌹🌹🌹
Hawa watoto nahisi wanatokea zanzibari kama sjakosea
Duuh kwamba bara hamna vijana wenye vipaji na wenye sauti nzuri au?
@@abalhisan4265Muonekano wao ndio na Kiswahili chao na wanajua kughani haya mambo ya vswani
Mama kwetu nitunda lisilo shuka thamani. Ambae haelewi maneno mazuri kama haya inamaana yeye hana mama alikotoka ni wapi acheni jamani mama ndio kila kitu
Mashllh
@babdeo twaomba ya mastia....bado sijaona mfano wako habibi
❤❤❤
Mabrouk
Qaswida tam sana
Maashallah,,, mzuri mnooo👏
Jamani ataondoka kaa kwa dharura yakuziba pengo la hayati maremu magufuli 😭😭😭😭
Swmia jamaa yangu mzanzibari mwenzangu ukimaliza ondoka walqhi ondoka kwasababu km waliweza kumuuwa jamaa yao magufuli hakika hawashindwi kukuuwa nawewe .......au jiudhulu bora walahi inaniuma kuona kashfa chungumzima
Msikae rohoni sie twajua mmemsakama kwakua ni mzanzibari 😭😭😭😭ndomana mnamnyanyasa kupindukia hebu basini inatosha
Hamna tofaut na BONGO FROVER hii din tunaipeleka pabaya sana
Una teseka ukiwa pahala gani
Kumbe bongo flavour unazisikiliza ila kaswda zinakutia kichefchef
@@AlfarouqIslamicha ha ha a a a Jmn dah 😂😂😂😂
Subhanallah na suti kabisa wamevaa mtihani😢
Sio bongo flavour ni taarabu
Muuuuu!
Wallahy, vittah
Taarabu au kaswida jaman
Taarabu hii, si kaswida
Huoni, pia waimbaji wamevaa, suti, wamenyoa viduku,, ndo matatizo ya mashekh WA bidaaaya
@@user-oh7gv8zg5ywew vaa msuli usiteseke
Kiukweli Hiyo mikato ya nywele si sahihi katika deen yetu
Taarab ikhwan swaafa wadogo hawa kutoka Zanzibar
Uchawa kila sekta daah taifa sijui litakua la vizazi vya aina gan baadaae hili
Makafiri hamna jema
Bora jiudhulu mana niliwahikuona klip m.bara anaonesha kaburi nakusema utakufa tu 😭😭😭
KWANI WW UTABAKIA KTK HII DUNIA?AU MWENZETU PIA IMEANGALIA ANGANI?ACHA MANENO YAKO JE UNAIJUA KESHO YAKO?UNAWEZA UKATANGULIA UKAMWACHA JE UNAIJUA HILO
Koba koba koba kobaa wewe koba allah akulinde huwa kunakaswaida unaimba wallah ujumbe unatufikia.
Mayahudi nyiyi
Uki chelewa kufa uta yaona mengi😢😢😢😢😢
Safisana
Yaasalaam
❤
Kalamu nnasi la yantahi (maneno ya watu hayamaliki hata awara mbe mkundu watasema TU mama piga kazi
Nyimbo iyo
Mungu mwenyewe anawaruzuku Kila kitu hawamshukuru atashukuriwa Samia kiumbe dhaifu sio rahisi tunakijua kinachowauma ila tulieni kutesa kwa zamu nulitunyanyasa na kutudhulimu siku nyingi Samia piga kazi hai no nyau TU na kelele za mlango hazimfanyi mwenye nyumba akose usingizi
Hata Nabii alipigwa mawe, Yesu alipangiwa mipango ya kumuuwa. Huwezi kupendwa na wote.
Bayyat au taarabu babu weye
Mashaallah. Watoto wetu ......hizo pesa ziwekeni hapo chini .mnawazonga
Inanikumbusha sauti ya mariam Hamdun
Unajua kunawatu wenyewe kila kitu hupinga ukiwaangalia wao huwa ni wakorofi sana,Tuachieni burudani zetu hutaki kusikiliza qaswaida acha tuachie mambo yetu wewe endelea kutuibia ndala zetu msikitini na tukikuona utajuta
Mashalla 😂
ALLAH awanusuru hawa watt na mambo haya ya haramu
Hata Balkis alitawala wanaume hadithi Iko ndani ya Quran. Alikuwa mwanamke. Mamlaka zinatolewa na Mungu.
Hahaha sasa hii kasida au tarabu 🤣
Taarab
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
koba nifannani mkubwa twamwaamini lakini nyimbo njiwa aliaaribu pale alipoleta maneno alivyo endelea nayo akunyamaza ikaanza biti akakosana nabiti biti ikawa kivyake navinanda kivyake amewapa tabu sana aache kupaga nakuengeza navitu watu awakuvichukulia mazoezi lakini uwezi kundua kwa ubingwa wake ila ladha ilipungua kwenje nyimbo yanjiwa biti inapendezesha ilekaswida jamani
Tz yani mna kila kitu mkitaka kumbe
Haki kitabakia kuwa haki na batil itabakia kuwabatil2 kelele za bure kila kitu kiko wazi
Acha upumbavu watu wache wastarehe wakifanya wasaudia na vilemba vyai Mbona husemi kwa......!!!
Masalafi wana kosa raha wana taman waje ila hubakia kufunguwa cm wakasikilza tu
Sisi masalafi tunasema ,haya mambo ni ya wanawake, kwao Halali haswaaaa,lakini hii minibaba na medevu Yao hapa wanafata nini.
Mungu hapendi zumar wala mananda niharamu ilio kubwa
Salafi mutakuwa nyinyi nyinyi ni wanafiki tu nyinyi ni mayahud tu
@@user-gc3ec9wx6z ndugu yangu ,kasome dini ,acha jazba ,hii sio Simba na yanga,hii ni dini,unaweza ukamtakia mwenzio maneno yakaishia kutafuna dini yako,kasome ili ujue mipaka ya kizungumza na dini yako pia
Hii kaswida imesimwa hapa Tanzania au nchigani?
Hiyo cheni shingoni ndio nini
SASA, mbona waimbaji wenyewe wamevaa, suit Kama wako kanisani, hizi nguo si wanavaaga waimba kwaya makanisani mambo ya ajabu, kweli n
Suit ni vazi kama vazi lingine na wala si vazi la wakristo
Kizazi kitakua Cha komba
Tusonge mbele waislam, hao wanaobeza tamasha hili ni roho mbaya zao na chuki zilizo wajaa,
Tuwaambie pole hao ndugu 😂 zetu. Napia tuwaombee mwenyezi awaondoshee tabia za kusema wenzao.
Yani kuna watu wanatauonekane mgumu kama yeye hapendi atwache tunaopenda wewe unafanya dhambi kibao mbona watu hawakwambii wanaona hiyari yako
Tutumie shughuli yt mzm
Ingia katika akaunti ya Nasaha Crew ya RUclips ipo shughuli nzima
Duuh huyo dogo mweupe nilijua kma lazima atauua tuu huyo hatree
Hii ni music yenye mahdhi ya kiarab nyimbo za Lebanon
Acheni watu waburuke ktk majambo ya kheri
Hawa ndo waimbaji taarabu wa baadae mark my words..Omar kopa katokea huku huku..Mzee Yussuf huku huku
qaswida ni bida'a ❌❌❌❌❌❌❌
Hakika huu nimda wa wapimbavu na wajinga sasa huuu ndio uislam kunatofauti gani kt ya kwaya za wakristo na hawa wanaojiita waislam ? Sasa uisilam wasut nabado mvvaaa misalaba 😅😅😅 someni din ya kiisilam muelewe hahaha😅😅
Kila kabila lina mila na dasturi.
Hawa ni waswahili,misalaba yaingiana vipi?