MARYAM HAMDUN AMTOA MACHOZI BABDEO - KASWIDA MRIDHI - LAYLATUL 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • MARYAM HAMDUN AMTOA MACHOZI BABDEO - KASWIDA MRIDHI - LAYLATUL 2024
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 151

  • @odbin1438
    @odbin1438 Месяц назад +13

    Allah (Subhanahu wataala) anasema: "Wala musichanganye haki na batil na mukaficha haki hali mnajua."

  • @MkudeMatombo
    @MkudeMatombo 7 дней назад

    MashaAllah MashaAllah yaah salaaaaaam

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 28 дней назад +4

    Subhana-Allah niyapi haya ya rabby Allah awaongoze from kenya

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад +4

    SUBHANALLAH sikwamba hatujui kuwa wanawake wafaa wajistiri twajua sote na sauti zetu pia tusiinue

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 29 дней назад +12

    Sayyidna Umar akirudi ghafla vichwa hamna

  • @HassanMohamed-e1h
    @HassanMohamed-e1h 8 дней назад

    Allah akutoe ktk Giza ewe Bi marym

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад +4

    Innalillah wainailehy rajiun
    Tumuogopeni Allah Kwa kweli wala sio Kwa kudanganyana !

  • @kharashbabar7393
    @kharashbabar7393 Месяц назад +2

    Sasa hii ndio maana au ndivyo njia sasahihi ya nyimbo zinavyotakiwa kuimbwa ....nyimbo inanjia zake ndio hivi.... melody ...kama aimbavyo Kassim Mganga, J melody lady j d...........Yani unainjoi hakika.... Super Mariam hamdun....Yani unainjoi Hadi chozi la furaha linashuka❤❤

  • @IssaAbushehe
    @IssaAbushehe 27 дней назад +2

    Ummu Kulthum wa Tanzania huyu hapa

  • @iddyrashid1009
    @iddyrashid1009 Месяц назад +1

    Mashallah mashallah ummu kuluthuum

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 18 дней назад

    Mashaallah ³

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo 25 дней назад

    Allah muongoze Babdeo pamoja nasisi kuichukie vinanda na music

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +1

    Mashaallah 🎉 ana sauti nzuri km umm kulthum

  • @hamynas
    @hamynas Месяц назад +3

    SIKU HIZI MAMBO YANAENDA KIDIGITALI SAANA...MAJIANAMUME MASHEIKH NA KANZU ZAO YAMEJAA KUFANYA MUNKAR NA MENGINE YANALIA KWA KUSIKIA SAUTI ZA MWANAMKE AMBAYE WANAEZA MUOA?
    “O wives of the Prophet! You are not like other women, if you are God-fearing. So do not be soft in speech. Lest in whose heart is disease should be moved with desire.” (Surah al-Ahzab, 32)

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад +1

    Nyimbo nzuri ina ujumbe

  • @user-wu7ou4ns4j
    @user-wu7ou4ns4j Месяц назад +1

    Babdeo Leo toka chozi chezea dada ummu

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад +2

    Acheni Mila zenu na tamaaduni zenu ..kama ni Dini iko wazi

  • @daudkindy5807
    @daudkindy5807 27 дней назад

    Mnayo tanguliza mtayakuta mbele ya Allah kama hiyo din ilipofikia hapo ya Rabi tunusuru wajawako na Mitihan hii ya muziki kuitwa Qaswida

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Месяц назад +2

    BI MARYAM MKE BABDEO AMTOWA MUMEWE BABDEO.

  • @ibnuomar6108
    @ibnuomar6108 18 дней назад

    قصيدة ممتازة

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 Месяц назад +7

    Maneno ya almarhuum shekh nyundo..tarabu tu izo

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga Месяц назад

      Kabisa

    • @SaidaliHamoodaljabri
      @SaidaliHamoodaljabri 29 дней назад

      Wanakufuru tu eti kasida hii kasida nyimbo ya Tarab 😢

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 27 дней назад

      ​@@SaidaliHamoodaljabrinop sio kufuru NI haramu ukisema kufuru wakosea hawajamshirikisha mungu hapo wao NI Jambo la haramu Hili

  • @JabriMwinyi
    @JabriMwinyi 22 дня назад +1

    Turudi kwa Mola wetu hakika tutakufa na tutakwenda kuhesabiwa

  • @MkudeMatombo
    @MkudeMatombo 7 дней назад

    Tuwacheni na raha zetu

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Месяц назад +4

    Sasa hayo mambo mmeyatoa kwenye dini gani, maana ktk uislamu hakuna upuuzi huo

  • @user-rg4wu2tg7x
    @user-rg4wu2tg7x Месяц назад +3

    Hii sio kaswida hii ni nyimbo ya taarab

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад +2

    Leo kukosa imaan wanawake wamejurembesha nyuso wazi vibapa havina haya

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 29 дней назад +1

    HIVI PEPONI KUNA MAMBO MFANO WA HAYA? KWA SABABU MAMBO HALALI YA DUNIANI NI MFANO WA YALIYO PEPONI.
    Mwongozo Masheikh na Maustadh tafadhali

  • @Official83640
    @Official83640 Месяц назад

    Taarabu kumbe Subhannallah 😢

  • @user-vr3xh6fb6y
    @user-vr3xh6fb6y Месяц назад +1

    Mashaallah mashaallah yaah salaaaaaam

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co Месяц назад +10

    Nashangaa waislamu kutwa tukikaa kuwakosoa wakristo wakati katika dini yetu kuna watu matendo yao sawa sawa na ya wale wakristo tunaowakosoa vinanda vyao sasa muislamu yupi atajenga hoja kwa mkristo kwamba vinanda magita ngoma hazifai ..

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Месяц назад

      Kwa iyo wewe unawatetea wakristo au sio? Soma ndugu kesho Akhera kuna kiti kinaitwa kursyu Ruh. Weka namba nikupigie nikueleweshe. Waislam tutaendelea kuwakosowa wakristo mpaka waelewe

    • @HussainMaula-wr5co
      @HussainMaula-wr5co Месяц назад +5

      Hata wakati wa mtume kuna mama alikuja na kumsifu mtume lakini ni hivi ambavyo tunamsifu sisi au kuna usahihi juu ya hili au tumezidisha kama manaswara na mayahudi hakuna kumsifu mtume kwa kupiga vinanda mikelele wanawake kuchangamana na wanaume kucheza kama muziki io ni haramu haifai .

    • @commandokhalidi5284
      @commandokhalidi5284 Месяц назад +1

      Nenda kasome

    • @dalusidd2349
      @dalusidd2349 Месяц назад +2

      Uislamu hauna ngoma wala nyimbo bali huu ni USUFI (SUFISM)

    • @dalusidd2349
      @dalusidd2349 Месяц назад +1

      This is SUFISM NOT ISLAMIC RELIGION

  • @ashrafhashim2116
    @ashrafhashim2116 Месяц назад +6

    Muogopeni allah hiyo dini mmetoa wapi???

  • @fabianmaganga5787
    @fabianmaganga5787 Месяц назад +1

    Qaswida au taarabu hakun tofaut na mziki

  • @daudkindy5807
    @daudkindy5807 27 дней назад

    Innalilah wainnaileyhi rajiun

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Месяц назад +3

    Mnapita kwenye Taraabu asilia😢

    • @Yayouselim
      @Yayouselim Месяц назад

      @@MdNasr-jm8pj naam mule mule kwa raha zetub

    • @Yayouselim
      @Yayouselim Месяц назад

      @@MdNasr-jm8pj yap kwa raha zetu

  • @user-iu7vg7on7j
    @user-iu7vg7on7j Месяц назад +2

    Huyu Bi Maryam anatafauti gani na akina Rukia Ramadhani, Asha Simai nawengineo walipokuwa wakiimbia Nadi Ikhwansafa ya Malindi?

  • @selemanmkumbege476
    @selemanmkumbege476 28 дней назад

    Hii sisemi taarabu ila Mimi siafiki hata kidogo tunakwenda ovyo..sanaa tunavuka mipaka ila Nani atasema ukweli ulimwengu utatuangamiza tusipo sema na nafsi zetu

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 29 дней назад

    Katunzwa Tzs ngapi

  • @user-wu7ou4ns4j
    @user-wu7ou4ns4j Месяц назад +1

    Mridhi hatokuridhi
    Mashaa allaah 💐🎉🎉❤❤

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 23 дня назад

    Sasa tofauti ya taarabu na hii iko wapi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 24 дня назад

    Hii ni taarabu, kama zilivyo nyingine,,,

  • @mohamedhadad6008
    @mohamedhadad6008 12 дней назад

    Tafuteni mbinu ya kufanya Nusra sio kutukana na kuwakejeli watu kama unahisi ww upo sawa basi mlinganie mwenzako kwa njia Nzuri. Kipindi Cha Mtume Muhammad mtu kakojoa msikitini na Mtume kakataza apigwe. Kuna dhambi kubwa zinafanyika lakini watu wamebaki kuswali Khalas

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 23 дня назад

    Kaa mtume ndio kiongoze mnaemfata kwani kawafunza hayo munaofanya....mnakopi warabu wenye hawajitambui wenye kunitambuwa wako mbali na hayo.

  • @mudyhmedia
    @mudyhmedia 23 дня назад

    Muumewe

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад

    Napenda nyimbo yake ya utu ni utu huyu sister

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita2626 20 дней назад

    Imagine mke wako ndio yuko hapo sasa🤔🤔akili tu bila dalili

  • @kassimsaid4481
    @kassimsaid4481 Месяц назад

    إذا أردت أن تذكر عيب غيرك فذكر عيبك! Andika Allah hivyo wala si allah kwa small a. Upo

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 27 дней назад

    Nyimbo kabla kuanza inachukua ukanda nusu

  • @AhmedMasud-lp4bn
    @AhmedMasud-lp4bn 26 дней назад

    Natamani nisikie ile ya chozi langu
    langu la nyamani

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 24 дня назад

    hapo mna makosa ma2 kuimba mziki na kumjumuisha mtume ktk miziki yenu wacheni ushetani

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271 28 дней назад

    انالله وانا الیه راجعون

  • @mannahsalwa8433
    @mannahsalwa8433 Месяц назад

    Bab deo najua mlipofika home ulizidai pesa zako😂

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад

    Llah kila kukicha huzidi mambo makubwa makubwa tukidhani ni madogo

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад

    Kwa machozi gani kuililia hio nyimbo mliliye mkeo Kwanza na wewe mwenyewe hivo mufanyavo ni madhambi

  • @abulhakim2294
    @abulhakim2294 24 дня назад

    Upuzi2 na masifa ya kujufanya kulia ati kwasabbu ya mtume ni uongo2 hta hawo wanawake hapo walikua wakimcheka huyo babdeo wenu😂

  • @HassanMohamed-e1h
    @HassanMohamed-e1h 8 дней назад

    Hebu naw waambie? Wametowa wap

  • @ahmadhemba845
    @ahmadhemba845 28 дней назад

    Majanga hayo

  • @user-kr7ux2dw5l
    @user-kr7ux2dw5l Месяц назад

    Eee yote majimbo tuuu qasda anashid nyimbo zote

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Месяц назад +6

    Madayuth pekee ndo wanakubali upuuz huuu

    • @Salim2019-BD
      @Salim2019-BD Месяц назад

      Naaam😆

    • @Yayouselim
      @Yayouselim Месяц назад

      @@hamadrashid5140 hata wew pia dayyuth

    • @MA-ht7po
      @MA-ht7po Месяц назад

      Nakubali

    • @user-ze2mc6uy2y
      @user-ze2mc6uy2y 29 дней назад

      Wew ni shoga dayuth mkubwa ni wew umeona watu washikana Matiti hapo shoga mzee wew huna haya dayuth ni wew unae shindwa kumtombaa mkeo nyumbani atombwa na wanaume wengine njee hanith wew

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Месяц назад

    Mbona wanaga Gita jmn

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Месяц назад

    Mawaidha gani tuambiwe nyote twayajua ila nikukumbushana tu

  • @user-nc9kh6yz1h
    @user-nc9kh6yz1h Месяц назад

    Nampenda uyu dada wallah

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 Месяц назад

    Umm kuluthum wa tz

  • @user-rv5nz6et4m
    @user-rv5nz6et4m 23 дня назад

    Mziki huo siyo kaswida hiyo

  • @AkramJuma-b5r
    @AkramJuma-b5r 27 дней назад

    Hamna kasida hapo

  • @musamusa6374
    @musamusa6374 Месяц назад

    Si mke wake huyo jaman

  • @omaryissa1821
    @omaryissa1821 29 дней назад

    Nyimbo raaaiiin hadi ki usingizi.kimenipata

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla7624 21 день назад

    Bi Maryam na wenzako naomba urudi kwa mola wako usikubali hayo SIO QASWIDA hy ni NYIMBO kama nyengine wakati zimetumia ala za muziki ni KHARAM, pamoja na mchanganyiko wa waume na wakike ni FITNAH

  • @SalumuNuhu
    @SalumuNuhu 27 дней назад

    Hii ni dini aliyotuachia mtume صلى الله عليه وسلم na maswaha wake kweli?

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 29 дней назад

    Watu wanakufa bila kalma umma uko taaban sisi tunaimba

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg 28 дней назад

      Lingania xx mbona kuna maswahaba walkuwa washair na walipata kalima wakati wanatolewa roho acha kujzma data

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 19 дней назад

      @@AdamRajab-xd3zg hakuna swahaba alipoteza muda kuimba akaacha kulingania na huwezi bashiriwa pepo kwa kuimba

  • @hamynas
    @hamynas Месяц назад

    we babdeo sijui deogratius unaalika walevi katika programu zako?ha ha ha haa

  • @Bahati47
    @Bahati47 27 дней назад

    Makubwa haya. Magitaa na vinanda Tena?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 24 дня назад

    Halafu utamkuta mtu anawatukana ANSAR SUNNA,,,

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Месяц назад

    Kasida taarab

  • @fabianmaganga5787
    @fabianmaganga5787 Месяц назад +2

    Hahahaha elimu hizi jmn mwanamk anachez mbele ya wanaume na anatoa saut mbele ya wanaume daah

  • @HarunaArmani
    @HarunaArmani 23 дня назад

    Huu ndio uislamu inavyotakiwa nasikia kinyonge kinyonge lazima sikuzakufurahi ziwepo tena kwa maneno murua kama haya

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Месяц назад

    Kwani hapo kakosea nini jaman

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Месяц назад +1

      Naomba kasome Dini utajua
      Ikiwa huna Dini kila kitu utaona Sawa tu

  • @alidadi6156
    @alidadi6156 29 дней назад

    Shagazi yake taarab hiyo!

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Месяц назад

    Hii ni ktk dini Ibn hazm kasema inajuz na pia huo ni utamaduni wa waswahili unaotakiwa ufufuliwe

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Месяц назад

      Huyo Ibn hamz wako na Quran Bora ni nini
      Ikiwa Quran imetukataza wanawake tujistiri na tusitoe sauti zetu

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Месяц назад

      Na musifufue utamaduni wawaswahili Tu kisha wafufueni yaswaswahili wenyewe walikufa

    • @eshasalim1471
      @eshasalim1471 Месяц назад

      Hizo tamaaduni zenu mutakuja juta siku ya kiyama

    • @Yayouselim
      @Yayouselim Месяц назад

      @@eshasalim1471 quran imekataza nn?

    • @Yayouselim
      @Yayouselim Месяц назад

      @@eshasalim1471 wew ni mjinga 2

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 29 дней назад

    MRIDHI, UKIKOSA OMBA RADHI

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita2626 20 дней назад

    Imagine mke wako ndio yuko hapo sasa🤔🤔akili tu bila dalili