KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI, VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2024
  • KASWIDA YA "MAMA" ILIVYOWATOA MACHOZI VIONGOZI ILIYOIMBWA NA VIJANA WA NASAHA CREW LAYLATUL HELWA APRIL 21 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE DSM
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 159

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 2 месяца назад +3

    Watu na sitara zetu, tumetulia, na tunapendeza,tutamsimu,tutamswalia,swala milioni na matirioni🙏 mtume wetu s,a,w popote🙏

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 2 месяца назад +5

    Vijana mashaallah, Allah awaongoze kwa hekma zenu pia Allah awalinde❤❤

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Месяц назад +1

    mashaAllah kaswida nzuri sana inafurahisha na kuhuzunisha ❤ alhamdulilah maneno mazuri sana

  • @AnifaMaulidi-lk5ho
    @AnifaMaulidi-lk5ho 2 месяца назад +2

    Mashaallah Mungu awabariki❤❤❤

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 2 месяца назад +1

    Mashallah🙏wtt wetu, vipenzi vya mtume s,a,w🙏 mungu awabifadhi,

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 2 месяца назад +2

    Maashalla Mungu awazidishie watoto wapo vzr hata kama kuna watu hawajapendezewa kwa roho zao mbaya

  • @Ismailhan33Khamis-rs9eo
    @Ismailhan33Khamis-rs9eo 2 месяца назад +1

    mama ni mama hakun kam kam love youuuu mamaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Месяц назад +1

    Hongera sana vijana wetu

  • @SirajuKhalidi-sz6gu
    @SirajuKhalidi-sz6gu Месяц назад

    Masha Allah fanyahima mtoto umeugusa moyo wangu Allah akuzidishie kipaji chak kizid kupanda

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 2 месяца назад +2

    Mashallah kaswida nzur na wanasaut nzur

  • @aidasalingwa976
    @aidasalingwa976 28 дней назад

    MashaAllah watoto wetu wazidi kubarikiwa

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 месяца назад +3

    Mashaallah mama atabaki kua mama tu mama shkamooo

  • @shamimumussa3568
    @shamimumussa3568 2 месяца назад +1

    Masha,Allah

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 29 дней назад

    mashaAllah hongera sana kaswida nzuri sana

  • @habibaamiri7740
    @habibaamiri7740 2 месяца назад +1

    Masha Allah qasida nzuri

  • @iptsamipt7886
    @iptsamipt7886 2 месяца назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ mashallah

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 2 месяца назад

    Mashallah kaswida ya mama nzuri wamependeza vijana.

  • @medyahmed4529
    @medyahmed4529 2 месяца назад +1

    Masha-Allah wanajua hawa wapewe pongezi yao

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS 2 месяца назад +1

    Mama ni mama

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Месяц назад

    Mama apumzike peponi amatuvusha kweli kutoka pabaya alipotuweka wtz kikwete Mungu ambariki mama Mungu atudaidie tena. 2025 Mungu mwenye tuhurumie

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm Месяц назад

    Mashaala Mungu awazidishiye🎉

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 2 месяца назад

    Mashaa Allah tabarakallah

  • @user-wc9vd7dg9o
    @user-wc9vd7dg9o Месяц назад

    Maradhi ya kimajini huyu Dr
    Mkali wao Pemba anakutibu hatajam upo mbali pesa ndogo tuu😊

  • @ashachanja8087
    @ashachanja8087 2 месяца назад +1

    MashaaAllah

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 2 месяца назад

    Allhamdullillah mungu akutabalie yaani nimelia🤲✅

  • @AbdulRazack-cv7ft
    @AbdulRazack-cv7ft Месяц назад

    Maasha allah

  • @user-gh8py4og9k
    @user-gh8py4og9k 2 месяца назад

    Mashaa allah ❤❤

  • @OmanOman-ty6ef
    @OmanOman-ty6ef 2 месяца назад

    Mashaallah watt

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 2 месяца назад

    mashallah. watoto wako vizuri

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn 2 месяца назад

    Nikikumbuka Ushoga tu'Yarabbi tunusuru watoto wetuu

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 2 месяца назад

    Dahh Mashallaah ❤🎉

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 2 месяца назад

    Mashallah mmung awalinde na hasad

  • @meowzna
    @meowzna 2 месяца назад

    Masha'Allah🙏🌹

  • @LemkiHamadi
    @LemkiHamadi 2 месяца назад

    Maashallah, vijana wako viziri

  • @SabraMapande-ul1mj
    @SabraMapande-ul1mj 2 месяца назад +4

    Kuna watu wajinga, hapa nini kinachowaonesha upotoshaji Wadini, ama mmesikia matusi humu,, acheni ujinga huo, tuachieni qaswida yetu. Maashallwa mmeweza

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 2 месяца назад

      Hata waimba tarab hawana matuc mbna unawatia kundi la moton acha kuzarau wtu au unawez nipa tofaut ya hiii nyimbo na tarab?

  • @abdallahkassim7602
    @abdallahkassim7602 2 месяца назад

    Ma shaa llah

  • @MirajiAlhajj
    @MirajiAlhajj 2 месяца назад

    Mihdhari nakubali wakinasaadi wako maashaallh jitahidi

  • @salumally663
    @salumally663 2 месяца назад +1

    Kwahio sheikh yahya anatoka kariako!!! Hajii acha zako..

  • @muu_hijama_tz
    @muu_hijama_tz 2 месяца назад +3

    Kaka tupandishie qaswida ya yule mwamba mweupe hivi ana kiduku kwa mbaali ivi. Anaimba huku ananesa nesa.

  • @fatmajuma-ug1pj
    @fatmajuma-ug1pj 2 месяца назад

    mashaallah ilikua burudani❤

  • @mabdi108
    @mabdi108 2 месяца назад

    MashaAllah. Vijana wametulia

  • @user-ix7ov5ph7h
    @user-ix7ov5ph7h 2 месяца назад

    MashaAllah

  • @AbdallahOthman-fy1gl
    @AbdallahOthman-fy1gl 2 месяца назад

    Mashaallah ❤❤

  • @RamaMkongwe
    @RamaMkongwe 2 месяца назад

    Allah Awakuze ktk maadili Bora ya Dini

  • @MohamedMohamed-ry6lt
    @MohamedMohamed-ry6lt 2 месяца назад

    I like kwa kweli hivi tunafarajika kuona vijana wanafanya kitu kikubwa watunzeni hao maana mna sauti zote hapo waoooo

  • @mngwaliis-haka5348
    @mngwaliis-haka5348 2 месяца назад

    Mashallah

  • @uchidahmaster2834
    @uchidahmaster2834 2 месяца назад

    Vittaah 🌹🌹🌹

  • @ashabakary1462
    @ashabakary1462 2 месяца назад +6

    Hawa watoto nahisi wanatokea zanzibari kama sjakosea

    • @abalhisan4265
      @abalhisan4265 Месяц назад

      Duuh kwamba bara hamna vijana wenye vipaji na wenye sauti nzuri au?

    • @allyzanzibar8983
      @allyzanzibar8983 26 дней назад

      ​@@abalhisan4265Muonekano wao ndio na Kiswahili chao na wanajua kughani haya mambo ya vswani

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 месяца назад +1

    Mama kwetu nitunda lisilo shuka thamani. Ambae haelewi maneno mazuri kama haya inamaana yeye hana mama alikotoka ni wapi acheni jamani mama ndio kila kitu

  • @arebdyjorginho8154
    @arebdyjorginho8154 2 месяца назад

    Mashllh

  • @yearbah1
    @yearbah1 2 месяца назад

    @babdeo twaomba ya mastia....bado sijaona mfano wako habibi

  • @cutedidah
    @cutedidah 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @RukiaJuma-nv3fu
    @RukiaJuma-nv3fu 2 месяца назад

    Mabrouk

  • @jayhassan3906
    @jayhassan3906 2 месяца назад

    Qaswida tam sana

  • @hatibuathumani3839
    @hatibuathumani3839 2 месяца назад +1

    Maashallah,,, mzuri mnooo👏

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 месяца назад

    Jamani ataondoka kaa kwa dharura yakuziba pengo la hayati maremu magufuli 😭😭😭😭

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 месяца назад

    Swmia jamaa yangu mzanzibari mwenzangu ukimaliza ondoka walqhi ondoka kwasababu km waliweza kumuuwa jamaa yao magufuli hakika hawashindwi kukuuwa nawewe .......au jiudhulu bora walahi inaniuma kuona kashfa chungumzima

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 месяца назад

    Msikae rohoni sie twajua mmemsakama kwakua ni mzanzibari 😭😭😭😭ndomana mnamnyanyasa kupindukia hebu basini inatosha

  • @ContentHouses-po3mh
    @ContentHouses-po3mh 2 месяца назад +3

    Hamna tofaut na BONGO FROVER hii din tunaipeleka pabaya sana

    • @AbdulwahdMbahu
      @AbdulwahdMbahu 2 месяца назад

      Una teseka ukiwa pahala gani

    • @AlfarouqIslamic
      @AlfarouqIslamic 2 месяца назад +1

      Kumbe bongo flavour unazisikiliza ila kaswda zinakutia kichefchef

    • @khadijamohamedkibabi3625
      @khadijamohamedkibabi3625 2 месяца назад

      ​@@AlfarouqIslamicha ha ha a a a Jmn dah 😂😂😂😂

    • @joharithabiti334
      @joharithabiti334 2 месяца назад

      Subhanallah na suti kabisa wamevaa mtihani😢

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 месяца назад

      Sio bongo flavour ni taarabu

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Месяц назад

    Muuuuu!

  • @salehemohamed2937
    @salehemohamed2937 2 месяца назад

    Wallahy, vittah

  • @alawi6796
    @alawi6796 2 месяца назад +2

    Taarabu au kaswida jaman

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 2 месяца назад

      Taarabu hii, si kaswida

    • @user-oh7gv8zg5y
      @user-oh7gv8zg5y 2 месяца назад

      Huoni, pia waimbaji wamevaa, suti, wamenyoa viduku,, ndo matatizo ya mashekh WA bidaaaya

    • @AbdulwahdMbahu
      @AbdulwahdMbahu 2 месяца назад

      ​@@user-oh7gv8zg5ywew vaa msuli usiteseke

    • @ummuarham6070
      @ummuarham6070 2 месяца назад

      Kiukweli Hiyo mikato ya nywele si sahihi katika deen yetu

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 2 месяца назад

      Taarab ikhwan swaafa wadogo hawa kutoka Zanzibar

  • @abdulhafidh7749
    @abdulhafidh7749 2 месяца назад +1

    Uchawa kila sekta daah taifa sijui litakua la vizazi vya aina gan baadaae hili

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 2 месяца назад +1

    Bora jiudhulu mana niliwahikuona klip m.bara anaonesha kaburi nakusema utakufa tu 😭😭😭

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 2 месяца назад

      KWANI WW UTABAKIA KTK HII DUNIA?AU MWENZETU PIA IMEANGALIA ANGANI?ACHA MANENO YAKO JE UNAIJUA KESHO YAKO?UNAWEZA UKATANGULIA UKAMWACHA JE UNAIJUA HILO

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 месяца назад

    Koba koba koba kobaa wewe koba allah akulinde huwa kunakaswaida unaimba wallah ujumbe unatufikia.

  • @Saumuhosseni
    @Saumuhosseni Месяц назад

    Mayahudi nyiyi

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 2 месяца назад

    Uki chelewa kufa uta yaona mengi😢😢😢😢😢

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 2 месяца назад

    Safisana

  • @KhaalidiJumaa-yt4lo
    @KhaalidiJumaa-yt4lo 2 месяца назад

    Yaasalaam

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 месяца назад

    Kalamu nnasi la yantahi (maneno ya watu hayamaliki hata awara mbe mkundu watasema TU mama piga kazi

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 2 месяца назад

    Nyimbo iyo

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 месяца назад

    Mungu mwenyewe anawaruzuku Kila kitu hawamshukuru atashukuriwa Samia kiumbe dhaifu sio rahisi tunakijua kinachowauma ila tulieni kutesa kwa zamu nulitunyanyasa na kutudhulimu siku nyingi Samia piga kazi hai no nyau TU na kelele za mlango hazimfanyi mwenye nyumba akose usingizi

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 Месяц назад

      Hata Nabii alipigwa mawe, Yesu alipangiwa mipango ya kumuuwa. Huwezi kupendwa na wote.

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 2 месяца назад

    Bayyat au taarabu babu weye

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k 2 месяца назад +1

    Mashaallah. Watoto wetu ......hizo pesa ziwekeni hapo chini .mnawazonga

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k 2 месяца назад

    Inanikumbusha sauti ya mariam Hamdun

  • @shabanikabaraza9255
    @shabanikabaraza9255 2 месяца назад

    Unajua kunawatu wenyewe kila kitu hupinga ukiwaangalia wao huwa ni wakorofi sana,Tuachieni burudani zetu hutaki kusikiliza qaswaida acha tuachie mambo yetu wewe endelea kutuibia ndala zetu msikitini na tukikuona utajuta

  • @tahirabdalla7189
    @tahirabdalla7189 2 месяца назад

    Mashalla 😂

  • @Harunery
    @Harunery Месяц назад

    ALLAH awanusuru hawa watt na mambo haya ya haramu

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Месяц назад

    Hata Balkis alitawala wanaume hadithi Iko ndani ya Quran. Alikuwa mwanamke. Mamlaka zinatolewa na Mungu.

  • @riyadhelbakry6375
    @riyadhelbakry6375 Месяц назад

    Hahaha sasa hii kasida au tarabu 🤣

  • @user-yv3qi1yf3j
    @user-yv3qi1yf3j 2 месяца назад

    Taarab

  • @FathiyaAlshidhani
    @FathiyaAlshidhani 2 месяца назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @aluishabani627
    @aluishabani627 2 месяца назад

    koba nifannani mkubwa twamwaamini lakini nyimbo njiwa aliaaribu pale alipoleta maneno alivyo endelea nayo akunyamaza ikaanza biti akakosana nabiti biti ikawa kivyake navinanda kivyake amewapa tabu sana aache kupaga nakuengeza navitu watu awakuvichukulia mazoezi lakini uwezi kundua kwa ubingwa wake ila ladha ilipungua kwenje nyimbo yanjiwa biti inapendezesha ilekaswida jamani

  • @MohamedMohamed-ry6lt
    @MohamedMohamed-ry6lt 2 месяца назад

    Tz yani mna kila kitu mkitaka kumbe

  • @hamidakhamis-ir5qv
    @hamidakhamis-ir5qv 2 месяца назад

    Haki kitabakia kuwa haki na batil itabakia kuwabatil2 kelele za bure kila kitu kiko wazi

  • @user-du9kd9ks3b
    @user-du9kd9ks3b 2 месяца назад

    Acha upumbavu watu wache wastarehe wakifanya wasaudia na vilemba vyai Mbona husemi kwa......!!!

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 2 месяца назад +2

    Masalafi wana kosa raha wana taman waje ila hubakia kufunguwa cm wakasikilza tu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 2 месяца назад +1

      Sisi masalafi tunasema ,haya mambo ni ya wanawake, kwao Halali haswaaaa,lakini hii minibaba na medevu Yao hapa wanafata nini.

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 2 месяца назад +1

      Mungu hapendi zumar wala mananda niharamu ilio kubwa

    • @user-gc3ec9wx6z
      @user-gc3ec9wx6z 2 месяца назад

      Salafi mutakuwa nyinyi nyinyi ni wanafiki tu nyinyi ni mayahud tu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 2 месяца назад

      @@user-gc3ec9wx6z ndugu yangu ,kasome dini ,acha jazba ,hii sio Simba na yanga,hii ni dini,unaweza ukamtakia mwenzio maneno yakaishia kutafuna dini yako,kasome ili ujue mipaka ya kizungumza na dini yako pia

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x 2 месяца назад

    Hii kaswida imesimwa hapa Tanzania au nchigani?

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 2 месяца назад

    Hiyo cheni shingoni ndio nini

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5y 2 месяца назад +1

    SASA, mbona waimbaji wenyewe wamevaa, suit Kama wako kanisani, hizi nguo si wanavaaga waimba kwaya makanisani mambo ya ajabu, kweli n

    • @sulej2023
      @sulej2023 2 месяца назад

      Suit ni vazi kama vazi lingine na wala si vazi la wakristo

  • @FATMAMOHAMED-ss4wn
    @FATMAMOHAMED-ss4wn 2 месяца назад

    Kizazi kitakua Cha komba

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 2 месяца назад

    Tusonge mbele waislam, hao wanaobeza tamasha hili ni roho mbaya zao na chuki zilizo wajaa,

  • @ahmedmwinyi-pl1cn
    @ahmedmwinyi-pl1cn 2 месяца назад

    Tuwaambie pole hao ndugu 😂 zetu. Napia tuwaombee mwenyezi awaondoshee tabia za kusema wenzao.

  • @JokhaSimba
    @JokhaSimba 2 месяца назад

    Yani kuna watu wanatauonekane mgumu kama yeye hapendi atwache tunaopenda wewe unafanya dhambi kibao mbona watu hawakwambii wanaona hiyari yako

  • @Muhammed-km3er
    @Muhammed-km3er 2 месяца назад

    Tutumie shughuli yt mzm

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  2 месяца назад

      Ingia katika akaunti ya Nasaha Crew ya RUclips ipo shughuli nzima

  • @alfalahbchannel9848
    @alfalahbchannel9848 2 месяца назад +1

    Duuh huyo dogo mweupe nilijua kma lazima atauua tuu huyo hatree

  • @abuuissa1642
    @abuuissa1642 2 месяца назад

    Hii ni music yenye mahdhi ya kiarab nyimbo za Lebanon

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 2 месяца назад

    Hawa ndo waimbaji taarabu wa baadae mark my words..Omar kopa katokea huku huku..Mzee Yussuf huku huku

  • @jitu_jeusii
    @jitu_jeusii 2 месяца назад

    qaswida ni bida'a ❌❌❌❌❌❌❌

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b 2 месяца назад +2

    Hakika huu nimda wa wapimbavu na wajinga sasa huuu ndio uislam kunatofauti gani kt ya kwaya za wakristo na hawa wanaojiita waislam ? Sasa uisilam wasut nabado mvvaaa misalaba 😅😅😅 someni din ya kiisilam muelewe hahaha😅😅

    • @lalytele3353
      @lalytele3353 Месяц назад

      Kila kabila lina mila na dasturi.
      Hawa ni waswahili,misalaba yaingiana vipi?